TAZAMA VITUKO VYA JOTI AKIMTANIA ALIKIBA/DOKII ATAKA KUMPIGA/KIBA AMTETEA
HTML-код
- Опубликовано: 19 май 2021
- Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
TAZAMA VITU VITUKO VYA JOTI AKIMTANIA ALIKIBA/DOKII ATAKA KUMPIGA/KIBA AMTETEA
#Bonatv #Exclusive - Развлечения
Wallah Kiba Hana kujivuna Ana mu heshimu kilamuta Hajivuni wawatu💖💖🇧🇮🇧🇮
King we utabaki kua king daima hunaga majivuno upo kawaida sana yaani ingekua wenzetu wale apo nyuma full msululu wa mabod gad
AliKiba simple world star, kipenzi cha watu 💋🇨🇩🇨🇩✌️
King atabaki kuwa king tu very humble na watu
*Tanzania pamoja na shida zetu ila kitu cha muhimu upendo tunao tukiwa pamoja sote huwa ni ndugu tofauti kabisa na nchi zote za africa ukikataa hilo maana yake ww hujatembea nchi zingine*
Mmh matusi tuyaonayo kwa mtanzania na mtanzania...hapa wameficha kucha zao ila hamupendani...?
Sema na shida zangu, wengine hatuna hizo shida
Upo sawa we are together Tanzania's
@@nilansaid2927 🤣🤣🤣🤣🤣
Nimemuona Lemutuz kwa mbali waooo Umoja ni Nguvu na furaha.
Haya maisha ya styl hii raha san
Kiba mi naomba bodyguard wako😁😁
Nawapenda sNaa nyiye watu wote mliokuwepo hapo Maan mnafuraisha sNaa utan raha hakun fujo Tim kwa wote wasanii nawapenda bureeee
Kazi nzur Sana big Gap Sana time nzima
Penda sana Ally Kiba🙌
Sema Joti ni Comedian in nature 🔥
Ninachompendea king kiba hana mbwembwe za kijingaa yupo vizuri❤️❤️❤️ broo
Anajielewa sana
Ndoo wasanii kama Hawa ndiyo wanatakiwa 🇹🇿🇹🇿c wasanii skendoo z ajabu ajabu wawe km king bhanaaa
Yeeee baba king kiba hana shobo
😂😂😂😂 joti weeeeeee wee mkali...sana..nakupenda sana, respect kwa king kiba...
Kitu kizur cha kuigwa,they spread love
Mashaa Allah🔥🔥🔥🔥
Na mzee shayo nimemuona🤗
Doing great guys 💚
Kiba ni ⭐ bhn paka mastar wanaomba kupiga nae pic
6 you it out and let you know
Gonga like km umemwon mzee shayo
😁😁😁😁
Hili vibe nimelikubariiii xaf sana apa kunachakujifinza kbsaaaa
Watu poa hawana makuzi👏👏👌❤️
king kama king
*Ali kiba mbavu hana* 😂😂😂😂😂😂😂😂 Kajoti Kila neno linalotoka ni pumba
King kibaaaaaaa
Dah,,ila nampendaga dokii kimapenzi sana
Nawapenda sana 😍😍😍😍😍😍😍
Kibaga tuna kukubali congo
Aliii kipenzi cha watuu yani hajali kabisa anajua n ndugu zake wote kweli ana enjoy
Wala han mabodguard
Kiba hajikwezi
Haina shida sabbu hakuna anae jiweza ila kwa amri ya mungu sabbu nna iman n kijana mpambanaji
@@subiraboi9397 sio kujiweza Subira ni kujikweza. Ni tofauti
Ok nimekuelewa amemlea malezi mazuri mmake masha Allah
HADI RAHAAAA
Safi sana
Napenda umoja wenu..
Hahaha nawapend buree
Sawa
Napenda sana
Mfalme wa music tz Al kiba
Joti anachekesha lakini anauliza maswali ya muhimu
Pamoja sana
Kingsmusic4life
Salama jabir mmh
Mind your step
Nakubali
Joti stole the show.........too hilarious
kibaaaaaa💪
Asas team🤫🤫
King Kipenzi Cha Watu
Vzr sana
Kitu na Salama maanduje jamaniking kibao rudisha koti la Bi Amina hehehe love you all
Good
Nimempenda joti
👑👑👑👑
Kiba mbona uzuri unazidi jama hadi unatia uroho 😋😋
Ohooo😂😂😂 kimeumana 🍆
Swafiiiii sanaaa
Joti ni star ⭐️ sana 😂😂😂
Yaaani hajatumia hta nguvuuu lkn watu tumechekaaa
Yan joti wew maswali yakingereza tupo
Mimi nimemhona Hakika Reuben tu hapo🤣🤣
kama mimi tuu kumbe 🤣🤣🤣
Joti fwala sana 🤣🤣
Salama j andunje
Uyu joti kashindikana wallah
Uzuri wa AliKiba hana dharau kama Sadala na Mende wake
Uyoo s dokiii
Zaidi ya upendo 💯💯💯💯💯💯🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yupo salama jabir, maufundi ,anko zumo, ila joti na kiba nyinyi ndio munachangamxha yan hatar
Kingkiba
Hahahahaaaa daaah joti jamn umenifurahisha
Hakika Ruben kafurahi sana kukutana na king
King king king
Joti bhanaa daaaa!
Raha
Ndugu dikii ana mimba nini
Nimependa sana joti hana nyongo wala nn
Kiba
Kukamua kwa mkono au mashineeee hiyo dah! p
Jot we kiboko
Ivi joti mlishindwa mkata mitama🤣🤣🤣
Jot fala
Joti akili huna
Hahahahah jot unajua
Jotii fala snaa😂😂😂ety anakanua gombe maziwa na mkono analia aaaaaaooooh🤣
♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Zennah♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Joti maswali yako yamenifurahisha kweli, wewe ulikua mwanafunzi bora darasani 🤣🤣🤣
Ivi joti zipo kwel😅😅😅😅😅😅🇧🇮
Uyu jamaaa sikasema ataki bodygady leo hii uyu nan choko kwel uyu
Joti atamua kiba si kwa kumchekesha huko
Aka kabwana joti mbona kasumbufu ivi 🤣🤣🤣eti kukaamua kwa mkono na kwa mashine
Msumbufu coz mfupi😆😆😆
Nani kamuona kiboga
😂 😂 😂 😂 😂
Kiba akiwa na wana maeneo
Maufundiii..
Asee jot ww nikisanga😆😆😆😆😆😆😆
WHAT IS THIS?????????
🤔kwani hili shati alilovaa Ally kiba sio la kijeshi hilo na wenyewe hawajaona au habari za kuvaa nguo za jeshi imeludi alivuliwa diamond jukwaani
Star hakamatwi😂😂😂😂😂
Tumeshampa doso
Cy lenyewe
Jaman kumbe joti mfupi🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Mfupi balaa nilikutana nae pale bagamoyo
🤣🤣🤣
Hilo koti la kiba vipi,sikuhizi kawa afande nani?
La kitambo xn
mh cio ya kwetu hiy
NimSana
Ufallaa ya jot
Joti kawafunika wasanii wote
Kwani mwarabu fighter yuko na kiba
Joti mfupi kuliko wote
Nkbli
alikiba kwa kk hizo unatisha maana copying umekomesha nimemuona mwarabu
Wote hao ni mabalozi wa asas, unakurupuka tu 🙄,
Maziwa ya Mbuzi tumekunywa kabla yao sisi kizazi jeuri hatar
Sanaa
❤️❤️❤️❤️❤️🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
Joti mpe shughuli tu haaribu kitu