MAMA WA MIAKA 39 ANA WATOTO 11 ALIVYOMLILIA RC MAKONDA "NIMEZAA NA MWANAJESHI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 67

  • @MagdalenaMatiko
    @MagdalenaMatiko 3 месяца назад +5

    Ila hongera kwakuwa muaminifu kwa Mungu ila uwe mfanyabiashara hata mdogomdogo

  • @ukhtyrehemaabdy2830
    @ukhtyrehemaabdy2830 3 месяца назад +1

    Huyu dada hajasoma na hajui anamiaka mingap

  • @esterpaul5856
    @esterpaul5856 3 месяца назад

    Watanzania bila uongo hatutoboi. Sasa unamiaka 39 hlf mtoto wakeanxa umezaa na miaka 15 na mtoto anamiaka 20😂😅..Unavyoorodhesha sas..na baskel ya mtoto wangu😅

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 3 месяца назад +5

    Mwanamke Bora wa mwaka

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 3 месяца назад +2

    Hongera sana mama cha kumsaidia ni kumjengea nyumba , Mimi Niko tayari kuchangia

  • @elizabethmassawe694
    @elizabethmassawe694 3 месяца назад

    Watoto ni baraka mungu amtupi mja wake kunawanao hangaika na watoto jamnii tunalia huku.. natamani nipate icho kizazi

  • @Bless-sk8uv
    @Bless-sk8uv 3 месяца назад +2

    Duh kaokoka🙄🙄 kwani mtu akiokoka haolewi? Au WW mama unamana gani?🤔

  • @forminaformina7694
    @forminaformina7694 3 месяца назад +1

    Wamsaidie.wamjengee.na.nyumba.angalau.vyumba.2.na.sebule

  • @SwahiliSister-o5v
    @SwahiliSister-o5v 3 месяца назад +1

    Uzinzi tu uongo wewe anataka kusaidiwa unataka kwichikwichi

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm 3 месяца назад +1

    Wewe unaetukana anazaa kama mbwa unaakili timamu unataka akipata mimba aitoe acha ujinga hujui ya kesho na mtoto ni baraka

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 3 месяца назад +8

    Anaona wenzie wabaya kutoa mimba ila yeye ana jamiana bila kujali kubeba mimba, nyani haoni kundule

    • @SwahiliSister-o5v
      @SwahiliSister-o5v 3 месяца назад

      Kuna mtu asopenda watoto

    • @SwahiliSister-o5v
      @SwahiliSister-o5v 3 месяца назад

      Wewe endelea kuzaa tu

    • @AverinaShirati
      @AverinaShirati 3 месяца назад

      Una akil

    • @BimHamdi
      @BimHamdi 3 месяца назад

      ​@@SwahiliSister-o5vhakuna ila uzae kwa kiasi au kuzaa watoto wengi kuna tunzo unapata zaidi ya kujibomoa mwili

    • @sleeprelaxation8431
      @sleeprelaxation8431 3 месяца назад

      @@SwahiliSister-o5v kuna kupenda watoto ukawatunza na kuwapenda ukawatesa. unazaa watoto wengi huwezi kuwatunza utakuja kujibu kwa mungu kwanini ulifanya hivyo.umepewa akili ya kufanya mamuzi, unzaa watoto unapeleka ukalelewe uliwazalia wengi wanini? na akijua uwezo wake na hali yake

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 3 месяца назад +1

    Haipo sw kbs unazaaje watoto wote hao bila mume maalum jmn

  • @PendezaBahombwa
    @PendezaBahombwa 3 месяца назад +2

    Unasema wongo eti ulizaa na miaka 15 ,ulizaa na miaka 19 kwasababu na mimi nina miaka hiyo na mtoto wangu wa kwanza ana miaka 20

  • @forminaformina7694
    @forminaformina7694 3 месяца назад

    .mm.sina.uwezo.ningemsaidia.natamani.apate.nyumba
    Kila.la.heri..MUNGU.akusaidie

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 3 месяца назад

    Waswahili husema kuzaa Mwana sio Kazi kumlea Mwana , huyu mama ameshikilia Siwezi kutoa mimba haitakiwi kutoa inatakiwa kuzuia mimba , isikupate. Sio kuingoa mimba hilo NI kosa mbele ya AhllA , pia mwanao amevaa na umasema hajaolewa Lakini Ameokoka NI vizuri Lakini lililojema NI kuolewa. Maana NI binadamu atakuja mwanaume atamlaghai atazaa mtoto wa 2 then tatizo linajirudia..ushauri wangu kwa Makonda huyu mama achangiwe apate Nyumba ndio njia rahisi kumaliza Tatizo au ( kupunguza TATIZO) big up Makonda huyu mama NI MWANAMKE na Nusu)

  • @PendoP-t8g
    @PendoP-t8g 3 месяца назад +1

    Hivi 11 kuna mapacha au kazaa mmoja mmoja😂😂 leba kulivyo kuchungu mwenzetu amewezaje au ye ana ganzi mwilini😂😂

    • @KhalbintKing
      @KhalbintKing 3 месяца назад +1

      Hapana huwa wanamashine za photo copy 😅

    • @GfgGgh-v5z
      @GfgGgh-v5z 3 месяца назад +1

      😂😂😂 uliwaza kama ninavyowaza🙌

    • @KhalbintKing
      @KhalbintKing 3 месяца назад

      Hahahahahahha ​@@GfgGgh-v5z

  • @omarngushai6450
    @omarngushai6450 3 месяца назад +4

    Sijaelewa vizuri hiyo hesabu

  • @levinalyimo6240
    @levinalyimo6240 3 месяца назад +2

    Apeleke ujinga huko anataka msaada ili aendelee kuzaa huyo ni tapeli

    • @oscarcharles9624
      @oscarcharles9624 3 месяца назад

      mmh napita

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 3 месяца назад

      🤐🤐🤐🤐

    • @GfgGgh-v5z
      @GfgGgh-v5z 3 месяца назад

      Acha ujinga fikiri kabla ya kutenda ombea sana uzao wako wasijepitia changamoto kama hii 😢

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 3 месяца назад

      Kama huna cha kumsaidia kaa kimya utaeleweka.

    • @angelamturi2207
      @angelamturi2207 3 месяца назад

      Umeongea point, wengi wanajua kusema ila hawajui kesho yao​@@GfgGgh-v5z

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola8232 3 месяца назад +2

    Mbon hafanani

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 3 месяца назад +1

    Huyu dada kabarikiwa 39 watoto 8 ni vizuri asaidiwa mtaji.ila hazeeka nilikuwa nafikiri mwanamke akizee sana uzeeka mapema.ila huyu bado mmbichi.

    • @kanankirannko6174
      @kanankirannko6174 3 месяца назад

      Hakuna unajua mwanamke akizaa akapata lishe vizuri anakuwa mbichi hazeeki kosa matunzo sasa duh

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 3 месяца назад

      Nikweri hata mim namuona Bado ni mdogo

  • @happykiwelu1451
    @happykiwelu1451 3 месяца назад +1

    Mungu akujaalie neema

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 3 месяца назад +4

    Hivi unavyozaa kama mbwa wa mtaani , kwenye nchi ya shida kama hii 😂 akili yake itakuwa ma - - takoni

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 3 месяца назад +2

    😅😅nimechangia tu ushauri

  • @alisuleiman303
    @alisuleiman303 3 месяца назад

    Tumsaidie jamani huyu mama natamani kumsaidia ila nimsaidiejee

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 3 месяца назад

    Watoto ni baraka leo mama baadaye utakuja kujionea ukuu wa Mungu

  • @forminaformina7694
    @forminaformina7694 3 месяца назад

    Muheshimiwa.makonda.usimsahau..huyo..msaidie

  • @forminaformina7694
    @forminaformina7694 3 месяца назад

    Hawaamin.nn.mbona.inawezekana.kuzaa..kwa.huo.umri

  • @Fattyarusha
    @Fattyarusha 3 месяца назад

    Ooh jmn Amina wa duka bovu munduli

  • @isamony58
    @isamony58 3 месяца назад

    Pole mkondaa kwa kazi ngumu yabinadamu huyuu mama nishidaaaa

  • @MeriMari-ol3ii
    @MeriMari-ol3ii 3 месяца назад +1

    Hii

  • @MashaMbwana
    @MashaMbwana 3 месяца назад

    Mashaa Allah Mungu akuwekee waliobaki

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 3 месяца назад

    Ni shida tu ila bado ni mrembo saana.

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 3 месяца назад

    Mama shujaa

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji 3 месяца назад

    Kwa kweli mungu akulinde haukuogopa hata kupata maradhi katika hao wanaume uliotembea nao mbali mbali

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 3 месяца назад

      Ukute wewe mwenyewe unatombwa ovyo ovyo Na una uhakika Gani wanaume waliokutomba hawana maradhi

    • @lailafakhihaji
      @lailafakhihaji 3 месяца назад

      @@Kabwela776 hapa tunacomet sio sehemu ya matusi hunijui sikujui wewe ni mtoto mdogo sana na usifikirie wote wanaocometi humu wana miaka 30 ni watu ambao umri Sawa na bibi yako shika adabu yako matusi tunayajua kabla hata mama ako na baba ako hajazaliwa usijifunze matusi RUclips kila mtu anao uwezo wa kuandika siwezi kukujibu matusi yako huu kwangu ni mwezi mtukufu nafunga wewe tukana na wala hakuna jipya ni Allaah ndio atakulipa endelea

    • @hadijaramadhani4801
      @hadijaramadhani4801 3 месяца назад

      😂😂😂😂​@@Kabwela776

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 3 месяца назад +3

    Watoto 11 Mashaallah❤️❤️❤️

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 3 месяца назад +1

    Huy mama anaongea pont sana MUNGU anasaidia jmn😢

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 3 месяца назад +3

    Yaani unazaa bila ndoa hd watoto 11 utaolewa kweli dah mbona polee ht kitanda chakulalia huna Subhannallah ndiyo tujue kuwa mume wa mtu sumu haya mwanaume kafa na kakuachia watoto ht sent hujapewa aisee pole 😢

    • @anithasemwano8276
      @anithasemwano8276 3 месяца назад

      HUJAWAHI SIKIA WATU WANAZAA BILA NDOA?

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 3 месяца назад

      @@anithasemwano8276 Ndy uzae hd watoto 11? Unategemea mume gani atakuja akuoe watoto wote hao wee tuombe sana Mungu tusijiachie hovyo nakuzalishwa tu bila msingi wowote

    • @ZainabZainab-v8s
      @ZainabZainab-v8s 3 месяца назад

      Ww bhana maneno yako yananishekesha😅😅😅

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 3 месяца назад +1

      @@anithasemwano8276 Hata km ndy watoto 11 ? Unafiri nani atakuja kumuoa watoto wote hao dunia yetu hii ya sasa tusijisahau sana binadamu tukafikia kumkufuru Mungu Subhannallah

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 3 месяца назад

      MAMA KOMAA NA WANAO MUNGU ANAKUWAZIA MEMA UNGETOA MIMBA UNGEKAA NA HATIA MOYONI.

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm 3 месяца назад

    Kwani alie na watoto 3 hana shida acheni ivo