NDUGU WALIONUNIANA WARUDI KWAO NA MSHIKO WA RC ALLY HAPI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 208

  • @ashamganga6636
    @ashamganga6636 5 лет назад +119

    Kama kuna mtu anaangalia huku akisoma komenti aungane na mm 😂😂😂😂

  • @mustaphatibaijuka6995
    @mustaphatibaijuka6995 5 лет назад +11

    Mh.RC mungu akulinde jamani unafanya vizuri katika uongozi wako

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 5 лет назад +21

    That’s why Tanzania is in my heart

  • @dionisemyigezo9137
    @dionisemyigezo9137 5 лет назад +4

    The work is being done,
    At least my eyes shows me that.
    I feel deeply like believing all that RC Hapi is doing!
    Heko sana kiongozi!

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np 5 лет назад +44

    Kaka Hapi unatenda kama mfalme Suleiman, be blessed🙏🏼

    • @zaidishabani5745
      @zaidishabani5745 5 лет назад +1

      Hakika

    • @titusrobert5890
      @titusrobert5890 5 лет назад +1

      Hapi wewe ni kiongozi kero za watu ndogondogo kama hizo unazotatua nimefuatilia sana ziara zako baada ya watu kuridhikka na kuamini uongozi lazima maendeleo yasonge mbele. Hicho ndo kilikuwa kimekosanika huko nyuma. Ongera utawala wa uncle magu tunawaombea kwa mungu afya njema. Tutafika

    • @SSs-tb9yo
      @SSs-tb9yo 5 лет назад

      E K Aamin

    • @1stladyafrica402
      @1stladyafrica402 4 года назад

      Kwakweli busara imeokoa undugu .Mungu ambariki sana

    • @jumanesaidi7635
      @jumanesaidi7635 4 года назад

      Mh. Hapi hapa umetisha!
      Umetumia busara tupu.

  • @hasnasaif1075
    @hasnasaif1075 5 лет назад +10

    Asante mkuu wamkoa nimetokwa namachozi ya furaha

  • @abdallahally2014
    @abdallahally2014 4 года назад +2

    Ally may ALLAH bless you.always watching your videos here in kigali Rwanda

  • @afandebrighttz2887
    @afandebrighttz2887 5 лет назад +7

    Boss wangu mkuu wa mkoa ,A Happy Mungu akupe hekima zaidi

  • @albertchubwa2546
    @albertchubwa2546 5 лет назад +6

    Ally Hapi unafanya kazi nzuri nakupongeza

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 5 лет назад +2

    Happy Mungu akulinde na maadui sijawahi ona mapungufu yako kwa macho kibinaadamu good job

  • @wardadanda6322
    @wardadanda6322 5 лет назад +11

    mungu anajionyesha kupitia kwako mkuu wa mkoa

  • @troubleboy2590
    @troubleboy2590 5 лет назад +4

    I’m crying like man 😖

  • @partohmsee5992
    @partohmsee5992 5 лет назад

    Mungu akubariki kwa kazi nzuri unayoifanya nmeipenda kabisa

  • @elianestory5159
    @elianestory5159 4 года назад +1

    Bibi anaonekana ana miaka 60 halafu alibebwa kwenye Bodaboda kwa Mara ya kwanza kuona Bodaboda ilikuwa mwaka gani

  • @aminakazogolo9914
    @aminakazogolo9914 5 лет назад +4

    Hongera Mh.Ally Hapi

  • @behonest9964
    @behonest9964 5 лет назад +1

    Mashaa ALLAAH tabaraka ALLAAH CCM juuuuuuuu👍👍👍👏👏👏

  • @robertwamaya2984
    @robertwamaya2984 5 лет назад +1

    God increase the wisdom of RC Hapi... This has reminded me the wisdom of Solomon.

  • @dicksonhassan7206
    @dicksonhassan7206 5 лет назад +6

    Daah mh ally hapi mjanja sasa alopogundua ttzo haraka sana akatumia method inayosema "penye fitina weka rupia"basi kamaliza ttzo very simple

    • @abdulmelele7322
      @abdulmelele7322 4 года назад

      Tatizo lilipoanzia ku repear nyumba ya marehem baba🤣🤣🤣🤣

  • @said306nyatu9
    @said306nyatu9 4 года назад

    Mungu akulipe R c

  • @user-we2qz1kb8h
    @user-we2qz1kb8h 9 месяцев назад

    Jamani mhexhiwa nimefurahi sana mungu akubarki sana

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 4 года назад +2

    Hahahahahaha kama. Umeckia ety. Anae kataa ccm. Mchawi gonga like twende saw ☹☹😥

  • @najma3268
    @najma3268 5 лет назад +3

    Mungu awabariki na awazidishie mlikotoa , nimekua na furaha hadi nimelia machoz yamenioka kwa furaha wallah 😭👏👏👏

  • @johndieme6402
    @johndieme6402 4 года назад

    Uyumubabaminamupedaka mungu amujariye

  • @momepeter9161
    @momepeter9161 4 года назад +2

    Nimemonea huruma yule bibi asiye na wazazi😥😥

  • @user-bq4tk6yq2q
    @user-bq4tk6yq2q 10 месяцев назад

    HAPI ANAFAA SANA KUWA RC

  • @hylinemaraga9615
    @hylinemaraga9615 5 лет назад

    Mungu akupaliki Bwana Hapi wairingo kwa ukweli hunaofaya upalikiwe Sana amen .

  • @julianavenance6356
    @julianavenance6356 5 лет назад +1

    Aisee mh hapi uko vizuri sana kwanza hata hautumii nguvu kutatua hiyo migogoro ila naona unatumia akili na busala, kila mkoa ingekua hivo poa sana Mh piga kazi na huo ndo ubinadam, mungu awe nawe

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 5 лет назад +4

    Ali happy for sure unafanyakazi nzr sanaa

  • @yustochitema1131
    @yustochitema1131 5 лет назад +1

    Hongera Mkuu wa mkoa kwa hekima yako

  • @japharykikoti3391
    @japharykikoti3391 5 лет назад +4

    Kwa kweli Mh Ally Hapi Una Enjoy Kusikiliza Kero za Wananchi Wako..

  • @godfreyjames8582
    @godfreyjames8582 3 года назад

    Safi sana mh hapi

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 5 лет назад +1

    uyo ni mfalme Suleiman happy mungu akutie nguvu

  • @yjonytbt4683
    @yjonytbt4683 4 года назад

    Congratulations tz mumejaliwa kua naviongozi shupavu I wish Kenya ingekua hivyo ingekua mbali sana

  • @faidaimmaculee28
    @faidaimmaculee28 5 лет назад

    Mungu akuzidishiye maisha marefu

  • @msuyapili1973
    @msuyapili1973 5 лет назад +1

    Mungu kakupa hekima na busara hakuzidishie Kila raheli.

  • @wahabmkazi7902
    @wahabmkazi7902 5 лет назад

    Ally Hapi, mfano wa kuigwa na viongozi wengine. Anajua fika nini anapashwa kufanya. Pamoja namambo mengi lkn anawasikiliza na kuwasaidia wanyonge. Ktk style ya kipekee sana. Mheshimiwa Hapi shikilia hapo hapo tutafika. Unaowaongoza wakiwa na amani kazi yako inakuwa rahisi. Mungu na ukutunze

  • @musayahaya2514
    @musayahaya2514 4 года назад

    Mungu akupe maisha mema

  • @msuyapili1973
    @msuyapili1973 5 лет назад

    Mungu akuzidishie mh kuu wetu

  • @mswadikubushumbilo7170
    @mswadikubushumbilo7170 5 лет назад +1

    Big up mkuu wa mkoa

  • @norafrowin1748
    @norafrowin1748 4 года назад

    Yaani Namuona Rais wa miaka ijayo.Hivi unajua kweli kuwa Kuna watu wanakupenda mh Ally Hapi? Yaani maono yangu kwako ni makubwa saaana na Mungu naomba aniweke niyaone yakitimia.Nakupenda mh Hadi Basi nipo dar ila nakufatilia kila hatua yako barikiwaaa

  • @saidiselemani7786
    @saidiselemani7786 4 года назад

    Mkuu wa mkoa mungu akupe maisha hivi wengine hawaoniiiii

  • @pinielpamojasanaelias7621
    @pinielpamojasanaelias7621 4 года назад

    Daaa huyo mkuu wa mkoa yuko safi sana

  • @leliyonkamolleh9372
    @leliyonkamolleh9372 5 лет назад

    I appreciate u RC HAPI

  • @rowlandmabwa9076
    @rowlandmabwa9076 4 года назад

    This guy Hapi is reeeal Man. We need to porch him to Kenya for some wisdom.

  • @hasanikalinga6755
    @hasanikalinga6755 3 года назад

    hassani.kalinga

  • @ngingobruno6287
    @ngingobruno6287 5 лет назад

    Big up RC

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 5 лет назад +3

    Muelewane mama zangu sawa jamani

  • @tindokamuti8142
    @tindokamuti8142 4 года назад

    huwa siwakubali wana siasa lkn huyu RC namkubali sana fuul off Pierce

  • @isayakahemela4881
    @isayakahemela4881 5 лет назад +6

    Politics. Enzi za kuzaliwa Mama huyu kweli boda zilikuwepo?

    • @alyrafael4405
      @alyrafael4405 5 лет назад +1

      Yani huyu mama na mshangaa bodaboda hazikuepo kk

    • @madjidhamza1587
      @madjidhamza1587 5 лет назад

      Honda ndo boda za zaman kwahyo anashindwa kutofautisha

    • @colethacharles548
      @colethacharles548 5 лет назад +1

      Hapo kwenye boda boda nimecheka huku najamba

    • @colethacharles548
      @colethacharles548 5 лет назад

      Mama kajua kutuongopea huyu alibebwa kwenye boda boda khaaaa

  • @dariadeus8979
    @dariadeus8979 5 лет назад

    nimeipenda bur

  • @tumsifujasson4716
    @tumsifujasson4716 5 лет назад

    Mungu nimwema brother

  • @maikofrae560
    @maikofrae560 5 лет назад

    Mkuu wa mkowa iringa napenda sana kazi yako

  • @sadamasare3458
    @sadamasare3458 5 лет назад +5

    Haha duh cjawahi kucoment hii ya leo nomaa aisee

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 5 лет назад

    Mungu Akulinde mkuu

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 6 месяцев назад

    Ally hapi uko wapi baba😭😭😭😭😭😭😭

  • @selemanimkonga8150
    @selemanimkonga8150 5 лет назад +3

    Wachawi wenzangu tulike hapa😂😂😂

  • @jasmineshechambo3401
    @jasmineshechambo3401 5 лет назад +4

    Huyu mama mwembamba anachekesha jaman🤣🤣🤣

  • @pascaljohn2148
    @pascaljohn2148 4 года назад

    Mungu kaumba Tanzania mpya,vio ngozi wa Tanzania ya leo mbarikiwe sana.

  • @gracemwanjabala8073
    @gracemwanjabala8073 5 лет назад

    asanteeee jamniii huyooo mama yatima katiahuruma

  • @elizabethdismas7660
    @elizabethdismas7660 4 года назад

    Duuh ama kweli,

  • @eliazarinyakiema1969
    @eliazarinyakiema1969 5 лет назад +2

    Hawa kina mama wameniacha hoi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @deborahjm8890
    @deborahjm8890 5 лет назад +2

    Dhuu 🙆‍♀️🙆‍♀️

  • @Danmetrofm
    @Danmetrofm 5 лет назад

    Ally hoyee

  • @scollorpatrick7214
    @scollorpatrick7214 5 лет назад

    Safi sana mkuu wawilaya

  • @levismhogoro5622
    @levismhogoro5622 5 лет назад +1

    Hekima nikitukizurisana yanihuyu ni Suleiman

  • @benadetamwashala62
    @benadetamwashala62 5 лет назад

    Mungu aendlee kkpa hekima zaid mweshmiwa kma sleman

  • @alexalexsebahire5695
    @alexalexsebahire5695 5 лет назад

    Jamani huyu muheshimiwa nimemupenda sana anisaindie number haki mungu ako

  • @abdallahmuttaq7306
    @abdallahmuttaq7306 5 лет назад

    Hawa ni viongozi na hazina ya viongozi nchiyetu inawahitaji na mimi namuombea kwa Allah amjalie asijebadirika na insha'Allah atakujakuwa kiongozi mkubwa ktika Tanzania

  • @naomikakingo7070
    @naomikakingo7070 5 лет назад +9

    Mali za urithi kwangu hapana ngoja nikazane kutafuta zangu

  • @halimajamaniamekuwamndeme9617
    @halimajamaniamekuwamndeme9617 4 года назад

    Hapi baba unakaziiiiiii,

  • @rehemakulaba923
    @rehemakulaba923 5 лет назад

    Yaani serikari hii safiiiii

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 лет назад +3

    Haya matoto yakulelewa hayanaga hisani. Yani unawatunza hadi wakubwa kisha anakuja kukusumbulia wanao.

  • @neybenson7881
    @neybenson7881 4 года назад

    Mabati hoye yamerejesha amani

  • @predigangaruwaichi3490
    @predigangaruwaichi3490 4 года назад

    Mmmm shamoo mweshimiwa

  • @mbeyauwsa5848
    @mbeyauwsa5848 5 лет назад

    Mkuu wa mkoa njoo Mbeya usikilize kero za wananchi maana huku Mmmmh sijaona kabisa Mikutano Kama hii.
    Kama nawe unaunga mkono gonga like twende sawa

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 5 лет назад +4

    Yaani Nimecheka miyee,KAMWENEEEE

  • @hassanramadhan8978
    @hassanramadhan8978 4 года назад

    Tanzania ndio nchi bwana

  • @zaidishabani5745
    @zaidishabani5745 5 лет назад +2

    Nimekubar mkuu wa mkoa kwel vijana tunaweza

  • @veronicangwale7159
    @veronicangwale7159 5 месяцев назад

    Walikosea sanaaa kumtoa huyu iringaaaaa

  • @Hassan_Mengi
    @Hassan_Mengi 5 лет назад

    Unafaa kuwa kiongozi Mhe. RC

  • @dhoulkefyljr8637
    @dhoulkefyljr8637 5 лет назад +4

    i bet ccm wataendelea kutawala kwa mda mrefu coz wanafaham namna ya kuwashawshi wananch kuw upande wao
    2020 si mbali panapo uhai watu wanasahau conflict zilzopo ktk vyama vyao badala yake watasema wameibiwa kura na hali wagomban huku wenzao wachukua point muhim vijijini
    sasa nin utawambia watu hawa apart from ccm
    #ngoja tuone 2020

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 5 лет назад

    Gud job broza ally bt Mic controller mkudaa kichiziii😂😂😂

  • @jasiminhamisi8316
    @jasiminhamisi8316 5 лет назад +3

    Hahaha subili kwanza niwanbie nyinyi

  • @chamam5031
    @chamam5031 5 лет назад +2

    Hadi machozi yamenitoka mama anatembea kwa magoti

  • @happykipeya8516
    @happykipeya8516 5 лет назад +1

    Kamwene 😃😃😃😃

  • @gamechanger9646
    @gamechanger9646 5 лет назад +6

    😂😂mama amenimaliza

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 5 лет назад +1

    Natamani ungekuwa mkuu wa mbeya😂😂😂

  • @relaxchinese4103
    @relaxchinese4103 5 лет назад +4

    Subiri sasa nikuambie kamwene jamani

  • @bintysayd1763
    @bintysayd1763 5 лет назад +1

    Uyu madam ataka mtia makofi mkuu wa mkoa 😆😆😆 ooowi nimecheka

  • @marrykamera611
    @marrykamera611 5 лет назад

    Njaa

  • @jacklinejosam3713
    @jacklinejosam3713 10 месяцев назад

    Hakka kadada ni comedy kweli

  • @markrichardfreemasonry2602
    @markrichardfreemasonry2602 5 лет назад

    2020 inakaribia

  • @hamadshein935
    @hamadshein935 5 лет назад

    Raha co raha. Rahaaaaaa

  • @margarethsaramaki1100
    @margarethsaramaki1100 5 лет назад +1

    Huyu ana roho mbaya huyo dada mwenye nyeupe

  • @dismaskipingu4409
    @dismaskipingu4409 5 лет назад

    Huyu Bibi anachekesha sana. Yaani amekataa kumuachia ndugu yao eneo aweze kumpunguzia mkuu wa mkoa maisha?

  • @aisamuro3158
    @aisamuro3158 5 лет назад +2

    Yan sisi hatuna ugomvi tuna amani kabsaa hyo nguvu ya pesa 🤣🤣🤣

  • @ramanhoibrahim3383
    @ramanhoibrahim3383 5 лет назад

    Daah mpk machozi yamenitoka aisee..

  • @mmasymery391
    @mmasymery391 4 года назад

    Hahahaaaaaaa!!!!!! Jamani kes nyingine hiz duuu

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 5 лет назад

    Dah mtihan

  • @ibnabou1886
    @ibnabou1886 5 лет назад

    Ngoja nitafute zangu nmeanza kununua Barabara ya mtaa wangu 😂😂😂😂😂😂