Jina la wadudu sio waendesha bike wala nini..simpingi kaka ila nawapa historia ya jina wadudu....Jina wadudu lipo tangu miaka shazi manyu limeanzia kwa wale machalii walikuwa wanapakiaga takataka kwenye gari wanapeleka jalala kuu kwa jina la wakati huo kwasasa wanapaita dar au dampo,sasa walikuwa wakipita sinoni miaka iyo hakuna ata lami kuna jalala wakiwa wanapakia taka tuna watania wadudu kutokana na wao kufanya kazi dampo na mataka taka ndo tukawa tunawaida wadudu wa dampo,vikaja vikaibuka vikundi vya wadudu vingi kuna wadudu wa unga na kuna wadudu wa unga wanasaga paka chuma ...ndo kwanzia apo miaka ya 2010 kuendelea sisi tunakua wadudu ikawa fem maana zamani mdu akikuita mdudu ni mnazichapa halikuwa jina zuri kabisa majamaa wenyewe tulikuwa tukiwatania wanakutukana mbaya ...hiyo ndo mwanzo wa jina wadudu kaka
Broh all the best wonderful ahead crank hip hop music there just take it to another level interm of promote tourist external,That's will nourish your music international
Wadudu wa dampo ,,,,,Ankle D,na rasta ,wanajiita wadudu toka nijuane nao kwenye harakati za sanaa 2014,wanajuklikana sana kama wa dudu wa dampo ,,,,,,ingekuwa dar ilo jina lingeleta maneno sana sema majamaa wametulia hawajesema jina lao limetumika
Me nawajua wadudu Toka 2007-8 wakiwa wanaitwa Wadudu wa Dampo tulikuwa tunavunja kwenye Free stage ya Via Via.....chuga Ina historia kubwa sana.....Hawa machalii wa juzi mengi hawayajui.
Maisha yasiyo rasmi daima haya mwisho mwema, haya maisha ya hawa wapuuzi waitwao wadudu sio maisha rasmi wala sahihi hayana baraka ya dunia wala kutoka kwa Mungu, wanapaswa kubadilika, vyenginevyo watajutia milele
leo fido umeongea kikukwa sana from dar sema nakukubali sana🎉🎉
Nimeipenda sana hii interview
Daah, huyu.mshikaji ana bonge la Confidence aisee, keep it up bro
Leo Fido katulia sana.
Jina la wadudu ni wanamziki wa maeneo ya engosengiu kwa malaizer ndo wadudu wa dampo
WADUDU WA DAMPO🔥🔥🔥
yap wadudu dampo ndo ooooog
Hakika
Ndio naanza kukumbuka.. Toka miaka ya 2000 uko
@@cantyurassa3089 really
❤fido upo vizuri sana Big gap
Jina la wadudu sio waendesha bike wala nini..simpingi kaka ila nawapa historia ya jina wadudu....Jina wadudu lipo tangu miaka shazi manyu limeanzia kwa wale machalii walikuwa wanapakiaga takataka kwenye gari wanapeleka jalala kuu kwa jina la wakati huo kwasasa wanapaita dar au dampo,sasa walikuwa wakipita sinoni miaka iyo hakuna ata lami kuna jalala wakiwa wanapakia taka tuna watania wadudu kutokana na wao kufanya kazi dampo na mataka taka ndo tukawa tunawaida wadudu wa dampo,vikaja vikaibuka vikundi vya wadudu vingi kuna wadudu wa unga na kuna wadudu wa unga wanasaga paka chuma ...ndo kwanzia apo miaka ya 2010 kuendelea sisi tunakua wadudu ikawa fem maana zamani mdu akikuita mdudu ni mnazichapa halikuwa jina zuri kabisa majamaa wenyewe tulikuwa tukiwatania wanakutukana mbaya ...hiyo ndo mwanzo wa jina wadudu kaka
Mwamba fido kwanza kulikuwa nawa dampo usiwasahaau
Wadudu tunasema Braaaap nakubali sana brodhee fido
Leo.umeongea point
Salute sanaa mwamba
Fido nakukubali San ❤
Jamaa anauwezo sana wa kujieleza
Twende yukaingalie chuga youtube❤❤❤
Dah fido ni mtoto wa chuga namjua tangu yuko mdogo
Big up sana👊👊👊👊👊
Rambo umeiheshimisha chuga
Broh all the best wonderful ahead crank hip hop music there just take it to another level interm of promote tourist external,That's will nourish your music international
Leo nimemuelewa fido sana jamaaa kuna busara anaanza Kuwa nazo tunakitu cha kujifunza kwake
anaheshim media
Wadudu og ,wapo dampo na wanatakiwa kupewa heshima yao,, ila wanao trend sio walio anzisha jina wadudu
Waoga mnajulikana katika hilo njoeni kiumeni huku🤣🤣
Nakubali
Anafact mno 🤝
Huyu kaka huwa Mhandsom shida Bangi yani akubali akatauye acha Bangi
amekaa kama mu mexico hatari au wale wa huni wa south amerika 😂😂😂😂
😊@@Aiisha901
Nmekukubali aisha😂😂@@Aiisha901
Mimi wa Kwanza Leo jamani
Hao wadudu wana faida gani kiuchumi
Unajikuta unapenda sana uchumi
Uchumi wa nyoko
Is necessary Kumeza mate na kufanya Mtaaah mdomoni? But nakubali
7:00 hizo style sio poa😂😂🔥
Mzee wa cordonyo, CO wa wadudu
Wadudu wa dampo ,,,,,Ankle D,na rasta ,wanajiita wadudu toka nijuane nao kwenye harakati za sanaa 2014,wanajuklikana sana kama wa dudu wa dampo ,,,,,,ingekuwa dar ilo jina lingeleta maneno sana sema majamaa wametulia hawajesema jina lao limetumika
Interview kali
Me nawajua wadudu Toka 2007-8 wakiwa wanaitwa Wadudu wa Dampo tulikuwa tunavunja kwenye Free stage ya Via Via.....chuga Ina historia kubwa sana.....Hawa machalii wa juzi mengi hawayajui.
ila Vato mbona ukifanya mahojiano na Kiswahili Tv unajiachia ila kwa Millard unaweka attention sana.?
Buda hujui ayo n brand kubwa mzee
Uyuu jamaa madin anayo
Uyu ndo king wa chuga
Voice of arusha
Huyu jamaa kuna media akifanya interview anakuwa smart sana.... Kuna interview alifanya Manara Tv 😂😂😂😂 sema yule prizenta wa Manara alistahili yale
😂😂😂😂😂😂
Stupid question goes with stupid answer.
Wailio anzisha neno wadudu niwale wale jamaa
Hawa madogo wa juzitu
😳😳
🤣🤣🤣 hapo kwa wanawake sasa🙌
Kweli nchi hii ina vilaza,ona kiandunje
Hahaha eti aliona demu wa ki Black. Yaan Mama ako unamuita Demu
😃😃..labda alijisahau, si unajua tena katumia lugha ya kihuni
fido leo kaongea saut ipo cool
Maisha yasiyo rasmi daima haya mwisho mwema, haya maisha ya hawa wapuuzi waitwao wadudu sio maisha rasmi wala sahihi hayana baraka ya dunia wala kutoka kwa Mungu, wanapaswa kubadilika, vyenginevyo watajutia milele
Acha watumike tu kwanza kuna laana kwenye majina ya hovyo hii ni nchi ya vimbwenga upepo ukishapita hutawasikia tena
Pelekeni ujinga uko, acheni kuchanganya mambo embu
Akili ndogo sana Aibu kwako😅
Watu kama nyie ndo hamfai kabisa mnajitia watakatufu kumbe wachafu
Mshamba uyo angalia maisha yako aloo
Fido leo nimemsikiliza kwa mara ya kwanza ila kila nikiona picha zake nilijua ni mmarekani
Leo ame tuliaa kawa mtu kweli 😂😂😂😂❤
Inaonekana somo la Makonda limeanza kufika
Kaka mkubwa kumbe Muhindi
😂😂😂😂😂
Muhindi mixer na mrangi😂😂😂
Mhindi pori huyo lkn yuko tofauti na wadosi wa kawaida
amewazidi wadosi😂
Meno machafuuuuuuuu kama anakula Udongo😁😁😁😁 au ndio U gangster😀
Hapana, wengi wana meno ya aina hiyo ni sbb ya maji aisee
Na baridi pia @@Worldunite
Fido anaangalia na media anayofanya nayo interview nd maana hapo katulia😂
Huyu jamaa yuko fit alafu anaonekana ameshapambana mno kimaisha
😂😂
Kumbe fido ni mrangi wa kondoa?
Kumbe unajifanya gangster na ni mdosi🤣
Gangster ni lifestyle ya mtu na mdosi ni kabila
Aweza kuwa mdosi lkn makuzi yake yakawa tofauti na yakawa ya ki-gangster
Wachaa kutetea,,, ukishakua na damu ya kidosi tu anakua muogaa muogaa au snitch
@@Az__2012 uyu anakataa usnitch sasa
Real gangster hatizami rangi wala kabila wala nchi acha kubagua magengster wote peponi
12345😂😂😂😂😂😂😂
Hogera mtoto wetu rangi yetu hiyo kondoa
3:33 3:36 3:37
Walemacha li unawajuwa vyema and kawadudu wa dampo