KUTOKA KUWA NESI HADI KUMILIKI KITUO CHAKE CHA AFYA AKIWA NA MIAKA 35 TU
HTML-код
- Опубликовано: 17 май 2024
- Leo kwenye exclusive interview tunakukutanisha na mrembo Paskalinah mwenye umri wa miaka 35 ambaye aliamua kuacha kazi serikalini na kuamua kuanzisha kituo chake cha kutoa huduma ya afya kilichogharimu zaidi ya milioni 50 ambazo zimetokana na jasho lake maana alianza kutunza na kujinyima kwa muda mrefu lengo ikiwa ni kutimiza hiyo ndoto yake
Paskalinah anaeleza kuwa ameamua kuanzisha kituo hicho kutokana na msukumo mkubwa alioupata baada ya changamoto ya kiafya iliyomkumba mtoto wake ndo akaamua kuanzisha kituo hicho kama kulipa fadhira kwa Mwenyezi Mungu na kusaidia jamii inayomzunguka
Haya pamoja na changamoto nyingi alizozipitia mpaka hatua hii ameeleza yote kwenye exclusive interview ikiwemo kupoteza zaidi ya milioni 30 katika uwekezaji wa awali lakini hiyo haikumkatisha tamaa ya kuzidi kupambana
Mtu anavyo ongea tu, unaona huyu kichwa chake kipo smart, very smart
I appreciate ❤
Kabisaa
@paschalinengwada4550 you deserve it
Wapiga picha wa Ayo wako vizuri saaaaanaaaaaaa
Hongera mbena mwenzangu wa NJOMBE kwa mafanikio na kwa uthubutu,,,mimi nadeal na afya pia niko dar ningependa nipate namba yako paschalina
Hongera sana dada kwa juhudi hizi. Ila unasema jitihada zako za kazi, uwe wazi kuwa kuna mtu pia yupo marekani anakusapoti pia kwa pesa, mbona kama uoneshi kumpa nafasi huyu Innocent, unasema kirahisi kuwa amekusapoti,.sema ata kipesa zaidi. Umejitahidi sana wewe na Innocent na hongereni sana sanaaaa. Mungu azidi kuikuza. Innocent pia nikupe maua yako huko ulipo
Asante
Hapo kwa support naelewa zaid ahsante kwa kujazia nyama
Mm ni nurse sijawahi fanya serikalini but izo juhudi nimefanya sana hadi kufungua dispensery nilifanya kila kitu hadi nyumba nililipia miezi 6 ila nilikuja kufeli dakika ya mwisho kwa kukosa support
Nilikosa dawa tuu nikawa sina hata mia baada ya miezi 6 nikafunga baada ya kodi kuisha
Now nimetimkia ughaibuni najipanga tena In Sha Allah one day yes
Hapo kwa support naelewa zaid ahsante kwa kujazia nyama
Mm ni nurse sijawahi fanya serikalini but izo juhudi nimefanya sana hadi kufungua dispensery nilifanya kila kitu hadi nyumba nililipia miezi 6 ila nilikuja kufeli dakika ya mwisho kwa kukosa support
Nilikosa dawa tuu nikawa sina hata mia baada ya miezi 6 nikafunga baada ya kodi kuisha
Now nimetimkia ughaibuni najipanga tena In Sha Allah one day yes
@@Zaynab-ny6gr hongera sana ,you still have the chance to make it.Usife moyo.
@@paschalinengwada4550 shukraan sanaa In Sha Allah sitokata tamaa
Hongera sana 🙏
Waoooo!!!! Paskalina tumesoma wote Edgar Maranata
Hongera sana dada kwa kufanya maamuzi magumu
Hongera sana Semagwada,mubena mwenzangu,muuguzi mwenzangu,Mungu akuinue zaidi! Safii sana yono!
Amina
Na Asante sana ndugu yangu
Hongera sana dada Paskalina!
Asante sana
🎉 Congratulations mate.Tunaokujua tunajua passion na huruma ulionayo linapokuja suala la huduma za Afya ukaendelee kufanyika baraka.Mungu aitunze huduma aliyoweka ndani yako ikazidi kunufaisha wengi zaidi
Ammen
Asante sana sana
Hongera DrP
Super 🎉
Hongera sana Dada!
Ongera umeweza dada
Hongera paskalina inahitaji moyo wa uvumilivu na kutokukata tamaa ila wabariki na waliokusaidia Kwa kuweka wazi Ili ubarikiwe zaidi nazaidi 👏👏
Asante
Wooow so impressed story👏👏
guys if we believe ourselves am sure we can🤲🙏
Yess,we can
Hongera sana dada. Mwenyezi Mungu azidi kusimamia ndoto yako ifike mbali zaidi.
Ammen na Asante sana
Good
Very proud of you my friend be blessed
Ammen
Na Asante sana
Hongera madam pasaka
Asante sana
Hongera sana dada Mungu azidi kukuinua zaidi
Amina ,na Asante sana
Hongera Sana madam wangu jaman Mungu mwema.Mungu akutie nguvu katika huduma hii .🌹🌹
Ammen,na Asante sana
Hongera sana mjukuu kwa hatia hii uliyofikia. Mungu awe pamoja nawe
Asante sana
Hongera sana my grandma paskalina good idea uzidi kubarikiwa na kuinuliwa kwa viwango vya juuu❤
Asante,na Ammen
Hongera sana, mungu akubariki zaidi rafiki yang u, ufike Mbali zaidii. Nimefurahi mnooo kea hatua uliyofikia.
Asante sana,na Amina
Wow granny you really deserve it.... A hard working woman I know..Beauty with big brain 🧠❤
Thanx alot❤
Ndoto kubwa ,hongera sana sana,umethubutu
Asante sana
God has made it
Am speechless
Thanks Lameck@AyoTV
Hongere sana mama mdogo. Ubarikiwe.
Asante sana
Hongera mnyalukolo
Asante sana
Hongera sana
Thanks alot
Karibu Kagera mungu akupe wepesi mdogo wangu
Asante sana
Kokunura ni jina la mother yangu!, Mzee Innocent thanks for addressing and making a very huge memory for our mother
Ammen
Mungu akulinde sana dada usonge Mbele zaidi
Ammen
You will make it
Wow hongera Sana madam
Thanks alot
Na hiyo hospital ilikugharim kias gani?
Katika kila aliefanikiwa kuna story ya mafanikio yake huwa haisemi ni siri yake.
Kashalwambia kakopa hadi basi kuna siri hapo
Amwshasema Alihangaika saana
Hongera sana dada mpendwa,mungu akubariki sana 🙏
Ammen,na Asante sana
@@paschalinengwada4550 Vijana tunaweza pale unavyojipambanua na kuweka jitihada haswaa kwa malengo Fulani🙏
Hongera umethubutu mwenzetu
Asante sana
Dada hongera sana Dada
Asante sana
Hongera sana Pascalina
Asante sana❤
Hongera saana ndugu
Asante sana
Kiukweli ni biashara kabsa
Karibu Anudha Limited tukuuzie vifaa tiba boss
Mbagara au maeneo gan?
Asante
Nitakaribia
Ngoja na mimi nikaze
You will make it
Ila bado haurudishi kwenye jamii juzi tu nilienda hii Zahanati yaani hata fomu unanunua elfu tano. Ila hongera ni maneno ya business.
Huduma ya Afya kwa watoto mapacha ni buree
Na huduma ya kupima Sukari ni Bure
Huduma zingine ni lazima tuchangie ili kituo kiweze kujiendesha.
dah mwalim wang huyu wa mental health
Nakukumbuka sana Mohamed😊
Its my dream, one day yes. congrts madam
Thanks
May God full fill your dreams
Ndoto yangu
You will make it
Nimesoma nae Iraq kwa sadamu mwaka 1988
Kaa wewe 88
I am so proud of you my dear❤
Thanx alot my dear
beauty with brain
Stupid with ass
Asante
Ndoto yangu haijatimia 😭😭😭😭
Itatimia Siku moja
Usife moyo
Itatimia
TENA KAMA WEWE ILIBIDI SERIKALI INAKUPA FUNGU KIDOGO IlI UWEZE KUJIENDELEZE NA KUTOA HUDUMA VIZURI.
Kabisa ,Mnyalikolo
Tanzania mzuri sana Kweli
Asante
IPO mkoa gani
Bukoba-Kagera
Kagera kasema
Iko wapi tuje
Bukoba Manispaa-Kitendaguro
Karibu na shule ya Sekondary ya Wasichana ya Rugambwa
Hongera sana dada na Mimi ni daktari ndoto yangu kufikia 2035 niwe namiliki dispensary yangu
Insha'Allah Mungu akusimamie utimize ndoto yako
Amina MUNGU azidi kukufanikishia upanue ufike ndoto yako ya kuwa pasaka health center
Asante
Trust the Lord,you will make it
Asante,trust the Lord,you will make it
@@user-wd2bc7bf5xAsante sana
Hongera madam wangu from edgarmaranta
Thanks alot❤
Iko wapi hii hospital
Manispaa ya Bukoba-Kitendaguro
Karibu na shule ya Sekondary ya Wasichana Rugambwa
Safiii sana
Ayo acheni ndonga hospital za binafsi haziendexhi hivyo mnavyosuka habali
mmh hawajasuka Habari sikiliza
Hongera sana
Asante sana
Hongera sana
Asante sana
Hongera sana
Asante sana