Simba sio timu mbovu Kama mnavyofikiria,mpaka sasa tuna Mataji MAWILI Ngao ya Jamii na Muungano,mbona hayo hamuyasemi nyinyi waandishi wa habari hebu semeni ukweli
Siyo kweli huo ni ubingwa wa mdomo siyo ubingwa wa uwanjani mbona watanzania tunapenda kucheza kwa kutumia mdomo tujaribu kuiga kutoka nchi za wenzetu, hivi unaweza kusema eti tarehe hii tutakuwa tunaongea tukiwa na ubingwa, hizo ni ndoto za kimweri
Kweli kabisa , Phiri aliathiriwa tu kisaikolojia, hata Miquisone ni bora sana ila alirudi wakati simba imepigwa mshale inachechemea, kelele zikawaathiri.
Inatakiwa muachane na watafuta wachezaji kwanza hao ndio tatizo na mwiba mkuu
Ili simba ile iweze kurudi, inabidi kwanza viongoz (wajuu) waliopo wasafishwe wote na waanze Moja. La sivyo tusubiri hadi 2025/2026.
Ukitaka timu ifanikiwe kwanza ni kuacha POROJO
Duuuh, saido kang'are uendakooo❤
ila msimuache kapombe sifaya kapombe Simba anacheza nafasi mbili kwamda umoja anacheza kama winga piaana cheza kama beki
Sasa wa kupumzika hapo ni Try again mangungu si mlimchagua ninyi?
Nawewe umeanza mbwembwe maneno mengi
Simba sio timu mbovu Kama mnavyofikiria,mpaka sasa tuna Mataji MAWILI Ngao ya Jamii na Muungano,mbona hayo hamuyasemi nyinyi waandishi wa habari hebu semeni ukweli
Sio maneno ya Amed kweri ?
Ukweli unauma?
Simba inachojua ni kucheza mdomoni,uwanjanii tunawaachia azam na utopolo
Hahahahaha Schoool bus, Mzee Ahmed Ally !!!!
Siyo kweli huo ni ubingwa wa mdomo siyo ubingwa wa uwanjani mbona watanzania tunapenda kucheza kwa kutumia mdomo tujaribu kuiga kutoka nchi za wenzetu, hivi unaweza kusema eti tarehe hii tutakuwa tunaongea tukiwa na ubingwa, hizo ni ndoto za kimweri
Mbona kubyeedaaa🤣🤣🤣umenikumbsha mbaal😄
Kwa kauli hii saidoo ayupo msimu ujao
Iyo ehehehehe,,,,,, inanipa raha Sana sijui aliitoa wapi ally jmn
Si ungesema tu io school bus inamilikiwa na mzize 😊😂
Apo kwa kibu wamekomeshwa sana mpaka tu release player ndy wamchukuee
Huyu msemaji kadri siku zinapoenda mbele anazidi kuchanganyikiwa aiseee.....Sijui timu🤣🤣
Ulitaka ajibuje ili uone yuko sawa?
Ety watu wanatembelea school bus 😂😂😂😂😂
Nawew auwezi kukjmbuka ulikotoka Wala unakoenda ila unapajua katikati kwasababu unapajua kwy tuliza mshono
Simba ikiendelea kuwaamin hawa jamaa wanaopga mdomo, ttashindwa kshrk kkombe chochote cha maana, timu haina kikombe ata kimoja arafu hyu jamaa anapga maneno utafkr mna klab bingwa
Vp viongozi ma CIO kujiuzulu kwa maslahi ya simba??
Mnatuchosha sasa. Vitendo sasa. Na viongozi wakae pembeni waje wengine
Waongea kifaransa wanaoanda school bus wanapitiana 😂😂😂😂😂😂
Tatizo pesa kaka, Simba sc tunayoifahamu cyo hiyo ya wachezaji wa mia mia kweli! Hapana tajiri aweke pesa aache longo longo.
Kichwa tenge
Kimsingi hata ww unapashwa kupisha,,,Huna uwezo wa kuwa msemaje wa simba,,,Uogo umekuwa mwingi sana kwako,,,hunatofauti na viogozi wako:::
Huyu Ahmed Aly ni msukuma et amebyeda ndo nni
😂😂😂 "wewe mbona umebieda"😂😂 haukubali?"
Kwni jamaa ni msukuma?😅😅😅
@@silveryb hicho ni Kisukuma ee, sijui kubieda ni Nini😂, tuambie.
@@boeihongoa1436eeeh kubieda ni kam kudharau.. huyo dada amemdharau semaji baada ya kudanganywa 😅😅😅
@@silveryb 😂😂😂 dada kaona semaji anaongea vitu sio.
@@boeihongoa1436 eeeh ndio maana kabieda 😆😆😆 kakataa kudanganywa
MKIACHA WACHEZAJI MNASAJILI TENA AMBAO CY BORA MFANO MLIMWACHA PHILI BALEKE SASA YAKO WAPI?
hii ndo Tanzania. Kila sehemu siasa hahaha
You need to get rid of those looking for players first, that is the problem and the main thorn
Duuu ndotooo mbayaaa unawezaaa ukaotaaa umejengaa anganiii mwakani anakujaaa nakombeee wakatii. Mukimuojiii eti
Mamae Siku Simba ikiwa vizuri hatutakaa Tanzania 😂😂😂 Eti Ki Vitz kimoja wanapitiana
Ahmedi ally kauli zake zinatusaliti anaongea kama karidhika kashinda makombe yote
Leo ame kiri kuwa wachezaji wakiwa Simba ni kuwabania kipaji ila wakienda team nyingine wanafanya vizuri kuliko 😂
Semajiiiiiii😅😅😅
Wenzio wanawekeza kwenye mijengo wewe unasema magari,kumaagazine
😂😂😂😂😂kibu dengaaa
Umebyedaaa 😂😂😢😢!!!!!!
Nimecheka mno, kumbe ni msukuma
@@petrojacob6070hunishindiii mm nimebakii natamani nijue kabila lake maan hiyo kubyeda kaipataa wapiii neno adimu kabisa
NIKWELI KABISA AKUNA OFA MTAPATA KWA MCHEZAJI YOYOTE WA SIMBA WOTE WABOVU
Sijajuwa simba anamuwacha man ila chama
Aziz key na Aucho mbona mlimshindwaa , Mudathiri pia acha kuwapa moyo wenzako muimba tarabu
Mdathiri tulimdharau japokuwa yupo kwenye kiwango sasa hv
Unatafuta mme?
Sio tumewashindwa tatizo wamezowea school bus 😂😂😂😂😂
@@basumaadam2686 hamna hela njaa tupu
HUWA MNASEMA HVYHVY MNASAJILI KWA MAJINA CY VITENDO
Acha wasajili afu tuone mwisho wa msimu 🤣🤣🤣
Huyu ndiyo semaji bana
Da balaa sana acha tujitafute
WARUDIHENIPHILI NA BALEKE
Kweli kabisa , Phiri aliathiriwa tu kisaikolojia, hata Miquisone ni bora sana ila alirudi wakati simba imepigwa mshale inachechemea, kelele zikawaathiri.
Noma sana 😂😂😂
😂😂
Saido mbona anagoli kuliko kb
Saido juz Dodoma Jiji ilikula chuma saido ucpime
Anazungumza ujinga mtupu, pumbafu
😅😅😂😂😂😂mjinga ni wewe unaepoteza bando lako kwa ajiri yake kweli we mjinga😂😂😂
Sawa acha azungumze ujinga vipi wewe timu yAko inafanya vizuri?
Saido ni mchezaji msumbufu anayechosha timu pinzani na anauwezo mkubwa msimguse