Msihadaike na viongozi wanaojitangaza. Hawana uwezo wa kuamsha hamasa na kujenga teamwork spirit. Badala wanauaminisha uma kuwa hawalali kwa sababu ya kazi. Ni bahati mbaya wapo wanaodhani huo ndio umahiri.
yani umpe mkopo mtu mwenyewazo tu na hakuna chochote anachofanya afu akishindwa kulipa umgeuke tena kuwa hakuwa makini. mawazo wakati wa kutafuta pesa kila mtu anayo.
Hii inadhihirisha uongozi mbovu. Kiongozi mzuri ni yule anayeanza na kujenga timu yake kisha kwa pamoja wanashuka kwa wananchi. Hivi mkuu wa mkoa kweli hajamuelewa Afisa wake, anazidi kumkolomea tu... Hivi hajui kweli adha wanazokutana nazo kwa kukopesha pesa kiholela kama anavyotaka yeye. ? Eti mimi nilikua mkuu wa wilaya, najua. Kwani fedha hizi anashughulikia Mkuu wa Wilaya au Mkurugenzi?? Kuna haja ya viongozi kujitathmini katika kujenga uongozi bora.
Kama wananchi hawajaanzisha shughuli yoyote ambayo wanahitaji kuiendeleza kwa mkopo na hawana mpango wa wanachotaka kufanya lakini wanatakiwa kupewa mkopo then hizo pesa sio mkopo nizawadi tu.
Hao ndivyo walivyo wakipata vijelimu kidogo tuu basi wanajiona kama malaika. Kazi yao wizi tuu.. Wezi wakubwa hao. Kazi zao ni kunyanyasa Wanawake wenzao.
Hii inadhihirisha uongozi mbovu. Kiongozi mzuri ni yule anayeanza na kujenga timu yake kisha kwa pamoja wanashuka kwa wananchi. Hivi mkuu wa mkoa kweli hajamuelewa Afisa wake, anazidi kumkolomea tu... Hivi hajui kweli adha wanazokutana nazo kwa kukopesha pesa kiholela kama anavyotaka yeye. ? Eti mimi nilikua mkuu wa wilaya, najua. Kwani fedha hizi anashughulikia Mkuu wa Wilaya au Mkurugenzi?? Kuna haja ya viongozi kujitathmini katika kujenga uongozi bora.
sawa kabisa hata kama ni hivyo wakae viongozi kwanza na kuangalia nin mkutano unataka then mambo yaendelee ila now serikali inataka presha kwa watumishi ni sio ufuatiliaji, na kwangu sidahni kama ni busara kufanya hivyo bila kuwa na maandalio ya mkutano wa viongozi wa mkoa au wilaya
Sasa mradi ukigoma, mkopo utalipwa vipi?. Utapewaje mkopo kama huna source ya kukufanya ulipe(kua na kazi flani)? Kwakweli nashindwa kuelewa kosa la uyo mama scola. Mana anachofanya ni taratibu hata za utoaji mikopo bank.
Hii inadhihirisha uongozi mbovu. Kiongozi mzuri ni yule anayeanza na kujenga timu yake kisha kwa pamoja wanashuka kwa wananchi. Hivi mkuu wa mkoa kweli hajamuelewa Afisa wake, anazidi kumkolomea tu... Hivi hajui kweli adha wanazokutana nazo kwa kukopesha pesa kiholela kama anavyotaka yeye. ? Eti mimi nilikua mkuu wa wilaya, najua. Kwani fedha hizi anashughulikia Mkuu wa Wilaya au Mkurugenzi?? Kuna haja ya viongozi kujitathmini katika kujenga uongozi bora.
@@alexsamwel4637 yani upo sawa kabisa. Na mimi uo ni mtazamo wangu. Enzi ya saivi viongozi wamekuwa wanalewa sana madaraka akiwemo uyo RC wa iringa. Yani imekuwa kiongozi ndo mjuaji wa kila kitu. Yani ukihojiwa hadharani, ata ukijieleza vizuri watatafuta namna ya kukufanya uonekane na kosa ili yy aonekane mjuaji. Mara ohh sijui nimekua mkuu wa wilaya. Yani hii hali inakera sana. Sana.
@@uledimtumwa2406 nahisi elimu yako fupi sana. Mkopo kwenye kusoma tayari upo ktk mfumo wa sharti. Ambalo ni kwamba kuupata lazima uwe shuleni na uwe umefaulu advance. Na ndo mana sio kila mtu anapata mkopo. Kingine uyo mwanafunzi anapopewa mkopo, serikali tayari inafahamu kuwa muda wowote akipata kazi deni linalipwa. Unaelewa? Ila sasa unapotoa mkopo bila ya mtu kuwa na aina yyt ya kipato, kwamba aanzishe biashara yyt, ikishindikana kutokana labda hakuwa na mpango timilifu au mzuri, utafanyaje sasa? Na vipi kama wengi wao ndo ikawa ivo? Tumia akili bana.
Style hii ya uongozi naomba uwe unaendelea nyuma ya mlango.... lakini kama style hii mbele ya tv tu na nyuma ya pazia hakuna kitu sioni kama itasaidia sana nchi. Naamini watu wanahojiwa hivi mbele ya tv kwasababu nyuma ya pazia hakuna juhudi yoyote.
Roho mbaya hio unaongea kwahasira hayo maisha tuu cheo ni dhamana mda wowote kinaweza kwisha ndugu ikumbuke nakesho yako halafu unavyomuongelesha huyo dada km ugomvi jmn hata salam et unaanza tuu wee scola mmmh,,Yaa ALLAH tufanyie wepes kwenye ridhiq nahaswa ridhiq zakuajiriwa ngumu mie mwenzenu siwez wallah
Huyu mama hajitambui kabisa hana utulivu,wala akili ya kukaa mbele ya umati wala Mesa kuu....MTU mzima hovyoooo unajikunakuna...umeharibu video na ujumbe...jiheshimu wewe
Hongera sana Ally Hapi . Natamani ungekuwa katavi
Usiwasemee Wanakatavi ila muite aje awe mkuu wa kaya yako wewe
Anaweza huyu jamaa
Safi baba nakupenda bila ghalama yn unamakavu atr
Huo siyo utendaji
[2/17, 17:25] Juleyza: ruclips.net/video/2HPyExJg2bg/видео.html
[2/24, 16:22] Juleyza: ruclips.net/video/I1GNPwjNy2Y/видео.html👆👆👆👆👆👆👆👆👆🔥🔥🔥🙏🙏🙏🔥🔥🙏
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Uyo mama anaonekana jeuri
Uyo mama ni mpanaaaa hahahaha huhuhuhuhuhu
Hoyo ndo DC wa kilolo
Muhuni
SAFIII!!! NAONA MAGUFULI VERSION YA UZALENDO.
Yaaaan #mpakaaaa mnyoookeeee mwaka huuuu @hapi
Tutafika tuuu 🤝
Nakwambia
Samia akuone unafaa kua mbuge
9 NA 10 WEWE KIJANA NI MCHAPAKAZIII HASWAAA ILA WATANZANIA SIE KOROSHOOO NI KUBWAA SANA
Huyu Dada wa pembeni kwa mkuu wa mkoa yaan mpana kweliii macho yake yako juu juu
Mtu mzima halafu
Huyo ni mkuu wa wilaya
Huyu anaweza kumrithi magufuli Peter from kenya
Ongera mama kwa ujasili huo swali la kushtukiza uwa ni kazi sana kulijibu ila we dada wa pembeni nae ni tatizo tupu ila jua siku yako pia ipo
Mungu wangu viongozi Kama hawa siwangepatikana ata uku KENYA!!!!wa kenya tumiumia
Huko kwenu hamna Rais.Ni 'figure' tu.Mabeberu ndio wenye Urais.
@@mweyoms5548 nashangaa kuona watu wanapenda kufugwa kama mbuzi tu eti hata kujieleza hapa hakunna
Msihadaike na viongozi wanaojitangaza. Hawana uwezo wa kuamsha hamasa na kujenga teamwork spirit. Badala wanauaminisha uma kuwa hawalali kwa sababu ya kazi. Ni bahati mbaya wapo wanaodhani huo ndio umahiri.
ww tapel na ww
Duuuu haya mambo we we kama RC umehimiza hilo jambo?
Kazi nzuri Sana hiyo mikopo huwa wanapeana au wanazikuwa nakujikopesha wenyewe
Yaani hapi unajua umekaa na Dada huyo hapo mbona kama kijipu hivi
Wewe mkuu wa mkoa acha sifa za kipumbavu inataka kick
Huyo mama hatulii et
This is wy i love Tanzania 100%
Sawa baba uzi huo huo na mungu awe nawe
Mkuu wa wilaya ndiye alifanya ashughulikie raia wake
...Mkuuuuu.....anayeulizwa masuala yote ndani ya Halmashauri Ni accounting officer ambaye ni Mkurugenzi na si mkuu was Idara.
Kazi kweri hawa wasimamizi hawana huruma na wananchi wanataka watu waikaumu serekari kazi kama hizi muse mnawapa watu wenye uchungu na nnchi na huruma
Bora nijiajir
mkuu wa wilaya hamna kitu
Mh heshimiwa anza na huyo uliekuwa nae ana wasiwasi sana washakula hizo hela
Nimeliona ilooo
yani umpe mkopo mtu mwenyewazo tu na hakuna chochote anachofanya afu akishindwa kulipa umgeuke tena kuwa hakuwa makini. mawazo wakati wa kutafuta pesa kila mtu anayo.
Mh ALlY HAPI uko vizuri
Ndio maana nakuelewaga jaman sio mkuu wa mkoa kaz kukaa ofsin
Safi sana Mkuu.
Hii inadhihirisha uongozi mbovu. Kiongozi mzuri ni yule anayeanza na kujenga timu yake kisha kwa pamoja wanashuka kwa wananchi. Hivi mkuu wa mkoa kweli hajamuelewa Afisa wake, anazidi kumkolomea tu... Hivi hajui kweli adha wanazokutana nazo kwa kukopesha pesa kiholela kama anavyotaka yeye. ? Eti mimi nilikua mkuu wa wilaya, najua. Kwani fedha hizi anashughulikia Mkuu wa Wilaya au Mkurugenzi??
Kuna haja ya viongozi kujitathmini katika kujenga uongozi bora.
Kama wananchi hawajaanzisha shughuli yoyote ambayo wanahitaji kuiendeleza kwa mkopo na hawana mpango wa wanachotaka kufanya lakini wanatakiwa kupewa mkopo then hizo pesa sio mkopo nizawadi tu.
Hao ndivyo walivyo wakipata vijelimu kidogo tuu basi wanajiona kama malaika. Kazi yao wizi tuu.. Wezi wakubwa hao. Kazi zao ni kunyanyasa Wanawake wenzao.
Sheria inasemaje siyo wee mkuu wa mkoa
Dc huyo Dada nmemuelewa sana
Ha ha ha ha yaan kwakwel
ilikuwa zamani kwa sasa hiyo stahili niyakizamani
Hahahahaaaa huyo dada apo pembeni kama anahofu
Weeee uyo namjua ni Moto wakukalia mbali nimemjua kinondoni nilikua namtania tania
Huyo mama mbona hanautulivu
P
Aise yaan mm hata mkuu wa wilaya tarime simfaham km hawa akina happy ndo tunaowahitaj njoo tarime boss utusaidie
Huyo mama hapo kuria anawadhifa gan
Mkuu wa wilaya ya Kilolo
Mbn huyo mama anaweka mkono kwenye kit Cha mkuu wa mkoa . anawenge sana
Acha wivu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@nyamogafamily4262 wivu Sina
@@jacklinamani7519 Kawaida tu bhana si wanafanya kazi pa1?
@@nyamogafamily4262 mh
Tumbua jipi ilo
Huyo dada wa pembeni hajiamini Kama kapigwa na bomu kichwani..
Mama huyo mmh anahisi atatajwa hapo
Kweli hizo ndo kanuni za utumishi
Moto huu sasa umehamia Tabora.Watendaji wazembe wajiandae
Nawe dada ulokaa hapo pembeni mbona hutulii unawasiwasi wann mara ujikune loo
DC wa kilolo
😀😀😀tumbo ndio limepata tabu sana kushikwa
hatareeeeee
wangepewa elimu na wale wa uchaguzi wa mitaa walokosa sifa kwa sababu ya kujaza fomu vibaya
Ilahuyo kiongoz kama magufuri kiukwel ila bastu ninge pata namba yake ninge mpa pongez
Bora nijiajiri serikali yenu kaeni nayo wenyeww
Jamally H.Mlela hahahahaah
Hivi hawa wakurugenz au wakuu wa idara hizo pesa na za kwao ili wakumbatie hivyo
Duuuuu yaaan km tangu enzi za baba wa taifa km ingekuwa km hiv hil taifa lingekuwa la mwanzo africa cz lina lasilimali nying sana but too late now
Hii inadhihirisha uongozi mbovu. Kiongozi mzuri ni yule anayeanza na kujenga timu yake kisha kwa pamoja wanashuka kwa wananchi. Hivi mkuu wa mkoa kweli hajamuelewa Afisa wake, anazidi kumkolomea tu... Hivi hajui kweli adha wanazokutana nazo kwa kukopesha pesa kiholela kama anavyotaka yeye. ? Eti mimi nilikua mkuu wa wilaya, najua. Kwani fedha hizi anashughulikia Mkuu wa Wilaya au Mkurugenzi??
Kuna haja ya viongozi kujitathmini katika kujenga uongozi bora.
Naona hamna kumbukumbu kweli. Nyerere had sh tano ilikuwa na kaz.sasa hivi shika mia uone kama inakaz. Halafu mnasema uchumi unapanda
Duu! Kazi ipo bado. Yaan watendaji bado ni mizigooo
Mbn huyo dada Alie kaaa hapo pemben ya mkuu wamkoa anawenge na kitambaa chake alichofunga kama tupak
Hahahahah, ww jack ww
Ameshitukizwa. Huyo. Mama.
Duuuh,hatariiiiii
Futa yeye kazi
Ila hawa maafisa maendeleo wa kata sijui mabibi maendeleo wengi chenga sana . mwingine yupo office ya kata Dodoma makulu. Tusaidien kuwaweka sawa
Hahahaha
Huyo wa pemben mumbeya
Huyo mwanamama hapo
Zile sifa mlizo wafungia wapinzani kwenye uchaguzi WA mitaa
Kwa akili mbovu walizonazo nazo nayo yalikuwa maendeleo kuiba kura
huyo mama alieko jirani ya mkuu wa mkowa mbona yuko juujuu kama antena iliyoyumba nyie mmemuelewa?
Mkuu wa wilaya huyo
Asikia kunya huyo hapo na hakuna choo karibu😂
@@innnocentchoggy2331 sasa akiwa mkuu wa wilaya ndo anachetuka kama katiwa pilipili ya matako
@@khaliddesire0084 angekunya hata palepale
@@hadijalukasmdeg9987 Hahaha😂
Ka mama ako kanachungulia cm
Huuyu mama alie pembeni mbona hatulii
Kambeyaaaaa
iii mbwa iiyovaa kilemba mbona inahangaika
Imehusika kutumbua hiyo pesa
Viongozi tuna jambo la kujifunza
Kila kitu mpaka mjeledi.... ndiyo tutafika
Mpaka wapelekeshwe
Umeonaeee
Huyo aliyopo kushoto mbona kiburi
Nimefurahi kusikia hivyo hizo wanagawanaga hao ccm wanaojua kuvaa sare hata huku wapo
Siku inakuja itafaamika tu
Mambo gani hayo? Mkuu wa mkoa tumia busara zako muite ofcn ongea nae
sawa kabisa hata kama ni hivyo wakae viongozi kwanza na kuangalia nin mkutano unataka then mambo yaendelee ila now serikali inataka presha kwa watumishi ni sio ufuatiliaji, na kwangu sidahni kama ni busara kufanya hivyo bila kuwa na maandalio ya mkutano wa viongozi wa mkoa au wilaya
@@antonynzalalila9282 wamerithi ile tabiaa 🤣
Sasa mbona wale wa serikali za mitaa hawakupewa elimu kujaza fomu?
Hakuna mtu hapo
Wazee wa Kiki
Sasa mradi ukigoma, mkopo utalipwa vipi?. Utapewaje mkopo kama huna source ya kukufanya ulipe(kua na kazi flani)? Kwakweli nashindwa kuelewa kosa la uyo mama scola. Mana anachofanya ni taratibu hata za utoaji mikopo bank.
Hii inadhihirisha uongozi mbovu. Kiongozi mzuri ni yule anayeanza na kujenga timu yake kisha kwa pamoja wanashuka kwa wananchi. Hivi mkuu wa mkoa kweli hajamuelewa Afisa wake, anazidi kumkolomea tu... Hivi hajui kweli adha wanazokutana nazo kwa kukopesha pesa kiholela kama anavyotaka yeye. ? Eti mimi nilikua mkuu wa wilaya, najua. Kwani fedha hizi anashughulikia Mkuu wa Wilaya au Mkurugenzi??
Kuna haja ya viongozi kujitathmini katika kujenga uongozi bora.
@@alexsamwel4637 yani upo sawa kabisa. Na mimi uo ni mtazamo wangu. Enzi ya saivi viongozi wamekuwa wanalewa sana madaraka akiwemo uyo RC wa iringa. Yani imekuwa kiongozi ndo mjuaji wa kila kitu. Yani ukihojiwa hadharani, ata ukijieleza vizuri watatafuta namna ya kukufanya uonekane na kosa ili yy aonekane mjuaji. Mara ohh sijui nimekua mkuu wa wilaya. Yani hii hali inakera sana. Sana.
@@pierrejackson6865 kiongozi unatakiwa uwa busti wananchi wako sio eti hawana sifa.
Acha uongo, mbona wanafunzi vyuo vikuu wanakopeshwa na hawana chanzo chochote cha kuwafanya walipe??? Mtazamo finyu huo.
@@uledimtumwa2406 nahisi elimu yako fupi sana. Mkopo kwenye kusoma tayari upo ktk mfumo wa sharti. Ambalo ni kwamba kuupata lazima uwe shuleni na uwe umefaulu advance. Na ndo mana sio kila mtu anapata mkopo. Kingine uyo mwanafunzi anapopewa mkopo, serikali tayari inafahamu kuwa muda wowote akipata kazi deni linalipwa. Unaelewa? Ila sasa unapotoa mkopo bila ya mtu kuwa na aina yyt ya kipato, kwamba aanzishe biashara yyt, ikishindikana kutokana labda hakuwa na mpango timilifu au mzuri, utafanyaje sasa? Na vipi kama wengi wao ndo ikawa ivo? Tumia akili bana.
Shoga hapo alokaa hapo karibu na Dc mbona kijasho chembamba kulikoni😃
Huyo mama pembeni ni nani,
Nikatibu tawala wa mkoa
Ni DC wa kilolo
Mkuu was wilaya 00
Erasto Kasambala kanafiki Ako kamama
🙈🙈🙈🙈dada yake mkuu wa mkowa
Mkuu wa mkoa, pia na afisa ajiamini ila yupo sawa , kikund wapate sifa?
Gud
Style hii ya uongozi naomba uwe unaendelea nyuma ya mlango.... lakini kama style hii mbele ya tv tu na nyuma ya pazia hakuna kitu sioni kama itasaidia sana nchi. Naamini watu wanahojiwa hivi mbele ya tv kwasababu nyuma ya pazia hakuna juhudi yoyote.
jamani hishma ya mkutano nini
Vq
Wanyoshen hvohvo hapi hakuna namna usanii umezid Tanzania
Wewe Ali unavyo shout 🙌 hapo publicly huyu sio mtumwa na mtwana kuna jinsi ya kuongea kwa kuheshimiana in respect acha ushamba wa hicho cheo
Kulewa madaraka huku duuuuuh
Taratbu bhana
jaman
Acha ubabe dogo kwa watumishi wenzio
Roho mbaya hio unaongea kwahasira hayo maisha tuu cheo ni dhamana mda wowote kinaweza kwisha ndugu ikumbuke nakesho yako halafu unavyomuongelesha huyo dada km ugomvi jmn hata salam et unaanza tuu wee scola mmmh,,Yaa ALLAH tufanyie wepes kwenye ridhiq nahaswa ridhiq zakuajiriwa ngumu mie mwenzenu siwez wallah
Huyu mama hajitambui kabisa hana utulivu,wala akili ya kukaa mbele ya umati wala Mesa kuu....MTU mzima hovyoooo unajikunakuna...umeharibu video na ujumbe...jiheshimu wewe
Yaan lengo la RC hapo ni kuchukua umaarufu mbele za watu na c kuwa ni mchapa kazi ulofa mtupu
Vyeo vyakuwapa wajinga wanasumbua sana