Baba katika jina la Yesu namfunika Paul Makonda kwa damu ya Yesu,imeandikwa ufunuo 12:11 tumemshinda Shetani kwa damu ya mwanakondoo Kwa damu ya ushindi Jehova namfunika mtu uyu ikawe ulinzi kwake..Ameni🙏
Mashallah kweli mungu kamleta mjasiri.mwenye moyo kama marehemu magufuli.makonda oyeee mimi nipo kufatilia program zako nazipenda sana na watu wengi sana wanapenda sana program zako sababu unatetea haki za wananchi haki za wanyonge makonda oyeee mama samia oyeeee😂😂😂❤
mama samia raisi wetu hongera sana sana kwa kuchagua kaka yetu makonda kwa stahili hii tuna amani sana sana mungu awalinde nina furaha sana sanaaaa ccm oyeeeeeeeeeee
@@SalumuAlly-d9qChuki ni chukie lakini moyo wake muachie,,,,weweeeeeeee humpendi lakini tizama wimbi la wananchi watanzania wenye kujitambua wanavomfuata😅kati yako wewe na yeye nani mbwa koko??? 😅😅ilooooooo😅😅😅😮😮😮
Mungu akiamua makonda kwenda hikulu ataenda tuu Matusi sio hishu swala ni hoja wewe unaye mtukana makonda mungu adhiakiwi apandocho mtu atavuna. Mama yetu samia mungu Alimtumia amchague makonda wacha makonda atambe Damu ya Yesu inamtuza
Tutumie mitandao vizhri. Serikali inamkono mrefu kama huna Cha kuongea ni Bora tukaye kimya ndugu zangu wtz Angalia nyuma yko unawatu wanngapi wanakutegemea ? Tukumbuke laini zetu tumesaji na vitambulisho gani Tuache matumizj mabaya ya simj .Mungu atusaidie
Let him be careful because more enemies are being created as it was on magufuli, he should improve his personal security like not eating any how, you fight thieves, they fight you back in secrecy.
Hayo mahojiano kama mh unajua sababu za huo uhamisho haipo sababu ya kumhoji afisa utumishi tena. Waziri wa afya na waziri wa utumishi na waziri wa tamisemi wanafanya nini! Hao ndio wazembe hawafuatilii manunuzi ya fedha walizoomba kuidhinishiwa na bunge. Wadogo hao watatoleaje taarifa kwenye mikutano ya hadhara?
kinacho mzuia makonda katika nafasi yake nikutumbua tu baadh ya watumishi wa serekali, ila Mungu atamuinua awe na cheo zaid ya alichonacho. ila kufa ni faradhi hakuna atakaebaki, hakuna mkamilifu, ila unaupiga mwingi makonda
Makonda ni mtu wa hovyohovyo tu; lakini kusema ukweli nchi hii inahitaji mtu kama huyu Ili mambo yaende sawa. Viongozi wastaarabu kwa kweli wanadanganywa na wanaonewa sana.
Kuna wajanja wanakuja hizo Hela 😭😭😭baba chondechomde na walengwa wanapewa kiduchu au hawapati kabisa nakuomba lifanyike u chunguzi wa kina kiongozi wetu🙏🙏
Piga kazi makonda mungu yupo pamoja na wewe kwa kutetea watanzania kuna baadhi ya wizara ata bajeti za mapato na matumizi azijulikani ndani ya taifa letu.
Haya unayoyahoji viongozi wenzio wa Ccm.Walikuwa wapi hayo mahajiano ni kuonesha udhaifu wa serikali dhidi ya utendaji wake wa mazoea.Yanasikitisha sana!!
Hahahahaha Nape alisema kipindi kile ccm litashinda hata kwa goli la mkono sawa likashinda kweli kilichomkuta enzi za mwenda zake Tuliona hadharani kwa huyuuuu Leo yupo makukwani Leo,labda amekuja Tena kupaka damu mikono ya mama Samia isiyotaka damu
Jaman watanzania kuwen macho sasa kama utendaji wa viongozi wa serikali ndo huu, this is exactly systemic failure. John pombe alisimamia maadili ya watumishi ila kwa sasa eee...
Mtu yeyote akifanya Jambo ama Kazi bila ya kuwepo mwajibishaji Ile Kazi itakua chini ya kiwango tarajiwa...nimeipenda hii ya makonda na ninatamani mikoa yote pawepo na viongozi nje ya serikali kufuatilia watendaji wa serikali.nchi itanyooka..ikiwezekana wapewe hata wapinzani potelea mbali ...tuwekane Sawa.
Magu konda💪💪piga kazi baba mungu akulinde tunakupenda saana kaka
Asante baba MAKONDA,shikilia sawasawa mbele kitaeleweka tu !!.❤ HAPA KAZI TU 👏👏👏👏👏💯
Samia ukisitafu mwachie makonda inchi anaweza ❤
Makonda mungu akutie nguvu kiongozi wetu ila nakuomba baba ebu chungulia Kyle kwenye mfuko wa TASAFU WATU WANA ZULUMIWA BABA 🙏🙏🙏
Asanteee ma samia kwa kutuletea huyu mtu kura yangu moja kwa moja kwako mama yangu
Baba katika jina la Yesu namfunika Paul Makonda kwa damu ya Yesu,imeandikwa ufunuo 12:11 tumemshinda Shetani kwa damu ya mwanakondoo
Kwa damu ya ushindi Jehova namfunika mtu uyu ikawe ulinzi kwake..Ameni🙏
Je kama na yeye katoa hiyo damu ya wanakondoo?
Amina
Mungu akuzidishie maisha marefu Paul makonda
Mwenyenzi mungu akutunze muheshimiwa naona kabisa magufuli baba yetu katokea tena
🎉daaaa kaka Makonda Mungu akupe maisha malefu mkowa wa tanga uta enda lini mnazi runguza kivingo kuna changamoto kubwa sana Mungu akutye nguvu 😊
Ameeen Mungu wa mbinguni akulinde tunakufunika kwa damu ya Yesu
Mungu akutunze Dady..heshima imepatikana Arusha
Hongera sana makonda chapa kazi
Hongera makonda wetu Damu ya yesu ikufunike.
Amina
AMINA, MUNGU ASIMCHUKIE MAKONDA ADUMU MIAKA 800
Unapo sema ivi unamanisha nini ndugu naomba elimu juu ya hii kauli yako mm ni muislam naomba kujifunza kupitia hii kauli yako
Kujifunza ni kwamba Damu ya Yesu inalinda pia inaponya @@nassorkhamis6233
@@nassorkhamis6233amini unachoamini mzee
Makonda kwenyeee uraisiiiiiiii Moja kwa kwa mojaaaaaasaaaaaa akuna upinzaniii
😮
jidanganye
Hapa kazi tu
Ndugu Makonda Leo nakuona uko na raha sana MashaAllah
11:23 hongera mweshimiwa makonda una akili sana Mungu akulinde akutunze katika Jina la Yesu Kristo Bwana amina
Mungu akutuze Baba
Nampongeza paul makonda kwa hii kazi ya kufumua majipu yaliyojificha, makonda atumbui ila yeye anafumua ili mama atumbue safi sana mwenezi wetu
Asante mungu kutuletea mgufuri2
Yaan Rais watu wako wanamadudu ni hatari na ndio maana Majaliwa uwa anaondokanao. Makonda ❤❤❤❤,Samia ❤❤❤🙏🙏
😅😅😅😅😅😅😅😅😅 0:24 0:24 0:25 😅 0:25
Mashallah kweli mungu kamleta mjasiri.mwenye moyo kama marehemu magufuli.makonda oyeee mimi nipo kufatilia program zako nazipenda sana na watu wengi sana wanapenda sana program zako sababu unatetea haki za wananchi haki za wanyonge makonda oyeee mama samia oyeeee😂😂😂❤
Makonda anafanya kazi inayowashinda wateule wa Mama Kizimkazi Mungu akuweke sana Papa Paul
Makonda Saidia samia kumaliza ufisadi tanzania na mafissdi warudishe pesa na kufungwa
Makonda Yesu baba akuinue akubariki akukumbuke sanasana
Asante kazana tunakutakia kila la heri ziara ina manufaa makubwa sana
Makonda nimekupenda kwa namna ulivojitoa kusikiliza kero za wananchi Mungu aendelee kukutunza
Samia akitoka ngombea ww kura yangu nakupa ubarikiwe ❤❤❤
Safii sana Makonda safisha
Mh hongela sana kazi nzuri unayoifanya usishie huko mikoani use na hapa dar ufukue minimum ya umeme na maji inatutesa saaaaanaaaa.....
Sant kaka mungu akulinde toka afariki mzee jonh sijawai fatilia mambo ya kisiasa lakini ujio wako nimeanza kukufatilia ziara zako zote
Waooo!! CCM ya Makonda Mungu ailinde
For Makonda i will vote
mama samia raisi wetu hongera sana sana kwa kuchagua kaka yetu makonda kwa stahili hii tuna amani sana sana mungu awalinde nina furaha sana sanaaaa ccm oyeeeeeeeeeee
baba mungu akujalie uish miaka ming
Aibu sana yani tunajivuta jasho na tishu angali safar ni ndefu na jua kali zaidi
YOUNG MAKUFULI KINUKE MKOANI❤❤😂😂
Iv kwann huyu mwamba asiwe rais Ila Nora abaki asije tuacha mapema huyu no mwamba wasukuma huwa watu wanyoofu sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Uyu Jamaa wakiwa Rais kuna Watu atamkimbia Nchi na wengine watakufa kwa BP hawa ndio viongozi ninao wataka .
Hawa ndio viongozi tunataka africa kabisa
Roho ya Magufulu inaishi,Asante Mungu kwa kutufariji
Kabisa Magufuli anaishi ❤
Watching live from Jordan good work mtumishi makonde
Huyu baba huyu mungu amsaidie sana ampe uhai mlefu tyu
Nimekuelewa sana mheshimiwa makonda hata mimi nina kero kubwa sana naamini namimi utanitetea nipewe haki yangu.kwa uwezo wa mungu.naishi arusha
Aisee makonda naikubali Sana kazi ya mkono yako mkuu
Kazi nzuri 🔥🔥🔥🔥
We need leadership like this
Makonda endelea kutetea wanyonge nasi tunakuombea amina
NAMUONA PAULO MAKONDA IKULU THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA 🇹🇿 ♥️ wanaoniunga mkono gonga like 👍
Kamwe hatoweza kuenda ikulu huyo mbwa koko izo sifa anazozitafuta hazina mpango wowote babu acha ushamba hawezi pewa ikulu huyo mbwa koko acha kujidanganya wasukuma wapenda sifa siku zote hawafiki mbali 😂😂😂😂
@@SalumuAlly-d9q”mbwa koko” anawapiga spana wavivu,warasimu na watu kama wewe
@@SalumuAlly-d9qChuki ni chukie lakini moyo wake muachie,,,,weweeeeeeee humpendi lakini tizama wimbi la wananchi watanzania wenye kujitambua wanavomfuata😅kati yako wewe na yeye nani mbwa koko??? 😅😅ilooooooo😅😅😅😮😮😮
Mungu akiamua makonda kwenda hikulu ataenda tuu
Matusi sio hishu swala ni hoja wewe unaye mtukana makonda mungu adhiakiwi apandocho mtu atavuna.
Mama yetu samia mungu Alimtumia amchague makonda wacha makonda atambe Damu ya Yesu inamtuza
Tutumie mitandao vizhri.
Serikali inamkono mrefu kama huna Cha kuongea ni Bora tukaye kimya ndugu zangu wtz
Angalia nyuma yko unawatu wanngapi wanakutegemea ?
Tukumbuke laini zetu tumesaji na vitambulisho gani
Tuache matumizj mabaya ya simj .Mungu atusaidie
mr makond piga kazi my brother
Viva Makonda
Makonda hongera sana
Mama apo kwa makonda umefika mwambie nisamee tu naogopa kuongeya mbele ya watu🤣🤣🤣 makonda chapa kaz
Makonda Raisi wetu baada ya mama mkiti. Nakuombea kaka,kwa haya utalipwa na aliye juu. Tunakupenda na kukuombea
Amen Amen Amen Amen kaka makonda
MUNGU ahsante kwa roho ya magufuri tunaanza kuona inafanya kazi ingawa magufuri amepumzishwa wapatie ulinzi Hawa tunaona matumaini mapya
Safi sana
Naomba makonda Apewe uraisi hata mwakni Anajiamini sana na ninamkubali
Magufuli amefufuka Tanzania back to real life God bless you
Eti magufuli kafufuka wakiristo bwana akili zao kama nguruwe vile
Real he is back, nikimuona MAKONDA machozi yananitoka wallah
Magufuli kafufuka
@user-xd2tg8eq1h Hahaha inaonyesha wewe ni adui wa makonda 😅lakin sisi tunampenda
Mama Samia hyo ndio kiongoz Bora c sio bora viongoz ❤ mauwa apewe 🙏
Nchi hii Ina viongozi mizigo wengi sana wanakula mishahara ya bure kuwatumikia wananchi hakuna . Mhe. Makonda, Mungu akubariki sana.
Mimi nimependa sana ccm ya makonda
CCM ya Makonda ndiyo ile CCM ya Magufuli.
Let him be careful because more enemies are being created as it was on magufuli, he should improve his personal security like not eating any how, you fight thieves, they fight you back in secrecy.
Mkuu mm niko namibia nakupata hewan kupitia tv zetu za online ila 2025 nakuja kupiga kura ya ccm japo nilikuwa nimeishakata tamaa
Kabla kumpongeza makonda mpongeze mama aliyemteua
Safiiiiiii nilisema mama Samia alikua hili jembe litamfanyia kazi
Eee Mungu ulio juu mbinguni nakuomba baba kwa unyenyekevu ukamulinde Makonda na familia yake yaani huyu ni ndugu yake na Magufuli
UMEONA EEEEEEEEEEH DAAAAH ANANIFURAHISHA SAAANA MWAMBA 😅😅😅😅😅
Kazi unayofanya kuwafuta machozi wanaolia wanyonge hakika Mungu anafurahia sana atakulinda nabaya lolote kwa jina la yesu Amen
Mwanangu makonda nimeumia sana walifo sema unaumwa Sasa ujiangalie mwanangu tumbo la uzazi linauma
Jamaa mi namkubar sana anatoa challenge kwa viongoz valaza kama hawa wanaopewa madaraka na ndugu zao
Hayo mahojiano kama mh unajua sababu za huo uhamisho haipo sababu ya kumhoji afisa utumishi tena. Waziri wa afya na waziri wa utumishi na waziri wa tamisemi wanafanya nini! Hao ndio wazembe hawafuatilii manunuzi ya fedha walizoomba kuidhinishiwa na bunge. Wadogo hao watatoleaje taarifa kwenye mikutano ya hadhara?
KWELI KABISA. WATUMISHI WA AFYA WAPO CHINI YA WIZARA YA AFYA. KATIBU MKUU AJIBU HAYO MASWALI
Watanzania woote ambao walimpenda magu nahuyu lazima watampenda kwa hio tuunfane kwa pa1 kumuombea huyu kaka vinginevyo mmh
KWELI KABISA 😅😅😅😅
Makonda rais 2030
kinacho mzuia makonda katika nafasi yake nikutumbua tu baadh ya watumishi wa serekali, ila Mungu atamuinua awe na cheo zaid ya alichonacho.
ila kufa ni faradhi hakuna atakaebaki, hakuna mkamilifu, ila unaupiga mwingi makonda
Icho ndo kinachoniuma mm yani angekua na mamlaka ayo mbona panenoga
Huyu anatakiwa awe waziri mkuu
Makonda ni mtu wa hovyohovyo tu; lakini kusema ukweli nchi hii inahitaji mtu kama huyu Ili mambo yaende sawa. Viongozi wastaarabu kwa kweli wanadanganywa na wanaonewa sana.
Kwajyo Makonda sio wa hovyo hovyo kivile sema ndivyo ilivyo
Nyanoko bhebhe
Ubarikiwe
Kuna wajanja wanakuja hizo Hela 😭😭😭baba chondechomde na walengwa wanapewa kiduchu au hawapati kabisa nakuomba lifanyike u chunguzi wa kina kiongozi wetu🙏🙏
Hongera baba mungu akubariki
Piga kazi makonda mungu yupo pamoja na wewe kwa kutetea watanzania kuna baadhi ya wizara ata bajeti za mapato na matumizi azijulikani ndani ya taifa letu.
Watumbue baba uje na huku songwe
Tusaidie Mh, pauro Makonda jamani watanzania
Haya unayoyahoji viongozi wenzio wa Ccm.Walikuwa wapi hayo mahajiano ni kuonesha udhaifu wa serikali dhidi ya utendaji wake wa mazoea.Yanasikitisha sana!!
Tulia ww makonda Afanye kz
Hahahahaha Nape alisema kipindi kile ccm litashinda hata kwa goli la mkono sawa likashinda kweli kilichomkuta enzi za mwenda zake Tuliona hadharani kwa huyuuuu Leo yupo makukwani Leo,labda amekuja Tena kupaka damu mikono ya mama Samia isiyotaka damu
Hakee makonda astahelia kuwa rais mungu tu afanye miujiza mm from kenya bro unaweza nakupongiza bro
Majizi tu
Makonda yesu akusimamie
Haki huinua Taifa simamia Haki mtumumishi wa Mungu damu ya Yesu ikufunike.
makonda president mwakan
Makondav akue raisi na rc hapi akue makamu
Mh Makonda muulize pole pole afisa wetu jamani mengine siri
Hizo sir asilimia kubwa ndio ufisad wenyewe
Thubutu siri ukoo kwenu,.
Mueshimiwa Raisi Samia suluu Alha akufanyie wepesi inshallah kwenye uongozi wako
Kwakumchagua mueshimiwa makonda
Hapo sawa
Wamekula
Wasukumwe ndani kaka mchwa wanatusumbua sana hao. Wezi wa mali za umma mtanyooka
Makonda anafaa kuwa waziri Mkuu ,Mungu ikimpendeza Mama samia umchague Makonda kuwa waziri Mkuu, Ili awanyoshe vizuri
Honger kak makonda
Mungu akulinde mdogo wangu
Makonda safi sana, safisha mchwa hao.
Tunaipenda Tanzania iliyochangamka
Komesha sana hawoo masadi wasio penda maendereo ya Wana nchi kazi kujijali wenyewe tu na familia zao
Namuona makonda kuleeee anapaaa
Msh utakakuja kuwa rais 🇹🇿🇹🇿
Jaman watanzania kuwen macho sasa kama utendaji wa viongozi wa serikali ndo huu, this is exactly systemic failure. John pombe alisimamia maadili ya watumishi ila kwa sasa eee...
The time will tell ngoma ikivuma Sana lazima ipasuke
Wa Mara Tanzania naomba namba za mh makonda
Mtu yeyote akifanya Jambo ama Kazi bila ya kuwepo mwajibishaji Ile Kazi itakua chini ya kiwango tarajiwa...nimeipenda hii ya makonda na ninatamani mikoa yote pawepo na viongozi nje ya serikali kufuatilia watendaji wa serikali.nchi itanyooka..ikiwezekana wapewe hata wapinzani potelea mbali ...tuwekane Sawa.
Ah makonda mwamba kweli kweli😂❤
Wezi hao wanamishara bado wanaiba pesa za umma fyeka hao waje walime waone kama nivyepesi nasisi tunalima ile hali tunasifa kama wao