MZEE ALIYE FUNGWA GEREZANI KWA UONEVU NA HALMASHAURI YA MBEYA NA KUPEWA KESI YA MADAI YA MILIONI 12

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2024
  • #AdilTV

Комментарии • 59

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Месяц назад

    Mungu akubariki sana Makonda.

  • @blog9117
    @blog9117 3 месяца назад +8

    Makonda umeibeba Tanzania ukiomba kura za urais tunakupa umeupiga mwingi ndani ya tanzania

  • @fredykephacy5166
    @fredykephacy5166 3 месяца назад +3

    Daaaa viongozi mbon wako hivo wananyanyasa sana wanachi

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 3 месяца назад +3

    Makonda mungu akupe mwisho mwema ila ulipotokea nyuma ulikua mtu mwenye jeur na kiburi Sanaa ila kabla hujafa uombe radhi ulio wakosea nyuma ila saiv ww mtu poa Sana Tena mtu wa kuigwa

  • @honhonhaule9232
    @honhonhaule9232 3 месяца назад +2

    Uko vizuri makondaaa

  • @TasianaKuta
    @TasianaKuta 26 дней назад

    Kweli MH unapiga Kazi Mama Samia kakupatia kuweka hapo unetukumbusha Sana Rai's Magufuli

  • @jobungure7195
    @jobungure7195 2 месяца назад +1

    Huu uongozi utafika Kenya lini huku ndio Kuna shida mbaya sana

  • @user-ev3if3ss8o
    @user-ev3if3ss8o 2 месяца назад +1

    Mungu akusaidie makonda 1:16

    • @mabeyainvestment5485
      @mabeyainvestment5485 2 месяца назад

      ila wewe hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du 3 месяца назад +2

    Makonda 2030

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 3 месяца назад +1

    Hongera sana Mr makonda

  • @luganocornel9121
    @luganocornel9121 2 месяца назад +1

    Nikipata pesa nitakupatia ununue darubini ili uweze kusoma mabango yaliyombali. Kazi iendelee comrade Makonda

  • @user-hh4us7kb5q
    @user-hh4us7kb5q 3 месяца назад +8

    mama akimaliza omba urais

  • @simumbaken4902
    @simumbaken4902 3 месяца назад +1

    One komando makonda ast rais wangu mm samia

  • @jumamnumbwa9483
    @jumamnumbwa9483 3 месяца назад +1

    Kwa hivo wataalam wanayumbisha viongozi,wizara ya kilimo ikatafute eneo lingine

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 3 месяца назад +2

    Muheshimiwa warudishiwe eneo lao Wana nnchi dhulma hiyoo

  • @rashidalbalushi8355
    @rashidalbalushi8355 3 месяца назад +3

    Toka enzi za mwalimu Nyerere Tz ina matatizo nakumbuka wakati ule kulikuwepo shirika la STC wananchi wakabadilisha wakasema sasa tule chetu shirika likafillisika kwa hiyo hakuna uzalendo c serikalini wala polisi wala wananchi lini watanzania watakuwa waaminifu?

    • @AnethEdward-nf6sc
      @AnethEdward-nf6sc 2 месяца назад

      Ni kuzidi kumuomba MUNGU ,cku Moja uaminifu utaonekana ktk jamii.

  • @blog9117
    @blog9117 3 месяца назад +3

    Makonda oyeeeeeee

  • @user-er8mq8ju2o
    @user-er8mq8ju2o 3 месяца назад +1

    Huna imani hiyo

  • @jofreyfungo1112
    @jofreyfungo1112 3 месяца назад +1

    Tatizo ni Bashe hapo hataki kupata ushauri Kwa yeyote

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 3 месяца назад +2

    Wakurugenzi mbona vituko jamani

  • @user-qp6zn2xf8w
    @user-qp6zn2xf8w 3 месяца назад

    Makonda mungu akubariki,, akupe Maisha marefu kwa kuisimamia haki

  • @npiperito19
    @npiperito19 3 месяца назад

    Kutoka🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 nakubali sana👌👌👌

  • @user-os6sc7is5h
    @user-os6sc7is5h 2 месяца назад

    Fanya vitu nakuaminia mkuu wewe na waziri wa Alizi kama nyinyi wenyewe Amjui CCM inakua vizuri kutokana na wewe makonda waziri wa Arizi na waziri mkuu mambo mnayofanya mama samia 2025 Anachukua uraisi mia.mia ❤❤❤☝🤲😂😂🙏✊👏👏👏

  • @user-ql6jr4tz4m
    @user-ql6jr4tz4m 2 месяца назад

    Uwishi maisha marefu

  • @siwahemochristine8059
    @siwahemochristine8059 3 месяца назад +1

    Huyo dada anahibu kwa dharahu yeye ndio tatizo hapo mbeya na sibure anamtu anaye mshika mkono

  • @JosephGambishi
    @JosephGambishi 2 месяца назад

    Kweli kaka

  • @user-jx4on5mr7y
    @user-jx4on5mr7y 2 месяца назад

    Safi sana

  • @user-qj3hk5zt5p
    @user-qj3hk5zt5p 3 месяца назад

    Mh Mimi ni mwenyekiti ccm tawi nilishawai kuchomewa nyumban sijawahi ona msaada toka wilayan au mkoa au taifa hadi nikakata tamaa mh nimepoteza vitu vingi sana mh Naomba msaada japo nimejenga jengo la ccm tawi Kukatia bima wana nchi kugawanya kuku kata kijij kuchimba mabarabara hawajanikumbuka kunifuta machozi jaman dah Jarman naomba nisaidieni

  • @MichaelMlowe-ne3ri
    @MichaelMlowe-ne3ri 3 месяца назад

    Mimi sie ccm lakin kuhusu makonda ni kiongozi sahihi hapaswi kuwa mwenezi tu mungu atujaalie tupate rais mweny urafiki na wananchi kama mh.makonda

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 2 месяца назад

    🙏

  • @user-yn4te8mc3c
    @user-yn4te8mc3c 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂 nice makondaaaa respect

  • @Miro255
    @Miro255 3 месяца назад

    Hapa shida ni serikali kuruhusu wakurugenzi kuhama bila kuweka mambo yao sawa, kwahyo mkurugenzi mpya akija anajificha kwenye kichaka cha ugeni ndan ya halmashaur......hili ni tatzo kubwa mno

  • @user-cz7bd9tc5k
    @user-cz7bd9tc5k 3 месяца назад

    Anaye futa hati ni Raistu Hicho kinacho fanyika hapo ni Maneno yasio na Masiko huyo anaye simama hapo Hana Maamuzi

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Месяц назад

    WANA CCM MWISHO WA DUNIA IKO KARIBU SANAAA, ACHENI UNAFIKI NA MSJUNGU. ACHENI KUENDEKEZA RUSHWA NA TAMAA YA PESA. MOTOOO WA AHELA UTAWAMALUZA . MSIKILIZENI MAKONDA ANAEISHI NA MUNGU.

  • @user-wm5fg7xi1o
    @user-wm5fg7xi1o 3 месяца назад

    Makonda is contracting his government

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 3 месяца назад +1

    Jamaani hivi mahakama hazipo

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 3 месяца назад

      Mahakama zipo na mahakimu wapo lkn kama huna hela hupatikana haki ndio maana wanakuja kwamakonda unapata haki yako bila gharama. Makonda ili kazi uliyoifanya idumu iwe kwenye shroa maana ukiondoa vitarud vyote

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 3 месяца назад

    Himeland

  • @user-qj3hk5zt5p
    @user-qj3hk5zt5p 3 месяца назад

    Onger

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 3 месяца назад

    Homeland

  • @DavidEmilian-hq9xm
    @DavidEmilian-hq9xm 3 месяца назад

    Hayo malalamiko mengi nî juu ya watendaji wengi ni wa ccm nini tafsiri yake?

  • @user-xz8tb3vh6l
    @user-xz8tb3vh6l 3 месяца назад

    Tunawaombea

  • @user-cz7bd9tc5k
    @user-cz7bd9tc5k 3 месяца назад

    Kipenya umepotea kabisa Utarudishwa tena gerezani weweMkugenzi ni Mkubwa sana una Mdhalilisha!!

  • @user-zl3le1wz2u
    @user-zl3le1wz2u 3 месяца назад

    Kesi za serikali zinafunga wananchi wake zichunguzwe sio kumsubiri Makonda.Mkuu wa mkoa, Mkuu wa wilaya, Waziri mkuu, Makamu wa rais na Mbunge ni jukumu lenu mwananchi si mtumishi wa umma na kama ni michango serikali usilazimishe kwani imeshindwa kabisa kilimo kukifanya kuwa uti mgongo wa Taifa mwananchi huyu afanyeje?. Mahakimu wetu wawe waelewa

  • @user-nu2em5rt7j
    @user-nu2em5rt7j 3 месяца назад

    Kwaredhima

  • @DianaWilawila
    @DianaWilawila 3 месяца назад

    Mwamba

  • @user-xz8tb3vh6l
    @user-xz8tb3vh6l 3 месяца назад

    Eee

  • @hafsamnenga1942
    @hafsamnenga1942 3 месяца назад

    Rais ajae 2030

  • @user-gw7fu9pu7d
    @user-gw7fu9pu7d 2 месяца назад

    May the lord be with you makonda

  • @JosephMhaiki-ld7rn
    @JosephMhaiki-ld7rn 3 месяца назад

    Nilikichukia chama cha Ccm kutokana na kero nzito za wananchi. Sasa kwakazi hii unayoifanya mheshimiwa Paulo Makonda , inaubariki sana Moyo wangu Mungu naazidi kukupa afya njema na uhai mrefu ili uzidi kuwasaidia wananchi wenye majeraha ya moyo .

  • @user-nc3on3hg2e
    @user-nc3on3hg2e 3 месяца назад

    J

  • @honoratamafala6968
    @honoratamafala6968 3 месяца назад

    Jibu la hayo yote ni katiba mpya na kufuata sheria tuuuu.

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 3 месяца назад

    MIMI NINAOGOPA SANA , INA MAANA SERA YA CCM NI KUTULETEA MIGOGORO NA MWISHO WANAKUJA KUTUCHEZESHA SINEMA?