Lamiki nampenda huyu anavyo mkumbuka mungu mpole Kuna siku utakumbuka nilikutuma unitilie maji ktk chupa unatoka mswalani mwanamboka yaani kuangalia ni yy lkn chaajabu hajaonesha pozy kujiona et msanii maarufu nakupenda Bure tabiya zako endelea kufanya ibada lamiki
Mwanamke mwenzangu unatuyia aibu, Mume jafananishwi na Mwanaume yoyote mwingine, kwalugja nyingine umemtamani na kuhakikishia Mwanaume yoyote mwenye utulivu WA akili akiona hii post yako akiwemo na hiyo Mumeo umekosea sanaaa
Kweli jamani tumemmisi sana auponi tu jamani Tessa anaumwa na utamuua Mama yako Tessa jamani tumekumis ni ninakukubari , ila kila la heri kaika kazi za mikono yako na Mwenyezi Mungu akuzidishie Baraka na Moyo wa uruma kwa wahitaji. Kaka Lameki Big up Bro
Kuma kwel uyu jamaa unasema hupend kuweka habar za maisha yako mitandaon. Kwaiyo izo habar za ww na posh unazoziongelea kila siku mtandaon Sio habar zako? Acha misifa ya kisenge boya ww
Mtangaxaji rudi shule. Hilo swali la mtu kumlinganisha mpenzi wake wa zamani na wa sasa limekuondolea heshima ya taaluma yako. Siku nyingine muwe mnaangalia interwiew za wa waandishi wasomi, hata wa nje ya nchi kama vile BBC, Aljazeera nk. Jaribu kujifunza na kupanua mawazo. Amekushushua vizuri. Mtu yeyote anayejiheshimu hawezi kujibu hilo swali.
Rubani ni kazi km kazi nyengine. Na inachosha na ngumu saana. Sbb ratiba zako za maisha zinakua ngumu. Mimi wtt wng wawili ni marubani. Lkn tupo kawaida tu. Kuringa ni tabia. Sio sbb ya kazi.
i like his personallity..he seemz like a respectful person,,watching from kenya
Kwa kweli unapendeza sana na urubani,,, Allah akufanyie wepesi kaka
Huyu kaka ha
Ringi....labda huyo baba watotowako
Yuko na sjda mashaa-Allah
MASHALLAH...!!!
9:38 is what you're looking for
Upewe maua yako 🎉
❤❤❤❤njo uwendeleze tamthiliya tumekumisi sana ata tesa anateseka
Kukukosa
😂😂😂😂
Lamiki nampenda huyu anavyo mkumbuka mungu mpole Kuna siku utakumbuka nilikutuma unitilie maji ktk chupa unatoka mswalani mwanamboka yaani kuangalia ni yy lkn chaajabu hajaonesha pozy kujiona et msanii maarufu nakupenda Bure tabiya zako endelea kufanya ibada lamiki
Rammy ana UTULIVU WA AKILI kuliko wabongo WA Kawaida. Hongera
nikukumbushe tu huyu asili yake sio bongo
@@nancyg8664 Msomali
😂😂😂@@nancyg8664
Nando mana anakwambia kuliko mbongo wa kawaida
Rammy Si utulivu Bali ana ZARAU naata ukifanikiwa kuonana nae ajisiki na anavo onekana ndivo alivo nimtulivu Sana kiukweli
😂😂dada maswali yako bwana ..ila hongera na ubarikiwe juhudi za kua mtangazaji mzuri zaidi
Rudi tima anakumiss sana
Uko vzr brother...!!!
Yan mtangazaji unam bembeleza Rammy khaaa.. kama ushapenda ivi😂😂
I love this Somali boy
😂😂😂😂😂 huyu sio msomli abaaahwass acha kujidanganya 😂😂😂😂
Muandishi mbona km wamuattack sana rammy hvyo khaaah😂😂😂
Rammy napenda interviews zake anajibu kwa akili na ametulia sana
Nammiss kwa huba😢
Ana pesa huyo😂😂😂
Saiv kRudi@@liliy-u3n
Rammy anapenda mashepu jman mashalla
Uyu mkaka anafanana Sana na baba mtoto wng ..Yan Hadi maringo ...aanaringa uyu mtu...ila ananifurahisha anaswali..Kila la heri kaka
Kanumba anafanana nae pia
Umsomali swala ni lazima
Mwanamke mwenzangu unatuyia aibu, Mume jafananishwi na Mwanaume yoyote mwingine, kwalugja nyingine umemtamani na kuhakikishia Mwanaume yoyote mwenye utulivu WA akili akiona hii post yako akiwemo na hiyo Mumeo umekosea sanaaa
@@elizabethkisogole34😂😂😂
Aca kujishauwa we mu dada nyooo 😅
KUMBE HUJAKUFA??? WENZIO WANAJUA TAYARI UKO😊😊,,(huba)
Tumekumiss sanaa Wana Huba
Ila watanzania mnamaswali sana adi kuyajua maisha ya mtu ya ndani nyoooooooo
rammy anapenda wanawake wenye maumbo, tukianza kwa masogange, poshy queen af tuje kwa mnyarwanda.
Kumbe hata Masogange alikua mpenzi wake??
@@umfahad2609 eee walikuaga wapenzi ata kwenye msiba alizimia kwa uchungu
Nyama muhimu
@@umfahad2609 ndio
@@umfahad2609ndyo
Ila mwandishi sijampenda kakaa kinafkii sana mtuu unawez ata ukamnasa kibao😮anatk mtuu alopoke vby ila rammy kampatia😂🎉
Masha Allah Rammy
Jamniiii twakupendaa mno rudi huba..alaf unavyoongea kweny huba kw upole kumb hata live n mpole😅❤
Ayeee Rammy❤❤❤
Kaka umekuwa kweli mwanamke au mwanaume sio sura au muonekano
Basi angekua tid ungeskia microphone 🎤 😂😂
Maashaallah
Nakukubar broo
Kwanini unamhoji hivo
Kweli jamani tumemmisi sana auponi tu jamani Tessa anaumwa na utamuua Mama yako Tessa jamani tumekumis ni ninakukubari , ila kila la heri kaika kazi za mikono yako na Mwenyezi Mungu akuzidishie Baraka na Moyo wa uruma kwa wahitaji. Kaka Lameki Big up Bro
Devi ss ambayo hatuna mali basi tusiolewe na vijana wenye ela
Devi tunagukumbuka kwahuba
Mwenyezi mungu akutunze
Nimetok kicheko et no koment
Duuu wewe kaka kweliii una akili ya maishaavya baadaeee hongereee
Rammy anapenda wanaake wenye shape
Haswa si unamkumbuka marehemu masogange
Anaasili ya kisomali, si unajua wanawake wa kisomali wengi wanamishepu! Hiyo ni hulka yao😊😊@@ElizaYanga
Lkn Yanamkost mashepu
Sio msomali ni muethiopia@@nantaembanusurupia5674
@@ElizaYangaametok na masogange pia
Dini yuajua kazi yke
Hongera sn sn umejua kujibu vzr km.ww ni wachacha mnooooo malezi mazuri umepata na din pia inachangia
Huyu kweli kawa mature mwanaume alieshika pesa msomi mzuri haangalii shape
Yani uache mwanaume mzuri ivi alafu uende Kwa hermo ama labda uyu Kaka Hana hela😮😮 mana anaonekana yuko xw kila kitu cjui mbm kaachika
Dini safi😂🎉🎉
Rudi kwa huba Dave.
Mashallah ❤️❤️
Ongeza zaut kaka mbona unaonge kama sio mwaume
Mbna Kama kapaka wanja jmni hyu kaka
Dave ulipona😅
Vua mawani kaka 😅😅😅
Huku dubai kuna mtoto anaitwa Rammy wazazi wake ni Lebanese
Tantee rammy❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 bure
Kama unapenda shepu au muonekano wa mwanamke basi huwezi kudumu kwenye hayo mahusiano
Kuma kwel uyu jamaa unasema hupend kuweka habar za maisha yako mitandaon. Kwaiyo izo habar za ww na posh unazoziongelea kila siku mtandaon Sio habar zako? Acha misifa ya kisenge boya ww
Fedheha tenah jmn
Kama huyo dem wake ni mrwanda basi amtafute Ay master atamuelekeza tabia za warwanda zilivo na atamwambia mke wa Ay sasa hv yuko wapi
Siowote wanatabia moja kiramutu natabia yake
Wanaume wa hivi huwa wanadharau sn.
Kwani kwenye meno kaweka nn?
Nilivyo muhelewa kwa sasa anatafuta mke kwao wawe na pesa, sio mwonekano wa mtu
Daah rud
Huyu sio ndio Davie ndugu yake Roy kamkimbia haonekani anaumwa sijui au alishapotea mazima harudi
ASPECTIC??? that’s not a word, jamani ongeeni tu kiswahili 😢
Halafu nasikia ni Rubani😮😮😢😢
Ni msomalia
Hakika Ramy mengine yawe siri yako na famillia yako na tunaendelea kukuombea nyinyi rubani na wasafiri hekima na busara itumike kwa kujibu
Rammy mnyamwez jaman
Devi Rudi haraka kwenye huba tunakumiss
Unahekima sanakijana
Sisi jobless tuolewe na nani
Waoaji tupo
❤❤
wapo wenzetu😂
Jobless wenzenu watawaoa
@@judyngowi391 umeona tena ndio tunaolewa alhamdulilah hatulinganishwi tabia kama wenye pesa wanavofanywa
Duh huyu mtangazaji amesomea kweli?....how comes unauliza mtu vitu za kijinga ivi😂😂😂😂....
Mtangaxaji rudi shule. Hilo swali la mtu kumlinganisha mpenzi wake wa zamani na wa sasa limekuondolea heshima ya taaluma yako. Siku nyingine muwe mnaangalia interwiew za wa waandishi wasomi, hata wa nje ya nchi kama vile BBC, Aljazeera nk. Jaribu kujifunza na kupanua mawazo. Amekushushua vizuri. Mtu yeyote anayejiheshimu hawezi kujibu hilo swali.
Kumbe muislam huyu?
Kwenye huba tumekumisi
Uyi bro kafanana nayule mzee wamitutu kwa askar cjui nipost kule yule amza
Rammy anadamu ya wasomali
Ni msomali kabisa
Anaonekana anakisirani Fulani hvi
Ni msomali Kuna interview alisema walikuja Tanzania na mamaake walikimbia vita Somalia na mama yake alikuwa Ana mimba yake yaan akamzalia Tanzania
@@LutfiaRashidjudgmental fella 😮😮 punguza
Huyo msomali hasa
👍🏼👌
Rammy ame2lia sana c m2 wa kujickia ingekuwa mwingine ni rubani kila cku angekuwa anajicfu. Hongera sana Rammy
Rubani ni kazi km kazi nyengine. Na inachosha na ngumu saana. Sbb ratiba zako za maisha zinakua ngumu. Mimi wtt wng wawili ni marubani. Lkn tupo kawaida tu. Kuringa ni tabia. Sio sbb ya kazi.
Nimetok kicheko et no koment
Rammy mzuri jamani daaaaaa😂😂😂❤❤❤❤🎉mashallah