''NKURUNZINZA'' WA IRINGA BALAA KATAPELI NUSU YA KIJIJI, APIGIWA SIMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 мар 2020
  • Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi ameendelea na Ziara yake Mkoani Iringa na Hapa amefika katika kijiji cha Nduli na Kuongea na Wananchi wa Kijiji hiko na kupokea na kero mbalimbali kutoka kwa wenyeji wa Kijiji hicho hapa amekutana na Nkurunzinza wa Iringa unaambiwa ametapeli nusu ya kijiji.

Комментарии • 173

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 4 года назад +20

    Nahata wewe milad ayo tunakushukru kwa kutuletea habar lazima tukufikishiye shukran zetu kwa taarifa hizi

  • @edwindaniel7306
    @edwindaniel7306 Год назад +1

    Miladihayo kazi yako inakubalika kwa waandishi wa habali kwa tanzania ww ni namba 1 maana hutoi habali za uongo nikiona kitu umepost ww huwa naamini asilimia 💯

  • @bonifacepatrick6679
    @bonifacepatrick6679 Год назад +1

    Mungu akubaliki sana maana unaupiga mwingi viongozi wenye Welidi mkubwa na baba na wewe Mungu akupiganie sana kwenye kazi yako hiy

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 4 года назад +4

    Safi sana kwahii kazi ndugu yangu mkuu wa mkoa ally hapi mungu atakulinda naataendelea kukulinda

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 года назад +5

    Muheshimiwa Mchapa Kazi Barikiwa Sana, Endelea Kutetea Wanyonge.

  • @mcrootsav7712
    @mcrootsav7712 4 года назад +2

    Hii changamoto inaonekana kuota mizizi hapo ulipo...yaani mwenyenzi mungu akujaalie kibali zaidi na zaidi Mh mkuu wa mkoa...kazi uifanyao ni ngumu na nzitoo mmno

  • @e.j.starelia5672
    @e.j.starelia5672 4 года назад +5

    Ally Happy God bless you a lot unafanya vyema!!!! Zao la Magu hili nimelipenda hakika

  • @mujahidinaathumani9751
    @mujahidinaathumani9751 3 года назад +8

    Fanya kazi yakuwatetea nakuwakomboa nakurudidua haki zawanyonge, Amini utapewa daraja na kivuli Cha Arshi siku ambayo hakitakuwa nakivuli

  • @datiabdallah6012
    @datiabdallah6012 4 года назад +12

    Napendaga kusikiliza kesi za iringa🤣

  • @mujahidinaathumani9751
    @mujahidinaathumani9751 3 года назад +2

    Kiongozi mwadilifu atapata neema ya kivuri Cha Arshi siku hiyo ngumu isiyokuwa nakivuri, Mungu akupe maisha marefu, Nimekuamini kiongozi, heshima kubwa kwako

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Год назад

    Mkuu wa mkoa usitoke ilinga unyooshe watu .nakupenda bule baba kazi nzuri

  • @mustafamandindi6434
    @mustafamandindi6434 22 дня назад

    Nakukubali muheshimiwa kwangu mm nakuita mwamba ALLY HAPI

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 4 года назад +4

    Wewe nkirunzinza wewe, mbona hatari Sana hii , wee nkirunzinza wee Ni nomaa sanaa

  • @denismabubu291
    @denismabubu291 4 года назад +2

    Hongera mkuu wa mkoa unajali watu wako h sana

  • @nurunzisabila9
    @nurunzisabila9 25 дней назад

    Kumbe waku wa mikoa wanaweza kufanya kazi nzuli kama hizi kwa wananchi wao Mungu wa mbinguni awabariki

  • @fredyjohn8548
    @fredyjohn8548 4 года назад +3

    Mkuu wa mkoa uko vizur Sana

  • @neemampiluka9267
    @neemampiluka9267 3 года назад +1

    Safi mkuu wakoa wairinga nakupenda unajiamini Sana inapendeza sana

  • @jacklinejosam3713
    @jacklinejosam3713 8 месяцев назад +1

    Ningekuwa iringa, ningejikuta nmdai namimi😂😂😂

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 4 года назад +2

    Gud saana

  • @justinemahondo9396
    @justinemahondo9396 4 года назад +2

    Asante. Mkuu

  • @zephaniajosia1077
    @zephaniajosia1077 4 года назад +8

    mamaee devd mwisa kiboko ya wahehe ......alijuaa wahehe ukiwazurumu wanaenda kujinyonga😂😂😂😂😂😂

  • @safari5774
    @safari5774 Год назад

    Mungu amusaidie uendelee na kazi nzuri

  • @veronicamchilo8552
    @veronicamchilo8552 4 года назад +5

    Nkurunzinza mungu anakuona 😂😂

  • @georgiaruhinda1704
    @georgiaruhinda1704 2 года назад

    Namshukulu Mungu wa Ally Happy akulinde akutunze tunakuhitaji ktk ngazi ya juu zaidi

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 4 года назад +3

    Wa Kwanza , hongera Sana kwa taarifa

  • @hurumawonders475
    @hurumawonders475 4 года назад +5

    Mmh baba mkuu was Mkoa kwko nmeinua mikono!!nmekuelewa mkuu MUNGU AKULINDE SANA KWA YOTE

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 4 года назад +5

    Wallahi ata sichokagi kutazama izi habari maana kuna kuchekesha babu koti lake jamaa anataka akapigie deki jamaa anazarau kinyama

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel7 3 года назад +1

    Jamani

  • @shukrimohamed2324
    @shukrimohamed2324 4 года назад +2

    Mkurunziza n jipu akiii... High 5 milard ayo...

  • @hamzabagilente2118
    @hamzabagilente2118 Год назад

    Ali hapi mtetezi wa wanyonge mungu akujalie Kila laheli

  • @alumonkisinda4574
    @alumonkisinda4574 4 года назад +4

    Mkuu Wa mkoa mchapa kazi nakukubali sana bwana hapy hapo tatizo ni police rushwa nyingi

  • @ndinagweandendekisye3722
    @ndinagweandendekisye3722 4 года назад +5

    Huyo David nahisi ni mchawi sio bure! Ubabe gani huo?

  • @rajabmshengeli1624
    @rajabmshengeli1624 4 года назад +6

    Part 2 plzzz tumsikie na David Mwisa

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 4 года назад +3

    Huyo kwisa ni mchawiii,matapeli ŵengi huwa wachawi.anawarubuni watu kwa njia ya nguvu za giza

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 4 года назад +3

    Mheshimiwa Ally Happy tunakuombea Mungu akupe ulinzi wake

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 2 года назад +1

    Hao police wanajuana na Nkurunzinza🏃🏃🏃🏃🏃

  • @Boaz22
    @Boaz22 4 года назад +12

    Huyu David mwisa ni corona kabisa🤣🤣😂😂

  • @nyangehassan902
    @nyangehassan902 4 года назад +1

    Duh! Jamaa ana dharau anaomba koti apigie deki

  • @mcrootsav7712
    @mcrootsav7712 4 года назад +1

    Vile nakuombea mwenyenzi mungu azidi kukujaalia afya njema na kukubalika zaidi na zaidi mbele ya wananchi wako.na wengine pia....huwa sitamani kupishana na hizi video za kazi zako...unaibua sana changamoto za wananchi wa jimbo lako.

  • @sharoombay8997
    @sharoombay8997 4 года назад +2

    Anyanganywe kwanza bunduki.

  • @fredyjohn8548
    @fredyjohn8548 4 года назад +3

    Tunataka viongozi Kama hawa

  • @DenisRamadhani-mg1gu
    @DenisRamadhani-mg1gu 2 месяца назад

    kuna wasio juwa hata kusoma mambo ya polisi wanaogopa maana hawajui hata kusema lolote wanaona tu bora wanyamaze lakini wanaugulia maumivu ya kunyanyaswa na hao watu wabaya wasio kuwa hata na hofu ya MUNGU " nawapenda sana viongozi wanao jitambua wasiokuwa na tamaa

  • @microssadamu7556
    @microssadamu7556 4 года назад +3

    Naona kama movie yani!! Hivi haya mambo bado yapo Tanzania??

  • @ConfusedBirdNest-np2vn
    @ConfusedBirdNest-np2vn 3 месяца назад +1

    ALLY HP CHAPAKAZI BABA

  • @sasatv1484
    @sasatv1484 4 года назад +3

    Sijui namimi namdai nkurunziza? Ngoja nikumbuke

    • @hasnasaif1075
      @hasnasaif1075 4 года назад

      Hahaaaaa kumbuka happy bado yupo

  • @angeljasson4376
    @angeljasson4376 4 года назад +2

    Mkuu Mungu akupe afya njema na maisha marefu

  • @paulomartini7611
    @paulomartini7611 4 года назад +1

    Kazi ipo kweli hapo cyo mchezo

  • @nyangehassan902
    @nyangehassan902 4 года назад +2

    Wahehe, watani zangu mnakwama wapi?

  • @user-pe8hj3ze4y
    @user-pe8hj3ze4y 3 месяца назад

    Huyu mkuu wa mkoa nakubar sana anachapakazi isee

  • @dianakakala3779
    @dianakakala3779 Год назад

    Barikiwa baba

  • @eliaskahory7116
    @eliaskahory7116 3 месяца назад

    Huyo jamaaa Duuu ni hatali saana.

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Год назад

    Ndugu Ally kwakweli uko vizuri Sana Kama wakuu wote wa mikoa wangefanya kazi kama wewe duh! Tanzania ungekuwa mbali

  • @francismakuno8643
    @francismakuno8643 2 месяца назад

    Nkuruziza mgemtenda anachotenda ngombe zenu kumchinja😂😂

  • @malayikanepo788
    @malayikanepo788 3 года назад +1

    Nkurunziza wa Burundi kkkkkkk

  • @kevinkimaninaphtal1498
    @kevinkimaninaphtal1498 2 года назад

    Akika alikuwa rais wa marais mungu akailaze roho yake mahali pema peponi

  • @frankdeogratius881
    @frankdeogratius881 4 года назад +1

    Huyu mwisa🙌🙌🙌🙌🙌

  • @tindokamuti8142
    @tindokamuti8142 4 года назад +1

    koti nikapigie deki hahaha kiburi cha hali ya juu

  • @reginaosward6170
    @reginaosward6170 3 года назад +4

    Mungu akubariki kiongozi,viongozi mnaona shida za wananchi msipoenda mtajuaje shida zao

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 4 года назад +4

    camera iko vzr sana milardayo.salout.

  • @mussaboazi7782
    @mussaboazi7782 Год назад

    mird nakubar sana bg

  • @mohamedschaeublin7374
    @mohamedschaeublin7374 Год назад

    Ndugu Muheshimiwa
    Mungu atakuepusha na Mitihani ya Dunia na Wenye dhuluma kwa watu Duni kiuwezo, watokee viongozi mfano wako kwa kila Mkoa na Idara kutakua na maendeleo Bora yakijamii, nakila kiongozi na mlanguzi atachunga maisha, Ahsante Ndugu Ally
    Wewe unaenda na mamlaka ya Mola Kisheria na Dini zinavyo ruhusu 😍🙏🙏🙏

  • @rajabumgogwe5312
    @rajabumgogwe5312 3 года назад +1

    Umesha pewa chako

  • @issabakari1916
    @issabakari1916 4 года назад +1

    Hahahaha hata deki lako naomba nipigie deki, nimelipenda naomba nipigie deki, hahahahahaha dah hakiamungu wallah tuhurumie waja wako inshaallah

  • @salmadalaquimane2364
    @salmadalaquimane2364 4 года назад

    Wallah nme cheka sana koti lako amelipenda apigie deki

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Год назад

    Nampenda mkuu wa mkoa mimi jamani .anafanya kazi kwa weledi kabisa

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 4 года назад +2

    Zamani watu kama hawa walikuwa ni wengi.

  • @esterelias8189
    @esterelias8189 4 года назад +1

    Mapengo...

  • @reemangoko2550
    @reemangoko2550 4 года назад

    Hee jamani David kashindikana hataree ni mchawi huyooooo

  • @woteonlinetv644
    @woteonlinetv644 4 года назад +1

    njaa tup yani

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Год назад

    Huyo devi jamani

  • @jeofreyshega7139
    @jeofreyshega7139 2 года назад

    Mgu akujarie mheshimiwa

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 4 года назад +2

    piga uyoooo

  • @andrewlugome6514
    @andrewlugome6514 4 года назад +1

    Mkuu Wa mkoa nakupa up kwa kufanyakazi macho yetu yako kwako

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 Месяц назад

    😂😂😂😂Nimechek sana apo ku koti😂😂

  • @lukaseliasobwolo7498
    @lukaseliasobwolo7498 3 года назад

    Duuu kiongozi wasaidie hao wanyonge

  • @hamisimkumba10
    @hamisimkumba10 4 года назад +1

    Pwani akuna kitu

  • @DenisRamadhani-mg1gu
    @DenisRamadhani-mg1gu 2 месяца назад

    MUNGU mkubwa " viongozi kama huyu ndio wanahitajika " nchi yenye furaha inajengwa na hawa " nawapongeza na kuwashauri wasiogope kufa watupambanie hadi tone la mwisho la damu kuwatetea wanyonge "

  • @alvinsafi2733
    @alvinsafi2733 4 года назад +2

    Daudi Mwisa. ..huyu anaonyesha anatisha kama corona huko Iringa. .mjukuu wa mkwawa nini au anatokea familia za chief ? Mbona hivi huyu jamaa haogopi kifungo

  • @mandaruukali2374
    @mandaruukali2374 Год назад

    Huyo hatali akamatwe

  • @hamadiathumani5018
    @hamadiathumani5018 4 года назад +1

    Jamani watu zaidi ya mia moja kijijini apo uyo david ni nini.????

  • @andrewlugome6514
    @andrewlugome6514 4 года назад +2

    Mkuu tunaomba wapo wengi waliotapeliwa wakifika wasikilize walikata taama anatishia anasilsha

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 Год назад

    Anayemuita mwenzie mapengo nayeye ana mapengo🤣🤣🤣kweli watu wenye kasoro ndo huwa mstari wa mbele kupigia kelele kasoro za wenzie

  • @davidwambura5915
    @davidwambura5915 4 года назад +2

    Huyo jamaa anachafua Jina la David mbona akina DAVID hatupo hivo.

    • @cristerfelly933
      @cristerfelly933 4 года назад

      Hahahaaaa pole akina David otee

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 3 года назад

      Huyo Devi ni mtu wa Aina gani mpotezeni piga Shaba aondoke kwenye uso dunia atawasumbua Sana wananchi Kwanza ni mchawi huyo huyo mbabe wenu

  • @winfridmsindo984
    @winfridmsindo984 4 года назад +1

    Huyo devi ni tatizo kubwa sn

  • @nyamangaking6608
    @nyamangaking6608 3 года назад +2

    Huyu mkuu wa mkoa ni jembe,kweli JPM ameacha muongozo sahihi,watu waliona JPM alivyopendwa na wananchi kwa kazi yake njema.baadhi wanapita mle mle kwenye njia ya JPM

  • @happyalex2904
    @happyalex2904 4 года назад +1

    Mkuu wa mkoa hy aje agombee urais

    • @hamismponzi5320
      @hamismponzi5320 2 года назад

      Mkuu pambana nakuandaliakukuchukuria fom2025uwnyoshemataperi

  • @paulondiek1345
    @paulondiek1345 4 года назад +2

    This is really atrue leader.

  • @domimasawe8674
    @domimasawe8674 Год назад +1

    Ndugu mkuu wa mkoa kagombee urausi kura yangu chukua wewe na magufuli ni kitu kimaja

  • @user-vh3yh2ec8r
    @user-vh3yh2ec8r 8 месяцев назад

    Kwasababu anatembea na silaa

  • @mariamariam9239
    @mariamariam9239 4 года назад +1

    Tapeli hyooo

  • @erickmatius6703
    @erickmatius6703 4 года назад +1

    David Mwisa

  • @edwardnamakonde156
    @edwardnamakonde156 Год назад

    Stail ya mwenda zake kwa sasa ........?

  • @leahavyarimana3731
    @leahavyarimana3731 4 года назад +2

    Kwahio rais wa burundi nkurunzinza ndo mbaze

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 4 года назад +2

    Korona ikiingia Tanzania tumekwisha. Watu wanajichokonowa mapuwa. Pengine mikutano isimamishwe mpaka Huu ugonjwa upite.

  • @azizaz1628
    @azizaz1628 4 года назад +1

    We baba umechanganyikiwa maana ya nkurunziza ni ubabe! 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 4 года назад +2

    Watu hawaogopi dhambi ya dhulma

  • @beautylicious6165
    @beautylicious6165 4 года назад

    David✋✋✋😅

  • @deshuaniton698
    @deshuaniton698 4 года назад +1

    Mutende aki asisumbuwe watu wakose laa kwasabu yako jaman asitese wtu

  • @yolakahmathews6913
    @yolakahmathews6913 4 года назад +6

    3:06 Acha kuchokonoa pua wewe Coronavirus ishatua bongo!

  • @keitshao5692
    @keitshao5692 4 года назад +1

    Mwitaa sio pw