Mama anapoint huyu , anafaa kuwa mjumbe au mwenyekiti maana anakumbukumbu nzur , yaan nimempenda wallah, wanawake woyeeee, yaani mwanamke yupo smart hongera sana dada
At zenjibar ...napenda sana vikao vya huyu kiongoz kiukwel ALLAH ampe maisha yenye manufaa hapa dunian na kesho akhera yanikumbusha maisha ya mtume muhammad swalla llahu alayhi wassalam ...hivi ndivo anavotakiwa kuwa kiongozi juu ya anaowaongoza wajazaakumu llahu khaira.
Wabunge wetu akina Fulani wangekuwa Wana fanya program Kama hzi walahi majimbo yangekuwa yana noga.... Dizaini natamani Hawa waakuu wa mikoa na baadhi ya wakuu wa wilaya wangekuwa na majukum ya ubunge pia ingekuwa smart Sana...🙌🙌🙌🙌🙌
Hongera mkuu wa mkoa.Napenda unavyofanya kazi na hata vile hautumii hasira katika kuongea na hiyo imewafanya watu kuwa wawazi zaidi kwako kwa sababu unazungumza nao kama rafiki.
@@nurudovino288 hivi watu wanafikili kuwa ubunge vigezo vyake ni vichekesho mitandaoni, kaongea point sana ila hawezi kupewa wazifa wowote rabda ujumbe wa mtaani kwao, hiyo ni rahisi kupewa
Yaani 2020 achukue form agombee ubunge na atapita huyo, yaani point juu ya point anaongea. Alafu vigezo , anajua kusoma na kuandika Imani ya la saba kafika , ko sifa anayo ya ubunge
Milady.kila mkutano wa ally jmn tuuone napenda anavyosikiliza shida za watu walla viongozi wote wangekuwa hivi nchi yetu ingefika mbali walllh mungu akulinde na husda za watu
Huyu Ally Hapi anaongea kirafiki na wananchi wake hadi raha sio wengine maswali hawataki, hoja hawataki wanakuja kuamlisha tu wananchi na kuondoka, lakn huyu nimempenda anaelekezana vizuri na kuwaelewa wanachi wake
Mnawachagua. WANAOKAAA OFISINI TU NA KUVAA SUTI KYNYWA CHAI. KAZIII HATUZIONI BWANA. WAAMBIE WAFANYE KAZIIIII TUWAONE. SIO UREMBOOO WA OFISI NO TUNATAKA MAENDELEO YA NCHI YETU
Mama anapoint huyu , anafaa kuwa mjumbe au mwenyekiti maana anakumbukumbu nzur , yaan nimempenda wallah, wanawake woyeeee, yaani mwanamke yupo smart hongera sana dada
Like nigongee km unaungan na mimi kua huy mama ni super woman
Mama ana akili sana kajieleza point za maana na alijiandaaa vizur safiiii.Mama katisha sana wanawake oyeeeeeeee super women✌😂😂💞💞💞
At zenjibar ...napenda sana vikao vya huyu kiongoz kiukwel ALLAH ampe maisha yenye manufaa hapa dunian na kesho akhera yanikumbusha maisha ya mtume muhammad swalla llahu alayhi wassalam ...hivi ndivo anavotakiwa kuwa kiongozi juu ya anaowaongoza wajazaakumu llahu khaira.
Rc happy hongera sana kazi nzuri sana, mm huwa sichoki vipindi vyako kabisa.
Huyu mama kaleta hoja nzuri sana kwenye hiki kikao ally hapi mungu yupamoja nawe
Mama kaongea vzr sana tena kwa kujiamin 🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
Happy womans dayyyyyyyyyy jmnnnnn ...wamama oyeeeeeeeeeeeeeeeeee😍😍😍
Wabunge wetu akina Fulani wangekuwa Wana fanya program Kama hzi walahi majimbo yangekuwa yana noga.... Dizaini natamani Hawa waakuu wa mikoa na baadhi ya wakuu wa wilaya wangekuwa na majukum ya ubunge pia ingekuwa smart Sana...🙌🙌🙌🙌🙌
Mama ameongea point sana tena sana.
Overconfidence
Hongera mkuu wa mkoa.Napenda unavyofanya kazi na hata vile hautumii hasira katika kuongea na hiyo imewafanya watu kuwa wawazi zaidi kwako kwa sababu unazungumza nao kama rafiki.
Huyu hakufanikiwa kuendelea na shule .Ila Yuko vizuri sana
MAMA LAO , KWAKELI, HUYU MAMA AWE MBUNGE JAMANI
😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣😭😭😭😭😭
Hawezi kupewa kwakuwa hajulikani 🙄
@@nurudovino288 hivi watu wanafikili kuwa ubunge vigezo vyake ni vichekesho mitandaoni, kaongea point sana ila hawezi kupewa wazifa wowote rabda ujumbe wa mtaani kwao, hiyo ni rahisi kupewa
Yaani 2020 achukue form agombee ubunge na atapita huyo, yaani point juu ya point anaongea.
Alafu vigezo , anajua kusoma na kuandika Imani ya la saba kafika , ko sifa anayo ya ubunge
Mh ww ni master,uko very friendly na wananchi wako I like that,big up keep your head
Hana dharau
Huyu mama akiwa diwani atawasaidia sana
Kabisa yani😂😂😂
True
Huyoo mama kichwa anajua sanaa kutoka taarifaa na,anongea point
RC Hapi huwa nakuelewa sana bro
Nakuona kuwa kiongozi mkubwa wa siku za baadae
Wamama oyeeee safi.. mfano wa kuigwa umesema yaliyo faida ya Kijiji kizima.... sio kwa masilay yake peke yake
Sahihi
Mama oyeeeee nimempenda sana anajiamini
🤝🤝🤝🤝🤝🤝
Wanawake wakihehe uwa kwenye kuongea wako vizuri
@@fatemaligalawa4151 🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
Oyeeeeeeeee
Sana
😂😂😂😂😂😀 Iringa oyeeeee! Nafurahi TU mm
😂😂😂😂nimekupenda sana wewe mama
😂😂😂😂😂 👌👌👌
Daaa mama yuko vzr sana mungu akusaidie uwe na ujasiri huohuo
Mpeni uongozi uyo mama japo udiwani atawasaidia hapo kijijini kwenu
Ni kweli kabisa
Yaani kweli kbxaaa
Sawa kabisa oni lako
Watu wa iringa bhna 😂😂😂
Fau kama fau we love u ako na cofidance thanaaaa
Safi sana mhandisi unajuwa kujieleza na unaijuwa kazi yako
Mama Hongera Sana 🙏
Kweli furaha Kama jina lako,Mungu akubariki kwa kazi nzurii
Yes yes mamy
Hongera dada sahihi kabisaa ulioyasemaa
uwiiii mama oyeeeee😂😂😂😂😂
Angalia wa babaa walivyo nyamazaa hahahahaaa
Mama katuzidi mpaka wanafunzi wa udsm tumekalia kubet tu kujieleza atujui mbel ya viongozi
🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
mam katisha sna so kidg kaeleza kelo za jamiii kiujumla
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
Mama kero zote ulizotoa zina uzito big up Sana ukipata mama kama hawa 10 mambo yanakuwa mstari
Anachangamoto .mama anafaa kiongozi wa kijiji
Wanawake tunaweza mama huyu shujaa ameongea bila woga
Milady.kila mkutano wa ally jmn tuuone napenda anavyosikiliza shida za watu walla viongozi wote wangekuwa hivi nchi yetu ingefika mbali walllh mungu akulinde na husda za watu
Amin 🤝🤝🤝🤝🤝
Kamweneeeeeee moja nzitoo✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾tunataka vtu vnoge be😅
😁😁😁😀😀😁😁😀😀😁😁😁😀😁mama umeongea poindi
Point
Be huyu sio mama ni Bindi 😀😀
@@omreuzex7109 😂😂😂😂😂
@@omreuzex7109 😀😀😀😀 bindi au poindi?
Ally salum Hapy rc wa iringa nakukubal
😂😂😂huyu mama bila shaka atakua mana muinjilisti
hahahah mwaka huu tutaona mengi mama alijipanga,alipigilia hadi skuna hatari
impressive..mama gombea udiwani...
Hakuna kama MAMA...hyu ni mtetezi anasifa ya kua Kiongozi.
Mkuu wa mkoa uko vema zaidi kwa kutetea haki za watu mungu akutunze
Kamwene dada umenena kwa faida ya wote
🤣 🤣 🤣 🤣
😂😂😂😂
God sna mama amejieleza vzr mbk mkuu amesikiliza kwa makini
Yaan nahis kwanza kapata ulanz ndo kamwendea mkuu wa mkoa
Mama uko vizuri sana mzazi
Nimecheka sanaa uwiii, shkamo mama umenena
Nimekupenda bure mkuu wa mkoa wt big up
MAMA LAO SUPER WOMAN WA NGUVU NIMEKUPENDA BURE
yani nimecheka na kulia kwa sauti wamama oyeeeeeee🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Oyoooooooooo
@@samiramadenge953 good 👍👍👍
@@hadijalukasmdeg9987 🤝🤝🤝🤝🤝
@@samiramadenge953 🤜🤛🤜🤛🤜🤛🤜🤛👍👍👍👍👍
@@hadijalukasmdeg9987 👍👍👍👍👍
Hongera sana baba
Kioongozi wa mfano..Hongera Ndgu Hapi
Bado sijamaliza yatatu ngoja niangalie kikaratas
Wilaya ya hai tungempata mkuu Wa mkoa kama huyu maendeleo yangeonekana namkubali sana RC hapi
Mimi nimeona mahindi mazuri sanaaaaaa
Nampenda happy anavyowasikiza wanainchi ally happy oyeeeeee
Hilo jembe c mchezo
😆😆😆😆huyu mama anajiamini
@MAJIJA BOMBASA 😆😆😆😆sana
Sanaa hadi rahaa
Safi mama we unafaa kutusemea sisi watanzania
hongera mkuu wa mkoa...
Ally hapi the next president of Tanzania
Nakukubali Sana mkuu
wahehe mnajiamini sana
Aty kimalaika kinapata shida
Huyu Ally Hapi anaongea kirafiki na wananchi wake hadi raha sio wengine maswali hawataki, hoja hawataki wanakuja kuamlisha tu wananchi na kuondoka, lakn huyu nimempenda anaelekezana vizuri na kuwaelewa wanachi wake
Kamwene mama
Safi sana kikao kizuri m
Hahaaaaaaa..Eti kimalaika kinapata tabu
Wahehe hoyeeeee!!!
Oyeeeeeeee💃
Ndilumba mama
@@nyamogafamily4262 ale myawe
@@nyamogafamily4262 na ndimuyago ndilumba
Yidada mwakikoti tuvahehe tuna luhala wuhulo 😂😂😂
Huyo Mama anafaa kuwa diwan
Asante Mama 🙏🙏🙏🏼
Big up mama bila uogaaa umenikosha sana
Wamama hoyeeeee Huyu mama katuwakilisha jamani
Safi mama
Nimecheka kwa nguvu wewe dada mimekukubar😅😅
Umoja wa Uraya tena? sindio hao Mabeberu hao uraya
Shkamooo mamaaa
Super woman
Huyu mama tumpe utetezi wa wanawake taifa , Hana aibu ya kusema
Mama oyeeeeeee nimekupenda
Kamwenee,mama,jasiri
Woooow ibumu yetu
safi mama mwanamke umejiamini
Kaka Alli sasa unakazi huyu mama wananchi mpeni udiwani
👍🏽
Nyelaga kamwene ,mama uko vizuri Sana.
Kamwene be unoge
Kamwene kamwene
😀😀😀😀😀kamwene
Wanahitajika watu majasiri na wenye uelewa na mambo kama huyu mama
Alliy,happy,oyeeee,mtarajiwa,waxiri inshaallah,asmin
Mama apewe mauwa yake
Anajua kuhoji na kuuliza maswali
Hii kampeni ya nn, he is no more a RC, that's the facts, asubiri kama wengine
Kamweneeeee vanyalukolo kukaye iringa hooyeee
Meneja wa barabara kaeleza vizuri sana, ya kitaalamu na siyo ya kukurupuka tu
Nani hajacheka kwenye anatikisa ad kimalaika
Watu kama hawa hawapewi uongozi badala yake anapewa mwenye pesa anayetoa rushwa
Jamani huyo mama kaongea mpaka nikanogewa
Point zoteee
Huyu mama agombee ubunge unamfaa sana
Mnawachagua. WANAOKAAA OFISINI TU NA KUVAA SUTI KYNYWA CHAI. KAZIII HATUZIONI BWANA. WAAMBIE WAFANYE KAZIIIII TUWAONE. SIO UREMBOOO WA OFISI NO TUNATAKA MAENDELEO YA NCHI YETU
mama hoyooooo
Safi sana mama
Mama kaongea vyema
Huyu ana akili sana