Huyu jamaa hana making decisions nzuri,edo na hao wengine wanapiga debe ili yanga wampe mkataba,kama sio mobile ya job au Baka basi huyu jamaa angekuwa hata benchi hakai maana mzito sana halafu anachelewa kutoa maamuzi
Yaani akiwa Yanga mnampondq kwa kuwa anatakiwa Simba ati atatatua matatizo ya Simba? Yaani jamani wachambuzi wetu. Hiyo ni kumharibia maanake Yanga hawarembi angalia Djuma na mwenzake.
Mimi nawaomba simba msiweke tetesi zozote fanyani mambo kimya kimya na mtanukumbuka wacheni yanga wabobokwe waweke mabango mana kuna tetesi jina la yanga linabadilika wanaenda kuitwa mabango fc
Kama hupendi tetesi kaimbe kwaya ❤
Aje tu simba mwenzetu huyu kwa wasiomjua vizuri, yanga yupo kazini ila ana mapenzi ya dhati na mshabiki kitambo wa simba
Asante mwamnyeto kiroho safi nenda bwana
Bakari boko Mwamnyeto,aende tu wala hakuna ahida wala tatizo kwa timu yetu.Yangaaaa
Tatizo la Mwamnyeto ni KUKABA KWA MACHO.
Mimi yanga ila kama mwamnyeto anataka kwenda simba aende tu maana anatuchomesha tu sa hv
Bakari Nonda Mwamnyeto bonge la beki
😀😀😀
Aendee
Huyu aende tu, Yanga Hana nafasi
Magwaya wa nn simba
Atapotea akienda huko naomba ajitathimini sana
Asimbui nondo
Simba wanaenda kufeli tena jaman
Hapo wachambuzi hata mpira hamjui Nodo kiwango kimeshuka ,unafikili yanga wangemuacha kama kiwango kingekuwa hakijashuka,
Mchukueni hata sasa hivi, mchomeshaji huyo...
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO WANANCHI
Msijidanganye😂😂😂😂😂😂
Hagahahaaaaa......ata kesho aende tu.... Yanga ni timu kubwa bhana
Mwamnyeto hakuna mali
Mwamunyeto akija simba yanga wanachukua tena ubingwa mara4 mfululizo
😂😂😂😂😂 labda wamchukue ibra
Kwa hiyo mnaona kwaya ni kitu cha hovyo sio, Eeh!! ?
😂😂😂 kama uyo aende tu nilijua bacca
Mwamnyeto anaweza akawa kisiki
Wanatoa Inonga wanachukua Mwamnyeto,Simba inaendeshwa na wendawazimu,wanaondoa problems wanaleta matatizo😅😅😅
Hivi Simba Wana akili kweli ? Bakari Nondo si ndo anachomesha sana pale yanga?
Huyu jamaa hana making decisions nzuri,edo na hao wengine wanapiga debe ili yanga wampe mkataba,kama sio mobile ya job au Baka basi huyu jamaa angekuwa hata benchi hakai maana mzito sana halafu anachelewa kutoa maamuzi
Huyu aondoke anamakosa mengi sana
Nondo hata bule aende
Kituocha kulelea wazee
Osca anafurahia tim yake noa fc kupata crim kutoka tim kubwa Yanga😂😂😂 boya kweli
Bado tu hajasepa......fred ni bora kuliko mwamnyeto
Aliondoka feisal sembuse mwamnyeto...mwamnyeto limekuagalasha yanga liende tu
Yaani akiwa Yanga mnampondq kwa kuwa anatakiwa Simba ati atatatua matatizo ya Simba? Yaani jamani wachambuzi wetu. Hiyo ni kumharibia maanake Yanga hawarembi angalia Djuma na mwenzake.
Omeona eeeh hii ndio bongo
wamchukuwe tu
Kumannzenu
Bakar wa nin Simba umri ushaend tunatakiwa wachezaj wachang uyo nondo tutamtumia miaka mitatu mwisho wa siku tutarudi kule kule apo tunapigwa
Kam hutak tetesi nenda kaimbe kwaya
Uchukueni tu sababu tumechoka kuchomeshwa
Wachambuzi acha dharau
Akiondoka rais ndo tunapata hofu kumbe nondo
ACHA ULONGO HUYO SI BEKI NYIE WACHWAMBUZII
Mikundu yenu utopolo, daso Hilo mnampa nani? Kaeni nalo daso lenu
Mkund wako mwenyweewe
Huyoo hafai kucheza simba
Mimi nawaomba simba msiweke tetesi zozote fanyani mambo kimya kimya na mtanukumbuka wacheni yanga wabobokwe waweke mabango mana kuna tetesi jina la yanga linabadilika wanaenda kuitwa mabango fc
Hiyo ndio timu yake ya moyoni. Yanga alikuwepo kwasababu ya kazi tu
Ndivyo alivyokwambia 😂😂
Yanga mchezaji akitaka kuondoka hazuiliki
@@l.marley_2542 hahaaa haya. Nimeota
Wanini huyu..chezaji anakimbia kama ana busha
Watafute kijana ambae damu inachemka wakukaa ata misimu 4
Mwamnyeto ni Simba damu kama mkude kule amefata kazi
Haijalishi as long as kazi yao wanaifanya vizur uko waliko ajiriwa usimba wao wabak nao tuu sisi kila la kher kwao