KAREN AMKATAA NDUGU YAKE | HATAKI KUSIKIA HABARI ZAKE | ATOFAUTIANA NA BABA YAKE!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 авг 2020
  • Mwanamuziki Karen Ametoa ya Moyoni kuhusu Mtoto aliyetambulishwa na Baba yake hivi karibuni. Tazama hapa

Комментарии • 59

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Месяц назад +3

    Tena ushukuru mungu Kuna damu yenu ila baba nae alikosea alivyougua muda wote kwanini asiseme hata nikiondoka Kuna mtt wangu sehemu fulani

  • @user-hp2ix5wp6i
    @user-hp2ix5wp6i Месяц назад +5

    IPO siku utajua faida ya kuwa na ndugu

  • @AgredaMoyo
    @AgredaMoyo Месяц назад +2

    KarenKarenKaren ndo maana Umeenda kupandikiza mbegu nimejua kwanini😂

  • @emmabrownmissana6996
    @emmabrownmissana6996 3 года назад +5

    Kumbe we ni mjinga hivyo!

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 Месяц назад +1

    Dada ni mjinga sana kumbe

  • @user-no3ll8yq4y
    @user-no3ll8yq4y Месяц назад +2

    Uyu ni baba angu mimi akiludi amejitisha nitajuta mbna 😂😂😂😂😂

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Месяц назад +6

    Huyo ndugu yako anafanana na baba yake kuliko wewe halafu yupo hamble na ni mrembo zaidi yako.

  • @tabuomary1016
    @tabuomary1016 3 года назад +2

    Hayo Mambo kweli Ni ya kifamilia,Tena wazazi. Caren atahusika baadae. Nilazima akatae.mitandao endeleeni na kazi.

  • @michaelpetershoo1885
    @michaelpetershoo1885 Месяц назад +2

    Wazazi tuwalete na kuwatambulisha watoto nyumbani kwa ndugu zao siyo kupost mtandaoni.Mtoto hana mamlaka ya kumkataa ndugu yake halali kisa tamaa ya mali.

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Месяц назад

    Basi inatosha kumtukana,tumwombee Mungu akuli ikitulia atakubali

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 3 года назад +2

    Mbinafsi sana pumbavuuuuu

  • @tulanyagawa3271
    @tulanyagawa3271 3 года назад +2

    Duuuu jmnii Karen mchoyoo weeee khaaa

  • @winfridamsumule5084
    @winfridamsumule5084 3 года назад +2

    Huyu ni mwnmk km wanawake wengine,akizaa na mtu akalea mtoto peke yake zipo nyakat mtoto atataka kumjua baba yake,mtoto atakapokuja kukataliwa na ndugu zake wa kwa baba,atakuja kuelewa maumivu yake

  • @albertrwaburur5895
    @albertrwaburur5895 3 года назад +2

    wew acha ubinafus ujui leo wala kesho itakuw vp uyo ndugu yako

  • @lilianeliakim9287
    @lilianeliakim9287 Месяц назад

    Dah nimejikuta naumia zaidi ya sana ila muda bado ipo siku utajua umuhimu wa dada au kaka

  • @innocentjohn8632
    @innocentjohn8632 3 года назад +7

    Hyu atakuwa anawasiwas na hela za mzee ndio maana ataki ndgu maana uwez mkana ndugu yako

  • @frankmare1708
    @frankmare1708 3 года назад +3

    Huna akili

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o Месяц назад +1

    Roooo mbayaaa iyooo

  • @lovemusicnoreen9185
    @lovemusicnoreen9185 Месяц назад

    This is sad don't say that ata kama umepitia mapito gani KATUBUUU

  • @salmadalaquimane2364
    @salmadalaquimane2364 3 года назад +2

    Acha utopolo roho mbaya kusemaje yaan hadi useme hivyo

  • @user-hn8wo7fw6d
    @user-hn8wo7fw6d 16 дней назад

    Roho mbaya

  • @salummwanjali3207
    @salummwanjali3207 3 года назад +1

    Mwenye kaur hapo ni Baba mtoto ni mtoto2

  • @ashurashuraym3497
    @ashurashuraym3497 3 года назад

    Karen inabidi aachwe kwanza kwa kipindi hiki halafu afanyiwe interview maana kwa sasa yuko kwa mshtuko mkubwa kidogo,ila akikaa sawa kila kitu naimani itakaa POA!

  • @Mwigaa95
    @Mwigaa95 Месяц назад

    Usikute hata huyo careni sio mtoto wake gadna ila huyo mwingine ambae ana jifanya hamjui ndio mtoto halali wa damu maana hata kimwonekano una ona kabisaa wana fanana sana na marehemu baba ake

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 Месяц назад

    ,Mmmh Ndugu yako unamkataa kabisaa kama wewe ndio mtoto pekee unakataa tena bila aibu mwenzio kafanana na Baba yake

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 Месяц назад

    Sasa mlitaka asemaje amtamnui ndio

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Месяц назад +1

    Nimekuja kusikilizia interview baadae ya mirithi kukabidhiwa karen

    • @WahuBoth
      @WahuBoth Месяц назад

      Wee usiniambie kwaiyo yule mwingine ayupo 😮

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Месяц назад

    Hata akimkataa haitaji msaada wala urithi ujinga tu

  • @camillacaroline8996
    @camillacaroline8996 3 года назад +2

    Selfishness!!!

  • @innocentchristopher7571
    @innocentchristopher7571 Месяц назад

    Mna mlazimish vp bint kawa mkubw hvy nd uletew ndg yko huyu hapa sku zote alikuw wap nd maan hata msiban akutajwa

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 Месяц назад

    Zinaa zinaa zinaa ni Hatari wote hao watoto ni haramu napia majina nlazima watumie yaamazao

  • @AMINASAIDI-mx7rs
    @AMINASAIDI-mx7rs Месяц назад

    Roho mbaya tu .

  • @michaelpetershoo1885
    @michaelpetershoo1885 Месяц назад

    Mzazi akishasema huyu ni ndugu yako wewe huwezi kupinga kisa kinachoaminika kikiwa mali.Binadamu tumekuwa wa ovyo kuweka mali mbele.

  • @faridariziki8766
    @faridariziki8766 3 года назад +2

    Acha kumkataa ndug yako

  • @user-pm7pj6zi6q
    @user-pm7pj6zi6q Месяц назад +1

    Anafanana na baba yako sana kuriko weww

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 Месяц назад

    Tena yule ndio copy na g sura Pana nk

  • @RazaqWatuta
    @RazaqWatuta Месяц назад

    Wewe mbona umebeba mimba alafu umempelekea nayeye kakusikiliza kwanini wewe ukatae kumbe wewe sio mzima mjinga kabisa

  • @SalimMndeme
    @SalimMndeme 15 дней назад

    Emb gunduwa faida yandugu yako kabla ujachelewa

  • @minjaminjaukovizurdogo5187
    @minjaminjaukovizurdogo5187 3 года назад

    Yan wwe mtto unalaana , hiv kama ni wwe unakanwa hivyo utajiskiaje. Roho mbaya umedekezwa sana ndiyo maana huna adabu, yan bila aibu unaongea eti unaikataa damu hadharani duu we kwel kiboko

  • @leonidamatungwa5328
    @leonidamatungwa5328 3 года назад

    Acha ujinga

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 3 года назад +6

    Sasa ni Tabia gani hiyo,inaonesha amedekezwa mno..ndo maana majibu haya..mbona mwenzie alielezea vizur bila kuonesha kumdis🤣

    • @asiahmhina9850
      @asiahmhina9850 3 года назад +1

      Ni wivu, maana mwenzake Ni mrembo kuliko yeye.

    • @user-ib2uf3uk2d
      @user-ib2uf3uk2d Месяц назад +1

      😂😂😂nimerudi

    • @WahuBoth
      @WahuBoth Месяц назад

      ​@@user-ib2uf3uk2d😆😆 tupo wengi

    • @marymanoni5536
      @marymanoni5536 Месяц назад +2

      Mchukueni nyie

  • @HusnaMuhammed-yx8nl
    @HusnaMuhammed-yx8nl Месяц назад

    Acha roho mbaya wewe hujui kesho yako

  • @giftikaini9737
    @giftikaini9737 3 года назад

    mpuuzi shenzi wewe awakataagi ndugu na ulivo mpuuz ungeuliza kwa Mzee wako akwambie ukweli unaonekana tamaa za mali zmektawala sana!!!!

  • @masudinangololo3672
    @masudinangololo3672 3 года назад

    😁

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Месяц назад

    Hamnaga mtu hapo. Inamaana matanga yameisha

  • @sareheabedi5464
    @sareheabedi5464 3 года назад +2

    Wew yule ni ngugu yako tu hata ukatae baba ndio kaisha sema

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Месяц назад

    Na watoto wa mamako mwanza vipi

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 3 года назад

    Mpuuzi tuu, unakataa damu yako Kwasababu ya vimali tuu, ikitokea umekufa weye kwanza itakuwaje

  • @asiahmhina9850
    @asiahmhina9850 3 года назад

    Una umimi wewe, khaaa