TAZAMA VITUKO VYA JOTI AKIMTANIA ALIKIBA/DOKII ATAKA KUMPIGA/KIBA AMTETEA
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
TAZAMA VITU VITUKO VYA JOTI AKIMTANIA ALIKIBA/DOKII ATAKA KUMPIGA/KIBA AMTETEA
#Bonatv #Exclusive
Wallah Kiba Hana kujivuna Ana mu heshimu kilamuta Hajivuni wawatu💖💖🇧🇮🇧🇮
King we utabaki kua king daima hunaga majivuno upo kawaida sana yaani ingekua wenzetu wale apo nyuma full msululu wa mabod gad
AliKiba simple world star, kipenzi cha watu 💋🇨🇩🇨🇩✌️
King atabaki kuwa king tu very humble na watu
Kibaga tuna kukubali congo
Haya maisha ya styl hii raha san
Kiba mi naomba bodyguard wako😁😁
Kazi nzur Sana big Gap Sana time nzima
Penda sana Ally Kiba🙌
Sema Joti ni Comedian in nature 🔥
Ninachompendea king kiba hana mbwembwe za kijingaa yupo vizuri❤️❤️❤️ broo
Anajielewa sana
Ndoo wasanii kama Hawa ndiyo wanatakiwa 🇹🇿🇹🇿c wasanii skendoo z ajabu ajabu wawe km king bhanaaa
Yeeee baba king kiba hana shobo
*Tanzania pamoja na shida zetu ila kitu cha muhimu upendo tunao tukiwa pamoja sote huwa ni ndugu tofauti kabisa na nchi zote za africa ukikataa hilo maana yake ww hujatembea nchi zingine*
Mmh matusi tuyaonayo kwa mtanzania na mtanzania...hapa wameficha kucha zao ila hamupendani...?
Sema na shida zangu, wengine hatuna hizo shida
Upo sawa we are together Tanzania's
@@nilansaid2927 🤣🤣🤣🤣🤣
Aliii kipenzi cha watuu yani hajali kabisa anajua n ndugu zake wote kweli ana enjoy
Wala han mabodguard
Kiba hajikwezi
Haina shida sabbu hakuna anae jiweza ila kwa amri ya mungu sabbu nna iman n kijana mpambanaji
@@subiraboi9397 sio kujiweza Subira ni kujikweza. Ni tofauti
Ok nimekuelewa amemlea malezi mazuri mmake masha Allah
😂😂😂😂 joti weeeeeee wee mkali...sana..nakupenda sana, respect kwa king kiba...
*Ali kiba mbavu hana* 😂😂😂😂😂😂😂😂 Kajoti Kila neno linalotoka ni pumba
Nawapenda sNaa nyiye watu wote mliokuwepo hapo Maan mnafuraisha sNaa utan raha hakun fujo Tim kwa wote wasanii nawapenda bureeee
Kiba ni ⭐ bhn paka mastar wanaomba kupiga nae pic
6 you it out and let you know
Hili vibe nimelikubariiii xaf sana apa kunachakujifinza kbsaaaa
Gonga like km umemwon mzee shayo
😁😁😁😁
HADI RAHAAAA
Kitu kizur cha kuigwa,they spread love
Dah,,ila nampendaga dokii kimapenzi sana
king kama king
Kiba mbona uzuri unazidi jama hadi unatia uroho 😋😋
Ohooo😂😂😂 kimeumana 🍆
Mimi nimemhona Hakika Reuben tu hapo🤣🤣
kama mimi tuu kumbe 🤣🤣🤣
Joti ni star ⭐️ sana 😂😂😂
Yaaani hajatumia hta nguvuuu lkn watu tumechekaaa
Hahaha nawapend buree
King kibaaaaaaa
Napenda sana
Napenda umoja wenu..
Mashaa Allah🔥🔥🔥🔥
Watu poa hawana makuzi👏👏👌❤️
Nakubali
Joti anachekesha lakini anauliza maswali ya muhimu
Zaidi ya upendo 💯💯💯💯💯💯🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Asas team🤫🤫
Kitu na Salama maanduje jamaniking kibao rudisha koti la Bi Amina hehehe love you all
King Kipenzi Cha Watu
Yan joti wew maswali yakingereza tupo
Jotii fala snaa😂😂😂ety anakanua gombe maziwa na mkono analia aaaaaaooooh🤣
♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Zennah♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Nimempenda joti
Joti fwala sana 🤣🤣
Doing great guys 💚
kibaaaaaa💪
Pamoja sana
Uyu joti kashindikana wallah
Uzuri wa AliKiba hana dharau kama Sadala na Mende wake
Safi sana
Hakika Ruben kafurahi sana kukutana na king
Uyoo s dokiii
Sawa
Joti stole the show.........too hilarious
Yupo salama jabir, maufundi ,anko zumo, ila joti na kiba nyinyi ndio munachangamxha yan hatar
Kingsmusic4life
Vzr sana
Salama jabir mmh
Hahahahaaaa daaah joti jamn umenifurahisha
Nawapenda sana 😍😍😍😍😍😍😍
Kukamua kwa mkono au mashineeee hiyo dah! p
Jot we kiboko
Aka kabwana joti mbona kasumbufu ivi 🤣🤣🤣eti kukaamua kwa mkono na kwa mashine
Msumbufu coz mfupi😆😆😆
Good
Nimependa sana joti hana nyongo wala nn
Kingkiba
Joti maswali yako yamenifurahisha kweli, wewe ulikua mwanafunzi bora darasani 🤣🤣🤣
Swafiiiii sanaaa
👑👑👑👑
Joti bhanaa daaaa!
Ivi joti zipo kwel😅😅😅😅😅😅🇧🇮
Mind your step
Uyu jamaaa sikasema ataki bodygady leo hii uyu nan choko kwel uyu
Hahahahah jot unajua
Nimemuona Lemutuz kwa mbali waooo Umoja ni Nguvu na furaha.
Salama j andunje
Ivi joti mlishindwa mkata mitama🤣🤣🤣
Joti akili huna
King king king
Joti atamua kiba si kwa kumchekesha huko
Nani kamuona kiboga
Jot fala
Asee jot ww nikisanga😆😆😆😆😆😆😆
Hilo koti la kiba vipi,sikuhizi kawa afande nani?
La kitambo xn
mh cio ya kwetu hiy
Kiba akiwa na wana maeneo
Kiba
Raha
Ndugu dikii ana mimba nini
🤔kwani hili shati alilovaa Ally kiba sio la kijeshi hilo na wenyewe hawajaona au habari za kuvaa nguo za jeshi imeludi alivuliwa diamond jukwaani
Star hakamatwi😂😂😂😂😂
Tumeshampa doso
Cy lenyewe
Kwani mwarabu fighter yuko na kiba
Joti mfupi kuliko wote
Ufallaa ya jot
Joti mpe shughuli tu haaribu kitu
WHAT IS THIS?????????
Watu wafupi wanatabu
alikiba kwa kk hizo unatisha maana copying umekomesha nimemuona mwarabu
Wote hao ni mabalozi wa asas, unakurupuka tu 🙄,
NimSana
Nkbli
Maziwa ya Mbuzi tumekunywa kabla yao sisi kizazi jeuri hatar
Sanaa
😂 😂 😂 😂 😂
❤️❤️❤️❤️❤️🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
Þ
Eeeeeee
Yupo salama jabir, maufundi ,anko zumo, ila joti na kiba nyinyi ndio munachangamxha yan hatar
Yupo salama jabir, maufundi ,anko zumo, ila joti na kiba nyinyi ndio munachangamxha yan hatar