ila wandishi wa tanzania bwana 😢😢😢 mbona wanyama wengi tu dunian hapa sasahivi wanakula vyakula kilichopikwa na wananyonya maziwa kwenye chupa na anakunywa kilakitu hadi vilevi nijinsi ulivo mlea mnyama hiyo ndivo atavoishi akikua
Huyu jamaa apeleke huyo kondoo akafanyiwe research, huyo kondoo anaweza tumika kama service animal kama wanavyotumia mbwa kusaidi watu wenye msongo wa mawazo, hicho kitu huyo kondoo anafanya ni very unique kinaweza kuzaa fursa.
Uhuni ninachojua mbuzi au kondoo anapofugwa mahali akiwa peke yake basi huwa na tabia ya kumfuata nyuma mfugaji wake ama kuambatana naye kwa sababu ya mazowea na kukosa uwepo wa wenzake kwa lugha rahisi huyo kondoo anaona mfugaji wake ndiye kondoo mwenzake ni sayansi rahisi hii.
Huku Africa ndo binaadam akimfuga mnyama kama rafiki anaanza kuwatisha watu mambo ya kiganga cheki huko kwa wenzetu watu wanafuga simba chui nk na hakuna hizo michongo za kizushi ukichangia na umasikini wa watz wengi mzee kashafanya promotion
Huyu jamaa aache porojo, na aache kuwaibia watu. Huyu mbuzi amezoweshwa malezi ya Kibinadamu tangia utotoni wake na matokeo yake ametengeneza mazoea na utegemezi kwa mlezi wake na sio vinginevyo ambacho ni kitu cha kawaida kabisa. Mbona watu wanalea simba na simba anakua mpole tu.
Lissu analeta kondo yakafara aliambiwa na maframason mashetani yatowe sadaka nakafara za shetani yamaframasson wewe bwana unasema uwogo nikafara za mashetani ili watz wampe l'issu utawala watz lissu hâta tawala nchi yatz tz inawenyewe tz ni ya watz sio yawa Congo RDC kama lissu nawazazi wake au na babu zake
M23 terroristes uko RDC wanaanza tembea na kondoo uko vitani . Rpf uko rwanda wakati walikuwa vitani kutoka uganda waritembea na kondoo mweupe ni code zao.
🤣🤣🤣🤣 Ukistaajabu ya mussa utayaona ya kondoo
😂😂😂😂😂
Wazalendo, tumpe ushirikiano kijanamzalendo mpenda haki rc makonda
Eti anakunywa mpaka energy😂mpeni K vant tuoneeeee
Kondoo anakunywa Supu😂😂
Ungo sio jini sema huyo Kondoo amepewa Malezi Ya Kibina Damu
Hongera sana kw kupenda wanyama ila ktk tiba nimwachie mungu aliyehai umesema kweli usingehojiwa kweli?
Unajua sis n wavivu kufikir jamaa ana ilo n fumbo kwa serikalii kuhusu huduma za jamii
ila wandishi wa tanzania bwana 😢😢😢 mbona wanyama wengi tu dunian hapa sasahivi wanakula vyakula kilichopikwa na wananyonya maziwa kwenye chupa na anakunywa kilakitu hadi vilevi nijinsi ulivo mlea mnyama hiyo ndivo atavoishi akikua
100%
Hatari kwakweli duuh
Kondoo kanywa ujiiiiii😂😂😂😂dah yatima maskini. Inabidi serikali imuangalie kondoo huyu😂😂😂
Ha😂😂😂😂mganga anapiga zake promo,tutakutafuta bhana kondoo uje utunusie na ukuiii😂😂😂
Wacheni ujiko nyinyi kondoo ni mnyama anaependa kujichanganya na binaadamu tu msiseme maajabu yakawaida tu ayo
Wanaoshangaa hawajafuga hawa😅
@@nyonyomamwaisa hakika brother
Unaakili sana
Chadema mjipange awamu ya saba ni yenu
Kweli atari
Msishangae mnyama yoyote ukimpenda nae anakupenda siwezi kushanga nisha jionea mwenyewe wanyama wengi
Sisi tulioko Bali tutakupa vipi utu Sandie
Huyo Ni mtu mnadanganywa Ni kondoo binadamu washirikina Bwana tumwachie Mungu wanamaajabu Sana.
Kondoo Anakunywa kahawa
Gonga like
Huyo sio kondoo Tundu awaambie tu ukweli.
Inavutia sana hii ,sharaut mingi Kwa kondoo
Mbona mganga hajaweka namba kwenye promo😂😂😂😂😂
Hakuna haja ya namba utamtafuta mwenyewe yakikufika
Hahahahaha mzee Muongo balaa anapiga zake promotion
Mimi Nina tatizo la sukari Kwa miaka 30 sasa,
Embu tunaomba number yake tafadhali
Hahahaha siasa ina mambo ya ajabu Sana
Waafrika tunajivunia uchawi eti!.
Watu wa kz sio mchezo
Nilimuona aisee kondoo kamzoea sana jamaa
Hilo ni jini, siku litamnyonya damu yeye mwenyewe 😂
Uongo Kaa na wakubw zako watkup Siri nying juu yakondoo
Kabisaaa
Naomba aweke namba ya simu yake.
Anakunywa apple punch hahahaaaaaaaaa
SANA IVI SASA USITUPANDISHIE NDANI YA TRENI YETU YA UMEME UKATUINGIZIA UCHAFU UMWAMBIE APAHE NA UNGO TU😂😂😂
😂😂😂 Soda, nyama choma 😅😅😅
HADI KUCHIMBA DAWA YUPO VZR.😂😂😂
✌️👍👊.
CHADEMA MMEMUIGA MAKONDA KWA VITUKO 😂😂😂😂
Maisha magumu san😂
Namba zako
Kweli
Jamani Mimi nauliza nitampataje huyu jammaa nahitaji tiba
Jamaa tulisoma naye Shaha Mariri
Neyeye
Huyu baba wa kondoo naomba mawasiliano namba ya simu
Huyu jamaa apeleke huyo kondoo akafanyiwe research, huyo kondoo anaweza tumika kama service animal kama wanavyotumia mbwa kusaidi watu wenye msongo wa mawazo, hicho kitu huyo kondoo anafanya ni very unique kinaweza kuzaa fursa.
Wewe hilo nijini babu hawezi kuliachia unavyofikilia😂😂😂😂😂.
Siku zote washirikina wa hali hiyo ni masikini,mganga asiyekuwa na hela
MH. TUNDU LISSU ANAMALAIKA WA MUNGU HAKIKA
Huku kuna mbuzi zaidi ya huyo kondoo anaitwa uchebe nitafute
Some animals act like pets, sio ajabu
Je itafikia hatua aoe maana anagonga kahawa kama kawaida 😂😂😂.
Kahama wapi na wapi jamani....#Ndanj ya Nusu Saa kondoo Yupo BABATI AMEFIKA TAYARI KUTOKA KAHAMA.
KAHAMA TO BABATI WEEEEEEE
Hahahahah kondoo yatima 😂😂😂😂😂
Wajua mambo mengine wala haifai mi icho kiumbe mnakihangaisha ivo
Kondoo anakula majani sasa😂
Sawasawa kiongoz umetufunza jambo ila kwa wenyew akili
Mtaficha hisia zetu ila ztakuw awaz bila nyie kupenda
😅😅😅ana kunywa hadi kahawa
Uhuni ninachojua mbuzi au kondoo anapofugwa mahali akiwa peke yake basi huwa na tabia ya kumfuata nyuma mfugaji wake ama kuambatana naye kwa sababu ya mazowea na kukosa uwepo wa wenzake kwa lugha rahisi huyo kondoo anaona mfugaji wake ndiye kondoo mwenzake ni sayansi rahisi hii.
Na alipomuacha Kahama, vp hapo?
Huyo so wakawaida
Uzuri ni kwamba Miladayo katumia Kondoo kufikisha Ujumbe wa Maandamano hasa Ubovu kwenye Wizara ya Afya.
Wewe ndo mganga wa tundu lissu ???ndoma unaleta kondoo shetani ???
Hadi kondoo hawataki ccm wanaotaka katibia mpya nam nataka katibia mpya
😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂tanzania sihami kabisa
Tangazo limekaa kimkakati sana
Uyo kondoo akififaa ufanye mazishi yake vzi jeneza na sanda ununue na utengeneze
Toeni toeni toeni sanamu hii
Mbona hakuna maajabu hapo, kwa sisi wafugaji tunajua hizo mambo
Acheni ibada za sanamu mponyaji ni MUNGU na YESU tu nanyi chadema mtangulize MUNGU atawasaidi hiyo sanamutupeni mbali. Namsirudie tena
Soma bibilia vizuri
Sasa chadema una wahisisha nakondoo mtu kaja nakitu chake unaweza mfukuza hiyo sio bunduki nimyama ali mfuata acha kujitoa ufahamu
mh
😁😁
Acheni zenu huyo nikondoo jini hilo
Maajabu ya dunia ilo ni mapenz au ni mazoea
Mshirikina huyu hakuna chochote nahuyo sio kondoo ni jini hilo kondoo gani anakunywa kahawa
Sasa mnaeudia nini kondoo nijni kwani kasema huyo kondoo nini jiongezin wananchi
Mbona mnamtisha mama samia 2025???
Bang havut 😅😅
Nitafute milad nikuonyeshe mbuzi anakunywa bia soda kila chakula anakula kasoro nyama tu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤
🤣🤣🤣🤣hatar
😅😂😂
Weee jamaa mimi chombo yangu haipigi status njoo tibia mimi
Mtangazaji ungemuuliza sasa huyo kondoo anatumia vipi watu? na anajuaje kama mgonjwa huyu ana tatizo flani ,kwani ana uwezo wa kuongea?26.04.24
PEPO SHINDWA
Maana ya kondoo huyo ni kwamba hao ni wenziwe kondoo ni mnyama anaye fata mkumbo tu. Kwahiyo woote hao wanafata tu kama kondoo hajui lolote.😂😂😂😂
This is business promotion of this mganga. Shida ya maisha yakiwa magumu ndio hii. Lots of fraudsters
Hivi wazungu wana majini au ni sisi tu?
Tafuta ela wenye hela hawnaga majini
😂
We milard Ni mnafk onyesha mandamano yote acha kutumika uncontestable drama tu
WAPO WENGI SANA KONDOO WA KUFUATA WATU. CHADEMA INAPENDWA NA WATU WENGI
Maandamano ya makondoo ya chadomo
Mashoga ya ccm ni mapumbavu Kama viongoz wao.
Huku Africa ndo binaadam akimfuga mnyama kama rafiki anaanza kuwatisha watu mambo ya kiganga cheki huko kwa wenzetu watu wanafuga simba chui nk na hakuna hizo michongo za kizushi ukichangia na umasikini wa watz wengi mzee kashafanya promotion
Huyu jamaa aache porojo, na aache kuwaibia watu. Huyu mbuzi amezoweshwa malezi ya Kibinadamu tangia utotoni wake na matokeo yake ametengeneza mazoea na utegemezi kwa mlezi wake na sio vinginevyo ambacho ni kitu cha kawaida kabisa. Mbona watu wanalea simba na simba anakua mpole tu.
Lissu analeta kondo yakafara aliambiwa na maframason mashetani yatowe sadaka nakafara za shetani yamaframasson wewe bwana unasema uwogo nikafara za mashetani ili watz wampe l'issu utawala watz lissu hâta tawala nchi yatz tz inawenyewe tz ni ya watz sio yawa Congo RDC kama lissu nawazazi wake au na babu zake
M23 terroristes uko RDC wanaanza tembea na kondoo uko vitani . Rpf uko rwanda wakati walikuwa vitani kutoka uganda waritembea na kondoo mweupe ni code zao.
Yaah
muongo mmbwa ww
Ujinga mtuy uko hapo tafuten kaz zakufanya mjenge maisha pamoja na miili iliyo zofika wapuuz san
Ushirikina wa kijinga
Acheni zenu huyo nikondoo jini hilo