Viongoz wa aina hii huwa nawapenda sana,naamini ni warithi wazuri wa Mhe. Rais Magufuli,Mungu ibariki Tanzania ,Mungu wabariki Viongoz wetu,Amina!!🙏🙏🙏🙏
Mimi niko uingereza naishi huku, hakuna hata siku moja sijaangalia kazi zako mkuu muheshimiwa Ally Hapi wewe ni mwisho wa matatizo.Mungu akuongoze zaidi
Thanks alot PC Hapi the ever energetic man of people, may God be with you as go about performing your duties. How i wish my country can go that way, Wengi wamepoteza MALI YAO na watu yao pia hapa. People loosing hope for the time cases are taking.Its not in vain sir.. SERVICE TO PEOPLE IS SERVICE TO GOD all the best.
Mh kunalushwa kubwa sana mahakamani mimi mwenyewe kesi yangu ya kubomolewa nyumba waliimaliza hivihivi bira ata kuniita mimi kama shaidi wa kwanza na wakaifuta ikabidi nitumia njia mbadara tu upande wa pili tu nakweli walio usika chomoto wanakiona kuanzia uzao waio na kazi zao nabiashara zao wameyapata majibu ya matokeo yao waliyoyafanya
Angelus Lijuja rushwa zipo maeneo mengi za wazi kama barabarani ndo imezoeleka hadi inaitwa kiwi na maji ya kunywa,kwanini dereva tu atoe siku zingine na trafiki wawape madereva Maji ya kunywa mana wote wana mshahara vp huyu achukue pesa kwa dereva tu
Jaman kwakweli hii kesi imenigusa maana kwa yanayotusibu ni mengi maana ninandugu yangu kazurumiwa na kusingiziwa kwa sababu ya hizi rushwa ndugu yangu kauziwa baadhi ya mali zake ndio hizo hizo zinatolewa lushwa kwakweli inauma sana
Mkuu wa mkoa ata mahakama xa mwanzo mwanza wanakula rushwa sana wanakwenda kuzihombea kwenyebaa wanataka waanze kupewa pombe kwanza na pesa zifwate tena muhedhimiwa anasema hutanipa ngapi nikufanyie hii kazi
Ramadhan Nyamranga ccm ni ileile Leo inawaambia chukueni mikopo mfanye biashara kesho inatuma mgambo kukamata biashara Zenu,ebu angalia bodaboda na bajaji vituo vya polisi, c zote sina makosa kwa hakika
Smtym police n sehem salama kuliko takukuru,Takukuru kuna shida mnoo! Hapo wanasemwa takukuru iringa,ila wapo takukuru wabovu ambao wanatia mashaka kule kigoma.
Hakhija ww unafanya kazi zuri Sana tunamkumbuka Sana magufuri kweli ww kiongozi Bora unatetea wanyonge mungu aibariki kazi yako aminaaaa🙏🙏🙏🙏🤝🛩️
Viongoz wa aina hii huwa nawapenda sana,naamini ni warithi wazuri wa Mhe. Rais Magufuli,Mungu ibariki Tanzania ,Mungu wabariki Viongoz wetu,Amina!!🙏🙏🙏🙏
Tz bhna kasha fukuzwa now da
Hapi ubarikiwe na mama aliyekuzaa Kwa kweli unaguswa saaana na haki za wanyonge.Mungu akupe maisha marefu aki
Saf sana viongozi waziri japo wengi bado miyeyusho hongoren kimsingi wewe na makonda mna nikosha sana uyendaji wenu Mungu awabariki
Napaswa kukushukuru mkuu wa mkoa
Ahsante sana kwa kazi njema na uadilifu
Namvulia Kofia RC Happi.... Huyu anafaa kumrithi Magufuli.... Wish this was happening in my country, Kenya
Good work RC Hapi.. Mtetezi wa wanyonge Mungu akulinde kila pembe za kona in Jesus Name
Your my role model!! Don't give up my brother, my comrade!!
Kidumu chama cha mapinduzi
RAPHAEL MWAMBAMBE kidumu chama tawala
Mungu akubarik MKUU wamkoa tunaomba wakuu Wa mikoa wengine muige mfano huu
Asante mheshimiwa, unatenda haki daima, 🙏🏼Mungu azidi kukusimamia
Unafaa kuwa Rais baada ya Rais Wetu kukamilisha miaka kumi. Hongera sana kazi zako zaonekana .
Mimi niko uingereza naishi huku, hakuna hata siku moja sijaangalia kazi zako mkuu muheshimiwa Ally Hapi wewe ni mwisho wa matatizo.Mungu akuongoze zaidi
Contacts no plz
ameeen
Asante sana Mheshimiwa Ally Hapi. Kazi unayofanya ni njema. MIMI NAKUPENDA BURE
Nandi
CHRISTIAN CHANDO mheshimiwa uko sawa kabisa
Thanks alot PC Hapi the ever energetic man of people, may God be with you as go about performing your duties.
How i wish my country can go that way, Wengi wamepoteza MALI YAO na watu yao pia hapa.
People loosing hope for the time cases are taking.Its not in vain sir.. SERVICE TO PEOPLE IS SERVICE TO GOD all the best.
Serikali hii ipo vizuri, MUNGU walinde na uwabariki viongozi wenye nia njema kwa wananchi
tunaomba tupate mawasiliano yako mkuu wa mkoa ally happy
Unsafe Mkuu
Unafaa Mkuu
Mheshimiwa natamani ungekuwa mkuu wa mkoa wa dar es salaam kazi ya yako inafanyika vzur sana
Mh kunalushwa kubwa sana mahakamani mimi mwenyewe kesi yangu ya kubomolewa nyumba waliimaliza hivihivi bira ata kuniita mimi kama shaidi wa kwanza na wakaifuta ikabidi nitumia njia mbadara tu upande wa pili tu nakweli walio usika chomoto wanakiona kuanzia uzao waio na kazi zao nabiashara zao wameyapata majibu ya matokeo yao waliyoyafanya
Mkuu hiyo fomula yako noma duuu
Angelus Lijuja rushwa zipo maeneo mengi za wazi kama barabarani ndo imezoeleka hadi inaitwa kiwi na maji ya kunywa,kwanini dereva tu atoe siku zingine na trafiki wawape madereva Maji ya kunywa mana wote wana mshahara vp huyu achukue pesa kwa dereva tu
Wakuu wamikoa nnao wakubalii.. Makonda, Hapi, Mwanly na Gambo kdgo
Juma Mohamedi usimfananishe alhap na makonda yule makonda sifuritu
Safi mkuu ....nzuri Sana kuwa na wanajamii karibu na kuwasikiliza .....piga kazi lets people talk behind lakin ucjali
Mungu akulinde MKuu wa mkoa!!!!
hapii nakupendaaa bure mungu akulinde
RC hap Ungekuwa mkowa wa rukwa kiukweli tungenufaika xana
Hawa ndiyo vijana niwatakao mimi,hakuna kuleana hapa.Tokeni maofisini nendeni kwa wananchi mkaone madudu ya nchi hii,pamoja sana.
Kazi mzur sana hapi penda bure mungu akurinde inshallah
Godbless your honour RC Ally Hapi for that litigation.
Ali allah akupe nguvu na subra ktk ufanyaji wako wa kazi
Saf sana mh.hapi kazi nzuri sana nimependa sana jinsi unavyofanya kazi
Umejieleza vizuri Sana baba angu
WELL DONE KWA
KAZI NZURI....
Sina lakusema mkuu hongera sana kwa kazi njema.
Huyu jamaa anajua kujieleza sana
Hongera sana mh Ally hapi kwa kazi hii🤝
Kwa utendaji wako wa kazi unafaa kuchaguliwa nafasi ya urasi hongera sn mkuu.
Safi sana bro mungu akulinde kazi nzuri unafanya
Mkuuwamkowa huyu mungu ambariki maishamarefupia
Big ap all hapi
Lushwa adui wa haki
Takukulu nao watakula rushwa kwa hakim ndio shida fanyakazi hapi mungu atakusaidia
Good mh
Daaaah safi sana
RC alifanya vzuri sana.
RS mungu akujalie nakz zako
Wasio kuunga mkono ni wanafiki kazi ya mtawala toka enzi nikutatua matatizo ya watu,MKUU endelea na kazi yako Mwenyezi Mungu atakulipa.
Napoziona Crip za mkuu Happ roho inaniuma mama amemfuta kazi kwa kosagani huyu mama hafai kuwa kiogozi
Mungu akulinde hapi unafanyakazi nzur napenda uwe kwenye mkoa Wang barikiwa sana
Good
Asante sana mkuuwamkowa
Sio mkowa ni mkoa
maisha marefu mwako Rc
mungu akupe maisha malefu, uendelee kutetea watu
Naomba mungu huyu RC ahamishiwe dar wa dar atafutiwe kazi nyingine
Hongera muheshimiwa Ali Hapi
Kaka hapi nakukubali sana kazi yako nakukubali sana
Baba Khapi wew nomaaaaaaa piga kazi ww ndo Makonda mdogo
Hapi kama jina lako hapii nakuelewa kaka
Jaman kwakweli hii kesi imenigusa maana kwa yanayotusibu ni mengi maana ninandugu yangu kazurumiwa na kusingiziwa kwa sababu ya hizi rushwa ndugu yangu kauziwa baadhi ya mali zake ndio hizo hizo zinatolewa lushwa kwakweli inauma sana
Watu wanateswa sana nawenye vyeo
Saf Sana mh Hapi mm hapo nimekukubal asilimia zote!
Swadaktaaaaa sana Muheshimiwa.
Huyu mtumishi (mchungaji) apewe ULINZI maana UWAZI wake wamtia katika HALI YA HATARI
Hakimu kapewa rushwa
Huyu jamaa Hapi anaweza kuwa rais mzuri sana.
safi sana RC
Yani mda mwingne unatamani Hadi mtu awe kiongzi kwako tu
Hujakosea kabisa
Kwel uongozi ni kipawa
@@alexanderson1805 ila kila siku najiuliza sijawai kupata majibu hiv mtu mpk unamkata manga hiv unakuwa kwenye mud gn
Nikuombe uchape kaz najua mh utasemwa lakin Fanya kaz
O
Big up sana mheshimiwa
Uwezi kujua kama kunatatizo
Baba Khapi Respect kiongoz
kaka nakukubali sana happy.asante
Good
Fupishafupishaa watu niwengii sanaaaaaaa tupatee majibu ya mheshimiwaa.
Wanaopokea Rushwa waachichwe Kazi na si Mahakamani
Viongozi km hawa hawadum ila ally hapi yuk vzr
Nakuelewa Sana mh.hapi
Pole sana
Mkuu wa mkoa ata mahakama xa mwanzo mwanza wanakula rushwa sana wanakwenda kuzihombea kwenyebaa wanataka waanze kupewa pombe kwanza na pesa zifwate tena muhedhimiwa anasema hutanipa ngapi nikufanyie hii kazi
Upo sawa Api
nyie ndio viongozi
Ally api namkubali sana
takukuru sio msaada kabisa mi nimewai enda kushitaki wakaongea na akimu wakayamaliza wanapokea rushwa kama kawa siji kujichosha wanalindana sana
Hatuna kama we we huku kenya
Sio kila raia ni wa kuonea nyakati hizi maana tumeshasomesha vijana wetu kwasasa,msituhumize jamani.
kwakwel HAPI duuuh wanyooshe tena inabidi wa dar atafutiwe kazi nyingine ukuje uku utunyoosheeee
,mahakama NI tatizo kwa wanyon😢😢😢😢😢😢😮😮😮😢😢
Naiona iringa yangu mpya
Hakiamungu milard ayo huyu jamaa ukiwepo Zanzibar bs mikoa itanuka usaha kwa majipu tuu
Wewe unatosha kwenye kiatu cha JPM
2022 Mambo yamebadilika jamaan
Hatari
Hapi pmj na yote utabaki kuwa mkuu wa mkoa pendwa wa miaka yote mwamba
Utamtoaje serikalini kama huyu, kama sio kama upuuzi ni nini?
Hi
Sijawai kupenda kiongoz Wa ccm.. Ila ally app nimempenda bure aisee
Ramadhan Nyamranga ccm ni ileile Leo inawaambia chukueni mikopo mfanye biashara kesho inatuma mgambo kukamata biashara Zenu,ebu angalia bodaboda na bajaji vituo vya polisi, c zote sina makosa kwa hakika
Frank kwanini bajaji wanakamatwa mengine huenda wanafanya wenyewe
Msii chafue ccm unadhani hao chadema wangefanya hivyo. kazi wanafanya waacheni ccm wafanye kazi bwana frenk
Nyinyi ni tatizo
Saleh Juma tatizo lipi
Mungu akubariki mkuu wa mkoa wewe una sifa ya kuitwa kiongozi
hapi big up bro
Duuuuhh😰
Miongoni mwa viongozi ninao watabilia kuwa mkuu wa nchi huyu Ali jamani namkubali sana
Mtumishi mzuri wewe MUNGU akubariki.
Nc
Smtym police n sehem salama kuliko takukuru,Takukuru kuna shida mnoo!
Hapo wanasemwa takukuru iringa,ila wapo takukuru wabovu ambao wanatia mashaka kule kigoma.
Police walifanya kaziyao kwa weredi
Mpokea rushwa na mtoajirushwa, wanawanyima haki wanyonge, wabananishwe wawe mfano kwa wengine wenye tabia kaa hiyo
Hatariii
yote haya kayaleta magufuli nchi ilinyooka ila bx bn
We we ni wakupigiwa mfano
Weka hao wote ndani.
Happy hatari kweli
Mama Samia rudisha ili jembe
Safi