Safi sna kiongozi umefanya kazi nzuri. Wote mlio comment kwa kumlaumu mkuu wa Mkoa ndo wale wale tu wanachadema maana nyie hata mtu afanye mazuri ni lawama tu. Weka ndani hata mwaka akasome namba sisi ni mbele kwa mbele haturudi nyuma.
@@khamisrajab980 ni mwna ccm org na matusi usidhani yanasaidia jibu kisomi pengn lbd uwe hunaenda shule huna haja ya kutukana maana chadema hawakulishii familia yako wala hakuna unachofaidika nacho ndugu shida zako zitabaki pale pale wapo wanaokula ruzuku ya milioni mia tano. Ila ccm tunafaidika maana miundombinu inaimarishwa tunaitumia na nyie sote lkn pesa zenu mnazopewa na serikali hiyo hiyo mnayoshinda mnaikashifu hazijulikani zinafanya kazi gani.
@@khamisrajab980 khamis pole sana na utatukan sana lkn chadema hamjielew nyie hamna ubinadam na wanyam wakubwa msojua kutetea matatizo ya wengine pole kwa kuumia
Tumezoea kupinga hata jema.Makosa hayaangalii vyama. Kumbuka waliomkataa ni watendaji ambao waliamulishwa kwa kutumia cheo. Angefanya wa ccm mungepiga makofi lakini kafanya chadema kaonewa.
We Mungu utoaye haki ya kweli, nakuomba uwaongoze viongozi wetu waweze kutuongoza kwa haki bila ubaguzi wa rangi, dini, jinsia, umri, kipato wala chama. Amina
Safi sana ifike hatua watu tuheshimu sheria na utendaji Ally happy jitahidi kabisa kurekebisha matatizo baadae Muwe wazalendo muongoze nchi Unajua mwalimu wa zamu akiwa mkali hata vilanja nao wanatenda kazi vizuri..
Aly Hapi, ungekuwa vizuri sana kama ungefuata misingi ya Haki ya kisheria na Imani. Jaribu Kuepukana na Usiasa wakati unahudumia watu uliopelekwa kuwasimamia, Wewe si hatari, hatari ni Shetani peke yake
Acha ushabiki wa kikuda nyumba ivunjwe kwa mujibu wa sheria ss huyo mzee wa watu nyumba yake ivunjwe moja tu mtaa mzima isitoshe hata alikupanga akafuatwa na ana watoto 9ingeku ww ungekubali hizo nyumba za ubungo unazozifikira kuvunjwa zilishalipwa boya ww
Hapi ndugu I am a lawyer too...tunatakiwa kuanza na investigation then Arrest... sisi ni nchi mwanachama wa mikataba ya kimataifa hasa ya mwaka 1966 ya haki za binadamu nadhani unaijua ambayo ni ICCPR na ICESCR... usisahau hilo... awe ameonea au hakuonea bado kuna rights zake ndani ya katiba na sheria za nchi....na miongozo mbalimbali... vyama tofauti lakini ni raia wa nchi moja hiihii sote tu watanzania
Mheshimiwa mungu akubariki kwa kuwateteya wanyonge# nasikiya uchunguzi sana baadhi ya viongozi kwa dhuluma wanayoifanya ktk utendaji kz wao mungu wasimamiye viongozi wenye upendo na wananchi wao
A good leader is a listener, sikiliza mtu aongee amalize kisha toa maamuzi, It is one of the leadership skills, ila hata hiyo ya kukatiza katiza nayo ni skill pia ingawa mwisho wake huwa kuna upande ambao unaelemewa
Aisee kuwa mpinzani yataka kuwa na moyo mgumu sana, kinachotafutwa hapa ni mama wa Chadema wengine wanaingia tu. Mkuu wa Mkoa angetafta namna nyingine ya kulifanya jambo hli kwa sabab ya chain ya wanaotajwa kuwa wengi na wapo. Mama amewaambia wachunguze watapata majibu na ikumbukwe kwamba watendaji wa serikali wote ni makada wa CCM hakuna mahali ambapo viongozi wa upinzani watatetewa
Acha usenge, mtu unamumwima furusa ya kijitetea kwa kuwa umekuja umemukamia, nyumba ngapi nyie CCM mmewambolea watu, huku Kimara Bomoaboa inawalaza watu nje mpaka leo
Hawa vijana ni malimbukeni....huwezi kuwa kiongozi uka-treat wawakilishi wa wananchi namna hii..kuongoza watu kunahitaji hekima na busara....huu ni udhalilishaji uliovuka mipaka..mimi ni mtu hatari sana ??? ni kauli ya kipuuzi kabisa...hii si sawa!!!!
Wewe, Hapi Kafie mbele huko, umekuja ukiwa umemukamia huyo Mama wa watu tena mpole tu, Lakini unamzima kila akitaka kueleza, mbona wengine hushout nao?
this man is a true leader mamae namkubali uyu jamaaaa aseee...
may the lord protect u my niqqah
Safi sna kiongozi umefanya kazi nzuri. Wote mlio comment kwa kumlaumu mkuu wa Mkoa ndo wale wale tu wanachadema maana nyie hata mtu afanye mazuri ni lawama tu. Weka ndani hata mwaka akasome namba sisi ni mbele kwa mbele haturudi nyuma.
mgosi philemon hata mm ni mwanachadema lakini Mkuu wa mkoa Yupo sahihi kabisa awekwe ndani uyo mama anachuki binafsi sio kaz ya chadema anayoifanya
@@khamisrajab980 ni mwna ccm org na matusi usidhani yanasaidia jibu kisomi pengn lbd uwe hunaenda shule huna haja ya kutukana maana chadema hawakulishii familia yako wala hakuna unachofaidika nacho ndugu shida zako zitabaki pale pale wapo wanaokula ruzuku ya milioni mia tano. Ila ccm tunafaidika maana miundombinu inaimarishwa tunaitumia na nyie sote lkn pesa zenu mnazopewa na serikali hiyo hiyo mnayoshinda mnaikashifu hazijulikani zinafanya kazi gani.
Mgosi 😂😂😂 tenaaaa
@@khamisrajab980 khamis pole sana na utatukan sana lkn chadema hamjielew nyie hamna ubinadam na wanyam wakubwa msojua kutetea matatizo ya wengine pole kwa kuumia
Tumezoea kupinga hata jema.Makosa hayaangalii vyama.
Kumbuka waliomkataa ni watendaji ambao waliamulishwa kwa kutumia cheo.
Angefanya wa ccm mungepiga makofi lakini kafanya chadema kaonewa.
Sumu ya makonda inafanya kazi Makonda big up and big up
Inauma sana huyu baba mungu amuwezeshe apate nyumba yakumtosheleza na familia yake
Wajaman kazzi kubwa wakuu wa mkoa mnafanyaaaa hongeren sana
Uongozi ni dhamana tu,
Mungu tusaidie sana.
Wanaokuponda awajui uchungu wawatanzania kazi nzuri sana mkuu wamkoa nimefurai sana mueshimiwa appy ally
We Mungu utoaye haki ya kweli, nakuomba uwaongoze viongozi wetu waweze kutuongoza kwa haki bila ubaguzi wa rangi, dini, jinsia, umri, kipato wala chama. Amina
Mbaya zaidi Yule Afisa TRA aliyedai rushwa ya mill 2 namuona akichangia elfu hamsini 50000
Safi sana ifike hatua watu tuheshimu sheria na utendaji
Ally happy jitahidi kabisa kurekebisha matatizo baadae
Muwe wazalendo muongoze nchi
Unajua mwalimu wa zamu akiwa mkali hata vilanja nao wanatenda kazi vizuri..
Upo vzr Sana mkuu wa mkoa wa iringa mungu akulinde 🙏
Super work from you Rc, chapa kazi
Nakubali apige kazi
Asante mku wa mkoa mungu akubariki katika kazi yako
Aly Hapi, ungekuwa vizuri sana kama ungefuata misingi ya Haki ya kisheria na Imani. Jaribu Kuepukana na Usiasa wakati unahudumia watu uliopelekwa kuwasimamia, Wewe si hatari, hatari ni Shetani peke yake
Aaaaaaaaaah! Pole sana mama maana umejitengenezea msiba mwenyewe kwa mikono yako
Be blessed
Yaani.hadi mwili unanitetemeka huyu mbayaa kwelii yaani mkuu Allah akupe maisha.marefu.
Hongela
"Huwezi kuwa kiongozi ukatumia madaraka yako kukandamiza watu... "
R.C Ally Hapi..
Source: youtube video above
Safi Sana mkuu wa mkoa hlo limama sukuma ndani
Mkuu pamoja sana sasa naanza kukuelewa mungu akuogoze
Mzee nguvu ulizotumia Ni nyingi sana kuuwa sisimizi
Leo hii inaonekana nyumba iliobomolewa no hiyo moja tuu serekali mpaka Leo imebomoa nyumba ngapi na watu waliobomolewa mpaka Leo wanalala nje
Acha ushabiki wa kikuda nyumba ivunjwe kwa mujibu wa sheria ss huyo mzee wa watu nyumba yake ivunjwe moja tu mtaa mzima isitoshe hata alikupanga akafuatwa na ana watoto 9ingeku ww ungekubali hizo nyumba za ubungo unazozifikira kuvunjwa zilishalipwa boya ww
Hizo ni kampeni mnafanya
Ali hap yupo iringa 2 hawezi enda kila mkoa kama mkuu wako wa mkoa haitumi kama hy hayo ni juu yako
Pingakazi hali hapi wewe ni kiongozi wa mfano kwa kutetea
wa nyonge mungu akujalie sana
👏👏👏 kazi nzur mh hap kaz, big up kwa mh Rais
Safi sana..
Mungu akubaliki Sana kiongozi mkuu wa mkoa
T shirt la kijani kweli mambo ni moto
Mwenyez MUNGU enderea kumuongoz kumrinda kumsimamia na kuzidi kuimalisha afya yake kiyongoz wetu mkuu wetu wa mkowa
Minakupenda tu mkuuu salute
sikudhani kama happy ni hatari, nimeamini ni hatari na kazi ya kuongoza watu haiwezi!
Najuwa hapo anatimiza ilani yachama angekuwa ccm usinge sema akamatwe huo niuchama ndio unawasumbua
Hatari ni mungu tu, Kama wew ni mtu hatari siku yako ya kufa goma usife Au pambana na izilaeli asiitoe rohoyako.. Hapo utakua mtu hatari.
Vanessa Goodluck Vanessa Angekuwa mwanaume anafanyiwa hayo mge shangilia
Fact
Vanessa good luck
BIG UP AND EXCELLENT
mbona hapo ndio siasa ya wazi.
Mashaallah
Ewee Allah mola wote, ihifadhi Tanzania
ishu sio siasa kiongozi gani unasimamia mwananchi wako anabomolewa nyumba yake ingekua sheria basi wangebomolewa wote nyumba,safi sana rc happi
Hapi ndugu I am a lawyer too...tunatakiwa kuanza na investigation then Arrest... sisi ni nchi mwanachama wa mikataba ya kimataifa hasa ya mwaka 1966 ya haki za binadamu nadhani unaijua ambayo ni ICCPR na ICESCR... usisahau hilo... awe ameonea au hakuonea bado kuna rights zake ndani ya katiba na sheria za nchi....na miongozo mbalimbali... vyama tofauti lakini ni raia wa nchi moja hiihii sote tu watanzania
tumepata janga la uongozi
Pumba tu
Mama unaroho ngum penyewe umezaa
Mheshimiwa mungu akubariki kwa kuwateteya wanyonge# nasikiya uchunguzi sana baadhi ya viongozi kwa dhuluma wanayoifanya ktk utendaji kz wao mungu wasimamiye viongozi wenye upendo na wananchi wao
Fatuma Hassan mmmm
Safi sana RC
safi sana, kamata hao, ikiwezekana wachapwe viboko hadharani. safi sana
A good leader is a listener, sikiliza mtu aongee amalize kisha toa maamuzi, It is one of the leadership skills, ila hata hiyo ya kukatiza katiza nayo ni skill pia ingawa mwisho wake huwa kuna upande ambao unaelemewa
hapi unajizalilisha na ccm yako maana unalazimishauongowenu wa naccm uwe ukweli na kk zenu tumezichoka
Mkuu wa mkoa mungu akubaliki sana kaka
Mungu akupe uzima naatakurinda ww mfano wakuigwa kwa viongozi wengine mkuu wamkoa iringa
Kufanya kazi kwa mihemko ni shida sana busara hakuna kabisa kwa kweli yajayo yanafurahisha
This is how Tanzania government work. Very sad!!! Sounds like a kamukinji government
Baraka and
Mimi ni mtu hatari sana! Kauli hii ingesemwa na opposition kungetokea kitu gani??
wapuuzi kwenye uongozi wa kichaa
Sijapenda kwakweli huu ni uzalilishaji
CHADEMA mnahaha mtanyooka paka awamu hii iishe
very good
Chapa kazi broo nyie ndo viongozi tunaowataka
Rc hapi nimeupenda utendaji wa kazi yako mkuu
acha kujisifu kijana,unajua tu Leo,kesho huijui
Mmmh apo km NI itikadi lifatiliwe vizuri mwshon limeharibu picha zima
Kiukweli tanzania tuna wataka viongozi kama hawa wenye uchungu na wananchi wake hongera sana mkuu wamkoa iringa
Huyu dogo Happy ni kiongozi bora Tanzania yaani Magufuli katuachia jembe bora sana
sijawahi ona uongozi wa aina hii!
Very sad.
John Kihiyo Kwaiyo mlizoea kuona nyumba zinabomolewa kiholela bila kuulizwa. kujenga kazi
@@gasperylwena1045 kama umejenga sehemu sio lazima ubomolewe mbona ss bima tumebomolewa
kwa hiyo za kimara na mahakama ilikataza kubomolewa na zikabomolewa zilijengwa kirahisi nini
Mtu hatari !!! Hufai kuwa kiongozi .
Kiongozi anaefaa anatakiwa kuwa mtaratibu na mwenye busars .
Polena sana mzee
Aisee kuwa mpinzani yataka kuwa na moyo mgumu sana, kinachotafutwa hapa ni mama wa Chadema wengine wanaingia tu. Mkuu wa Mkoa angetafta namna nyingine ya kulifanya jambo hli kwa sabab ya chain ya wanaotajwa kuwa wengi na wapo. Mama amewaambia wachunguze watapata majibu na ikumbukwe kwamba watendaji wa serikali wote ni makada wa CCM hakuna mahali ambapo viongozi wa upinzani watatetewa
Gombea Kaka unafaa Sana kuwa kiongozi wataifa Holi tunaoneawa sana
Pole sana baba 😢😢
Napenda watu wenye haki
Hawezi kuwa mtu hatari. Ni mtumishi wa wananchi.
Kiongozi wa ccm akibomoa nyumba ya mtu hakamatwi Ally happy we naye ni mwanasiasa hakuna kitu hapo
MAKUBWA, ILA MKAE MKIJUA SIKU YA HUKUMU HATUTAULIZWA TILIKUA NANI DUNIANI ..YANGU MACHO NA MASIKIO
Kizazi cha magufuri chapa kazi kaka
Safi sana baba
Nimecheka kwa sababu uyo mama atakushinda kesi ilo eneo nikweli ni hifadhi!!! Subiri utayapta majibu yake!!! Hahaha, poor happi!!!
pumbavu Huyu
Kwa maaana hiyo sheria hazina kz ukimsikiliza vizur maana anapanga mpaka ciku ya kuwekwa ndan anatoa hukum tayar
Hawa wakuu we mikoa walijifananisha na mungu na wanatakiwa rekod zao zifuatiliwe na wakamatwe
Vzr sana kka mkubwa
Hatari
Safi sana
Pole sana Mzee wangu,Mungu yupo Atatenda Haki,Muheshimiwa Mungu Akulinde Akutie nguvu,pamoja na watendaji wako.
Wallah Hadi nataman kulia
🎉
Mh, Kasesera Naomba namba yako, nakukubali sana.
Daaaa,Mbn nmeona mapicha picha2 Iv ni kweli chuki za kisiasa bdo zipogo au!!!!
Acha usenge, mtu unamumwima furusa ya kijitetea kwa kuwa umekuja umemukamia, nyumba ngapi nyie CCM mmewambolea watu, huku Kimara Bomoaboa inawalaza watu nje mpaka leo
Jamani tetra wanyonge
Hawa vijana ni malimbukeni....huwezi kuwa kiongozi uka-treat wawakilishi wa wananchi namna hii..kuongoza watu kunahitaji hekima na busara....huu ni udhalilishaji uliovuka mipaka..mimi ni mtu hatari sana ??? ni kauli ya kipuuzi kabisa...hii si sawa!!!!
Kwa sasa hana jipya na yeye.anaota joto ya jiwe
Tatizo kubwa LA nchi yetu ni Kuwa wanaongozwa na wanaoongozwa ni washabiki wa mambo ya hovyo hovyo
cheo dhaman broo
wewe in MTU kama Mimi tu siyo MTU hatari mungu anakuona
Ccm kweli haina jipa kwani huyo hape hana kazi au kikitu
New leadership style
Cheo ni dhamana mzee baba ww sio hatari ww ni wakawaida sana...
Shubaamit
Ni kweli vyama sio uadui lakn watu wengine na viongozi wakiwepo wengine wa serikali hufanya uadui kama huyo mama
dah sdhani km kuna ktu hapo tusubiri
Hii ni siasa tu hamna jipya hapa CCM wanatumia fursa ya uongozi kuwakandamiza wapinzani
This is what we call instance justice,,, Tanzania is unique,,,
Mmmhhhhhhh siasa hiyo
Hapy siasa tupuuu kimara mlifanya unyamaaaaa mkubwa
Nampenda mkuu wa mkoa jamani .ilinga kwakweli haki mnaipata kistahiki
Mkuu wa mkoa hutakiwi kutukana kama hivo tumia hekima
Ongera Rc hapi ...pambania Iringa
Fuata sheria ya nchi acha mheuko
Abraham Lincoln once said "if u want to test a man's character give him power "
Mungu akupe maisha malefu mkuu kweli ihi selikali ya wanyonge
Mimi ni mutu hatari nitakushugulikia😂😂😂😂 hapi bhana
Tulizoea kuishi kwa mazoea acha wapate adabu maana mikoani viongozi wa vijiji wanadhurumu sana.
Ajenge nyumba uyo sio kudhilalisha wa baba haki itendeke from +254
Wewe, Hapi Kafie mbele huko, umekuja ukiwa umemukamia huyo Mama wa watu tena mpole tu, Lakini unamzima kila akitaka kueleza, mbona wengine hushout nao?