CHUCHUHANS:AFICHUA SIRI NINA MTOTO WAKIKE MZURI KULIKO MIMI/SITAKI KUMUHARIBU/ANANIUMIZA/KUNUNUADUKA

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 113

  • @tiger-zs2sm
    @tiger-zs2sm 3 года назад +70

    Nimekuwa wakwanza naomben like zenu

  • @madamloveness7274
    @madamloveness7274 3 года назад +65

    Ambao tulikuwa tunajua Ana mtoto mmoja na leo tumejua wako 3 tujuane

  • @zuhurajuma9122
    @zuhurajuma9122 3 года назад +35

    Nimekuwa wa pili naombeni coment zenu😒😒😆

  • @ashoasho6542
    @ashoasho6542 3 года назад +10

    Chuchu daima nakupenda wew bidada

  • @salomisalomi1828
    @salomisalomi1828 3 года назад +1

    Hongera sn chuchu hans mm nilijuwa una mtt 1 tu ambae ulizaa na ley

  • @fatmahamisikipindura6640
    @fatmahamisikipindura6640 3 года назад +7

    Sister Chuchu Mimi naitaji ivyo vikoti ulichovaa ww Niko Dar jmn

  • @mabyserolouchcraig2431
    @mabyserolouchcraig2431 3 года назад +7

    Nakupenda chuchu😍

  • @samilaayomba4203
    @samilaayomba4203 3 года назад

    Hongela sana chuchu hasi umefaya vizuli sana kuwekeza kwetu

  • @bemeradaniel8402
    @bemeradaniel8402 3 года назад +3

    This is my favorite actres

  • @mwajabuhamis6234
    @mwajabuhamis6234 3 года назад

    Hongera Sana kipenzi Ni vzr Sana kuwekeza nyumbani

  • @montana3586
    @montana3586 3 года назад +7

    Hongera chch

  • @blasidajulius2240
    @blasidajulius2240 3 года назад +2

    Hongera sana na hela unayo mpnz wengine tukiandika mpk vinafutika

  • @annamwakibinga3190
    @annamwakibinga3190 3 года назад +2

    Hongera sana

  • @faridaiddi104
    @faridaiddi104 3 года назад +7

    Uyu mdada huwa nampenda hatariiii 😋😋😋

  • @xkingx8041
    @xkingx8041 3 года назад +2

    Ulijiendea tanga mwaya!! Hongera saaana

  • @aishamwinyi5048
    @aishamwinyi5048 3 года назад +18

    Tujuane watu wa Tanga nakupenda sana home💕

  • @ashoasho6542
    @ashoasho6542 3 года назад +4

    Mashallah

  • @gladykalonge4540
    @gladykalonge4540 3 года назад +5

    Ooh my jamn mtt wa 4m5 jamn nimependa

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel7 3 года назад +3

    Safi sana

  • @asmahanyally3225
    @asmahanyally3225 3 года назад +1

    Hongera

  • @ashurafundi2873
    @ashurafundi2873 3 года назад +1

    Chuchu nakupenda sana

  • @salmaadam4337
    @salmaadam4337 3 года назад +5

    Iiiiii acheni roho mbaya nyie chuchu mzuri jmn tena mzuri mashallah

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад

      Kweli Hata Madenda Yamenitoka Sijuwi Atanikubali???

    • @happypa2027
      @happypa2027 3 года назад

      @@salimsaid7200 😁😅usijali atakukubal

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад +1

      @@happypa2027 🥰🥰🥰👍👍👍

  • @kassimumaghembe924
    @kassimumaghembe924 3 года назад

    Awesome 👌

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 3 года назад

    Nakupenda bureeee my dadaaaa

  • @rabunabraimo914
    @rabunabraimo914 3 года назад

    Parabéns

  • @asteer.mlungu5165
    @asteer.mlungu5165 3 года назад

    Ongera

  • @tatuabdu1364
    @tatuabdu1364 3 года назад +2

    We mrembo saana

  • @gressluhimbo1215
    @gressluhimbo1215 3 года назад +2

    Woow kumbe unawatto wakubwa

  • @surujajwie4768
    @surujajwie4768 3 года назад +3

    Mashaallah hongera

  • @amurisabiti7037
    @amurisabiti7037 2 года назад

    Kinacho niuma kwenu watoto wa kiislam kuacha dini na kufuata mila nyingine poleni sana

  • @mariamdaudi2315
    @mariamdaudi2315 3 года назад +3

    Hafu mwisho wa siku anakuja kua diamond akimjari chunchu watu wataanza kufunua midomo yao hawajuwi saivi chunchu anahangaika kiasi gani

  • @vailethkinabo7961
    @vailethkinabo7961 2 года назад +1

    Dada wa busara zake nakupenda buree

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 года назад +2

    Chuchu kanenepa nilikuwa nampendaga

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 2 года назад +1

    Tanga Raha 💓

  • @paulchacha1129
    @paulchacha1129 3 года назад

    Ok

  • @roseeliasi4339
    @roseeliasi4339 3 года назад +6

    We chuchu una mtoto wa form 5 ulimzaa mwaka gani?? 🤔

  • @veronyanganda179
    @veronyanganda179 Год назад

    Eeh Mimi najua Mimi tu, kmbe tuko wengi.

  • @subraissiaka6440
    @subraissiaka6440 3 года назад +2

    Tumeingiliw ten namdudu mke waally anampend itakuwaje sevda

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 3 года назад

    Jamani Rey kapoteza karembo kama ichi kweli mwenye macho daima anakua kipofu wa moyo

    • @mmn7480
      @mmn7480 2 года назад

      wameachana kwni

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 3 года назад

    Wa tatu!

  • @mariamdaudi2315
    @mariamdaudi2315 3 года назад +2

    Wanaume wanauzi mwacheni kabisa mama dangote ale raha mana kasota namtoyo wake hakuna mtu aliye msaidia

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 3 года назад

    Watatu

  • @ayoubshomary1116
    @ayoubshomary1116 3 года назад

    Clarice 👅

  • @tausisabuni6620
    @tausisabuni6620 2 года назад

    Arekiba

  • @fahmiabdy
    @fahmiabdy 3 года назад +1

    Mpe hi Dada nimemiss Sana

  • @devothamasaki5513
    @devothamasaki5513 3 года назад

    Sioburewewe

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 3 года назад +10

    Mtoto wangu ni msichana ni mzuri yaani ni mkali mimi pia ananipita nani kakwambia wewe mzuri??

  • @aminaissa9756
    @aminaissa9756 3 года назад +4

    Nimekua wa tatu, ujinga mtupu. 😏😏😏

  • @rahelmasiga1503
    @rahelmasiga1503 3 года назад

    Huyo mtoto hajanza skuli na huo mnyoyo?

  • @mwanaidytaifa3329
    @mwanaidytaifa3329 3 года назад +1

    Nina wasiwasi na vunja bei 🤔

  • @asmahmusa3468
    @asmahmusa3468 3 года назад

    Watoto wa kiislamu lkn wamepoteza muelekeo mpaka inakuwa mtihani jamani, Allah atunusuru cc na vizazi vyetu maana......ama kweli dunia hadaa ulimwengu shujaa.

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya Год назад

      Munajifanya waisiramu kumbe hamuna rorote kwani amefanya zambi kujitafutia maisha au mbona wake na mabinti zenu Dada zenu wanajisitiri adi nekabu kumbe Maraya wachafu musiwe munajiosha turishawajua😂😂😂😂

    • @user-vj7in6to3g
      @user-vj7in6to3g Месяц назад

      Kamaweye apo umekosalakusema kwanikutafutamaisha nimpaka uendekenyume nama amrishoyamungu?duniya tunapita ayomaisha ataendanayokwamungu

  • @ashoasho6542
    @ashoasho6542 3 года назад +1

    Coz tanga moja.but Niko nje ya tz✍️

    • @azizayusuph6255
      @azizayusuph6255 3 года назад

      Haya sasa wababa mkiambiwa ukweli mnachukia

  • @sheilademama6104
    @sheilademama6104 2 года назад

    Nikija huko duka hilo mi mujeni walo

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 3 года назад +1

    Kumbee uyuu Dada ni mkubwaaa aiseeee

  • @marryriwa2435
    @marryriwa2435 3 года назад

    Dada chuchu Naja uniuzie suti ya mwanangu ya ubarikio

  • @anjelanyaulingo7314
    @anjelanyaulingo7314 3 года назад

    We ndy maraya una mme ukaenda kutembea na Ray uku uko ndan ya nyumba yake unaingiza mwanaume kwenye nyumba ya mmeo kisa yupo nje ya nchi

    • @estersosthenes8413
      @estersosthenes8413 3 года назад +2

      Acha zako ww au inakuuma nn,,,,,Kwan hyo ndie alkua wakwanza kwake unajua n sabab gan ilyopelekea hayooo wabongo bwana

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад

      @@fadhilaongezaongeza226 Apana Alikuwa Mlinzi Wa Ray Ka
      Amekatwa Mshahara 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @happypa2027
      @happypa2027 3 года назад

      @@estersosthenes8413 kabis

  • @sherin3171
    @sherin3171 3 года назад +7

    So kuzaa nikawaida tu sio lazima uwe kwa ndoa🤔

  • @devothamasaki5513
    @devothamasaki5513 3 года назад

    Unaujingasana unakuamrahisi kuelezamaishayakoivo

  • @salimsaid7200
    @salimsaid7200 3 года назад

    Tanga Kwetu Nikija Ntakutafuta.

  • @joharhamis855
    @joharhamis855 3 года назад +5

    Asiwe Frank vunja Bei 2 maana wanawake sisi

  • @hafidhali3020
    @hafidhali3020 3 года назад

    Kwani una uzuri gani? Unajidanganya

  • @estherpeter2173
    @estherpeter2173 2 года назад

    Ssss

  • @pillyolsen8377
    @pillyolsen8377 3 года назад

    Ww nae kila mtoto na baba yake

    • @iddylemu4654
      @iddylemu4654 2 года назад

      Tema mate chin hakuna anaependa itokee hvyo na akuna anaejua mbere jmn kuzaa kila mtoto na babake sio kwamba mwanamke maraya hpana ila tu ni changamoto zinatokea ikasema labda hyu kumbe mtu analake moyon

    • @benithaissa5582
      @benithaissa5582 2 года назад

      Kila mtoto anababa ake kumbe ndio msumbufu

  • @fatimachafimchafim141
    @fatimachafimchafim141 3 года назад

    Hongera

  • @cosmasolilo9064
    @cosmasolilo9064 3 года назад +3

    Hongera