Hongera Cna Mkuu Wa Mkoa Unafanya Kazi Nzuri Lakin Nikuombe Mkuu Wa Mkoa Kuna Malamiko Hayana Kichwa Yamekaa Kifamilia Cna Na Ww Unamambo Mengi Ya Kufanya
Umeniuzi kweli umeolewa huku mara kule mara umerudiana na mume wa mwanzo mara umepata bwana mwingine laanakum laanatu allah mwananamke lizika na mume mmoja
Khakika mheshimiwa hizi changamoto unazokabiliana nahisi akili inachoka pole sana, mungu alikuleta duniani kwa makusudi wapo baadhi ya watu wanahitaji kusaidiwa namna ya kuishi
Hahahaaa....Yaani Muh’ ungekua unapokea kesi za dhuluma zenye chembechembe za mahusiano’ kichwa kingepasuka...!...Ndio hapo tujue viongozi wa DINI wana kazi kubwa kuamua kesi za mahusiano...! Bint kila anapokwenda ana BWANA.....! ...YAANI NI TAFRANI...!
mweshimiwa huyo dada amezulumiwa, kufuatana na hali yake yakuwa na wanaume wengi, inaonekana kama familia yake yaani dada yake pia alimzunguuka, wampe haki yake.
Binadamu Sijui Vipi Uyu Ni Mkuu Wa Mkoa Mkuu Wa Ulinzi Wa Mkoa Wake Sasa Kuusu Kueka Amani Hata Ya Familia Nisawa Anastaili Yeye Ni Mkuu Wa Mkoa Anaongoza Watu Sasa Ataongozaje Watu Wenye Migogoro Bila Kuwaweka Sawa Mkuu We Usichague Kesi Zikija Zimalize We Ni Mkuu Wa Mkoa Yani Na Ulinzi Uko Chini Yako
Case ya hilda ni ya mahakamani na si nyie hapi mnahukumu case kwa feelings.. wache waliosomea taaluma ya sheria wafanye kazi yao..kuliko kuwaitia police tena
Hongera Cna Mkuu Wa Mkoa Unafanya Kazi Nzuri Lakin Nikuombe Mkuu Wa Mkoa Kuna Malamiko Hayana Kichwa Yamekaa Kifamilia Cna Na Ww Unamambo Mengi Ya Kufanya
Hongera Sana kaka hapi kuokoa wanyonge ilingampya asnte Sana nakukubari sana
Una kazi sana izo kesi ngumu
Daaah hii imeweza sasa yani dada kajistaki mwenyewe
Mweshimiwa uko mvumilivu Sana mgu akutie nguvu
Kesi ya nyani imeangukia kwa ngedere... hapi achia mahakama waliosomea sheria. Hii sio safi hapi.
MWESHIMIWA RC ALI HAPI MUNGU AKUPEAFYANJEMA.NIMEKUKUBALI,
Asante ndugu waoooo ww mama hujitambuwi
Kwanza mkuu wa mkoa wa Iringa one day uwe rais Inshallah Amin uyo dada aokoke
KAZI KWELIKWELI
Bora ungesema huijui Hy namba 😆
Leo hii nimeishindwa kwakweli ni ngumu kumeza 🤣🤣huyo dada 🙌
huyu dada anasema kweli hapo kazungukwa jmn anasema kweli
Mnampotezea Mkuu nafasi huyu dada hajambo kwa kuolewa
Umeniuzi kweli umeolewa huku mara kule mara umerudiana na mume wa mwanzo mara umepata bwana mwingine laanakum laanatu allah mwananamke lizika na mume mmoja
Hahahaaa
Yaani Dada ana wanaume huyooo loooo,kesi haina hadhi ya kusikilizwa na mkuu wa mkoa wanamchosha bure
Dada mkavu huyu hata ashtuk duuu yupo very comfotable
Iringa, Njombe,Songea, ogopa yaan weka mbali na watoto.
Mkuu wa mkoa kazi unayo da pole sana
Ally hapi hongera sana 🎉🎉🎉
kweli huyu ni mgoni damu . Duu mwanamke mmoja wanaume sita bila aibu una simama mbele ya watu.
Ukiachana unatafuta mwingine..Hana shida
Nimeipenda hii ahahahaa!!!
huyo Dada muongo sana
Khakika mheshimiwa hizi changamoto unazokabiliana nahisi akili inachoka pole sana, mungu alikuleta duniani kwa makusudi wapo baadhi ya watu wanahitaji kusaidiwa namna ya kuishi
Dah Kiongozi pole sana na majukumu ni kazi kweli kweli
Big. Up
Wanaume watatu wemwanamuke musariti mwanamuke waguvu
Du enzinza Magu rahaa sana
Mkuu wa mkoa wa iringa ana kazi kubwa mnooo.. Na hii ni mikoa karibia yote.
Pole mkuu wa mkoa hadi kichwa kitakuuma baba
😂😂😂😂 nacheka kama mazuri vile...mmmh hii Kali ya mwaka dada mabwana wote hao unawamudu vipi 😂😂😂 unataka bara na pwani utapotea ndugu yangu 🙆
Asha Ally ha ha ha ha ha no nishidah
@@hajichungu9413 😂😂😂
😂😂😂😂. Nmecheka mwishoni katoea "Mdude" tena
@@hermescash9463 😂😂😂😂
Asha Ally dadaangu mhhh haya huwa inatokeaga
Nakukubali sana
Yani nimecheka uyu dada ni tatizo anawanaume wengi
Ally happy ulikuwa vizuri wengi tutakukumbuka Kwa jinsi ulivyo saidia watu kupata haki zao ,Wanaume watatu ulitaka Nini Cha zaidi webibi huna haya
Yuko wapi kwani
Dada mshenzi uyo
Naion leo baada ya miaka 3 hii kali duu🤣🤣🤣🤣🤣muendelezo jmn
Kaaaaaaa mengine ya familia,siyo ya serikali
mbon kama kes hiyo ndogo sana sio level yako RC
Chezea wewe songea noma
Hii nichombo ya uma
Hahahhahaha hamna mwanamke hapo
Hapi kazi mnayo mkoa unawatu wenye vichwa vigumu huo baraa ulanzi
Mmama ana sura kavuuuuu, dangaaaaaa
Dada ukifika mbinguni umechoka sana 🤣🤣🤣
Mambo ni mengi kwakweli sasa Mbona mengine mmazlize nyumban ty 😁😁😁😁😂😂😂mnaznguwa kishez
Hahahaha Hii story ni Moto
Hahahaaa....Yaani Muh’ ungekua unapokea kesi za dhuluma zenye chembechembe za mahusiano’ kichwa kingepasuka...!...Ndio hapo tujue viongozi wa DINI wana kazi kubwa kuamua kesi za mahusiano...!
Bint kila anapokwenda ana BWANA.....!
...YAANI NI TAFRANI...!
Hahahahahahaha
HONGERA MILARD AYO KWAKUTUHABARISHA.
Ila mweshimiwa inaonekana anapenda izo story 😂😂
Kwanza huyu dada ni kahaba, mbona anawanaume wengi sana, duuuuuuuu!
Duh! makubwaaaaaaa
Irina hooooyeeee
mweshimiwa huyo dada amezulumiwa, kufuatana na hali yake yakuwa na wanaume wengi, inaonekana kama familia yake yaani dada yake pia alimzunguuka, wampe haki yake.
Mama Muhuni amezungukwa Na waume zake😂😂😂
Hii ndo mahakama nzuri
Huyo dada ni hatar wanaume wote hao 😂😃😅
Inaweza kua wame mzunguka mama wa watu me najua sisi binadam shida sana
Mpira huo sio mke😂😂😂😂
Ahahahaha kweli mwishimiwa
Ha ha ha rahatupu iringaaa kushea raha tuuu ha ha 😂 🤣 🤣
Mim mwedzenu nimefall love na mueshimiwa😘💗😂nimchanganye nahuyo afande apo nyuma
Kamdai bwana ako Hy ela Mana unasumbua watu uzur ukwel umejidhihirisha
Big.
Mtihani yarabi tusaidiye waja wako wanawake twafezeheka
Kazi ipo
Duuuu aki nimecheka ,huyu dada hatari sana.
Kitu kimeshaeleweka, Dada Ni mtuhumiwa, kilichobaki Ni halali ya vyombo vya dola.
Siku hizi naona watanzani mumechanganyikiwa kwa iringa mko na vituko sanaaaa
😂😂😂yani malalamiko mengine yanachekesha hadi ya ndoa basi na mm nipeleke nimetelekezwa na baba mtoto wangu
Kes ilikuwa yakiwanja chake
Huyo ni malaya mwanzo muogo tena
Uyu mwanamke kiboko tapel.
uyo dada ni danga
Iringa Ukimwi hautaisha hata kidogo.
Huyo dada Ame Tisha
Uuuwiiii rc pole sana maana unakutana na changamoto nyingi sana
Pole mkuu
Pole Rc hapi kaz ipo
Binadamu Sijui Vipi Uyu Ni Mkuu Wa Mkoa Mkuu Wa Ulinzi Wa Mkoa Wake Sasa Kuusu Kueka Amani Hata Ya Familia Nisawa Anastaili Yeye Ni Mkuu Wa Mkoa Anaongoza Watu Sasa Ataongozaje Watu Wenye Migogoro Bila Kuwaweka Sawa Mkuu We Usichague Kesi Zikija Zimalize We Ni Mkuu Wa Mkoa Yani Na Ulinzi Uko Chini Yako
Case ya hilda ni ya mahakamani na si nyie hapi mnahukumu case kwa feelings.. wache waliosomea taaluma ya sheria wafanye kazi yao..kuliko kuwaitia police tena
Jambazi kabisa hilo
Kiongoz bora.anayejali wanachi .
Yaan hii familia ya kibarabara imetushinda kabisaaa iringa. Ni wakorofi wa viwanja wanauza viwanja mara 3 3.
Wamatengo niwaongo sanasana HUYO dada nimuongo
Huyu dada mhh
Sishangai ndo walivyo sasa hata hata watt wengi sio wa wanaume husika
Kwa mpango huu ukimwi utawamaliza
Ukhty Ashurasakina Mnyoti kumbuka Iringa iko kwenye kumi bora
Duuu dada kuwa makini unaolewa tu jamani
Huyo mwana mke do ni mtambo kila mboo yaingia
Duh
Unakazi ngumu serikari inatumia nguvu nyingi kuzuia ukimwi Kwa hali hii bado
Usimuamini mwanamke kabisa
OG
Mkuu pole
Mwanamke Malaya sana
Dada anazungukwa hapa na hapa hawezipata haki yake, zaidi ya kudhalilishwa tu.
Ali hapi tunataka awe mkuu wa mkoa wa Mtwara..... mzee magufuri tufikirie tafadhari
Huyo wetu tuachien
hawa wote sweka ndani kwakuwa wanajikanyaga na maelezo yao
Kweli Iringa kumenoga
Alie cheka kwa nguvu gonga like
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Jamani uyu mwanamke.... Duh hadi nahisi kuchoka
Jina la HAWA litawatesa wanawake wote dunian
Lwanyon
jaman kwan hii inaendelea wapi😹😹😹
Mwanamke mmoja wanaume kumi na moja 🙄
Huwezi suluhisha kesi kihivi kesi zingine utazivuruga kabisa haki haki haitatendeka
Tuachane na swala la yeye kuwa na wanaume wengi hilo ni swala binafsi. Huyu dada kazungukwa kweli.
Duuuuuh!!!!! Noma sana aixee
Dada mwenyewe mrembo lakin
Kwani shida iko wapi? Mbona wanaume nyinyi mnawengi 😂😂😂😂
Mwanamke hadhi huwa hana akiaa kazi kuchopwa chopwa km kibuyu cha asali atakuwa na shimooo la kupandwa na mgomba
Mambo mengine ni ya kifamilia zaidi dogo Hapi Ally
Maswala ya kifamilia