MKURUGENZI APEWA KIBANO KIZITO NA MAKONDA, WANANCHI WAMKATAA "TUAMBIE HELA NYINGINE ZIKO WAPI?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2024
  • MKURUGENZI APEWA KIBANO KIZITO NA MAKONDA, WANANCHI WAMKATAA "TUAMBIE HELA NYINGINE ZIKO WAPI?
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 68

  • @jopriii-bl7hu
    @jopriii-bl7hu 3 месяца назад +7

    Namuona magufuri kabisa😢😢😢 mungu akupe maish marefuuu

  • @user-je4oi6pw8i
    @user-je4oi6pw8i 3 месяца назад +2

    Mungu akutuze mwenezi.mm nikama namuona nusu Mgufuli

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 4 месяца назад +9

    HONGELA SANA YANI MWAKAN SAMIA AKUPE UWAZIR MKUU HII NCHI ITANYOOKA

  • @francismuriki7851
    @francismuriki7851 3 месяца назад +2

    Nahuona uongozi wa makufuli hapa kazi safi

  • @MwanneHussen
    @MwanneHussen 3 месяца назад +1

    Komesha komesha Makonda na mungu akutunze tunakuombea Comred🙏

  • @robertyohana-pg5bm
    @robertyohana-pg5bm 4 месяца назад +3

    Hongera sana mh Makonda Kwa Kazi nzuri ya kutatua Kero Za watu

  • @mako331
    @mako331 4 месяца назад +5

    Kwa kweli naipenda hii style ya uongozi, tukiwa na watu kama Makonda watamsaidia sana Mama

  • @IzackRashid
    @IzackRashid 4 месяца назад +6

    Nakupenda makonda

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 4 месяца назад +10

    Kuondoa 'stress' fuatilia ziara za makonda..huyu mtu yuko na kanuni zake,hazijaandikwa popote

  • @chingaboy1149
    @chingaboy1149 3 месяца назад +8

    😂😂😂😂mama ucipojikaza makonda tunampa nchi inshallh 2025

  • @dundocostantine4018
    @dundocostantine4018 3 месяца назад +2

    Oyoooooooooooo Safi Makondaaa

  • @NicholasOdiraOlogi-xq3pl
    @NicholasOdiraOlogi-xq3pl 4 месяца назад +6

    Maghufulu part 2

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 4 месяца назад +3

    Sina Imani na Mwanasheria Mkuu Tanzania

  • @rahmahasan32
    @rahmahasan32 3 месяца назад +1

    Weee balaa mnyonge kweli hana haki kweli tumuogope mungu jamani 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 3 месяца назад +1

    Hongera sana makonda

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 4 месяца назад +6

    Mkumbuke makonda hatembei na wasanii lakini anajaza

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 3 месяца назад +1

    Mama samia fatilia mwenezi kisha uone viongozi wako sijui walipataje nafasi za ukurugenzi wakati elimu yao ni ndogo,mbona kuna vijana wana elimu ya juu na wapo nyumbani wanahagaika kutafuta ajira

  • @kassimmuktarymurji4242
    @kassimmuktarymurji4242 4 месяца назад +2

    One man show,hamnau diamond wala wanamuziki,anatuma mawe gizani anapambana matatizo ya kiroho ya watanzania,

  • @nicholaskavuwa6780
    @nicholaskavuwa6780 2 месяца назад

    Naomba sana makonda awe rais wa tanzania siku sijazo

  • @LaehKaduma
    @LaehKaduma 3 месяца назад +1

    Hongela kwa kazi nzuli

  • @EdwardNjenga-yd4oc
    @EdwardNjenga-yd4oc 3 месяца назад

    Big up Makakonda
    👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍

  • @rashidimwassi3297
    @rashidimwassi3297 4 месяца назад +11

    Magufuli mtupu😢😢😢😢

  • @chidomobile9546
    @chidomobile9546 3 месяца назад +1

    Wewe ni kiongozi banaaa unatufaaa

  • @VicentRupia
    @VicentRupia 23 дня назад

    Mh: Makonda nakuomba uje nasi kwetu mkoa wa Singida wilaya manyoni,utatuwe migogoro ya ardhi Mimi ninaeneo langu kama heka 2 nikawa nimeelipunguza Kwa kuuza viwanja kama mashamba wakati huo Bado hawajapima baada yakuja kupima watu wa ardhi ,Mimi wakaniambia hili eneo haliwezi kugawanyika na hakuna kujenga hata nyumba :Sasa je kwanini Hawa niliowauzia wamenizunguka waliwapimia nakugawa viwanja Mimi kwangu wakasema haliwezekani kugawanyika na utafute sehemu nyingine ya kujenga hapa uhame,Je kama siyo wizi nini?

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 4 месяца назад +2

    Utaratibu unaotumika kupata wakuu wa idara sio mzuri.. hapo mkurugenzi anajikanyaga

  • @user-qy3um6pd4i
    @user-qy3um6pd4i 3 месяца назад

    Hongera zako Paul Makonda, Siasa zako zinapendwa na kila Mpenda haki, Kupitia ziara zako Umetuheshimisha CCM Ndani na Nje ya Chama chetu, kwa kuonyesha njia kwa Mwenezi Ajaye. Kwamba hivi ndivyo mwenezi(Msemaji wa Chama) Anatakiwa kuwajibika na kupata Majibu ya Utekelezaji wa ilani ccm 2020-2024, itoshe kusema Dr Samia baada ya Uchaguzi 2025 Pls Mwenezi huyu Paul Makonda Apewe(🎉)Maua yake

  • @VicentRupia
    @VicentRupia 23 дня назад

    Naomba Makonda na sisi uje ututete ardhi wananitapeli eneo langu

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 4 месяца назад +4

    Huyu anaakili sana anafaa kuwa mwenezi au zaidi

  • @kassimmuktarymurji4242
    @kassimmuktarymurji4242 4 месяца назад +1

    Makonda awe mkaguzi mkuu wa serikali anahoji kwa kina na kila kona,Makonda pambana watanzania wako nyuma yako

  • @evaemil856
    @evaemil856 3 месяца назад +1

    Maswali mazuri

  • @user-ko8xi4qs2n
    @user-ko8xi4qs2n Месяц назад

    Kama ilivyo maji hufuata mkondo, mwamba huyuapa kaja kutufuta machozi wananchi wanyonge.

  • @EmmanuelMwanza-ef9bf
    @EmmanuelMwanza-ef9bf 3 месяца назад +1

    Yani magufuri kama anayakia haya nahisi anahuzunika sana hiiii

  • @vincentmhoro1952
    @vincentmhoro1952 3 месяца назад

    Mh. Makonda, kama aina ya wakurugenzi ndo hao, wanahalalishwaje kuwa ndo wawe wasimamizi wa uchaguzi nchini!?

  • @maikonyondo-gr7gd
    @maikonyondo-gr7gd 3 месяца назад

    Malinda akiwa raise inchi hii uzembe hautakuwepo kwa watendaji

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 3 месяца назад

    ivi vyeo huwa wanavipata kialali hau wanagaiana mtoto wa dada wanjomba wakae kwenye viti kuongoza watu helimu zao ndogo 😂😂😂

  • @meshackaggrey7248
    @meshackaggrey7248 4 месяца назад +1

    Makonda ni kiongozi

  • @omaraliy8207
    @omaraliy8207 3 месяца назад +1

    makonda unajitahid san

  • @adammatili4797
    @adammatili4797 3 месяца назад

    Haya yote nisawa lakini yataishia kwenye mikutano ya huyu kiongozi akiondoka imeishàhiyo

  • @JaphalyMbena
    @JaphalyMbena Месяц назад

    Makonda chapa kazi.

  • @ellydaniely-qw8bf
    @ellydaniely-qw8bf 3 месяца назад

    Naomba uwatumbue nao matapeli wananyanyasa watu yanasubir Kufa vibaya!!

  • @JosephDesideri
    @JosephDesideri 3 месяца назад +1

    Halmashauri ina majukumu mengi yakutumia mapato yake ya ndani na siyo kila income inapaswa kwenda kwenye development kuna re-current cost

  • @JaphalyMbena
    @JaphalyMbena Месяц назад

    Wamekutoaje kwenye uenezi

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 4 месяца назад +5

    Siku hizi siangalii jua kali natazama tu hii ziara ya MAKONDA adi raha😂 Yan wananchi wanaumia sana

  • @davidKayombo-dy6ln
    @davidKayombo-dy6ln 2 месяца назад

    Mbona me makonda kasitisha ziara zake na kwanini hakupitia ludewa njombe

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 4 месяца назад

    Anachofny makonda ni kizuribila muda haitoshi at least andekuwa anamtumia ht siku mbili per each district

  • @jumambarale699
    @jumambarale699 3 месяца назад

    Stresss zinaisha ukimwangalia makonda

  • @IzackRashid
    @IzackRashid 4 месяца назад +3

    Napenda makonda sana

  • @user-th6ev1qq2r
    @user-th6ev1qq2r 3 месяца назад

    Mh rais asioneshida kutengua nchiyetu ina wasomiwengi itafika mahala tutakaa sawa na kutaeshimu haki za wanyonge

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 4 месяца назад +1

    Huwezi mtukana Raisi mbele ya Chama chake mfate pembeni

  • @godfredkimaro3292
    @godfredkimaro3292 3 месяца назад

    Wasukuma wanaujua uongoz

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 3 месяца назад

    Uongozi walipata kwa kujuana

  • @deusobadia8974
    @deusobadia8974 3 месяца назад

    AHADI kibondo tuliahidiwa uwanja kama WA Namungo ni ........ Mkubwa

  • @user-kz9pg5zn1r
    @user-kz9pg5zn1r Месяц назад

    Sema una Maswali matamu matamuuuuu hadi stress zinaondoka

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 4 месяца назад +1

    Etty mwenezi wako sijuiii sijuij

  • @oscarcharles9624
    @oscarcharles9624 3 месяца назад

    namuoma makifuli mwingine jmn

  • @evaemil856
    @evaemil856 3 месяца назад

    Dokomenti = Document

  • @kassimmuktarymurji4242
    @kassimmuktarymurji4242 4 месяца назад

    😅

  • @levinalyimo6240
    @levinalyimo6240 4 месяца назад

    Malindawewe shujaaa

  • @user-pj3sd9ld5l
    @user-pj3sd9ld5l 3 месяца назад

    Makonda unafanya good work Kwa public

  • @davidKayombo-dy6ln
    @davidKayombo-dy6ln 2 месяца назад

    Mbona me makonda kasitisha ziara zake na kwanini hakupitia ludewa njombe