Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Kiukweli inaumiza sana R.I.P captain Gadner Mungu awatie nguvu wanafamilia wote hakuwa na baya na mtu yeyote yule
Polen sana jaman Mwenyezi Mungu ampe pumziko la milele 😢
Poleni sana wapendwa bt RIP ndugu
Poleni sana wapendwa Mungu awape nguvu
Asee Mungu mpe nguvu Bantu kipindi hiki kigumu.
Nilikua namkubal san bro mpk nikampa jina lake mwanangu pumzika kwa amn kaka
Poleni sana wafiwa
Poleni sana wafiwa nizaidi y maumivu Rlp capten😭😭😭
Jmn mi nikiskia hicho kipenga cha jahazi naumia hatar jmn😢😢😢😢nenda2 baba
Poleni sana pole familia ya gadnar g abashi ila sijamuona Musa Hussein why
Wewe unatafuta ubaya 😂😂
Poleni jaman mungu awape subr
Pole sana apumzike kwa amani
Sijuu niandike nn ni maumivu makubwa mno kiukweli poleni sana wanahabari wote na watu wote😭😭
Poleni sana ndugu zangu
Poleni sana Clouds
Warombo tumepoteza icon
Kabisa Shirima nimelia sana
Poleni Sana sana Clouds Media Group na familia yote. Apumzike kwa Amani Gadner
Anapokufa mtu nawe upo hai, MUNGU anatukumbusha ipo siku mimi nawewe tutukuwa km huyu,, siku ikifika kwako utakuwa wapi mwanadamu. Kuna kufarijiwa na kuumizwa, Mbinguni na motoni soma Biblia Luka 16:19--31 MUNGU anatubainishia hapo.
Kweli kabisa kwani Mussa Husein yupo wapi?
R.i.p mpendwa gadner
Polen sana wapendwa
Nikiwa kama mclouzania kindaki nimeumia sana😢😢
Amelala G
Musa husein yupo wapi?
Apumzke kwa Aman
Hapo waliotoka dar wote wamelewa sheria ya kupeleka msiba moshi ni lazima upitie sanyajuu lazima upige 🍺🍺
Duniani tunapita pumzika kwa amani kaka gadner sote kwake tutarejea
Poleni jamani 😢
Waliohudhuria chukueni funzo ktk maisha
Da,jahazi😢
Jingel ya jahazi honi ya jahazi sintahisahau RIP CAPTAIN G ABASHI I MISS YOU
Rest in peace my brother G.G.HABASH😢
R.I.P KAKA😭😭😭😭
Rest in peace G
WACHAGA TUACHE POMBE JAMANI WANA ROMBO HALI NI MBAYA VIJANA WAMEIVA KWA GAMBE HAMNA TENA NGUVU KAZI. R.I.P CAPTEN KIPENZI CHA WENGI
Kweli kabisa
@@judyngowi391 yaani unaona wanaume wanatetemeka kisa pombe uwiiii sio jambo la kufurahisha jamani tunazikwa vijana wazee wanabaki na majonzi mnoo 😭😭😭
Innalillahi wainnalillah rajiun
😢😢😢😢
Rest in peace
Wachaga tumempoteza Jemedari😢😭💔
Yani Tarakea wanapoteza watu mashuhuri akiwemo Ngaleku
Kamata utiri uwafo ifokto
😭😭😭😭😭
poleni sana ila waislam hawana mbwembwe sana
Na ndogo maana Kuna ukristo na waislamu ni vitu viwili tofauti usifananishe hivyo hayakuhusu kwanini tufanane?
Jichunguze usivyokuwa na utu na kuendana na nyakati, ata wakati wa huzuni unaingiza udini, pole
Ata hiyo pole ni ya kinafiki,
una matatizo ww Mungu akusaidie
@jumabonge Acha unaa
Kiukweli inaumiza sana R.I.P captain Gadner Mungu awatie nguvu wanafamilia wote hakuwa na baya na mtu yeyote yule
Polen sana jaman Mwenyezi Mungu ampe pumziko la milele 😢
Poleni sana wapendwa bt RIP ndugu
Poleni sana wapendwa Mungu awape nguvu
Asee Mungu mpe nguvu Bantu kipindi hiki kigumu.
Nilikua namkubal san bro mpk nikampa jina lake mwanangu pumzika kwa amn kaka
Poleni sana wafiwa
Poleni sana wafiwa nizaidi y maumivu Rlp capten😭😭😭
Jmn mi nikiskia hicho kipenga cha jahazi naumia hatar jmn😢😢😢😢nenda2 baba
Poleni sana pole familia ya gadnar g abashi ila sijamuona Musa Hussein why
Wewe unatafuta ubaya 😂😂
Poleni jaman mungu awape subr
Pole sana apumzike kwa amani
Sijuu niandike nn ni maumivu makubwa mno kiukweli poleni sana wanahabari wote na watu wote😭😭
Poleni sana ndugu zangu
Poleni sana Clouds
Warombo tumepoteza icon
Kabisa Shirima nimelia sana
Poleni Sana sana Clouds Media Group na familia yote. Apumzike kwa Amani Gadner
Anapokufa mtu nawe upo hai, MUNGU anatukumbusha ipo siku mimi nawewe tutukuwa km huyu,, siku ikifika kwako utakuwa wapi mwanadamu. Kuna kufarijiwa na kuumizwa, Mbinguni na motoni soma Biblia Luka 16:19--31 MUNGU anatubainishia hapo.
Kweli kabisa kwani Mussa Husein yupo wapi?
R.i.p mpendwa gadner
Polen sana wapendwa
Nikiwa kama mclouzania kindaki nimeumia sana😢😢
Amelala G
Musa husein yupo wapi?
Apumzke kwa Aman
Hapo waliotoka dar wote wamelewa sheria ya kupeleka msiba moshi ni lazima upitie sanyajuu lazima upige 🍺🍺
Duniani tunapita pumzika kwa amani kaka gadner sote kwake tutarejea
Poleni jamani 😢
Waliohudhuria chukueni funzo ktk maisha
Da,jahazi😢
Jingel ya jahazi honi ya jahazi sintahisahau RIP CAPTAIN G ABASHI I MISS YOU
Rest in peace my brother G.G.HABASH😢
R.I.P KAKA😭😭😭😭
Rest in peace G
WACHAGA TUACHE POMBE JAMANI WANA ROMBO HALI NI MBAYA VIJANA WAMEIVA KWA GAMBE HAMNA TENA NGUVU KAZI. R.I.P CAPTEN KIPENZI CHA WENGI
Kweli kabisa
@@judyngowi391 yaani unaona wanaume wanatetemeka kisa pombe uwiiii sio jambo la kufurahisha jamani tunazikwa vijana wazee wanabaki na majonzi mnoo 😭😭😭
Innalillahi wainnalillah rajiun
😢😢😢😢
Rest in peace
Wachaga tumempoteza Jemedari😢😭💔
Yani Tarakea wanapoteza watu mashuhuri akiwemo Ngaleku
Kamata utiri uwafo ifokto
😭😭😭😭😭
poleni sana ila waislam hawana mbwembwe sana
Na ndogo maana Kuna ukristo na waislamu ni vitu viwili tofauti usifananishe hivyo hayakuhusu kwanini tufanane?
Jichunguze usivyokuwa na utu na kuendana na nyakati, ata wakati wa huzuni unaingiza udini, pole
Ata hiyo pole ni ya kinafiki,
una matatizo ww Mungu akusaidie
@jumabonge Acha unaa