Hapi wewe ni kiongozi kero za watu ndogondogo kama hizo unazotatua nimefuatilia sana ziara zako baada ya watu kuridhikka na kuamini uongozi lazima maendeleo yasonge mbele. Hicho ndo kilikuwa kimekosanika huko nyuma. Ongera utawala wa uncle magu tunawaombea kwa mungu afya njema. Tutafika
Ally Hapi, mfano wa kuigwa na viongozi wengine. Anajua fika nini anapashwa kufanya. Pamoja namambo mengi lkn anawasikiliza na kuwasaidia wanyonge. Ktk style ya kipekee sana. Mheshimiwa Hapi shikilia hapo hapo tutafika. Unaowaongoza wakiwa na amani kazi yako inakuwa rahisi. Mungu na ukutunze
Aisee mh hapi uko vizuri sana kwanza hata hautumii nguvu kutatua hiyo migogoro ila naona unatumia akili na busala, kila mkoa ingekua hivo poa sana Mh piga kazi na huo ndo ubinadam, mungu awe nawe
..ni kweli Najma!shida ilikuwa watafanyaje kujenga nyumba ya baba inayotaka kuangyka?Happy kapenyeza rupia ..mpaka mama katembea kwa magoti..mkuu akamwambia inuka tuuu!!
Yaani Namuona Rais wa miaka ijayo.Hivi unajua kweli kuwa Kuna watu wanakupenda mh Ally Hapi? Yaani maono yangu kwako ni makubwa saaana na Mungu naomba aniweke niyaone yakitimia.Nakupenda mh Hadi Basi nipo dar ila nakufatilia kila hatua yako barikiwaaa
Hawa ni viongozi na hazina ya viongozi nchiyetu inawahitaji na mimi namuombea kwa Allah amjalie asijebadirika na insha'Allah atakujakuwa kiongozi mkubwa ktika Tanzania
i bet ccm wataendelea kutawala kwa mda mrefu coz wanafaham namna ya kuwashawshi wananch kuw upande wao 2020 si mbali panapo uhai watu wanasahau conflict zilzopo ktk vyama vyao badala yake watasema wameibiwa kura na hali wagomban huku wenzao wachukua point muhim vijijini sasa nin utawambia watu hawa apart from ccm #ngoja tuone 2020
The work is being done,
At least my eyes shows me that.
I feel deeply like believing all that RC Hapi is doing!
Heko sana kiongozi!
Ally may ALLAH bless you.always watching your videos here in kigali Rwanda
Mh.RC mungu akulinde jamani unafanya vizuri katika uongozi wako
Boss wangu mkuu wa mkoa ,A Happy Mungu akupe hekima zaidi
That’s why Tanzania is in my heart
Kaka Hapi unatenda kama mfalme Suleiman, be blessed🙏🏼
Hakika
Hapi wewe ni kiongozi kero za watu ndogondogo kama hizo unazotatua nimefuatilia sana ziara zako baada ya watu kuridhikka na kuamini uongozi lazima maendeleo yasonge mbele. Hicho ndo kilikuwa kimekosanika huko nyuma. Ongera utawala wa uncle magu tunawaombea kwa mungu afya njema. Tutafika
E K Aamin
Kwakweli busara imeokoa undugu .Mungu ambariki sana
Mh. Hapi hapa umetisha!
Umetumia busara tupu.
Mungu akubariki kwa kazi nzuri unayoifanya nmeipenda kabisa
Kama kuna mtu anaangalia huku akisoma komenti aungane na mm 😂😂😂😂
Tupo pamoja dada
Muungane ili iwaje
Tupo wengiii
Kama vile unaniona
Tupo sana
Asante mkuu wamkoa nimetokwa namachozi ya furaha
Ally Hapi unafanya kazi nzuri nakupongeza
Happy Mungu akulinde na maadui sijawahi ona mapungufu yako kwa macho kibinaadamu good job
Sanaaaaaa
God increase the wisdom of RC Hapi... This has reminded me the wisdom of Solomon.
Mungu akupaliki Bwana Hapi wairingo kwa ukweli hunaofaya upalikiwe Sana amen .
I’m crying like man 😖
Congratulations tz mumejaliwa kua naviongozi shupavu I wish Kenya ingekua hivyo ingekua mbali sana
Ally Hapi, mfano wa kuigwa na viongozi wengine. Anajua fika nini anapashwa kufanya. Pamoja namambo mengi lkn anawasikiliza na kuwasaidia wanyonge. Ktk style ya kipekee sana. Mheshimiwa Hapi shikilia hapo hapo tutafika. Unaowaongoza wakiwa na amani kazi yako inakuwa rahisi. Mungu na ukutunze
Jamani mhexhiwa nimefurahi sana mungu akubarki sana
Hongera Mh.Ally Hapi
Daah mh ally hapi mjanja sasa alopogundua ttzo haraka sana akatumia method inayosema "penye fitina weka rupia"basi kamaliza ttzo very simple
Tatizo lilipoanzia ku repear nyumba ya marehem baba🤣🤣🤣🤣
Mkuu wa mkoa mungu akupe maisha hivi wengine hawaoniiiii
Aisee mh hapi uko vizuri sana kwanza hata hautumii nguvu kutatua hiyo migogoro ila naona unatumia akili na busala, kila mkoa ingekua hivo poa sana Mh piga kazi na huo ndo ubinadam, mungu awe nawe
Mashaa ALLAAH tabaraka ALLAAH CCM juuuuuuuu👍👍👍👏👏👏
Mungu awabariki na awazidishie mlikotoa , nimekua na furaha hadi nimelia machoz yamenioka kwa furaha wallah 😭👏👏👏
..ni kweli Najma!shida ilikuwa watafanyaje kujenga nyumba ya baba inayotaka kuangyka?Happy kapenyeza rupia ..mpaka mama katembea kwa magoti..mkuu akamwambia inuka tuuu!!
Kweli hata mimi nimetokwa na machosi. Sasa watanzania tumepata Rais mpya ya awamu ya 6 😭😭😂😂😂
Mungu akulipe R c
mungu anajionyesha kupitia kwako mkuu wa mkoa
Mungu akuzidishiye maisha marefu
Hongera Mkuu wa mkoa kwa hekima yako
Yaani Namuona Rais wa miaka ijayo.Hivi unajua kweli kuwa Kuna watu wanakupenda mh Ally Hapi? Yaani maono yangu kwako ni makubwa saaana na Mungu naomba aniweke niyaone yakitimia.Nakupenda mh Hadi Basi nipo dar ila nakufatilia kila hatua yako barikiwaaa
Hahahahahaha kama. Umeckia ety. Anae kataa ccm. Mchawi gonga like twende saw ☹☹😥
Mungu akuzidishie mh kuu wetu
Uyumubabaminamupedaka mungu amujariye
Kwa kweli Mh Ally Hapi Una Enjoy Kusikiliza Kero za Wananchi Wako..
uyo ni mfalme Suleiman happy mungu akutie nguvu
Mkuu wa mkowa iringa napenda sana kazi yako
Big up mkuu wa mkoa
Nimemonea huruma yule bibi asiye na wazazi😥😥
Ali happy for sure unafanyakazi nzr sanaa
HAPI ANAFAA SANA KUWA RC
Daaa huyo mkuu wa mkoa yuko safi sana
nimeipenda bur
Ally hapi uko wapi baba😭😭😭😭😭😭😭
asanteeee jamniii huyooo mama yatima katiahuruma
This guy Hapi is reeeal Man. We need to porch him to Kenya for some wisdom.
Mungu kakupa hekima na busara hakuzidishie Kila raheli.
Bibi anaonekana ana miaka 60 halafu alibebwa kwenye Bodaboda kwa Mara ya kwanza kuona Bodaboda ilikuwa mwaka gani
Mkuu wa mkoa njoo Mbeya usikilize kero za wananchi maana huku Mmmmh sijaona kabisa Mikutano Kama hii.
Kama nawe unaunga mkono gonga like twende sawa
Mungu Akulinde mkuu
Mungu nimwema brother
Hawa kina mama wameniacha hoi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wachawi wenzangu tulike hapa😂😂😂
I appreciate u RC HAPI
Mungu kaumba Tanzania mpya,vio ngozi wa Tanzania ya leo mbarikiwe sana.
Safi sana mkuu wawilaya
Safi sana mh hapi
Jamani huyu muheshimiwa nimemupenda sana anisaindie number haki mungu ako
huwa siwakubali wana siasa lkn huyu RC namkubali sana fuul off Pierce
Mmmm shamoo mweshimiwa
Huyu mama mwembamba anachekesha jaman🤣🤣🤣
Gud job broza ally bt Mic controller mkudaa kichiziii😂😂😂
Big up RC
Mungu aendlee kkpa hekima zaid mweshmiwa kma sleman
Muelewane mama zangu sawa jamani
Ngoja nitafute zangu nmeanza kununua Barabara ya mtaa wangu 😂😂😂😂😂😂
Hapi baba unakaziiiiiii,
Yaani serikari hii safiiiii
Haha duh cjawahi kucoment hii ya leo nomaa aisee
Tanzania ndio nchi bwana
Uyu madam ataka mtia makofi mkuu wa mkoa 😆😆😆 ooowi nimecheka
Unafaa kuwa kiongozi Mhe. RC
Natamani ungekuwa mkuu wa mbeya😂😂😂
Hawa ni viongozi na hazina ya viongozi nchiyetu inawahitaji na mimi namuombea kwa Allah amjalie asijebadirika na insha'Allah atakujakuwa kiongozi mkubwa ktika Tanzania
Jaman huyu mama kanifurahisha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hekima nikitukizurisana yanihuyu ni Suleiman
Politics. Enzi za kuzaliwa Mama huyu kweli boda zilikuwepo?
Yani huyu mama na mshangaa bodaboda hazikuepo kk
Honda ndo boda za zaman kwahyo anashindwa kutofautisha
Hapo kwenye boda boda nimecheka huku najamba
Mama kajua kutuongopea huyu alibebwa kwenye boda boda khaaaa
Huyu Bibi anachekesha sana. Yaani amekataa kumuachia ndugu yao eneo aweze kumpunguzia mkuu wa mkoa maisha?
Yaani Nimecheka miyee,KAMWENEEEE
i bet ccm wataendelea kutawala kwa mda mrefu coz wanafaham namna ya kuwashawshi wananch kuw upande wao
2020 si mbali panapo uhai watu wanasahau conflict zilzopo ktk vyama vyao badala yake watasema wameibiwa kura na hali wagomban huku wenzao wachukua point muhim vijijini
sasa nin utawambia watu hawa apart from ccm
#ngoja tuone 2020
Kabisa yaan
Haya matoto yakulelewa hayanaga hisani. Yani unawatunza hadi wakubwa kisha anakuja kukusumbulia wanao.
Hahahaaaaaaa!!!!!! Jamani kes nyingine hiz duuu
Duuh ama kweli,
Walikosea sanaaa kumtoa huyu iringaaaaa
hassani.kalinga
Yan sisi hatuna ugomvi tuna amani kabsaa hyo nguvu ya pesa 🤣🤣🤣
Hahahahahahhh!! Kasahau vyote yan..
😂😂😂😂na mahari alikula baba jamni mali hizi mungu tusaidie
Kamwene 😃😃😃😃
Duuh uyu mama modo ni hatariii
Dah dada kafurahi kwa roho moja
Mali za urithi kwangu hapana ngoja nikazane kutafuta zangu
Naomi kakingo kwakweli
Kweli kabisa my vyautith vyweza kukutoa roho
Nimekubar mkuu wa mkoa kwel vijana tunaweza
ZAIDI SHABANI hahahaaa
Anae kataa c.c.m mchawi
Hahaha subili kwanza niwanbie nyinyi
Ally hoyee
Mama anaroho mbaya huyu jamani
Daah mpk machozi yamenitoka aisee..
Hera!? Mbona Bibi hujasema anaeikataa Ccm nimchawi kabla ya kupewa HELA??
kina kamwene kazi kweli kweli😂😂😂
Neema Konzo hahahahahahahahah
Hadi machozi yamenitoka mama anatembea kwa magoti
Hakka kadada ni comedy kweli
Dah! huyu kijana yupo makini xan mkuu wa mkowa
Nataman sana wakuu wote wa mikoa wawe kama huyo wa iringa, nataman wengne waige Rc hapi, na naamin ndo lengo LA rais