Asante Mh mkuu wa mkoa tena wamezowea kweli hao wauza nyumba. Hasa wamezowea kudhulumu nyumba za wajane mikoa yote hata Dar es salaam wamezidi. Mh Makonda pia tusaidie maana hata tukitaka kuja kukuona kwa mambo kama hayo hapo ofisini kwako kuna kukiritimba mkubwa haturuhusiwi kabisa.
Nilikuelewa kwa uelewa wako na iringa uwa atupendan kama mikoa mingine inayopenda maendeleo,sio majungu kama in atom in a finish a kwa mh mkuu was mkoa tunaempenda wanairingà
Mimi naitwa Hussein mawaya ni mkenya lakini Tanzania kwa wake zangu?kilicho nifurahisha tanazani viongozi wanakuja kwa raiya na kuliza kero ni ipi?mna kero gani?inchi yoyote iko uadhilifu wako na maendeleo?leo Tanzania wanamaendeleo kila kukikucha ndege mpya bara mpya stima vijijini maji mitani na kadhalika wacha niwapongeze watanzani MUNGU awabariki muko na viongozi wanaogopa MUNGU?leo Kenya kama hauna rikodi ya ujambazi basi huwi kiongozi?tanazani oh oh
Mh/hongera umewagundua ,nyumba nyingi sana zimeuzwa na hao watu wengi wamedhurumiwa hata yetu wameuza ipo dar pande za chanika,tena hata tarehe yakumaliza deni haijafika kisa kuchelewesha rejesho, yani hao matapeli.
Aisha Ail maskini poleni,sema hamkuwa na mtu wa kuwatetea,lkn mngepata mtu km Ally hapi nyumba inerudi mbona.Hapa Iringa nyumba zilizopigwa mnada zimerudishwa kwa wenye nazo
Hivi kwanini rais asiweke wakuu wa mikoa ambao wanafanana kikazi km ally happy wa iringa yaani happy angefaa kugawanya mara mikoa yote tanzania rais magu ungemgawanya mkuu wa mkoa iringa
Katika siku nimekukubali mweshimiwa hapi na kukuona akili zimetulia ni hapa tukio la majembe....wamedhulumiwa wanyonge wengi sana na ikiwa italisimamia kwa dhati kama ulivoahidi basi na mungu pia atakubariki......
Mkuu wa mkoa Iringa oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.. Maghufuli asante kwa zawadi ulotupatia wana Iringa. Ally Happy kiboko ya wakorofi Iringa. Safisha serikali, chama na mkoa wetu mwanakwetu Allyhapi. Unatukosha nyoyo sana wapenda haki na maendeleo Iringa. Mungu abariki uzao wako kaka!
Mkuu wa mkoa ameeleza wazi, hakuna ruhusa ya kupiga mnada mali ya mtu bila serikali kwa kupitia mkuu wa wilaya kujiridhisha. Tatizo liko wapi hapa? Mheshimiwa yuko sawa piga kazi mh Hapi
Asante Mh mkuu wa mkoa tena wamezowea kweli hao wauza nyumba. Hasa wamezowea kudhulumu nyumba za wajane mikoa yote hata Dar es salaam wamezidi. Mh Makonda pia tusaidie maana hata tukitaka kuja kukuona kwa mambo kama hayo hapo ofisini kwako kuna kukiritimba mkubwa haturuhusiwi kabisa.
I honestly like this young man >> may God bless him abundantly!!
Hongera sana Ally Hapi kazi nzuri
This mkuu wa mkoa is very kind. God bless you.
Hahhh kama mkuuwamkoa katumwa na mungu❤️❤️❤️
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu mkuu wa mkoa kwa usimamizi mzuri
Daaa,yani hapi sijui ukiwa raisi itakuaje,uko vizuri
Yupo vizuri Sana kweli mchapa kazi
Natoa pongezi kwa Serikali ya Hawamu ya sita kwa kazi nzur
Mkuu wa mkoa Wa Iringa kwa kweli unawatendea haki wananchi mungu akulinde kwa kila baya inshaallah
Good Rc Iringa mmebarikiwa mchapakazi Ally Hapi good work brother
Mungu akupe umri mrefu ally wanaokuekea vikwazo wasomee Surat nas
Nakukubali mkuu wa mkoa ilinga njoo namwanza
Hongera Sana mkuu mi niliumia ulivyotolewa Daresalama lakini kazi zako tunazikubali
Mkuu wa mkoa na kufatiria sana nipo🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Safi saaaaan mkuu
Mungu ukuongezee umri mlefu
Mashaallah makuu wa mkoa iringa🤲🤲🤲🤲👍
Mashaallah.iringa.tumepata kiongozi
@@rehemaibrahim8475 nikweli kabisaa mungu ampe afya njemaa daiman. Mafisadi wote.waumbuke
Hongera sana mkuu wa mkoa, eti mtu anasema anatumia bausa km jeshi lake kwenda kubomoa nyumba??
Hii haikubaliki kabisa.
Nilikuelewa kwa uelewa wako na iringa uwa atupendan kama mikoa mingine inayopenda maendeleo,sio majungu kama in atom in a finish a kwa mh mkuu was mkoa tunaempenda wanairingà
Safi sana. Mheshimiwa
Iko cku utakuwa Rais
Mungu akusimamie
Hapi big up ni mpambanaji wa haki za wanyonge
awa mjembe walizoea sana kaka vibanda vyetu vingiwameuza
Mimi naitwa Hussein mawaya ni mkenya lakini Tanzania kwa wake zangu?kilicho nifurahisha tanazani viongozi wanakuja kwa raiya na kuliza kero ni ipi?mna kero gani?inchi yoyote iko uadhilifu wako na maendeleo?leo Tanzania wanamaendeleo kila kukikucha ndege mpya bara mpya stima vijijini maji mitani na kadhalika wacha niwapongeze watanzani MUNGU awabariki muko na viongozi wanaogopa MUNGU?leo Kenya kama hauna rikodi ya ujambazi basi huwi kiongozi?tanazani oh oh
Safi sana mkuu wa mkoa....
Namkubali sana huyo mkuu wa mkoa mungu amlinde na kumuongoza
Cr mungu akubariki
Fanya kazi KIJANA
Mungu akubariki mkuu
Mungu akutunze kiongoz,
Daaah noma
Safi sana
Uko vizuri kaka
kial jambo likiamuriwa kwa busara huacha amani kwa kila mtu.
utawala bora ni kitu cha muhimu sana katika maisha ya uongozi na utumishi
Safiii mkuu
So nice mkuuu;
Huyu rc simba pls mh rais mprleke mikoa ya arusha au mwanza ambako kero za wananchi ni nyingi mungu ibariki tanzania
Nimependa utendaji wako mh mkuu wa mko, chukua 5 zako
Kwan mikoa mingine c muige kutoka kwa ally hapy jmn mkuu wetu paul makonda na ss tunamatatizo yetu sema hampiti kutembelea majimbo
mijizi hiyoooo sukuma ndanii
🤣🤣🤣🤣🤣 Mzee amenywea hasa,Chapa Kazi Muheshimiwa Okoa Wanyonge.
Duuuu safiii
Unacho kifanya mkuu wa mkoa mungu atakusaidia kwan ni mfano wa kuigwa tunaonelewa san
Mh/hongera umewagundua ,nyumba nyingi sana zimeuzwa na hao watu wengi wamedhurumiwa hata yetu wameuza ipo dar pande za chanika,tena hata tarehe yakumaliza deni haijafika kisa kuchelewesha rejesho, yani hao matapeli.
Aisha Ail maskini poleni,sema hamkuwa na mtu wa kuwatetea,lkn mngepata mtu km Ally hapi nyumba inerudi mbona.Hapa Iringa nyumba zilizopigwa mnada zimerudishwa kwa wenye nazo
Sadkta maskeen mbona sjazaliwa tz
Huyu jamaa namjua vizuri hapa dar nae alinitapeli huyo Riziki nashangaa anasema anasimamia majembe Iringa duu
wapi mkuu
Yn nyinyi ndo mtakao iongoza nchi iliyooza😊
Mm ni mkenya lkn napenda kazi yako mwishimiwa
Hawa ndio viongozi wa ukweli sio kama kenya wote waizi watupu
Mungu akulinde DC Hapi
RC uko vizuri sana wote wange kua kama wewe tungekua mbali
Mulika sana hao
Jamn kuwa mkuu WA morogor nakupenda
Hivi kwanini rais asiweke wakuu wa mikoa ambao wanafanana kikazi km ally happy wa iringa yaani happy angefaa kugawanya mara mikoa yote tanzania rais magu ungemgawanya mkuu wa mkoa iringa
Gombea ulais mheshimiea nipo dar mabibo tunakuelewa sana
Mim na mim Hapy utakuwa Rais wa Tz
Icho kichwa cha habari mie huku kicheko😃😃😃😃
Mimi nimkazi wadodoma ila ata mkuu wangu wamkoa simjui ata kwajina coz hana maajabu yyte
Huyu Hapi ni zile mbegu bora za uzao wa Wazalendo halisi tunaowataka. Hadi raha.
Katika siku nimekukubali mweshimiwa hapi na kukuona akili zimetulia ni hapa tukio la majembe....wamedhulumiwa wanyonge wengi sana na ikiwa italisimamia kwa dhati kama ulivoahidi basi na mungu pia atakubariki......
Huyu jamaa aje Dar kwa kweli...
😂😂😂😂 Hata bei zipande sihami Tanzania..
Well done Mheshimiwa Mkuu wa mkoa👏👏👏👏
We ni hatal Sijui kama Dada Joketi Anaweza kutenda kama ww unavyo tenda iringa huko
Nchi ilikuwa haina nuelekeo.mijitu kama hiihaitaki kufanya kazi kazikula vya dhuluma tu
Akitoka MH JONNY POMBE MAGUFUL kwenye uongozi mwaka 2025 ataingia uyuu
Dar kama mikoa mingine wangefanya kama huyu mheshimiwa nchi isinge kuwa masikini tungeendelelea haraka
Mkuu wa mkoa Iringa oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.. Maghufuli asante kwa zawadi ulotupatia wana Iringa. Ally Happy kiboko ya wakorofi Iringa. Safisha serikali, chama na mkoa wetu mwanakwetu Allyhapi. Unatukosha nyoyo sana wapenda haki na maendeleo Iringa. Mungu abariki uzao wako kaka!
oyeeeeeerreeeeeeeè Ally happy
ET Baunsa yani wizi
unafaa kuwa Rais
Mabaunsa bhanaaa.....Hapi oyeeee
Robert Adolf
jamani wenzetu kandaiyo wamepata magufuli part 2
Tunakuwaga na mabaunsa yetuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
miladi ayo daima wakuwachee
Ally hap miaka yte ulikua wap kuja kutukomboa wana irnga
jamniii plz naombeniiii no ya hapii mwenyeee no yake tafadhariii
Mh tusaidie tanesco wanazingu iringa wanataka rushwa kutubadilishia umeme tarifu ziro mh tusaisieeee
Wataelewa tu!
Wakuu wengine wa mikoa jifunzeni kwa hapi na makonda wananchi wanadhulumiwa sana na wahuni wachache tu
Iringatumepata kidumee huwez amin njoonailula mheshimiwa kunauozo wakutosha
Shukraan mheshimiwa
Hakufanya makosa mheshimiwa Rais kukuweka mkuu wa mkoa unatetea wake wznyinge wanaostahiki kutetewa tunakuunga mno kwa hiko
huyo jamaa wa nyuma ya rc kushoto namuonaga kwenye Hollywood movies 😂
mkuu njoo uongoze huku kwetu kondoa kuna matatizo
Njoo mbeya mkuu
Hao wezi
Hata huku kilindi wapo wanamna hiyo
Mkuu wa mkoa ameeleza wazi, hakuna ruhusa ya kupiga mnada mali ya mtu bila serikali kwa kupitia mkuu wa wilaya kujiridhisha. Tatizo liko wapi hapa? Mheshimiwa yuko sawa piga kazi mh Hapi
Da!kuna wengine WAP huku mabaunsa
ata mz majembe alitapeli
Apana tunakuwa nama baunsa,,aaah
For me i can say he is supposed to be target president
Kiukwer 2na ji funza
Sana kupitia kwa huyu mkuu wa
Mkoa
Wezi hao piga ndani
Nikwel hawa waganga ndio njia yao mm nakusapot kwa hlo
Kaka uwa unawachanganya mpaka wanapotea
HUYU NDIYO MKUU WA MKOWA WA IRINGA NI KIONGOZI WA KWELI
Elayauganga nyumba inauzwa Tumbo kama pakacha
Nakuelewa kuliko ulivyonikashifu mtandaon,we mnafiki wote tunampenda mkuu wamkowa
anania nzuri na ir
Yaan huyu kaka ni zaidi ya rais
Sasa mkuu anamkumbuka tangu kinondoni hapa sasa wewe ni komputa au unatumia akili tu
Huyu mkuu wa mkoa anatakiwa azungushwe mikoa yote
Serikali ya wananchi.
Hahahahahaha
patam san hapo
Apa kzi tu
chapa vbao hilo senge tapel yaan zee zma tapel
Pongezi mkuu wa mkoa na ubarikiwe uzidi kuisimamia haki ya wanyonge
Ally oyeeee