#LEOTENA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 июн 2024
  • #LEOTENA: UTAPENDA FAMILIA SITA KIZIINJOI KWA PAMOJA BAADA YA KUTENGANA KWA MIAKA MINGI
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 152

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 Месяц назад +15

    ❤❤❤❤❤❤❤❤mama ni mama hata awe na mapungufu gani mama ni mama tuu

  • @MwajumaFundi-ex5tj
    @MwajumaFundi-ex5tj Месяц назад +9

    Nitakufa na wanangu pembeni siachi mwanangu hata kama Sina kitu mm na wanangu iwe mvua,iwe jua 💪💪

  • @aminamohamed9955
    @aminamohamed9955 Месяц назад +3

    Maashaallah Maashaallah Mwenyezi Mungu awalipe kwa kuwaunganisha wazazi na watt wao❤❤❤

  • @EvodiaDominic
    @EvodiaDominic Месяц назад +4

    Mungu awatunze sana clouds media, mwendelee kukutanisha familia nyingi zaidi na zaidi

  • @annamndeme6312
    @annamndeme6312 Месяц назад +4

    Nimelia sana yaan..😭😭😭 wengine wanatafut watoto wengine wanatelekeza watoto😭😭

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Месяц назад +5

    Yaan mimi siachi mtoto wangu yaan we. Bahati nzuri watoto wangu ninao mwenyewe hadi wameolewa

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Месяц назад +1

      labda nilogwe ila kwa akili timamu siwez

  • @hamispazia9
    @hamispazia9 Месяц назад +6

    Clouds radio yangu pendwa,Da'Huu,Geah,Jose Mara,Mungu awahifahi wallah...

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 Месяц назад +14

    Shangazi ana hasira

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 Месяц назад +1

      Sana

    • @yhasintakalenyula970
      @yhasintakalenyula970 Месяц назад

      Mno...Yaani shangazi ameshindwa tu kumkataza huyo mtoto wa marehemu kaka yake hasifanye hiyo tu.

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu 28 дней назад

    Namshukuru sana Mungu kuwapa wazazi wangu umri mrefu wa kuweza kutulea watoto wao mpaka leo kila mmoja kaweza kujitegemea Allah azidi kuwapa maisha marefu sana wazazi wangu Inshallah 👏👏👏

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 Месяц назад +2

    Nampenda gea na huu mwenzake manshallaah mungu awadumishe mapenzi kwenu na mmzidi kuwa na moyo huo huo

  • @EdnaLugano
    @EdnaLugano Месяц назад +4

    Mi mama yangu amefariki nukiwa Mtu nzima kabisa lakini bado naumia na ninamiss mambo mengi Sana kutoka kwake sasa ambae hajawahi kumuona mama yake naeleawa Namna wanavyojisikia

  • @user-eo1nu2qc4i
    @user-eo1nu2qc4i 29 дней назад

    Nawashukulu sana kwa kazi nzuri Mungu awalinde na kuwabariki muendee kufanya iki kipindi Mungu atawalipa❤

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Месяц назад +1

    Mungu Asante Kwa baraka na neema hii Asante katika jina lipitayo majina yote nalo ni yesukristo mwana wa Mungu aliye hai.amen

  • @RehemaMwakapimba
    @RehemaMwakapimba Месяц назад

    Yaani nimelima Hadi kichwa kinauma. Yadunia ni mengi. Hongereni sana gea na dahuu piauongozi mzima. Mnaviti vyemu mbinguni kwa hilimnalolifanya. Kwakweli niapenda sana hii redio.

  • @salma-fc2mq
    @salma-fc2mq Месяц назад +4

    Mama anauma jamani hata kama alikuacha ila utasamehe maisha yaendelee

  • @909dentalcentre9
    @909dentalcentre9 Месяц назад +3

    kipindi kizuri sana hongereni clouz, laki mweke ulinzi cku atapigwa mtu makofi maana matukio yanatia uchungu sana

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bs Месяц назад +1

    Shangazi mungu akutunze,,ww ni mrembo 🎉🎉🎉

  • @user-wt7mm9lx8i
    @user-wt7mm9lx8i Месяц назад +5

    Hatakama ntapitia magumukiasigan ila mtoto wang ntakufanaejaman

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 Месяц назад +4

    Na mimi mamangu si angekuwa amepotea then nimpate aki i mos her😢😢😢 innalilah rajiun rest wel kipenzi changu heri kupotea kuliko kufa

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl Месяц назад +1

      Pole muombee Dua

    • @WahidaHilaly
      @WahidaHilaly Месяц назад +1

      Pole sana kipenz ❤
      Kikubwa Dua 🙏

    • @FatumaMuya
      @FatumaMuya Месяц назад +1

      Pole sana

    • @FatumaIbrahim-c6d
      @FatumaIbrahim-c6d 9 дней назад

      😢😢😢😢endelea kupumzika kwa amani mamaangu nakupenda sana😢😢😢

  • @FlowerJoseph-vn7mb
    @FlowerJoseph-vn7mb Месяц назад +4

    Yaani Raha sana kukutana na mama hakuna kama mama yaani Leo nimelia sana ila mungu ni mwema

  • @Mjuni3
    @Mjuni3 27 дней назад

    Hizo Kanga zinanikumbusha Mbali sana ,,Ndio kanga za marehemu mamaangu alikuwa anavaa

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 Месяц назад +2

    Raha sana jamani Mama hafanani na asie mama yako nalia kwa furaha❤

  • @loveness09-k
    @loveness09-k Месяц назад +1

    Asante sana Mungu kunitia nguvu ya kupambania wanangu pale nilipoondoka kwa baba yao haya ni zaidi ya maumivu kutengana na mama miaka mingi hadi watoto ndoto zao zinakufa Yesu tutie nguvu🙏🙏 28:23

  • @lucypeter-ev3xe
    @lucypeter-ev3xe Месяц назад +2

    Mungu amtunze shangazi shamila

  • @fredymagesa4463
    @fredymagesa4463 Месяц назад +1

    Mwenyezi abariki clouds kwa kukutanisha ndg waliopoteana kwa miaka mingi

  • @user-so2to1gs6n
    @user-so2to1gs6n Месяц назад +2

    Dj anachemshaaaaaaa

  • @hatimalnaamani876
    @hatimalnaamani876 Месяц назад

    Hongereni sana uongonzi wote hakika ni kazi kubwa ❤❤❤

  • @elizamrema5529
    @elizamrema5529 Месяц назад

    Hongera sana radio ya watu ,,, hakika Hiki kipindi kipewe kipaumbele hongereni nyote mliopata mama zenu

  • @Aminahlamranl420-hw2ie
    @Aminahlamranl420-hw2ie Месяц назад +2

    Mama ulifanya makosa. Shangaz haki yako kuwa na hasira. Mtt mdogo ondoka nae .tena mtt wa kunyonya...hapana

  • @user-fw1ow4ch6g
    @user-fw1ow4ch6g Месяц назад +5

    Mama ni mama hata kama huyo shangazi achukie,ni Bure,mtt hazaliwi na mama wawili huwa ni mmoja tu.

    • @emes602
      @emes602 Месяц назад +2

      Ukweli maana shangaz kaonesha chuki

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 Месяц назад +1

      Nabila shangazi sangefikia umri huyo 😂😂 asante shangazi, ila hatokua na mapenzi , kivile , nimeyaona kwa dadake mumewangu ,alitaka mjue mamake na ndugu zake basi , hana mapenzi nao anawapenda wale alokua nao , ayo yapo kwenye familia ya mumewangu 😂😂

    • @SharifaMohammed-el3ug
      @SharifaMohammed-el3ug Месяц назад

      Inaonyesha akimsimangia mama yake

  • @TichaSabah
    @TichaSabah Месяц назад

    Kuna vitu nahisi hata hawa wamama wanamakosa.mie nimechukuwa watoto wangu sijui nitaishi vipi nitakula nao nn.mmona akiwa tumboni mwengine ana miaka minne .kwa sasa mmoja anasoma malaysia mwengine yupo 4m for baba anarudi kuja kuomba kwa wanawe shenxh wakati bado wapo chini yangu.mungu ataendelea kutenda miujiza kwa kila mwanamke alietelekezwa kama mm.mungu ametenda

  • @emes602
    @emes602 Месяц назад +1

    Ila shangazi ana shari uyo. Kama vile kammindi uyo mama.. swali why mke mkubwa n mdogo wote waondoke kwa pamoja?

  • @user-li2cy1st6o
    @user-li2cy1st6o Месяц назад

    Gea na watatangazaji wote wa leo tena Mungu awazidishie inshaallha nawapenda sana sina cha kusema ila Mungu anajuwa

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Месяц назад

    Kweli dada gea. 🎉🎉🎉❤❤

  • @alhabsi6430
    @alhabsi6430 Месяц назад

    Jamani mimi nimelia 😭😭😭namkumbuka mama yangu 😭😭😭😭Allah akuweke mahali pema Yarabi🤲

  • @EmilykuvunaKonzi
    @EmilykuvunaKonzi Месяц назад

    Nn nko apa tu nawasaidia kulia😢😢😢😂MACHOZI ya furaha❤🎉🎉🎉🎉

  • @AsinaMohamed-pb5xt
    @AsinaMohamed-pb5xt Месяц назад

    Pole sana shamila

  • @user-he2pk6io4d
    @user-he2pk6io4d Месяц назад

    Kadi nzuri😢😢😢❤

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 Месяц назад +2

    shangazi ameamua kuongea alimuacha amfwate alipomuacha ataki mchezo

  • @msakadoobongeladada-uh3sk
    @msakadoobongeladada-uh3sk Месяц назад +3

    shangazi yuko na ujasiri hadi nimemoenda bure nahis atakuwa msambaa mkilindi huyu maana hatunaga mbambamba

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936 Месяц назад +1

    Mama yangu nae SI angepotea tu at nmtafute nimpate Kama hivi but now siwez kukuona kukuona kabisa😢😢😢😢

  • @Mitchellekyle
    @Mitchellekyle Месяц назад +5

    Natamani mamangu awe amepotea leo ndio ameonekana mama nakupenda R.I .P🙏🏻

  • @salama1113
    @salama1113 Месяц назад

    Shangazi yake waziri pambe❤❤❤❤❤❤

  • @joycesamweli1219
    @joycesamweli1219 Месяц назад

    Asante sana shangazi kwa kumlea mtoto wa kaka yako lakini watu wa tanga wana mambo mengi sana

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤makopa mengi kwawo hadi raha kabisa

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад +2

    Huyo mam kiboko ni mtihan

  • @SafiaOmary-ii5zm
    @SafiaOmary-ii5zm Месяц назад

    Dah

  • @tato8979
    @tato8979 Месяц назад

    Mauwa 🎉🎉🎉

  • @janemhangomhango5841
    @janemhangomhango5841 Месяц назад +1

    Hata nipitie shida gani siwezi muacha mwanangu

  • @neemanjakale2744
    @neemanjakale2744 24 дня назад

    Hi clouds naomba msaada wenu nifanye nn ili niweze kuwapata namtafuta rafiki yangu tumepoteana na mm miaka almost 25 naishi marekani USA .plz naomba jibu plz

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Месяц назад

    Mungu awalipe clouds f.m

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Месяц назад +1

    Shangazi Allah akulipe

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Месяц назад

    Shangazi unahasira lkn hujui kaka yk alimfanya nini huyu mama mpaka akamwacha mwanae

  • @aziza9093
    @aziza9093 Месяц назад

    ❤❤❤❤

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Месяц назад

    ANAONA AIBU MAMA. MAANA HAKUKATAZWA KUONDOKA NA MWANAYE. UNAPOONGEA NA MTU MWANGALIE USONI. MBONA HAJACHANGAMKA HUYO MTOTO MWENYEWE.

  • @farajaphilipo8844
    @farajaphilipo8844 Месяц назад

    Natamani mama yangu niwe nimempoteza leo ndo namupata lkn haiwezekan 😢😢😢

  • @SharifaMohammed-el3ug
    @SharifaMohammed-el3ug Месяц назад

    Kafanana na mama

  • @RehemaJonas-yj7ed
    @RehemaJonas-yj7ed Месяц назад

    Kloud mnaona maajabu hapo Sana make mwanamke anamwachamwanae miez afu aseme namtafut

  • @ReginaOpportuna-kf5km
    @ReginaOpportuna-kf5km Месяц назад +1

    Nina wazo. mikiwaalika afisa ustawi wa jamii kuhudhuria siku hii kila mwaka nadhani itakuwa vizuri jamani.

  • @joysekiza3944
    @joysekiza3944 Месяц назад

    Jamani nikiangaliaga kipindi waga nalia sana nikifikilia kulelewa bila mama mh nikazi

  • @wettykznznhuioploko1571
    @wettykznznhuioploko1571 7 дней назад

    Mama mkavu uyu ata isia ana

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 Месяц назад +1

    Nimelia 😢san leo

  • @user-qg7wx1ou5b
    @user-qg7wx1ou5b Месяц назад

    Munasababisha tunao angalia pia tunalia kwakweli😭😭😭😭😭

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk Месяц назад +2

    Kweli milazakisambaa lazima walambiane chumvi nimbui wasambaa wenzangu

  • @aishaally6602
    @aishaally6602 Месяц назад +1

    Hizi mila nazo ni shirki

  • @Boralifesyle
    @Boralifesyle Месяц назад

    Maana mi nalia tuu, sujui hata kwanini nalia kuwashinda wenyewe

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n Месяц назад

    Haya mambo km hayajakukuta utasema uzembe ila yalotukuta tunajua

  • @hawakiza6067
    @hawakiza6067 Месяц назад

    Toweni mizki

  • @loveness09-k
    @loveness09-k Месяц назад

    Halafu kapewa kanga jamani na roho yake mbaya bado wanampa kanga 😂😂😂 22:21

  • @user-fe7zg9hd9z
    @user-fe7zg9hd9z Месяц назад +1

    ❤❤❤❤😂

  • @HappyCap-mf6iv
    @HappyCap-mf6iv Месяц назад

    Naombeni namba za clouds

  • @mbonijabut1405
    @mbonijabut1405 Месяц назад +1

    Sambaaa oyeee usembe

  • @SalhaIssa-eh6bj
    @SalhaIssa-eh6bj Месяц назад

    Yaani mtu unatelekeza wtt wa nne yupo sawa shamila pole mm naishia na wtt wangu napata shida nipo na wanaagu wapende wtt wako ujui utaishia wapi

  • @magrethmathayo2800
    @magrethmathayo2800 Месяц назад +1

    ni haki shangazi kuchukia

  • @asiansky9767
    @asiansky9767 Месяц назад

    Mmejua kuniliza clouds

  • @OmanAlkamil-nl2zw
    @OmanAlkamil-nl2zw Месяц назад

    Shangazi ni kama hajafurahia mtot kukutana na mama yake

  • @SharifaMohammed-el3ug
    @SharifaMohammed-el3ug Месяц назад

    Watoto wanafanana mama zao

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk Месяц назад +2

    Duu hikali mumenikumbusha mbali sana watangazaji maua yenu hongeai maa

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад +4

    Huyu mama kakaa umbo lakiume mjinga san utaachaje mtt wako wa miez 9 ujinga san muon kwanza

  • @user-qd5qp3dd2x
    @user-qd5qp3dd2x Месяц назад

    Huyu mama kama mgogo siambembeleze mwanae😢

  • @dalalihakweahakweya6662
    @dalalihakweahakweya6662 Месяц назад

    Nina wazo jamani najua mnatumia galama nyingi sana kwa nini isifanyine kwa mwaka mala mbili 2 navipi kuhusu wanao tafuta wa baba zao nao wasipewe nafasi

  • @taturajabukhalfani7953
    @taturajabukhalfani7953 Месяц назад

    Duuu mbona na mm nalia jamani!!?!😊

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Месяц назад

    Shangazi mchawi

  • @brigethsauzand3926
    @brigethsauzand3926 Месяц назад +2

    Nimelia sana hivi vipindi vyenu Gea

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Месяц назад

    Numelia jaman 😢😢

  • @HappyCap-mf6iv
    @HappyCap-mf6iv Месяц назад

    Shangazi anaonekana ana pendashari

  • @LawrenceMakata
    @LawrenceMakata Месяц назад

    Kutafuta baba mnaaza lini

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 Месяц назад

    weee uyu shangazi ajafirahishwa na uyu mtoto kumpata mamaake hàki kwa hali hiii shamira pole sana mamaske shamira uliacha mtoto akapata shida maskini

    • @SharifaMohammed-el3ug
      @SharifaMohammed-el3ug Месяц назад

      Shamilabona amekuwa mpweke tena? Mama Shanghai kawavuruga nini?

    • @SharifaMohammed-el3ug
      @SharifaMohammed-el3ug Месяц назад

      Shangazi angefunga mdomo au anataka malipo?

    • @SharifaMohammed-el3ug
      @SharifaMohammed-el3ug Месяц назад

      Nimempenda shamila. Kalia mwanzo mwisho maskini

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 Месяц назад

      @@SharifaMohammed-el3ug uyu shangazi alimlea kweli ila yaonekana kitendo cha uyu msichana kutafuta mamaake na kumpata kimemkwaza mana sio kwa majib aya si alijua aliko muacha kali hii aya mungu smfanyie wepesi

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bs Месяц назад

    Hivi wamama wengine cjui wakoje,,unamuacha mtt,na ujua ulipo muacha,,hata kurd hkn

  • @ReginaKaizirege-sd3hn
    @ReginaKaizirege-sd3hn Месяц назад

    Hadi kichwa kinaniuma

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk Месяц назад +2

    Shamila pole mwenetu duu

  • @hawakomba692
    @hawakomba692 Месяц назад

    Nimachoz tu yana dondoka

  • @echosound255
    @echosound255 Месяц назад

    Kwanjeka kwetu kwa Dongo

  • @user-fw1ow4ch6g
    @user-fw1ow4ch6g Месяц назад

    Beba mtt wa mwenzio kalala,akiamka anauliza mzazi wake

  • @ReginaKaizirege-sd3hn
    @ReginaKaizirege-sd3hn Месяц назад

    Hivi kuna mtu anayetazama kipindi hichi na hasitoe machozi

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад +1

    Mam unaacha mtt wamiez6 kisa utaenda kufukuzwa wazazi waaina gan hao lbda din nyingine

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Месяц назад

      labda waislam

    • @shamzone388
      @shamzone388 Месяц назад

      Roho mbaya haina dini acha kusema sema ovyo

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 Месяц назад

      @@shamzone388 mie nimesem kituy ninacho juw ww ulion wap wachaga wanaacha watt am ww binafs unaweza acha mtt wako nauko na akili timam kweli am ww ndo unaropokwa ovyo muon kwanza

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Месяц назад

    Yaan huyo MAMA lijinga sana utaachaje mtoto wako wa miezi sita:yaan mshamba mshamba tena. Hivyo kabisa.

  • @JacklinedamianMtweve
    @JacklinedamianMtweve Месяц назад

    Shosti kumbe na ww uliterekezwa pole jirani

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад

    Mchaga wa wap anatipa mtt w

    • @MohamedyAtway
      @MohamedyAtway Месяц назад

      Somchaga mpare sameuyo

    • @msakadoobongeladada-uh3sk
      @msakadoobongeladada-uh3sk Месяц назад +1

      ​@@MohamedyAtwayhata wapare hawatupi mi mamaangu mpare na alinilea bila Baba Hadi nikawa mkubwa nikamtafuta babaangu miaka 15

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 Месяц назад +1

      ​@@msakadoobongeladada-uh3skukampata?

    • @msakadoobongeladada-uh3sk
      @msakadoobongeladada-uh3sk Месяц назад

      @@fatmazullu4933ndio nilimpata tukaishi miaka 6 na mwez mmoja siku najifungua mwanangu jioni asubuh Mzee akafariki Ila tulioishi Kwa Raha na sikutaka mambo mengi kikubwa nimempata na tunaishi maisha yetu km familia
      alifariki nikiwa na 21yrs akaniacha kijana wake wa miaka 7 saiv ni kijana mkubwa hata alisema anaona kesho hatushangai

    • @msakadoobongeladada-uh3sk
      @msakadoobongeladada-uh3sk Месяц назад

      ​@@fatmazullu4933ukikuta mpare katupa mwanae mchunguze vizuri kuna kitu Kiko kimejificha
      na wachaga wakike hawang'ang'anii mtoto wa MTU Baba ndo mwenye mtoto... mwanaume WA kichaga hakubali kupoteza mwanae