KIMENUKAAA: Lissu AMVUA Kinana NGUO hadharani, Lema naye AMJIBU!!!

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 25

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 4 месяца назад +2

    CCM wameifanya hii nchi ya kwao ndio maana haki za watu zinageuka hongo duuh

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 4 месяца назад +3

    Hivi hali yetu ngumu ya maisha,tunalala Giza,mitaji inakufa kisa umeme hakuna wala ufumbuzi,tozo,kodi zaidi ya moja kwenye kila bidhaa,na hata vyakula, sukari,mafuta,maji hakuna, matibabu bila bima hakuna, haya yoote sababu ni ruzuku ya Chadema wanayofanya nayo kampeni ndio jibu la yote! au wamesahau kuwa tunahitaji kusikia juhudi zao kutatua yanayotukabili wananchi?! Kama mtindo ni kulaumu ndani ya mikutano ya kampeni,nani atajibu malalamiko yetu wapiga kura wenu?!

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 4 месяца назад +2

    MH Lisu Mungu aliuonyesha ulimwengu kupitia wewe, Mambo aliyosema kinana kajivua nguo mchana kweupe, angefahamu asingeyasema walivyofanya uharamia uliofanywa na wao, walishupaza shingo zao Sasa Leo hiiiiiiii wanajitokeza kukiri walivyovunja Sheria zetu na kuisigina katiba, ilikuwa Siri yao CCM wamejitokeza hazarani kuwaeleza watanzania kuelewa kilichotokea kwenye uchaguzi, Mzee kinana hongera Kwa kusema uovu haramu

  • @user-jo9gp5tb9w
    @user-jo9gp5tb9w 4 месяца назад +1

    Yan ccm kuipa kura yangu dunia iwe imeisha tangu nikue wenyewe wanadili na madawati shule madaraja miaka yote walikua wap safari hii tutaona wamasai wanateswa hali ngumu ya kimaisha hakuna bunge kabisa halina ladha mbowe lema heche zito mnyika pr jey msigwa wanatoka bungen majembe kma haya we unategemea nn kuna bunge hp

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 4 месяца назад +1

    KUNA WATU WANACHUKUA PESA ZAWALIPA KODI...

  • @twahirshali8014
    @twahirshali8014 29 дней назад

    Hufai wewe ndio umshukuru. Mama Mucho chezi ww

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u 4 месяца назад +1

    Wanakataa kujenga utawala bola kwajasho watakujakujenga utawala bola kwadamu

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd 17 дней назад

    Ccm haina.hoja sawa na kipeleka nguruwe uarabuni ukidhani utauza haina sokon ndio maana hawatakagi uchaguzi kuwa wa haki wanajua watangukia pua tu

  • @mejamollel3828
    @mejamollel3828 4 месяца назад +1

    Hakika kubwa mwamba 💪💪💪💪💪👊👊👊👊

  • @user-uw8pg9ju5s
    @user-uw8pg9ju5s 4 месяца назад +1

    Pesa tamu bhn ruzuku ikataliwe tena mmhh

  • @user-bv5ym1ov7m
    @user-bv5ym1ov7m 4 месяца назад +1

    Haha ndyo majinga ya nchi hii

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 4 месяца назад +2

    Ruzuku imetokana na uchaguzi ,kwahiyo ulikuwa wa haki na kwann wabunge 19 watoke bungeni km nyie mmeshakubaliana na kuzila ruzuku??...😂😂😂 acheni kujitekenya wenyewe aibu kwenu pesa imewaponza 🤣🤣🤣 njaa mbaya na kesho mnaitwa ikuru mkale kuku huko waganga njaa nyie😂😂

    • @markoshem-ij6cf
      @markoshem-ij6cf 27 дней назад

      Maana ya ruzuku niasrimia za kura zirzo pigwa kwenye uchaguzi mukuu sio wabunge wewe mubwa 2 wewe

  • @user-zl3le1wz2u
    @user-zl3le1wz2u 4 месяца назад +1

    CHADEMA mliweka mtaji wa maneno hadi mlivyoumbuliwa mnakuja na msamiati kuwa nani/fulani atoboa siri nzito acheni ushenzi wenu kutuongoza kwa matukio.

  • @user-ij6eo6pq6z
    @user-ij6eo6pq6z 4 месяца назад +1

    Safi sana

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 3 месяца назад +2

    Viongozi wachadema niwahuni tu .siyo wakuwasikiliZa kabisa

  • @odiliacharles3512
    @odiliacharles3512 4 месяца назад +1

    Kw Kweli CCM HAWAJITAMBU I

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 4 месяца назад +1

    Mheshimiwa Mbowe wewe ni mwenyekiti wa kudumu wa chadema? Watu wengi wanasubiri ustafu uenyekiti wa chadema tuingie wewe ndoo unatuzuia

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k 4 месяца назад +1

    Nyie chadema achen chuki na kama mtu kakufanyia hidhan ata kama ilikuwa ni haki yako lakin usingepata bila ya huyo mtu mshukuru acha kashifa kumbe watu ndyo wanamfanya mtu mwema kuwa mbaya

  • @gwantwamwalyaje8515
    @gwantwamwalyaje8515 4 месяца назад

    Lisu Alikua Anazugumza akiwa Wapi? Anongea Vizuri Sana Hizi Ni Ponti Tupu