MPINA AMVUA NGUO WAZIRI BASHE ATAKA AKAMATWE BAADA YA KUWEKA NYARAKA ZOTE WIZI WIZARA YA KILIMO
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
RUclips : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
Saaafi mzarendo wa kwer tuko pamoja nyuma yko tupo🇹🇿✌✌👊💪💪💪💪💪🇹🇿📿❤
Huyo brother Hussein bashe ni ujanja sanaaaa katika kuongea na si mkweli katika utendaji wake. Mimi ninao ushahidi huo.
Uadilifu wake NI 01/100
Kwaiyo umahiri wote huu wa kuelezea utekelezaji wa serikali na ilani ya ccm ni porojo tu duh!!!
😢😢😢😢😢😢😢😢
@@isaackchambo2642Africa ni tajiri. Ni viongozi wetu ndiyo wanaotupa umasikini. Kwa mawaziri kama hawa wenye uraia usio julikana watanzania tukate tamaa. Bashe asiposimamishwa Kazi na kushitakiwa kwa kuhujumu uchumi basi tena watanzania tukate tamaa. Kinachoshangaza bungeni, wabunge wengi wanampinga Mpina badała ya kumusurport.
Hussein Bashe nilikuwa namwamini sana. Iwapo ni kweli tuhuma hizi, baasi, Tanzania tumekwisha, kila mtu na ale kwa urefu wa kamba yake.
Tundu anamhusisha pia mheshimiwa Rais pamoja na mwanae Abdul ktk kashfa hii ya sukari bila kumung'unya maneno. Nchi hii Mungu anataka kuifanyaje hii?
Ni Tanzania tu nchi ambayo tunamzomea anae piga yowe kua tunaibiwa leo nilitarajia kuona watu wakiunga mkono hoja ya mh mpina na kutafuta njia ya kumfukuza anae tuibia. Badala yake tunambeza. Kisa siasa. Nawashauri Watanzania msitamani mabadiliko ya siasa bira ninyi kubadilika tukijua kupigania haki mengine yote tutaweza
Sometimes back I said openly "JPM (Magu) will never die". Leo naona sura ya JPM (Magu) kupitia kwa Makonda, Slaa na Mpina.
Absolutely Yes Magu never die
Alisema tutamukumbuka, na kweli. Uongozi wake angekuwepo Tanzania ingekuwa mbali
Huezi kumfanisha magu na makonda,Wala mpina na makonda,Wala slaa na makonda,makonda Hana ujanja wa kusimama na kujilipua mwenyewe,pasipo kitegemea security ya rais,pili ni mjanja mjanja tu
Hongera sana
Hii ndiyo AHADI ya Mwana TANU nitasema kweli Daima Uongo kwangu MWIKO. Kwa haya Mh Mpina ametimiza ahadi ya Chama chake Sasa tusubiri hukumu atakayopewa na Chama chake.
Asante hakuna cha ccm kulindana ukweli ndio msingi wa haki.
Mheshimiwa Mpina uko sawa kabisa wewe ni mzalendo kweli
Mh mpina hongera kwa kaz mzur mungu atakuongoza
ki ukweli Bashe kaliingiza taifa hasara kwa miradi yake ya kilimo isiyo na uhalisia
Tunataka wabunge kama hawa ili wawape mawaziri changamoro kila mmoja kwa nafasi yake ajue anaongoza watu wenye akili
Changamoto ataundiwa zengwe tu, hutomwona 2026.
Kama nikweli sinahaja tena yakumuani mtu bashe nilimuamini sana kumbe mh 😂😂😂😂
Bashe anajua kuwa katika wananchi hakuna mwenye uwezo wa kufutilia,mambo ya sukari,sasa jamaa anajua,wakamfungia,nchi haitaki waru smart hii
Moja ya vijana makini wa Jiwe. Toka lini msomali akawa na uchungu na wa Tanganyika.
Nilimuamini Bashe..kumbe muongo..ajiuzuru
Shikamoo mpina
Bashe mpigaji tu Mpina wewe lipua na weka wazi uchafu na uongo wa huyo hawezi kuwa na uchingu na nchi huyo anatengeneza kula yake tu, qapi umeona msukuma wa inside hiyo
Huyo bashe ni tatizo fukuza huyo mheshimiwa madam president
Hongera sana mpina kwa kutufungua macho,ila shikamoo ccm shamba la bibi
😂😂😂 shikamoo mpina 🎉
Mpina baba tunakuombea Mungu akusimamie usiogope kutetea haki za watanzania. Bashe kwa ushahidi tuliousikia tunangoja atowe ushahidi hadharani. Watanzania wana taka uwazi
Uombee moyo wake akiondoa hila tu atakuwa vizuri.Mimi hapa napingana na hila za shetani siyo za Mpina sina ugomvi naye.
Nchi ya ajabu sana, viwanda vinatakiwa kuzalisha sukari, lakini vinashindwa kukidhi maitaji. Mbaya zaidi vinapewa vibali vya kuingiza sukari kutoka nje. Je, ni nani mnufaika na mfumo mbovu? Je, ni sawa serikari kuendelea kuwakumbatia wawekezaji wapuuzi na washenzi?
Arudi kwao anauzaje hekta 7500? Huyu atachukua mkopo benki kama rehani .
Mungu akubariki Mpina, wewe umetutoa tongotongo machoni.
Molina Oyee
Hii ndo Tz Bongo, longo longo nyiiingi.! Mpina fungua wtz ubongo.
Lakini mhe. Bashe atakumbuka nilivyowahi kumwonya kuwa mwangalifu sana na watendaji wa wizara ya kilimo. Nilimwonya baada ya jamaa wa Mfuko wa pembejeo wa Taifa kuninyima mkopo wa pembejeo. Nilimtahadharisha sana.
Kilimo ni mojawapo ya wizara zilizo nafasi ya juu ktk kupindua pindua. Ni wazuri sana ktk kuandaa taarifa za kupika. SUA si mchezo.
Kimeumana
Waliambiwa wale kwa ulefu wa kamba zao jamani.
Hela za kampeni zinatafutwa kwa nguvu, ni lazima kuna mamlaka kubwa juma ya
huu uozo.
Hilo diri. Kati ya fedha na kilimo.
leo manapoteza muda kupambana a sukari ambayo inaendelea kutetelesha afya ya wananchi kwa ugonjwa wa kisukari vipo vitu vya msingi zaidi kuvikazia bungeni na sio hitaji hili la kawaida bashe anapiga sana kazi hata ungepewa ww kiatu chake hauwezi kabisa
🏋♂️🏋♀️
Mwizi kamawezi wengine
Mnawapa wageni uongozi mnategemea nini? Wageni hawana uchungu nawatanganyika
KATIKA MAELEZO YA MHE. HUYU TUKUBALI KUNA TATIZO. LAZIMA BUSARA ITUMIKE KATI KUSHUGHULIKIA MAELEZO HAYA IKIWEZEKANA WAHUSIKA WAJITATHINI KAMA HAYA NI KWELI .
hizi vitu anavosema Mh Mpina vipelekwe mbele kisha Mh Mama Samia atoe majibu maana yy ni mkuu wa nchi..yanaumiza sana. sijui kama Mh Rais alopita J Magufuli angekubali haya au?
Ajiuzulu ajiuzulu, ajiuzulu.
Watanzania hatujahelewana vizuri,hivi mnao mtetea waziri mnafulahia upigaji au mnamchukia Mpina? Je ikiwa unamchukia mtu hata hàkikuletea habari kuwa unaibiwa unampuhuza unatetea mwizi? Au watanzania tumehalibikiwa kihasi hiki kweli!
Mpina ni mtu wa system ila system yake ni yapekeake sazee. Huyu akija Chadema tunampa nchi mchana kweupee
😂😂😂
Mm najiuriza bashe halikuwa hivihivi ccm mbwana
Wenye viwanda waje waseme
Kazi ipo
Dalali amekalia kiti.
Bunge zima ni wewe tu! unaonyesha uzalendo, ila siku zote ukweli haupendwi, hivyo wanakuchora tu, wanakusubiri mwakani ili ukatwe!😂😂😂🇹🇿
Na ww jitambue sukari sio inayo leta kisukari huyu mheshimiwa Ni mzalendo we abunge wote wangekuwa watetezi km huyu tungefika mbaili ila asilimia kubwa ya wabunge nimizigo bungeni inasikitisha Shana pia Waziri mkuu awe makali Kwa mawaziri rejea uwasili WA huko nyuma Sokoine alivyo kuwa anakemea mawaziri
Maprofesor waliisha sema bunge letu hili ni dhaifu sana. Mbunge wetu spika anatuaibisha tu.
Waziri wa fedha na kilimo lawo moja. Wanatoka singida kujiandaa uchaguzi. Juzi rais anasema waziri wafedha ataraumiwa tuu..usalama wa taifa mpo.wapinzani wanaongopa.
Hawatoki wote singida ila Bashe anatoka tabora
Ni majirani
Ukali . Woote wa bashe jamsni
2028 Bodi ya pamba
Nafikiri angeenda pole pole tungemuelewa vziru
Bashe nae hafaii
Wasukuma ni wazalendo sana nchi hii
Swala la wasukuma linakujaje hapo!!!!!!! Hilo ndio tatizo la baadhi ya watu
Tanzania Nchi yangu naipenda sana!🇹🇿
Watu ajili IPO wana uchungu na nchi Yao, wasio Yao akii ku mutwe
Kwenye janga la sukari bashe uko saw hata shetani alete ss tunataka sukar
Niona CCM nahisi kutapika niona
Baada ya kumvua nguo ikawaje sasa
Tatizo letu kubwa tunahangaika na mtu badala ya mfumo hii ni laana kubwa tuliyo nayo. Kwa mfano mpina ulipokua uvuvi ulipima kantini kwa rula kwasababu ulikua kwenye mfumo ule ulioruhusu . Inasikitisha sana yapo mambo mengi yanafanyika hovyo na yanapitishwa na bunge kwa mfano kuaguza mafuta pamoja, kutoza kodi kubwa kwenye mafuta ya taa eti petrol na diesel isichakachuliwe. Kumlaumu Mama kukopa wakati hata Mwenyezi Mungu mwenyewe anakopa. Uchawa unaofanya maamuzi ya hovyo .
Umeanza vizur mwisho umeanza kuongea kuandika upumbavu mungu anakopa nin??
Yaani umeanza vyema lakini kumtaja Mungu kuwa anakopa ni period
😂😂😂 we jamaa ni hovyo yaan muongo kuliko bashe😂😂😂
Laana nyingine mnazitafuta wenyewe. Hivi kweli unadiriki kusema Mungu naye anakopa! Kakopa Nini na Kwa nani?
@@lukamkonongwa1933 lmeandikwa kumpa masikini ni sawa na kumkopesha Mwenyezi Mungu. Ndio maana Wazungu, Waarabu nk. wanazidi kuwa matajiri kwasababu wanamwaga misaada kwa masikini Afrika, Latini America, Israel na masikini wengi Duniani
Kwahiyo ww ulitamani tuendelee kununua sukali kwa bei ya 5000 mpaka leo
uelewa wako ni mdogo kwa haya mambo,
Mkuu wa nchi upon?
tz shamba la bibi wakati wao acha wapige dili
Mie Bashe namwelewa ni miongoni mwa viongozi bora kabisa,hakuna shida ya sukari imeshaisha hiyo
Hayo ni mahaba yako binafsi kwa bashe ila sisi tunafanya analysis ya hoja nna ufisad ulio jificha
Huu mpambano Kati ya MPINA vs BASHE, na KIPANYA vs MWIJAKU je? nani watashinda? comment yako pliiz😂
Mjomba nipo upande wa pili ila mbona nakuelewaga mkuu
Ww ni mchumia tumbo tuu
Fukuza
Mpina njoo uwe mbunge wa karatu tunakupa kura
Kama uzalishaji ilikuwepo? Uhaba wa sukari ukitoka wapi?
Haukujitoshereza ndiyo maana kutoka huku nyuma walikuwa wanaagiza ili kufidia
Nae huyu cijui anataka apewe nafasi ya kazi na mama samia, mama mpe kazi
Na nyie wenzetu wa upande wa pili ,hivi mmefungwa ufahamu kiasi gani!????
Ngoja nikutukane mknd**@ wako .dhn@**×&$#%
Wajinga ndo waliwao
@@ramdanmbara8500 Halafu Mungu akusikilize we we!
Hoja nyepesi sana mpina what is elfu kumi
Sina mashaka kama unajielewa
Kwako we hoja ni nyepesi lakini Wa Tz hawawezii kununua sukari kilo sh 10,000 ndugu. Tumwogope Mungu.
Duuuu
Mpina westing time no such move into ccm leadership on bashe lie into palament because this cal palament then acson tulia is the actor can acson tulia take action agest bashe it won't work such reaction mpina want to be taken by palament because palament control by politician ccm principal protocol limit capacity of mp voice that is the weekiness of or palament bashe will continue hold that position mpina you will get crush from Satain position to cloud your powerful voice we know ccm leadership for long time
Mmh! What rubbish spellings your comment are!!!!!
😂😂😂
Kuna kitu siyo kizuri ndani ya mioyo ya watu Ila Mungu huchunguza miyo ya watu na kumlipa kila MTU sawasawa na moyo wake.Nafikiri huyu ana kingine siyo hill tu! Bashe Usiogope Mungu atakutetea!
MUNGU anatetea pale tu unapostahili kutetewa, badala yake SHETANI atafanya kazi yake
Hakuna Mungu atatetea dhuruma kwa watanzania elfu sitini na kumutetea mtu mmoja kuwalisha sumu watanzania kwa ubinafsi wake. Bashe hana la kusema. Ushahidi wa Mpina ni mzito.
Tuambie wewe hicho kingine unachokifikiri, sisi tunapima hoja sio mahaba uliio nayo kwa wazir husika
@sindabahabwoyaanacret660 hakika!
@@sindabahabwoyaanacret660
Sikiliza Mimi Nina Mungu hapa nilipo nauona wazi moyo was Mpina. Halafu sina uadui naye.Anajieleza safi lakini ana hila siyo nzuri kwa Bashe!
Acha kuwaponda wenzio ata wewe ulikushinda uwaziri
Na wewe mpe uongo aliousema period!
Una uhakika kama alishindwa,,, Mpina ni moja ya watu timamu sana,,, mfumo wa utawala hawajamua kumtumia ila siyo alishindwa..
Shukuru hata kuyajua hayo bira mpina ungeyajulia wapu
Kushindwa kwake hakukatazi kusema ukweli ulivyo.
Tusizoee kubulizwa.
Always truth will set us free.
Wacheni kutetea ujinga wakati taifa linateketea
Kwahiyo unamshitaki Bashe kwa nani? Inamaana umeona Mh. Spika aliekutaka ulete ushahidi hana uwezo wa kushughulikia hili? Unastahili adhabu kubwa ya Kichama kuliko ile inayomstahili Bashe iwapo itathibitika kuwa ni kweli amelidanganya bunge.
Du!!!!!!
Wewe mpina koma
Koma wewe mwizi mwenzao
Mpina Mungi akulinde na akutunze
Koma wewe mwizi mwenzao
Mpina Mungi akulinde na akutunze
Watanganyika mumezubaa endeleen😅 kupigwa
@@EmmaculateGembe halindwi lolote Mungu no mwenye haki anachunguza moyo, na nia ya moyo.
Mimi mpaka Leo sijajua why Magari yaliruhusiwa kusafiri usiku,Ili Hali wananchi hatukuwahi kuomba,mara vuuu bunge likasema Magari kusafiri usiku😂
Hata awe malaika akiwa CCM anakuwa shetani, shida ni mfumo, huyo bashe kipindi cha Magu alionekana ni Lulu ya taifa lkn leo tumejuwa uozo😂alio nao, yaan maccm hovyo kabisa.
Mna uhakika gani anayoongea Mpina yana ukweli?Tusiwe wepesi wa kumuhukumu waziri
Big brain
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Huyu Bashe angekuwa USA au 🇷🇺 Russia nchi ambazo zimeeendelea ni kifungo cha maisha na Criminal record. Tuone serikali ya Tanzania 🇹🇿 itafanya nini!!!
Bashe komaa, ajira yako haipo Kwa mpina