Rubani ni kazi km kazi nyengine. Na inachosha na ngumu saana. Sbb ratiba zako za maisha zinakua ngumu. Mimi wtt wng wawili ni marubani. Lkn tupo kawaida tu. Kuringa ni tabia. Sio sbb ya kazi.
Lamiki nampenda huyu anavyo mkumbuka mungu mpole Kuna siku utakumbuka nilikutuma unitilie maji ktk chupa unatoka mswalani mwanamboka yaani kuangalia ni yy lkn chaajabu hajaonesha pozy kujiona et msanii maarufu nakupenda Bure tabiya zako endelea kufanya ibada lamiki
Mwanamke mwenzangu unatuyia aibu, Mume jafananishwi na Mwanaume yoyote mwingine, kwalugja nyingine umemtamani na kuhakikishia Mwanaume yoyote mwenye utulivu WA akili akiona hii post yako akiwemo na hiyo Mumeo umekosea sanaaa
Kweli jamani tumemmisi sana auponi tu jamani Tessa anaumwa na utamuua Mama yako Tessa jamani tumekumis ni ninakukubari , ila kila la heri kaika kazi za mikono yako na Mwenyezi Mungu akuzidishie Baraka na Moyo wa uruma kwa wahitaji. Kaka Lameki Big up Bro
Kuma kwel uyu jamaa unasema hupend kuweka habar za maisha yako mitandaon. Kwaiyo izo habar za ww na posh unazoziongelea kila siku mtandaon Sio habar zako? Acha misifa ya kisenge boya ww
Mtangaxaji rudi shule. Hilo swali la mtu kumlinganisha mpenzi wake wa zamani na wa sasa limekuondolea heshima ya taaluma yako. Siku nyingine muwe mnaangalia interwiew za wa waandishi wasomi, hata wa nje ya nchi kama vile BBC, Aljazeera nk. Jaribu kujifunza na kupanua mawazo. Amekushushua vizuri. Mtu yeyote anayejiheshimu hawezi kujibu hilo swali.
Rammy ame2lia sana c m2 wa kujickia ingekuwa mwingine ni rubani kila cku angekuwa anajicfu. Hongera sana Rammy
Rubani ni kazi km kazi nyengine. Na inachosha na ngumu saana. Sbb ratiba zako za maisha zinakua ngumu. Mimi wtt wng wawili ni marubani. Lkn tupo kawaida tu. Kuringa ni tabia. Sio sbb ya kazi.
Kwa kweli unapendeza sana na urubani,,, Allah akufanyie wepesi kaka
Huyu kaka ha
Ringi....labda huyo baba watotowako
Yuko na sjda mashaa-Allah
Rammy ana UTULIVU WA AKILI kuliko wabongo WA Kawaida. Hongera
nikukumbushe tu huyu asili yake sio bongo
@@nancyg8664 Msomali
😂😂😂@@nancyg8664
Nando mana anakwambia kuliko mbongo wa kawaida
i like his personallity..he seemz like a respectful person,,watching from kenya
❤❤❤❤njo uwendeleze tamthiliya tumekumisi sana ata tesa anateseka
Kukukosa
😂😂😂😂
9:38 is what you're looking for
Upewe maua yako 🎉
Lamiki nampenda huyu anavyo mkumbuka mungu mpole Kuna siku utakumbuka nilikutuma unitilie maji ktk chupa unatoka mswalani mwanamboka yaani kuangalia ni yy lkn chaajabu hajaonesha pozy kujiona et msanii maarufu nakupenda Bure tabiya zako endelea kufanya ibada lamiki
KUMBE HUJAKUFA??? WENZIO WANAJUA TAYARI UKO😊😊,,(huba)
Rudi tima anakumiss sana
😂😂dada maswali yako bwana ..ila hongera na ubarikiwe juhudi za kua mtangazaji mzuri zaidi
Yan mtangazaji unam bembeleza Rammy khaaa.. kama ushapenda ivi😂😂
Jamniiii twakupendaa mno rudi huba..alaf unavyoongea kweny huba kw upole kumb hata live n mpole😅❤
Rammy anapenda mashepu jman mashalla
Rammy mzuri jamani daaaaaa😂😂😂❤❤❤❤🎉mashallah
Huyu kweli kawa mature mwanaume alieshika pesa msomi mzuri haangalii shape
Ila watanzania mnamaswali sana adi kuyajua maisha ya mtu ya ndani nyoooooooo
I love this Somali boy
😂😂😂😂😂 huyu sio msomli abaaahwass acha kujidanganya 😂😂😂😂
Uyu mkaka anafanana Sana na baba mtoto wng ..Yan Hadi maringo ...aanaringa uyu mtu...ila ananifurahisha anaswali..Kila la heri kaka
Kanumba anafanana nae pia
Umsomali swala ni lazima
Mwanamke mwenzangu unatuyia aibu, Mume jafananishwi na Mwanaume yoyote mwingine, kwalugja nyingine umemtamani na kuhakikishia Mwanaume yoyote mwenye utulivu WA akili akiona hii post yako akiwemo na hiyo Mumeo umekosea sanaaa
@@elizabethkisogole34😂😂😂
Aca kujishauwa we mu dada nyooo 😅
Rammy napenda interviews zake anajibu kwa akili na ametulia sana
Nammiss kwa huba😢
Ana pesa huyo😂😂😂
Saiv kRudi@@user-jf9pt8bu5j
Ila mwandishi sijampenda kakaa kinafkii sana mtuu unawez ata ukamnasa kibao😮anatk mtuu alopoke vby ila rammy kampatia😂🎉
Tumekumiss sanaa Wana Huba
Muandishi mbona km wamuattack sana rammy hvyo khaaah😂😂😂
Kaka umekuwa kweli mwanamke au mwanaume sio sura au muonekano
Basi angekua tid ungeskia microphone 🎤 😂😂
rammy anapenda wanawake wenye maumbo, tukianza kwa masogange, poshy queen af tuje kwa mnyarwanda.
Kumbe hata Masogange alikua mpenzi wake??
@@umfahad2609 eee walikuaga wapenzi ata kwenye msiba alizimia kwa uchungu
Nyama muhimu
@@umfahad2609 ndio
@@umfahad2609ndyo
Kweli jamani tumemmisi sana auponi tu jamani Tessa anaumwa na utamuua Mama yako Tessa jamani tumekumis ni ninakukubari , ila kila la heri kaika kazi za mikono yako na Mwenyezi Mungu akuzidishie Baraka na Moyo wa uruma kwa wahitaji. Kaka Lameki Big up Bro
Devi ss ambayo hatuna mali basi tusiolewe na vijana wenye ela
Duuu wewe kaka kweliii una akili ya maishaavya baadaeee hongereee
Ayeee Rammy❤❤❤
Masha Allah Rammy
Kwanini unamhoji hivo
Nimetok kicheko et no koment
Dini yuajua kazi yke
Devi tunagukumbuka kwahuba
Atarudi ❤
Huku dubai kuna mtoto anaitwa Rammy wazazi wake ni Lebanese
Kwani kwenye meno kaweka nn?
Hongera sn sn umejua kujibu vzr km.ww ni wachacha mnooooo malezi mazuri umepata na din pia inachangia
Kuma kwel uyu jamaa unasema hupend kuweka habar za maisha yako mitandaon. Kwaiyo izo habar za ww na posh unazoziongelea kila siku mtandaon Sio habar zako? Acha misifa ya kisenge boya ww
Mbna Kama kapaka wanja jmni hyu kaka
Dini safi😂🎉🎉
Mashallah ❤️❤️
Tantee rammy❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 bure
Rudi kwa huba Dave.
Wanaume wa hivi huwa wanadharau sn.
Rammy anapenda wanaake wenye shape
Haswa si unamkumbuka marehemu masogange
Anaasili ya kisomali, si unajua wanawake wa kisomali wengi wanamishepu! Hiyo ni hulka yao😊😊@@ElizaYanga
Lkn Yanamkost mashepu
Sio msomali ni muethiopia@@nantaembanusurupia5674
@@ElizaYangaametok na masogange pia
Vua mawani kaka 😅😅😅
Nilivyo muhelewa kwa sasa anatafuta mke kwao wawe na pesa, sio mwonekano wa mtu
Fedheha tenah jmn
Dave ulipona😅
Huyu sio ndio Davie ndugu yake Roy kamkimbia haonekani anaumwa sijui au alishapotea mazima harudi
Kama huyo dem wake ni mrwanda basi amtafute Ay master atamuelekeza tabia za warwanda zilivo na atamwambia mke wa Ay sasa hv yuko wapi
Siowote wanatabia moja kiramutu natabia yake
Ni msomalia
Hakika Ramy mengine yawe siri yako na famillia yako na tunaendelea kukuombea nyinyi rubani na wasafiri hekima na busara itumike kwa kujibu
Daah rud
ASPECTIC??? that’s not a word, jamani ongeeni tu kiswahili 😢
Halafu nasikia ni Rubani😮😮😢😢
Rammy mnyamwez jaman
👍🏼👌
Mtangaxaji rudi shule. Hilo swali la mtu kumlinganisha mpenzi wake wa zamani na wa sasa limekuondolea heshima ya taaluma yako. Siku nyingine muwe mnaangalia interwiew za wa waandishi wasomi, hata wa nje ya nchi kama vile BBC, Aljazeera nk. Jaribu kujifunza na kupanua mawazo. Amekushushua vizuri. Mtu yeyote anayejiheshimu hawezi kujibu hilo swali.
Duh huyu mtangazaji amesomea kweli?....how comes unauliza mtu vitu za kijinga ivi😂😂😂😂....
Devi Rudi haraka kwenye huba tunakumiss
Kwenye huba tumekumisi
Unahekima sanakijana
Kumbe muislam huyu?
Sisi jobless tuolewe na nani
Waoaji tupo
❤❤
wapo wenzetu😂
Jobless wenzenu watawaoa
@@judyngowi391 umeona tena ndio tunaolewa alhamdulilah hatulinganishwi tabia kama wenye pesa wanavofanywa
Uyi bro kafanana nayule mzee wamitutu kwa askar cjui nipost kule yule amza
Kama unapenda shepu au muonekano wa mwanamke basi huwezi kudumu kwenye hayo mahusiano
Rammy anadamu ya wasomali
Ni msomali kabisa
Anaonekana anakisirani Fulani hvi
Ni msomali Kuna interview alisema walikuja Tanzania na mamaake walikimbia vita Somalia na mama yake alikuwa Ana mimba yake yaan akamzalia Tanzania
@@user-fx7ig1uy6tjudgmental fella 😮😮 punguza
Huyo msomali hasa
Yani uache mwanaume mzuri ivi alafu uende Kwa hermo ama labda uyu Kaka Hana hela😮😮 mana anaonekana yuko xw kila kitu cjui mbm kaachika
Nimetok kicheko et no koment