MTENDAJI wa RAIS SAMIA AMKABIDHI MAMA NYUMBA ya KISASA -ASEMA PICHA ya RAIS INAMUELEKEZA cha KUFANYA
HTML-код
- Опубликовано: 13 май 2024
- MTENDAJI wa RAIS SAMIA AMKABIDHI MAMA NYUMBA ya KISASA - ASEMA PICHA ya RAIS INAMUELEKEZA cha KUFANYA....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
KWA UTAPELI WA WAFANYAKAZI WALIO WENGI WA SERIKALI MPAKA NIONE AKIPEWA HATI NDIO NITAAAMINI😅😅😅😂
MUNGU akubariki raisi wetu Dr Samia Suluhu Hassan.
Jamani global nawapangela na mama samia ongera na huku jamani kiji cha mvuha mkoa moro yuko bibi anapatashida mumfikie anana pakukaa mje muumsaidiye jetutawapata wapi
Ni kijana mdogo,ameanza vizuri, licha ya Elimu aliyoisema, ana uongozi ndani yake .
Mungu azidi kukutangulia
Jamani naomba nihamie tanzania😂😂
Mfatilie hatma waandishi, 27M zenji ni kiwanja tu😢
KIONGOZI BORA MWENYE kutenda HAKI.Mungu akubariki .
Big up nice
Honger sana mama samia
Hongera sana Simon kwa kazi nzuri, Hakika binafsi najivunia wewe kuwa miongoni mwa wanafunzi wangu.
Milioni 7 ni sawa
Hongeara sana mama yetu Samia🎉🎉🎉
Million 7 au 27 sio kweli
Mashaa Allah
Kwa umairi wa kujar watu sio wengine asinge jar ilikuwa imetoka
Hongera Sana comrade na mtendaji wetu mwenye vision na Kata yetu ya Bwawani na nchi kwa ujumla umeni inspire Sana nizidishe juhudi katika utendaji wa majukumu kwa wakati na kumshirikisha Mungu🤝
Maashallah
Utafika mbali kwa kuwasikiliza wananchi
Ila asijali sana maana watu wakipata huduma nae atapata baraka kwa mungu
😀😀😀😀KAZI hindelehe raisi anawaona
Masha Allah ❤❤❤❤
@zainab8251 mashallah nyumba nzuri
Sio mbaya ila ni bora wangemjengea hata vyumba tatu sio 2
MashaAllah
Na hayo mazao ni nani sasa
27m?
Nice
24
Mitano tenaaaaa
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Bado eneo la kupikia
Nyumba ya vyumba 2 ni milioni 25 , hiyo sawa?
Nyumba mbona ni sub standard mngejenga vyumba vitatu
Mngemuwekea na fanicha jamani
Fanicha alikua nayo toka zamani hii nyumba inamtosha Hongera sana mama Samia
mama anaonekana mwenyeji kwenye hii nyumba hata hastuki
Wengine hawana moyo wa kushtuka kwa chchte wapo tu kawaida
@@salmamlokela1987mimi nina dadangu hata iweje yeye huwà halii kabisa,hata afiwe na nani,yani huwa anaangalia tu,hana chozi hata.😂
@@israelkisaila8401ni kweli kila mtu ameumbwa tofauti na hisia tofauti mwingine ana namna yake ya kufurahi na namna ya kuumia, unaweza kuona mtu halii kumbe moyoni anaumia sana. Na huyu mama ana furaha sn tuu huenda hata camera zilimfanya azubae tuu.
Jmn 😅😅@@israelkisaila8401
jmni Tanzania Mungu Tunakushukuru mno. Asante sana kutupa walu viongozi na Rais wtu huyu. sio nchi nying wanafanya haya. Na pia sio kwa sababu sie Tanzani ni wema lakini ni Huruma Zako eh Mungu Baba yetu Mkuu
Nyumba haiendani na thamani ya kiwanja kilichotolewa
Ni sadak yake pia sio vibaya.
We inakuhusu nini😅
@@gilliardgodfriend5745 tulia dawa ikuingie
@@user-uo8xw9kr4b so sad
Kiwanja nibekari moja na nyumba. Je, wewe unafahamu huyu mama alitoa kiwanja chenye ukubwa gani?
Propaganda za uchaguzi
24