Hivi hali yetu ngumu ya maisha,tunalala Giza,mitaji inakufa kisa umeme hakuna wala ufumbuzi,tozo,kodi zaidi ya moja kwenye kila bidhaa,na hata vyakula, sukari,mafuta,maji hakuna, matibabu bila bima hakuna, haya yoote sababu ni ruzuku ya Chadema wanayofanya nayo kampeni ndio jibu la yote! au wamesahau kuwa tunahitaji kusikia juhudi zao kutatua yanayotukabili wananchi?! Kama mtindo ni kulaumu ndani ya mikutano ya kampeni,nani atajibu malalamiko yetu wapiga kura wenu?!
MH Lisu Mungu aliuonyesha ulimwengu kupitia wewe, Mambo aliyosema kinana kajivua nguo mchana kweupe, angefahamu asingeyasema walivyofanya uharamia uliofanywa na wao, walishupaza shingo zao Sasa Leo hiiiiiiii wanajitokeza kukiri walivyovunja Sheria zetu na kuisigina katiba, ilikuwa Siri yao CCM wamejitokeza hazarani kuwaeleza watanzania kuelewa kilichotokea kwenye uchaguzi, Mzee kinana hongera Kwa kusema uovu haramu
Yan ccm kuipa kura yangu dunia iwe imeisha tangu nikue wenyewe wanadili na madawati shule madaraja miaka yote walikua wap safari hii tutaona wamasai wanateswa hali ngumu ya kimaisha hakuna bunge kabisa halina ladha mbowe lema heche zito mnyika pr jey msigwa wanatoka bungen majembe kma haya we unategemea nn kuna bunge hp
Ruzuku imetokana na uchaguzi ,kwahiyo ulikuwa wa haki na kwann wabunge 19 watoke bungeni km nyie mmeshakubaliana na kuzila ruzuku??...😂😂😂 acheni kujitekenya wenyewe aibu kwenu pesa imewaponza 🤣🤣🤣 njaa mbaya na kesho mnaitwa ikuru mkale kuku huko waganga njaa nyie😂😂
Nyie chadema achen chuki na kama mtu kakufanyia hidhan ata kama ilikuwa ni haki yako lakin usingepata bila ya huyo mtu mshukuru acha kashifa kumbe watu ndyo wanamfanya mtu mwema kuwa mbaya
CCM wameifanya hii nchi ya kwao ndio maana haki za watu zinageuka hongo duuh
Hivi hali yetu ngumu ya maisha,tunalala Giza,mitaji inakufa kisa umeme hakuna wala ufumbuzi,tozo,kodi zaidi ya moja kwenye kila bidhaa,na hata vyakula, sukari,mafuta,maji hakuna, matibabu bila bima hakuna, haya yoote sababu ni ruzuku ya Chadema wanayofanya nayo kampeni ndio jibu la yote! au wamesahau kuwa tunahitaji kusikia juhudi zao kutatua yanayotukabili wananchi?! Kama mtindo ni kulaumu ndani ya mikutano ya kampeni,nani atajibu malalamiko yetu wapiga kura wenu?!
MH Lisu Mungu aliuonyesha ulimwengu kupitia wewe, Mambo aliyosema kinana kajivua nguo mchana kweupe, angefahamu asingeyasema walivyofanya uharamia uliofanywa na wao, walishupaza shingo zao Sasa Leo hiiiiiiii wanajitokeza kukiri walivyovunja Sheria zetu na kuisigina katiba, ilikuwa Siri yao CCM wamejitokeza hazarani kuwaeleza watanzania kuelewa kilichotokea kwenye uchaguzi, Mzee kinana hongera Kwa kusema uovu haramu
Yan ccm kuipa kura yangu dunia iwe imeisha tangu nikue wenyewe wanadili na madawati shule madaraja miaka yote walikua wap safari hii tutaona wamasai wanateswa hali ngumu ya kimaisha hakuna bunge kabisa halina ladha mbowe lema heche zito mnyika pr jey msigwa wanatoka bungen majembe kma haya we unategemea nn kuna bunge hp
KUNA WATU WANACHUKUA PESA ZAWALIPA KODI...
Hufai wewe ndio umshukuru. Mama Mucho chezi ww
Wanakataa kujenga utawala bola kwajasho watakujakujenga utawala bola kwadamu
Ccm haina.hoja sawa na kipeleka nguruwe uarabuni ukidhani utauza haina sokon ndio maana hawatakagi uchaguzi kuwa wa haki wanajua watangukia pua tu
Hakika kubwa mwamba 💪💪💪💪💪👊👊👊👊
Pesa tamu bhn ruzuku ikataliwe tena mmhh
Haha ndyo majinga ya nchi hii
Ruzuku imetokana na uchaguzi ,kwahiyo ulikuwa wa haki na kwann wabunge 19 watoke bungeni km nyie mmeshakubaliana na kuzila ruzuku??...😂😂😂 acheni kujitekenya wenyewe aibu kwenu pesa imewaponza 🤣🤣🤣 njaa mbaya na kesho mnaitwa ikuru mkale kuku huko waganga njaa nyie😂😂
Maana ya ruzuku niasrimia za kura zirzo pigwa kwenye uchaguzi mukuu sio wabunge wewe mubwa 2 wewe
CHADEMA mliweka mtaji wa maneno hadi mlivyoumbuliwa mnakuja na msamiati kuwa nani/fulani atoboa siri nzito acheni ushenzi wenu kutuongoza kwa matukio.
Mubwa
Safi sana
Viongozi wachadema niwahuni tu .siyo wakuwasikiliZa kabisa
Kama ni wahuni kwanin ukoment
Niwahuni kweli kisha lisu Hana Ajenda.
Kw Kweli CCM HAWAJITAMBU I
Mheshimiwa Mbowe wewe ni mwenyekiti wa kudumu wa chadema? Watu wengi wanasubiri ustafu uenyekiti wa chadema tuingie wewe ndoo unatuzuia
Nyie chadema achen chuki na kama mtu kakufanyia hidhan ata kama ilikuwa ni haki yako lakin usingepata bila ya huyo mtu mshukuru acha kashifa kumbe watu ndyo wanamfanya mtu mwema kuwa mbaya
Acha ulemavu wa akili luzuku ni haki ya chadema
Lisu Alikua Anazugumza akiwa Wapi? Anongea Vizuri Sana Hizi Ni Ponti Tupu