Rammy:Sababu Ya kuachana Na POSH QUEEN/Aibu/Ananipigia Simu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Rammy:Sababu Ya kuachana Na POSH QUEEN/Aibu/Ananipigia Simu

Комментарии • 125

  • @technicalanalysis8124
    @technicalanalysis8124 3 месяца назад +3

    i like his personallity..he seemz like a respectful person,,watching from kenya

  • @tabysareva586
    @tabysareva586 4 месяца назад +36

    Kwa kweli unapendeza sana na urubani,,, Allah akufanyie wepesi kaka

    • @stelasianga9468
      @stelasianga9468 3 месяца назад

      Huyu kaka ha
      Ringi....labda huyo baba watotowako

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 4 месяца назад +17

    Yuko na sjda mashaa-Allah

  • @godfreykeita9804
    @godfreykeita9804 4 месяца назад +19

    9:38 is what you're looking for

  • @brehimakeita7597
    @brehimakeita7597 4 месяца назад +12

    ❤❤❤❤njo uwendeleze tamthiliya tumekumisi sana ata tesa anateseka
    Kukukosa

  • @KhadijaMasoud-m6u
    @KhadijaMasoud-m6u 4 месяца назад +5

    Lamiki nampenda huyu anavyo mkumbuka mungu mpole Kuna siku utakumbuka nilikutuma unitilie maji ktk chupa unatoka mswalani mwanamboka yaani kuangalia ni yy lkn chaajabu hajaonesha pozy kujiona et msanii maarufu nakupenda Bure tabiya zako endelea kufanya ibada lamiki

  • @smprotz
    @smprotz 4 месяца назад +21

    Rammy ana UTULIVU WA AKILI kuliko wabongo WA Kawaida. Hongera

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 4 месяца назад

      nikukumbushe tu huyu asili yake sio bongo

    • @smprotz
      @smprotz 4 месяца назад

      @@nancyg8664 Msomali

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr 4 месяца назад +1

      😂😂😂​@@nancyg8664

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 3 месяца назад

      Nando mana anakwambia kuliko mbongo wa kawaida

    • @JannetEdward
      @JannetEdward 25 дней назад

      Rammy Si utulivu Bali ana ZARAU naata ukifanikiwa kuonana nae ajisiki na anavo onekana ndivo alivo nimtulivu Sana kiukweli

  • @GoldenchipsChips
    @GoldenchipsChips 4 месяца назад +7

    😂😂dada maswali yako bwana ..ila hongera na ubarikiwe juhudi za kua mtangazaji mzuri zaidi

  • @mfungonishauri4234
    @mfungonishauri4234 4 месяца назад +11

    Rudi tima anakumiss sana

  • @jimmyally5974
    @jimmyally5974 3 месяца назад +1

    Uko vzr brother...!!!

  • @benedictinelusambo069
    @benedictinelusambo069 4 месяца назад +8

    Yan mtangazaji unam bembeleza Rammy khaaa.. kama ushapenda ivi😂😂

  • @Ally-rg8sk
    @Ally-rg8sk 4 месяца назад +7

    I love this Somali boy

    • @fatushanne5917
      @fatushanne5917 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂 huyu sio msomli abaaahwass acha kujidanganya 😂😂😂😂

  • @raphleen4430
    @raphleen4430 4 месяца назад +2

    Muandishi mbona km wamuattack sana rammy hvyo khaaah😂😂😂

  • @ruwhy
    @ruwhy 4 месяца назад +17

    Rammy napenda interviews zake anajibu kwa akili na ametulia sana

    • @liliy-u3n
      @liliy-u3n 4 месяца назад +1

      Nammiss kwa huba😢

    • @fahadbabuy
      @fahadbabuy 4 месяца назад

      Ana pesa huyo😂😂😂

    • @EsterAidanmadati
      @EsterAidanmadati 4 месяца назад

      Saiv kRudi​@@liliy-u3n

  • @veronicahlusekelo5205
    @veronicahlusekelo5205 4 месяца назад +3

    Rammy anapenda mashepu jman mashalla

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 4 месяца назад +10

    Uyu mkaka anafanana Sana na baba mtoto wng ..Yan Hadi maringo ...aanaringa uyu mtu...ila ananifurahisha anaswali..Kila la heri kaka

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 4 месяца назад +2

      Kanumba anafanana nae pia

    • @ندىالعمري-ط7ي
      @ندىالعمري-ط7ي 4 месяца назад

      Umsomali swala ni lazima

    • @elizabethkisogole34
      @elizabethkisogole34 4 месяца назад

      Mwanamke mwenzangu unatuyia aibu, Mume jafananishwi na Mwanaume yoyote mwingine, kwalugja nyingine umemtamani na kuhakikishia Mwanaume yoyote mwenye utulivu WA akili akiona hii post yako akiwemo na hiyo Mumeo umekosea sanaaa

    • @DreamreneePatrick
      @DreamreneePatrick 4 месяца назад

      ​@@elizabethkisogole34😂😂😂

    • @CynthiaIrakoze-k3c
      @CynthiaIrakoze-k3c 4 месяца назад

      Aca kujishauwa we mu dada nyooo 😅

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 4 месяца назад +7

    KUMBE HUJAKUFA??? WENZIO WANAJUA TAYARI UKO😊😊,,(huba)

  • @EverlyneSamuel
    @EverlyneSamuel 4 месяца назад +4

    Tumekumiss sanaa Wana Huba

  • @officialzuuh4638
    @officialzuuh4638 4 месяца назад

    Ila watanzania mnamaswali sana adi kuyajua maisha ya mtu ya ndani nyoooooooo

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 4 месяца назад +4

    rammy anapenda wanawake wenye maumbo, tukianza kwa masogange, poshy queen af tuje kwa mnyarwanda.

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 4 месяца назад +2

      Kumbe hata Masogange alikua mpenzi wake??

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 4 месяца назад

      @@umfahad2609 eee walikuaga wapenzi ata kwenye msiba alizimia kwa uchungu

    • @sports007tv4
      @sports007tv4 3 месяца назад

      Nyama muhimu

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 3 месяца назад

      @@umfahad2609 ndio

    • @CHRISTINAMAGASI
      @CHRISTINAMAGASI 3 месяца назад

      ​@@umfahad2609ndyo

  • @marryofficial9143
    @marryofficial9143 4 месяца назад +3

    Ila mwandishi sijampenda kakaa kinafkii sana mtuu unawez ata ukamnasa kibao😮anatk mtuu alopoke vby ila rammy kampatia😂🎉

  • @tabysareva586
    @tabysareva586 4 месяца назад +7

    Masha Allah Rammy

  • @EfraziaMashiri
    @EfraziaMashiri 4 месяца назад

    Jamniiii twakupendaa mno rudi huba..alaf unavyoongea kweny huba kw upole kumb hata live n mpole😅❤

  • @HabibaHassan-t2u
    @HabibaHassan-t2u 4 месяца назад +3

    Ayeee Rammy❤❤❤

  • @LatifaMwandu
    @LatifaMwandu 4 месяца назад +3

    Kaka umekuwa kweli mwanamke au mwanaume sio sura au muonekano

  • @neemammbaga227
    @neemammbaga227 4 месяца назад +1

    Basi angekua tid ungeskia microphone 🎤 😂😂

  • @OmanOman-ji1iy
    @OmanOman-ji1iy 16 дней назад

    Maashaallah

  • @MwasitiRajabu-w7i
    @MwasitiRajabu-w7i Месяц назад

    Nakukubar broo

  • @winygidarossa9472
    @winygidarossa9472 4 месяца назад +5

    Kwanini unamhoji hivo

  • @PriscaThomas-zo6dl
    @PriscaThomas-zo6dl 4 месяца назад

    Kweli jamani tumemmisi sana auponi tu jamani Tessa anaumwa na utamuua Mama yako Tessa jamani tumekumis ni ninakukubari , ila kila la heri kaika kazi za mikono yako na Mwenyezi Mungu akuzidishie Baraka na Moyo wa uruma kwa wahitaji. Kaka Lameki Big up Bro

  • @issahamis9898
    @issahamis9898 4 месяца назад +1

    Devi ss ambayo hatuna mali basi tusiolewe na vijana wenye ela

  • @manrakizagervais4418
    @manrakizagervais4418 4 месяца назад +4

    Devi tunagukumbuka kwahuba

  • @CatherineSteven-hb3yf
    @CatherineSteven-hb3yf 3 месяца назад

    Mwenyezi mungu akutunze

  • @TatoOman-s5t
    @TatoOman-s5t 4 месяца назад +1

    Nimetok kicheko et no koment

  • @naillanassor2589
    @naillanassor2589 4 месяца назад

    Duuu wewe kaka kweliii una akili ya maishaavya baadaeee hongereee

  • @salmakashau-ib9fq
    @salmakashau-ib9fq 4 месяца назад +9

    Rammy anapenda wanaake wenye shape

    • @ElizaYanga
      @ElizaYanga 4 месяца назад +2

      Haswa si unamkumbuka marehemu masogange

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 4 месяца назад +1

      Anaasili ya kisomali, si unajua wanawake wa kisomali wengi wanamishepu! Hiyo ni hulka yao😊😊​@@ElizaYanga

    • @hadijamgambo-jn7kg
      @hadijamgambo-jn7kg 4 месяца назад +1

      Lkn Yanamkost mashepu

    • @jacksonmsendo3478
      @jacksonmsendo3478 4 месяца назад

      Sio msomali ni muethiopia​@@nantaembanusurupia5674

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 4 месяца назад

      ​@@ElizaYangaametok na masogange pia

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 4 месяца назад +1

    Dini yuajua kazi yke

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 4 месяца назад +2

    Hongera sn sn umejua kujibu vzr km.ww ni wachacha mnooooo malezi mazuri umepata na din pia inachangia

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 3 месяца назад

    Huyu kweli kawa mature mwanaume alieshika pesa msomi mzuri haangalii shape

  • @KhafswaNgao-u6e
    @KhafswaNgao-u6e 4 месяца назад

    Yani uache mwanaume mzuri ivi alafu uende Kwa hermo ama labda uyu Kaka Hana hela😮😮 mana anaonekana yuko xw kila kitu cjui mbm kaachika

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 4 месяца назад +1

    Dini safi😂🎉🎉

  • @RoseKamiti-t3h
    @RoseKamiti-t3h 4 месяца назад +3

    Rudi kwa huba Dave.

  • @NurathyKassim
    @NurathyKassim 4 месяца назад

    Mashallah ❤️❤️

  • @SeverinoLuis-j1h
    @SeverinoLuis-j1h 22 дня назад

    Ongeza zaut kaka mbona unaonge kama sio mwaume

  • @VailethBeautus
    @VailethBeautus 4 месяца назад +1

    Mbna Kama kapaka wanja jmni hyu kaka

  • @jacklyneesendi1263
    @jacklyneesendi1263 4 месяца назад +1

    Dave ulipona😅

  • @AssOii
    @AssOii 4 месяца назад

    Vua mawani kaka 😅😅😅

  • @aisharajimbo6784
    @aisharajimbo6784 3 месяца назад

    Huku dubai kuna mtoto anaitwa Rammy wazazi wake ni Lebanese

  • @elizabethchabluma-zw5qz
    @elizabethchabluma-zw5qz 4 месяца назад

    Tantee rammy❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 bure

  • @nassormohammed246
    @nassormohammed246 4 месяца назад +5

    Kama unapenda shepu au muonekano wa mwanamke basi huwezi kudumu kwenye hayo mahusiano

  • @utambevilla2054
    @utambevilla2054 4 месяца назад

    Kuma kwel uyu jamaa unasema hupend kuweka habar za maisha yako mitandaon. Kwaiyo izo habar za ww na posh unazoziongelea kila siku mtandaon Sio habar zako? Acha misifa ya kisenge boya ww

  • @richdivah2562
    @richdivah2562 4 месяца назад +1

    Fedheha tenah jmn

  • @LutenganoCharles-d7t
    @LutenganoCharles-d7t 4 месяца назад +1

    Kama huyo dem wake ni mrwanda basi amtafute Ay master atamuelekeza tabia za warwanda zilivo na atamwambia mke wa Ay sasa hv yuko wapi

  • @adelaidamufumbo8352
    @adelaidamufumbo8352 3 месяца назад

    Wanaume wa hivi huwa wanadharau sn.

  • @veronicahlusekelo5205
    @veronicahlusekelo5205 4 месяца назад

    Kwani kwenye meno kaweka nn?

  • @walengamwamaua-ws6io
    @walengamwamaua-ws6io 4 месяца назад

    Nilivyo muhelewa kwa sasa anatafuta mke kwao wawe na pesa, sio mwonekano wa mtu

  • @GrolyPiason
    @GrolyPiason 4 месяца назад

    Daah rud

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 4 месяца назад +2

    Huyu sio ndio Davie ndugu yake Roy kamkimbia haonekani anaumwa sijui au alishapotea mazima harudi

  • @TheAliya99
    @TheAliya99 4 месяца назад +3

    ASPECTIC??? that’s not a word, jamani ongeeni tu kiswahili 😢

  • @walengamwamaua-ws6io
    @walengamwamaua-ws6io 4 месяца назад

    Ni msomalia

  • @elizabethmukeba2528
    @elizabethmukeba2528 3 месяца назад

    Hakika Ramy mengine yawe siri yako na famillia yako na tunaendelea kukuombea nyinyi rubani na wasafiri hekima na busara itumike kwa kujibu

  • @ngwacahnyagwaswa9979
    @ngwacahnyagwaswa9979 4 месяца назад

    Rammy mnyamwez jaman

  • @NoelaLangandey
    @NoelaLangandey 4 месяца назад

    Devi Rudi haraka kwenye huba tunakumiss

  • @ferdaedward8373
    @ferdaedward8373 4 месяца назад

    Unahekima sanakijana

  • @jouswemwandiga5730
    @jouswemwandiga5730 4 месяца назад +3

    Sisi jobless tuolewe na nani

  • @Rahma25474
    @Rahma25474 4 месяца назад

    Duh huyu mtangazaji amesomea kweli?....how comes unauliza mtu vitu za kijinga ivi😂😂😂😂....

  • @vashtyburge3998
    @vashtyburge3998 4 месяца назад

    Mtangaxaji rudi shule. Hilo swali la mtu kumlinganisha mpenzi wake wa zamani na wa sasa limekuondolea heshima ya taaluma yako. Siku nyingine muwe mnaangalia interwiew za wa waandishi wasomi, hata wa nje ya nchi kama vile BBC, Aljazeera nk. Jaribu kujifunza na kupanua mawazo. Amekushushua vizuri. Mtu yeyote anayejiheshimu hawezi kujibu hilo swali.

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le 4 месяца назад

    Kumbe muislam huyu?

  • @KadasoMadaha
    @KadasoMadaha 4 месяца назад

    Kwenye huba tumekumisi

  • @chimamilion
    @chimamilion 4 месяца назад +1

    Uyi bro kafanana nayule mzee wamitutu kwa askar cjui nipost kule yule amza

  • @kimah9855
    @kimah9855 4 месяца назад +9

    Rammy anadamu ya wasomali

    • @fatmasayid8895
      @fatmasayid8895 4 месяца назад +3

      Ni msomali kabisa

    • @LutfiaRashid
      @LutfiaRashid 4 месяца назад

      Anaonekana anakisirani Fulani hvi

    • @zuweinaalhabsya8773
      @zuweinaalhabsya8773 4 месяца назад +1

      Ni msomali Kuna interview alisema walikuja Tanzania na mamaake walikimbia vita Somalia na mama yake alikuwa Ana mimba yake yaan akamzalia Tanzania

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 4 месяца назад

      ​@@LutfiaRashidjudgmental fella 😮😮 punguza

    • @ukhtyrayyan7884
      @ukhtyrayyan7884 4 месяца назад +3

      Huyo msomali hasa

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 4 месяца назад

    👍🏼👌

  • @lilyanmongi1075
    @lilyanmongi1075 4 месяца назад +14

    Rammy ame2lia sana c m2 wa kujickia ingekuwa mwingine ni rubani kila cku angekuwa anajicfu. Hongera sana Rammy

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 4 месяца назад

      Rubani ni kazi km kazi nyengine. Na inachosha na ngumu saana. Sbb ratiba zako za maisha zinakua ngumu. Mimi wtt wng wawili ni marubani. Lkn tupo kawaida tu. Kuringa ni tabia. Sio sbb ya kazi.

  • @TatoOman-s5t
    @TatoOman-s5t 4 месяца назад

    Nimetok kicheko et no koment

  • @RajabuHayyan
    @RajabuHayyan 4 месяца назад +1

    Rammy mzuri jamani daaaaaa😂😂😂❤❤❤❤🎉mashallah