KONDOO WA AJABU KWENYE MAANDAMANO YA TUNDU LISSU, ATEMBEA MWANZO MWISHO WA MAANDAMANO, NI YATIMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 апр 2024

Комментарии • 116

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Месяц назад +13

    🤣🤣🤣🤣 Ukistaajabu ya mussa utayaona ya kondoo

  • @user-hm8yt9ol4c
    @user-hm8yt9ol4c 15 дней назад +2

    Wazalendo, tumpe ushirikiano kijanamzalendo mpenda haki rc makonda

  • @nyonyomamwaisa
    @nyonyomamwaisa Месяц назад +5

    Eti anakunywa mpaka energy😂mpeni K vant tuoneeeee

  • @BakariKibauri-qh7gf
    @BakariKibauri-qh7gf Месяц назад +5

    Kondoo anakunywa Supu😂😂

  • @barakamwasi7442
    @barakamwasi7442 Месяц назад +4

    Ungo sio jini sema huyo Kondoo amepewa Malezi Ya Kibina Damu

  • @user-fw8wm2xd8x
    @user-fw8wm2xd8x Месяц назад +2

    Hongera sana kw kupenda wanyama ila ktk tiba nimwachie mungu aliyehai umesema kweli usingehojiwa kweli?

  • @dismasmushi9328
    @dismasmushi9328 Месяц назад +9

    Unajua sis n wavivu kufikir jamaa ana ilo n fumbo kwa serikalii kuhusu huduma za jamii

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush8291 Месяц назад +3

    ila wandishi wa tanzania bwana 😢😢😢 mbona wanyama wengi tu dunian hapa sasahivi wanakula vyakula kilichopikwa na wananyonya maziwa kwenye chupa na anakunywa kilakitu hadi vilevi nijinsi ulivo mlea mnyama hiyo ndivo atavoishi akikua

  • @laithalfairuz1189
    @laithalfairuz1189 Месяц назад +1

    Hatari kwakweli duuh

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Месяц назад +3

    Kondoo kanywa ujiiiiii😂😂😂😂dah yatima maskini. Inabidi serikali imuangalie kondoo huyu😂😂😂

  • @user-sn9ip6qr3l
    @user-sn9ip6qr3l Месяц назад +9

    Ha😂😂😂😂mganga anapiga zake promo,tutakutafuta bhana kondoo uje utunusie na ukuiii😂😂😂

  • @user-fi6hb3lp5y
    @user-fi6hb3lp5y Месяц назад +7

    Wacheni ujiko nyinyi kondoo ni mnyama anaependa kujichanganya na binaadamu tu msiseme maajabu yakawaida tu ayo

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Месяц назад +2

    Chadema mjipange awamu ya saba ni yenu

  • @Jesusbelongtome
    @Jesusbelongtome Месяц назад +1

    Kweli atari

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl Месяц назад

    Msishangae mnyama yoyote ukimpenda nae anakupenda siwezi kushanga nisha jionea mwenyewe wanyama wengi

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 Месяц назад +3

    Sisi tulioko Bali tutakupa vipi utu Sandie

  • @rosekilawe786
    @rosekilawe786 Месяц назад +2

    Huyo Ni mtu mnadanganywa Ni kondoo binadamu washirikina Bwana tumwachie Mungu wanamaajabu Sana.

  • @user-eo4pv8zy2o
    @user-eo4pv8zy2o Месяц назад +1

    Kondoo Anakunywa kahawa
    Gonga like

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh Месяц назад +2

    Huyo sio kondoo Tundu awaambie tu ukweli.

  • @issaomary7718
    @issaomary7718 Месяц назад

    Inavutia sana hii ,sharaut mingi Kwa kondoo

  • @PartySekemi
    @PartySekemi Месяц назад +1

    Mbona mganga hajaweka namba kwenye promo😂😂😂😂😂

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 Месяц назад

      Hakuna haja ya namba utamtafuta mwenyewe yakikufika

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Месяц назад

    Hahahahaha mzee Muongo balaa anapiga zake promotion

  • @user-ug9nl8lo1o
    @user-ug9nl8lo1o Месяц назад +1

    Mimi Nina tatizo la sukari Kwa miaka 30 sasa,

  • @dianahussein8934
    @dianahussein8934 Месяц назад +1

    Embu tunaomba number yake tafadhali

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 Месяц назад

    Hahahaha siasa ina mambo ya ajabu Sana

  • @LudovickTibakyenda-gs2wh
    @LudovickTibakyenda-gs2wh Месяц назад +1

    Waafrika tunajivunia uchawi eti!.

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 Месяц назад +1

    Watu wa kz sio mchezo

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 Месяц назад

    Nilimuona aisee kondoo kamzoea sana jamaa

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Месяц назад +4

    Hilo ni jini, siku litamnyonya damu yeye mwenyewe 😂

  • @wilsonmsenga6447
    @wilsonmsenga6447 Месяц назад

    Naomba aweke namba ya simu yake.

  • @HappyMwaigwisya
    @HappyMwaigwisya Месяц назад

    Anakunywa apple punch hahahaaaaaaaaa

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Месяц назад +1

    SANA IVI SASA USITUPANDISHIE NDANI YA TRENI YETU YA UMEME UKATUINGIZIA UCHAFU UMWAMBIE APAHE NA UNGO TU😂😂😂

  • @justice607
    @justice607 Месяц назад

    😂😂😂 Soda, nyama choma 😅😅😅

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk Месяц назад

    HADI KUCHIMBA DAWA YUPO VZR.😂😂😂

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Месяц назад

    ✌️👍👊.

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Месяц назад +1

    CHADEMA MMEMUIGA MAKONDA KWA VITUKO 😂😂😂😂

  • @user-xh9ko2cs1r
    @user-xh9ko2cs1r Месяц назад

    Maisha magumu san😂

  • @user-gj9zq9ez6p
    @user-gj9zq9ez6p Месяц назад +1

    Namba zako

  • @SabahSabah-by6tj
    @SabahSabah-by6tj Месяц назад

    Jamani Mimi nauliza nitampataje huyu jammaa nahitaji tiba

  • @davidnnko9428
    @davidnnko9428 Месяц назад

    Jamaa tulisoma naye Shaha Mariri

  • @herrymakambi5906
    @herrymakambi5906 Месяц назад

    Neyeye

  • @MonicaWantora
    @MonicaWantora Месяц назад

    Huyu baba wa kondoo naomba mawasiliano namba ya simu

  • @assengamn
    @assengamn Месяц назад +1

    Huyu jamaa apeleke huyo kondoo akafanyiwe research, huyo kondoo anaweza tumika kama service animal kama wanavyotumia mbwa kusaidi watu wenye msongo wa mawazo, hicho kitu huyo kondoo anafanya ni very unique kinaweza kuzaa fursa.

    • @Mwend95
      @Mwend95 Месяц назад

      Wewe hilo nijini babu hawezi kuliachia unavyofikilia😂😂😂😂😂.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Месяц назад

    Siku zote washirikina wa hali hiyo ni masikini,mganga asiyekuwa na hela

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Месяц назад +10

    MH. TUNDU LISSU ANAMALAIKA WA MUNGU HAKIKA

  • @user-li2cy1st6o
    @user-li2cy1st6o Месяц назад +1

    Huku kuna mbuzi zaidi ya huyo kondoo anaitwa uchebe nitafute

  • @kaupigwe
    @kaupigwe Месяц назад

    Some animals act like pets, sio ajabu

  • @Mwend95
    @Mwend95 Месяц назад

    Je itafikia hatua aoe maana anagonga kahawa kama kawaida 😂😂😂.

  • @unclesammykaniki1184
    @unclesammykaniki1184 Месяц назад

    Kahama wapi na wapi jamani....#Ndanj ya Nusu Saa kondoo Yupo BABATI AMEFIKA TAYARI KUTOKA KAHAMA.

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk Месяц назад

    KAHAMA TO BABATI WEEEEEEE

  • @frankbujiku9496
    @frankbujiku9496 Месяц назад

    Hahahahah kondoo yatima 😂😂😂😂😂

  • @AminiMuhammed-pi6dx
    @AminiMuhammed-pi6dx Месяц назад

    Wajua mambo mengine wala haifai mi icho kiumbe mnakihangaisha ivo

  • @umaima1178
    @umaima1178 Месяц назад

    Kondoo anakula majani sasa😂

  • @salimmbilu4524
    @salimmbilu4524 Месяц назад

    Sawasawa kiongoz umetufunza jambo ila kwa wenyew akili

  • @user-jk6we5qu2x
    @user-jk6we5qu2x Месяц назад +1

    Mtaficha hisia zetu ila ztakuw awaz bila nyie kupenda

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Месяц назад

    😅😅😅ana kunywa hadi kahawa

  • @vitusjumah
    @vitusjumah Месяц назад +1

    Uhuni ninachojua mbuzi au kondoo anapofugwa mahali akiwa peke yake basi huwa na tabia ya kumfuata nyuma mfugaji wake ama kuambatana naye kwa sababu ya mazowea na kukosa uwepo wa wenzake kwa lugha rahisi huyo kondoo anaona mfugaji wake ndiye kondoo mwenzake ni sayansi rahisi hii.

  • @saidomary6414
    @saidomary6414 Месяц назад

    Huyo so wakawaida

  • @johnnzumbe
    @johnnzumbe Месяц назад

    Uzuri ni kwamba Miladayo katumia Kondoo kufikisha Ujumbe wa Maandamano hasa Ubovu kwenye Wizara ya Afya.

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb Месяц назад

    Wewe ndo mganga wa tundu lissu ???ndoma unaleta kondoo shetani ???

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g Месяц назад

    Hadi kondoo hawataki ccm wanaotaka katibia mpya nam nataka katibia mpya

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 Месяц назад

    😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂tanzania sihami kabisa

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Месяц назад +3

    Tangazo limekaa kimkakati sana

  • @user-oh6wc8xr5w
    @user-oh6wc8xr5w Месяц назад

    Uyo kondoo akififaa ufanye mazishi yake vzi jeneza na sanda ununue na utengeneze

  • @ErickMacha-sb2ot
    @ErickMacha-sb2ot Месяц назад

    Toeni toeni toeni sanamu hii

  • @susumantalanta8505
    @susumantalanta8505 Месяц назад

    Mbona hakuna maajabu hapo, kwa sisi wafugaji tunajua hizo mambo

  • @ErickMacha-sb2ot
    @ErickMacha-sb2ot Месяц назад

    Acheni ibada za sanamu mponyaji ni MUNGU na YESU tu nanyi chadema mtangulize MUNGU atawasaidi hiyo sanamutupeni mbali. Namsirudie tena

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 Месяц назад

      Soma bibilia vizuri

    • @nicholausmramu
      @nicholausmramu Месяц назад

      Sasa chadema una wahisisha nakondoo mtu kaja nakitu chake unaweza mfukuza hiyo sio bunduki nimyama ali mfuata acha kujitoa ufahamu

  • @EmanuelJuma-sq6sx
    @EmanuelJuma-sq6sx Месяц назад

    mh

  • @user-fl1xz3ln3c
    @user-fl1xz3ln3c Месяц назад

    😁😁

  • @Mwend95
    @Mwend95 Месяц назад

    Acheni zenu huyo nikondoo jini hilo

  • @user-oh6wc8xr5w
    @user-oh6wc8xr5w Месяц назад

    Maajabu ya dunia ilo ni mapenz au ni mazoea

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 Месяц назад

    Mshirikina huyu hakuna chochote nahuyo sio kondoo ni jini hilo kondoo gani anakunywa kahawa

  • @Monica-vq2iy
    @Monica-vq2iy Месяц назад

    Sasa mnaeudia nini kondoo nijni kwani kasema huyo kondoo nini jiongezin wananchi

  • @christianchando7041
    @christianchando7041 Месяц назад

    Mbona mnamtisha mama samia 2025???

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Месяц назад

    Bang havut 😅😅

  • @user-li2cy1st6o
    @user-li2cy1st6o Месяц назад

    Nitafute milad nikuonyeshe mbuzi anakunywa bia soda kila chakula anakula kasoro nyama tu

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @mtangag774
    @mtangag774 Месяц назад

    🤣🤣🤣🤣hatar

  • @user-kv2wg4xi9k
    @user-kv2wg4xi9k Месяц назад

    😅😂😂

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Месяц назад

    Weee jamaa mimi chombo yangu haipigi status njoo tibia mimi

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Месяц назад

    Mtangazaji ungemuuliza sasa huyo kondoo anatumia vipi watu? na anajuaje kama mgonjwa huyu ana tatizo flani ,kwani ana uwezo wa kuongea?26.04.24

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 Месяц назад

    PEPO SHINDWA

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Месяц назад

    Maana ya kondoo huyo ni kwamba hao ni wenziwe kondoo ni mnyama anaye fata mkumbo tu. Kwahiyo woote hao wanafata tu kama kondoo hajui lolote.😂😂😂😂

  • @georgeikinya2779
    @georgeikinya2779 Месяц назад

    This is business promotion of this mganga. Shida ya maisha yakiwa magumu ndio hii. Lots of fraudsters

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 Месяц назад

    Hivi wazungu wana majini au ni sisi tu?

  • @SebastianDaniel-es4rf
    @SebastianDaniel-es4rf Месяц назад

    😂

  • @user-jk6we5qu2x
    @user-jk6we5qu2x Месяц назад

    We milard Ni mnafk onyesha mandamano yote acha kutumika uncontestable drama tu

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Месяц назад +1

    WAPO WENGI SANA KONDOO WA KUFUATA WATU. CHADEMA INAPENDWA NA WATU WENGI

  • @henryndosi2002
    @henryndosi2002 Месяц назад

    Maandamano ya makondoo ya chadomo

  • @user-mt3id9lt2n
    @user-mt3id9lt2n Месяц назад

    Huku Africa ndo binaadam akimfuga mnyama kama rafiki anaanza kuwatisha watu mambo ya kiganga cheki huko kwa wenzetu watu wanafuga simba chui nk na hakuna hizo michongo za kizushi ukichangia na umasikini wa watz wengi mzee kashafanya promotion

  • @deohaule8161
    @deohaule8161 Месяц назад

    Huyu jamaa aache porojo, na aache kuwaibia watu. Huyu mbuzi amezoweshwa malezi ya Kibinadamu tangia utotoni wake na matokeo yake ametengeneza mazoea na utegemezi kwa mlezi wake na sio vinginevyo ambacho ni kitu cha kawaida kabisa. Mbona watu wanalea simba na simba anakua mpole tu.

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb Месяц назад

    Lissu analeta kondo yakafara aliambiwa na maframason mashetani yatowe sadaka nakafara za shetani yamaframasson wewe bwana unasema uwogo nikafara za mashetani ili watz wampe l'issu utawala watz lissu hâta tawala nchi yatz tz inawenyewe tz ni ya watz sio yawa Congo RDC kama lissu nawazazi wake au na babu zake

  • @denysemariebaziruwiha702
    @denysemariebaziruwiha702 Месяц назад

    M23 terroristes uko RDC wanaanza tembea na kondoo uko vitani . Rpf uko rwanda wakati walikuwa vitani kutoka uganda waritembea na kondoo mweupe ni code zao.

  • @mohammededy7086
    @mohammededy7086 Месяц назад

    muongo mmbwa ww

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад

    Ujinga mtuy uko hapo tafuten kaz zakufanya mjenge maisha pamoja na miili iliyo zofika wapuuz san

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Месяц назад

    Ushirikina wa kijinga

  • @Mwend95
    @Mwend95 Месяц назад

    Acheni zenu huyo nikondoo jini hilo