RC HAPI APIGA SIMU: ''KWANINI HUJAJA KWENYE MKUTANO WANGU''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025

Комментарии • 158

  • @nasibujuma6937
    @nasibujuma6937 3 года назад

    Hongera sana Ally Hapi . Natamani ungekuwa katavi

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 2 года назад

      Usiwasemee Wanakatavi ila muite aje awe mkuu wa kaya yako wewe

  • @mr.maulidmahmoud1526
    @mr.maulidmahmoud1526 3 года назад +1

    Anaweza huyu jamaa

  • @ameenaabdood2974
    @ameenaabdood2974 3 года назад +1

    Safi baba nakupenda bila ghalama yn unamakavu atr

  • @lugob5050
    @lugob5050 5 лет назад +1

    [2/17, 17:25] Juleyza: ruclips.net/video/2HPyExJg2bg/видео.html
    [2/24, 16:22] Juleyza: ruclips.net/video/I1GNPwjNy2Y/видео.html👆👆👆👆👆👆👆👆👆🔥🔥🔥🙏🙏🙏🔥🔥🙏

  • @JohnFrancis-t5g
    @JohnFrancis-t5g 2 месяца назад

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @victoriastephano4075
    @victoriastephano4075 3 года назад +1

    Uyo mama anaonekana jeuri

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 5 лет назад +3

    Uyo mama ni mpanaaaa hahahaha huhuhuhuhuhu

  • @SalimMajidi-jc1bq
    @SalimMajidi-jc1bq Год назад

    Muhuni

  • @Jamie-zp7bb
    @Jamie-zp7bb 3 года назад +1

    SAFIII!!! NAONA MAGUFULI VERSION YA UZALENDO.

  • @nehemiambembela442
    @nehemiambembela442 5 лет назад +2

    Yaaaan #mpakaaaa mnyoookeeee mwaka huuuu @hapi

  • @josephgregory2162
    @josephgregory2162 5 лет назад +3

    Tutafika tuuu 🤝

  • @bonimasero649
    @bonimasero649 3 года назад +1

    Samia akuone unafaa kua mbuge

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 2 года назад

    9 NA 10 WEWE KIJANA NI MCHAPAKAZIII HASWAAA ILA WATANZANIA SIE KOROSHOOO NI KUBWAA SANA

  • @kinyeletv313
    @kinyeletv313 5 лет назад +10

    Huyu Dada wa pembeni kwa mkuu wa mkoa yaan mpana kweliii macho yake yako juu juu

  • @juliansjuicebarmalindi1156
    @juliansjuicebarmalindi1156 3 года назад +1

    Huyu anaweza kumrithi magufuli Peter from kenya

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas3517 3 года назад

    Ongera mama kwa ujasili huo swali la kushtukiza uwa ni kazi sana kulijibu ila we dada wa pembeni nae ni tatizo tupu ila jua siku yako pia ipo

  • @jessicarasigu2220
    @jessicarasigu2220 4 года назад +3

    Mungu wangu viongozi Kama hawa siwangepatikana ata uku KENYA!!!!wa kenya tumiumia

    • @mweyoms5548
      @mweyoms5548 3 года назад

      Huko kwenu hamna Rais.Ni 'figure' tu.Mabeberu ndio wenye Urais.

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 2 года назад

      @@mweyoms5548 nashangaa kuona watu wanapenda kufugwa kama mbuzi tu eti hata kujieleza hapa hakunna

  • @rabielulomi8607
    @rabielulomi8607 5 лет назад +2

    Msihadaike na viongozi wanaojitangaza. Hawana uwezo wa kuamsha hamasa na kujenga teamwork spirit. Badala wanauaminisha uma kuwa hawalali kwa sababu ya kazi. Ni bahati mbaya wapo wanaodhani huo ndio umahiri.

  • @truthnafact9081
    @truthnafact9081 3 года назад +2

    Duuuu haya mambo we we kama RC umehimiza hilo jambo?

  • @dazzoofficial469
    @dazzoofficial469 3 года назад +1

    Kazi nzuri Sana hiyo mikopo huwa wanapeana au wanazikuwa nakujikopesha wenyewe

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde1690 4 года назад +3

    Yaani hapi unajua umekaa na Dada huyo hapo mbona kama kijipu hivi

    • @georgekayamba2651
      @georgekayamba2651 4 года назад +1

      Wewe mkuu wa mkoa acha sifa za kipumbavu inataka kick

  • @jonashusen950
    @jonashusen950 4 года назад +2

    Huyo mama hatulii et

  • @mohammedmuzaher1136
    @mohammedmuzaher1136 4 года назад +5

    This is wy i love Tanzania 100%

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 4 года назад +2

    Sawa baba uzi huo huo na mungu awe nawe

  • @aloimaray1769
    @aloimaray1769 3 года назад

    Mkuu wa wilaya ndiye alifanya ashughulikie raia wake

  • @georgelupembe8672
    @georgelupembe8672 5 лет назад +3

    ...Mkuuuuu.....anayeulizwa masuala yote ndani ya Halmashauri Ni accounting officer ambaye ni Mkurugenzi na si mkuu was Idara.

  • @k2plusstudio858
    @k2plusstudio858 3 года назад +1

    Kazi kweri hawa wasimamizi hawana huruma na wananchi wanataka watu waikaumu serekari kazi kama hizi muse mnawapa watu wenye uchungu na nnchi na huruma

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile336 5 лет назад +4

    Bora nijiajir

  • @alphaleahibrahim8904
    @alphaleahibrahim8904 5 лет назад +4

    mkuu wa wilaya hamna kitu

  • @saidrajabu9589
    @saidrajabu9589 5 лет назад +2

    Mh heshimiwa anza na huyo uliekuwa nae ana wasiwasi sana washakula hizo hela

  • @fadhili2293
    @fadhili2293 5 лет назад +3

    yani umpe mkopo mtu mwenyewazo tu na hakuna chochote anachofanya afu akishindwa kulipa umgeuke tena kuwa hakuwa makini. mawazo wakati wa kutafuta pesa kila mtu anayo.

  • @barakaowenya3229
    @barakaowenya3229 5 лет назад

    Mh ALlY HAPI uko vizuri

  • @philbertruta2847
    @philbertruta2847 3 года назад +1

    Ndio maana nakuelewaga jaman sio mkuu wa mkoa kaz kukaa ofsin

  • @emmanueleinsteinmuro7306
    @emmanueleinsteinmuro7306 5 лет назад +1

    Safi sana Mkuu.

    • @alexsamwel4637
      @alexsamwel4637 5 лет назад +1

      Hii inadhihirisha uongozi mbovu. Kiongozi mzuri ni yule anayeanza na kujenga timu yake kisha kwa pamoja wanashuka kwa wananchi. Hivi mkuu wa mkoa kweli hajamuelewa Afisa wake, anazidi kumkolomea tu... Hivi hajui kweli adha wanazokutana nazo kwa kukopesha pesa kiholela kama anavyotaka yeye. ? Eti mimi nilikua mkuu wa wilaya, najua. Kwani fedha hizi anashughulikia Mkuu wa Wilaya au Mkurugenzi??
      Kuna haja ya viongozi kujitathmini katika kujenga uongozi bora.

  • @ernestkomba4561
    @ernestkomba4561 5 лет назад +2

    Kama wananchi hawajaanzisha shughuli yoyote ambayo wanahitaji kuiendeleza kwa mkopo na hawana mpango wa wanachotaka kufanya lakini wanatakiwa kupewa mkopo then hizo pesa sio mkopo nizawadi tu.

  • @valenakomba4453
    @valenakomba4453 3 года назад +1

    Hao ndivyo walivyo wakipata vijelimu kidogo tuu basi wanajiona kama malaika. Kazi yao wizi tuu.. Wezi wakubwa hao. Kazi zao ni kunyanyasa Wanawake wenzao.

  • @afrenmgeyekwa8440
    @afrenmgeyekwa8440 3 года назад

    Sheria inasemaje siyo wee mkuu wa mkoa

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 5 лет назад +1

    Dc huyo Dada nmemuelewa sana

  • @abdullahjuma9206
    @abdullahjuma9206 3 года назад +1

    ilikuwa zamani kwa sasa hiyo stahili niyakizamani

  • @kilongofilms
    @kilongofilms 4 года назад +1

    Hahahahaaaa huyo dada apo pembeni kama anahofu

    • @gavanaimrani6777
      @gavanaimrani6777 3 года назад

      Weeee uyo namjua ni Moto wakukalia mbali nimemjua kinondoni nilikua namtania tania

  • @erastokasambala6059
    @erastokasambala6059 5 лет назад +10

    Huyo mama mbona hanautulivu

  • @denisjoel1592
    @denisjoel1592 3 года назад

    Aise yaan mm hata mkuu wa wilaya tarime simfaham km hawa akina happy ndo tunaowahitaj njoo tarime boss utusaidie

  • @jacquelinejohannes386
    @jacquelinejohannes386 5 лет назад +2

    Huyo mama hapo kuria anawadhifa gan

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 4 года назад +1

    Mbn huyo mama anaweka mkono kwenye kit Cha mkuu wa mkoa . anawenge sana

  • @hadjamlkong0851
    @hadjamlkong0851 4 года назад +1

    Tumbua jipi ilo

  • @emmiradorjunior3153
    @emmiradorjunior3153 3 года назад

    Huyo dada wa pembeni hajiamini Kama kapigwa na bomu kichwani..

  • @cecygeorge4443
    @cecygeorge4443 3 года назад

    Mama huyo mmh anahisi atatajwa hapo

  • @abelzablon5977
    @abelzablon5977 4 года назад +1

    Kweli hizo ndo kanuni za utumishi

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 3 года назад

    Moto huu sasa umehamia Tabora.Watendaji wazembe wajiandae

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 5 лет назад +9

    Nawe dada ulokaa hapo pembeni mbona hutulii unawasiwasi wann mara ujikune loo

  • @josephmlela9757
    @josephmlela9757 5 лет назад +2

    hatareeeeee

  • @hassanmalingumu79
    @hassanmalingumu79 5 лет назад +1

    wangepewa elimu na wale wa uchaguzi wa mitaa walokosa sifa kwa sababu ya kujaza fomu vibaya

  • @safarimashingasafarimashinga
    @safarimashingasafarimashinga 2 года назад

    Ilahuyo kiongoz kama magufuri kiukwel ila bastu ninge pata namba yake ninge mpa pongez

  • @JamallyHMlela
    @JamallyHMlela 5 лет назад +11

    Bora nijiajiri serikali yenu kaeni nayo wenyeww

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 3 года назад +1

    Hivi hawa wakurugenz au wakuu wa idara hizo pesa na za kwao ili wakumbatie hivyo

  • @ikramallyikran5212
    @ikramallyikran5212 5 лет назад +3

    Duuuuu yaaan km tangu enzi za baba wa taifa km ingekuwa km hiv hil taifa lingekuwa la mwanzo africa cz lina lasilimali nying sana but too late now

    • @alexsamwel4637
      @alexsamwel4637 5 лет назад

      Hii inadhihirisha uongozi mbovu. Kiongozi mzuri ni yule anayeanza na kujenga timu yake kisha kwa pamoja wanashuka kwa wananchi. Hivi mkuu wa mkoa kweli hajamuelewa Afisa wake, anazidi kumkolomea tu... Hivi hajui kweli adha wanazokutana nazo kwa kukopesha pesa kiholela kama anavyotaka yeye. ? Eti mimi nilikua mkuu wa wilaya, najua. Kwani fedha hizi anashughulikia Mkuu wa Wilaya au Mkurugenzi??
      Kuna haja ya viongozi kujitathmini katika kujenga uongozi bora.

    • @happynesselisha2048
      @happynesselisha2048 5 лет назад

      Naona hamna kumbukumbu kweli. Nyerere had sh tano ilikuwa na kaz.sasa hivi shika mia uone kama inakaz. Halafu mnasema uchumi unapanda

  • @mandegoro9322
    @mandegoro9322 4 года назад

    Duu! Kazi ipo bado. Yaan watendaji bado ni mizigooo

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 4 года назад +1

    Mbn huyo dada Alie kaaa hapo pemben ya mkuu wamkoa anawenge na kitambaa chake alichofunga kama tupak

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 5 лет назад +2

    Ameshitukizwa. Huyo. Mama.

  • @youngsimbawcb1814
    @youngsimbawcb1814 5 лет назад +2

    Duuuh,hatariiiiii

  • @abdulbora812
    @abdulbora812 3 года назад

    Futa yeye kazi

  • @captaincloud7youngpol692
    @captaincloud7youngpol692 5 лет назад

    Ila hawa maafisa maendeleo wa kata sijui mabibi maendeleo wengi chenga sana . mwingine yupo office ya kata Dodoma makulu. Tusaidien kuwaweka sawa

  • @rashidinyegele4077
    @rashidinyegele4077 5 лет назад +2

    Huyo wa pemben mumbeya

  • @husnamahadhi7437
    @husnamahadhi7437 5 лет назад +2

    Huyo mwanamama hapo

  • @saidibakari3440
    @saidibakari3440 5 лет назад +3

    Zile sifa mlizo wafungia wapinzani kwenye uchaguzi WA mitaa

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 2 года назад

      Kwa akili mbovu walizonazo nazo nayo yalikuwa maendeleo kuiba kura

  • @hadijalukasmdeg9987
    @hadijalukasmdeg9987 5 лет назад +6

    huyo mama alieko jirani ya mkuu wa mkowa mbona yuko juujuu kama antena iliyoyumba nyie mmemuelewa?

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 5 лет назад +1

    Ka mama ako kanachungulia cm

  • @jome60
    @jome60 5 лет назад +3

    Huuyu mama alie pembeni mbona hatulii

  • @mariaferick7381
    @mariaferick7381 4 года назад +3

    iii mbwa iiyovaa kilemba mbona inahangaika

  • @amrimzeru2913
    @amrimzeru2913 5 лет назад +1

    Viongozi tuna jambo la kujifunza

  • @deusdeditswebe8930
    @deusdeditswebe8930 5 лет назад +2

    Kila kitu mpaka mjeledi.... ndiyo tutafika

  • @pitargamba9208
    @pitargamba9208 3 года назад

    Huyo aliyopo kushoto mbona kiburi

  • @agneshumry422
    @agneshumry422 4 года назад

    Nimefurahi kusikia hivyo hizo wanagawanaga hao ccm wanaojua kuvaa sare hata huku wapo

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton8268 5 лет назад +2

    Siku inakuja itafaamika tu

  • @jobutunugu4348
    @jobutunugu4348 5 лет назад +3

    Mambo gani hayo? Mkuu wa mkoa tumia busara zako muite ofcn ongea nae

    • @antonynzalalila9282
      @antonynzalalila9282 5 лет назад +1

      sawa kabisa hata kama ni hivyo wakae viongozi kwanza na kuangalia nin mkutano unataka then mambo yaendelee ila now serikali inataka presha kwa watumishi ni sio ufuatiliaji, na kwangu sidahni kama ni busara kufanya hivyo bila kuwa na maandalio ya mkutano wa viongozi wa mkoa au wilaya

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 Год назад

      @@antonynzalalila9282 wamerithi ile tabiaa 🤣

  • @nimrodsigulu2053
    @nimrodsigulu2053 5 лет назад +5

    Sasa mbona wale wa serikali za mitaa hawakupewa elimu kujaza fomu?

  • @samsonmwaipwisi313
    @samsonmwaipwisi313 5 лет назад +2

    Hakuna mtu hapo

  • @jonathanntare4787
    @jonathanntare4787 5 лет назад +2

    Wazee wa Kiki

  • @pierrejackson6865
    @pierrejackson6865 5 лет назад +2

    Sasa mradi ukigoma, mkopo utalipwa vipi?. Utapewaje mkopo kama huna source ya kukufanya ulipe(kua na kazi flani)? Kwakweli nashindwa kuelewa kosa la uyo mama scola. Mana anachofanya ni taratibu hata za utoaji mikopo bank.

    • @alexsamwel4637
      @alexsamwel4637 5 лет назад +1

      Hii inadhihirisha uongozi mbovu. Kiongozi mzuri ni yule anayeanza na kujenga timu yake kisha kwa pamoja wanashuka kwa wananchi. Hivi mkuu wa mkoa kweli hajamuelewa Afisa wake, anazidi kumkolomea tu... Hivi hajui kweli adha wanazokutana nazo kwa kukopesha pesa kiholela kama anavyotaka yeye. ? Eti mimi nilikua mkuu wa wilaya, najua. Kwani fedha hizi anashughulikia Mkuu wa Wilaya au Mkurugenzi??
      Kuna haja ya viongozi kujitathmini katika kujenga uongozi bora.

    • @pierrejackson6865
      @pierrejackson6865 5 лет назад +3

      @@alexsamwel4637 yani upo sawa kabisa. Na mimi uo ni mtazamo wangu. Enzi ya saivi viongozi wamekuwa wanalewa sana madaraka akiwemo uyo RC wa iringa. Yani imekuwa kiongozi ndo mjuaji wa kila kitu. Yani ukihojiwa hadharani, ata ukijieleza vizuri watatafuta namna ya kukufanya uonekane na kosa ili yy aonekane mjuaji. Mara ohh sijui nimekua mkuu wa wilaya. Yani hii hali inakera sana. Sana.

    • @eliudymhapu1750
      @eliudymhapu1750 5 лет назад

      @@pierrejackson6865 kiongozi unatakiwa uwa busti wananchi wako sio eti hawana sifa.

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 5 лет назад

      Acha uongo, mbona wanafunzi vyuo vikuu wanakopeshwa na hawana chanzo chochote cha kuwafanya walipe??? Mtazamo finyu huo.

    • @pierrejackson6865
      @pierrejackson6865 4 года назад

      @@uledimtumwa2406 nahisi elimu yako fupi sana. Mkopo kwenye kusoma tayari upo ktk mfumo wa sharti. Ambalo ni kwamba kuupata lazima uwe shuleni na uwe umefaulu advance. Na ndo mana sio kila mtu anapata mkopo. Kingine uyo mwanafunzi anapopewa mkopo, serikali tayari inafahamu kuwa muda wowote akipata kazi deni linalipwa. Unaelewa? Ila sasa unapotoa mkopo bila ya mtu kuwa na aina yyt ya kipato, kwamba aanzishe biashara yyt, ikishindikana kutokana labda hakuwa na mpango timilifu au mzuri, utafanyaje sasa? Na vipi kama wengi wao ndo ikawa ivo? Tumia akili bana.

  • @hawaafrica803
    @hawaafrica803 5 лет назад +1

    Shoga hapo alokaa hapo karibu na Dc mbona kijasho chembamba kulikoni😃

  • @erastokasambala6059
    @erastokasambala6059 5 лет назад +3

    Huyo mama pembeni ni nani,

  • @barakanatus5676
    @barakanatus5676 3 года назад

    Mkuu wa mkoa, pia na afisa ajiamini ila yupo sawa , kikund wapate sifa?

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 5 лет назад

    Gud

  • @farhatfatma12
    @farhatfatma12 5 лет назад

    Style hii ya uongozi naomba uwe unaendelea nyuma ya mlango.... lakini kama style hii mbele ya tv tu na nyuma ya pazia hakuna kitu sioni kama itasaidia sana nchi. Naamini watu wanahojiwa hivi mbele ya tv kwasababu nyuma ya pazia hakuna juhudi yoyote.

  • @hamadimadisa9346
    @hamadimadisa9346 5 лет назад +1

    jamani hishma ya mkutano nini

  • @CalvinNaftari
    @CalvinNaftari 11 месяцев назад

    Vq

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 4 года назад

    Wanyoshen hvohvo hapi hakuna namna usanii umezid Tanzania

  • @shabanadam2100
    @shabanadam2100 3 года назад

    Wewe Ali unavyo shout 🙌 hapo publicly huyu sio mtumwa na mtwana kuna jinsi ya kuongea kwa kuheshimiana in respect acha ushamba wa hicho cheo

  • @harounsubert4605
    @harounsubert4605 5 лет назад

    Kulewa madaraka huku duuuuuh

  • @boniphacerobert9533
    @boniphacerobert9533 5 лет назад

    Taratbu bhana

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 3 года назад +1

    jaman

  • @polokotomwalusamba1132
    @polokotomwalusamba1132 5 лет назад

    Acha ubabe dogo kwa watumishi wenzio

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 5 лет назад

    Roho mbaya hio unaongea kwahasira hayo maisha tuu cheo ni dhamana mda wowote kinaweza kwisha ndugu ikumbuke nakesho yako halafu unavyomuongelesha huyo dada km ugomvi jmn hata salam et unaanza tuu wee scola mmmh,,Yaa ALLAH tufanyie wepes kwenye ridhiq nahaswa ridhiq zakuajiriwa ngumu mie mwenzenu siwez wallah

  • @davidst8951
    @davidst8951 4 года назад +1

    Huyu mama hajitambui kabisa hana utulivu,wala akili ya kukaa mbele ya umati wala Mesa kuu....MTU mzima hovyoooo unajikunakuna...umeharibu video na ujumbe...jiheshimu wewe

  • @saidisaidi1332
    @saidisaidi1332 5 лет назад

    Yaan lengo la RC hapo ni kuchukua umaarufu mbele za watu na c kuwa ni mchapa kazi ulofa mtupu

  • @saidisaidi1332
    @saidisaidi1332 5 лет назад

    Vyeo vyakuwapa wajinga wanasumbua sana