MKURUGENZI APEWA KIBANO KIZITO NA MAKONDA, WANANCHI WAMKATAA "TUAMBIE HELA NYINGINE ZIKO WAPI?
HTML-код
- Опубликовано: 1 фев 2024
- MKURUGENZI APEWA KIBANO KIZITO NA MAKONDA, WANANCHI WAMKATAA "TUAMBIE HELA NYINGINE ZIKO WAPI?
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
Namuona magufuri kabisa😢😢😢 mungu akupe maish marefuuu
Mungu akutuze mwenezi.mm nikama namuona nusu Mgufuli
HONGELA SANA YANI MWAKAN SAMIA AKUPE UWAZIR MKUU HII NCHI ITANYOOKA
Nahuona uongozi wa makufuli hapa kazi safi
Komesha komesha Makonda na mungu akutunze tunakuombea Comred🙏
Hongera sana mh Makonda Kwa Kazi nzuri ya kutatua Kero Za watu
Kwa kweli naipenda hii style ya uongozi, tukiwa na watu kama Makonda watamsaidia sana Mama
Nakupenda makonda
Kuondoa 'stress' fuatilia ziara za makonda..huyu mtu yuko na kanuni zake,hazijaandikwa popote
😅😅 na mm niko hapa naondoa stress
😂😂😂😂mama ucipojikaza makonda tunampa nchi inshallh 2025
😂😂😂😂😂😂
Oyoooooooooooo Safi Makondaaa
Maghufulu part 2
Sina Imani na Mwanasheria Mkuu Tanzania
Weee balaa mnyonge kweli hana haki kweli tumuogope mungu jamani 😂😂😂😂😂😂😂😂
Hongera sana makonda
Mkumbuke makonda hatembei na wasanii lakini anajaza
Mwakani tunampa urais inshallh
Kwel niatar
Mama samia fatilia mwenezi kisha uone viongozi wako sijui walipataje nafasi za ukurugenzi wakati elimu yao ni ndogo,mbona kuna vijana wana elimu ya juu na wapo nyumbani wanahagaika kutafuta ajira
One man show,hamnau diamond wala wanamuziki,anatuma mawe gizani anapambana matatizo ya kiroho ya watanzania,
Naomba sana makonda awe rais wa tanzania siku sijazo
Hongela kwa kazi nzuli
Big up Makakonda
👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
Magufuli mtupu😢😢😢😢
Wewe ni kiongozi banaaa unatufaaa
Mh: Makonda nakuomba uje nasi kwetu mkoa wa Singida wilaya manyoni,utatuwe migogoro ya ardhi Mimi ninaeneo langu kama heka 2 nikawa nimeelipunguza Kwa kuuza viwanja kama mashamba wakati huo Bado hawajapima baada yakuja kupima watu wa ardhi ,Mimi wakaniambia hili eneo haliwezi kugawanyika na hakuna kujenga hata nyumba :Sasa je kwanini Hawa niliowauzia wamenizunguka waliwapimia nakugawa viwanja Mimi kwangu wakasema haliwezekani kugawanyika na utafute sehemu nyingine ya kujenga hapa uhame,Je kama siyo wizi nini?
Utaratibu unaotumika kupata wakuu wa idara sio mzuri.. hapo mkurugenzi anajikanyaga
Hongera zako Paul Makonda, Siasa zako zinapendwa na kila Mpenda haki, Kupitia ziara zako Umetuheshimisha CCM Ndani na Nje ya Chama chetu, kwa kuonyesha njia kwa Mwenezi Ajaye. Kwamba hivi ndivyo mwenezi(Msemaji wa Chama) Anatakiwa kuwajibika na kupata Majibu ya Utekelezaji wa ilani ccm 2020-2024, itoshe kusema Dr Samia baada ya Uchaguzi 2025 Pls Mwenezi huyu Paul Makonda Apewe(🎉)Maua yake
Naomba Makonda na sisi uje ututete ardhi wananitapeli eneo langu
Huyu anaakili sana anafaa kuwa mwenezi au zaidi
Anafaa kuwa rais wa nchi
Makonda awe mkaguzi mkuu wa serikali anahoji kwa kina na kila kona,Makonda pambana watanzania wako nyuma yako
Maswali mazuri
Kama ilivyo maji hufuata mkondo, mwamba huyuapa kaja kutufuta machozi wananchi wanyonge.
Yani magufuri kama anayakia haya nahisi anahuzunika sana hiiii
Mh. Makonda, kama aina ya wakurugenzi ndo hao, wanahalalishwaje kuwa ndo wawe wasimamizi wa uchaguzi nchini!?
Malinda akiwa raise inchi hii uzembe hautakuwepo kwa watendaji
ivi vyeo huwa wanavipata kialali hau wanagaiana mtoto wa dada wanjomba wakae kwenye viti kuongoza watu helimu zao ndogo 😂😂😂
Makonda ni kiongozi
makonda unajitahid san
Haya yote nisawa lakini yataishia kwenye mikutano ya huyu kiongozi akiondoka imeishàhiyo
Makonda chapa kazi.
Naomba uwatumbue nao matapeli wananyanyasa watu yanasubir Kufa vibaya!!
Halmashauri ina majukumu mengi yakutumia mapato yake ya ndani na siyo kila income inapaswa kwenda kwenye development kuna re-current cost
Wamekutoaje kwenye uenezi
Siku hizi siangalii jua kali natazama tu hii ziara ya MAKONDA adi raha😂 Yan wananchi wanaumia sana
Hata mi siangaliii
Mbona me makonda kasitisha ziara zake na kwanini hakupitia ludewa njombe
Anachofny makonda ni kizuribila muda haitoshi at least andekuwa anamtumia ht siku mbili per each district
Stresss zinaisha ukimwangalia makonda
Napenda makonda sana
Mh rais asioneshida kutengua nchiyetu ina wasomiwengi itafika mahala tutakaa sawa na kutaeshimu haki za wanyonge
Huwezi mtukana Raisi mbele ya Chama chake mfate pembeni
Wasukuma wanaujua uongoz
Uongozi walipata kwa kujuana
AHADI kibondo tuliahidiwa uwanja kama WA Namungo ni ........ Mkubwa
Sema una Maswali matamu matamuuuuu hadi stress zinaondoka
Etty mwenezi wako sijuiii sijuij
namuoma makifuli mwingine jmn
Dokomenti = Document
😅
Malindawewe shujaaa
Makonda wewe ni shujaa
Makonda unafanya good work Kwa public
Mbona me makonda kasitisha ziara zake na kwanini hakupitia ludewa njombe