SHEIKH MSELEM ASIKITISHWA NA WANAO MRAD MITANDAONI"MIMI YANANIFIKA MENGI SIMJIBU MTU NAKAA KIMYA TU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #AdilTV

Комментарии • 65

  • @sharaful-anaam138
    @sharaful-anaam138 3 месяца назад +12

    Wallahi katika nchi hii tungekuwa na ma sheikh kama hawa wallahi nchi ingekuwa na neema za kutosha ALLAH AKUHIFADHI MAALIM

  • @sharifuburuhani1969
    @sharifuburuhani1969 3 месяца назад +6

    Nakupenda kwa ajili ya ALLAH sheikh Msellem Bin Ally, wewe ni Roll modell wangu!

  • @kondomrisho8776
    @kondomrisho8776 3 месяца назад +8

    Safi sana uchamungu huwa daima kujishusha Allah (sw) akuhifadhi mzee wangu na hasad za mwana wa adamu

  • @bakarfaki-vb8kv
    @bakarfaki-vb8kv 3 месяца назад +9

    Hivi ndio watu wema wanavyokuwa katika maisha yao si kijana mwenzangu Haji upepo na niendelee kusema kuwa Haji mm ni mwanafunzi Lakn sijafikia kuwaradd masheikh kwa sababu wao ni binaadamu Kama ulivo ww Haji upepo. Hebu tuwe na aadab kwa hawa masheikh watupe like walichonacho 😢

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 3 месяца назад

      Yeye Haji kamvunjia adabu shehe mselemu kwani km hao wengine wamevunjiwa adabu basi hao waliovunjiwa adabu walivunja adabu za watu pia

    • @sharaful-anaam138
      @sharaful-anaam138 3 месяца назад

      Kosa la haji upepo lipo wapi kwa sheikh mselem mbona hao masheikh wenu wanaomradd sheikh mselem hamuwataji sheikh haji upepo amemsifu sheikh mselem ijapo kuwa watofautiana kiaqida lkn anampenda na anamsikiliza ndo alivyo sema Sasa hao masheikh zenu wanao mponda sheikh mselem hajui kutafsri Quran hamuwataji wacheni ushabiki usio na maana sote ni ndugu wa nyumba moja

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 3 месяца назад

      Mtihani haswa kuna vitu vya muhimu mno vya kufanya lkn sasa weee😢😢

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 3 месяца назад

      Kwahiyo ww mwenyewe ushajitoa katika hao waja wema tayari maanayule mtoto wa Bachu na kina Abdalla Humeid huwaoni wala huwasikii wanayosema

    • @sharaful-anaam138
      @sharaful-anaam138 3 месяца назад

      @@aliabdalla9297 kwa khabari zenu hata nyinyi mukifa Nazo sio katika watu wema

  • @ramadhanmbarak3979
    @ramadhanmbarak3979 3 месяца назад +4

    Allah akuhifadh sheikh tunakuelewa Sana MaashaAllah

  • @ahmedabry293
    @ahmedabry293 2 месяца назад

    Allah akuhifadhi sh msellem bin ally.. Tunakupenda kwa ajili ya Allah ❤

  • @jumagora3462
    @jumagora3462 3 месяца назад +3

    Asante mungu akulinde na shari pamoja na ss kibabu kimamaliza kila kitu

  • @musasefu6092
    @musasefu6092 3 месяца назад +2

    May Almighty Allah guide you my mostly favorite shekhe

  • @makerebul3650
    @makerebul3650 3 месяца назад +4

    Allah akuhifadhi unaeleweka sana Mashallah.

  • @suleim505
    @suleim505 3 месяца назад +3

    HAYA NDIYO MANENO YA KUJIBU MTU MWENYE ELIMU NA KUJUA NAMNA YA KUITUMIA: KWA HAKIKA UMETOA MAJIBU MAZURI MNO ALLAH AKULIPE KWA UVUMILIVUWAKO.

  • @user-rh7lj1lo5x
    @user-rh7lj1lo5x 3 месяца назад +2

    Nimekukubali sheikh Mselem Allah akuhifadhi
    من تواضع رفعه الله
    Somesha sheikh kwa mujibu Allah alichokupa na akujalie na msimamo huo huo wa kutokumjibu mtu.

  • @mchinaaanavoijuwaadiniikiu7823
    @mchinaaanavoijuwaadiniikiu7823 Месяц назад

    Mashaallah Allah ambarkii shkhee watu

  • @noorsa88d
    @noorsa88d 2 месяца назад

    Allah akuhifadh Sheikh Mselem

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 3 месяца назад +2

    Kweli kabisa maneno yako sheikh Allah akuhifadhi yaarab

  • @PeacefulSoccerGoal-ki7td
    @PeacefulSoccerGoal-ki7td 3 месяца назад +2

    Alikua ana tafuta kk na shk wetu ALLAH akujalie umri na afya njema

  • @saidimdoe5246
    @saidimdoe5246 3 месяца назад +7

    Huyu shekhe hajikwezi ingekuwa wengine maneno mengi

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 3 месяца назад +2

    Haji upepo alimtetea sheikh mselem kwa nlivofahamu mm

  • @fahimkarama9341
    @fahimkarama9341 3 месяца назад +2

    mungu akulinde shekhe wangu

  • @HusseinAbdul-is9xq
    @HusseinAbdul-is9xq 3 месяца назад +2

    Naam jazzakallahkhery 🎉

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 3 месяца назад

    MashaAllah Allah azidi kupa sbra

  • @samiruiddi2077
    @samiruiddi2077 3 месяца назад

    Allah akuhidhi shekh mselem hakika mti wenye matunda ndio hupigwa mawe huwezi kukaa chini ya mjohoro akauchucha mawe bali ss tunakuerewa

  • @husseinhaji9550
    @husseinhaji9550 3 месяца назад

    Allah akuhifadhi Sheikh wetu

  • @ShekhKhamisi
    @ShekhKhamisi 3 месяца назад

    جزاك الله الخير

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim 3 месяца назад +3

    Kwanza hakuna mtu wakumradi huyu simba wa masimba..na ukimradi ni mjinga mkubwa..tunampenda kwaiyo komeni musimradi

  • @RamadhaniShabani-nc5ve
    @RamadhaniShabani-nc5ve 3 месяца назад

    Sheikh mselem mungu akupe kilalakheri

  • @user-ru1xm6og4j
    @user-ru1xm6og4j 3 месяца назад

    ما شاء الله

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 3 месяца назад +1

    shegh mselemu allah akuhifadh tunakujua....ila kuwa na subra tu maana wajinga wengi na kila kukicha wanaengezeka ........tatizo kuu ni watu kuisoma dini bila kuwa na adabu

  • @SalimAbdulla-gw5rq
    @SalimAbdulla-gw5rq 3 месяца назад

    Wewe ni fundi tunakuombea dua uwe na msimamo huo huo wachamungu huwa wanajitambua pia huwa Allah hawapi ukubwa wa kujipandisha wenyewe Ila Allah huwapandisha mwenyewe na c hapa duniani Bali ni Akhera na ndo hapo kufudhu Tena. Hawa wengine wanaotupiana madongo katika dini moja huwa hamna kitu .

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 3 месяца назад +1

    shegh mselemu allah akuhifadh tunakujua....ila kuwa na subra tu maana wajinga wengi na kila kukicha wanaengezeka

  • @jumagora3462
    @jumagora3462 3 месяца назад

    Asante kitabu kimemaliza kila kitu

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 3 месяца назад +1

    Huu ndio mfano wa wanaume bacho muamsheni

  • @user-ks4hh8jb6k
    @user-ks4hh8jb6k 3 месяца назад

    Huyu ndio shekh sio kujikweza

  • @rushu1232
    @rushu1232 3 месяца назад +1

    Endelea na daawa sheikh Msellem wachana na vibaraka ya mayahudi kazi yao nikudhalilisha masheikh wenye bidii kama wewe.

  • @RamadhaniShabani-nc5ve
    @RamadhaniShabani-nc5ve 3 месяца назад +3

    Yulekijana yule upepo yule dawayake inachemka yule

    • @sama-_8368
      @sama-_8368 3 месяца назад

      Upepo hajakosea amesema huyu Sheikh ni mfano wa kuigwa
      hilo ni kosa kwan ndugu?

  • @HasanatAli-de3bf
    @HasanatAli-de3bf 3 месяца назад

    Alie pewa hikma amepewa kheri kubwa sana na naiyona hapa

  • @ahmedbadi5822
    @ahmedbadi5822 3 месяца назад

    Tatizo ni wewe wataka kuraddi wengine watu wasomeshe Tu kila MTU ashike pa kushika.

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim 3 месяца назад +1

    Haji upepo shika adabu yako..

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 3 месяца назад

      Kwani Haji upepo alisema mselemu ni khawaarij punguza ujinga kichwani mwako

    • @sharaful-anaam138
      @sharaful-anaam138 3 месяца назад

      Setup hiyo NA WEWE USHIKE ADABU YAKO MWEHU WW

  • @khamisfarouk9493
    @khamisfarouk9493 3 месяца назад

    Mawahabi waige mfano wa sheikh Msellem

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 3 месяца назад

      Sheikh sio wahabi ingawa watu wengi wanadhani hivyo

    • @HamadaZubeirTahir
      @HamadaZubeirTahir 3 месяца назад

      Kwani huyu sheikh ni Muwahabbi?

    • @ramadhankheir4793
      @ramadhankheir4793 3 месяца назад

      Acha zako ww mzushi

    • @abdulabdulathumani5992
      @abdulabdulathumani5992 3 месяца назад

      Wewe je huna chakuiga

    • @Grataaaaa
      @Grataaaaa 3 месяца назад

      Mselem hana kund mnajifanya kumradi mnavuta bangi mnajifanya wasomi hmna ata hekma usomi gani kubishana wakati kuna watu hawamuelewi ata ALLAH wengine hawaswali nendeni mkawafikishie mnaradi mnaradi mnavuta bangi mnajifanya wasomi

  • @RamadhaniShabani-nc5ve
    @RamadhaniShabani-nc5ve 3 месяца назад

    Haowànokutuka achananao watoto wadogo achananao wanata kiki

  • @saidhassan-xg2uo
    @saidhassan-xg2uo 3 месяца назад

    Yule kijana ashike adabu yake

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp 3 месяца назад

    Haji upepe huyo hule jamaa bwana

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj 3 месяца назад

    😢Bora mwenzangu usije sema ukaoza jela kukaa kimya si kilema

  • @JamesMakes-rn6kz
    @JamesMakes-rn6kz 3 месяца назад

    haji upepo acha kiburi ungali mtoto ktk elimu, wew mwnyewe apo una makos tele

  • @JandaalHaqeem
    @JandaalHaqeem 3 месяца назад

    Zanzibar hakuna shekh kwa ajili ya dini