Mambo yanayofichwa kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar- Lissu ahoji wako wapi Hanga na wenziwe?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 янв 2022
  • Tundu Lissu pamoja na Mohamed Said na wachangaji wengine wakijadili Mapinduzi ya Zanzibar na jinsi mambo yanavyofichwa. Bado watu wengi hai=waifahamu historia ya mapinduzi, wengi wanaamani aliyepinduliwa ni mwarabu kumbe kuna mengi nyuma yake.

Комментарии • 187

  • @imsimk.khamis574
    @imsimk.khamis574 2 года назад +17

    Ahsante mh Tundu Lissu. Umeendelea kutowa elimu kubwa. I wish Watanganyika akina pole pole na baadhi ya wana chadema WATAJUWA nini maana ya muungano, mapinduzi na maslahi ya Zanzibar na kwanini wazanzibari wanadai mamlaka kamili. I m dare to say Watanganyika they dont like to understand our cry. Thus why many Zanzibar hate Tanganyikans government na Muungano

    • @ahmuhally4430
      @ahmuhally4430 2 года назад

      Watanganyika wote wanaujua ukweli ila wanauficha kwasababu ya Maslahi yao ya dhulma

    • @rockcitynative9985
      @rockcitynative9985 2 года назад +1

      Brother mnatukosea sana watanganyika. Hakuna mchadema anataka muungano na CHADEMA walishaga singiziwa na Lipumba eti hawataki muungano kwavile hawawapendi waislam Zanzibar.
      Kikundi kinacholilia Muungano ni CCM tu.
      CHADEMA hatutaki muungano huu tunataka Zenj huru alafu tukubaliane namna ya kuishi kama ndugu.

    • @raymondjohn3798
      @raymondjohn3798 6 месяцев назад

      Kuchukia watanganyika Kwa sababu hiyo,sio wao Ila wahusika wapo,lakini sio watanganyika wote.

    • @LusajoMwaipopo-bx1vp
      @LusajoMwaipopo-bx1vp Месяц назад

      ​@@rockcitynative9985😅

  • @ahmedmwinyi6935
    @ahmedmwinyi6935 4 месяца назад +2

    Nafatilia sana siasa za Zanzibari kwani kwetu. Fuko lamgu mimi ni Mpemba, Jambo la kusikitisha ni walio jitolea kujenga nchi anakuwa adui mkubwa kwa njia hio utulivu hautapatikana.
    M.A . Shungi

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 2 года назад +4

    Tundu lisu ahsante sana nimekusikiliza kwa makini nimejuwa nini maana ya Mapinduzi

  • @moxasaidi3398
    @moxasaidi3398 5 месяцев назад +2

    Laana ya Mungu izide kumuangamiza nyerere na wauwaji wote walio dhulumu wananchi wa zanzibar

  • @ibrahimallymohd3645
    @ibrahimallymohd3645 2 года назад +5

    Lisu asante kwa kusema ukweli na tunakuombea mungu akuweke uje ubainishe baina ya Zanzibar na Tanganyika na sasa Zanzibar tunafahamu sote lakini tuna ogopa kwa sababu mapinduzi yanaendelea kufanyika kila uchaguzi

  • @MohamedAbdallahSaid
    @MohamedAbdallahSaid Месяц назад +2

    Kweli Watanganyika ndio waliokwenda kupindua Serikali ya Zanzibar na Nyerere ndio aliyekuwa Kiongozi wao.Hiyo hutataja kuogopa kukosa kura.
    Leo Mzanzibar ndio Kiongozi wa Tanzania. Ndio malipo hayo.

  • @allyabdallah1776
    @allyabdallah1776 2 года назад +6

    safi sana LISSU

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Месяц назад +3

    Huyu anafaa kuiongoza nchi

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Месяц назад +2

    Watu wenye akili wote zanzibar wanampenda lisu kwa sababu anajuwa historia kuliko wazanzibari wenyewe.. na nimkweli kupita kiwango cha ukweli. Anaye mchukia lissu ujuwe ni shetani poleni wanzanzibari. Andikeni historia.

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n Месяц назад +2

    Tupe Helimu Tundu Lissu Wewe Ndio Tegemeo Letu CCM HAWANA Ubavu Wakutumbia Ukwer Funguka Baba Lissu

  • @masterr2389
    @masterr2389 Год назад +5

    Mapinduzi yalikuwa machafu na yamefanya ubaguzi ila hayo yamekwisha tunashkur allah

  • @brother_majesty
    @brother_majesty 2 года назад +4

    SIRI NI NYINGI SANA HUMU...NA NDO MAANA CCM HAITOKAA IKUBALI KUTOKA

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n Месяц назад +2

    MM CCM IKIANGUKA NAENDA MAHAKANI KUWASHITAKI CCM KWA KUNIFUNDISHA ISTORY YA UONGO WALITUFUNDISHA KARUME ALIWAFUKUZA WARABU KWA MAWE KUMBE WAONGO. NDIO MAANA HADI LEO CCM WAONGO SANA NDIO MAANA WANAOGOPA KATIBA NA TUME HURU WANAJUA WATAISHIA JELA KWA UONGO WAO WA MDAMLEFU

  • @salyali7807
    @salyali7807 2 года назад +10

    Lissu is my favorite 👍

  • @luganopondo6196
    @luganopondo6196 2 года назад +7

    Huyu jamaa ni kichwa

  • @rajabhussein7794
    @rajabhussein7794 2 года назад +4

    Lisu tuletee na historia ya uhuru wa Tanganyika maana tunadanganywa sana

  • @jaanjaan111
    @jaanjaan111 2 года назад +4

    Allah ametulipia kwa mazalimu hawa na wao.wote walizulumiana.roho zao

  • @user-em3ye6el6z
    @user-em3ye6el6z Месяц назад +3

    Sio kutoka bara , sema kutoka Tanganyika kwanini hamsemi Tanganyika ??? Sema Tanganyika bwana.

    • @1961nungwi
      @1961nungwi Месяц назад

      Bars na Tanganyika ndio hiyo hiyo. Simple really!

  • @andersonshimbi1378
    @andersonshimbi1378 Месяц назад +2

    Watu wameuawa kabisa

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp 3 месяца назад +2

    Na tunaendelea kuandika kuhusu ukweli waache wapumbazike akili zao zimeshikiliwa, ila kizazi kinachokuja kitajuwa nini wafanye

  • @parma786
    @parma786 Год назад +1

    Sheikh mohd bin said ahsante kwa historia ulosema Allah akulinde kila uendapo na usemalo na akupe afya nzuri na maisha marefu inshallah slm alkm.

  • @bururemnanka73
    @bururemnanka73 8 месяцев назад +2

    Ni kweli kiongozi wa Taifa la Tanzania 🇹🇿 uliye baki

  • @user-gx3jp6uk2f
    @user-gx3jp6uk2f Месяц назад +2

    Lissu gombea Urais kura zote tutakupa

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 3 месяца назад +1

    Ni kweli kabisa maneno yake huo jamaa anajua mkasa NA wengine wanajifanya hawaelewi NA huko kiama itawenekana tu

  • @1961nungwi
    @1961nungwi 2 месяца назад +1

    Lissu ana ufahamu mkubwa sana wa Historia ya Nchi hii

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 2 года назад +3

    Hawa kila siku wanajisifu mapinduzi wee tumepindua weee kumbe ndio ukweli wenyewe huo mapinduzi yenyewe yalifanywa kwa ajili yao (yalifadhiliwa) ndio mana wakawa wanalipa fadhila mpaka hivi leo kupitia muungano.

  • @nassirmohd6850
    @nassirmohd6850 2 года назад +6

    Hakuna mapinduzi ni mauwaji wa wazee wetu tu kwa chuki zisizo na msingi.

  • @nassirmohd6850
    @nassirmohd6850 2 года назад +6

    Mtatuelewa tu ndugu zetu wa Tanganyika kwanini sisi wazanzibar hatuutaki muungano.

  • @saidabdala4980
    @saidabdala4980 2 года назад +2

    ZANZIBAR ingekuwa tajiri la AFRIKA. NA INGEKUWA KITUWO KIKUBWA KWA BARA LA AFRIKA. KUENEZA UISLAM. .NA TUKIWA HURU. TUTWAMBIYA WAZUNGU WOTE WALOKUJA KUISOMA HISTORIYA YA ZANZIBAR. KUWA MLIKUWA MNADANGANYWA. TUTASEMA UKWELI.

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529
    @alhamdulillahalhamdulillah7529 2 года назад +2

    Sisi Wazanzibari tunajua yote haya vichwa vyetu vimebobea siasa tokea kwenye matumbo ya mama zetu dhulma zote zilopita Zanzibar tunaelezwa isipokua wewe mheshimiwa Tundu Lisu utatusaidia kuwaelimisha baadhi ya watanganyika wasijua ukweli kuhusu Zanzibar

  • @ibrahimallymohd3645
    @ibrahimallymohd3645 2 года назад +1

    Salaam ulingoni,sahihi uko sawa lisu Zanzibar mapinduz yanalindwa na watanganyika sio sisi wazanibara na ndio maana hatutaki CCM na tunaa amini ni Tanganyika

  • @ahmedmwinyi6935
    @ahmedmwinyi6935 4 месяца назад +1

    Ndugu Lissu,
    Ulio yasema ukweli wazi, Malengo ya mapinduzi sio ilivyoni sasa bali ni ubinafsi wa watu waingie mamlakani tu.

  • @saidabdala4980
    @saidabdala4980 2 года назад +6

    Wote walofanya MAPINDUZI filnarijahanam.

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 Год назад +1

      Amin ya rab

    • @yahyadenny4368
      @yahyadenny4368 Месяц назад +1

      Allaah awalaani wote waliohusika na mapinduzi zanzibar na makaburi yao yawake moto na mchana wa qiyama waingizwe jahannam,lisu tueleze chama gani kilishinda 1963 dec.vikiwepo asp zppp na hizbu ikawa ndo sababu ya mapinduzi zanzibar.

  • @yohanapetro4937
    @yohanapetro4937 2 года назад +3

    Sijawahi Kuchoka Kukusikiliza

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 Год назад +2

    Mapinduzi matakatifu ni kama vile wameua wayahudi
    Eti matakatifu

  • @AbdulNassir-jk1jf
    @AbdulNassir-jk1jf 3 месяца назад +1

    Ndomana znzibar tunaliya shida kwahii kabari tulo tiwa 😮

  • @abubakarahmed3010
    @abubakarahmed3010 Год назад +2

    Mimi nasema hayakuwa nimapinduzi
    Bali ilikuwa niuvamizi
    Kutoka tanganyika

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz 2 месяца назад +3

    Inauma sana

    • @eddynaeem6708
      @eddynaeem6708 19 дней назад

      wazanzibar sikilizeni karume alikuwa mshenzi kwanza kawauwa wazanzibari alokuwa akishirikiana nao baada ya kupata maelekezo kutoka kwa nyerere

  • @1978O3
    @1978O3 2 года назад +1

    John Okello naye amesahauliwa kabisa

  • @khamissaleh921
    @khamissaleh921 2 года назад +3

    Naomba muniulize kuhusu mapinduzi ya znz maana nimeyaina live toka risasi ya mwanzo kufyetuliwa na pia ku esacpa mauji hapo yalipo anzia bomani polise station

    • @abdulkibamba679
      @abdulkibamba679 Год назад

      Habari

    • @user-pr7wj1nm1g
      @user-pr7wj1nm1g Месяц назад

      Kwa ww ulieona mapinduz je miaka ya Sasa hivi je Bado Kuna sababu kuendelea Kiya enzi

  • @bonnyngowo7567
    @bonnyngowo7567 2 года назад +3

    Ndio maana Professor Babu alikimbilia Uingereza.Bintiye Abdalla Hanga anayejulikana kama Yelena Khanga ni raia wa Urusi(alikuwa T V anchor)😘😘😘😘😘😘😘😘Unadhani hawa wahanga watayaita Mapinduzi matukufu?

    • @mangofish9079
      @mangofish9079 2 года назад

      Huyo babu bora nayeye yangemkuta mana alikua mtu mmoja nae sswa mtu mwenye umahiri na ushawishi lkn alikua mnafiki tu mkubwa.

  • @user-rz4vx4op3b
    @user-rz4vx4op3b 5 месяцев назад +1

    Mh wape somo hao viongozi wachumia tumbo wanaosherehekea mauwaji ya ndugu zetu waliouwawa kikatili

  • @dillonfoya
    @dillonfoya Месяц назад

    Pamoja na kufundisha sana kuna siri juu ya jina la chama inajulikana walifanya Mapinduzi ni zanzibar na haijawahi kutokea Tanganyika kwanini chama chetu kiitwe chama cha mapinduzi wakati huku hatujawahi kufanya Mapindizi

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 Год назад +1

    Huo ni ukweli zanzibari ilivamiwa wala sio mapinduzi NA kutekwa nchi ya watu milele

  • @imsimk.khamis574
    @imsimk.khamis574 2 года назад +6

    Suali langu kwa Mh. LISSU. Ni lini Jeshi la Tanganyika litaacha kuwavamia Wazanzibari na kuwaua.?
    Lini Wazanzibari watakuwa huru kuchagua viongozi wanao wataka bila ya kuvamiwa na Jeshi na Polisi kutoka Bara?

    • @kassim1262
      @kassim1262 2 месяца назад +1

      Ss hilo suali c uwaulize ccm wanaosema mapinduzi daima na ccm haijawahi kushindwa lini uliskia tundu lissu anamiliki jeshi napolisi lini uliskia tundu lissu anaongoza serikali

    • @cyprianboniphace-oz5lw
      @cyprianboniphace-oz5lw Месяц назад

      Jibu la hapo sio lazima ajibu Lisu,ni pale mtakapoungana wazanzibar wote kudai Zanzibar yenu.

  • @yahyadenny4368
    @yahyadenny4368 Месяц назад +3

    Lisu funguka vizuri kuhusu mwl nyerere kumleta john okelo toka uganda kuua watu zanzibar majumbani na misikitini ,leo watu wanashangilia mauaji ya raia wasio na hatia.

  • @gojvon116
    @gojvon116 2 года назад +6

    Ya laiti ingelikuwa Lisu ni muislamu basi bilashaka huyu angali kwenda peponi tu ya lait Allah akamuhidi na akamuosha haki na akaukubali uislam kwani huyu ni mtu anaekwenda katika njia ya haki na ukweli

    • @SalumKanju-ik1bk
      @SalumKanju-ik1bk 11 месяцев назад +1

      Allah mjaalie lisu awe mwislam ili twende nae peponi.....Amen

  • @MohamedAhmed-ix3mf
    @MohamedAhmed-ix3mf 2 года назад +3

    Moja katika zulma kubwa iliyofanywa znz ni force marriege ni haram katika uislam

    • @moxasaidi3398
      @moxasaidi3398 5 месяцев назад

      Mauwaji jee

    • @yahyadenny4368
      @yahyadenny4368 Месяц назад +1

      Baada ya kifo cha bwana mkubwa mmoja huko zanzibar liliwaka moto miezi 2 mfululizo

  • @MajiiIfande
    @MajiiIfande Месяц назад

    Mimi nashauri Tundu Lissu angeandika kitabu kuzungumzia mambo haya kwa wazi ili vizazi vingi vinufaike.

  • @user-fl7jl7vk3n
    @user-fl7jl7vk3n Месяц назад

    Baba toboa watanzania wanakutegemea sana

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 2 года назад +3

    Kazi inahitajika kuelimisha watu ukweli

    • @imsimk.khamis574
      @imsimk.khamis574 2 года назад

      Watu wakuel7m7shwa ni hao Watanganyika na jeshi lao la polisi

  • @badruabdalla5301
    @badruabdalla5301 Год назад +1

    Tome is starting telling now

  • @princemgambwa9143
    @princemgambwa9143 2 года назад +2

    Lisu wape elimu

  • @user-ne4zg3vo8i
    @user-ne4zg3vo8i 9 месяцев назад +1

    Jamaniia hamoni hii inarudisha yale machungu ya yaliyo pita

  • @eliudikilongoeliudikilongo6011
    @eliudikilongoeliudikilongo6011 2 года назад

    Pop

  • @josephbundala1475
    @josephbundala1475 Месяц назад +1

    Kama wazanzibari wanafikiri Mapinduzi hayana maana basi wajaribu ubaguzi. Watakuwa kama Libya. Wawe waangalifu
    Lisu anataka madaraka kwa gharama yoyote. Zanzibaris should careful!!!

    • @deven.oauditx7547
      @deven.oauditx7547 Месяц назад +1

      Kwa nini watanganyika ndio mna wasiqasi sana na ubaguzi utakaotokea Zanzibar muungano ukivunjika? Una maana nyie mnaipenda Zanzibar zaidi ya wenye nchi yao wenyewe?

  • @thanisaid5096
    @thanisaid5096 2 года назад +1

    UJASIRI MKUBWA!!!!!

  • @hebronmalatila6186
    @hebronmalatila6186 2 года назад +3

    Una akili Tundu! Mapinduzi hayo ni Wazanzibara (Citizens), chini ya ASP vz Wazanzibari ( Natives) chini ya HZIB.

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 Год назад

      Zanzibari lmemezwa kutoka zamani zanzibari ni dola peke yake ina kiti katika umoja wa mataifa NA elikua NA pasport NA mabalozi duniani NA klikua NA bendera sasa imetekwa NA mjeshi ya tanganika

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 2 года назад +1

    Wewe lisu kwann hurudi nyumban na ela usalipwa kkk

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 2 года назад +1

    Dahaaaa lissu bhana unajua mambo aisee

    • @mangofish9079
      @mangofish9079 2 года назад

      Huyu jamaa mpaka akataka kuuwawa ujue hichi kichwa sio mchezo

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz 2 месяца назад

    Captain harusi

  • @yonazimpombe1160
    @yonazimpombe1160 Год назад +1

    NA OKELLO JE

  • @yahyadenny4368
    @yahyadenny4368 Месяц назад +1

    Sasa kwa nini viongozi wanadanganya eti mapinduzi yalikuwa dhidi ya waarabu? Propaganda gani hizi za kishenzi na za udanganyifu kwa watanzania, ni aibu kubwa sana kuendelea kuwadanganya raia wa nchi hii.

  • @kmarashy9042
    @kmarashy9042 2 года назад +4

    Kinachosikitisha Sana kwamba waliouwawa sio jeshi, polisi au mwanasiasa. asilimia 99% waliouwawa ni raia wa kawaida tuu wakiwemo wanawake, watoto, pamoja na wazee. Hayo mapinduzi tukufu ya kuwaua raia? Inasemekana waliouwawa inafikia takriba 15,000.

  • @rajabhussein7794
    @rajabhussein7794 2 года назад +6

    Hapo nimeelewa kwamba kumbe hata karume mwenyewe hakuwa mzanzibari halisi Alikuwa mtanganyika

    • @BobNgagi2023
      @BobNgagi2023 2 года назад +2

      Tatizo ni Utanganyika au Uislam ? Uislam si lazima uwe Mwarabu au Mzanzibari, kwanini Mtanganyika akiwa Muislam Wazanzibari wa Kiarabu hawataki ?

    • @BobNgagi2023
      @BobNgagi2023 2 года назад +1

      Kwani Uislam ni mali ya Waarabu au Wazanzibati tu, mbn hata Quran tukufu haijasema hivyo, Muislam can be anybody provided he believes in Allah and Muhammad as His Prophet.

    • @isaacelijah6516
      @isaacelijah6516 2 года назад +2

      They said. He was from Malawi original.

    • @BobNgagi2023
      @BobNgagi2023 2 года назад +1

      @@isaacelijah6516 At least he is originally from Malawi and is an African, what about those originally from Oman and are not Africans ??!!

    • @jacksongabriel4693
      @jacksongabriel4693 Год назад +1

      Alikua mmalawi

  • @salyali7807
    @salyali7807 2 года назад +4

    Huyu Tundu mboga kiswahili chake ka cha kizanzibar... umeishi zanzibar? I really admire you Lissu

    • @saidabdala4980
      @saidabdala4980 2 года назад +1

      Vipi kijana ukweli UNAUMA.. sasa subiri mara hii. Unafikiri mara hii. Samiya atamruhusu JASUSI SIRO. LIJE ZANZIBAR. MWISHO WENU UMEFIKA

    • @hassanomar7195
      @hassanomar7195 2 года назад +2

      Muhimu sasa ni kujua Wazanzibari wangapi waliuwawa wakati wa mapinduzi ambayo yaliongozwa na mtu aliejuulikana kama Field Marshall John Okello ambae cku hizi hatajwi kabisa.Mimi amepotea kaka yangu tangu 12/01/64 jina lake ni Omar Ali Issa,ilivyo ameuawa lakini maiti yake hatukuiona hadi Leo, si hasha pengine aliliwa nyama yake na jamii ya Wamakonde ambao walikuwa mstari wa mbele katika mapinduzi hayo, mwengine nimjuaye ni mwanafunzi mwenzangu Salim Ali Amour, na yeye aliuawa siku hiyo hiyo na maiti yake haikuonekana hadi Leo. Sasa nadhani tuanze kuorodhesha majina ya wahanga ambao inasemekana walipindukia watu 10,000.

    • @fatmakhalef3450
      @fatmakhalef3450 2 года назад

      @@hassanomar7195 subhanallah

    • @BobNgagi2023
      @BobNgagi2023 2 года назад

      Tundu kweli mboga, analiwa Ubelgiji

  • @raymondjohn3798
    @raymondjohn3798 6 месяцев назад +3

    Mimi before nilidhani mapinduzi hayakufanyika Kwa kumwaga damu!!!! Kumbe damu nyingi ilimwagika😢!!!!!!,Basi nihatari Sana.

    • @WeyaniTvonline
      @WeyaniTvonline  6 месяцев назад +1

      Wengi bado hawajui hilo. Asante kwa kuwa nasi

    • @yahyadenny4368
      @yahyadenny4368 Месяц назад +1

      Kuna siri kubwa kati ya kanisa katoliki na mwl nyerere kwa upande mmoja na viongozi wa asp zanzibar wakati huo na ndiyo chanzo cha mapinduzi.

  • @bartholomewshirima712
    @bartholomewshirima712 2 года назад +4

    Said Abdalah ukiingiza udini hapa itakua shida kubwa.tuangalie tu pilitical history and the outcomes.

    • @georgesikazwe5914
      @georgesikazwe5914 2 года назад

      Mwambie hyo mjinga elimu yake ndogo sana kichwani

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 2 года назад

      Hapo sijaona udini uliotumika ila huyo Said kasema kuwa "waliofanya mapinduzi wataingia motoni"
      Kwani motoni watakaoingia ni wa dini fulani au wale wote ambao waliofanya dhulma,maasi na mambo mabaya yanayomchukiza Muumba wa ardhi na Mbingu.

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 3 месяца назад

      🎉Uslaam haina ubaguzi mtume mohamed alikuwa anawatembelea wayahudi nyumbani kwao NA kuwapa msaada ya kula uslaam dini ya uadilifu huruhusiwi kuwa hata akiwa sio muslaam

  • @saidabdala4980
    @saidabdala4980 2 года назад +7

    NYERERE katumiwa. Kapewa pesa awatumiye watu. Kapewa pesa na makatolik. Kuwauwa waislam.

    • @georgesikazwe5914
      @georgesikazwe5914 2 года назад

      Mjinga sana ww huna elimu ...katoliki wanakuhusu nini..c uende ukajiunge na wenzio somalia mana mmezoea ugaidi

    • @saidabdala4980
      @saidabdala4980 2 года назад +2

      @@georgesikazwe5914
      NYERERE babaako ndio kapewa pesa na makotolik. Aje kuwauwa waislam ZANZIBAR pamoja na akina LUKUVI. Si mnaona mlivokuwa majambazi .mtakoma mara hiii. Tushakujuweni NYINYI wachawi

    • @josephmatiko8760
      @josephmatiko8760 2 года назад

      Akiliyako,said,ipo mkunduni,wallah,T,N

    • @mzeesaleh3136
      @mzeesaleh3136 2 года назад

      @@josephmatiko8760 nendaaa ukoo mkatolikii mkubwa sisi waislam nyinyi wabara makafiri mumerubuni watu na ufrica kubwe lengo lenu kuondoa mila na desturi za znz ili tufanane na nyinyi sisi znz hatufanani na nyinyi cos znz watu wamechanganyaa na makabila mengi sasa mnatuonea chukii nyinyi wabaraa hamutuwez makafiri nyiee

    • @josephmatiko8760
      @josephmatiko8760 2 года назад

      @@mzeesaleh3136 tutawaletea nguruweee,Kama,ndio hivyoooo,ili tufanane mrisyaaaaaa

  • @FlodanBetore
    @FlodanBetore Месяц назад

    Huyu bwana anaogopa kusema ukweli,mwambie ampa mwingine,hakuckia Lissu?

  • @ZuenaSharifu
    @ZuenaSharifu 3 дня назад

    Lissu hujakosea

  • @machaggechacha243
    @machaggechacha243 Год назад

    So what.????

  • @abdulab6202
    @abdulab6202 2 года назад

    Rajab hussein karume si mtanganyika ni wazee wake ni watu wa malawi

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 8 месяцев назад

    @rajabhussein7794.Abeid Karume alizaliwa Nyasaland (Malawi) alikozaliwa baba yake na mama yake Abeid Karume alizaliwa Rwanda.

    • @deven.oauditx7547
      @deven.oauditx7547 Месяц назад

      Mbona unachanganya mambo! Mara Karume kazaliwa Malawi mara kazaliwa Rwanda.

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Месяц назад

      @@deven.oauditx7547 HAPANA MCHANGANYIKO. NIMESEMA KARUME ALIZALIWA NYASALAND (MALAWI) SAWA NA BABA YAKE, LAKINI MAMA YAKE ALIZALIWA RWANDA. SOMA VIZURI.
      The Biography of President Abeid Karume (1964-1972) is as controversial as his birth of origins or nationality. The name KARUME is derived from his Chichewa language in Nyasaland (Now Malawi), the prefix KA- has a connotation as in KA-BURU (Boar) or U-KA-BURU (Apartheid), which was practiced in South Africa under the Dutch Reformed Church. From the APARTHEID in South AFRICA there is Z-APARTHEID in Zanzibar after the Union with Tanganyika.
      In Chichewa language, the word RU-ME is the amplification for DU-ME (Male) in the Zanzibar Swahili. According to THE ECONOMICS (May 12,1964), his two sons Amani and Ali studied in Nyasaland and stayed with Hastings Kamuzu Banda (1898-1997), later the Malawian President. The two brothers went to Zanzibar with Issak Abraham Sepetu and joined the Catholic Missionary School called St. Joseph Convent School (Now Tumekuja Secondary School), used to keep Slaves in the Dungeon. May be it was called St. Joseph in memory of Joseph who was dumped into a pit (Dungeon) as a Slave as reported in the Bible. (Genesis 37:20).
      Abeid Karume claimed that he was born at Pongwe in Zanzibar but his cronies and pundits stated that he was born in Zanzibar at Mwera. According to the State-Controlled Newspaper propaganda KWEUPE (August 8, 1967), Chipukizi (Young Pioneers) walked twenty miles to support the Arusha Declaration until they reached Mwera, the birth place of Karume. Others believed that Karume was born in Congo (Now the Democratic Republic of Congo) but the majority in Zanzibar contend that Karume was born in Nyasaland as reported in THE ECONOMICS (May 2, 1964).

  • @josephbundala1475
    @josephbundala1475 Месяц назад

    Weusi wote walitambuliwa kama watumwa kabla ya mapinduzi. Leo unasimama na kusema mapinduzi hayafai hali weye ni mweusi. Kumbe kheri utumwa kuliko uhuru? Poleni sana. Fuateni ya Lisu ili mjute mkiwa mmechelewa.

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 2 года назад

    Mohamed said maelezo yake siku zote ni ya kusikia au kuambiwa na siku zote huwezi kupata source ya maelezo yake

    • @mangofish9079
      @mangofish9079 2 года назад

      Kasome kwanza wewe huna credentials ya kuhoji umahiri wa kazi za mohamed said toa nakala umpinge kwa hoja basi tuone. Sema tu ukweli kuwa hupendi maandiko yanayoandikwa na mohamed said.

  • @azizamri1522
    @azizamri1522 4 месяца назад

    Nani kapanshishwa mahakamani kwa mauwaji ya hao kina Hanga na wenziwe? Weka pembeni hao Waarabu!

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 25 дней назад

    Kwahiyo wewe hapo ulitaka waarabuwangeendereakutawala nduguzetu hadilini au kwakuwa nyie munatakakuitenganisha nchihii kwamatakwa yenu maananyiezanzibar hamukubariki n ndiyo maana munakazanakuvunjamuungano .

  • @jackson2120
    @jackson2120 2 года назад +1

    zanziba ikijitenga na kilimanjaro tunaomba nchi yetu kila mtu alale kivya ke

  • @hassanamour7894
    @hassanamour7894 6 месяцев назад

    Apambane na HALI yake yeye yanamuhusu Nini.

    • @1961nungwi
      @1961nungwi 2 месяца назад +1

      Yeye ni Mtanzania ndio maana yanamhusu. Lakini ni msomi, kazi ya wasomi ni kuchambua mambo. Na kwasababu usomi upo ndani Yao, lazima waongee yatoke. Kama wewe si msomi, huna ujualo, hakika hutakuwa na la kusema, kwasababu huna uwezo wa kusema. Ulichobaki nacho ni mambo mawili: Moja, kutoelewa kinacho ongelewa, pili kuwasema wasomi wa Dunia wanaoyasema kuwa hayawahusu!

  • @jumannejuma7432
    @jumannejuma7432 Год назад +1

    Unaongea usichokijua

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 Год назад

      Ni mkweli

    • @kassim1262
      @kassim1262 2 месяца назад

      Ndio nyinyi mnaoona kawida sana kumwagika damu zawatu ili chama kibaki madarakani lkn ndio kashasema ukweli mbona ww hutwambii huo ukweli

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp 3 месяца назад

    Watu wanasherehekea siku ya uhuru, eti zanzibar wanasherhekea mapinduzi, ujinga mtupu, hayakuwa mapinduzi yalikuwa mauwaji tu,ila hivi sasa tunajuwa kila kitu

  • @AmisseSulemane-sb4re
    @AmisseSulemane-sb4re 8 месяцев назад

    Tundu lisu kweli unayajua mapinduzi hakupinduliwa muarabu ndio maana wazanzibar hawapewi haki wametawaliwa

    • @kandorohussein6890
      @kandorohussein6890 Месяц назад +1

      At least Lissu umejitahidi kuelezea Historia yenye ukweli maana kuna upotoshaji mkubwa wa Historia nyingi Duniani kwa manufaa ya walio na mamlaka kwa wakati huo

  • @abdulab6202
    @abdulab6202 2 года назад

    Said unajuwaje walofanya mapinduzi filnar jahanam wewe ndo Mungu usijaji kitu usicho kijuwa

    • @mzeesaleh3136
      @mzeesaleh3136 2 года назад +1

      Acha ujinga Abdul watu wameuwa watu wamedhulumu wamenajis watu halafu wakapate pepo nyaaaaau saana pepo kwani ya mkweo @Abdul Ab acha ujingaaaaaaa uooo karume kwaooo 🇲🇼malawi

  • @talibsaid8845
    @talibsaid8845 2 года назад +1

    Wacha uhanisi wako uwo kwani miaka yote iyo ulikuwa wapi mpaka utowe hii story leo

    • @hassanally4960
      @hassanally4960 2 года назад

      Acha ujinga uo ndo nyny vibaraka

    • @gangmore9091
      @gangmore9091 Год назад

      Kwaiyo wewe ndio kwanza ujuwe history hii mupo wengi hamutaki kumiza akili kujua mmbo mengi yalotokea hamujiulizi kwann yametokea mapinduzi kila kitu kipo wazi now ku such t Lisu ametoa history hi mara nyingi

    • @hajikhatibhaji9434
      @hajikhatibhaji9434 Год назад

      upo kigazani Kila mwaka hili lazima lizungumzwe

    • @gangmore9091
      @gangmore9091 Год назад +1

      @@hajikhatibhaji9434 huyo n wezake ndio mazezeta wa Ccm kufanya utafiti hawataki kujua ukweli bdo wapo n propaganda z Ccm wanazosoma school mana alichosema lisu yote yapo kwenye mitandao

  • @user-ut2yi4sm4v
    @user-ut2yi4sm4v 7 месяцев назад

    Lisu muongo hajui mapinduxi ya zanzibar

    • @deven.oauditx7547
      @deven.oauditx7547 Месяц назад

      Amedanganya nini weka na wewe ushahidi wako tuone.

  • @moxasaidi3398
    @moxasaidi3398 5 месяцев назад

    Wamewauwa waislamu wa zanzibar zaidi ya alfu 13 laki 9 ikisha wanasema mapinduzi matukufu?

    • @kassim1262
      @kassim1262 2 месяца назад

      😭😭😭😭😭😭

  • @BobNgagi2023
    @BobNgagi2023 2 года назад

    Acheni hayo mambo ya unafiki, Waarabu ndiyo wanaoongoza katika kuuwana Waislam wenyewe kwa wenyewe, Syria, Yemen etc, Waisrail wanawauwa Wapalestina kila kukicha huku Waislam wenzao Saudi Arabia, Misri , UAE wanashangilia, halafu mnajifanya eti mnasikitika kuwa wakati wa Mapinduzi Watanganyika walisababisha Waislam kuuwana wenyewe kwa wenyewe, acheni ubazazi huo bhana, Zanzibar hamrudi tena.

    • @mzeesaleh3136
      @mzeesaleh3136 2 года назад

      Huna unalojuwaa lolotee nyerer ndo master plan yote mkatolik haupend uislam na znz waislam kuwana akili ww

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 2 года назад +1

      Waarabu wanaongoza kuuana lkn jiulize??? Kabla ya vita walopelekewa na makafiri/ uvurugaji wa nchi zao walikua wakipigana???

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 Год назад

      Sasa wazanzibari hawataki mungano huo achana NA kuuliwa wa zanzibari wa zanzi bar wa nataka uhuru wao sijui unaitaja saudi arabia NA Yemen falastin inawahusu nini zanzibari

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Год назад

      Mussa,Watanganyika hawakusababisha bali walishiriki katika mauwaji na mpaka leo wanashiriki.Subiri uchaguzi mkuu uje ,utaona watakavo uwa kama walivouwa huko nyuma katika vipindi vya chaguzi kuu.

  • @hassanimkuya3789
    @hassanimkuya3789 2 года назад +1

    Kutokana na usiri uliotawala kwa wakati ule laajabu mzee karume hakushirikishwa katika mauaji Yale kajakujua wengi wao tayari wamesha uwawa
    Mauaji hayo yamefanwa vijana wa comred ambao ni washirika wkuu ASP
    Sasa ndio wenye majibi kamili
    Maana hata mwenye Mzee karume ameingia katika mkumbo wa huo huo wa mauaji yake baada wao kuaminiwa
    Kwani dhambi ya kuuwa imewareje wenye

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Год назад

      Hassan,Makomred waliuwa lakini mauwaji kwa kiasi kikubwa yalifanywa na wabara.Kwa namna watu walivokuwa wakiishi Zanzibar wakati ule,juu ya kuwa na ikhtilafu ya vyama vya siasa,wasingeuliwa watu kama ilivyotokea,imani ilikuwepo kwa kiasi kikubwa.

  • @jackson2120
    @jackson2120 2 года назад

    uyu mjinga anazani zanzibar ikijitenga atabaki na tanganyika ,,atabaki singida tu ,,, killimanjaro tunataka nchi yetu ... kwani tanganyika sinikule kusini magharibi

    • @hassanally4960
      @hassanally4960 2 года назад +1

      Ww ndo mjinga mtu anaelexa ukwel ww shida nnkwko

  • @tituskalokola-xr7kp
    @tituskalokola-xr7kp Год назад

    Ni vyema pia John Okello akapewa heshima anayostahili kwa kuongoza mapinduzi

  • @juliussilvestar8988
    @juliussilvestar8988 2 года назад

    Ndio maana Magufuli alipenda bora watu mfanye kazi kuliko kuongea huu ujinga.Lissu ana matatzo

    • @mangofish9079
      @mangofish9079 2 года назад +3

      Kwa sababu uwongo unaanza unajulikana hivi sasa mumetueka gizani kwa muda mrefu sana na bado mengi yatakuja juu kukufedhesheni kwa uovu wenu washenzi wa roho za viumbe wenzenu.

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Год назад +1

      Julias,labda ni ujinga kwako wewe lakini kwa wale wasiojua yaliyotokea nyuma(history) ni taaluma kubwa kwao

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 Год назад

    wewe hujui KISWAHILI unapoambiwa YAZUNGUMZWE YASIYOJULIKANA sio nyie wazungumzaji si watu wote wanaofahamu historia KICHWA CHA HABARI KINAZUNGUMZIA KUWAJUZA WANANCHI wewe hujui kiswahili Umeelewa vengine

  • @mkoyitz2448
    @mkoyitz2448 2 года назад +1

    Acheni ufuku fuku mnataka madaraka na kuwafarakanisha watu komeni na uchumbi wenu, mmezoea vya bure vya kupewa na wazungu njooni huku mkione cha mtema kuni wananchi wanawasubiri kwa hamu

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 2 года назад +1

      Mkoyi,wanaotafuta madaraka wanajulikana na ndio maana kila chaguzi hufanyika mbinu za kuhalalisha kile kisichokuwa halali.
      Hapa Lisu anaongea Historia na sio hoja ya kisiasa.
      Mwache aeleze anachokijua na kama kuna kasoro basi toka hadharani na umpinge anayosema

    • @hassanally4960
      @hassanally4960 2 года назад

      Acha upumbavu uo

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha3422 2 года назад

    Huyo msaliti ameishiwa kila point. Anahangaika kusemasema yaliyofanywa ambayo mengi ni uongo mtupu. Kibaraka wahedi.

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 2 года назад +1

      Machagge,kama uwongo basi wewe tupe ukweli kama unaujua

  • @hgi6648
    @hgi6648 2 года назад

    During Magafuli, I liked Tindu Liso.
    But now that we have Samia Suluhu, tell him to disappear

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Год назад

      Issue hapa sio magufuli wala samia bali mauwaji katika kipindi cha mapinduzi Zanzibar

    • @deven.oauditx7547
      @deven.oauditx7547 Месяц назад

      Wewe utakuwa ni bendera fuata upepo.

  • @hawrajehan2398
    @hawrajehan2398 Месяц назад +1

    Huy jamaa kapotea dira kisiasa,mapinduz ya Zanzibar wwe yanakuhusu nni?anza na huk bara Julius alivyowafanya wasomi waliotishia utawala wake

  • @mwanaashamussa81
    @mwanaashamussa81 2 года назад +2

    Uongo mtupu

    • @sulimanmasoud9337
      @sulimanmasoud9337 2 года назад

      Wawe bwege. Ukisoma hujui. unakisoma ukiambiwa husiki ultizama huoni

    • @kmarashy9042
      @kmarashy9042 2 года назад

      Kusema uwongo haitoshi bila na wewe uipinge hoja yake tuu kama unazo

    • @nassormohammed9742
      @nassormohammed9742 2 года назад +1

      Uongo ni huo unaoambiwa na ccm na ukaukubali, kama kawaida yenu

    • @user-fl7jl7vk3n
      @user-fl7jl7vk3n Месяц назад

      We bwege hujui kusoma wa kuandika kakojoe huko

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Месяц назад

    Huyu anafaa kuiongoza nchi