KASHESHE IRINGA: KIENDACHO KWA MGANGA HAKIRUDI ILA IRINGA KINARUDI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 172

  • @elizabethlujabiko8994
    @elizabethlujabiko8994 5 лет назад +3

    Asante Mh mkuu wa mkoa tena wamezowea kweli hao wauza nyumba. Hasa wamezowea kudhulumu nyumba za wajane mikoa yote hata Dar es salaam wamezidi. Mh Makonda pia tusaidie maana hata tukitaka kuja kukuona kwa mambo kama hayo hapo ofisini kwako kuna kukiritimba mkubwa haturuhusiwi kabisa.

  • @franciskarangwa6554
    @franciskarangwa6554 6 месяцев назад

    I honestly like this young man >> may God bless him abundantly!!

  • @albertchubwa2546
    @albertchubwa2546 5 лет назад +3

    Hongera sana Ally Hapi kazi nzuri

  • @aishaaisha4082
    @aishaaisha4082 2 года назад

    This mkuu wa mkoa is very kind. God bless you.

  • @alicedusabe3988
    @alicedusabe3988 5 лет назад +3

    Hahhh kama mkuuwamkoa katumwa na mungu❤️❤️❤️

  • @aminaamina5186
    @aminaamina5186 5 лет назад +2

    Mwenyezi mungu akupe maisha marefu mkuu wa mkoa kwa usimamizi mzuri

  • @exaverymponguliana40
    @exaverymponguliana40 5 лет назад +16

    Daaa,yani hapi sijui ukiwa raisi itakuaje,uko vizuri

  • @ibadimohamed6435
    @ibadimohamed6435 Год назад

    Natoa pongezi kwa Serikali ya Hawamu ya sita kwa kazi nzur

  • @omarinjiwa3945
    @omarinjiwa3945 4 года назад

    Mkuu wa mkoa Wa Iringa kwa kweli unawatendea haki wananchi mungu akulinde kwa kila baya inshaallah

  • @alistachiusalistidesmwemez1930
    @alistachiusalistidesmwemez1930 5 лет назад +2

    Good Rc Iringa mmebarikiwa mchapakazi Ally Hapi good work brother

  • @husseinsalimmaula4254
    @husseinsalimmaula4254 5 лет назад

    Mungu akupe umri mrefu ally wanaokuekea vikwazo wasomee Surat nas

  • @hollojuma9538
    @hollojuma9538 2 года назад

    Nakukubali mkuu wa mkoa ilinga njoo namwanza

  • @hamzamussa2930
    @hamzamussa2930 5 лет назад +3

    Hongera Sana mkuu mi niliumia ulivyotolewa Daresalama lakini kazi zako tunazikubali

    • @HappynessJose
      @HappynessJose 3 года назад

      Mkuu wa mkoa na kufatiria sana nipo🇴🇲🇴🇲🇴🇲

  • @ramadhanimmana3829
    @ramadhanimmana3829 5 лет назад +3

    Safi saaaaan mkuu

  • @shakiramshule342
    @shakiramshule342 2 года назад

    Mungu ukuongezee umri mlefu

  • @jamalsalimalmahry6878
    @jamalsalimalmahry6878 5 лет назад +3

    Mashaallah makuu wa mkoa iringa🤲🤲🤲🤲👍

  • @kadogoomushadi5409
    @kadogoomushadi5409 5 лет назад +3

    Mashaallah.iringa.tumepata kiongozi

    • @kadogoomushadi5409
      @kadogoomushadi5409 5 лет назад

      @@rehemaibrahim8475 nikweli kabisaa mungu ampe afya njemaa daiman. Mafisadi wote.waumbuke

  • @mazuriedward4500
    @mazuriedward4500 5 лет назад +15

    Hongera sana mkuu wa mkoa, eti mtu anasema anatumia bausa km jeshi lake kwenda kubomoa nyumba??
    Hii haikubaliki kabisa.

    • @rizikikigala6930
      @rizikikigala6930 5 лет назад

      Nilikuelewa kwa uelewa wako na iringa uwa atupendan kama mikoa mingine inayopenda maendeleo,sio majungu kama in atom in a finish a kwa mh mkuu was mkoa tunaempenda wanairingà

  • @luhajufilmstanzania
    @luhajufilmstanzania 4 года назад +1

    Safi sana. Mheshimiwa

  • @dinahnyagosaima1259
    @dinahnyagosaima1259 3 года назад

    Iko cku utakuwa Rais
    Mungu akusimamie

  • @jeffreymalingula1489
    @jeffreymalingula1489 5 лет назад +10

    Hapi big up ni mpambanaji wa haki za wanyonge

    • @deomsigwa3150
      @deomsigwa3150 5 лет назад

      awa mjembe walizoea sana kaka vibanda vyetu vingiwameuza

    • @husseinibrahim6778
      @husseinibrahim6778 5 лет назад

      Mimi naitwa Hussein mawaya ni mkenya lakini Tanzania kwa wake zangu?kilicho nifurahisha tanazani viongozi wanakuja kwa raiya na kuliza kero ni ipi?mna kero gani?inchi yoyote iko uadhilifu wako na maendeleo?leo Tanzania wanamaendeleo kila kukikucha ndege mpya bara mpya stima vijijini maji mitani na kadhalika wacha niwapongeze watanzani MUNGU awabariki muko na viongozi wanaogopa MUNGU?leo Kenya kama hauna rikodi ya ujambazi basi huwi kiongozi?tanazani oh oh

  • @mwanajuma2666
    @mwanajuma2666 5 лет назад +1

    Safi sana mkuu wa mkoa....

  • @pinielpamojasanaelias7621
    @pinielpamojasanaelias7621 4 года назад

    Namkubali sana huyo mkuu wa mkoa mungu amlinde na kumuongoza

  • @alikhamis9566
    @alikhamis9566 4 года назад

    Cr mungu akubariki

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 2 года назад

    Fanya kazi KIJANA

  • @suzanmgaya4323
    @suzanmgaya4323 5 лет назад

    Mungu akubariki mkuu

  • @stahimilmassawe8540
    @stahimilmassawe8540 5 лет назад +2

    Mungu akutunze kiongoz,

  • @leokadiajuma1272
    @leokadiajuma1272 5 лет назад +1

    Daaah noma

  • @khalekichambo1131
    @khalekichambo1131 5 лет назад +2

    Safi sana

  • @zainabalothman5347
    @zainabalothman5347 4 года назад

    Uko vizuri kaka

  • @Blessedhopefamily
    @Blessedhopefamily 5 лет назад +1

    kial jambo likiamuriwa kwa busara huacha amani kwa kila mtu.
    utawala bora ni kitu cha muhimu sana katika maisha ya uongozi na utumishi

  • @zaidishabani5745
    @zaidishabani5745 5 лет назад +2

    Safiii mkuu

  • @davidmkeya6326
    @davidmkeya6326 5 лет назад

    So nice mkuuu;

  • @amersaidoon7379
    @amersaidoon7379 5 лет назад +2

    Huyu rc simba pls mh rais mprleke mikoa ya arusha au mwanza ambako kero za wananchi ni nyingi mungu ibariki tanzania

  • @joelnaja9935
    @joelnaja9935 5 лет назад +6

    Nimependa utendaji wako mh mkuu wa mko, chukua 5 zako

  • @ramadhanimmana3829
    @ramadhanimmana3829 5 лет назад +8

    Kwan mikoa mingine c muige kutoka kwa ally hapy jmn mkuu wetu paul makonda na ss tunamatatizo yetu sema hampiti kutembelea majimbo

  • @sharifachacha978
    @sharifachacha978 5 лет назад +3

    mijizi hiyoooo sukuma ndanii

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣 Mzee amenywea hasa,Chapa Kazi Muheshimiwa Okoa Wanyonge.

  • @joycemndeme1647
    @joycemndeme1647 5 лет назад +2

    Duuuu safiii

  • @rajabungereza8755
    @rajabungereza8755 5 лет назад +2

    Unacho kifanya mkuu wa mkoa mungu atakusaidia kwan ni mfano wa kuigwa tunaonelewa san

  • @aishaail4455
    @aishaail4455 5 лет назад +5

    Mh/hongera umewagundua ,nyumba nyingi sana zimeuzwa na hao watu wengi wamedhurumiwa hata yetu wameuza ipo dar pande za chanika,tena hata tarehe yakumaliza deni haijafika kisa kuchelewesha rejesho, yani hao matapeli.

    • @imeldabamba3779
      @imeldabamba3779 5 лет назад

      Aisha Ail maskini poleni,sema hamkuwa na mtu wa kuwatetea,lkn mngepata mtu km Ally hapi nyumba inerudi mbona.Hapa Iringa nyumba zilizopigwa mnada zimerudishwa kwa wenye nazo

    • @riz00rajebo82
      @riz00rajebo82 5 лет назад

      Sadkta maskeen mbona sjazaliwa tz

  • @hendrickchagoha6922
    @hendrickchagoha6922 5 лет назад +1

    Huyu jamaa namjua vizuri hapa dar nae alinitapeli huyo Riziki nashangaa anasema anasimamia majembe Iringa duu

  • @AhajHhh
    @AhajHhh Год назад

    Yn nyinyi ndo mtakao iongoza nchi iliyooza😊

  • @mishibakarikanwa3055
    @mishibakarikanwa3055 4 года назад

    Mm ni mkenya lkn napenda kazi yako mwishimiwa

  • @kajaymopao1672
    @kajaymopao1672 5 лет назад +12

    Hawa ndio viongozi wa ukweli sio kama kenya wote waizi watupu

  • @musatbobius5472
    @musatbobius5472 5 лет назад

    Mulika sana hao

  • @amerarolseid7811
    @amerarolseid7811 5 лет назад +4

    Jamn kuwa mkuu WA morogor nakupenda

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 4 года назад

      Hivi kwanini rais asiweke wakuu wa mikoa ambao wanafanana kikazi km ally happy wa iringa yaani happy angefaa kugawanya mara mikoa yote tanzania rais magu ungemgawanya mkuu wa mkoa iringa

  • @amirilupembe2164
    @amirilupembe2164 2 года назад

    Gombea ulais mheshimiea nipo dar mabibo tunakuelewa sana

  • @amrimalumbo1712
    @amrimalumbo1712 5 лет назад +1

    Mim na mim Hapy utakuwa Rais wa Tz

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 5 лет назад +3

    Icho kichwa cha habari mie huku kicheko😃😃😃😃

  • @richardrichard1112
    @richardrichard1112 5 лет назад +1

    Mimi nimkazi wadodoma ila ata mkuu wangu wamkoa simjui ata kwajina coz hana maajabu yyte

  • @salustianhhado7419
    @salustianhhado7419 4 года назад +1

    Huyu Hapi ni zile mbegu bora za uzao wa Wazalendo halisi tunaowataka. Hadi raha.

  • @j_gh812
    @j_gh812 5 лет назад +1

    Katika siku nimekukubali mweshimiwa hapi na kukuona akili zimetulia ni hapa tukio la majembe....wamedhulumiwa wanyonge wengi sana na ikiwa italisimamia kwa dhati kama ulivoahidi basi na mungu pia atakubariki......

  • @Crownvalz
    @Crownvalz 5 лет назад +2

    Huyu jamaa aje Dar kwa kweli...

  • @gm7045
    @gm7045 5 лет назад +1

    😂😂😂😂 Hata bei zipande sihami Tanzania..
    Well done Mheshimiwa Mkuu wa mkoa👏👏👏👏

  • @luganolusekelokajigili9343
    @luganolusekelokajigili9343 5 лет назад +2

    We ni hatal Sijui kama Dada Joketi Anaweza kutenda kama ww unavyo tenda iringa huko

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 5 лет назад +6

    Nchi ilikuwa haina nuelekeo.mijitu kama hiihaitaki kufanya kazi kazikula vya dhuluma tu

  • @queenhusna204
    @queenhusna204 4 года назад +1

    Akitoka MH JONNY POMBE MAGUFUL kwenye uongozi mwaka 2025 ataingia uyuu

  • @martinmargwe68
    @martinmargwe68 5 лет назад +2

    Dar kama mikoa mingine wangefanya kama huyu mheshimiwa nchi isinge kuwa masikini tungeendelelea haraka

  • @simonlulenga7062
    @simonlulenga7062 5 лет назад

    Mkuu wa mkoa Iringa oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.. Maghufuli asante kwa zawadi ulotupatia wana Iringa. Ally Happy kiboko ya wakorofi Iringa. Safisha serikali, chama na mkoa wetu mwanakwetu Allyhapi. Unatukosha nyoyo sana wapenda haki na maendeleo Iringa. Mungu abariki uzao wako kaka!

  • @aleyslaim4935
    @aleyslaim4935 5 лет назад +4

    ET Baunsa yani wizi

  • @ayubujackson5782
    @ayubujackson5782 5 лет назад +4

    unafaa kuwa Rais

  • @robertadolf7831
    @robertadolf7831 5 лет назад +1

    Mabaunsa bhanaaa.....Hapi oyeeee

  • @adamsimba1849
    @adamsimba1849 2 года назад

    jamani wenzetu kandaiyo wamepata magufuli part 2

  • @happyfiverickaldo4662
    @happyfiverickaldo4662 4 года назад +1

    Tunakuwaga na mabaunsa yetuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @zainaramadhan7769
    @zainaramadhan7769 4 года назад +1

    miladi ayo daima wakuwachee

  • @allykiwembo9553
    @allykiwembo9553 5 лет назад +2

    Ally hap miaka yte ulikua wap kuja kutukomboa wana irnga

  • @gracemwanjabala8073
    @gracemwanjabala8073 5 лет назад +1

    jamniii plz naombeniiii no ya hapii mwenyeee no yake tafadhariii

  • @benjaminhonga6771
    @benjaminhonga6771 5 лет назад

    Mh tusaidie tanesco wanazingu iringa wanataka rushwa kutubadilishia umeme tarifu ziro mh tusaisieeee

  • @ibrahimkambi9288
    @ibrahimkambi9288 5 лет назад +2

    Wataelewa tu!

  • @shijemakenzi2047
    @shijemakenzi2047 2 года назад

    Wakuu wengine wa mikoa jifunzeni kwa hapi na makonda wananchi wanadhulumiwa sana na wahuni wachache tu

  • @benitoboy5330
    @benitoboy5330 5 лет назад

    Iringatumepata kidumee huwez amin njoonailula mheshimiwa kunauozo wakutosha

  • @zawadally9097
    @zawadally9097 5 лет назад +2

    Shukraan mheshimiwa

  • @marijanimohamed7619
    @marijanimohamed7619 5 лет назад +3

    Hakufanya makosa mheshimiwa Rais kukuweka mkuu wa mkoa unatetea wake wznyinge wanaostahiki kutetewa tunakuunga mno kwa hiko

  • @USD_Neo
    @USD_Neo 5 лет назад +1

    huyo jamaa wa nyuma ya rc kushoto namuonaga kwenye Hollywood movies 😂

  • @adinanitandalah7178
    @adinanitandalah7178 5 лет назад +1

    mkuu njoo uongoze huku kwetu kondoa kuna matatizo

  • @musatbobius5472
    @musatbobius5472 5 лет назад

    Njoo mbeya mkuu

  • @aleyslaim4935
    @aleyslaim4935 5 лет назад +2

    Hao wezi

  • @rajabungereza8755
    @rajabungereza8755 5 лет назад +2

    Hata huku kilindi wapo wanamna hiyo

  • @wahabmkazi7902
    @wahabmkazi7902 5 лет назад +1

    Mkuu wa mkoa ameeleza wazi, hakuna ruhusa ya kupiga mnada mali ya mtu bila serikali kwa kupitia mkuu wa wilaya kujiridhisha. Tatizo liko wapi hapa? Mheshimiwa yuko sawa piga kazi mh Hapi

  • @jacksonshosi5246
    @jacksonshosi5246 5 лет назад +4

    Da!kuna wengine WAP huku mabaunsa

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin7521 5 лет назад +1

    ata mz majembe alitapeli

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 5 лет назад +2

    Apana tunakuwa nama baunsa,,aaah

  • @leonardemmanuel9249
    @leonardemmanuel9249 5 лет назад

    For me i can say he is supposed to be target president

  • @titomachite920
    @titomachite920 5 лет назад

    Kiukwer 2na ji funza
    Sana kupitia kwa huyu mkuu wa
    Mkoa

  • @jumaigoti8638
    @jumaigoti8638 3 года назад

    Wezi hao piga ndani

  • @fintanmkesha1077
    @fintanmkesha1077 5 лет назад

    Nikwel hawa waganga ndio njia yao mm nakusapot kwa hlo

  • @jumamgema3356
    @jumamgema3356 5 лет назад +1

    Kaka uwa unawachanganya mpaka wanapotea

  • @salimabeid4170
    @salimabeid4170 4 года назад +1

    HUYU NDIYO MKUU WA MKOWA WA IRINGA NI KIONGOZI WA KWELI

  • @designdesign4426
    @designdesign4426 5 лет назад +4

    Elayauganga nyumba inauzwa Tumbo kama pakacha

    • @rizikikigala6930
      @rizikikigala6930 5 лет назад

      Nakuelewa kuliko ulivyonikashifu mtandaon,we mnafiki wote tunampenda mkuu wamkowa
      anania nzuri na ir

  • @imakulatasumaye6818
    @imakulatasumaye6818 5 лет назад +4

    Yaan huyu kaka ni zaidi ya rais

  • @arafataliomar7432
    @arafataliomar7432 4 года назад +1

    Sasa mkuu anamkumbuka tangu kinondoni hapa sasa wewe ni komputa au unatumia akili tu

  • @rubenmbise1423
    @rubenmbise1423 5 лет назад +1

    Huyu mkuu wa mkoa anatakiwa azungushwe mikoa yote

  • @antonykashube2065
    @antonykashube2065 5 лет назад

    Serikali ya wananchi.

  • @winfridashango6481
    @winfridashango6481 4 года назад +2

    Hahahahahaha

  • @fredymwalongo1652
    @fredymwalongo1652 5 лет назад +2

    patam san hapo

  • @amerarolseid7811
    @amerarolseid7811 5 лет назад +1

    Apa kzi tu

  • @alfredkillo6080
    @alfredkillo6080 5 лет назад +1

    chapa vbao hilo senge tapel yaan zee zma tapel

  • @josephsimiyu5211
    @josephsimiyu5211 5 лет назад +3

    Pongezi mkuu wa mkoa na ubarikiwe uzidi kuisimamia haki ya wanyonge

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo2633 5 лет назад

    Ally oyeeee