Bila shaka siesambu hasara Kwa bundles zangu kumsikilinza huyu kiongonzi makonda, hekima na huruma ananzo Kwa wanyonge, Yesu akulinde, unaishi Kwa makusundi yake, Kenya tungempata kiongonzi kama nawewe mambo yangelainika.❤
Mheshimiwa makonda kitendo cha huyo bwana kuendelea kujenga kunaonyesha wazi kuwa mhusika wa kupotea kwa huyo mtu kunamhusu mgovi wake.Kama kafa mhusika atwambie huyo mtu basi aliyendeleza kujenga atwambie ushindi wa kesi hiyo aliupata wapi?
Makonda unaweza usigope wapigwe huyo matayo nyoko zake na huyo mtendaji na huyo rpc aliye kuwepo wapigwe na wawekwe ndani matayo mjinga sana kumbe ndo dili zake za kifala eti ni tajiri tunawatoa watoto wetu huko kwenye hilo shule lake na kijinga
muheshimiwa MAKONDA zidi kuwapigania wanyonge usiogope chochote MUNGU yupo pamoja nawe
Kweli hii nchi imefikia pabaya sana kwa hawa watendaji majambazi
Askari wanausika na wanajua vizuri
Bila shaka siesambu hasara Kwa bundles zangu kumsikilinza huyu kiongonzi makonda, hekima na huruma ananzo Kwa wanyonge, Yesu akulinde, unaishi Kwa makusundi yake, Kenya tungempata kiongonzi kama nawewe mambo yangelainika.❤
Makonda unawakati mgumu unayofanya sio we peke yako yupo Mungu juu yako piga kazi,pambana Mungu na watanzania wanyonge wako nyuma yako,
Mheshimiwa makonda kitendo cha huyo bwana kuendelea kujenga kunaonyesha wazi kuwa mhusika wa kupotea kwa huyo mtu kunamhusu mgovi wake.Kama kafa mhusika atwambie huyo mtu basi aliyendeleza kujenga atwambie ushindi wa kesi hiyo aliupata wapi?
Ni huruna kubwa sana Sada anamtafuta bwana aliyetekwa na kupotea mpaka leo hii haijulikani bwana yuko wapi uchunguzi kwa Familia
Makonda unawaliza watanzania wa hali ya chini ndio na walio wengi wanyonge wanaimani na ww,na wanakutegemea ww,usirudi nyuma pambana
Pole sana makonda Mungu akusaidie
John chacha manayake kashafaliki??? Nasikia RPC unamwita marehemu RPC masunzu yote Anajua Ni mshitakiwa vilevile 😂
Kama huyo bwana alitekwa ndani ya ofisi ya serikali, kwanini hao watendaji wasihojiwe? Na je kwa nini hawakulazimisha watekaji kujitambulisha???
Marehemu tena
Utamwitaje marehemu, wakati
Amepotea sasa kama wamekufa mwili uko wapi?
At huyu mama askari atanajua kwanini amwite marehemu wakati mwili haujapatikana?
Daaah makonda MUNGU akubarik
marehemu John chacha natamani kucheka ila inahuzunisha😢
Mambo ni mazuri kwa makonda
Nimelia 😢😢
makonda mungu akutunze
MUNGU aturehemu
Lmk
Mpangishaji Shamba akamatwe na ahojiwe kupotea kwa hiyo Bwana
Akamatwaje na waKati magufuri hayupo
Makonda unaweza usigope wapigwe huyo matayo nyoko zake na huyo mtendaji na huyo rpc aliye kuwepo wapigwe na wawekwe ndani matayo mjinga sana kumbe ndo dili zake za kifala eti ni tajiri tunawatoa watoto wetu huko kwenye hilo shule lake na kijinga
Da😢
😢😢
😮😮😮😮😮😮😮
Unalia Nini kaka yangu ndy selikali yenu mliyounda unasubilu Nini makonda kuwaunga mkono upizani hicho ndicho kilio Cha upinzani