FIDO VATO AWATOFAUTISHA WADUDU WALIOITWA NA RC MAKONDA "SIO WADUDU WALE WANAOENDA KUZIKA WENZAO"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 май 2024

Комментарии • 99

  • @msafitv5461
    @msafitv5461 12 дней назад +12

    leo fido umeongea kikukwa sana from dar sema nakukubali sana🎉🎉

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 12 дней назад +11

    Nimeipenda sana hii interview

  • @Worldunite
    @Worldunite 12 дней назад +9

    Daah, huyu.mshikaji ana bonge la Confidence aisee, keep it up bro

  • @peterlyimo6696
    @peterlyimo6696 12 дней назад +6

    Leo Fido katulia sana.

  • @SamwelLaizer-mg5ww
    @SamwelLaizer-mg5ww 12 дней назад +14

    Jina la wadudu ni wanamziki wa maeneo ya engosengiu kwa malaizer ndo wadudu wa dampo

  • @johnmeshack4431
    @johnmeshack4431 12 дней назад +5

    ❤fido upo vizuri sana Big gap

  • @Samarahmotorcylesparepartshop
    @Samarahmotorcylesparepartshop 2 дня назад +2

    Jina la wadudu sio waendesha bike wala nini..simpingi kaka ila nawapa historia ya jina wadudu....Jina wadudu lipo tangu miaka shazi manyu limeanzia kwa wale machalii walikuwa wanapakiaga takataka kwenye gari wanapeleka jalala kuu kwa jina la wakati huo kwasasa wanapaita dar au dampo,sasa walikuwa wakipita sinoni miaka iyo hakuna ata lami kuna jalala wakiwa wanapakia taka tuna watania wadudu kutokana na wao kufanya kazi dampo na mataka taka ndo tukawa tunawaida wadudu wa dampo,vikaja vikaibuka vikundi vya wadudu vingi kuna wadudu wa unga na kuna wadudu wa unga wanasaga paka chuma ...ndo kwanzia apo miaka ya 2010 kuendelea sisi tunakua wadudu ikawa fem maana zamani mdu akikuita mdudu ni mnazichapa halikuwa jina zuri kabisa majamaa wenyewe tulikuwa tukiwatania wanakutukana mbaya ...hiyo ndo mwanzo wa jina wadudu kaka

  • @paulomollel7721
    @paulomollel7721 12 дней назад +9

    Mwamba fido kwanza kulikuwa nawa dampo usiwasahaau

  • @MAILAGUN
    @MAILAGUN 12 дней назад +2

    Wadudu tunasema Braaaap nakubali sana brodhee fido

  • @yusuphtwaha8386
    @yusuphtwaha8386 12 дней назад +4

    Leo.umeongea point

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka 12 дней назад +3

    Salute sanaa mwamba

  • @AdamMwava
    @AdamMwava 12 дней назад +3

    Fido nakukubali San ❤

  • @EvansGodfrey-tj5op
    @EvansGodfrey-tj5op 12 дней назад +4

    Jamaa anauwezo sana wa kujieleza

  • @gideonstanley2155
    @gideonstanley2155 12 дней назад +4

    Twende yukaingalie chuga youtube❤❤❤

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o 12 дней назад +3

    Dah fido ni mtoto wa chuga namjua tangu yuko mdogo

  • @deusmallya3384
    @deusmallya3384 10 дней назад

    Big up sana👊👊👊👊👊
    Rambo umeiheshimisha chuga

  • @user-sg6ez3cf1f
    @user-sg6ez3cf1f 12 дней назад +1

    Broh all the best wonderful ahead crank hip hop music there just take it to another level interm of promote tourist external,That's will nourish your music international

  • @SuperdollGuard
    @SuperdollGuard 12 дней назад +2

    Leo nimemuelewa fido sana jamaaa kuna busara anaanza Kuwa nazo tunakitu cha kujifunza kwake

  • @autoroyaledubai
    @autoroyaledubai 12 дней назад +3

    anaheshim media

  • @J96_PFT_ACADEMY.
    @J96_PFT_ACADEMY. 8 дней назад +1

    Wadudu og ,wapo dampo na wanatakiwa kupewa heshima yao,, ila wanao trend sio walio anzisha jina wadudu

  • @husseinrashid2833
    @husseinrashid2833 10 дней назад +1

    Waoga mnajulikana katika hilo njoeni kiumeni huku🤣🤣

  • @barakae.n6418
    @barakae.n6418 12 дней назад +1

    Nakubali

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 5 дней назад

    Anafact mno 🤝

  • @annamussa185
    @annamussa185 12 дней назад +4

    Huyu kaka huwa Mhandsom shida Bangi yani akubali akatauye acha Bangi

    • @Aiisha901
      @Aiisha901 12 дней назад +2

      amekaa kama mu mexico hatari au wale wa huni wa south amerika 😂😂😂😂

    • @mussaKimaro-cj6ge
      @mussaKimaro-cj6ge 12 дней назад

      😊​@@Aiisha901

    • @Trey2k365days
      @Trey2k365days 11 дней назад

      Nmekukubali aisha😂😂​@@Aiisha901

  • @GetrudeWilisoni
    @GetrudeWilisoni 12 дней назад +2

    Mimi wa Kwanza Leo jamani

  • @mrjohn4446
    @mrjohn4446 12 дней назад +5

    Hao wadudu wana faida gani kiuchumi

  • @mbembetyson05
    @mbembetyson05 11 дней назад

    Is necessary Kumeza mate na kufanya Mtaaah mdomoni? But nakubali

  • @user-wz5qr5cb2t
    @user-wz5qr5cb2t 5 дней назад

    7:00 hizo style sio poa😂😂🔥

  • @benjaminandrew5265
    @benjaminandrew5265 4 дня назад

    Mzee wa cordonyo, CO wa wadudu

  • @raskise7493
    @raskise7493 11 дней назад +1

    Wadudu wa dampo ,,,,,Ankle D,na rasta ,wanajiita wadudu toka nijuane nao kwenye harakati za sanaa 2014,wanajuklikana sana kama wa dudu wa dampo ,,,,,,ingekuwa dar ilo jina lingeleta maneno sana sema majamaa wametulia hawajesema jina lao limetumika

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 12 дней назад +1

    Interview kali

  • @emmahaugusty2383
    @emmahaugusty2383 7 дней назад

    Me nawajua wadudu Toka 2007-8 wakiwa wanaitwa Wadudu wa Dampo tulikuwa tunavunja kwenye Free stage ya Via Via.....chuga Ina historia kubwa sana.....Hawa machalii wa juzi mengi hawayajui.

  • @mulastar
    @mulastar 12 дней назад +3

    ila Vato mbona ukifanya mahojiano na Kiswahili Tv unajiachia ila kwa Millard unaweka attention sana.?

  • @user-zo1ym2te7r
    @user-zo1ym2te7r 5 дней назад

    Uyu ndo king wa chuga

  • @SamwelLaizer-mg5ww
    @SamwelLaizer-mg5ww 10 дней назад

    Voice of arusha

  • @GREATESTHITSREPLAY
    @GREATESTHITSREPLAY 12 дней назад +2

    Huyu jamaa kuna media akifanya interview anakuwa smart sana.... Kuna interview alifanya Manara Tv 😂😂😂😂 sema yule prizenta wa Manara alistahili yale

  • @paulomollel7721
    @paulomollel7721 12 дней назад +1

    Wailio anzisha neno wadudu niwale wale jamaa

  • @paulomollel7721
    @paulomollel7721 12 дней назад +1

    Hawa madogo wa juzitu

  • @MabatiQualityHQ
    @MabatiQualityHQ 12 дней назад +1

    😳😳

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 7 дней назад

    🤣🤣🤣 hapo kwa wanawake sasa🙌

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 10 дней назад

    Kweli nchi hii ina vilaza,ona kiandunje

  • @user-jj9mn2on9s
    @user-jj9mn2on9s 12 дней назад +1

    Hahaha eti aliona demu wa ki Black. Yaan Mama ako unamuita Demu

    • @Worldunite
      @Worldunite 11 дней назад

      😃😃..labda alijisahau, si unajua tena katumia lugha ya kihuni

  • @nicksonnewton1540
    @nicksonnewton1540 12 дней назад +3

    fido leo kaongea saut ipo cool

  • @pwanihabari
    @pwanihabari 12 дней назад +19

    Maisha yasiyo rasmi daima haya mwisho mwema, haya maisha ya hawa wapuuzi waitwao wadudu sio maisha rasmi wala sahihi hayana baraka ya dunia wala kutoka kwa Mungu, wanapaswa kubadilika, vyenginevyo watajutia milele

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 12 дней назад +3

      Acha watumike tu kwanza kuna laana kwenye majina ya hovyo hii ni nchi ya vimbwenga upepo ukishapita hutawasikia tena

    • @abuubaqr5808
      @abuubaqr5808 12 дней назад +2

      Pelekeni ujinga uko, acheni kuchanganya mambo embu

    • @ibrahimudamas326
      @ibrahimudamas326 12 дней назад +2

      Akili ndogo sana Aibu kwako😅

    • @rendemickey9318
      @rendemickey9318 12 дней назад +1

      Watu kama nyie ndo hamfai kabisa mnajitia watakatufu kumbe wachafu

    • @user-ck7fv1ge7d
      @user-ck7fv1ge7d 12 дней назад +1

      Mshamba uyo angalia maisha yako aloo

  • @polycarptarimo5141
    @polycarptarimo5141 11 дней назад

    Fido leo nimemsikiliza kwa mara ya kwanza ila kila nikiona picha zake nilijua ni mmarekani

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 12 дней назад

    Leo ame tuliaa kawa mtu kweli 😂😂😂😂❤

    • @user-cq2lt6ho5w
      @user-cq2lt6ho5w 10 дней назад

      Inaonekana somo la Makonda limeanza kufika

  • @reganimushi8062
    @reganimushi8062 12 дней назад +3

    Kaka mkubwa kumbe Muhindi

    • @EvansGodfrey-tj5op
      @EvansGodfrey-tj5op 12 дней назад +1

      😂😂😂😂😂

    • @Worldunite
      @Worldunite 12 дней назад

      Muhindi mixer na mrangi😂😂😂
      Mhindi pori huyo lkn yuko tofauti na wadosi wa kawaida

    • @AlvinKhim-lc1jo
      @AlvinKhim-lc1jo 11 дней назад

      amewazidi wadosi😂

  • @pwanihabari
    @pwanihabari 12 дней назад +1

    Meno machafuuuuuuuu kama anakula Udongo😁😁😁😁 au ndio U gangster😀

  • @pascalvitalis
    @pascalvitalis 12 дней назад

    Fido anaangalia na media anayofanya nayo interview nd maana hapo katulia😂

  • @Worldunite
    @Worldunite 12 дней назад +3

    Huyu jamaa yuko fit alafu anaonekana ameshapambana mno kimaisha

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz 8 дней назад

    😂😂

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 11 дней назад +1

    Kumbe fido ni mrangi wa kondoa?

  • @Az__2012
    @Az__2012 12 дней назад +2

    Kumbe unajifanya gangster na ni mdosi🤣

    • @Worldunite
      @Worldunite 12 дней назад +1

      Gangster ni lifestyle ya mtu na mdosi ni kabila

    • @Worldunite
      @Worldunite 12 дней назад +1

      Aweza kuwa mdosi lkn makuzi yake yakawa tofauti na yakawa ya ki-gangster

    • @Az__2012
      @Az__2012 12 дней назад

      Wachaa kutetea,,, ukishakua na damu ya kidosi tu anakua muogaa muogaa au snitch

    • @Maxpaul-oi8pw
      @Maxpaul-oi8pw 12 дней назад

      ​@@Az__2012 uyu anakataa usnitch sasa

    • @user-if9mg6ou7r
      @user-if9mg6ou7r 12 дней назад +1

      Real gangster hatizami rangi wala kabila wala nchi acha kubagua magengster wote peponi

  • @FadhilNtoga
    @FadhilNtoga 9 дней назад

    12345😂😂😂😂😂😂😂

  • @MariamMgaya-bs4pw
    @MariamMgaya-bs4pw 8 дней назад

    Hogera mtoto wetu rangi yetu hiyo kondoa

  • @GetrudeWilisoni
    @GetrudeWilisoni 12 дней назад +1

    3:33 3:36 3:37

  • @paulomollel7721
    @paulomollel7721 12 дней назад

    Walemacha li unawajuwa vyema and kawadudu wa dampo