MANZI MDUDU WA ARUSHA AWACHANA WADADA WA DAR "SURA HATA MBUZI ANAYO, MBAYA TU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 май 2024

Комментарии • 172

  • @annertz9969
    @annertz9969 22 дня назад +9

    Duuh harufu ya bangi mpaka huku Dodoma😂😂

  • @RenathaElias
    @RenathaElias 22 дня назад +5

    Iringa yangu naipenda jaman❤❤❤❤❤😂😂😂😂

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 23 дня назад +16

    Hongera dada kwa upambanaji ,una mume na mtoto.Una sura nzuri pia asikudanganye mtu

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 23 дня назад +2

      😏😏😏

    • @osamanyoni
      @osamanyoni 22 дня назад +6

      anauzur gan acha unafk😂😂

    • @TheresiaAndrea-hv9dg
      @TheresiaAndrea-hv9dg 21 день назад +2

      Awe mzuri au vyovyote, ila kwa mtindo huu wa maisha, bora hata awe polygon anayejitambua.

    • @frankkessy1260
      @frankkessy1260 19 дней назад

      @@osamanyoni kwa wadudu ni bonge la mrembo

    • @snipershort6988
      @snipershort6988 16 дней назад

      Hahahahahahaha, amedafakx

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 23 дня назад +7

    Ee mungu wasaidie wana Arusha hii si maisha 😭😭😭

  • @marafikistation
    @marafikistation 21 день назад +4

    Manzi safii sanaa hakuna kulemba lemba lemba 💪

    • @selector728
      @selector728 18 дней назад +1

      Kurembaremba sio kulembalemba

    • @marafikistation
      @marafikistation 18 дней назад +1

      @@selector728 mmmmh ngoja tuwasubili wakali wa kiswahili waje…

  • @evansmumo3921
    @evansmumo3921 21 день назад +2

    Dawa za arusha ni strong sana

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 20 дней назад +2

    Arusha sio sehemu salama kwa kulelea watoto.

  • @jeckobass7502
    @jeckobass7502 23 дня назад +4

    😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤mbeya yangu naipendaa

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 23 дня назад

    Dah! Bange mbaya sana

  • @subiralema
    @subiralema 23 дня назад +12

    Bangi zinawamaliza

    • @morganeeugene2095
      @morganeeugene2095 22 дня назад +1

      Amna kitu ooote unaelewa weeee....

    • @TheresiaAndrea-hv9dg
      @TheresiaAndrea-hv9dg 21 день назад

      Hivi mi najiulizaga, Arusha kweli kunawazee wa kuwalea vijana wao? Au wavuta banging wote wa nchi nzima wamehamia Arusha? Kwa ufupi mnatuharibia nchi😭😭😭

  • @sweetbartcloud2787
    @sweetbartcloud2787 21 день назад +2

    Jamani huyo dada mwenyewe anaonekana ni dawa tupu yani duuuu aisee

  • @tato8979
    @tato8979 22 дня назад +2

    Hadi wa dada wanajichetua jaman hata haipendez😢😢😢

  • @rhamlaally6930
    @rhamlaally6930 23 дня назад +3

    Mzazi anakutana na mtoto wake kwenye hyo vurugu🥺Mungu tusaidie watt wetu wasijiingize huko

    • @JosephM.meiliari
      @JosephM.meiliari 21 день назад

      Serikali serikali mnatupotezea taifa Kwa hawa wagonjwa wa akili mnaowapa kipaumbele kwenye mitandao

  • @HamisiKisime-or9jz
    @HamisiKisime-or9jz 22 дня назад +4

    Mwenyewe kaona kapatiiiiia,ujinga mtup

  • @rachelkaaya-do3mj
    @rachelkaaya-do3mj 17 дней назад

    Arusha yangu naipenda sanaaàaaaa

  • @sarafinabutashilaga6990
    @sarafinabutashilaga6990 23 дня назад +14

    Halaf wao wanaona kama sifa vile😢

    • @azizymachadeson3577
      @azizymachadeson3577 22 дня назад +1

      Haoni sifa ila ndo uhalisia wa maisha yetu tchuga ni sawa na hao wadaslade wadada ni vigodoro na kujiuza so kwani wao wanaona sifa ndo maisha yao so ishi maisha yako acha ya watu!

    • @TheresiaAndrea-hv9dg
      @TheresiaAndrea-hv9dg 21 день назад

      Shida kweli kweli

    • @abdulmango2461
      @abdulmango2461 20 дней назад

      Umeona eeh! Kumbe ni ujinga tu.

    • @user-io8hn1jb4d
      @user-io8hn1jb4d 17 дней назад

      Hawa wapumbavu tu, ujinga kwao ndio sifa vitu hivi kwetu tulionaga miaka ya 2000 mwanzoni kipindi kile watu wanaweka viplasta usoni na manguo makubwa western ila kwa sasa ukolo tu huo

  • @user-yl2br2ts3i
    @user-yl2br2ts3i 22 дня назад +3

    naipenda Arusha yangu

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 23 дня назад +2

    Nawakubaliik ivyo ivyoo tuuuu wajubaaaaa

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 22 дня назад +1

    Inasikitisha sana kwakweli.

  • @nassorally9008
    @nassorally9008 23 дня назад +7

    Kizazi kibovu na waliokuwa wanajuwa hawa wanaharibikiwa wao wanaona vipaji duu aiseee ujinga mtu

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 22 дня назад

      Huwa wananishangaza sana sana vile wanashindaga wakituonyesha kama ni kitu cha maana. Useless kabisa

  • @derickjuma4251
    @derickjuma4251 23 дня назад +4

    Daaah hiii jaman Arusha yetu 😅😅😅😅

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 23 дня назад +7

    Arusha piga bomu la nyuklia ianze upya

  • @RedmiNote-wv6cn
    @RedmiNote-wv6cn 13 дней назад

    Miaka 22 kazeeka uyu dada 😢😢😢😂😂

  • @fridafrancis1960
    @fridafrancis1960 20 дней назад

    Nimeulizia sana hawa wadudu wapo sehemu lakini hamna anayefahamu ila huku ndo tunawaona

  • @Casanovatz
    @Casanovatz 22 дня назад +4

    3:02 mpk 3:32 jamaa anavuta sigara mbele ya camera duh🙌🙌 Arusha mnazingua.
    Mnawafunza nini machalii wadogo😔

    • @user-yl2br2ts3i
      @user-yl2br2ts3i 22 дня назад

      niganja

    • @morganeeugene2095
      @morganeeugene2095 22 дня назад

      Iyo ndo uloona,we apo mtaani kwako kuna nini nzuri Machali wanajifunza au Wanachojifunza toka kwako..

    • @Casanovatz
      @Casanovatz 22 дня назад

      @@morganeeugene2095 hahaha
      Kitaa chetu atuwez vuta fegi mbele ya camera
      Ata tukiw nawateja wet wa boda boda atuwez vuta fegi mbele yao.
      Naio alio ishika apo sio fegi!!!!
      Acha kutetea vitu vivyo elewek budah

    • @Casanovatz
      @Casanovatz 22 дня назад

      @@morganeeugene2095 na wanacho jifunza kwang nimeng tuh kitaani kwet wananiita mashine yakaz
      Wewe kitaan kwenu wanakuita nan?

    • @snipershort6988
      @snipershort6988 16 дней назад

      ​@@Casanovatzhuku atuendi kwa mpalange wala kwalulenge

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 22 дня назад +2

    Washamba tu mna uhuni gani nyinyi

  • @jeremiahngoka4980
    @jeremiahngoka4980 23 дня назад +3

    Bangi hiyo.Hamna kitu hapa ni ujinga uliojaa upumbavu kbs yaani

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y 23 дня назад +4

    kwastaHili hii Tanzania ya Kesho itakuwa yama zombie 👉👹👹👹

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c 23 дня назад +2

    Hapa kwl si banging jmn arusha jmn

  • @nadiatanzania
    @nadiatanzania 21 день назад

    Bangi nyie uwuee😂

  • @subiralema
    @subiralema 23 дня назад +6

    Akuna sura ya kupewa kuku apo wewe niwa banana na mbege

  • @Mwanatanga
    @Mwanatanga 23 дня назад +5

    Vijana wa Arusha hawana akili alfu washambaa tuu😂

  • @PerpetuaNkilosubi
    @PerpetuaNkilosubi 22 дня назад +2

    Samia mama ukowapi Hawa watoto wanaangamia ongea kitu kuhusu Hawa wanaoniita wadudu vinginevyo tunalea kizazi kilicholaaniwa huu sio utamaduni wa kitanzania hapo ni bangi na aina zote za madawa ya kulevya

    • @ibramayno8447
      @ibramayno8447 12 дней назад

      Huyu mama ako mwenyewe unaemuita hapa hana shughuli 😢😢

  • @eagle_fighter
    @eagle_fighter 18 дней назад

    U.S.A
    United State of Arusha
    Imeisha hiyoooo

  • @mariamusaulo4429
    @mariamusaulo4429 23 дня назад

    wadudu sio kabisaaa

  • @irenemboya7899
    @irenemboya7899 22 дня назад

    Bangi nyingi doh

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman 8 дней назад

    Mimi arusha jamani sina habari napo 🙄🙄yaani wanawake wamekubuhu uhuni ivi🤔🤔

  • @user-jg3me8ih9i
    @user-jg3me8ih9i 22 дня назад +1

    Eti kwani nipo flat cape uko down ama😂😂😂

  • @blackeagle4441
    @blackeagle4441 19 дней назад

    😂🤣😆😆hiyo vyeo hapo

  • @aiyaavibes7610
    @aiyaavibes7610 17 дней назад

    Sema Millard ayo ana wa promote sana hawa wadudu ...... sielewi kwa nn ____but all z well.

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 22 дня назад +1

    Madili yameporomoka sio Arusha tu nchi nzima hii dar wala usiseme hy mwanza mmm kikubwa nkuwa makini na uelewela

  • @user-tk4es1uw7e
    @user-tk4es1uw7e 22 дня назад +1

    Ni shwari jamaa ana chanja bila wasi

  • @user-ib3nl1sk4l
    @user-ib3nl1sk4l 16 дней назад

    Arusha n kubwa kuliko Tanzania is trying 😂😂😂

  • @user-jh9yv1zp1l
    @user-jh9yv1zp1l 9 дней назад

    Bangi hiz sio akil yake wantk sifa tu kutrend

  • @selemanmaganga-le4zg
    @selemanmaganga-le4zg 22 дня назад +1

    Duuh, kwahiyo ngeu ndio cheo? Usikute Arusha ni nchi jirani ilibidi Nyerere angetuelewesha vizuri labda hawa ndugu zetu wa kambo DNA iusishwe!.😂😂😂

  • @rahabumarungi8047
    @rahabumarungi8047 23 дня назад +2

    ACHENI UJINGA WENU ONGEENI KWA HESHIMA MNAJICHORA

  • @VianaKokutensa
    @VianaKokutensa 19 дней назад

    Uyo wa mwisho saa

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 23 дня назад +2

    Ni kamzozo na kamkutano😂😂😂

  • @user-zr2yz6qg1f
    @user-zr2yz6qg1f 18 дней назад

    1:06

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 20 дней назад

    Ata mbuzi anayo

  • @user-ce8uu9jy2e
    @user-ce8uu9jy2e 18 дней назад

    Kijiti cha arusha kinawachanganya hao

  • @henry1933
    @henry1933 22 дня назад +1

    Millard Ayo hamna positive news Arusha? unaaribu taswira na image ya mkoa wako.

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 23 дня назад +14

    Duuh Arusha jamani Aisee poleni sana sura tu me naogopa 😢😢😢

  • @hawahussein137
    @hawahussein137 16 дней назад

    Bangi haijawahi acha mtu salama

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 21 день назад

    Chuga hiyoo 🤣🤣

  • @michaelaloyce2072
    @michaelaloyce2072 23 дня назад +1

    Arusha kwishaaa. Bangi tupuuuu

  • @DelightfulShipsWheel-wu6ov
    @DelightfulShipsWheel-wu6ov 21 день назад

    Duh arusha inatish

  • @user-ql3rd9qp7p
    @user-ql3rd9qp7p 22 дня назад

    Ila Arusha mmeshindikana😂😂😂

  • @user-rs1me3tp2m
    @user-rs1me3tp2m 19 дней назад

    Arusha ni kubwa kuliko Tanzania

  • @musampanda3643
    @musampanda3643 23 дня назад +1

    Jomba anachoma shada mbele ya camera ya ayo tv

  • @BANJO_MOULDING_DECORATION
    @BANJO_MOULDING_DECORATION 23 дня назад

    😅

  • @VianaKokutensa
    @VianaKokutensa 19 дней назад

    Kwa yote ila pady utavaa t😅😅

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb 23 дня назад

    Cha Arusha kimezidii

  • @HassanSamson-kg5cq
    @HassanSamson-kg5cq 21 день назад

    Polereni

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 15 дней назад

    MTU ASIWADANGANYE, ARUSHA NI MKOA ULIO WA KIPEKEE SANA, KWENYE MSAFARA WA MAMBA MSIISHIE KUTAZAMA KENGE

  • @jovitusiinnocent7534
    @jovitusiinnocent7534 22 дня назад

    Dah Arusha bwana ety Arusha ni kubwa kuliko Tanzania 😂😂

  • @BilleKalu
    @BilleKalu 23 дня назад

    Mh

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 23 дня назад

    Ona alivo eti miaka22😏😏

  • @JosephM.meiliari
    @JosephM.meiliari 21 день назад

    Hv Sasa huyo mwandishi wa habari c angefuatilia mambo ya muhimu ya kuelimisha jamii kuliko huo upuuzi

  • @swaiseif2989
    @swaiseif2989 22 дня назад

    Flat cup😂😂😂😂😂dah

  • @jamaliddiin9357
    @jamaliddiin9357 23 дня назад +2

    Mabange hayo ,na makonda atawanyoosha ,dada mzuri ajisijfia wizi ,

  • @VianaKokutensa
    @VianaKokutensa 19 дней назад

    Flat cap typing and deleting 😢😢

  • @Jacklinejohn7
    @Jacklinejohn7 20 дней назад

    😂😂😂😂😂😂daah

  • @ridhiwankanjoe2078
    @ridhiwankanjoe2078 22 дня назад

    Serikali kunakitu inatakiwa kufanya mikoa ya kaskazini hasa arusha na kilimanjaro bangi na madawa ya kulevya yatamaliza vijana.

  • @JamalDaudlulyeho
    @JamalDaudlulyeho 22 дня назад

    Kamzozo ni kamkutano

  • @sweetbartcloud2787
    @sweetbartcloud2787 21 день назад

    Sasa kumbe hawa ni wezi aisee siunaona wanajisema kabisa yani

  • @palistrofruly
    @palistrofruly 19 дней назад

    Eti yeye ni msela? Muulize anaingia period? Akisema ndio muulize masela wanaingia period?

  • @WamburaJomu-xy2is
    @WamburaJomu-xy2is 21 день назад

    Et Arusha nikubwa kuliko Tanzania 🤣🤣🤣

  • @kelvinshaban6941
    @kelvinshaban6941 20 дней назад

    Ahahah mwamba anamenya kijit nyumaa

  • @annamnanka-qk1bx
    @annamnanka-qk1bx 23 дня назад

    Iyache ikae chuga kama ujuwi tulia

  • @azizymachadeson3577
    @azizymachadeson3577 22 дня назад

    Naona comment watu wanalalamika Arusha ooh sjui watu wa ovyo hii ni life style ya Arusha toka enzi na enzi Sema tu mlikua Hamjui cz media zilikua hazipo nyingi na kuonyesha aya maisha ndo mana watu wanashangaa ila ayo maisha tumeyaishi toka mda ila washamba ndo wanashanga na Arusha etu ni ile ile inakua kiutalii mabarabara ndo ayo sema ni vile tu hamjui arusha nyie mawaki!

    • @morganeeugene2095
      @morganeeugene2095 22 дня назад +1

      Oyaaa waambie awa mambanga Amana kitu ooote wanaelewa CHUGA kama mbeleeeee

    • @oscarakyoo4641
      @oscarakyoo4641 21 день назад

      wambie hawa wangese ,yaani sisi arusha ni kama mambele

    • @azizymachadeson3577
      @azizymachadeson3577 21 день назад

      @@morganeeugene2095 yani wao hawaoni maisha yao wanaangalia ya Arusha wanataka na sisi tuige au tufurahie Dada zetu na Mama zetu wanatoa Matako nje ya magari wanacheza vigodoro ndo wanaona ni maisha mazuri sasa iyo ni life style yenu na sisi Kama Tchuga tuna life style yetu so kila mtu aishi maisha ake , Ukienda Marekani Maisha wanayoishi watu wa LA ni tofauti na Brooklyn, nenda Kenya life ya Uko Kasarani ni tofauti na isilii au dandora kuna hao Mbogi genje ndo kama tchuga kuna Wadudu So ni life style punguzeni GENYE nyie Mboga Saba! Acheni PERERE MINGI

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 22 дня назад

    Amedafat Ar ucpime,hao wdd,baba,c kawaida,

  • @perfectpixelsstudio3603
    @perfectpixelsstudio3603 23 дня назад

    Arusha ni kubwa kuliko Tanzania 😅😅😅😅😅😅😅

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 23 дня назад +6

    Jamani nahisi Arusha si ya Tanzania...peleka somaria🤣🤣

  • @BilleKalu
    @BilleKalu 23 дня назад +1

    Uchafu mtupu

  • @mshua337
    @mshua337 21 день назад

    Huu mkoa unateketea kipumbavu kabisa

  • @HussainMaula-wr5co
    @HussainMaula-wr5co 22 дня назад

    Ukisikia kamzozo kamkutano hapo aliingiwa mtu mifukoni.

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 22 дня назад

    Useless kabisaa..,nonsense

  • @peterjustin1237
    @peterjustin1237 13 дней назад

    Kamzozo kamkutano😂 hiyo ndio kaskazini

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 23 дня назад +1

    Yule pale nyuma anachoma skanka nn

  • @tanzmaica
    @tanzmaica 22 дня назад

    msela anakichoma atari