#ZaNdaaani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2022
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • СпортСпорт

Комментарии • 41

  • @kedyjohn1848
    @kedyjohn1848 Год назад +11

    Za Ndaaani Kabisa is one of the best radio segments in the country aisee. Sijui kama jamaa alikusudia au alianza kwa bahati mbaya tu, ila it's a masterpiece.

  • @fadhilimwaiganju3757
    @fadhilimwaiganju3757 Год назад +7

    Nakipenda hiki kipengele cha zaaaa ndaaaani😀

  • @alsaadyalsaady6838
    @alsaadyalsaady6838 Год назад +10

    Ni mwanamke anaejitambua na watamnunia sana mwaka huu na bado atasafisha uchafu wote pale simba

  • @thomasnaibala6171
    @thomasnaibala6171 Год назад +6

    C.O ni mmoja tu Tanzania na ni babra wengine wanajitafuta

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 Год назад +1

    Wizi siyo mziki yaani thuruma kila Kona , anaitwa super CEO ,Safi sana komesha hao vishoka..

  • @realmalik3192
    @realmalik3192 Год назад +4

    Kwahiyo alikuwa yupo sahihi kumfukuza Haji Manara 🤔🤔🤔 #sportsarena

  • @ezeckielymakala4548
    @ezeckielymakala4548 Год назад +6

    Aisee wakudere mwshon umelimwaga live😂😂😂 puuu!!

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Год назад +2

    Wewe unafanya mchezo mpaka yule msukule kulia mshahala wake ulikuwa laki tano lakini siku zote hizo alikuwa amenyamaza tu alikuwa anasema simba ndiyo inaongoza kulipa pesa nzuli wachezaji kumbe alikuwa anajua malupu lupu yake baada yakufutwa hayo lililia kama litoto jinga linalizwa namwanamke

  • @jeremialyati6092
    @jeremialyati6092 Год назад +2

    Ndugu yangu mimi sio mchezaji 😆😆😆😆

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 Год назад +3

    Kwa njia hiyo ni hatari

  • @salama1113
    @salama1113 Год назад

    nakukubali sana

  • @stevewesco6669
    @stevewesco6669 Год назад +1

    Wa kudereee🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿😂

  • @ip_header
    @ip_header Год назад +1

    Kaboresha kwa kumleta Mzungu?

  • @husseinmwita9642
    @husseinmwita9642 Год назад +1

    Mmmmh huyu jamaa

  • @isayandolomindolomi1853
    @isayandolomindolomi1853 Год назад

    Nikweli wa kudele fichuwa bwanaa

  • @mlelwatv5831
    @mlelwatv5831 Год назад

    Sasa mbona umetoa Siri momo mwanamama tena 😜😜😜😜😜🤣🤣🤣

  • @collinsmalilap6380
    @collinsmalilap6380 Год назад

  • @johnmwaisunga2339
    @johnmwaisunga2339 Год назад +1

    Baada ya Moh kuchukua Timu utaratibu na usajili wote ulikuwa na ufanywe na yeye, hivyo si kweli anachosema pili Mikataba upitia na body kabla ya kusainiwa iweje leo ndio iwe tofauti? Wakati yeye ndio mtendaji mkuu na upitia mikataba yote kabla kusainia? Lakini ni nani haswa anapaswa kuthibitisha yote hayo? Jibu ni takukuru, ni kweli mambo haya yapo, lkn kwa mfano mimi nimesaini mktaba wa kulipwa Milioni 10 kwa mwezi na timu A, Je ni kipengele gani kwenye mikataba kitakuonyesha kuwa mimi kuna mtu nampa hela?. Kwa matatizo yanayoendelea kwenye Timu yangu Simba kuwa watu walipaswa kujiuzuru au kuwajibishwa.

    • @johnmwaisunga2339
      @johnmwaisunga2339 Год назад +1

      Swali la msingi kujiuliza; ni nani aliyehusika na usajili wa huyu Dejan? Msemaji anasema ndio Mchezaji mwenye mkataba mrefu kuliko wote Simba, Je ni nani alipitisha mkataba huu na alitumia vigezo gani kukubaliana juu ya Mda wa mkataba?Mkataba umepitia kabla ya kusainia alafu waajiri hawataki kufuata mkataba kwanini? WATANZANIA tutaendelea kudanganywa mpaka lini na siasa za mpira?

  • @rickdm1264
    @rickdm1264 Год назад +2

    Ricardo momo bhana🤣🤣

  • @TheGreat-lq9tg
    @TheGreat-lq9tg Год назад

    Wakati wanasajiliwa alikuwa wapi?

  • @habarikiswahili
    @habarikiswahili Год назад +1

    😂😂😂😂mwanamama

  • @edomiteda5151
    @edomiteda5151 Год назад +2

    Wakuderee😂😂😂

  • @yusuphjilala846
    @yusuphjilala846 Год назад

    Huyo jamaa nimshenzi tena chizi nanyie mnafurahiatu!😢 ,nimchochezi watukama hawa wanatakiwa kuchomwa moto!😢😢😢

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 Год назад +1

    Mbona kachelewa mpaka mzungu anaamua kuvunja mkataba

    • @godfreymasele8853
      @godfreymasele8853 Год назад

      Siku zote tatizo likitokea huvumbua yaliyojificha

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Год назад +1

      Kuvunja mkataba ni jambo la kawaida kutokana na terms mlizojiwekea

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Год назад

    Weeee chokooo kila siku zaaaaa ndaannniiiii ni Simba tuuu JINGA moja hivi ligi inavilabu 16 kila siku kumwongelea Simba hujielew jinga sn

    • @rashadymuhamad6293
      @rashadymuhamad6293 Год назад

      Kaka Mbilinyi usishangeee. Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe (ndio unaopopolewa kwa sababu ya neema ulionao huo mti). Wa kuderee na apagawe tu. Vilabu vyengine huwa sio stori na ni shida kupata followers(Wafuasi/Washabiki )

  • @ip_header
    @ip_header Год назад +1

    Uliona wapi mshahara unaingi kwenye accounts mbili, huu ni uongo wadhahiri, mzee wa Kudere hapo amelishwa kasa.

  • @aminaboniphace327
    @aminaboniphace327 Год назад

    😂😂🙌🦁🦁

  • @FRANSKALITUSI4937
    @FRANSKALITUSI4937 Год назад

    Hahaha hahaha

  • @aishahassani5087
    @aishahassani5087 Год назад

    🤪🤪🤪🤪🦁🦁🦁

  • @mohamedabubakar4694
    @mohamedabubakar4694 Год назад +1

    2Second to coment @ricardo momo

  • @swalehlikongo1512
    @swalehlikongo1512 10 месяцев назад +1

    Call a spade never called it abig spoon konk fire mzee wa zandaaaaani