Rammy:Sababu Ya kuachana Na POSH QUEEN/Aibu/Ananipigia Simu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 май 2024
  • Rammy:Sababu Ya kuachana Na POSH QUEEN/Aibu/Ananipigia Simu
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 118

  • @lilyanmongi1075
    @lilyanmongi1075 Месяц назад +13

    Rammy ame2lia sana c m2 wa kujickia ingekuwa mwingine ni rubani kila cku angekuwa anajicfu. Hongera sana Rammy

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 19 дней назад

      Rubani ni kazi km kazi nyengine. Na inachosha na ngumu saana. Sbb ratiba zako za maisha zinakua ngumu. Mimi wtt wng wawili ni marubani. Lkn tupo kawaida tu. Kuringa ni tabia. Sio sbb ya kazi.

  • @tabysareva586
    @tabysareva586 Месяц назад +34

    Kwa kweli unapendeza sana na urubani,,, Allah akufanyie wepesi kaka

    • @stelasianga9468
      @stelasianga9468 16 дней назад

      Huyu kaka ha
      Ringi....labda huyo baba watotowako

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 Месяц назад +16

    Yuko na sjda mashaa-Allah

  • @smprotz
    @smprotz Месяц назад +18

    Rammy ana UTULIVU WA AKILI kuliko wabongo WA Kawaida. Hongera

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 26 дней назад

      nikukumbushe tu huyu asili yake sio bongo

    • @smprotz
      @smprotz 26 дней назад

      @@nancyg8664 Msomali

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr 17 дней назад +1

      😂😂😂​@@nancyg8664

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o 17 дней назад

      Nando mana anakwambia kuliko mbongo wa kawaida

  • @technicalanalysis8124
    @technicalanalysis8124 15 дней назад +1

    i like his personallity..he seemz like a respectful person,,watching from kenya

  • @brehimakeita7597
    @brehimakeita7597 Месяц назад +12

    ❤❤❤❤njo uwendeleze tamthiliya tumekumisi sana ata tesa anateseka
    Kukukosa

  • @godfreykeita9804
    @godfreykeita9804 Месяц назад +19

    9:38 is what you're looking for

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d Месяц назад +4

    Lamiki nampenda huyu anavyo mkumbuka mungu mpole Kuna siku utakumbuka nilikutuma unitilie maji ktk chupa unatoka mswalani mwanamboka yaani kuangalia ni yy lkn chaajabu hajaonesha pozy kujiona et msanii maarufu nakupenda Bure tabiya zako endelea kufanya ibada lamiki

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Месяц назад +7

    KUMBE HUJAKUFA??? WENZIO WANAJUA TAYARI UKO😊😊,,(huba)

  • @mfungonishauri4234
    @mfungonishauri4234 Месяц назад +11

    Rudi tima anakumiss sana

  • @GoldenchipsChips
    @GoldenchipsChips Месяц назад +6

    😂😂dada maswali yako bwana ..ila hongera na ubarikiwe juhudi za kua mtangazaji mzuri zaidi

  • @benedictinelusambo069
    @benedictinelusambo069 Месяц назад +7

    Yan mtangazaji unam bembeleza Rammy khaaa.. kama ushapenda ivi😂😂

  • @user-zi4iz2vs7q
    @user-zi4iz2vs7q 25 дней назад

    Jamniiii twakupendaa mno rudi huba..alaf unavyoongea kweny huba kw upole kumb hata live n mpole😅❤

  • @veronicahlusekelo5205
    @veronicahlusekelo5205 Месяц назад +3

    Rammy anapenda mashepu jman mashalla

  • @user-pw2sw1sk1b
    @user-pw2sw1sk1b Месяц назад +1

    Rammy mzuri jamani daaaaaa😂😂😂❤❤❤❤🎉mashallah

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 2 дня назад

    Huyu kweli kawa mature mwanaume alieshika pesa msomi mzuri haangalii shape

  • @officialzuuh4638
    @officialzuuh4638 26 дней назад

    Ila watanzania mnamaswali sana adi kuyajua maisha ya mtu ya ndani nyoooooooo

  • @Ally-rg8sk
    @Ally-rg8sk Месяц назад +7

    I love this Somali boy

    • @fatushanne5917
      @fatushanne5917 7 дней назад

      😂😂😂😂😂 huyu sio msomli abaaahwass acha kujidanganya 😂😂😂😂

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Месяц назад +10

    Uyu mkaka anafanana Sana na baba mtoto wng ..Yan Hadi maringo ...aanaringa uyu mtu...ila ananifurahisha anaswali..Kila la heri kaka

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Месяц назад +2

      Kanumba anafanana nae pia

    • @user-kg9kt2pd1k
      @user-kg9kt2pd1k Месяц назад

      Umsomali swala ni lazima

    • @elizabethkisogole34
      @elizabethkisogole34 Месяц назад

      Mwanamke mwenzangu unatuyia aibu, Mume jafananishwi na Mwanaume yoyote mwingine, kwalugja nyingine umemtamani na kuhakikishia Mwanaume yoyote mwenye utulivu WA akili akiona hii post yako akiwemo na hiyo Mumeo umekosea sanaaa

    • @user-fk1io4yp3j
      @user-fk1io4yp3j 26 дней назад

      ​@@elizabethkisogole34😂😂😂

    • @user-lj3ht3wm7x
      @user-lj3ht3wm7x 17 дней назад

      Aca kujishauwa we mu dada nyooo 😅

  • @ruwhy
    @ruwhy Месяц назад +17

    Rammy napenda interviews zake anajibu kwa akili na ametulia sana

  • @marryofficial9143
    @marryofficial9143 Месяц назад +2

    Ila mwandishi sijampenda kakaa kinafkii sana mtuu unawez ata ukamnasa kibao😮anatk mtuu alopoke vby ila rammy kampatia😂🎉

  • @EverlyneSamuel
    @EverlyneSamuel Месяц назад +4

    Tumekumiss sanaa Wana Huba

  • @raphleen4430
    @raphleen4430 28 дней назад +1

    Muandishi mbona km wamuattack sana rammy hvyo khaaah😂😂😂

  • @user-iz2dw8rp2i
    @user-iz2dw8rp2i Месяц назад +3

    Kaka umekuwa kweli mwanamke au mwanaume sio sura au muonekano

  • @neemammbaga227
    @neemammbaga227 Месяц назад +1

    Basi angekua tid ungeskia microphone 🎤 😂😂

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 26 дней назад +3

    rammy anapenda wanawake wenye maumbo, tukianza kwa masogange, poshy queen af tuje kwa mnyarwanda.

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 19 дней назад +2

      Kumbe hata Masogange alikua mpenzi wake??

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 18 дней назад

      @@umfahad2609 eee walikuaga wapenzi ata kwenye msiba alizimia kwa uchungu

    • @sports007tv4
      @sports007tv4 14 дней назад

      Nyama muhimu

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 14 дней назад

      @@umfahad2609 ndio

    • @user-id8bu6lw8x
      @user-id8bu6lw8x 14 дней назад

      ​@@umfahad2609ndyo

  • @PriscaThomas-zo6dl
    @PriscaThomas-zo6dl 18 дней назад

    Kweli jamani tumemmisi sana auponi tu jamani Tessa anaumwa na utamuua Mama yako Tessa jamani tumekumis ni ninakukubari , ila kila la heri kaika kazi za mikono yako na Mwenyezi Mungu akuzidishie Baraka na Moyo wa uruma kwa wahitaji. Kaka Lameki Big up Bro

  • @issahamis9898
    @issahamis9898 Месяц назад +1

    Devi ss ambayo hatuna mali basi tusiolewe na vijana wenye ela

  • @naillanassor2589
    @naillanassor2589 Месяц назад

    Duuu wewe kaka kweliii una akili ya maishaavya baadaeee hongereee

  • @user-bc3lh5ss6c
    @user-bc3lh5ss6c Месяц назад +3

    Ayeee Rammy❤❤❤

  • @tabysareva586
    @tabysareva586 Месяц назад +7

    Masha Allah Rammy

  • @winygidarossa9472
    @winygidarossa9472 Месяц назад +4

    Kwanini unamhoji hivo

  • @user-du4yg5cj3v
    @user-du4yg5cj3v 21 день назад +1

    Nimetok kicheko et no koment

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 Месяц назад +1

    Dini yuajua kazi yke

  • @manrakizagervais4418
    @manrakizagervais4418 Месяц назад +4

    Devi tunagukumbuka kwahuba

  • @aisharajimbo6784
    @aisharajimbo6784 14 дней назад

    Huku dubai kuna mtoto anaitwa Rammy wazazi wake ni Lebanese

  • @veronicahlusekelo5205
    @veronicahlusekelo5205 Месяц назад

    Kwani kwenye meno kaweka nn?

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Месяц назад +1

    Hongera sn sn umejua kujibu vzr km.ww ni wachacha mnooooo malezi mazuri umepata na din pia inachangia

  • @utambevilla2054
    @utambevilla2054 26 дней назад

    Kuma kwel uyu jamaa unasema hupend kuweka habar za maisha yako mitandaon. Kwaiyo izo habar za ww na posh unazoziongelea kila siku mtandaon Sio habar zako? Acha misifa ya kisenge boya ww

  • @user-st8hd9iq4o
    @user-st8hd9iq4o 25 дней назад +1

    Mbna Kama kapaka wanja jmni hyu kaka

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 Месяц назад +1

    Dini safi😂🎉🎉

  • @NurathyKassim
    @NurathyKassim Месяц назад

    Mashallah ❤️❤️

  • @elizabethchabluma-zw5qz
    @elizabethchabluma-zw5qz Месяц назад

    Tantee rammy❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 bure

  • @user-il4yk3sh3s
    @user-il4yk3sh3s Месяц назад +3

    Rudi kwa huba Dave.

  • @adelaidamufumbo8352
    @adelaidamufumbo8352 13 дней назад

    Wanaume wa hivi huwa wanadharau sn.

  • @salmakashau-ib9fq
    @salmakashau-ib9fq Месяц назад +8

    Rammy anapenda wanaake wenye shape

    • @ElizaYanga
      @ElizaYanga Месяц назад +2

      Haswa si unamkumbuka marehemu masogange

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 Месяц назад +1

      Anaasili ya kisomali, si unajua wanawake wa kisomali wengi wanamishepu! Hiyo ni hulka yao😊😊​@@ElizaYanga

    • @hadijamgambo-jn7kg
      @hadijamgambo-jn7kg Месяц назад +1

      Lkn Yanamkost mashepu

    • @jacksonmsendo3478
      @jacksonmsendo3478 Месяц назад

      Sio msomali ni muethiopia​@@nantaembanusurupia5674

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 Месяц назад

      ​@@ElizaYangaametok na masogange pia

  • @user-jh5px2xl8u
    @user-jh5px2xl8u Месяц назад

    Vua mawani kaka 😅😅😅

  • @walengamwamaua-ws6io
    @walengamwamaua-ws6io 23 дня назад

    Nilivyo muhelewa kwa sasa anatafuta mke kwao wawe na pesa, sio mwonekano wa mtu

  • @richdivah2562
    @richdivah2562 Месяц назад +1

    Fedheha tenah jmn

  • @jacklyneesendi1263
    @jacklyneesendi1263 Месяц назад +1

    Dave ulipona😅

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Месяц назад +2

    Huyu sio ndio Davie ndugu yake Roy kamkimbia haonekani anaumwa sijui au alishapotea mazima harudi

  • @user-nm8ym6iq7n
    @user-nm8ym6iq7n Месяц назад +1

    Kama huyo dem wake ni mrwanda basi amtafute Ay master atamuelekeza tabia za warwanda zilivo na atamwambia mke wa Ay sasa hv yuko wapi

    • @user-qs7lj7kj1k
      @user-qs7lj7kj1k Месяц назад

      Siowote wanatabia moja kiramutu natabia yake

  • @walengamwamaua-ws6io
    @walengamwamaua-ws6io 24 дня назад

    Ni msomalia

  • @elizabethmukeba2528
    @elizabethmukeba2528 12 дней назад

    Hakika Ramy mengine yawe siri yako na famillia yako na tunaendelea kukuombea nyinyi rubani na wasafiri hekima na busara itumike kwa kujibu

  • @user-ku6nv7ph3c
    @user-ku6nv7ph3c 29 дней назад

    Daah rud

  • @TheAliya99
    @TheAliya99 Месяц назад +3

    ASPECTIC??? that’s not a word, jamani ongeeni tu kiswahili 😢

  • @ngwacahnyagwaswa9979
    @ngwacahnyagwaswa9979 Месяц назад

    Rammy mnyamwez jaman

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Месяц назад

    👍🏼👌

  • @vashtyburge3998
    @vashtyburge3998 28 дней назад

    Mtangaxaji rudi shule. Hilo swali la mtu kumlinganisha mpenzi wake wa zamani na wa sasa limekuondolea heshima ya taaluma yako. Siku nyingine muwe mnaangalia interwiew za wa waandishi wasomi, hata wa nje ya nchi kama vile BBC, Aljazeera nk. Jaribu kujifunza na kupanua mawazo. Amekushushua vizuri. Mtu yeyote anayejiheshimu hawezi kujibu hilo swali.

  • @Rahma25474
    @Rahma25474 Месяц назад

    Duh huyu mtangazaji amesomea kweli?....how comes unauliza mtu vitu za kijinga ivi😂😂😂😂....

  • @NoelaLangandey
    @NoelaLangandey Месяц назад

    Devi Rudi haraka kwenye huba tunakumiss

  • @KadasoMadaha
    @KadasoMadaha Месяц назад

    Kwenye huba tumekumisi

  • @ferdaedward8373
    @ferdaedward8373 21 день назад

    Unahekima sanakijana

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le Месяц назад

    Kumbe muislam huyu?

  • @jouswemwandiga5730
    @jouswemwandiga5730 Месяц назад +3

    Sisi jobless tuolewe na nani

  • @chimamilion
    @chimamilion Месяц назад +1

    Uyi bro kafanana nayule mzee wamitutu kwa askar cjui nipost kule yule amza

  • @nassormohammed246
    @nassormohammed246 Месяц назад +5

    Kama unapenda shepu au muonekano wa mwanamke basi huwezi kudumu kwenye hayo mahusiano

  • @kimah9855
    @kimah9855 Месяц назад +9

    Rammy anadamu ya wasomali

    • @fatmasayid8895
      @fatmasayid8895 Месяц назад +3

      Ni msomali kabisa

    • @user-fx7ig1uy6t
      @user-fx7ig1uy6t Месяц назад

      Anaonekana anakisirani Fulani hvi

    • @zuweinaalhabsya8773
      @zuweinaalhabsya8773 Месяц назад +1

      Ni msomali Kuna interview alisema walikuja Tanzania na mamaake walikimbia vita Somalia na mama yake alikuwa Ana mimba yake yaan akamzalia Tanzania

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 Месяц назад

      ​@@user-fx7ig1uy6tjudgmental fella 😮😮 punguza

    • @ukhtyrayyan7884
      @ukhtyrayyan7884 Месяц назад +3

      Huyo msomali hasa

  • @user-mh4ix7it7e
    @user-mh4ix7it7e Месяц назад

    Yani uache mwanaume mzuri ivi alafu uende Kwa hermo ama labda uyu Kaka Hana hela😮😮 mana anaonekana yuko xw kila kitu cjui mbm kaachika

  • @user-du4yg5cj3v
    @user-du4yg5cj3v 21 день назад

    Nimetok kicheko et no koment