Mh Paulo Makonda MUNGU BABA akuinue kutimiza Kusudi lake aliloliweka ndani mwako.Hakika Uumbaji na Uhalisia wa Unayashuhudia yale Uyatendayo Yataulipa Uzao wako👏🙏🇹🇿💯
Niwaombe wakuu wa mkoa nchi nnzima wamuige MAKONDA anavyofanya kazi wakuu wa mikoa wakifanya kama MAKONDA watakuwa wanamsaidia rais wetu San, wakuu wa mikoa mnayo nguvu ya kuamua ya kufanya na yakuelekeza na wananchi wakapata haki yao
Mama naendelea kukushukuru kumpeleka Makonda Arusha big up mama.Nakuombea sana mama huko KOREA URUDI SALAMA.MWENYEZI MUNGU AKUTIE NGUVU NA AKUPE AFYA NJEMA.ITOSHE KUSEMA KAZ IENDELEE.HAKIKA ARUSHA WAMEPATA JEMBE.MNAKILA SABABU YA KUMSHUKURU MAMA.
Wakuu wa mikoa wote msiogope kumuiga makonda Raisi atapata amani mtakuwa mnamtedea haki Raisi Tanzania itawaka ccm itawaka maana watu watapata huduma . Hongera makonda.
L😂Kelvin aka "ZUNGU" unaijua kazi kijana. Nilikusikia kwenye utangazaji wa mpira siku moja ulikuwa Fire sana. Leo ni reporter mmoja hatari sana.Kiufupi jamaa unaupiga mwingi.
Makonda afanye mpango mkakati wa hapo arusha mjini wenye nyumba za barabarani wauze au wakubali kuwapa wawekezaji ili wajenge majengo makubwa maana kuna vijumba hapo mjini vimechoka balaa vinachafua hali ya jiji la arusha
Hayati JPM alimjulia Kijana wetu Toka Kwa JK Alimwachia kwenye U DC.Magu akajua Hili jembe awe RC na Akanyoosha Siyo kawaida JPM akasema Hawa ndiyo Watumiaji Anaowahitaji!!
Mh Makonda Hakika anafanya kazi kwa kiwango cha juu Mungu akulinde Mh Makonda. Wengine wapo tu maoficeni wametulia, Mh Makonda piga kazi baba
Hongera Makonda,hongera mtangazaji kwa summary nzuri sana.
Calvin mtangazaji Bora hongera sana unaeleweka kaka
Hongera sana Mwandishi wa Wasafi kwa kutoa summary nzuri sana na ya kueleweka. Hongera Mr. Kelvin Zungu Chukua maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷❤.
Mh Paulo Makonda MUNGU BABA akuinue kutimiza Kusudi lake aliloliweka ndani mwako.Hakika Uumbaji na Uhalisia wa Unayashuhudia yale Uyatendayo Yataulipa Uzao wako👏🙏🇹🇿💯
Makonda anaenda na beat ya kila song hata wakimchukia mwenzio anajaza Kijiji
Mtangazaji unajua kutangaza hongera
Niwaombe wakuu wa mkoa nchi nnzima wamuige MAKONDA anavyofanya kazi wakuu wa mikoa wakifanya kama MAKONDA watakuwa wanamsaidia rais wetu San, wakuu wa mikoa mnayo nguvu ya kuamua ya kufanya na yakuelekeza na wananchi wakapata haki yao
Hongera mh kikwete kwa kumuibua Makonda kwa mara ya Kwanza alikuteua kuwa Mbunge wa bunge la katiba na baadae mkuu wa wilaya ya Kinondoni
Video tamu kwakweli, HD! Cameramans na editors muishi miaka mingi.
Amefanya kazi yake kwa weredi wa hari ya juu saana maana wapo wengi wametulia ofisini
Be blessed 🙏🙏 makonda
Mama naendelea kukushukuru kumpeleka Makonda Arusha big up mama.Nakuombea sana mama huko KOREA URUDI SALAMA.MWENYEZI MUNGU AKUTIE NGUVU NA AKUPE AFYA NJEMA.ITOSHE KUSEMA KAZ IENDELEE.HAKIKA ARUSHA WAMEPATA JEMBE.MNAKILA SABABU YA KUMSHUKURU MAMA.
Arusha DC pesa zipo kibao lkn watumishi wapo wamekalisha si bora wapigwe spana tu.
Arusha dc ilikosa kipngozi muda mrefu, sasa wamepata
Nchi nzima macho ni Arusha..😂. Nchi inahitaji viongozi watendaji.mkuu wa mkoa wa arusha songa mbele
😅
Baba keagan mtu mmoja wa kazi kwelikweli
Pigakazi pigakazi watanzania tunatakiwa tupekwe kimkukumkuku mdogomdogo hatujazoea.
piga kazi makonda iyo ni kazi ya kutatua kelo na upigaji wa pesa Tena izo gal chache ongeza mbili za machawa
*Kero
*Gari
Zungu baba unabaya nakukubari vibaya san
Zungu uko vzuri sana hongera kwa kuwa mtangazaji bora.
Hongera sana Makonda jembe 💪💪💪💪
Ninaimaanii na Makoonda oyaaoyaaoya makonda kweri i kweri kweri makonda tunakuomba pigakazi weweee unalindwa na mungu wako ❤
Kweli*
Piga KAZI Makonda wewe tunakuaminia Sana mtetezi wa wanyonge.
Wakuu wa mikoa wote msiogope kumuiga makonda Raisi atapata amani mtakuwa mnamtedea haki Raisi Tanzania itawaka ccm itawaka maana watu watapata huduma . Hongera makonda.
Yupo juma homera, na mkuu wa mkoa wa dodoma, hawa wanapiga kazi tofauti tu hawatumii media
Nakosaje bando la kumsikiliza kiongozi kama huyu.
Hata mumseme makonda vibaya, fahamu kuwa wapo wengi nyuma yake wanaompenda kwa kazi njema anazozifanya. Nyie mchukieni sisi tunamuombea.
L😂Kelvin aka "ZUNGU" unaijua kazi kijana. Nilikusikia kwenye utangazaji wa mpira siku moja ulikuwa Fire sana. Leo ni reporter mmoja hatari sana.Kiufupi jamaa unaupiga mwingi.
Good job brow kazi safi
Nzungu unaweza kbsa❤💪
bora anayekula pesa za serikali kwenye kazi znazoonekana kuliko anayekaa2 oficni anakula pesa na kazi hafanyi makonda piga kaaaazi
Zungu anajua huyu mtangazaji sio kawaida
Zunguuu unatisha yakheee! Kipaji unacho jomba!
Zungu unajua
Wakwanza leo
Kila apitako makonda anapita na upepo wa kisuli suli..kwani mkuu wa mkoa hawezi kuwa raisi😎
Kwanza.naomba.ulinzi.halafu.chakula.anachokula.mkombozi.wetu.
Zungu kama zungu❤❤❤❤❤
Bonge la mtangazaji
Mtangazaji bora
Mtangazaji uko vizuy
Makonda piga kazi ila mikoa mingine madudu zaid ya arusha yapo wakuu wamikoa nawilaya hawasanuki amawana pigia pamoja
Makonda afanye mpango mkakati wa hapo arusha mjini wenye nyumba za barabarani wauze au wakubali kuwapa wawekezaji ili wajenge majengo makubwa maana kuna vijumba hapo mjini vimechoka balaa vinachafua hali ya jiji la arusha
Jembe letu wewe ni zaidi ya dhahabu isio shuka thamani kwetu tz
Makonda oyooooo
Kongole mtangazaji
Mtangazaji hayo yote unayosema ni maelekezo ya bosi wao kutatua shida
Makonda ❤❤
Kama sio magu watu wangekujulia wap
Alikuwa mkuu wawilaya yakinondoni kablaya Jpm
Hayati JPM alimjulia Kijana wetu Toka Kwa JK Alimwachia kwenye U DC.Magu akajua Hili jembe awe RC na Akanyoosha Siyo kawaida JPM akasema Hawa ndiyo Watumiaji Anaowahitaji!!