Makonda mungu akupe mwisho mwema ila ulipotokea nyuma ulikua mtu mwenye jeur na kiburi Sanaa ila kabla hujafa uombe radhi ulio wakosea nyuma ila saiv ww mtu poa Sana Tena mtu wa kuigwa
Toka enzi za mwalimu Nyerere Tz ina matatizo nakumbuka wakati ule kulikuwepo shirika la STC wananchi wakabadilisha wakasema sasa tule chetu shirika likafillisika kwa hiyo hakuna uzalendo c serikalini wala polisi wala wananchi lini watanzania watakuwa waaminifu?
Fanya vitu nakuaminia mkuu wewe na waziri wa Alizi kama nyinyi wenyewe Amjui CCM inakua vizuri kutokana na wewe makonda waziri wa Arizi na waziri mkuu mambo mnayofanya mama samia 2025 Anachukua uraisi mia.mia ❤❤❤☝🤲😂😂🙏✊👏👏👏
Mh Mimi ni mwenyekiti ccm tawi nilishawai kuchomewa nyumban sijawahi ona msaada toka wilayan au mkoa au taifa hadi nikakata tamaa mh nimepoteza vitu vingi sana mh Naomba msaada japo nimejenga jengo la ccm tawi Kukatia bima wana nchi kugawanya kuku kata kijij kuchimba mabarabara hawajanikumbuka kunifuta machozi jaman dah Jarman naomba nisaidieni
Hapa shida ni serikali kuruhusu wakurugenzi kuhama bila kuweka mambo yao sawa, kwahyo mkurugenzi mpya akija anajificha kwenye kichaka cha ugeni ndan ya halmashaur......hili ni tatzo kubwa mno
WANA CCM MWISHO WA DUNIA IKO KARIBU SANAAA, ACHENI UNAFIKI NA MSJUNGU. ACHENI KUENDEKEZA RUSHWA NA TAMAA YA PESA. MOTOOO WA AHELA UTAWAMALUZA . MSIKILIZENI MAKONDA ANAEISHI NA MUNGU.
Mahakama zipo na mahakimu wapo lkn kama huna hela hupatikana haki ndio maana wanakuja kwamakonda unapata haki yako bila gharama. Makonda ili kazi uliyoifanya idumu iwe kwenye shroa maana ukiondoa vitarud vyote
Kesi za serikali zinafunga wananchi wake zichunguzwe sio kumsubiri Makonda.Mkuu wa mkoa, Mkuu wa wilaya, Waziri mkuu, Makamu wa rais na Mbunge ni jukumu lenu mwananchi si mtumishi wa umma na kama ni michango serikali usilazimishe kwani imeshindwa kabisa kilimo kukifanya kuwa uti mgongo wa Taifa mwananchi huyu afanyeje?. Mahakimu wetu wawe waelewa
Nilikichukia chama cha Ccm kutokana na kero nzito za wananchi. Sasa kwakazi hii unayoifanya mheshimiwa Paulo Makonda , inaubariki sana Moyo wangu Mungu naazidi kukupa afya njema na uhai mrefu ili uzidi kuwasaidia wananchi wenye majeraha ya moyo .
Mungu akubariki sana Makonda.
Makonda umeibeba Tanzania ukiomba kura za urais tunakupa umeupiga mwingi ndani ya tanzania
Makonda akigombea urais anapewa
Daaaa viongozi mbon wako hivo wananyanyasa sana wanachi
Makonda mungu akupe mwisho mwema ila ulipotokea nyuma ulikua mtu mwenye jeur na kiburi Sanaa ila kabla hujafa uombe radhi ulio wakosea nyuma ila saiv ww mtu poa Sana Tena mtu wa kuigwa
Wacha Utoto, wabongo hawa endi bila shuruba
Uko vizuri makondaaa
Kweli MH unapiga Kazi Mama Samia kakupatia kuweka hapo unetukumbusha Sana Rai's Magufuli
Huu uongozi utafika Kenya lini huku ndio Kuna shida mbaya sana
Mungu akusaidie makonda 1:16
ila wewe hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Makonda 2030
Hongera sana Mr makonda
Nikipata pesa nitakupatia ununue darubini ili uweze kusoma mabango yaliyombali. Kazi iendelee comrade Makonda
mama akimaliza omba urais
One komando makonda ast rais wangu mm samia
Kwa hivo wataalam wanayumbisha viongozi,wizara ya kilimo ikatafute eneo lingine
Muheshimiwa warudishiwe eneo lao Wana nnchi dhulma hiyoo
Toka enzi za mwalimu Nyerere Tz ina matatizo nakumbuka wakati ule kulikuwepo shirika la STC wananchi wakabadilisha wakasema sasa tule chetu shirika likafillisika kwa hiyo hakuna uzalendo c serikalini wala polisi wala wananchi lini watanzania watakuwa waaminifu?
Ni kuzidi kumuomba MUNGU ,cku Moja uaminifu utaonekana ktk jamii.
Makonda oyeeeeeee
Huna imani hiyo
Tatizo ni Bashe hapo hataki kupata ushauri Kwa yeyote
Wakurugenzi mbona vituko jamani
Makonda mungu akubariki,, akupe Maisha marefu kwa kuisimamia haki
Kutoka🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 nakubali sana👌👌👌
Fanya vitu nakuaminia mkuu wewe na waziri wa Alizi kama nyinyi wenyewe Amjui CCM inakua vizuri kutokana na wewe makonda waziri wa Arizi na waziri mkuu mambo mnayofanya mama samia 2025 Anachukua uraisi mia.mia ❤❤❤☝🤲😂😂🙏✊👏👏👏
Uwishi maisha marefu
Huyo dada anahibu kwa dharahu yeye ndio tatizo hapo mbeya na sibure anamtu anaye mshika mkono
Kweli kaka
Safi sana
Mh Mimi ni mwenyekiti ccm tawi nilishawai kuchomewa nyumban sijawahi ona msaada toka wilayan au mkoa au taifa hadi nikakata tamaa mh nimepoteza vitu vingi sana mh Naomba msaada japo nimejenga jengo la ccm tawi Kukatia bima wana nchi kugawanya kuku kata kijij kuchimba mabarabara hawajanikumbuka kunifuta machozi jaman dah Jarman naomba nisaidieni
Mimi sie ccm lakin kuhusu makonda ni kiongozi sahihi hapaswi kuwa mwenezi tu mungu atujaalie tupate rais mweny urafiki na wananchi kama mh.makonda
🙏
😂😂😂😂😂 nice makondaaaa respect
Hapa shida ni serikali kuruhusu wakurugenzi kuhama bila kuweka mambo yao sawa, kwahyo mkurugenzi mpya akija anajificha kwenye kichaka cha ugeni ndan ya halmashaur......hili ni tatzo kubwa mno
Anaye futa hati ni Raistu Hicho kinacho fanyika hapo ni Maneno yasio na Masiko huyo anaye simama hapo Hana Maamuzi
WANA CCM MWISHO WA DUNIA IKO KARIBU SANAAA, ACHENI UNAFIKI NA MSJUNGU. ACHENI KUENDEKEZA RUSHWA NA TAMAA YA PESA. MOTOOO WA AHELA UTAWAMALUZA . MSIKILIZENI MAKONDA ANAEISHI NA MUNGU.
Makonda is contracting his government
Jamaani hivi mahakama hazipo
Mahakama zipo na mahakimu wapo lkn kama huna hela hupatikana haki ndio maana wanakuja kwamakonda unapata haki yako bila gharama. Makonda ili kazi uliyoifanya idumu iwe kwenye shroa maana ukiondoa vitarud vyote
Himeland
Onger
Homeland
Hayo malalamiko mengi nî juu ya watendaji wengi ni wa ccm nini tafsiri yake?
Tunawaombea
Kipenya umepotea kabisa Utarudishwa tena gerezani weweMkugenzi ni Mkubwa sana una Mdhalilisha!!
Kesi za serikali zinafunga wananchi wake zichunguzwe sio kumsubiri Makonda.Mkuu wa mkoa, Mkuu wa wilaya, Waziri mkuu, Makamu wa rais na Mbunge ni jukumu lenu mwananchi si mtumishi wa umma na kama ni michango serikali usilazimishe kwani imeshindwa kabisa kilimo kukifanya kuwa uti mgongo wa Taifa mwananchi huyu afanyeje?. Mahakimu wetu wawe waelewa
Kwaredhima
Mwamba
Eee
Rais ajae 2030
May the lord be with you makonda
Nilikichukia chama cha Ccm kutokana na kero nzito za wananchi. Sasa kwakazi hii unayoifanya mheshimiwa Paulo Makonda , inaubariki sana Moyo wangu Mungu naazidi kukupa afya njema na uhai mrefu ili uzidi kuwasaidia wananchi wenye majeraha ya moyo .
J
Jibu la hayo yote ni katiba mpya na kufuata sheria tuuuu.
Katiba mpya ni ujinga
MIMI NINAOGOPA SANA , INA MAANA SERA YA CCM NI KUTULETEA MIGOGORO NA MWISHO WANAKUJA KUTUCHEZESHA SINEMA?
Hujajierewa