TETESI ZA USAJILI| SIMBA KUMNYOFOA BAKARI NONDO MWAMNYETO YANGA - RICARDO MOMO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 апр 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 55

  • @MrTollwood
    @MrTollwood Месяц назад +3

    Kama hupendi tetesi kaimbe kwaya ❤

  • @Kevworx
    @Kevworx Месяц назад +2

    Aje tu simba mwenzetu huyu kwa wasiomjua vizuri, yanga yupo kazini ila ana mapenzi ya dhati na mshabiki kitambo wa simba

  • @michaelthobias9967
    @michaelthobias9967 Месяц назад +1

    Asante mwamnyeto kiroho safi nenda bwana

  • @jogoomohamed2652
    @jogoomohamed2652 Месяц назад +2

    Bakari boko Mwamnyeto,aende tu wala hakuna ahida wala tatizo kwa timu yetu.Yangaaaa

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 20 дней назад

    Tatizo la Mwamnyeto ni KUKABA KWA MACHO.

  • @emmanuelpaul5704
    @emmanuelpaul5704 Месяц назад +2

    Mimi yanga ila kama mwamnyeto anataka kwenda simba aende tu maana anatuchomesha tu sa hv

  • @AmbweneMwasongwe
    @AmbweneMwasongwe 26 дней назад

    Bakari Nonda Mwamnyeto bonge la beki

  • @yahyaog1175
    @yahyaog1175 Месяц назад

    😀😀😀

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Месяц назад

    Aendee

  • @l.marley_2542
    @l.marley_2542 Месяц назад +1

    Huyu aende tu, Yanga Hana nafasi

  • @GIBSONGEORGE-lt3tb
    @GIBSONGEORGE-lt3tb 12 дней назад

    Magwaya wa nn simba

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 Месяц назад +1

    Atapotea akienda huko naomba ajitathimini sana

  • @JackVilo-qx5ll
    @JackVilo-qx5ll Месяц назад

    Asimbui nondo

  • @user-zy6vq6lz7z
    @user-zy6vq6lz7z Месяц назад

    Simba wanaenda kufeli tena jaman

  • @grassejaphet4799
    @grassejaphet4799 Месяц назад

    Hapo wachambuzi hata mpira hamjui Nodo kiwango kimeshuka ,unafikili yanga wangemuacha kama kiwango kingekuwa hakijashuka,

  • @zulfikakalumba1977
    @zulfikakalumba1977 Месяц назад +1

    Mchukueni hata sasa hivi, mchomeshaji huyo...
    DAIMA MBELE NYUMA MWIKO WANANCHI

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 Месяц назад

    Msijidanganye😂😂😂😂😂😂

  • @jumamakonya2665
    @jumamakonya2665 Месяц назад

    Hagahahaaaaa......ata kesho aende tu.... Yanga ni timu kubwa bhana

  • @mbarakasijaona7638
    @mbarakasijaona7638 Месяц назад

    Mwamnyeto hakuna mali

  • @user-gy3wo2ez4d
    @user-gy3wo2ez4d Месяц назад

    Mwamunyeto akija simba yanga wanachukua tena ubingwa mara4 mfululizo

  • @JackVilo-qx5ll
    @JackVilo-qx5ll Месяц назад

    😂😂😂😂😂 labda wamchukue ibra

  • @Tg.7_7
    @Tg.7_7 Месяц назад

    Kwa hiyo mnaona kwaya ni kitu cha hovyo sio, Eeh!! ?

  • @user-yu9hn2cq3y
    @user-yu9hn2cq3y Месяц назад

    😂😂😂 kama uyo aende tu nilijua bacca

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Месяц назад

    Mwamnyeto anaweza akawa kisiki

  • @raybirry3816
    @raybirry3816 Месяц назад

    Wanatoa Inonga wanachukua Mwamnyeto,Simba inaendeshwa na wendawazimu,wanaondoa problems wanaleta matatizo😅😅😅

  • @IsaacParuz
    @IsaacParuz Месяц назад

    Hivi Simba Wana akili kweli ? Bakari Nondo si ndo anachomesha sana pale yanga?

  • @bakarimohamedi9812
    @bakarimohamedi9812 Месяц назад

    Huyu jamaa hana making decisions nzuri,edo na hao wengine wanapiga debe ili yanga wampe mkataba,kama sio mobile ya job au Baka basi huyu jamaa angekuwa hata benchi hakai maana mzito sana halafu anachelewa kutoa maamuzi

  • @georgepewa9624
    @georgepewa9624 Месяц назад

    Huyu aondoke anamakosa mengi sana

  • @user-gj1bx9ow3u
    @user-gj1bx9ow3u Месяц назад

    Nondo hata bule aende

  • @EvansiEvansi-oi8or
    @EvansiEvansi-oi8or Месяц назад

    Kituocha kulelea wazee

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 Месяц назад

    Osca anafurahia tim yake noa fc kupata crim kutoka tim kubwa Yanga😂😂😂 boya kweli

  • @stefanontandu2041
    @stefanontandu2041 Месяц назад

    Bado tu hajasepa......fred ni bora kuliko mwamnyeto

  • @Mgema001
    @Mgema001 Месяц назад

    Aliondoka feisal sembuse mwamnyeto...mwamnyeto limekuagalasha yanga liende tu

  • @tezuramziray8700
    @tezuramziray8700 Месяц назад +1

    Yaani akiwa Yanga mnampondq kwa kuwa anatakiwa Simba ati atatatua matatizo ya Simba? Yaani jamani wachambuzi wetu. Hiyo ni kumharibia maanake Yanga hawarembi angalia Djuma na mwenzake.

  • @user-qo5hq7pt5t
    @user-qo5hq7pt5t Месяц назад

    wamchukuwe tu

  • @user-ot3vz6gw9f
    @user-ot3vz6gw9f Месяц назад

    Kumannzenu

  • @callykeron
    @callykeron Месяц назад

    Bakar wa nin Simba umri ushaend tunatakiwa wachezaj wachang uyo nondo tutamtumia miaka mitatu mwisho wa siku tutarudi kule kule apo tunapigwa

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Месяц назад

    Kam hutak tetesi nenda kaimbe kwaya

  • @user-rd3zb5rg5s
    @user-rd3zb5rg5s Месяц назад

    Uchukueni tu sababu tumechoka kuchomeshwa

  • @jothamkibona2919
    @jothamkibona2919 Месяц назад

    Wachambuzi acha dharau

  • @lazaromaitini-ej3ls
    @lazaromaitini-ej3ls Месяц назад

    Akiondoka rais ndo tunapata hofu kumbe nondo

  • @charlesjoseph1081
    @charlesjoseph1081 Месяц назад

    ACHA ULONGO HUYO SI BEKI NYIE WACHWAMBUZII

  • @user-wl4yo4zp9t
    @user-wl4yo4zp9t Месяц назад

    Mikundu yenu utopolo, daso Hilo mnampa nani? Kaeni nalo daso lenu

    • @RamseyOg
      @RamseyOg Месяц назад

      Mkund wako mwenyweewe

  • @user-ky7mz7qh1o
    @user-ky7mz7qh1o Месяц назад

    Huyoo hafai kucheza simba

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 Месяц назад

    Mimi nawaomba simba msiweke tetesi zozote fanyani mambo kimya kimya na mtanukumbuka wacheni yanga wabobokwe waweke mabango mana kuna tetesi jina la yanga linabadilika wanaenda kuitwa mabango fc

  • @janejoel2465
    @janejoel2465 Месяц назад

    Hiyo ndio timu yake ya moyoni. Yanga alikuwepo kwasababu ya kazi tu

    • @l.marley_2542
      @l.marley_2542 Месяц назад

      Ndivyo alivyokwambia 😂😂

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 Месяц назад

      Yanga mchezaji akitaka kuondoka hazuiliki

    • @janejoel2465
      @janejoel2465 Месяц назад

      @@l.marley_2542 hahaaa haya. Nimeota

  • @FRESHNEWS171
    @FRESHNEWS171 Месяц назад +1

    Wanini huyu..chezaji anakimbia kama ana busha
    Watafute kijana ambae damu inachemka wakukaa ata misimu 4

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Месяц назад

    Mwamnyeto ni Simba damu kama mkude kule amefata kazi

    • @ElizaYanga
      @ElizaYanga Месяц назад

      Haijalishi as long as kazi yao wanaifanya vizur uko waliko ajiriwa usimba wao wabak nao tuu sisi kila la kher kwao