UNAJUA SIRI na MAKUBWA YALIYOJITOKEZA kwenye SIKU 6 ZA MOTO na RC MAKONDA-''NITAWAPIGA SPANA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 55

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 3 месяца назад +14

    Mh Makonda Hakika anafanya kazi kwa kiwango cha juu Mungu akulinde Mh Makonda. Wengine wapo tu maoficeni wametulia, Mh Makonda piga kazi baba

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki6041 3 месяца назад +9

    Hongera Makonda,hongera mtangazaji kwa summary nzuri sana.

  • @WaziriOmari-f3h
    @WaziriOmari-f3h 3 месяца назад +8

    Calvin mtangazaji Bora hongera sana unaeleweka kaka

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 3 месяца назад +3

    Hongera sana Mwandishi wa Wasafi kwa kutoa summary nzuri sana na ya kueleweka. Hongera Mr. Kelvin Zungu Chukua maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷❤.

  • @edwardkimaro2103
    @edwardkimaro2103 3 месяца назад +3

    Mh Paulo Makonda MUNGU BABA akuinue kutimiza Kusudi lake aliloliweka ndani mwako.Hakika Uumbaji na Uhalisia wa Unayashuhudia yale Uyatendayo Yataulipa Uzao wako👏🙏🇹🇿💯

  • @MsangoDiesel
    @MsangoDiesel 3 месяца назад +5

    Makonda anaenda na beat ya kila song hata wakimchukia mwenzio anajaza Kijiji

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 3 месяца назад +4

    Mtangazaji unajua kutangaza hongera

  • @pauloisso5815
    @pauloisso5815 3 месяца назад +9

    Niwaombe wakuu wa mkoa nchi nnzima wamuige MAKONDA anavyofanya kazi wakuu wa mikoa wakifanya kama MAKONDA watakuwa wanamsaidia rais wetu San, wakuu wa mikoa mnayo nguvu ya kuamua ya kufanya na yakuelekeza na wananchi wakapata haki yao

  • @HamisMberwa
    @HamisMberwa 3 месяца назад +2

    Hongera mh kikwete kwa kumuibua Makonda kwa mara ya Kwanza alikuteua kuwa Mbunge wa bunge la katiba na baadae mkuu wa wilaya ya Kinondoni

  • @martinlema4192
    @martinlema4192 3 месяца назад +5

    Video tamu kwakweli, HD! Cameramans na editors muishi miaka mingi.

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 3 месяца назад +12

    Amefanya kazi yake kwa weredi wa hari ya juu saana maana wapo wengi wametulia ofisini

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 3 месяца назад +4

    Be blessed 🙏🙏 makonda

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 3 месяца назад +2

    Mama naendelea kukushukuru kumpeleka Makonda Arusha big up mama.Nakuombea sana mama huko KOREA URUDI SALAMA.MWENYEZI MUNGU AKUTIE NGUVU NA AKUPE AFYA NJEMA.ITOSHE KUSEMA KAZ IENDELEE.HAKIKA ARUSHA WAMEPATA JEMBE.MNAKILA SABABU YA KUMSHUKURU MAMA.

  • @TUMAINIMWILILA
    @TUMAINIMWILILA 3 месяца назад +5

    Arusha DC pesa zipo kibao lkn watumishi wapo wamekalisha si bora wapigwe spana tu.

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 3 месяца назад

      Arusha dc ilikosa kipngozi muda mrefu, sasa wamepata

  • @biomedicaleliatosha7485
    @biomedicaleliatosha7485 3 месяца назад +7

    Nchi nzima macho ni Arusha..😂. Nchi inahitaji viongozi watendaji.mkuu wa mkoa wa arusha songa mbele

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 3 месяца назад +3

    Baba keagan mtu mmoja wa kazi kwelikweli

  • @geraldmanoti1716
    @geraldmanoti1716 3 месяца назад +7

    Pigakazi pigakazi watanzania tunatakiwa tupekwe kimkukumkuku mdogomdogo hatujazoea.

  • @allykassim1120
    @allykassim1120 3 месяца назад +7

    piga kazi makonda iyo ni kazi ya kutatua kelo na upigaji wa pesa Tena izo gal chache ongeza mbili za machawa

  • @protasfidel
    @protasfidel 3 месяца назад +1

    Zungu baba unabaya nakukubari vibaya san

  • @stevenmabungi3245
    @stevenmabungi3245 3 месяца назад +1

    Zungu uko vzuri sana hongera kwa kuwa mtangazaji bora.

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 3 месяца назад +6

    Hongera sana Makonda jembe 💪💪💪💪

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 3 месяца назад +1

    Ninaimaanii na Makoonda oyaaoyaaoya makonda kweri i kweri kweri makonda tunakuomba pigakazi weweee unalindwa na mungu wako ❤

  • @laurentndichaye1445
    @laurentndichaye1445 3 месяца назад +3

    Piga KAZI Makonda wewe tunakuaminia Sana mtetezi wa wanyonge.

  • @nazarenajoseph2695
    @nazarenajoseph2695 3 месяца назад +1

    Wakuu wa mikoa wote msiogope kumuiga makonda Raisi atapata amani mtakuwa mnamtedea haki Raisi Tanzania itawaka ccm itawaka maana watu watapata huduma . Hongera makonda.

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 3 месяца назад

      Yupo juma homera, na mkuu wa mkoa wa dodoma, hawa wanapiga kazi tofauti tu hawatumii media

  • @kulwankuba2785
    @kulwankuba2785 3 месяца назад +1

    Nakosaje bando la kumsikiliza kiongozi kama huyu.

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 3 месяца назад +2

    Hata mumseme makonda vibaya, fahamu kuwa wapo wengi nyuma yake wanaompenda kwa kazi njema anazozifanya. Nyie mchukieni sisi tunamuombea.

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 3 месяца назад +2

    L😂Kelvin aka "ZUNGU" unaijua kazi kijana. Nilikusikia kwenye utangazaji wa mpira siku moja ulikuwa Fire sana. Leo ni reporter mmoja hatari sana.Kiufupi jamaa unaupiga mwingi.

  • @LuckymusyokiLuckymusyoki
    @LuckymusyokiLuckymusyoki 3 месяца назад +1

    Good job brow kazi safi

  • @CharlesRehani
    @CharlesRehani 3 месяца назад +1

    Nzungu unaweza kbsa❤💪

  • @musaeliasi
    @musaeliasi 3 месяца назад +1

    bora anayekula pesa za serikali kwenye kazi znazoonekana kuliko anayekaa2 oficni anakula pesa na kazi hafanyi makonda piga kaaaazi

  • @stejasatv7349
    @stejasatv7349 3 месяца назад +3

    Zungu anajua huyu mtangazaji sio kawaida

  • @section8ight174
    @section8ight174 3 месяца назад +1

    Zunguuu unatisha yakheee! Kipaji unacho jomba!

  • @kabwelerywamwatumu5078
    @kabwelerywamwatumu5078 3 месяца назад +2

    Zungu unajua

  • @AKOTV33
    @AKOTV33 3 месяца назад +4

    Wakwanza leo

  • @soundmale
    @soundmale 3 месяца назад +2

    Kila apitako makonda anapita na upepo wa kisuli suli..kwani mkuu wa mkoa hawezi kuwa raisi😎

  • @HernyMonyo
    @HernyMonyo 3 месяца назад +1

    Kwanza.naomba.ulinzi.halafu.chakula.anachokula.mkombozi.wetu.

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 3 месяца назад

    Zungu kama zungu❤❤❤❤❤

  • @mdachiog5211
    @mdachiog5211 3 месяца назад +3

    Bonge la mtangazaji

  • @diamondplutnumz4862
    @diamondplutnumz4862 3 месяца назад +1

    Mtangazaji bora

  • @NAMAYANINANYARO
    @NAMAYANINANYARO 3 месяца назад

    Mtangazaji uko vizuy

  • @SundayNkaza
    @SundayNkaza 3 месяца назад

    Makonda piga kazi ila mikoa mingine madudu zaid ya arusha yapo wakuu wamikoa nawilaya hawasanuki amawana pigia pamoja

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 3 месяца назад +3

    Makonda afanye mpango mkakati wa hapo arusha mjini wenye nyumba za barabarani wauze au wakubali kuwapa wawekezaji ili wajenge majengo makubwa maana kuna vijumba hapo mjini vimechoka balaa vinachafua hali ya jiji la arusha

  • @mercyzakariah
    @mercyzakariah 3 месяца назад +2

    Jembe letu wewe ni zaidi ya dhahabu isio shuka thamani kwetu tz

  • @IbrahStaneliy-g7s
    @IbrahStaneliy-g7s 3 месяца назад +1

    Makonda oyooooo

  • @UpendoKakata
    @UpendoKakata 3 месяца назад +1

    Kongole mtangazaji

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 3 месяца назад

    Mtangazaji hayo yote unayosema ni maelekezo ya bosi wao kutatua shida

  • @meryamabdullah2081
    @meryamabdullah2081 3 месяца назад +3

    Makonda ❤❤

  • @EvancFranz-wl6qw
    @EvancFranz-wl6qw 3 месяца назад +2

    Kama sio magu watu wangekujulia wap

    • @salehwaziri5062
      @salehwaziri5062 3 месяца назад

      Alikuwa mkuu wawilaya yakinondoni kablaya Jpm

    • @edwardkimaro2103
      @edwardkimaro2103 3 месяца назад

      Hayati JPM alimjulia Kijana wetu Toka Kwa JK Alimwachia kwenye U DC.Magu akajua Hili jembe awe RC na Akanyoosha Siyo kawaida JPM akasema Hawa ndiyo Watumiaji Anaowahitaji!!