MPINA AMVUA NGUO WAZIRI BASHE ATAKA AKAMATWE BAADA YA KUWEKA NYARAKA ZOTE WIZI WIZARA YA KILIMO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    RUclips : www.youtube.co...
    Tiktok. www.tiktok.com...

Комментарии • 132

  • @kingmzebez7786
    @kingmzebez7786 3 месяца назад +2

    Saaafi mzarendo wa kwer tuko pamoja nyuma yko tupo🇹🇿✌✌👊💪💪💪💪💪🇹🇿📿❤

  • @sk-wj9or
    @sk-wj9or 3 месяца назад +18

    Huyo brother Hussein bashe ni ujanja sanaaaa katika kuongea na si mkweli katika utendaji wake. Mimi ninao ushahidi huo.

    • @dassustephen731
      @dassustephen731 3 месяца назад +2

      Uadilifu wake NI 01/100

    • @PartySekemi
      @PartySekemi 3 месяца назад +2

      Kwaiyo umahiri wote huu wa kuelezea utekelezaji wa serikali na ilani ya ccm ni porojo tu duh!!!

    • @isaackchambo2642
      @isaackchambo2642 3 месяца назад +1

      😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 3 месяца назад

      @@isaackchambo2642Africa ni tajiri. Ni viongozi wetu ndiyo wanaotupa umasikini. Kwa mawaziri kama hawa wenye uraia usio julikana watanzania tukate tamaa. Bashe asiposimamishwa Kazi na kushitakiwa kwa kuhujumu uchumi basi tena watanzania tukate tamaa. Kinachoshangaza bungeni, wabunge wengi wanampinga Mpina badała ya kumusurport.

    • @pirminmatumizi5464
      @pirminmatumizi5464 3 месяца назад +1

      Hussein Bashe nilikuwa namwamini sana. Iwapo ni kweli tuhuma hizi, baasi, Tanzania tumekwisha, kila mtu na ale kwa urefu wa kamba yake.
      Tundu anamhusisha pia mheshimiwa Rais pamoja na mwanae Abdul ktk kashfa hii ya sukari bila kumung'unya maneno. Nchi hii Mungu anataka kuifanyaje hii?

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 3 месяца назад +6

    Ni Tanzania tu nchi ambayo tunamzomea anae piga yowe kua tunaibiwa leo nilitarajia kuona watu wakiunga mkono hoja ya mh mpina na kutafuta njia ya kumfukuza anae tuibia. Badala yake tunambeza. Kisa siasa. Nawashauri Watanzania msitamani mabadiliko ya siasa bira ninyi kubadilika tukijua kupigania haki mengine yote tutaweza

  • @7675kio
    @7675kio 3 месяца назад +6

    Sometimes back I said openly "JPM (Magu) will never die". Leo naona sura ya JPM (Magu) kupitia kwa Makonda, Slaa na Mpina.

    • @magdalenampanda1426
      @magdalenampanda1426 3 месяца назад +1

      Absolutely Yes Magu never die

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 3 месяца назад +2

      Alisema tutamukumbuka, na kweli. Uongozi wake angekuwepo Tanzania ingekuwa mbali

    • @simonchristian6319
      @simonchristian6319 3 месяца назад

      Huezi kumfanisha magu na makonda,Wala mpina na makonda,Wala slaa na makonda,makonda Hana ujanja wa kusimama na kujilipua mwenyewe,pasipo kitegemea security ya rais,pili ni mjanja mjanja tu

  • @elisantenyange8751
    @elisantenyange8751 3 месяца назад +1

    Hongera sana

  • @abdallahnkrumah6237
    @abdallahnkrumah6237 3 месяца назад +4

    Hii ndiyo AHADI ya Mwana TANU nitasema kweli Daima Uongo kwangu MWIKO. Kwa haya Mh Mpina ametimiza ahadi ya Chama chake Sasa tusubiri hukumu atakayopewa na Chama chake.

  • @PrivaAgust
    @PrivaAgust 3 месяца назад +2

    Asante hakuna cha ccm kulindana ukweli ndio msingi wa haki.

  • @SimonMabumba
    @SimonMabumba 3 месяца назад +3

    Mheshimiwa Mpina uko sawa kabisa wewe ni mzalendo kweli

  • @SijawaMbawalla
    @SijawaMbawalla 3 месяца назад +1

    Mh mpina hongera kwa kaz mzur mungu atakuongoza

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 3 месяца назад +1

    ki ukweli Bashe kaliingiza taifa hasara kwa miradi yake ya kilimo isiyo na uhalisia

  • @PartySekemi
    @PartySekemi 3 месяца назад +9

    Tunataka wabunge kama hawa ili wawape mawaziri changamoro kila mmoja kwa nafasi yake ajue anaongoza watu wenye akili

  • @MawazoMwingo
    @MawazoMwingo 3 месяца назад +2

    Kama nikweli sinahaja tena yakumuani mtu bashe nilimuamini sana kumbe mh 😂😂😂😂

  • @simonchristian6319
    @simonchristian6319 3 месяца назад

    Bashe anajua kuwa katika wananchi hakuna mwenye uwezo wa kufutilia,mambo ya sukari,sasa jamaa anajua,wakamfungia,nchi haitaki waru smart hii

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 3 месяца назад +1

    Moja ya vijana makini wa Jiwe. Toka lini msomali akawa na uchungu na wa Tanganyika.

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 3 месяца назад +1

    Nilimuamini Bashe..kumbe muongo..ajiuzuru

  • @PartySekemi
    @PartySekemi 3 месяца назад +1

    Shikamoo mpina

  • @davidmwita3008
    @davidmwita3008 3 месяца назад +2

    Bashe mpigaji tu Mpina wewe lipua na weka wazi uchafu na uongo wa huyo hawezi kuwa na uchingu na nchi huyo anatengeneza kula yake tu, qapi umeona msukuma wa inside hiyo

  • @Paka5026
    @Paka5026 3 месяца назад +2

    Huyo bashe ni tatizo fukuza huyo mheshimiwa madam president

  • @OlivreKimario
    @OlivreKimario 3 месяца назад

    Hongera sana mpina kwa kutufungua macho,ila shikamoo ccm shamba la bibi

  • @oslojob5688
    @oslojob5688 3 месяца назад

    😂😂😂 shikamoo mpina 🎉

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 3 месяца назад +2

    Mpina baba tunakuombea Mungu akusimamie usiogope kutetea haki za watanzania. Bashe kwa ushahidi tuliousikia tunangoja atowe ushahidi hadharani. Watanzania wana taka uwazi

    • @JaneChissawilo-dr7nn
      @JaneChissawilo-dr7nn 3 месяца назад

      Uombee moyo wake akiondoa hila tu atakuwa vizuri.Mimi hapa napingana na hila za shetani siyo za Mpina sina ugomvi naye.

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 3 месяца назад

    Nchi ya ajabu sana, viwanda vinatakiwa kuzalisha sukari, lakini vinashindwa kukidhi maitaji. Mbaya zaidi vinapewa vibali vya kuingiza sukari kutoka nje. Je, ni nani mnufaika na mfumo mbovu? Je, ni sawa serikari kuendelea kuwakumbatia wawekezaji wapuuzi na washenzi?

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 2 месяца назад

    Arudi kwao anauzaje hekta 7500? Huyu atachukua mkopo benki kama rehani .

  • @ngembamakuru3810
    @ngembamakuru3810 3 месяца назад

    Mungu akubariki Mpina, wewe umetutoa tongotongo machoni.

  • @MartineShija
    @MartineShija 3 месяца назад

    Molina Oyee

  • @vitusanthony7494
    @vitusanthony7494 3 месяца назад

    Hii ndo Tz Bongo, longo longo nyiiingi.! Mpina fungua wtz ubongo.

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 3 месяца назад

    Lakini mhe. Bashe atakumbuka nilivyowahi kumwonya kuwa mwangalifu sana na watendaji wa wizara ya kilimo. Nilimwonya baada ya jamaa wa Mfuko wa pembejeo wa Taifa kuninyima mkopo wa pembejeo. Nilimtahadharisha sana.
    Kilimo ni mojawapo ya wizara zilizo nafasi ya juu ktk kupindua pindua. Ni wazuri sana ktk kuandaa taarifa za kupika. SUA si mchezo.

  • @PartySekemi
    @PartySekemi 3 месяца назад +2

    Kimeumana

  • @nmatuja2191
    @nmatuja2191 3 месяца назад +1

    Waliambiwa wale kwa ulefu wa kamba zao jamani.

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 3 месяца назад

    Hela za kampeni zinatafutwa kwa nguvu, ni lazima kuna mamlaka kubwa juma ya
    huu uozo.

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 3 месяца назад +2

    Hilo diri. Kati ya fedha na kilimo.

  • @matthewmichaelsylvester5612
    @matthewmichaelsylvester5612 3 месяца назад +3

    leo manapoteza muda kupambana a sukari ambayo inaendelea kutetelesha afya ya wananchi kwa ugonjwa wa kisukari vipo vitu vya msingi zaidi kuvikazia bungeni na sio hitaji hili la kawaida bashe anapiga sana kazi hata ungepewa ww kiatu chake hauwezi kabisa

    • @fmleli.tz2004
      @fmleli.tz2004 3 месяца назад

      🏋‍♂️🏋‍♀️

    • @EmmaculateGembe
      @EmmaculateGembe 3 месяца назад

      Mwizi kamawezi wengine

    • @EmmaculateGembe
      @EmmaculateGembe 3 месяца назад

      Mnawapa wageni uongozi mnategemea nini? Wageni hawana uchungu nawatanganyika

  • @MuzneOthman-l7i
    @MuzneOthman-l7i 3 месяца назад

    KATIKA MAELEZO YA MHE. HUYU TUKUBALI KUNA TATIZO. LAZIMA BUSARA ITUMIKE KATI KUSHUGHULIKIA MAELEZO HAYA IKIWEZEKANA WAHUSIKA WAJITATHINI KAMA HAYA NI KWELI .

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 месяца назад

    hizi vitu anavosema Mh Mpina vipelekwe mbele kisha Mh Mama Samia atoe majibu maana yy ni mkuu wa nchi..yanaumiza sana. sijui kama Mh Rais alopita J Magufuli angekubali haya au?

  • @davidmwita3008
    @davidmwita3008 3 месяца назад

    Ajiuzulu ajiuzulu, ajiuzulu.

  • @bahatikamihanda3689
    @bahatikamihanda3689 3 месяца назад +1

    Watanzania hatujahelewana vizuri,hivi mnao mtetea waziri mnafulahia upigaji au mnamchukia Mpina? Je ikiwa unamchukia mtu hata hàkikuletea habari kuwa unaibiwa unampuhuza unatetea mwizi? Au watanzania tumehalibikiwa kihasi hiki kweli!

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 3 месяца назад

    Mpina ni mtu wa system ila system yake ni yapekeake sazee. Huyu akija Chadema tunampa nchi mchana kweupee

  • @SaidiMohamedi-n2u
    @SaidiMohamedi-n2u 3 месяца назад

    Mm najiuriza bashe halikuwa hivihivi ccm mbwana

  • @NavoMasegenya
    @NavoMasegenya 3 месяца назад

    Wenye viwanda waje waseme

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 3 месяца назад

    Kazi ipo

  • @jofreyfungo1112
    @jofreyfungo1112 2 месяца назад

    Dalali amekalia kiti.

  • @wasengaswillah
    @wasengaswillah 3 месяца назад

    Bunge zima ni wewe tu! unaonyesha uzalendo, ila siku zote ukweli haupendwi, hivyo wanakuchora tu, wanakusubiri mwakani ili ukatwe!😂😂😂🇹🇿

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu 3 месяца назад

    Na ww jitambue sukari sio inayo leta kisukari huyu mheshimiwa Ni mzalendo we abunge wote wangekuwa watetezi km huyu tungefika mbaili ila asilimia kubwa ya wabunge nimizigo bungeni inasikitisha Shana pia Waziri mkuu awe makali Kwa mawaziri rejea uwasili WA huko nyuma Sokoine alivyo kuwa anakemea mawaziri

  • @williampaulmashoke7402
    @williampaulmashoke7402 3 месяца назад

    Maprofesor waliisha sema bunge letu hili ni dhaifu sana. Mbunge wetu spika anatuaibisha tu.

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 3 месяца назад +1

    Waziri wa fedha na kilimo lawo moja. Wanatoka singida kujiandaa uchaguzi. Juzi rais anasema waziri wafedha ataraumiwa tuu..usalama wa taifa mpo.wapinzani wanaongopa.

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 3 месяца назад

    Ukali . Woote wa bashe jamsni

  • @officialcrstore1685
    @officialcrstore1685 3 месяца назад

    2028 Bodi ya pamba
    Nafikiri angeenda pole pole tungemuelewa vziru

  • @JoshuaStanley-qu3im
    @JoshuaStanley-qu3im 3 месяца назад

    Bashe nae hafaii

  • @moseshaule586
    @moseshaule586 3 месяца назад

    Wasukuma ni wazalendo sana nchi hii

    • @bakarimrao3655
      @bakarimrao3655 3 месяца назад

      Swala la wasukuma linakujaje hapo!!!!!!! Hilo ndio tatizo la baadhi ya watu

  • @tithongenzi1766
    @tithongenzi1766 3 месяца назад +1

    Tanzania Nchi yangu naipenda sana!🇹🇿

    • @magdalenampanda1426
      @magdalenampanda1426 3 месяца назад

      Watu ajili IPO wana uchungu na nchi Yao, wasio Yao akii ku mutwe

  • @jawahiriaelmy
    @jawahiriaelmy 3 месяца назад

    Kwenye janga la sukari bashe uko saw hata shetani alete ss tunataka sukar

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 3 месяца назад

    Niona CCM nahisi kutapika niona

  • @robisonmabaso4720
    @robisonmabaso4720 3 месяца назад

    Baada ya kumvua nguo ikawaje sasa

  • @healingsschool4630
    @healingsschool4630 3 месяца назад

    Tatizo letu kubwa tunahangaika na mtu badala ya mfumo hii ni laana kubwa tuliyo nayo. Kwa mfano mpina ulipokua uvuvi ulipima kantini kwa rula kwasababu ulikua kwenye mfumo ule ulioruhusu . Inasikitisha sana yapo mambo mengi yanafanyika hovyo na yanapitishwa na bunge kwa mfano kuaguza mafuta pamoja, kutoza kodi kubwa kwenye mafuta ya taa eti petrol na diesel isichakachuliwe. Kumlaumu Mama kukopa wakati hata Mwenyezi Mungu mwenyewe anakopa. Uchawa unaofanya maamuzi ya hovyo .

    • @TibihikaGerad
      @TibihikaGerad 3 месяца назад +1

      Umeanza vizur mwisho umeanza kuongea kuandika upumbavu mungu anakopa nin??

    • @NyangiMarwa
      @NyangiMarwa 3 месяца назад

      Yaani umeanza vyema lakini kumtaja Mungu kuwa anakopa ni period

    • @aloycekomba1
      @aloycekomba1 3 месяца назад

      😂😂😂 we jamaa ni hovyo yaan muongo kuliko bashe😂😂😂

    • @lukamkonongwa1933
      @lukamkonongwa1933 3 месяца назад

      Laana nyingine mnazitafuta wenyewe. Hivi kweli unadiriki kusema Mungu naye anakopa! Kakopa Nini na Kwa nani?

    • @healingsschool4630
      @healingsschool4630 3 месяца назад

      @@lukamkonongwa1933 lmeandikwa kumpa masikini ni sawa na kumkopesha Mwenyezi Mungu. Ndio maana Wazungu, Waarabu nk. wanazidi kuwa matajiri kwasababu wanamwaga misaada kwa masikini Afrika, Latini America, Israel na masikini wengi Duniani

  • @AlexMsigala-i6f
    @AlexMsigala-i6f 3 месяца назад

    Kwahiyo ww ulitamani tuendelee kununua sukali kwa bei ya 5000 mpaka leo

    • @victorsanga2229
      @victorsanga2229 3 месяца назад

      uelewa wako ni mdogo kwa haya mambo,

  • @IvorMsemwa
    @IvorMsemwa 3 месяца назад

    Mkuu wa nchi upon?

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 3 месяца назад

    tz shamba la bibi wakati wao acha wapige dili

  • @Kidia-yt3bm
    @Kidia-yt3bm 3 месяца назад +1

    Mie Bashe namwelewa ni miongoni mwa viongozi bora kabisa,hakuna shida ya sukari imeshaisha hiyo

    • @sindabahabwoyaanacret660
      @sindabahabwoyaanacret660 3 месяца назад +1

      Hayo ni mahaba yako binafsi kwa bashe ila sisi tunafanya analysis ya hoja nna ufisad ulio jificha

  • @RajabuMkonje
    @RajabuMkonje 3 месяца назад

    Huu mpambano Kati ya MPINA vs BASHE, na KIPANYA vs MWIJAKU je? nani watashinda? comment yako pliiz😂

  • @prochesytesha8040
    @prochesytesha8040 3 месяца назад

    Mjomba nipo upande wa pili ila mbona nakuelewaga mkuu

  • @AlexMsigala-i6f
    @AlexMsigala-i6f 3 месяца назад

    Ww ni mchumia tumbo tuu

  • @Paka5026
    @Paka5026 3 месяца назад

    Fukuza

  • @emmanuelbayi4640
    @emmanuelbayi4640 3 месяца назад

    Mpina njoo uwe mbunge wa karatu tunakupa kura

  • @oswaldtemba2770
    @oswaldtemba2770 3 месяца назад

    Kama uzalishaji ilikuwepo? Uhaba wa sukari ukitoka wapi?

    • @NyangiMarwa
      @NyangiMarwa 3 месяца назад

      Haukujitoshereza ndiyo maana kutoka huku nyuma walikuwa wanaagiza ili kufidia

  • @salmaignass4979
    @salmaignass4979 3 месяца назад

    Nae huyu cijui anataka apewe nafasi ya kazi na mama samia, mama mpe kazi

  • @oswaldtemba2770
    @oswaldtemba2770 3 месяца назад

    Hoja nyepesi sana mpina what is elfu kumi

    • @martinnkuba6683
      @martinnkuba6683 3 месяца назад +1

      Sina mashaka kama unajielewa

    • @paulinamacheyeki8381
      @paulinamacheyeki8381 3 месяца назад

      Kwako we hoja ni nyepesi lakini Wa Tz hawawezii kununua sukari kilo sh 10,000 ndugu. Tumwogope Mungu.

  • @johnmgeta4932
    @johnmgeta4932 3 месяца назад

    Duuuu

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 3 месяца назад

    Mpina westing time no such move into ccm leadership on bashe lie into palament because this cal palament then acson tulia is the actor can acson tulia take action agest bashe it won't work such reaction mpina want to be taken by palament because palament control by politician ccm principal protocol limit capacity of mp voice that is the weekiness of or palament bashe will continue hold that position mpina you will get crush from Satain position to cloud your powerful voice we know ccm leadership for long time

  • @yusuphahmed-yt5gg
    @yusuphahmed-yt5gg 3 месяца назад

    😂😂😂

  • @JaneChissawilo-dr7nn
    @JaneChissawilo-dr7nn 3 месяца назад +1

    Kuna kitu siyo kizuri ndani ya mioyo ya watu Ila Mungu huchunguza miyo ya watu na kumlipa kila MTU sawasawa na moyo wake.Nafikiri huyu ana kingine siyo hill tu! Bashe Usiogope Mungu atakutetea!

    • @magdalenampanda1426
      @magdalenampanda1426 3 месяца назад

      MUNGU anatetea pale tu unapostahili kutetewa, badala yake SHETANI atafanya kazi yake

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 3 месяца назад +1

      Hakuna Mungu atatetea dhuruma kwa watanzania elfu sitini na kumutetea mtu mmoja kuwalisha sumu watanzania kwa ubinafsi wake. Bashe hana la kusema. Ushahidi wa Mpina ni mzito.

    • @sindabahabwoyaanacret660
      @sindabahabwoyaanacret660 3 месяца назад +1

      Tuambie wewe hicho kingine unachokifikiri, sisi tunapima hoja sio mahaba uliio nayo kwa wazir husika

    • @stanleybupambambogo3334
      @stanleybupambambogo3334 3 месяца назад

      ​@sindabahabwoyaanacret660 hakika!

    • @JaneChissawilo-dr7nn
      @JaneChissawilo-dr7nn 3 месяца назад

      @@sindabahabwoyaanacret660
      Sikiliza Mimi Nina Mungu hapa nilipo nauona wazi moyo was Mpina. Halafu sina uadui naye.Anajieleza safi lakini ana hila siyo nzuri kwa Bashe!

  • @ashaIsmail-hi5fz
    @ashaIsmail-hi5fz 3 месяца назад +2

    Acha kuwaponda wenzio ata wewe ulikushinda uwaziri

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 3 месяца назад

      Na wewe mpe uongo aliousema period!

    • @ipinimarco8468
      @ipinimarco8468 3 месяца назад +4

      Una uhakika kama alishindwa,,, Mpina ni moja ya watu timamu sana,,, mfumo wa utawala hawajamua kumtumia ila siyo alishindwa..

    • @fredysiwale5413
      @fredysiwale5413 3 месяца назад +3

      Shukuru hata kuyajua hayo bira mpina ungeyajulia wapu

    • @sk-wj9or
      @sk-wj9or 3 месяца назад +2

      Kushindwa kwake hakukatazi kusema ukweli ulivyo.
      Tusizoee kubulizwa.
      Always truth will set us free.
      Wacheni kutetea ujinga wakati taifa linateketea

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid8326 3 месяца назад

    Kwahiyo unamshitaki Bashe kwa nani? Inamaana umeona Mh. Spika aliekutaka ulete ushahidi hana uwezo wa kushughulikia hili? Unastahili adhabu kubwa ya Kichama kuliko ile inayomstahili Bashe iwapo itathibitika kuwa ni kweli amelidanganya bunge.

  • @bibletv9818
    @bibletv9818 3 месяца назад

    Du!!!!!!

  • @AminoKhalif
    @AminoKhalif 3 месяца назад

    Wewe mpina koma

    • @EmmaculateGembe
      @EmmaculateGembe 3 месяца назад

      Koma wewe mwizi mwenzao
      Mpina Mungi akulinde na akutunze

    • @EmmaculateGembe
      @EmmaculateGembe 3 месяца назад

      Koma wewe mwizi mwenzao
      Mpina Mungi akulinde na akutunze
      Watanganyika mumezubaa endeleen😅 kupigwa

    • @JaneChissawilo-dr7nn
      @JaneChissawilo-dr7nn 3 месяца назад

      @@EmmaculateGembe halindwi lolote Mungu no mwenye haki anachunguza moyo, na nia ya moyo.

  • @simonchristian6319
    @simonchristian6319 3 месяца назад

    Mimi mpaka Leo sijajua why Magari yaliruhusiwa kusafiri usiku,Ili Hali wananchi hatukuwahi kuomba,mara vuuu bunge likasema Magari kusafiri usiku😂

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 3 месяца назад

    Hata awe malaika akiwa CCM anakuwa shetani, shida ni mfumo, huyo bashe kipindi cha Magu alionekana ni Lulu ya taifa lkn leo tumejuwa uozo😂alio nao, yaan maccm hovyo kabisa.

  • @elianaarsen9942
    @elianaarsen9942 3 месяца назад

    Mna uhakika gani anayoongea Mpina yana ukweli?Tusiwe wepesi wa kumuhukumu waziri

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 3 месяца назад +1

    Big brain

  • @hbdina
    @hbdina 3 месяца назад

    🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Huyu Bashe angekuwa USA au 🇷🇺 Russia nchi ambazo zimeeendelea ni kifungo cha maisha na Criminal record. Tuone serikali ya Tanzania 🇹🇿 itafanya nini!!!

    • @YothamYoram
      @YothamYoram 3 месяца назад +1

      Bashe komaa, ajira yako haipo Kwa mpina