MENGI KIBARABARA AZUA NOMA IRINGA/ MWANAMKE ANA WANAUME WATATU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 238

  • @josephmateru8892
    @josephmateru8892 5 лет назад +9

    Hongera Cna Mkuu Wa Mkoa Unafanya Kazi Nzuri Lakin Nikuombe Mkuu Wa Mkoa Kuna Malamiko Hayana Kichwa Yamekaa Kifamilia Cna Na Ww Unamambo Mengi Ya Kufanya

  • @njanjuleed1391
    @njanjuleed1391 4 года назад +2

    Hongera Sana kaka hapi kuokoa wanyonge ilingampya asnte Sana nakukubari sana

  • @floramollel1362
    @floramollel1362 5 лет назад +4

    Una kazi sana izo kesi ngumu

  • @samueljr9105
    @samueljr9105 5 лет назад +3

    Daaah hii imeweza sasa yani dada kajistaki mwenyewe

  • @jameswillson8685
    @jameswillson8685 4 года назад +2

    Mweshimiwa uko mvumilivu Sana mgu akutie nguvu

  • @lubatikoseme6613
    @lubatikoseme6613 4 года назад +2

    Kesi ya nyani imeangukia kwa ngedere... hapi achia mahakama waliosomea sheria. Hii sio safi hapi.

  • @bunubunu8792
    @bunubunu8792 5 лет назад +7

    MWESHIMIWA RC ALI HAPI MUNGU AKUPEAFYANJEMA.NIMEKUKUBALI,

  • @shuwanyotaclassc1849
    @shuwanyotaclassc1849 2 года назад

    Asante ndugu waoooo ww mama hujitambuwi

  • @ZROST
    @ZROST 2 года назад

    Kwanza mkuu wa mkoa wa Iringa one day uwe rais Inshallah Amin uyo dada aokoke

  • @bakarirutengwe3036
    @bakarirutengwe3036 2 года назад

    KAZI KWELIKWELI

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 2 года назад

    Bora ungesema huijui Hy namba 😆

  • @najma3268
    @najma3268 5 лет назад +5

    Leo hii nimeishindwa kwakweli ni ngumu kumeza 🤣🤣huyo dada 🙌

  • @dianamalingumu4516
    @dianamalingumu4516 5 лет назад +6

    huyu dada anasema kweli hapo kazungukwa jmn anasema kweli

  • @rahelmasiga1503
    @rahelmasiga1503 4 года назад +3

    Mnampotezea Mkuu nafasi huyu dada hajambo kwa kuolewa

  • @relaxchinese4103
    @relaxchinese4103 5 лет назад +8

    Umeniuzi kweli umeolewa huku mara kule mara umerudiana na mume wa mwanzo mara umepata bwana mwingine laanakum laanatu allah mwananamke lizika na mume mmoja

    • @tumainimango8140
      @tumainimango8140 5 лет назад

      Hahahaaa

    • @colethacharles548
      @colethacharles548 5 лет назад +1

      Yaani Dada ana wanaume huyooo loooo,kesi haina hadhi ya kusikilizwa na mkuu wa mkoa wanamchosha bure

  • @ramadhansteven325
    @ramadhansteven325 5 лет назад +3

    Dada mkavu huyu hata ashtuk duuu yupo very comfotable

  • @aulamongi2020
    @aulamongi2020 2 года назад

    Iringa, Njombe,Songea, ogopa yaan weka mbali na watoto.

  • @ashurar2721
    @ashurar2721 4 года назад

    Mkuu wa mkoa kazi unayo da pole sana

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 8 месяцев назад

    Ally hapi hongera sana 🎉🎉🎉

  • @attumassawa5921
    @attumassawa5921 5 лет назад +3

    kweli huyu ni mgoni damu . Duu mwanamke mmoja wanaume sita bila aibu una simama mbele ya watu.

  • @traudkamugisha8051
    @traudkamugisha8051 5 лет назад +3

    Nimeipenda hii ahahahaa!!!

  • @fredykephacy9230
    @fredykephacy9230 5 лет назад +5

    huyo Dada muongo sana

  • @fatumahassan8212
    @fatumahassan8212 5 лет назад +2

    Khakika mheshimiwa hizi changamoto unazokabiliana nahisi akili inachoka pole sana, mungu alikuleta duniani kwa makusudi wapo baadhi ya watu wanahitaji kusaidiwa namna ya kuishi

  • @johndieme6402
    @johndieme6402 4 года назад +1

    Wanaume watatu wemwanamuke musariti mwanamuke waguvu

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 3 года назад +1

    Du enzinza Magu rahaa sana

  • @flowinkilangira1545
    @flowinkilangira1545 5 лет назад +2

    Mkuu wa mkoa wa iringa ana kazi kubwa mnooo.. Na hii ni mikoa karibia yote.

  • @happybruno1764
    @happybruno1764 4 года назад

    Pole mkuu wa mkoa hadi kichwa kitakuuma baba

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 5 лет назад +12

    😂😂😂😂 nacheka kama mazuri vile...mmmh hii Kali ya mwaka dada mabwana wote hao unawamudu vipi 😂😂😂 unataka bara na pwani utapotea ndugu yangu 🙆

    • @hajichungu9413
      @hajichungu9413 5 лет назад +1

      Asha Ally ha ha ha ha ha no nishidah

    • @ashaally6993
      @ashaally6993 5 лет назад +1

      @@hajichungu9413 😂😂😂

    • @hermescash9463
      @hermescash9463 5 лет назад +1

      😂😂😂😂. Nmecheka mwishoni katoea "Mdude" tena

    • @ashaally6993
      @ashaally6993 5 лет назад

      @@hermescash9463 😂😂😂😂

    • @kangujosephkangungu26
      @kangujosephkangungu26 5 лет назад +1

      Asha Ally dadaangu mhhh haya huwa inatokeaga

  • @neemakaaya5971
    @neemakaaya5971 4 года назад

    Nakukubali sana

  • @tariqmussa8099
    @tariqmussa8099 4 года назад +1

    Yani nimecheka uyu dada ni tatizo anawanaume wengi

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 2 года назад +2

    Ally happy ulikuwa vizuri wengi tutakukumbuka Kwa jinsi ulivyo saidia watu kupata haki zao ,Wanaume watatu ulitaka Nini Cha zaidi webibi huna haya

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 2 года назад

    Dada mshenzi uyo

  • @naimasuleiman6489
    @naimasuleiman6489 2 года назад

    Naion leo baada ya miaka 3 hii kali duu🤣🤣🤣🤣🤣muendelezo jmn

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 5 лет назад +4

    Kaaaaaaa mengine ya familia,siyo ya serikali

  • @eliudmsigwa229
    @eliudmsigwa229 5 лет назад

    mbon kama kes hiyo ndogo sana sio level yako RC

  • @rosezumba6318
    @rosezumba6318 5 лет назад +1

    Chezea wewe songea noma

  • @godfreylutengano9367
    @godfreylutengano9367 2 года назад

    Hii nichombo ya uma

  • @ellyjacob9897
    @ellyjacob9897 3 года назад

    Hahahhahaha hamna mwanamke hapo

  • @hussmuya5246
    @hussmuya5246 5 лет назад +2

    Hapi kazi mnayo mkoa unawatu wenye vichwa vigumu huo baraa ulanzi

  • @seddamwaipungu6566
    @seddamwaipungu6566 4 года назад

    Mmama ana sura kavuuuuu, dangaaaaaa

  • @marthajohn9120
    @marthajohn9120 2 года назад

    Dada ukifika mbinguni umechoka sana 🤣🤣🤣

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 4 года назад

    Mambo ni mengi kwakweli sasa Mbona mengine mmazlize nyumban ty 😁😁😁😁😂😂😂mnaznguwa kishez

  • @agesag.m2476
    @agesag.m2476 4 года назад +1

    Hahahaha Hii story ni Moto

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 5 лет назад +3

    Hahahaaa....Yaani Muh’ ungekua unapokea kesi za dhuluma zenye chembechembe za mahusiano’ kichwa kingepasuka...!...Ndio hapo tujue viongozi wa DINI wana kazi kubwa kuamua kesi za mahusiano...!
    Bint kila anapokwenda ana BWANA.....!
    ...YAANI NI TAFRANI...!

  • @bunubunu8792
    @bunubunu8792 5 лет назад +2

    HONGERA MILARD AYO KWAKUTUHABARISHA.

  • @sumaiyahussein3578
    @sumaiyahussein3578 2 года назад

    Ila mweshimiwa inaonekana anapenda izo story 😂😂

  • @halimajamaniamekuwamndeme9617
    @halimajamaniamekuwamndeme9617 4 года назад +2

    Kwanza huyu dada ni kahaba, mbona anawanaume wengi sana, duuuuuuuu!

  • @angellamwamlima1498
    @angellamwamlima1498 5 лет назад +3

    Duh! makubwaaaaaaa

  • @lucymungekenyi7068
    @lucymungekenyi7068 2 года назад

    Irina hooooyeeee

  • @BYAUNDA
    @BYAUNDA 4 года назад +2

    mweshimiwa huyo dada amezulumiwa, kufuatana na hali yake yakuwa na wanaume wengi, inaonekana kama familia yake yaani dada yake pia alimzunguuka, wampe haki yake.

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 2 года назад

    Mama Muhuni amezungukwa Na waume zake😂😂😂

  • @geofreyngoloka806
    @geofreyngoloka806 5 лет назад

    Hii ndo mahakama nzuri

  • @aliabdullah2161
    @aliabdullah2161 2 года назад

    Huyo dada ni hatar wanaume wote hao 😂😃😅

  • @stanleyeddo4346
    @stanleyeddo4346 5 лет назад +1

    Inaweza kua wame mzunguka mama wa watu me najua sisi binadam shida sana

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 3 года назад

    Mpira huo sio mke😂😂😂😂

  • @zotenasports9226
    @zotenasports9226 5 лет назад +2

    Ahahahaha kweli mwishimiwa

  • @dianarosemassawe4824
    @dianarosemassawe4824 5 лет назад +1

    Ha ha ha rahatupu iringaaa kushea raha tuuu ha ha 😂 🤣 🤣

  • @timanyere9052
    @timanyere9052 2 года назад

    Mim mwedzenu nimefall love na mueshimiwa😘💗😂nimchanganye nahuyo afande apo nyuma

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 2 года назад

    Kamdai bwana ako Hy ela Mana unasumbua watu uzur ukwel umejidhihirisha

  • @HarunaSaidy-rd8rs
    @HarunaSaidy-rd8rs Год назад

    Big.

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 2 года назад

    Mtihani yarabi tusaidiye waja wako wanawake twafezeheka

  • @victoriakasiagila8299
    @victoriakasiagila8299 3 года назад

    Kazi ipo

  • @miriamifuja4041
    @miriamifuja4041 2 года назад

    Duuuu aki nimecheka ,huyu dada hatari sana.

  • @kiyabonjemu9885
    @kiyabonjemu9885 5 лет назад +4

    Kitu kimeshaeleweka, Dada Ni mtuhumiwa, kilichobaki Ni halali ya vyombo vya dola.

    • @floradori5760
      @floradori5760 4 года назад

      Siku hizi naona watanzani mumechanganyikiwa kwa iringa mko na vituko sanaaaa

  • @ashamganga6636
    @ashamganga6636 5 лет назад +2

    😂😂😂yani malalamiko mengine yanachekesha hadi ya ndoa basi na mm nipeleke nimetelekezwa na baba mtoto wangu

  • @dyanatanz6574
    @dyanatanz6574 5 лет назад

    Uyu mwanamke kiboko tapel.

  • @AsaniZubeli
    @AsaniZubeli 7 месяцев назад

    uyo dada ni danga

  • @emmanuelmanga25
    @emmanuelmanga25 5 лет назад +3

    Iringa Ukimwi hautaisha hata kidogo.

  • @ramadhanisururamadhanisuru3215
    @ramadhanisururamadhanisuru3215 5 лет назад

    Uuuwiiii rc pole sana maana unakutana na changamoto nyingi sana

  • @asheryissa6100
    @asheryissa6100 5 лет назад +1

    Pole Rc hapi kaz ipo

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu7754 4 года назад

    Binadamu Sijui Vipi Uyu Ni Mkuu Wa Mkoa Mkuu Wa Ulinzi Wa Mkoa Wake Sasa Kuusu Kueka Amani Hata Ya Familia Nisawa Anastaili Yeye Ni Mkuu Wa Mkoa Anaongoza Watu Sasa Ataongozaje Watu Wenye Migogoro Bila Kuwaweka Sawa Mkuu We Usichague Kesi Zikija Zimalize We Ni Mkuu Wa Mkoa Yani Na Ulinzi Uko Chini Yako

  • @lubatikoseme6613
    @lubatikoseme6613 4 года назад +2

    Case ya hilda ni ya mahakamani na si nyie hapi mnahukumu case kwa feelings.. wache waliosomea taaluma ya sheria wafanye kazi yao..kuliko kuwaitia police tena

  • @shijandoya1780
    @shijandoya1780 2 года назад

    Jambazi kabisa hilo

  • @nathanmwibela5917
    @nathanmwibela5917 4 года назад

    Kiongoz bora.anayejali wanachi .

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 5 лет назад +1

    Yaan hii familia ya kibarabara imetushinda kabisaaa iringa. Ni wakorofi wa viwanja wanauza viwanja mara 3 3.

  • @neemamagoma2993
    @neemamagoma2993 4 года назад

    Wamatengo niwaongo sanasana HUYO dada nimuongo

  • @janethnkembo5808
    @janethnkembo5808 3 года назад

    Huyu dada mhh

  • @ishipalemypasco2567
    @ishipalemypasco2567 2 года назад

    Sishangai ndo walivyo sasa hata hata watt wengi sio wa wanaume husika

  • @ukhtyashurasakinamnyoti1786
    @ukhtyashurasakinamnyoti1786 5 лет назад +5

    Kwa mpango huu ukimwi utawamaliza

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 8 месяцев назад

    Duuu dada kuwa makini unaolewa tu jamani

  • @wilsonwafulachebokati4933
    @wilsonwafulachebokati4933 4 года назад

    Huyo mwana mke do ni mtambo kila mboo yaingia

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 2 года назад

    Duh

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 5 лет назад +2

    Unakazi ngumu serikari inatumia nguvu nyingi kuzuia ukimwi Kwa hali hii bado

  • @rutashubanyuma4546
    @rutashubanyuma4546 5 лет назад +6

    Usimuamini mwanamke kabisa

  • @gracealex8712
    @gracealex8712 5 лет назад +2

    Dada anazungukwa hapa na hapa hawezipata haki yake, zaidi ya kudhalilishwa tu.

  • @njonjolomahfudh3238
    @njonjolomahfudh3238 5 лет назад

    Ali hapi tunataka awe mkuu wa mkoa wa Mtwara..... mzee magufuri tufikirie tafadhari

  • @johnsonjusto9564
    @johnsonjusto9564 5 лет назад +2

    hawa wote sweka ndani kwakuwa wanajikanyaga na maelezo yao

  • @viniaskadunda5768
    @viniaskadunda5768 4 года назад

    Kweli Iringa kumenoga

  • @EnjoyadelaAdela
    @EnjoyadelaAdela 4 месяца назад

    Alie cheka kwa nguvu gonga like

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 8 месяцев назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @jeanneluhabanya1252
    @jeanneluhabanya1252 5 лет назад +2

    Jamani uyu mwanamke.... Duh hadi nahisi kuchoka

  • @janethjustin5256
    @janethjustin5256 5 лет назад +1

    jaman kwan hii inaendelea wapi😹😹😹

  • @kibongobongo4608
    @kibongobongo4608 5 лет назад +1

    Mwanamke mmoja wanaume kumi na moja 🙄

  • @mr.machange1377
    @mr.machange1377 5 лет назад

    Huwezi suluhisha kesi kihivi kesi zingine utazivuruga kabisa haki haki haitatendeka

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 2 года назад

    Tuachane na swala la yeye kuwa na wanaume wengi hilo ni swala binafsi. Huyu dada kazungukwa kweli.

  • @devothafredrick3911
    @devothafredrick3911 5 лет назад

    Duuuuuh!!!!! Noma sana aixee

  • @petermbijima2552
    @petermbijima2552 5 лет назад +1

    Dada mwenyewe mrembo lakin

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 лет назад +7

    Kwani shida iko wapi? Mbona wanaume nyinyi mnawengi 😂😂😂😂

    • @hannansdeliciousfood4261
      @hannansdeliciousfood4261 2 года назад

      Mwanamke hadhi huwa hana akiaa kazi kuchopwa chopwa km kibuyu cha asali atakuwa na shimooo la kupandwa na mgomba

  • @festomartinchanga1987
    @festomartinchanga1987 5 лет назад

    Mambo mengine ni ya kifamilia zaidi dogo Hapi Ally

  • @brysononlinetv
    @brysononlinetv 5 лет назад +2

    Maswala ya kifamilia