RC HAPI KAMVAA HAKIMU ALIODAIWA KUCHUKUA RUSHWA YA MIL 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 169

  • @aishaaisha5466
    @aishaaisha5466 2 года назад +3

    Hakhija ww unafanya kazi zuri Sana tunamkumbuka Sana magufuri kweli ww kiongozi Bora unatetea wanyonge mungu aibariki kazi yako aminaaaa🙏🙏🙏🙏🤝🛩️

  • @jumasaid6073
    @jumasaid6073 5 лет назад +7

    Viongoz wa aina hii huwa nawapenda sana,naamini ni warithi wazuri wa Mhe. Rais Magufuli,Mungu ibariki Tanzania ,Mungu wabariki Viongoz wetu,Amina!!🙏🙏🙏🙏

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 4 года назад +2

    Hapi ubarikiwe na mama aliyekuzaa Kwa kweli unaguswa saaana na haki za wanyonge.Mungu akupe maisha marefu aki

  • @user-qc5ye7xc1q
    @user-qc5ye7xc1q 2 месяца назад +1

    Saf sana viongozi waziri japo wengi bado miyeyusho hongoren kimsingi wewe na makonda mna nikosha sana uyendaji wenu Mungu awabariki

  • @mbokaandbahatitv8509
    @mbokaandbahatitv8509 5 лет назад +8

    Napaswa kukushukuru mkuu wa mkoa
    Ahsante sana kwa kazi njema na uadilifu

  • @charleskimathi3050
    @charleskimathi3050 4 года назад +6

    Namvulia Kofia RC Happi.... Huyu anafaa kumrithi Magufuli.... Wish this was happening in my country, Kenya

  • @agneskadzo6105
    @agneskadzo6105 5 лет назад +4

    Good work RC Hapi.. Mtetezi wa wanyonge Mungu akulinde kila pembe za kona in Jesus Name

  • @mcmwamba8152
    @mcmwamba8152 5 лет назад +7

    Your my role model!! Don't give up my brother, my comrade!!
    Kidumu chama cha mapinduzi

    • @husseinmsanya9991
      @husseinmsanya9991 5 лет назад

      RAPHAEL MWAMBAMBE kidumu chama tawala

    • @salamasamweli6695
      @salamasamweli6695 5 лет назад

      Mungu akubarik MKUU wamkoa tunaomba wakuu Wa mikoa wengine muige mfano huu

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np 5 лет назад +4

    Asante mheshimiwa, unatenda haki daima, 🙏🏼Mungu azidi kukusimamia

  • @joeljames8420
    @joeljames8420 5 лет назад +4

    Unafaa kuwa Rais baada ya Rais Wetu kukamilisha miaka kumi. Hongera sana kazi zako zaonekana .

  • @serianjamal8254
    @serianjamal8254 5 лет назад +1

    Mimi niko uingereza naishi huku, hakuna hata siku moja sijaangalia kazi zako mkuu muheshimiwa Ally Hapi wewe ni mwisho wa matatizo.Mungu akuongoze zaidi

  • @christianchando7041
    @christianchando7041 5 лет назад +21

    Asante sana Mheshimiwa Ally Hapi. Kazi unayofanya ni njema. MIMI NAKUPENDA BURE

  • @johnnjogundegwa9799
    @johnnjogundegwa9799 5 лет назад +8

    Thanks alot PC Hapi the ever energetic man of people, may God be with you as go about performing your duties.
    How i wish my country can go that way, Wengi wamepoteza MALI YAO na watu yao pia hapa.
    People loosing hope for the time cases are taking.Its not in vain sir.. SERVICE TO PEOPLE IS SERVICE TO GOD all the best.

  • @anatorydesdery4654
    @anatorydesdery4654 5 лет назад +26

    Serikali hii ipo vizuri, MUNGU walinde na uwabariki viongozi wenye nia njema kwa wananchi

  • @wahidawahida6675
    @wahidawahida6675 5 лет назад +2

    Mheshimiwa natamani ungekuwa mkuu wa mkoa wa dar es salaam kazi ya yako inafanyika vzur sana

  • @angeluslijuja2413
    @angeluslijuja2413 5 лет назад +10

    Mh kunalushwa kubwa sana mahakamani mimi mwenyewe kesi yangu ya kubomolewa nyumba waliimaliza hivihivi bira ata kuniita mimi kama shaidi wa kwanza na wakaifuta ikabidi nitumia njia mbadara tu upande wa pili tu nakweli walio usika chomoto wanakiona kuanzia uzao waio na kazi zao nabiashara zao wameyapata majibu ya matokeo yao waliyoyafanya

    • @munguhashindwijambo2681
      @munguhashindwijambo2681 5 лет назад

      Mkuu hiyo fomula yako noma duuu

    • @frankjohn8570
      @frankjohn8570 5 лет назад

      Angelus Lijuja rushwa zipo maeneo mengi za wazi kama barabarani ndo imezoeleka hadi inaitwa kiwi na maji ya kunywa,kwanini dereva tu atoe siku zingine na trafiki wawape madereva Maji ya kunywa mana wote wana mshahara vp huyu achukue pesa kwa dereva tu

  • @jumamohamedi8388
    @jumamohamedi8388 5 лет назад +23

    Wakuu wamikoa nnao wakubalii.. Makonda, Hapi, Mwanly na Gambo kdgo

    • @mariaferick7381
      @mariaferick7381 4 года назад +1

      Juma Mohamedi usimfananishe alhap na makonda yule makonda sifuritu

  • @saidabdul8547
    @saidabdul8547 5 лет назад

    Safi mkuu ....nzuri Sana kuwa na wanajamii karibu na kuwasikiliza .....piga kazi lets people talk behind lakin ucjali

  • @furahalunyungu936
    @furahalunyungu936 5 лет назад +2

    Mungu akulinde MKuu wa mkoa!!!!

  • @gracemwanjabala8073
    @gracemwanjabala8073 5 лет назад +5

    hapii nakupendaaa bure mungu akulinde

  • @idrisahussein3869
    @idrisahussein3869 5 лет назад +1

    Hawa ndiyo vijana niwatakao mimi,hakuna kuleana hapa.Tokeni maofisini nendeni kwa wananchi mkaone madudu ya nchi hii,pamoja sana.

  • @bintmussa1519
    @bintmussa1519 5 лет назад +2

    Kazi mzur sana hapi penda bure mungu akurinde inshallah

  • @davidluwondo4753
    @davidluwondo4753 5 лет назад +7

    Godbless your honour RC Ally Hapi for that litigation.

  • @rahema1992
    @rahema1992 3 месяца назад

    Ali allah akupe nguvu na subra ktk ufanyaji wako wa kazi

  • @rizbfighter8574
    @rizbfighter8574 5 лет назад

    Saf sana mh.hapi kazi nzuri sana nimependa sana jinsi unavyofanya kazi

  • @adrianomsungu7649
    @adrianomsungu7649 5 лет назад +2

    Umejieleza vizuri Sana baba angu

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 Год назад

    WELL DONE KWA
    KAZI NZURI....

  • @shukuruilomo768
    @shukuruilomo768 5 лет назад

    Sina lakusema mkuu hongera sana kwa kazi njema.

  • @bujashidaniel5537
    @bujashidaniel5537 2 года назад +1

    Huyu jamaa anajua kujieleza sana

  • @jailomhengilolo2898
    @jailomhengilolo2898 5 лет назад

    Hongera sana mh Ally hapi kwa kazi hii🤝

  • @paulopatrice2590
    @paulopatrice2590 2 года назад

    Kwa utendaji wako wa kazi unafaa kuchaguliwa nafasi ya urasi hongera sn mkuu.

  • @boazsebastian358
    @boazsebastian358 5 лет назад

    Safi sana bro mungu akulinde kazi nzuri unafanya

  • @rajabismail8921
    @rajabismail8921 5 лет назад

    Mkuuwamkowa huyu mungu ambariki maishamarefupia

  • @alfanselemani1750
    @alfanselemani1750 5 лет назад

    Big ap all hapi
    Lushwa adui wa haki
    Takukulu nao watakula rushwa kwa hakim ndio shida fanyakazi hapi mungu atakusaidia

  • @ugulumsaid2850
    @ugulumsaid2850 5 лет назад +2

    Good mh

  • @rutakihama7599
    @rutakihama7599 5 лет назад +2

    Daaaah safi sana

  • @amaninyekele5002
    @amaninyekele5002 2 года назад

    RC alifanya vzuri sana.

  • @filbertatutokusaushujaawaf3420
    @filbertatutokusaushujaawaf3420 2 года назад

    RS mungu akujalie nakz zako

  • @paschalvenance1833
    @paschalvenance1833 5 лет назад

    Wasio kuunga mkono ni wanafiki kazi ya mtawala toka enzi nikutatua matatizo ya watu,MKUU endelea na kazi yako Mwenyezi Mungu atakulipa.

  • @yassinsalum1864
    @yassinsalum1864 2 года назад

    Napoziona Crip za mkuu Happ roho inaniuma mama amemfuta kazi kwa kosagani huyu mama hafai kuwa kiogozi

  • @abuuchaula6961
    @abuuchaula6961 5 лет назад

    Mungu akulinde hapi unafanyakazi nzur napenda uwe kwenye mkoa Wang barikiwa sana

  • @faridaabdallah7620
    @faridaabdallah7620 5 лет назад +2

    Asante sana mkuuwamkowa

  • @winnyandrea555
    @winnyandrea555 5 лет назад +1

    maisha marefu mwako Rc

  • @evamdula9699
    @evamdula9699 5 лет назад +1

    mungu akupe maisha malefu, uendelee kutetea watu

  • @charlesemmanuel9434
    @charlesemmanuel9434 5 лет назад

    Naomba mungu huyu RC ahamishiwe dar wa dar atafutiwe kazi nyingine

  • @magdalenakidumbuyo1505
    @magdalenakidumbuyo1505 5 лет назад

    Hongera muheshimiwa Ali Hapi

  • @abdallahgosso3029
    @abdallahgosso3029 5 лет назад

    Kaka hapi nakukubali sana kazi yako nakukubali sana

  • @amrimalumbo1712
    @amrimalumbo1712 5 лет назад

    Baba Khapi wew nomaaaaaaa piga kazi ww ndo Makonda mdogo

  • @rehemakimei2588
    @rehemakimei2588 5 лет назад

    Hapi kama jina lako hapii nakuelewa kaka

  • @rayaqme6935
    @rayaqme6935 5 лет назад +2

    Jaman kwakweli hii kesi imenigusa maana kwa yanayotusibu ni mengi maana ninandugu yangu kazurumiwa na kusingiziwa kwa sababu ya hizi rushwa ndugu yangu kauziwa baadhi ya mali zake ndio hizo hizo zinatolewa lushwa kwakweli inauma sana

  • @KassimJabu
    @KassimJabu 2 месяца назад

    Watu wanateswa sana nawenye vyeo

  • @mikenaluyaga3181
    @mikenaluyaga3181 5 лет назад +5

    Saf Sana mh Hapi mm hapo nimekukubal asilimia zote!

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 года назад

    Swadaktaaaaa sana Muheshimiwa.

  • @dachjunior4766
    @dachjunior4766 5 лет назад +3

    Huyu mtumishi (mchungaji) apewe ULINZI maana UWAZI wake wamtia katika HALI YA HATARI

  • @mazeras1
    @mazeras1 4 года назад

    Huyu jamaa Hapi anaweza kuwa rais mzuri sana.

  • @desouzatv6923
    @desouzatv6923 5 лет назад

    safi sana RC

  • @alexanderson1805
    @alexanderson1805 5 лет назад +18

    Yani mda mwingne unatamani Hadi mtu awe kiongzi kwako tu

  • @gaganog7299
    @gaganog7299 5 лет назад

    Big up sana mheshimiwa

  • @salehjuma9354
    @salehjuma9354 5 лет назад +4

    Uwezi kujua kama kunatatizo

  • @amrimalumbo1712
    @amrimalumbo1712 5 лет назад

    Baba Khapi Respect kiongoz

  • @ramadhanijumanne94
    @ramadhanijumanne94 5 лет назад

    kaka nakukubali sana happy.asante

  • @dickndalu8879
    @dickndalu8879 5 лет назад +1

    Good

  • @francisshetui330
    @francisshetui330 5 лет назад +6

    Fupishafupishaa watu niwengii sanaaaaaaa tupatee majibu ya mheshimiwaa.

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 7 месяцев назад

    Wanaopokea Rushwa waachichwe Kazi na si Mahakamani

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 2 года назад

    Viongozi km hawa hawadum ila ally hapi yuk vzr

  • @husseinchiaseeds2653
    @husseinchiaseeds2653 5 лет назад

    Nakuelewa Sana mh.hapi

  • @rosezumba6318
    @rosezumba6318 5 лет назад

    Pole sana

  • @agneserasto9806
    @agneserasto9806 5 лет назад

    Mkuu wa mkoa ata mahakama xa mwanzo mwanza wanakula rushwa sana wanakwenda kuzihombea kwenyebaa wanataka waanze kupewa pombe kwanza na pesa zifwate tena muhedhimiwa anasema hutanipa ngapi nikufanyie hii kazi

  • @mocomoco1836
    @mocomoco1836 5 лет назад

    Upo sawa Api

  • @natyvan4071
    @natyvan4071 5 лет назад

    Ally api namkubali sana

  • @neyf8459
    @neyf8459 5 лет назад

    takukuru sio msaada kabisa mi nimewai enda kushitaki wakaongea na akimu wakayamaliza wanapokea rushwa kama kawa siji kujichosha wanalindana sana

  • @bonfacelitwaka9666
    @bonfacelitwaka9666 3 года назад

    Hatuna kama we we huku kenya

  • @gideonkalumbu5220
    @gideonkalumbu5220 4 года назад

    Sio kila raia ni wa kuonea nyakati hizi maana tumeshasomesha vijana wetu kwasasa,msituhumize jamani.

  • @jacklinemichael9462
    @jacklinemichael9462 5 лет назад

    kwakwel HAPI duuuh wanyooshe tena inabidi wa dar atafutiwe kazi nyingine ukuje uku utunyoosheeee

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 3 месяца назад

    ,mahakama NI tatizo kwa wanyon😢😢😢😢😢😢😮😮😮😢😢

  • @kelvinbatista1142
    @kelvinbatista1142 5 лет назад

    Naiona iringa yangu mpya

  • @hussenkhamis3615
    @hussenkhamis3615 4 года назад

    Hakiamungu milard ayo huyu jamaa ukiwepo Zanzibar bs mikoa itanuka usaha kwa majipu tuu

  • @bonfacelitwaka9666
    @bonfacelitwaka9666 3 года назад

    Wewe unatosha kwenye kiatu cha JPM

  • @bahatisanga8664
    @bahatisanga8664 2 года назад

    2022 Mambo yamebadilika jamaan

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel7 3 года назад

    Hatari

  • @mpenzisamaki9488
    @mpenzisamaki9488 2 года назад

    Hapi pmj na yote utabaki kuwa mkuu wa mkoa pendwa wa miaka yote mwamba

  • @SamuelMatalu
    @SamuelMatalu 11 месяцев назад

    Utamtoaje serikalini kama huyu, kama sio kama upuuzi ni nini?

  • @NkoitoLaoi-mj3ud
    @NkoitoLaoi-mj3ud 6 месяцев назад

    Hi

  • @ramadhannyamranga8373
    @ramadhannyamranga8373 5 лет назад +3

    Sijawai kupenda kiongoz Wa ccm.. Ila ally app nimempenda bure aisee

    • @frankjohn8570
      @frankjohn8570 5 лет назад

      Ramadhan Nyamranga ccm ni ileile Leo inawaambia chukueni mikopo mfanye biashara kesho inatuma mgambo kukamata biashara Zenu,ebu angalia bodaboda na bajaji vituo vya polisi, c zote sina makosa kwa hakika

    • @aminahassan561
      @aminahassan561 4 года назад

      Frank kwanini bajaji wanakamatwa mengine huenda wanafanya wenyewe

    • @aminahassan561
      @aminahassan561 4 года назад

      Msii chafue ccm unadhani hao chadema wangefanya hivyo. kazi wanafanya waacheni ccm wafanye kazi bwana frenk

  • @salehjuma9354
    @salehjuma9354 5 лет назад +2

    Nyinyi ni tatizo

  • @awalimunishi
    @awalimunishi 5 лет назад

    Mungu akubariki mkuu wa mkoa wewe una sifa ya kuitwa kiongozi

  • @mkkomodo8181
    @mkkomodo8181 5 лет назад

    hapi big up bro

  • @herrymathias2997
    @herrymathias2997 2 года назад

    Duuuuhh😰

  • @blaynyagawa9161
    @blaynyagawa9161 4 года назад

    Miongoni mwa viongozi ninao watabilia kuwa mkuu wa nchi huyu Ali jamani namkubali sana

    • @marthayona2317
      @marthayona2317 2 года назад

      Mtumishi mzuri wewe MUNGU akubariki.

  • @andrewmfinde8978
    @andrewmfinde8978 5 лет назад

    Nc

  • @lukandotv8101
    @lukandotv8101 4 года назад

    Smtym police n sehem salama kuliko takukuru,Takukuru kuna shida mnoo!
    Hapo wanasemwa takukuru iringa,ila wapo takukuru wabovu ambao wanatia mashaka kule kigoma.

  • @tithomwamengo6571
    @tithomwamengo6571 4 месяца назад

    Police walifanya kaziyao kwa weredi

  • @albertoarcangel5859
    @albertoarcangel5859 5 лет назад

    Mpokea rushwa na mtoajirushwa, wanawanyima haki wanyonge, wabananishwe wawe mfano kwa wengine wenye tabia kaa hiyo

  • @musatv9456
    @musatv9456 4 года назад

    Hatariii

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 5 месяцев назад

    yote haya kayaleta magufuli nchi ilinyooka ila bx bn

  • @bonfacelitwaka9666
    @bonfacelitwaka9666 3 года назад

    We we ni wakupigiwa mfano

  • @MambaAfrica
    @MambaAfrica 5 лет назад

    Weka hao wote ndani.

  • @princesinko4073
    @princesinko4073 5 лет назад

    Happy hatari kweli

  • @user-ev6bq9gf1f
    @user-ev6bq9gf1f 7 месяцев назад

    Mama Samia rudisha ili jembe

  • @mohdsalum3832
    @mohdsalum3832 5 лет назад

    Safi