RC HAPI KANYANYUA MIKONO JUU ''MAMA AOMBA ASAFISHWE HADHARANI''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 219

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 4 года назад +1

    Hongera sana mkuu wa mkoa Iringa tunakupenda unafanya kazi nzuri Mungu akukinge na mabaya yote

  • @yelamasele5888
    @yelamasele5888 5 лет назад +10

    Pole sana mkuu ndo kazi zenyewe nakukubali sana

  • @salmaalimusa547
    @salmaalimusa547 4 года назад +1

    Vahehe Nye mmmh

  • @gregorychogelo2013
    @gregorychogelo2013 5 лет назад +8

    😂😂😂😂😂 huyu dada ni shida yaani..! Mume wake ana kazi

  • @yusuphmbago3664
    @yusuphmbago3664 5 лет назад +35

    Hapo ndio naelewa vizuri ule usemi "kukopa harusi, kulipa matanga".

  • @f.a6043
    @f.a6043 5 лет назад +16

    Kweli hasira ni hasara! Kiburi si muungwana! sasa huyu Mama angeongea hata kwa busara nzuri Mh. Mkuu wa mkoa angeweza kumsaidia pengine amesha mvunja moyo hata RC kwa namna yake hio anayoonyesha! sasa yeye anaongea kwa jazba hivyo sijui kama ataweza kusaidiwa masikini pole mama!

    • @stellasanga8106
      @stellasanga8106 5 лет назад +2

      Amvunje moyo mara ngapi ameshaharibu hyu mama mhehe mgaya sida hasira hasara, pole we kwanza hana adabu huyo mama.

    • @geofreykasebele9244
      @geofreykasebele9244 5 лет назад

      Huenda gari la bosi litaenda mtaroni kulingana na jasba za mwana mama.
      Ile kwa ujumla ni Iringa aisee!!!!! HASIRA!!!!

  • @priscasiame9179
    @priscasiame9179 5 лет назад

    Kujitoa muwanga sio tu kujivesha mabomu..hata kupaza saut pia ..mama safi sana waajir wengi washenzi mungu anaona mama wa wawatu kateseka lumande moyo wake umejaa hasira

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 4 года назад +1

    Hapo chachaaaaa!!!!😁😁😁😁

  • @allykiwembo9553
    @allykiwembo9553 5 лет назад +10

    Pole muheshimiwa mkuu wa mkoa irnga kwel unapambana na changamoto nyingi

  • @venamlowe3556
    @venamlowe3556 5 лет назад +2

    Africans we can never be better, we don't feel for each other. When one got good life they don't care about another brother or sister, look at the way they are treating their home helpers. You reap what you sow for real.

    • @asteriambwei95
      @asteriambwei95 5 лет назад +1

      Hapana mama sheria za benki haziingiliani na mkuu wa mkoa unamwonea happy iko nje ya uwezo wake lipa mama deni hakuna njia

    • @venamlowe3556
      @venamlowe3556 5 лет назад

      @@asteriambwei95 Riba zenu za bongo are not realistic, na sikuwa ninamlaumu mkuu wa mkoa bali the banking system in Africa as a whole. Nchi ziliziendelea bank zao zinaelewa wakati upo kazini na wakati hupo kazini. In the end the debt ends up being written off. Mtauwa watu kwa pressure bure.

  • @wazirisukari5178
    @wazirisukari5178 4 года назад

    Alieskia rc kasema anadaiwa na bank laki tatu tunyooshe mikono juu

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 4 года назад +1

    Ally Hapi pole Sana baba kazi sana

  • @robathzingu1650
    @robathzingu1650 5 лет назад +3

    Kwa kweli inaumiza sana. Na kwa mtazamo wangu ni kuwa tatizo siyo la mwajiri ama hawa waajiriwa waliopunguzwa kazini na haya yote wanayolalamikia kuwakuta. Tatizo ni sera mbovu za kiuchumi za nchi yetu na hata kushindwa kuilea sekta binafsi ambayo ndiyo inaajiri watu wengi kuliko sekta ya umma. Hawa kina mama huko Mafinga ni mfano tu, lakini kuna watu wengi sana wameathirika na wengine kupambana kivyao na wengine wametangulia mbele ya haki kwa sbb hii...!

  • @aminarashid6286
    @aminarashid6286 5 лет назад +4

    Huy mkuu wamkoa nampenda sana

  • @samueljr9105
    @samueljr9105 5 лет назад +3

    Mama ulikopa pesa ukafanyia nn? Hata sasa wapiga kelele hapa usaidiwe kuweni makini mnapo kopa maana ukijua utarudisha sasa ww unakopa pesa nyinge utumie kwa njia chafua hata biashara hutaanzisha alafu hutaki kudaiwa ama KWELI washwahili walinena KUKOPA HARUSI KULIPA MATANGA

  • @lucky9285
    @lucky9285 5 лет назад +2

    Dawa ya deni ni kulipa dada Nyodo haisaidiiii

  • @fainnamvungi4364
    @fainnamvungi4364 5 лет назад +5

    nimeweka earphone masikio yote yananiuma we mama wewe unaniumiza masikio...😂😂

  • @benedictmgaya7300
    @benedictmgaya7300 5 лет назад +9

    Mama lipa pesa za watu mdomo mrefu wa nn

    • @tatuhamisi4838
      @tatuhamisi4838 4 года назад

      Watu bwana wanakopa kulipa shida....

  • @mbiyugobo1031
    @mbiyugobo1031 4 года назад

    Watu wa iringa wabishi

  • @dennismalima5365
    @dennismalima5365 4 года назад +1

    Ally Hapi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @juliaslengai3323
    @juliaslengai3323 4 года назад +4

    😂😂😂😂😂ww dada punguza mdomo dawa ya deni ni kulipa

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 5 лет назад +9

    Nilichobaini hapa tanzania wenyewe wenyewe tunaekeena roho mbaya makazini

    • @omarkhamis9514
      @omarkhamis9514 4 года назад

      Sio Tanzania pekee Da Radhia, ni ulimwenguni kote, imani zimedhoofika. Naona kama jua limetukaribia zaidi.

  • @florachrist9602
    @florachrist9602 4 года назад +2

    Nyie mi kam namuelewa vile😂😂😁😁😀jmn nyie deni linachosha mjue😁😁😀

    • @nyembogwazibaka8655
      @nyembogwazibaka8655 4 года назад

      Unakopea nn? uwe na.kiswahili kizuri walla c baya haswa ukikopa kidogo, kidogo huyo mama anaonekana fedhuri

  • @tonkimaro2495
    @tonkimaro2495 5 лет назад +5

    Gonga like twende pamoja

  • @upendohalisi80
    @upendohalisi80 5 лет назад +7

    Chezea mhehe wewe atakula sahani moja na huyo mama uwii

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 5 лет назад +10

    Chadema mnamuacha huyu mama kweli, huyu akisimama CCM lazima wakimbie

  • @fatimamohammed2332
    @fatimamohammed2332 5 лет назад +1

    mama na ww wenge knoma hahahaha unaombewa kaz una mbwera hap kwakuwa mm tayar nna kaz nngekuwa cna ngekutafuta hahahah

  • @halimasaleh5705
    @halimasaleh5705 5 лет назад +5

    Dawa ya deni kulipa

  • @seddamwaipungu6566
    @seddamwaipungu6566 5 лет назад +2

    mama lipa mkopo

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 5 лет назад +7

    Mama yamemkuta tayari. Ni kawaida katika maisha kupanda na kushuka. Alipoomba mkopo fomu zake mwajiri alimdhamini vizuri tu. Lakini mwajiri HR sio mmiliki wa mwenendo wa biashara. Hali imebadilika mazingira ya biashara yamekua magumu kampuni ikaamua kubana matumizi!. Ikageukia kuratibu uzalishaji wake ili kuongeza tija na kupunguza gharama. Kutekeleza hilo ikabidi ipunguze uzalishaji ikiambatana na kupunguza ajira. Mama likamkumba fagio akatoka kwenye ajira. Anatika akiwa na mkopo! Benki ili nayo isiyumbe inahitaji huo mkopo na riba virudi ili nayo isipate hasara ikafunga biashara. Wanatanyaje zaidi ya kumdai huyo mama? Tukisema tudai sheria kwamba mtu akipunguzwa kazi mwajiri alipe pesa je ikitokea mwajiri akala njama na wafanyakazi wake kisha akawadhamini baadae wakapunguzwa na kutokomea na pesa je si tutaua sekta ya fedha nchini? Liangalieni kwa pande zote sio tu mnamuonea huruma huyo mama au kumlaumu mwajiri au kuibeza benki

    • @twahashearer8302
      @twahashearer8302 5 лет назад +1

      Pole mkuu kwa majukumu endelea kupigania wananchi wako

  • @teddymeela2791
    @teddymeela2791 5 лет назад +3

    Huyu mama kakosa hekima tii mamlaka ikiyokuzid wew

  • @maryamthomas3425
    @maryamthomas3425 4 года назад

    hongera mweshimiwa mkuu wa mkoa wa iringa uko vizr nakuomba tembelea na kijjn kwetu isman ukawaskilze wazee wetu kero zao

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 5 лет назад +9

    huyu mama anaongea jmn ahahahaha duh

  • @nwntz
    @nwntz 5 лет назад

    mama ni rapa

  • @thedeo472
    @thedeo472 4 года назад

    Pole sana dadangu, naamini ulikopa kwa nia njema Kabisa, tatizo ni kupoteza kazi na Mkuu wa mkoa alitakiwa aelewe hivyo.

  • @user-br4tl7jv9j
    @user-br4tl7jv9j 6 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂nmecheka sanaaaa

  • @jerumayamwasomola1065
    @jerumayamwasomola1065 4 года назад +1

    Huyo mama mwenye vitenge hana hekima tena fala

  • @joemartin8246
    @joemartin8246 5 лет назад +2

    sasa hapo ndo nimeelewa kwanini yule Mzee alikuwa akidaiwa kiwanja anajitoa ufahamu mkiondoka anakuwa mzima😂😂😂😂

  • @tariqmussa8099
    @tariqmussa8099 4 года назад

    Pole mkuu wa mkoa unakutana na watu waainabalimbali ndio kazi

  • @florabaruti8032
    @florabaruti8032 5 лет назад +1

    mwisho wa ibada

  • @norafrowin1748
    @norafrowin1748 4 года назад

    Team Ally Hapi nipo hapaaa

  • @salehosama1163
    @salehosama1163 2 года назад

    Namkubaki sana ally hapi

  • @gm7045
    @gm7045 5 лет назад +2

    Mama kuwa mpole!

  • @joachimxavier5030
    @joachimxavier5030 2 года назад

    Huyu mama ajitahidi kulipa tu maana kuondolewa kazini sio kinga ya deni lakini ajifunze kujishusha tu mh mkuu wa mkoa alikua na Nia thabiti kabisa ya kutatua tatizo lakini Kwa namna ya uongeaji wake inakatisha tamaa kabisa ya kumsaidia Sheria hua Haina huruma so bank wakisimamia Sheria naona mama anaweza akapoteza ajifunze kuzungumza na watu sio kujiaminisha una msimamo wakati umesimamia pabovu.

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 2 года назад

    Huyu Dada atapata msaada kweli duh alipe tu deni😂😂😂

  • @giannajoji7944
    @giannajoji7944 5 лет назад +1

    Huyu mama dishi limeyumba!

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 4 года назад

    ELIMU IKIKOSEKANA NI SHIDA

  • @enosupertv2205
    @enosupertv2205 5 лет назад +5

    *huyu mama anaongea huku anamrembulia mkuu wa mkoa*
    *HATARIIIIIIIIIIIIIIIII*
    *NASEMA HAPO SITAK*

    • @irenebenezeth3411
      @irenebenezeth3411 5 лет назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mama analembua uyu

    • @enosupertv2205
      @enosupertv2205 5 лет назад +1

      @@irenebenezeth3411 *anavo uvuta mdomo*

  • @joharymussa6318
    @joharymussa6318 4 года назад

    Duh! huyu mama ni noma aise

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 года назад

    Duuh huyu Mama anafaa ila Kimbelembele ka mfuko wa shati,Muheshimiwa Uko Sawa Barikiwa.

  • @luluzonlinetv7443
    @luluzonlinetv7443 5 лет назад +2

    hahaaaa we mama kiboko

    • @theresiakaruhanga9502
      @theresiakaruhanga9502 5 лет назад

      Luluz online Tv na aliye muoa ana mzigo usiobebeka. na inawezekana ni kweli aipunguzwa kwa utovu wa nidhamu😁😁😁

  • @ymusic803
    @ymusic803 5 лет назад

    Huyo mama kidomo domo sanaa hawezi rudishwa kazini vinginevyo atawavuruga ofisin

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 5 лет назад +1

    Mkuu waa mkoa hapo kına kitu
    Mwajili n mwanamke na mqajiliwa n mqanamke
    Lazma ufikirie kidogo kuna undan ulijificha
    Huyu mwajili anaonekana kujiona na kukomesha
    Soo kutoa soluu unatakiwa kuwaza kidogo mheaimiw Ally

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 4 года назад

    Huyu mama vp ulipochukua mkopo ulisherehekea sasa vp unakuwa mkali lipa deni la watu

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 5 лет назад +2

    Maisha magumu!! ndo maana watu wanashindwa kulipa madeni, kwenye kuhangaika kuna changamoto zake na hasa kama unakopa! kwa sasa ni presha tuu!

  • @lenardkapange4390
    @lenardkapange4390 2 года назад

    Duuh

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 лет назад +1

    Watu wa elimishwe kabla ya ku kopa

  • @denisdaniel1839
    @denisdaniel1839 5 лет назад

    Hahahahahahaaaaaaa uuuuuuwiiiii elimu elimu elimu elimuuuuuu kuongoza hao watu ni kazi sana

  • @gloriamichael3698
    @gloriamichael3698 5 лет назад

    Kazi IPO mwana Wa Elizabeth

  • @oyay2821
    @oyay2821 4 года назад

    Mkuu wa mkoa ana kazi kisha ika zaa kazi

  • @theresiakaruhanga9502
    @theresiakaruhanga9502 5 лет назад +3

    mama kulipa mkopo ni lazima ujipange utakavyolilipa. halafu dada unakislani. kutembelea gari kumeingilianaje na kukopa kwako???

    • @alexkabeho5609
      @alexkabeho5609 5 лет назад

      Eti jamani mtu mwenyewe anajaa ukorofi

    • @stellasanga8106
      @stellasanga8106 5 лет назад

      Nashangaa watu tumetofautina kwa kweli wivu tu unamsumbua tatizo wanawake hatupendani gar inahusiana na nn? Na mkopo?

  • @nchamosishaffi500
    @nchamosishaffi500 5 лет назад +2

    hyo ni matamshi machafu

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 4 года назад

    Ndio mana kukopa kopa sipendi

  • @enosupertv2205
    @enosupertv2205 5 лет назад +6

    *kama umesikia mheshimiwa mkoa like twende sawa*

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 5 лет назад

    Huyo mama wa kilemba nampa pole mmewe

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga8334 5 лет назад +2

    Kazi ipo kweli.....hapa...wewe ulikopa lipa deni tu

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 4 года назад

      Wanawake wana maneno sana anadaiwa haelewewi

  • @ibrahimkambi9288
    @ibrahimkambi9288 5 лет назад +1

    DUUH...Uongozi kweli kazi yeye ndo mwenye makosa na yeye ndo anabwata hatari sana...

  • @zubedarichard2311
    @zubedarichard2311 Год назад

    Mikopo ni haramu Jmn na riba ni haramu pia

  • @israelmeshack2518
    @israelmeshack2518 5 лет назад

    Napenda sana unavo fanya kaziyako mkuu wamkowa ila apa Arusha sijasikiya mkuu wamkowa akitisha kero za wananchi

  • @agathamwashimaha7012
    @agathamwashimaha7012 5 лет назад

    Kwa kweli mkuu wa mkoa hongera,ila tunasema kwa kihehe kangalage,vahehe uwiiii Dada ,vakali uhulo

  • @nchamosishaffi500
    @nchamosishaffi500 5 лет назад

    it's true mheshimiwa

  • @salmathequeen6140
    @salmathequeen6140 5 лет назад +2

    Lipa mkopo ila ungesaidiwa nyodo zako hazisaidii Mama angu

  • @margarethsaramaki1100
    @margarethsaramaki1100 5 лет назад +1

    Makazini baadhi ya Boss wanapenda kunyanyasa mfanyakazi kwa njia fulani hasa baadhi ya wanawake ma boss na hasa akiwa na gari kujiona anaendesha ndege###

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce7672 2 года назад

    Huyu mama duu nimecheka

  • @monicaelias2743
    @monicaelias2743 5 лет назад

    ahahaaa mama noma

  • @godasanga3819
    @godasanga3819 5 лет назад

    mh Rc sijui sheria ya Tz ikoje mtu anakopeshwa kutokana na kazi (employment status) kama amepewa redundancy bima ina bidi ilipe au wawe-suspend malipo until further notice on changes of employment status mh angaalien sheria upya

  • @petrosanga1366
    @petrosanga1366 5 лет назад

    Jamani da! Kaz ipo

  • @yusuphmbago3664
    @yusuphmbago3664 5 лет назад

    Kesi ngumu sana hii!

  • @irinemacha2951
    @irinemacha2951 5 лет назад +3

    Ndoa hazina aman ...ha ha ha ha

    • @Loishiye
      @Loishiye 5 лет назад

      😂😂😂😂

  • @zicomgravity4897
    @zicomgravity4897 5 лет назад +2

    Hiyo Inaitwa "Sindila Shida! Hahahah!

  • @xuleykhanmarcus6344
    @xuleykhanmarcus6344 5 лет назад

    Kwl uongozi ni karama

  • @attusanga8210
    @attusanga8210 4 года назад

    Mhehe huyoooo

  • @kulwajoel2465
    @kulwajoel2465 5 лет назад

    uyu mkuu wa mkoa namkubali sana

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 5 лет назад +3

    Kamama kakiwa ndani haka ni changamoto

  • @bintysayd1763
    @bintysayd1763 5 лет назад +1

    We wakopa kwa kazi yakuajiriwa 😆😆😆 hujui wakat wowote waeza simamishwa

  • @hizim6699
    @hizim6699 4 года назад

    Watu wapo vizuri ha haha

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 5 лет назад

    Jamani huyo mama mbishi duuuh

  • @mwitamalwa2773
    @mwitamalwa2773 2 года назад

    Hutu mama mwehu unakopaje bila kujua pesa unarudishaje

  • @mwanamutemi
    @mwanamutemi 5 лет назад

    deni hilo muajiri ndie afaakua guarantor pamoja na insurance

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 3 года назад

    Huyu bei gani

  • @kirobotonzuusi3246
    @kirobotonzuusi3246 5 лет назад +3

    Kandogolo😂😂😂😂

  • @joramnunu1449
    @joramnunu1449 5 лет назад

    😁😁 Kazi kweli kweli

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 4 года назад

    Mimi naogopa deni jaman 😂😂😂

  • @magrethjohn8576
    @magrethjohn8576 4 года назад

    Sasa kutembelea gari kunahusiana vipi na kulipa deni? Mama kuwa mastaarabu lipa deni

  • @zakiamaungazakia720
    @zakiamaungazakia720 5 лет назад +2

    Hao waajil magumashi

    • @rizikipamba3215
      @rizikipamba3215 5 лет назад

      Nyumba Kama inasomeka iko kama ina dhamana lazima iuzwe....terms za mkataba

  • @jeromendetaulwa3466
    @jeromendetaulwa3466 5 лет назад

    Duh huyo mama hatari kweli pole RC mchukulie hivyo hivyo

  • @jacquelinosmond221
    @jacquelinosmond221 4 года назад

    nashindwa kuelewa kwa nini huyu mama anayeongea sana alilala hapo kumsubiri mkuu wakati uwezo wa kutatua mwenyewe alikuwa nao? mama mdomo umekuponza

  • @mtanzaniahalisimungunimwem673
    @mtanzaniahalisimungunimwem673 4 года назад

    Badala anyenyekee ahurumiwe, mama ananyosha kamdomo. Hapo ndio kashalikoroga na Deni atalipa. Hekima na utulivu ni kitu muhimu

  • @rahelgika3870
    @rahelgika3870 5 лет назад

    Mkuu wa mkoa nyamaza tu baba, haka ka mama hapana kwa kweli.

  • @colethacharles548
    @colethacharles548 5 лет назад

    Kaka yangu Ally happi kazi unayo daaaah,tunakuombea heri wasikilize tu hata kama watatukana huo ndio uongozi