Mkuu wa Idara hajategemea kilichotokea mbele ya RC Hapi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025

Комментарии • 170

  • @twalibuchilumbe7751
    @twalibuchilumbe7751 5 лет назад +16

    Uyu RC angekuwa waziri tu maana duh nakubali kazi zake

  • @janethjustin5256
    @janethjustin5256 5 лет назад +5

    i am real real impressed with you Hapi usibadirike👏👏👏

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 5 лет назад +6

    Safi sana mr hape kazi yako ipo vizuri sana

  • @partohmsee5992
    @partohmsee5992 5 лет назад

    Kongole sana kwa kazi nzuri tanzania,,,Hila kenya tunaeza pata mmoja kama wewe,,,,,Kongole ...kongole

  • @AlexisAjwantos
    @AlexisAjwantos 10 месяцев назад +1

    Sema bb mokozi wa wanainchi

  • @dionisemyigezo9137
    @dionisemyigezo9137 5 лет назад +28

    RC Hapi,
    Duuu umelelewa wapi wewe mbona unayashangaza macho yangu,
    Hongera sana!!!
    Nimekuelewa

    • @estermpagama9664
      @estermpagama9664 5 лет назад

      Dionise Myigezo Iringa mmepata kiongozi bora mtumieni mpate maendeleo

  • @freddymello3227
    @freddymello3227 5 лет назад +24

    Hongera sana Mh. mkuu wa mkoa.
    kwa Mwendo huu tutafika.
    Tanzania bora inakuja!

    • @mwajumajuma3334
      @mwajumajuma3334 5 лет назад +1

      Yan uy mkuu wa mkoa wa iring angekuj tanga raha xan

    • @freddymello3227
      @freddymello3227 5 лет назад

      Mwajuma Juma ,yaani kwa namna hii Tanzania tungefanikiwa sana.kama wote wangekuwa namna hii.
      ila Tanga ntakuja mimi,naomba mvumilie kidogo

    • @poulkiarie254
      @poulkiarie254 5 лет назад

      Aki , Rc Hapy si magufuli akupe transfer uje hapa kwetu kenya unyoroshe kindogo,Hongela sana mheshiwa.

    • @fatumashabani5341
      @fatumashabani5341 5 лет назад

      Honger san mkuu was mkoa wa iring hii ndo Tanzania mpya Allah akulinde san

  • @missmoresa8854
    @missmoresa8854 5 лет назад +6

    uko vizuri tetea wanyonge mungu atakulipa

  • @bahatiali5018
    @bahatiali5018 5 лет назад +18

    Yaaani natamani uongozi huu hongera kiongozi

  • @christopherkizigo5454
    @christopherkizigo5454 5 лет назад +20

    Kiongozi wa kweli anapaswa kuwa hivi. Big up mkuu kaza but safisha magugu yote yanayowatafuna Watanzania

    • @upendojosefu4457
      @upendojosefu4457 3 года назад

      Hakika unafaa sana wewe ni kionzi bara mwezi mungu akulinde

  • @abdulmusa1446
    @abdulmusa1446 5 лет назад +1

    mkuuu nakukubali sana tuendlee ivo ivo ayo salute kwa kukutup taarifa

  • @dariusmutunga6842
    @dariusmutunga6842 5 лет назад +2

    I can see the next magufuli in Tanzania keep it meeen

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 5 лет назад +11

    Dah kweli hii awamu kali zaman utamuona wap.mkuu wa mkoa ujieleze jaman magu ashukuriwe sikuhiz wakuu wa mikoa tunapanaga mambo pamoja

  • @stanleyofficial6913
    @stanleyofficial6913 5 лет назад +1

    kamaa umemwona diamond wa iringa akiwaa kalibu na maiki like hapa

  • @oscarmarandu1346
    @oscarmarandu1346 5 лет назад

    kazi nzuri mweshimiwa sisi sisi wa hali ya chin ndo tuna oneana mwisho wa siku tuna laumu serikali na chama, tungepataviongoz wa namna hii tunge heshimiana pumbavu

  • @zainabuahmed5910
    @zainabuahmed5910 5 лет назад +2

    Safi sana Dogo,
    Kuna masnema mengi kwenye utendaji

  • @fatmakessy981
    @fatmakessy981 5 лет назад

    Yaani kumbe kunawatanzania waaina hii kwakweli nikitu chakushangaza mungu akubarik kk naakupenguvu naakuondolee husda .nakupenda sna🙏

  • @mparemusa9787
    @mparemusa9787 5 лет назад

    Ninavyofahamu Mimi mkuu wa mkoa ni raisi wa mkoa kwaiyo unachokifanya mweshimiwa kinaendana na Kasi ya raisi wetu wa awamu ya tano ,nakupongeza sana mh,mungu aendelee kukutia nguvu .

  • @Ami_2024-i7s
    @Ami_2024-i7s 5 лет назад +1

    Hapi you are the best ❤️❤️❤️💯💕💕💥💥💥

  • @radhemohan7490
    @radhemohan7490 5 лет назад

    nakufatilia sana mkuu wa mkoa nataman uwe Rais Tz tutaeshmiana na ndoto ya kukua kwa uchumi itatimia.. baadh ya watu kua juu ya sheria ndio kinachodumaza maendeleo ya uchumi wa nchi👏👏👏

  • @beatricenicholausiwasa7601
    @beatricenicholausiwasa7601 5 лет назад +43

    hichi kipindi cha magu mtanyoka tu mmetutesa sana

    • @jamaliddiin9357
      @jamaliddiin9357 5 лет назад

      Beatrice Nicholaus I was a hhhhhhhhhhh kweli kk acha wanyooshwe tu ,lkn cha ajabu , wakuu wa mikoa wengine wako wapiiiiii???

    • @maligisadotto8631
      @maligisadotto8631 5 лет назад

      @@jamaliddiin9357 wengine naona kama hawaungi mkono nyendo za Rais na yeye anawacheck tu nadhani anawapigia timing🤔

  • @Tariqxxtenations
    @Tariqxxtenations 5 лет назад +2

    Hawajui wajib wao.wanajua kupata pesa tu😂😂

  • @FausitnePonera-fq9pj
    @FausitnePonera-fq9pj Год назад

    Hapo lrnga manispaaa wanakelo sana hao mpka wanaudhi😊

  • @allyabdallah7822
    @allyabdallah7822 5 лет назад

    mueshima ongela sana kwa kazi yako mungu atakulipa

  • @rashidjumanne1984
    @rashidjumanne1984 5 лет назад

    Muheshimiwa mkuu was mkoa magufuli mungu amjalie kuwapata watu Kama ninyi Nani angetatua matatizo haya watu wengi tumedhurumika ila mi nakuombea maisha marefu

  • @dominikishilali1377
    @dominikishilali1377 5 лет назад +1

    Kazi. Unayo mkuu wamkoo kila siku tabu Sana tanzaniz tulikua naviongozi magumashi sana ila namini hii ndio selikali ya wanyonge

  • @deomsigwa3150
    @deomsigwa3150 5 лет назад +1

    kaka upo vizuri wamezoea kk

  • @husainabdu2676
    @husainabdu2676 5 лет назад +4

    Bravor sana kaka mkuu wa mkoa Ally hapi

  • @naomikakingo7070
    @naomikakingo7070 5 лет назад +8

    Haaaaa mheshimiwa hakukosea kukuchagua nakuelewaga sana

  • @furahalunyungu936
    @furahalunyungu936 5 лет назад +2

    na mikoa mingine muige mfano huu mzur sana wananchi hatutaichukia serikali!!!!!

  • @MhenyaMashomali-lr4ip
    @MhenyaMashomali-lr4ip Год назад

    Mungu akulinde wewe nimkombozi wawanyonge

  • @barrysulty1756
    @barrysulty1756 5 лет назад +6

    Kwa Awamu hii ya tano naona watanyoka hapa kazi2 tumbuwa wote walaji rushwa wanaoibia serikali nà wahujumu wote!

  • @alitesco4943
    @alitesco4943 4 года назад

    Huyu ni future president mashallh

  • @alexmugisha4848
    @alexmugisha4848 2 года назад

    Kizuri hakidumu, ipo siku mama atafanya jambo zuri juu Yako🙏

  • @fatoomfatoom5590
    @fatoomfatoom5590 5 лет назад +1

    🤣🤣eti km mchawi Ally HAPI MUNGU akusimamie kwakweli

  • @dekinho2020
    @dekinho2020 5 лет назад

    I swear this guy deserve tz president aki ya mungu next magufuli big up ally hapi

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 4 года назад

    Mkuu wa mkoa. Pongezi sana piga
    Kz Pambana

  • @dastunluswaga5182
    @dastunluswaga5182 5 лет назад +7

    Sawa kijana mwenzangu wambie hawa jamaa yaan ukiandika barua ukapeleka utaambiwa acha namba ya simu tutakuita uje ujukue ndio ushaachwa hivo...

    • @imeldabamba3779
      @imeldabamba3779 5 лет назад

      Dastun Luswaga halafu nilichogundua hawa mipango miji wanauza viwanja vya watu walivyoachiwa na wazazi wao ndo wanauza,tunapata mashaka kununua viwanja manispaa,wanasumbua kinoma.Ukifa ghafla ndo ushadhurumiwa hivyo,bora kununua kwa binafsi

  • @winfridawilliam2289
    @winfridawilliam2289 5 лет назад +1

    Kamweneeee Hapi safi sana

  • @gabysixleonard7624
    @gabysixleonard7624 5 лет назад

    NATAMANI WAKUU WA MIKOA YOTE WAWE IVI MUNGU AWASAIDIE SANA...HONGERA BROTHER HAPI...

  • @maligisadotto8631
    @maligisadotto8631 5 лет назад +10

    Watumishi wa idara ya ardhi sijui huwa wanafundishwa utapeli chuoni, maana wamekuwa chanzo cha migogoro ya ardhi nchini kote kila Halmashauri ni shida tupu. Wanatakiwa wabadilike vinginevyo watavuna walichopanda.

  • @geromehavyarimana7828
    @geromehavyarimana7828 5 лет назад

    Namukubali

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 5 лет назад

    Hapi mwili mdogo Ila mambo yako makubwa ,nakupendaga bureee

  • @matingo-bk1248
    @matingo-bk1248 5 лет назад +2

    Kazi mzuri

  • @shukuruilomo768
    @shukuruilomo768 5 лет назад

    Mkuu hongeraa sana toka nazaliwa sijawahi kuona mtetezi wawanyonge

  • @mamymamiza2924
    @mamymamiza2924 5 лет назад

    Mungu akulinde na jicho baya la mahasidi

  • @raphaelsikumbi5517
    @raphaelsikumbi5517 3 года назад

    Rc hapi wewe ni kiongozi safi pia ni hazina ya taifa

  • @alexisnduwimana4363
    @alexisnduwimana4363 4 года назад

    Napenda gisi uu mku wa mkoa anatatua mgogoro ya wana inchi ningebaatika kuona number yake ya sim ya whatsapp

  • @devothaignatus5911
    @devothaignatus5911 3 года назад

    Jmn ww baba naona unafaa kuwa Rais unaakili sana unaongea point tu

  • @chobingozubery1998
    @chobingozubery1998 5 лет назад

    Hongera wajina uko vzur kaza buti hakuna namna

  • @zaitunmtove4050
    @zaitunmtove4050 5 лет назад

    Asante Sana mkuu wa mkoa wa iringa wanyooshe baba wamezidi Sana iringa mpya ndo hiyooooo na magorofa mapyaaaaa

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 5 лет назад

    Duuuh mbona yatawatokea puani😃😃

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 5 лет назад +1

    MH NASSARI ALIANDIKA BARUA KWA #NDUGAHI BILA MAJIBU.. MESSAGE SENT

  • @zainabubalama4622
    @zainabubalama4622 4 года назад

    Mh Rc hapi tunakuomba ufike Kijiji cha Wangama usikilize kero za Wananchi wako

  • @rahelmasiga1503
    @rahelmasiga1503 4 года назад

    Huyu kiongozi Safi Sana unaokoa watu wengi na Mali zao hiki kipindi Cha awamu ya tano kila mtu Ana Uhuru wa kuongea haya jamani hayakuwepo ndio maana watu walikua Wana uwezo wa kufanya chochote

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 5 лет назад +1

    Muheshimiwa Ali happy una endesha sheria Kiisilamu.

  • @bahishaalexander3641
    @bahishaalexander3641 5 лет назад

    ni kati ya wakuu wa mkoa bora kabisa kwa sasa kwa kutathimini anayoyafanya.inapendeza sana.

  • @exaverykalinga1487
    @exaverykalinga1487 5 лет назад

    Mimi huwa nafurahi sn kuona kiongozi anatetea wanyonge kama huyu.soma coment za watu ndo utaelewa.pig up rc happ tunakupenda wana iringa.

  • @grorynanyaro5571
    @grorynanyaro5571 3 года назад

    Daa angeletwa kwetu arsha

  • @khamiskombo5965
    @khamiskombo5965 4 года назад

    Aisee...huyu jamaa cjui katokea wap kiukweli, ila yupo vzr sannaaa...angekuja hata Zanzubar.

  • @niccokisinini1039
    @niccokisinini1039 5 лет назад

    Good tupo pamoja mkuu wetu wametutesa sana

  • @MrEve1975
    @MrEve1975 5 лет назад

    Safiiii sanaaaaa yaani kweli unataka kuuza nyumba kisa 1m tena ya ugangaaaa????? mfyuuu zao kweli haki ya mtu inarudi hata ipite miaka 50

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 11 месяцев назад

    Serikali hiyooooo Kali watu wasifanye utani wa mazoea

  • @benjaminhonga6771
    @benjaminhonga6771 5 лет назад

    Mh nakuelewa sanaaa tanesco tatizo iringa

  • @salmaoman6347
    @salmaoman6347 5 лет назад

    Good job kka

  • @mustafamohammed2696
    @mustafamohammed2696 5 лет назад

    Kazi nzuri

  • @bakariluhala7332
    @bakariluhala7332 5 лет назад

    Upo sawa hapi piga kazi

  • @peterlaiza1399
    @peterlaiza1399 5 лет назад

    Bigap sana kiongozi, uko poa sana

  • @kellyjohn8154
    @kellyjohn8154 5 лет назад

    imenimid tu nicoment hongera sana mkuu wamkoa wa iringa

  • @severinifulgensi2686
    @severinifulgensi2686 5 лет назад

    Ha! Filikunjombe cha mtoto,waliopotelewa na mh Filkunjombe umewashaulisha machungu

  • @janethnkembo5808
    @janethnkembo5808 3 года назад

    Kweli.haki itendeke..

  • @KP-kn2no
    @KP-kn2no 5 лет назад

    Kweli mkubwa watu wameteseka mda mlefu

  • @anthonykenneth.1780
    @anthonykenneth.1780 5 лет назад

    I wish Kenya was like this

  • @edsonmbilinyi8551
    @edsonmbilinyi8551 5 лет назад +2

    Wananchi wanaweza chonganisha viongozi wakapoteana.....kunahitaji hekima sana......

    • @enocknkwama4818
      @enocknkwama4818 5 лет назад

      Sawa Mr Mbilinyi

    • @imeldabamba3779
      @imeldabamba3779 5 лет назад

      EDSON MBILINYI kinachosemwa na wananchi kweli tupu kaka,MIPANGO miji Iringa ni shida ,kuna rafiki yangu walimdhulumu kiwanja chake ilhali alishakilipia wakawa wanamzungusha kumpa hati,basi alimua kunyamaza tu ikabidi akanunue kwa MTU binafsi na kashajenga tayari,yaani MIPANGO miji ukishalipia kiwanja hiyo hati utazungushwa weee km pia

  • @japhethbaalinda1756
    @japhethbaalinda1756 2 года назад

    Watu kama hawa ndio samia hawataki sasa ndio wananchi tujue ni serikali ya aina gani tuliyonayo

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 4 года назад

    Kazi wanayoo

  • @mamymamiza2924
    @mamymamiza2924 5 лет назад

    Nakuomba hapi ugombee ubunge ili uwe waziri mkuu utusaidie wote asante magu

  • @erastoselemani5443
    @erastoselemani5443 5 лет назад

    Safi sana mkuu wa mkoa ayo ndio mambo.

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 5 лет назад +3

    Mwaka huu wa magufuli mutakoma

  • @samueljr9105
    @samueljr9105 5 лет назад

    Eti babako akiwa manamba hupati plot duuh mama jeuri kweli

  • @kurwaisinika3011
    @kurwaisinika3011 5 лет назад

    Mungu akujaalye

  • @barakamweta9958
    @barakamweta9958 4 года назад

    Hawo wana siasa za analogy. Watumbuwe, Kazi kukaa ofisinitu, utafikiri wako lasaba, wasomi gani, wehu, watoe wote, mijeuri Hiyo,

  • @barakamweta9958
    @barakamweta9958 4 года назад

    Wamezoea utawala uleeeeee. Hawo wanga wa maendeleo, wamgeie. Wakuu wamikoa wengine wamelala utafikiri wao hawana matatizo, Raisi watoe wanaolala, kijana huyu, sabaya, makonda sikuhizi yuko kimya sijui kwanini, kwanini hujui, mtoehuyo

  • @mwaisimbashuga-de6fy
    @mwaisimbashuga-de6fy Год назад

    Huyokiongoz mzulihanamashala

  • @mbokaandbahatitv8509
    @mbokaandbahatitv8509 5 лет назад

    Siku moja Utakuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania

  • @سلمىسيف-غ7خ
    @سلمىسيف-غ7خ 5 лет назад +2

    Mweshimewa wanyooshe maana kazi Yao niuwongo tu tena usivitizame vitambi vyao hivyo nidhuluma tu wameshiba

  • @damasmzena4363
    @damasmzena4363 5 лет назад +3

    Kazi nziri mheshimiwa mkuu was mkoa

  • @bahatimgaya6095
    @bahatimgaya6095 5 лет назад

    Mkuu wa mkoa kweli yupo kazini. Tukienda ivi dhuluma hato kuwepo.

  • @edsonmbilinyi8551
    @edsonmbilinyi8551 5 лет назад +2

    Duh! Aisee....kazi wanayo

  • @oliviamasao2891
    @oliviamasao2891 4 года назад

    Mlizoea mnakaa ofisini kama mabwanyenye kila siku njoo kesho njoo kesho... mmenyooka mxiuwwww

  • @fredykephacy9230
    @fredykephacy9230 5 лет назад +1

    wanyoooke wezi hao

  • @ramsomedia3550
    @ramsomedia3550 5 лет назад

    Haki tumeteseka sana... Awamu hii wanyooke tu

  • @natyvan4071
    @natyvan4071 5 лет назад +3

    Wanao muelewa mkuu wa mkoa wa kamwene

  • @safarimallya4536
    @safarimallya4536 5 лет назад

    Watu wa ardhi #hatari sana, wanaringa sana, waonevu sana

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 4 года назад

    Wapi makavu maana haooo

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 3 года назад

    Hawa watumishi wa arithi wathulumaji sana wa viwanja via watu

  • @lamsonkaminyoge5720
    @lamsonkaminyoge5720 5 лет назад

    RC minekuelewa Sana unafaa kuingwa na Jami

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 11 месяцев назад

    Huyu ni mkali kuliko makonda tena siyo mchezo

  • @rutimarlon
    @rutimarlon 5 лет назад

    Uyoo mhs mkuu wa mkoa anaitwa nani??
    Na ni wa mkoa gani??

  • @PeterMarceli
    @PeterMarceli 10 месяцев назад

    mkuu we mfano kwa viongozi wengine