TUNDU LISU AMJIBU KINANA AMCHEKA KWA HOJA ZAKE ALIZOSEMA "AKITAKA ALETE MJADALA"
HTML-код
- Опубликовано: 7 май 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
RUclips : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Lisu upo vizuri sana
Nakubariki kwa jina la Yesu Kristo sababu unatutwambia ukweli.. Ukweli utatuweka huru si kwa ubaya... Mungu akulinde kweli kweli
Ccm mjibuni tundulisu kwa hoja sii kwa kusema ataigawa inch mala mbaguzi toa hoja ccm
Safi sana lisu
asante sana tundu LiSU waaambieni nikweli. Ni nchi. Mbili Tanganyika na Zanzibar muungano auna afya kwa watanganyika tumejua tuwachane na muungano bila hayo tutafika wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu zote watanganyika
Safi Sana tundullisu
We talk about Abrahaman kinana crush tundundulisu explanation is Abrahaman kinana got capacity crush tundundulisu pin point what point do you want me to explain remove such creatisise my English l know what am doing l born in Tanzania my national language is Swahili if fulishnes sane of we Africa if chaines speaks broken English no comment if wait people speaks one of Africa broken language no comments no creatisise so you just get way of creatisise language under your capacity of understand because you don't understand proper English that why you don't get my point peek point
@@abdalahgunda1319 ni vizuri ungeandika kiswahili tu
Ni kweli hapakuwa na ridhaa ya wananchi wa pande zote mbili,
Endelea kuelimisha ili wajinga wajinasue na ujinga wa kutokuelewa haki zao. Safi sana Lisu. Wapinzani wote wangekuwa kama wewe,CCM, ingeondolewa dakika Moja.
Mungu akupe maisha marefu sana
Madini mazuri
Waelimishe Lissu
Brother lissu uko number one big commonsense enough respect for you🙏
Hoja hizi ni nzito zingejibiwa kwa hoja na kwa uzito wake.
CCM tunasubiri majibu ili kuinusuru nchi mana vyenginevyo nchi inakoelekea siyo kuzuri
Mwalim wa taifa nakupongeza kwa hoja zako ambazo màccm hawjibu wamekaa kulaum badala ya kudhibitisha natamani watoke wafafanue kama zanziba si inchi na kama hawaja wafukuza wamaasai na kama bandari hawajawapa wadubai naomba wakatae mbele ya hadhara nawatusomee kila kifungu hapo natamani kweli lisu ni muongo lkn nawasikia wakilalamika bila kujibu nina mshaka nao
Kaka MUNGU Akikusaidia andika kitabu kitatusaidia sisi wazalendo
Mheshimiwa makamu Mwenekiti,kuwa makininisana nahizohoja za muungano hayonimambomazito ya inchi hii.
MUNGU tusaidie tuipate TANGANYIKA maana ccm wanawafanyia wananchi shele.
Duuh wewe ni hazina, najiuliza ungekufa maskini tungeyajua wapi haya!
Mungu uliye juu mbinguni naomba tusaidie tuwe na akina Tundu lissu wengi mno ili nchi yetu wajinga na mazuzu watoweke kabisa,Maana Nchi ya Tanganyika wajinga wasiojitambua ni wengi mno.
IQ kubwa inawatesa Sana CCM, unafundisha elimu iliyopotea ndani ya Taifa letu, Mungu akuongoze kwenye Taifa letu,
Ukimtoa marehemu jpm msema kweli aliyebakia ni comrade lissu tu huyu jamaa kama ni nyeupe ni nyeupe nyeusi ni nyeusi
Uteanfukie kitabu cha historia ya Tanganyika na Zanzibar useme yote itasaidia vizazi hata vizazi
unaeleweka lisu kweli wewe mzalendo mungu akupe nguvu lengo lako likawe Na uzima
Huyu Mh. Lissu yuko vizuri sana kichwani
Asante lisu.tunataka kua huru.tunataka raisi wa tanganyika
Wakili andika kitabu uza laki tutanunua
Kikumbwa nakubaliana na Mawazo ya kulumbana huku kila Moja na wakati wake nikuwaburuza wanachi.fanyeni midahalo ya vyama vyote yenye usajili.wananchi watapima.kuliko inavyofanyika sasa Nape akipata Nafasi anazungumza kivyake.vilevile vyama vingine napendekeza Midahalo ya vyama wananchi wake watapima.
Huyiu mama no jinamizi la tanganyinika hafai tumkatae
nikweli hauko sawa nikwanini hoja hizo zije pale tu anapo tawalahuku kiongozi toka zanzibara acha wehu
Huyu ndie mrithi wa magufuli
Kama Tanganyika ingeungana na Kenya ingezaa TANKENIA
Ingeungana na Uganda ingeitwa TANUGANIA
Ingeungana na Burundi ingeitwa TANBURIA
Ingeungana na Rwanda ingeitwa TANRWANIA
Ingeungana na Zambia ingeitwa TANZAMBIA
Ingeungana na Msumbiji ingeitwa TANMSUMIA
Ingeungana na Malawi ingeitwa TANMALIA
Ilipoungana na Zanzibar ikaitwa TANZANIA
Shikilieni hapo hap000
Umewahi kusikia kujamiana njinsia Moja anyeitetea ni Nani Kuna Rushwa ambaye zimejificha sana tukijenga hoja zetu tusiwatete kuwa huyu Hali Rushwa .nchi inakula Rushwa tusipende kuteteana kwenye Rushwa kwa kuwa hatujaipatia dawa ya kuiondoa.
Huo ndo ukweli msema ukweli lazima achukiwe na waovu ccm ni waovu mnapata faida Gani kwa ujinga huu
Vijana waliokata tamaa na ndiyo wengi katika nchi hii vameletewa pombe Kali za kuanzia elfu mbili Kila duka na kamali Kila bar, katika mitandaoni. Pia elimu inayotolewa Hainwezeshi kijana kujitegemea Matokeo yake vijana wengi hawajui maisha Yao miaka ijayo yaweje. Uwezo wa kufikiri umefifishwa na uwepo wa vitu hivyo tuzinduke .
Jamani kiongozi lisu ulikuwa mkoa gani huko mbona kama laia mbumbu sana yani unawauliza mambo ya mungano hawajui lolote 😢😢
Lissu anapiga za usoni
Ccm toeni majibu kwa tundu lissu.
Hekoooo!! TUNDU
Safi sana mh wetu,mungu aendelee kukulinda kila inapoitwa Leo.
Ajabu ajabu
Ccm mjibun basi huyu mtu anazid kupotosha watu.msiseme mchochez muwai kumjibu jaman.
Somo la Muungano lifundishwe mashuleni ili kujenga Umoja wetu
Uzuli tundulisu alisema hamna kiongozi wa sisiemu amejibu tundu anaongea uongo
Kwan general Mkunda ni wa Mpwapwa?
Nakupenda bure Lisu tutapambana hadi mwisho
Hhhhhhh ma ccm yenu hayo tuigawe bwana
Duh 🙄🙄🙄🙄🙄🙄 tumwamini nani
Ukiwa mkweli huwez pendwa,huyu anaongea ukweli,anatafuta kula pesa zipi ambazo hazijawah kuliwa??hujisikii kutoa maoni kaa kimya matusi sio hekima hiyo.
Me. Sikubali mambo yakishamba tu ufisadi mwingi utapeletu mmekula san ela za watanzania mimi wewe sikutaki pamoja nahuyo
Mbumbu wewe
Kula fedha Maana yake ni Nini
Kwa ufupi ni kuumkwamisha mtu yeyote kupata huduma anazohitaji mpaka umlipe fedha ambazo hazipo kisheria.
Tutafute njia ya kupingaa na kuipiga Rushwa .hata ikibanika kuwapigia Risasi hadharrani.kwa china wamefikiaje wao kuwapigia hadharani walarushwa ingawa Marekani inadai yakwamba haiongozi kwa haki.kwa kuwa sasa hivi Tanzania yetu mtu yeyote anayegombea cheo chechote kile cha kisiasa Rusha imeshika hatamu ni Lazima utoe Rushwa hakuna aliyesalama .ndio Maana wanaiita siku ya Mavuno.kwa wananchi.haya nayo ni Mageni machoni na Masikini petu..
mwehu ndie atakae muunga mkono lisu au mashoga
Me namuunga ni mwehu ila ww ambae humuelewi ni (K) nani zaidi?
Kafilane na mama ako huna akiri xhoga wew
Majonda mikutano yake yote lazima uwone watu wote.laki nyinyi mkutano yenu mnaonyesha mutubiaji tu sijui.mnafel wapi?mnaoigiwa bao.
Eti majonda....(Makonda)
Mutubiaji(mhutubiaji)
Yale Yale majinga yatabaki kuwa majinga kama hili ambalo limejua kusoma na kuandika hivi majuzi
Bandari ngorongoro ccm msipoangalia itawangoa watanzania wanaasira sana
Hizi ni nchi mbili huru zilizo kubaliana kushirikiana katika mambo kadhaa na mengine yako ndani ya kila mshiriki
Nimeamini haya mambo yanahitaji Elimu tulikua hatuelewi
Kaongo haka kazee huwezi kutulia tu njaaa kali unataka pesa zetu tu
Kama ni mwongo, ni vizuri ukatwambia ukweli unao ufahamu ili jamii ielimike badala ya kulalama uongo tu.
Pole
Mpuuzi tu wewe utugawi hata kidogo nenda beligium kwa mabwana zako.
Kama unajua vifungu vya Sheria mjibun kwa hoja co kejel Kama tarabu
Pole
Kitu kizito kipi upuuzi tu huu
zezeta ww
Nyie ndo walewale
Yaani jamaa anamwaga madini katka kutufungua macho wewe unasema upuuzi! Mpuuzi mkubwa wewe.
Ni mtuzamo tu
Huyu jamaa ni shetwani kweli,anabisha ukweli.
Ukimtoa marehemu jpm msema kweli aliyebakia ni comrade lissu tu huyu jamaa kama ni nyeupe ni nyeupe nyeusi ni nyeusi
Mbona JP hakuongelea muungano?
Na Sinde Warioba