TAZAMA VITUKO VYA JOTI AKIMTANIA ALIKIBA/DOKII ATAKA KUMPIGA/KIBA AMTETEA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
    TAZAMA VITU VITUKO VYA JOTI AKIMTANIA ALIKIBA/DOKII ATAKA KUMPIGA/KIBA AMTETEA
    #Bonatv #Exclusive

Комментарии • 138

  • @onecycytv3266
    @onecycytv3266 3 года назад +6

    Wallah Kiba Hana kujivuna Ana mu heshimu kilamuta Hajivuni wawatu💖💖🇧🇮🇧🇮

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 3 года назад +18

    King we utabaki kua king daima hunaga majivuno upo kawaida sana yaani ingekua wenzetu wale apo nyuma full msululu wa mabod gad

  • @arleneilunga9202
    @arleneilunga9202 3 года назад +7

    AliKiba simple world star, kipenzi cha watu 💋🇨🇩🇨🇩✌️

  • @amanisalumumercus7308
    @amanisalumumercus7308 3 года назад +1

    Kibaga tuna kukubali congo

  • @hilarimaramsha1633
    @hilarimaramsha1633 3 года назад +11

    Haya maisha ya styl hii raha san

  • @jackierama1817
    @jackierama1817 3 года назад +17

    Kiba mi naomba bodyguard wako😁😁

  • @erickelia9826
    @erickelia9826 3 года назад +1

    Kazi nzur Sana big Gap Sana time nzima

  • @farajafaston569
    @farajafaston569 2 года назад

    Penda sana Ally Kiba🙌
    Sema Joti ni Comedian in nature 🔥

  • @annaanyosisye8682
    @annaanyosisye8682 3 года назад +23

    Ninachompendea king kiba hana mbwembwe za kijingaa yupo vizuri❤️❤️❤️ broo

    • @aishafrancis7714
      @aishafrancis7714 3 года назад +2

      Anajielewa sana

    • @annaanyosisye8682
      @annaanyosisye8682 3 года назад +2

      Ndoo wasanii kama Hawa ndiyo wanatakiwa 🇹🇿🇹🇿c wasanii skendoo z ajabu ajabu wawe km king bhanaaa

    • @ayshaothman3995
      @ayshaothman3995 3 года назад

      Yeeee baba king kiba hana shobo

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 3 года назад +36

    *Tanzania pamoja na shida zetu ila kitu cha muhimu upendo tunao tukiwa pamoja sote huwa ni ndugu tofauti kabisa na nchi zote za africa ukikataa hilo maana yake ww hujatembea nchi zingine*

    • @agneskadzo6105
      @agneskadzo6105 3 года назад

      Mmh matusi tuyaonayo kwa mtanzania na mtanzania...hapa wameficha kucha zao ila hamupendani...?

    • @nilansaid2927
      @nilansaid2927 3 года назад

      Sema na shida zangu, wengine hatuna hizo shida

    • @samwelimoshi5614
      @samwelimoshi5614 3 года назад

      Upo sawa we are together Tanzania's

    • @adidjayousuf7300
      @adidjayousuf7300 3 года назад

      @@nilansaid2927 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @subiraboi9397
    @subiraboi9397 3 года назад +12

    Aliii kipenzi cha watuu yani hajali kabisa anajua n ndugu zake wote kweli ana enjoy

    • @officialbntrasool5223
      @officialbntrasool5223 3 года назад +2

      Wala han mabodguard

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 3 года назад

      Kiba hajikwezi

    • @subiraboi9397
      @subiraboi9397 3 года назад +1

      Haina shida sabbu hakuna anae jiweza ila kwa amri ya mungu sabbu nna iman n kijana mpambanaji

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 3 года назад

      @@subiraboi9397 sio kujiweza Subira ni kujikweza. Ni tofauti

    • @subiraboi9397
      @subiraboi9397 3 года назад

      Ok nimekuelewa amemlea malezi mazuri mmake masha Allah

  • @misigarojeandedieu1865
    @misigarojeandedieu1865 3 года назад +1

    😂😂😂😂 joti weeeeeee wee mkali...sana..nakupenda sana, respect kwa king kiba...

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel7752 3 года назад +12

    *Ali kiba mbavu hana* 😂😂😂😂😂😂😂😂 Kajoti Kila neno linalotoka ni pumba

  • @abdulqareemabdallah2579
    @abdulqareemabdallah2579 3 года назад +10

    Nawapenda sNaa nyiye watu wote mliokuwepo hapo Maan mnafuraisha sNaa utan raha hakun fujo Tim kwa wote wasanii nawapenda bureeee

  • @djgmp8140
    @djgmp8140 3 года назад +18

    Kiba ni ⭐ bhn paka mastar wanaomba kupiga nae pic

  • @braytonyofficially7362
    @braytonyofficially7362 3 года назад +1

    Hili vibe nimelikubariiii xaf sana apa kunachakujifinza kbsaaaa

  • @sabrinapius4562
    @sabrinapius4562 3 года назад +16

    Gonga like km umemwon mzee shayo

  • @yussufkansela8118
    @yussufkansela8118 3 года назад +1

    HADI RAHAAAA

  • @ramsman7083
    @ramsman7083 3 года назад +7

    Kitu kizur cha kuigwa,they spread love

  • @Noah-zt5zf
    @Noah-zt5zf 3 года назад +3

    Dah,,ila nampendaga dokii kimapenzi sana

  • @pascalstephano5512
    @pascalstephano5512 3 года назад +4

    king kama king

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 3 года назад +6

    Kiba mbona uzuri unazidi jama hadi unatia uroho 😋😋

    • @mbembelatv
      @mbembelatv 3 года назад

      Ohooo😂😂😂 kimeumana 🍆

  • @omaramina3421
    @omaramina3421 3 года назад +6

    Mimi nimemhona Hakika Reuben tu hapo🤣🤣

    • @Allyjully98
      @Allyjully98 3 года назад

      kama mimi tuu kumbe 🤣🤣🤣

  • @munyarubugaismailally111
    @munyarubugaismailally111 3 года назад +4

    Joti ni star ⭐️ sana 😂😂😂

    • @naimaislam552
      @naimaislam552 3 года назад

      Yaaani hajatumia hta nguvuuu lkn watu tumechekaaa

  • @agathasule2143
    @agathasule2143 3 года назад +11

    Hahaha nawapend buree

  • @salmaramadhan5386
    @salmaramadhan5386 3 года назад +7

    King kibaaaaaaa

  • @bizimanaomar3932
    @bizimanaomar3932 3 года назад +1

    Napenda sana

  • @mwambodzemwangongo3884
    @mwambodzemwangongo3884 3 года назад +1

    Napenda umoja wenu..

  • @mwajomaessa7513
    @mwajomaessa7513 3 года назад +4

    Mashaa Allah🔥🔥🔥🔥

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana7735 3 года назад +1

    Watu poa hawana makuzi👏👏👌❤️

  • @fashionkillernerob636
    @fashionkillernerob636 3 года назад +1

    Nakubali

  • @donathasimon9292
    @donathasimon9292 3 года назад +13

    Joti anachekesha lakini anauliza maswali ya muhimu

  • @salehhassan2006
    @salehhassan2006 3 года назад +2

    Zaidi ya upendo 💯💯💯💯💯💯🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @manfredmwitwa8942
    @manfredmwitwa8942 3 года назад +6

    Asas team🤫🤫

  • @artemisneoy9596
    @artemisneoy9596 3 года назад

    Kitu na Salama maanduje jamaniking kibao rudisha koti la Bi Amina hehehe love you all

  • @omanomana3958
    @omanomana3958 3 года назад +2

    King Kipenzi Cha Watu

  • @sophiamahanyu3056
    @sophiamahanyu3056 3 года назад

    Yan joti wew maswali yakingereza tupo

  • @zennahmtoto1867
    @zennahmtoto1867 3 года назад +6

    Jotii fala snaa😂😂😂ety anakanua gombe maziwa na mkono analia aaaaaaooooh🤣

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 3 года назад

      ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 3 года назад

      Zennah♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @rashidimkunjila8096
    @rashidimkunjila8096 3 года назад +3

    Nimempenda joti

  • @mzeemohamed9286
    @mzeemohamed9286 3 года назад +6

    Joti fwala sana 🤣🤣

  • @bahihira949
    @bahihira949 3 года назад +3

    Doing great guys 💚

  • @chidyboytz48
    @chidyboytz48 3 года назад +1

    kibaaaaaa💪

  • @abdicamel7571
    @abdicamel7571 3 года назад +1

    Pamoja sana

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 3 года назад +1

    Uyu joti kashindikana wallah

  • @oyay2821
    @oyay2821 3 года назад +2

    Uzuri wa AliKiba hana dharau kama Sadala na Mende wake

  • @fatmafetty4117
    @fatmafetty4117 3 года назад +2

    Safi sana

  • @aminahamisi2837
    @aminahamisi2837 3 года назад

    Hakika Ruben kafurahi sana kukutana na king

  • @gretarobert17
    @gretarobert17 3 года назад

    Uyoo s dokiii

  • @allynurdin6785
    @allynurdin6785 3 года назад +3

    Sawa

  • @kimrudiger4454
    @kimrudiger4454 3 года назад

    Joti stole the show.........too hilarious

  • @Phahad-k3w
    @Phahad-k3w Год назад

    Yupo salama jabir, maufundi ,anko zumo, ila joti na kiba nyinyi ndio munachangamxha yan hatar

  • @joshuaprincess7832
    @joshuaprincess7832 3 года назад +2

    Kingsmusic4life

  • @siaminsilwimba6959
    @siaminsilwimba6959 3 года назад

    Vzr sana

  • @nellymatalanga5033
    @nellymatalanga5033 3 года назад +1

    Salama jabir mmh

  • @alijunijohn1454
    @alijunijohn1454 3 года назад

    Hahahahaaaa daaah joti jamn umenifurahisha

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 3 года назад

    Nawapenda sana 😍😍😍😍😍😍😍

  • @johnaloyce9947
    @johnaloyce9947 3 года назад +3

    Kukamua kwa mkono au mashineeee hiyo dah! p
    Jot we kiboko

  • @yes_yes1310
    @yes_yes1310 3 года назад +2

    Aka kabwana joti mbona kasumbufu ivi 🤣🤣🤣eti kukaamua kwa mkono na kwa mashine

    • @roi2554
      @roi2554 3 года назад

      Msumbufu coz mfupi😆😆😆

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 3 года назад +2

    Good

  • @temelesenior0039
    @temelesenior0039 3 года назад

    Nimependa sana joti hana nyongo wala nn

  • @yebabatz1776
    @yebabatz1776 3 года назад +2

    Kingkiba

  • @carolynemkutano8086
    @carolynemkutano8086 3 года назад +1

    Joti maswali yako yamenifurahisha kweli, wewe ulikua mwanafunzi bora darasani 🤣🤣🤣

  • @saidzak9976
    @saidzak9976 3 года назад

    Swafiiiii sanaaa

  • @kamakarizona5189
    @kamakarizona5189 3 года назад +6

    👑👑👑👑

  • @benomdaile7271
    @benomdaile7271 3 года назад

    Joti bhanaa daaaa!

  • @nadegehakizimana2146
    @nadegehakizimana2146 3 года назад

    Ivi joti zipo kwel😅😅😅😅😅😅🇧🇮

  • @kelvinmbwanje3171
    @kelvinmbwanje3171 3 года назад

    Mind your step

  • @mudyking8282
    @mudyking8282 3 года назад

    Uyu jamaaa sikasema ataki bodygady leo hii uyu nan choko kwel uyu

  • @nurdinsaid4432
    @nurdinsaid4432 3 года назад

    Hahahahah jot unajua

  • @glorygosbert2659
    @glorygosbert2659 3 года назад +6

    Nimemuona Lemutuz kwa mbali waooo Umoja ni Nguvu na furaha.

  • @wardamzuka3997
    @wardamzuka3997 3 года назад +3

    Salama j andunje

  • @chollejr_
    @chollejr_ 3 года назад +1

    Ivi joti mlishindwa mkata mitama🤣🤣🤣

  • @agaaah6697
    @agaaah6697 3 года назад +2

    Joti akili huna

  • @mwajumajumanne5307
    @mwajumajumanne5307 3 года назад

    King king king

  • @sospeterkaponoke3789
    @sospeterkaponoke3789 3 года назад +3

    Joti atamua kiba si kwa kumchekesha huko

  • @devotangoda4112
    @devotangoda4112 3 года назад +3

    Nani kamuona kiboga

  • @mustafaosman1838
    @mustafaosman1838 3 года назад +1

    Jot fala

  • @shebizo4769
    @shebizo4769 3 года назад

    Asee jot ww nikisanga😆😆😆😆😆😆😆

  • @malmavoice8989
    @malmavoice8989 3 года назад +3

    Hilo koti la kiba vipi,sikuhizi kawa afande nani?

  • @omarmzee758
    @omarmzee758 3 года назад

    Kiba akiwa na wana maeneo

  • @jimmyapostle3435
    @jimmyapostle3435 3 года назад

    Kiba

  • @dechaggagirl1614
    @dechaggagirl1614 3 года назад +2

    Raha

  • @wilbertthomas8357
    @wilbertthomas8357 3 года назад +1

    🤔kwani hili shati alilovaa Ally kiba sio la kijeshi hilo na wenyewe hawajaona au habari za kuvaa nguo za jeshi imeludi alivuliwa diamond jukwaani

  • @misapinamiswi5751
    @misapinamiswi5751 3 года назад +1

    Kwani mwarabu fighter yuko na kiba

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 3 года назад +1

    Joti mfupi kuliko wote

  • @ramakimolo125
    @ramakimolo125 3 года назад

    Ufallaa ya jot

  • @salmamusa9085
    @salmamusa9085 3 года назад

    Joti mpe shughuli tu haaribu kitu

  • @Hashdough
    @Hashdough 3 года назад

    WHAT IS THIS?????????

  • @SASAMBUTV
    @SASAMBUTV 3 года назад +2

    Watu wafupi wanatabu

  • @akilihabibu4203
    @akilihabibu4203 3 года назад

    alikiba kwa kk hizo unatisha maana copying umekomesha nimemuona mwarabu

    • @sophiasophia9713
      @sophiasophia9713 3 года назад

      Wote hao ni mabalozi wa asas, unakurupuka tu 🙄,

  • @mercemlondani7910
    @mercemlondani7910 3 года назад

    NimSana

  • @allynurdin6785
    @allynurdin6785 3 года назад

    Nkbli

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark6398 3 года назад

    Maziwa ya Mbuzi tumekunywa kabla yao sisi kizazi jeuri hatar

  • @burudaniextra8643
    @burudaniextra8643 3 года назад

    😂 😂 😂 😂 😂

  • @immeimme2364
    @immeimme2364 3 года назад

    ❤️❤️❤️❤️❤️🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 3 года назад

    😂😂😂

  • @senetamasofa3326
    @senetamasofa3326 3 года назад

    Þ

  • @tonywammy9147
    @tonywammy9147 3 года назад

    Eeeeeee

  • @Phahad-k3w
    @Phahad-k3w Год назад

    Yupo salama jabir, maufundi ,anko zumo, ila joti na kiba nyinyi ndio munachangamxha yan hatar

  • @Phahad-k3w
    @Phahad-k3w Год назад

    Yupo salama jabir, maufundi ,anko zumo, ila joti na kiba nyinyi ndio munachangamxha yan hatar