Usiku wa Kuamkia Leo RC Hapi amuweka Ndani Diwani CHADEMA, KISA?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2018
  • Mzee amekuja Mbele ya Mkuu wa Mkoa RC HAPI, na kuadithia Jinsi alivyobomolewa Nyumba yake na Diwani wa CHADEMA

Комментарии • 647

  • @godlovebtimbula5406
    @godlovebtimbula5406 5 лет назад +8

    this man is a true leader mamae namkubali uyu jamaaaa aseee...
    may the lord protect u my niqqah

  • @mgosiphilemon7111
    @mgosiphilemon7111 5 лет назад +16

    Safi sna kiongozi umefanya kazi nzuri. Wote mlio comment kwa kumlaumu mkuu wa Mkoa ndo wale wale tu wanachadema maana nyie hata mtu afanye mazuri ni lawama tu. Weka ndani hata mwaka akasome namba sisi ni mbele kwa mbele haturudi nyuma.

    • @alfredymwamba3146
      @alfredymwamba3146 5 лет назад

      mgosi philemon hata mm ni mwanachadema lakini Mkuu wa mkoa Yupo sahihi kabisa awekwe ndani uyo mama anachuki binafsi sio kaz ya chadema anayoifanya

    • @mgosiphilemon7111
      @mgosiphilemon7111 5 лет назад

      @@khamisrajab980 ni mwna ccm org na matusi usidhani yanasaidia jibu kisomi pengn lbd uwe hunaenda shule huna haja ya kutukana maana chadema hawakulishii familia yako wala hakuna unachofaidika nacho ndugu shida zako zitabaki pale pale wapo wanaokula ruzuku ya milioni mia tano. Ila ccm tunafaidika maana miundombinu inaimarishwa tunaitumia na nyie sote lkn pesa zenu mnazopewa na serikali hiyo hiyo mnayoshinda mnaikashifu hazijulikani zinafanya kazi gani.

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 4 года назад

      Mgosi 😂😂😂 tenaaaa

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 4 года назад

      @@khamisrajab980 khamis pole sana na utatukan sana lkn chadema hamjielew nyie hamna ubinadam na wanyam wakubwa msojua kutetea matatizo ya wengine pole kwa kuumia

    • @agreykayombo9612
      @agreykayombo9612 4 года назад

      Tumezoea kupinga hata jema.Makosa hayaangalii vyama.
      Kumbuka waliomkataa ni watendaji ambao waliamulishwa kwa kutumia cheo.
      Angefanya wa ccm mungepiga makofi lakini kafanya chadema kaonewa.

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 4 дня назад

    Sumu ya makonda inafanya kazi Makonda big up and big up

  • @alextzmmary5121
    @alextzmmary5121 5 лет назад +3

    Inauma sana huyu baba mungu amuwezeshe apate nyumba yakumtosheleza na familia yake

  • @LilianKisumbi
    @LilianKisumbi 3 дня назад

    Wajaman kazzi kubwa wakuu wa mkoa mnafanyaaaa hongeren sana

  • @frankemson
    @frankemson 5 лет назад +4

    Uongozi ni dhamana tu,
    Mungu tusaidie sana.

  • @user-ev6bq9gf1f
    @user-ev6bq9gf1f 4 месяца назад

    Wanaokuponda awajui uchungu wawatanzania kazi nzuri sana mkuu wamkoa nimefurai sana mueshimiwa appy ally

  • @fnk2619
    @fnk2619 5 лет назад +1

    We Mungu utoaye haki ya kweli, nakuomba uwaongoze viongozi wetu waweze kutuongoza kwa haki bila ubaguzi wa rangi, dini, jinsia, umri, kipato wala chama. Amina

  • @danfordaugustino3461
    @danfordaugustino3461 5 лет назад +13

    Mbaya zaidi Yule Afisa TRA aliyedai rushwa ya mill 2 namuona akichangia elfu hamsini 50000

  • @gitu4me
    @gitu4me 5 лет назад +2

    Safi sana ifike hatua watu tuheshimu sheria na utendaji
    Ally happy jitahidi kabisa kurekebisha matatizo baadae
    Muwe wazalendo muongoze nchi
    Unajua mwalimu wa zamu akiwa mkali hata vilanja nao wanatenda kazi vizuri..

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 3 года назад +1

    Upo vzr Sana mkuu wa mkoa wa iringa mungu akulinde 🙏

  • @tarzanshayo
    @tarzanshayo 5 лет назад +2

    Super work from you Rc, chapa kazi

  • @user-xf9or5cv1d
    @user-xf9or5cv1d Год назад

    Asante mku wa mkoa mungu akubariki katika kazi yako

  • @Joe-hg8ek
    @Joe-hg8ek 5 лет назад +1

    Aly Hapi, ungekuwa vizuri sana kama ungefuata misingi ya Haki ya kisheria na Imani. Jaribu Kuepukana na Usiasa wakati unahudumia watu uliopelekwa kuwasimamia, Wewe si hatari, hatari ni Shetani peke yake

  • @dullahshaaban7505
    @dullahshaaban7505 5 лет назад +2

    Aaaaaaaaaah! Pole sana mama maana umejitengenezea msiba mwenyewe kwa mikono yako

  • @martinamarugu44
    @martinamarugu44 2 месяца назад

    Be blessed

  • @kadogoomushadi5409
    @kadogoomushadi5409 5 лет назад +1

    Yaani.hadi mwili unanitetemeka huyu mbayaa kwelii yaani mkuu Allah akupe maisha.marefu.

  • @user-sn7gy6cd5q
    @user-sn7gy6cd5q 14 часов назад

    Hongela

  • @kautharmohammed7868
    @kautharmohammed7868 5 лет назад +4

    "Huwezi kuwa kiongozi ukatumia madaraka yako kukandamiza watu... "
    R.C Ally Hapi..
    Source: youtube video above

  • @lucymacha1853
    @lucymacha1853 4 года назад +1

    Safi Sana mkuu wa mkoa hlo limama sukuma ndani

  • @mussabuma9592
    @mussabuma9592 5 лет назад +1

    Mkuu pamoja sana sasa naanza kukuelewa mungu akuogoze

  • @ggmaths9636
    @ggmaths9636 5 лет назад +1

    Mzee nguvu ulizotumia Ni nyingi sana kuuwa sisimizi

  • @msiiwazir1908
    @msiiwazir1908 5 лет назад +17

    Leo hii inaonekana nyumba iliobomolewa no hiyo moja tuu serekali mpaka Leo imebomoa nyumba ngapi na watu waliobomolewa mpaka Leo wanalala nje

    • @zedonomkichwe8930
      @zedonomkichwe8930 5 лет назад +3

      Acha ushabiki wa kikuda nyumba ivunjwe kwa mujibu wa sheria ss huyo mzee wa watu nyumba yake ivunjwe moja tu mtaa mzima isitoshe hata alikupanga akafuatwa na ana watoto 9ingeku ww ungekubali hizo nyumba za ubungo unazozifikira kuvunjwa zilishalipwa boya ww

    • @daudipiusi4307
      @daudipiusi4307 5 лет назад

      Hizo ni kampeni mnafanya

    • @huseniyahaya7485
      @huseniyahaya7485 4 года назад

      Ali hap yupo iringa 2 hawezi enda kila mkoa kama mkuu wako wa mkoa haitumi kama hy hayo ni juu yako

  • @ramadhanichaulembo1329
    @ramadhanichaulembo1329 5 лет назад +9

    Pingakazi hali hapi wewe ni kiongozi wa mfano kwa kutetea
    wa nyonge mungu akujalie sana

  • @evelyneroselusasila4687
    @evelyneroselusasila4687 5 лет назад +4

    👏👏👏 kazi nzur mh hap kaz, big up kwa mh Rais

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 5 лет назад

    Safi sana..

  • @moseskaponda4948
    @moseskaponda4948 Год назад

    Mungu akubaliki Sana kiongozi mkuu wa mkoa

  • @twahiraliy3382
    @twahiraliy3382 5 лет назад +4

    T shirt la kijani kweli mambo ni moto

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 5 лет назад +3

    Mwenyez MUNGU enderea kumuongoz kumrinda kumsimamia na kuzidi kuimalisha afya yake kiyongoz wetu mkuu wetu wa mkowa

  • @zahraramadhan7130
    @zahraramadhan7130 5 лет назад +1

    Minakupenda tu mkuuu salute

  • @gideonsospeterleonard433
    @gideonsospeterleonard433 5 лет назад +3

    sikudhani kama happy ni hatari, nimeamini ni hatari na kazi ya kuongoza watu haiwezi!

  • @SteveShemsanga-il3ct
    @SteveShemsanga-il3ct 3 месяца назад +1

    Najuwa hapo anatimiza ilani yachama angekuwa ccm usinge sema akamatwe huo niuchama ndio unawasumbua

  • @vanessagoodluck7176
    @vanessagoodluck7176 5 лет назад +23

    Hatari ni mungu tu, Kama wew ni mtu hatari siku yako ya kufa goma usife Au pambana na izilaeli asiitoe rohoyako.. Hapo utakua mtu hatari.

  • @piusmdoe3551
    @piusmdoe3551 5 лет назад +5

    mbona hapo ndio siasa ya wazi.

  • @ustadhabdul-raufalmunaawiy6629
    @ustadhabdul-raufalmunaawiy6629 5 лет назад +1

    Mashaallah
    Ewee Allah mola wote, ihifadhi Tanzania

  • @rashidibrahimshemlugu7845
    @rashidibrahimshemlugu7845 5 лет назад +1

    ishu sio siasa kiongozi gani unasimamia mwananchi wako anabomolewa nyumba yake ingekua sheria basi wangebomolewa wote nyumba,safi sana rc happi

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga8334 5 лет назад +15

    Hapi ndugu I am a lawyer too...tunatakiwa kuanza na investigation then Arrest... sisi ni nchi mwanachama wa mikataba ya kimataifa hasa ya mwaka 1966 ya haki za binadamu nadhani unaijua ambayo ni ICCPR na ICESCR... usisahau hilo... awe ameonea au hakuonea bado kuna rights zake ndani ya katiba na sheria za nchi....na miongozo mbalimbali... vyama tofauti lakini ni raia wa nchi moja hiihii sote tu watanzania

  • @fatumahassan8212
    @fatumahassan8212 5 лет назад

    Mheshimiwa mungu akubariki kwa kuwateteya wanyonge# nasikiya uchunguzi sana baadhi ya viongozi kwa dhuluma wanayoifanya ktk utendaji kz wao mungu wasimamiye viongozi wenye upendo na wananchi wao

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi3359 3 месяца назад

    Safi sana RC

  • @yusufumngoya611
    @yusufumngoya611 5 лет назад

    safi sana, kamata hao, ikiwezekana wachapwe viboko hadharani. safi sana

  • @kato_tz
    @kato_tz 5 лет назад +1

    A good leader is a listener, sikiliza mtu aongee amalize kisha toa maamuzi, It is one of the leadership skills, ila hata hiyo ya kukatiza katiza nayo ni skill pia ingawa mwisho wake huwa kuna upande ambao unaelemewa

  • @kajanjaahamadi7550
    @kajanjaahamadi7550 5 лет назад +6

    hapi unajizalilisha na ccm yako maana unalazimishauongowenu wa naccm uwe ukweli na kk zenu tumezichoka

  • @ShukuJr
    @ShukuJr 3 месяца назад

    Mkuu wa mkoa mungu akubaliki sana kaka

  • @JumaNdingo
    @JumaNdingo 3 месяца назад

    Mungu akupe uzima naatakurinda ww mfano wakuigwa kwa viongozi wengine mkuu wamkoa iringa

  • @jipozeonline3983
    @jipozeonline3983 5 лет назад +1

    Kufanya kazi kwa mihemko ni shida sana busara hakuna kabisa kwa kweli yajayo yanafurahisha

  • @alexmurithi1327
    @alexmurithi1327 5 лет назад +9

    This is how Tanzania government work. Very sad!!! Sounds like a kamukinji government

  • @theophilkimaro9397
    @theophilkimaro9397 Год назад

    Baraka and

  • @emanuelmsangi6686
    @emanuelmsangi6686 5 лет назад +10

    Mimi ni mtu hatari sana! Kauli hii ingesemwa na opposition kungetokea kitu gani??

  • @rucdokibaha7668
    @rucdokibaha7668 5 лет назад

    very good

  • @saidi2841
    @saidi2841 Год назад

    Chapa kazi broo nyie ndo viongozi tunaowataka

  • @shanunially114
    @shanunially114 Год назад

    Rc hapi nimeupenda utendaji wa kazi yako mkuu

  • @tedlema8105
    @tedlema8105 5 лет назад +1

    acha kujisifu kijana,unajua tu Leo,kesho huijui

  • @danielmsimbwa1807
    @danielmsimbwa1807 5 лет назад +2

    Mmmh apo km NI itikadi lifatiliwe vizuri mwshon limeharibu picha zima

  • @JumaNdingo
    @JumaNdingo 3 месяца назад

    Kiukweli tanzania tuna wataka viongozi kama hawa wenye uchungu na wananchi wake hongera sana mkuu wamkoa iringa

  • @lloveyoutanzania5315
    @lloveyoutanzania5315 2 года назад

    Huyu dogo Happy ni kiongozi bora Tanzania yaani Magufuli katuachia jembe bora sana

  • @johnkihiyo6090
    @johnkihiyo6090 5 лет назад +25

    sijawahi ona uongozi wa aina hii!

    • @alexmurithi1327
      @alexmurithi1327 5 лет назад

      Very sad.

    • @gasperylwena1045
      @gasperylwena1045 5 лет назад +2

      John Kihiyo Kwaiyo mlizoea kuona nyumba zinabomolewa kiholela bila kuulizwa. kujenga kazi

    • @aureliabernadi4170
      @aureliabernadi4170 5 лет назад

      @@gasperylwena1045 kama umejenga sehemu sio lazima ubomolewe mbona ss bima tumebomolewa

    • @MultiMbongo
      @MultiMbongo 5 лет назад

      kwa hiyo za kimara na mahakama ilikataza kubomolewa na zikabomolewa zilijengwa kirahisi nini

    • @rajabmasoudkhamis4572
      @rajabmasoudkhamis4572 5 лет назад

      Mtu hatari !!! Hufai kuwa kiongozi .
      Kiongozi anaefaa anatakiwa kuwa mtaratibu na mwenye busars .

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 5 лет назад

    Polena sana mzee

  • @andersonnyahove2867
    @andersonnyahove2867 5 лет назад +2

    Aisee kuwa mpinzani yataka kuwa na moyo mgumu sana, kinachotafutwa hapa ni mama wa Chadema wengine wanaingia tu. Mkuu wa Mkoa angetafta namna nyingine ya kulifanya jambo hli kwa sabab ya chain ya wanaotajwa kuwa wengi na wapo. Mama amewaambia wachunguze watapata majibu na ikumbukwe kwamba watendaji wa serikali wote ni makada wa CCM hakuna mahali ambapo viongozi wa upinzani watatetewa

  • @tezbnyenge8450
    @tezbnyenge8450 Год назад

    Gombea Kaka unafaa Sana kuwa kiongozi wataifa Holi tunaoneawa sana

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf745 3 месяца назад

    Pole sana baba 😢😢

  • @magesachacha8596
    @magesachacha8596 3 месяца назад

    Napenda watu wenye haki

  • @tumpaleluhanga1396
    @tumpaleluhanga1396 5 лет назад +1

    Hawezi kuwa mtu hatari. Ni mtumishi wa wananchi.

  • @erastojackson9397
    @erastojackson9397 День назад

    Kiongozi wa ccm akibomoa nyumba ya mtu hakamatwi Ally happy we naye ni mwanasiasa hakuna kitu hapo

  • @msangimsangiz9967
    @msangimsangiz9967 5 лет назад +3

    MAKUBWA, ILA MKAE MKIJUA SIKU YA HUKUMU HATUTAULIZWA TILIKUA NANI DUNIANI ..YANGU MACHO NA MASIKIO

  • @JumaNdingo
    @JumaNdingo 3 месяца назад

    Kizazi cha magufuri chapa kazi kaka

  • @user-vh3yh2ec8r
    @user-vh3yh2ec8r 8 месяцев назад

    Safi sana baba

  • @michaelsamson4784
    @michaelsamson4784 5 лет назад +3

    Nimecheka kwa sababu uyo mama atakushinda kesi ilo eneo nikweli ni hifadhi!!! Subiri utayapta majibu yake!!! Hahaha, poor happi!!!

  • @jossshilima4040
    @jossshilima4040 5 лет назад +1

    Kwa maaana hiyo sheria hazina kz ukimsikiliza vizur maana anapanga mpaka ciku ya kuwekwa ndan anatoa hukum tayar

  • @atnasisarme1571
    @atnasisarme1571 2 месяца назад

    Hawa wakuu we mikoa walijifananisha na mungu na wanatakiwa rekod zao zifuatiliwe na wakamatwe

  • @salmadalaquimane5303
    @salmadalaquimane5303 5 лет назад

    Vzr sana kka mkubwa

  • @wakwetukabisa3150
    @wakwetukabisa3150 5 лет назад

    Hatari

  • @agustinorichadi1253
    @agustinorichadi1253 Год назад

    Safi sana

  • @husseinkulumbiza8894
    @husseinkulumbiza8894 5 лет назад +1

    Pole sana Mzee wangu,Mungu yupo Atatenda Haki,Muheshimiwa Mungu Akulinde Akutie nguvu,pamoja na watendaji wako.

  • @MrishoMohamedjumaa
    @MrishoMohamedjumaa Месяц назад

    Wallah Hadi nataman kulia

  • @JAMESONMBIRO-mz7eb
    @JAMESONMBIRO-mz7eb 28 дней назад

    🎉

  • @videosongspeter9496
    @videosongspeter9496 5 лет назад +2

    Mh, Kasesera Naomba namba yako, nakukubali sana.

  • @vicentsubeth2268
    @vicentsubeth2268 5 лет назад +2

    Daaaa,Mbn nmeona mapicha picha2 Iv ni kweli chuki za kisiasa bdo zipogo au!!!!

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 5 лет назад +2

    Acha usenge, mtu unamumwima furusa ya kijitetea kwa kuwa umekuja umemukamia, nyumba ngapi nyie CCM mmewambolea watu, huku Kimara Bomoaboa inawalaza watu nje mpaka leo

  • @agneslimo8750
    @agneslimo8750 4 месяца назад

    Jamani tetra wanyonge

  • @fitinaelias421
    @fitinaelias421 5 лет назад +2

    Hawa vijana ni malimbukeni....huwezi kuwa kiongozi uka-treat wawakilishi wa wananchi namna hii..kuongoza watu kunahitaji hekima na busara....huu ni udhalilishaji uliovuka mipaka..mimi ni mtu hatari sana ??? ni kauli ya kipuuzi kabisa...hii si sawa!!!!

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Год назад

      Kwa sasa hana jipya na yeye.anaota joto ya jiwe

  • @danyojoro8672
    @danyojoro8672 5 лет назад +2

    Tatizo kubwa LA nchi yetu ni Kuwa wanaongozwa na wanaoongozwa ni washabiki wa mambo ya hovyo hovyo

  • @hamismalendula1948
    @hamismalendula1948 5 лет назад

    cheo dhaman broo

  • @asifiwemakela8462
    @asifiwemakela8462 5 лет назад +5

    wewe in MTU kama Mimi tu siyo MTU hatari mungu anakuona

  • @francisjohn7512
    @francisjohn7512 5 лет назад

    New leadership style

  • @jchuwatv1890
    @jchuwatv1890 5 лет назад +23

    Cheo ni dhamana mzee baba ww sio hatari ww ni wakawaida sana...
    Shubaamit

  • @sudymkele1648
    @sudymkele1648 Год назад

    Ni kweli vyama sio uadui lakn watu wengine na viongozi wakiwepo wengine wa serikali hufanya uadui kama huyo mama

  • @eugendawilson1644
    @eugendawilson1644 5 лет назад +8

    dah sdhani km kuna ktu hapo tusubiri

  • @tendatanzania8358
    @tendatanzania8358 5 лет назад +2

    Hii ni siasa tu hamna jipya hapa CCM wanatumia fursa ya uongozi kuwakandamiza wapinzani

  • @JanefantoChannel
    @JanefantoChannel 5 лет назад +4

    This is what we call instance justice,,, Tanzania is unique,,,

  • @evaevance5932
    @evaevance5932 5 лет назад +1

    Mmmhhhhhhh siasa hiyo

  • @sir.josephmbeya7017
    @sir.josephmbeya7017 5 лет назад +1

    Hapy siasa tupuuu kimara mlifanya unyamaaaaa mkubwa

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Год назад

    Nampenda mkuu wa mkoa jamani .ilinga kwakweli haki mnaipata kistahiki

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 4 дня назад

    Mkuu wa mkoa hutakiwi kutukana kama hivo tumia hekima

  • @ismailmasoud5958
    @ismailmasoud5958 5 лет назад

    Ongera Rc hapi ...pambania Iringa

  • @calvinkitaly9376
    @calvinkitaly9376 5 лет назад +1

    Fuata sheria ya nchi acha mheuko

  • @oliverdalius9041
    @oliverdalius9041 5 лет назад +4

    Abraham Lincoln once said "if u want to test a man's character give him power "

    • @oledimwasembo2187
      @oledimwasembo2187 5 лет назад

      Mungu akupe maisha malefu mkuu kweli ihi selikali ya wanyonge

  • @solomoneglesius9448
    @solomoneglesius9448 2 года назад

    Mimi ni mutu hatari nitakushugulikia😂😂😂😂 hapi bhana

  • @hamismasoud8306
    @hamismasoud8306 5 лет назад +1

    Tulizoea kuishi kwa mazoea acha wapate adabu maana mikoani viongozi wa vijiji wanadhurumu sana.

  • @mishiathmani6055
    @mishiathmani6055 4 года назад

    Ajenge nyumba uyo sio kudhilalisha wa baba haki itendeke from +254

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 5 лет назад

    Wewe, Hapi Kafie mbele huko, umekuja ukiwa umemukamia huyo Mama wa watu tena mpole tu, Lakini unamzima kila akitaka kueleza, mbona wengine hushout nao?