#EXCLUSIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 май 2024
  • #EXCLUSIVE na AUNTY EZEKIEL -"SINA MPANGO wa NDOA na KUSAH - AKITAKA KUOA ANIAMBIE-YEYE BADO KIJANA"...
    Msanii wa bongo movie, Aunty Ezekiel amefunguka kuhusu maisha yake na kazi anazo fanya pia amefunguka kuhusu kuingia kwenye ndoa Kama Yuko tayari kuolewa na Kusah . Tayari maojihano haya yapo Global TV.
    Host @Gabbymtanzania80
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 94

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  20 дней назад +3

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 17 дней назад +4

    Anazeeka sasa.Muda umeenda. Lakini mzuri sana huyu dada mimi uwa nakupendaga sana pamoja na wema na Riyama Ali❤❤❤

  • @nadyasalim7956
    @nadyasalim7956 20 дней назад +3

    Hajazeeka ni mzuri mashallah kwa age yake hana make up mkumbuke nature beautiful 😍

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 20 дней назад +2

    ❤❤❤❤🎉🎉 kila Leo yupo vizuri huyu ENT zekinampenda

  • @fatumapilyimo8784
    @fatumapilyimo8784 20 дней назад +5

    Big up mamii, unajitambua na ni mkweli

  • @shamixxvick380
    @shamixxvick380 14 дней назад +1

    So beautiful without makeup 😍😘

  • @RachelMwamini-wt4tq
    @RachelMwamini-wt4tq 17 дней назад +1

    Nakupenda bure❤❤dada

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe5801 20 дней назад +5

    Innalillahi wainna ilayhi rajioun
    Kuridhika na zinaa , subhanallah Allah atuongoze ktk kheri,

    • @user-cj2kl7cd9k
      @user-cj2kl7cd9k 20 дней назад

      Anti sio muislam kwake sawa tu

    • @maryammdoe5801
      @maryammdoe5801 20 дней назад +1

      @@user-cj2kl7cd9k
      Kwa huyo kusa sasa ndo mtihani anatakiwa atoke kwenye zinaa haraka kabla mauti hayajanfika, Allah atuongoze sote ktk mema na atufishe ilhali tumetubu toba ya kweli ameen yaarab.

    • @user-cj2kl7cd9k
      @user-cj2kl7cd9k 19 дней назад

      @@maryammdoe5801 ALLAHUMMA AAMIN

    • @user-bc3lh5ss6c
      @user-bc3lh5ss6c 13 дней назад

      Ameen

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 20 дней назад +3

    Aunt ❤🎉

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 20 дней назад +2

    Mnakujaga Kwa mbwembwe mwishoni linawashuka

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 18 дней назад +2

    Mashaallah mm nampenda always shis beautiful ❤

  • @GraceSamson-kk7qx
    @GraceSamson-kk7qx 17 дней назад +1

    🎉❤

  • @user-mz6lq3gr9l
    @user-mz6lq3gr9l 20 дней назад +7

    Hta mimi nilikua na mwanaume nilimpenda sana nyumban wakiniuliza kuhusu ndoa nikawa najibu simtaki kumbe bwana ndo hataki kunioa😢 inaumiza

  • @wingracemosha860
    @wingracemosha860 17 дней назад +1

    Kuna watz wa hovyo sana et wako bize anazeeka anazeeka kwahiyo mlitaka abaki kijana mnachekesha nyie viumbeeee... .. Haya watz msiotaka kuzeeka sijui mnataka kufa vijana(18-45)

  • @rahmashomari1048
    @rahmashomari1048 13 дней назад

    Umri unavyoeanda ndio kifo kinakaribia mara leo pap umeondoka utaenda kujibu nn na maisha hayo unayoishi ya kuzini kussah oa umstir mwezio na kesho yake kaburin na akhera

  • @rehemayona2223
    @rehemayona2223 20 дней назад +4

    i watoto wawili au watatu🤔🤔

  • @nancychesang9567
    @nancychesang9567 17 дней назад +2

    Kwa uzee gani nyie Aunt bado mbich sana

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 20 дней назад

    KWAIYO KUSSA KAGOMA KABISA😊😊,,MPAKA IMEKUWA LIWALO NA LIWE..

  • @rashiduchongole1333
    @rashiduchongole1333 20 дней назад

    Uko na mpango wa kuzizi

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 20 дней назад +22

    huyu dada anamtumia kussa na kumpotezea muda wake kama kijana wa kiislam mwenye ndoto zake za maisha na Aakhera,wataishia kuzini mpaka lini na lidada lisilo na imani ya dini,ashasema hana mpango wa kuolewa"vipi ukae na kijana mdogo ambae hajatimiza ndoto zake na suna ktk imani yake!ukijua huna mpango wa kuolewa ni utafute mtu wa aina yako mnao fanana! Mtihani kweli huu

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 20 дней назад +3

      Lijimama la hovyo sana cjui kwanin hyo kusa hajielewi kama dunia ni mapito na Allah hapendi zinaa zinaa ni uchafu mbona akae na mzinifu mwanamke hana Imani anaishi bila mipaka hamjui Allah😢😢😢

    • @user-mz6lq3gr9l
      @user-mz6lq3gr9l 20 дней назад +11

      Achani kumshambulia ant mtu hawezi kusema kila kitu huwenda kusa ndio hana nia ya kumuoa , ant hawez kuomba ndoa mtandaoni anajiskia vbya me ni mwanamke najua

    • @sophiakimaro5174
      @sophiakimaro5174 20 дней назад +3

      Kusa ndio anamtumia sio yy anamtumia kusa

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 20 дней назад +3

      Kusa kijana anayependa kitonga

    • @Annalisejg2ur
      @Annalisejg2ur 20 дней назад

      ​@@josephlorri431kitonga ndiyo nini

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 20 дней назад +3

    Sssa ww mtangazaji unamuuliza aunt Ezekiel suala la ndoa.?..kishamaliza mwendo na anajua kabisa ndoa kwake ishamtupa mkono..!

    • @millycentgati2541
      @millycentgati2541 12 дней назад

      Wewe ni Mungu? Wewe ndio huwapa watu ndoa?

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 12 дней назад

      @@millycentgati2541 ...kwanza neno MUNGU ungeandika Kwa herufi kubwa, halafu ndio u comment

  • @rahmashomari1048
    @rahmashomari1048 13 дней назад

    Aunty nakupenda lkn ndoa unaitak kama anampenda kussah kwann ndoa asitake jmn , bas aachane nae au amuache kaka wa watu 😂

  • @alsam4881
    @alsam4881 16 дней назад

    Je watu tunaoishi nje ya nchi tutaona wapi hiyo tamthilia ya Jiya?

  • @sarahsesa8851
    @sarahsesa8851 20 дней назад +1

    🤣🤣 kwel ndoa hapana maana watu wanaishi njoo tukae vizur tu tena kwa mda ila wakifunga ndoa tu bas hata mwaka hauishi wameacha

  • @MaryamAlly-yk7zh
    @MaryamAlly-yk7zh 16 дней назад

    Oregano sas wee umekuwa mkubwa umri umeenda sana kwako

  • @user-eq2wg9hx6o
    @user-eq2wg9hx6o 18 дней назад

    Sasa utaki ndoa unataka nini,usituchanganye bwana, uyo kijana aoe basi

  • @AsiaAsia-sv6ok
    @AsiaAsia-sv6ok 17 дней назад

    Eti ndoa apana,loooh hana hata hofu ya MUNGU,uzinifu tu

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 18 дней назад

    Nani nasikiya kama miye 😂😂😂😂😂Iyi indis

  • @user-is9vl2dr7p
    @user-is9vl2dr7p 15 дней назад +1

    Wewe ni mbibi mwache kusah achukue kijana mwenzake we ni bi mkubwa

    • @maryamathman8917
      @maryamathman8917 13 дней назад

      Sasa kwani ameshikwa lazima jamani😂😂😂, umenifurahisha kweli😂😂😂

    • @HazinaElisha
      @HazinaElisha 11 дней назад

      Kwani alimfata haoni kama ni mzeee alimpendaaaa 2

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 18 дней назад

    Mashavu yameteremuka

  • @lucywille-sm6lp
    @lucywille-sm6lp 18 дней назад

    Kwan vijana wakristo hawna ndoto na alimwita.

  • @sabrinaaron4212
    @sabrinaaron4212 20 дней назад +3

    Kajitunza na nn akat kashazeeka we mtangazaj kiongo unamjaza😂😂😂😂

  • @khumayraabdulla96
    @khumayraabdulla96 20 дней назад +8

    Mbona anaonekana kuzeeka mnajidai tu achen kukremu

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 20 дней назад +1

      Uasherati

    • @Zainab-qg6xv
      @Zainab-qg6xv 20 дней назад +1

      Filter

    • @user-ru6ct4rh3t
      @user-ru6ct4rh3t 19 дней назад +1

      Ni kweli kabisa kazeeka

    • @HazinaElisha
      @HazinaElisha 11 дней назад

      Kwani anti ni mzee kuliko wenginee mfano zari mbona ndo mzeeee lakini hasemwi

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw 20 дней назад

    Mbona mzee

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri4940 18 дней назад

    Auntie Ezekiel sasa umeezeka, mikunjo inaongezeka usoni. Tulia na ubibi wako unampotezaa muda Kusah bure. Tabia zako za hovyo zinajulikana. Nawe Kusah acha kupenda mtemko, ishi maisha yampendezayo Mwenyezi Mungu, ww ni Kijana wa Kiislam huyo Shangazi au Mwalim Mkuu wa nini? Anakupotezea muda bure.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 18 дней назад

      Kwani kafungwa kamba na si alimuona ni Mzee alimfuta wa Nini, likija la ohivyoo kweli

  • @user-se9no4rg3k
    @user-se9no4rg3k 20 дней назад +1

    Umezeekaa Sasa dada

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 18 дней назад +2

      Hata wewe utazeeka dooooh au wewe ni jiwe utabaki km ulivyo😮😮😮

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 18 дней назад

      ​@@mwitaagness455nawashangaa wanaosema unadhani wao hawatazeeka

  • @aamaasm2141
    @aamaasm2141 20 дней назад +1

    🎉mbona sura imezeeka hata kucheke uso una kunjaa

    • @user-cj2kl7cd9k
      @user-cj2kl7cd9k 20 дней назад

      Maamuzi yake hayahusiani na vipi muonekano wake upo sasa kazi kwenu ashasema kweli yake dada wa watu

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 18 дней назад

      ​@@user-cj2kl7cd9khawajitafakari wao wakiwa na umri wake wataonekanaje

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 18 дней назад +1

    Umezeeka make up inawatowaga

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper 16 дней назад

      Nimegundua huyu ni over 40, mwangalie shingoni

  • @Zainab-qg6xv
    @Zainab-qg6xv 20 дней назад

    No filter 😂uzee huo

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 19 дней назад

    Mama kuki uko poa thana unazeeka na utam wako nakupenda thana 🎉