MIMI MARS: LA LA,ALICHOFANYA VANESSA MDEE HATUKUTEGEMEA, KASEMA WATANZANIA WASUBIRI, SIMBA KWENYE DM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 июн 2022
  • Ni kitambo kidogo Mimi Mars hajakaa kwenye EXCLUSIVE Interview na Millard Ayo, hizi ni dakika 26 za kufunguka kwa Mimi Mars kuhusu goma lake jipya la 'La la" lililovunja rekodi, kasimulia ilivyokuwa baada ya kwenda Atlanta kumsalimia Vanessa na Mtoto wake, Simba kwenye DM na mengine.

Комментарии • 140

  • @dianacornely4600
    @dianacornely4600 2 года назад +7

    Millard hakuna kama wewe.. big up broo🥰🥰🔥

  • @deusdedit789
    @deusdedit789 2 года назад +4

    Unacheka kama kimkadashian
    Mariiia wa jua kali binti wa Yesu 😊love you so much sister you are international figure

  • @JupiterLoveAI
    @JupiterLoveAI 2 года назад +29

    My favourite presenter! Can't afford to miss your interviews! Much love from Kenya.

  • @dlinecydoris8916
    @dlinecydoris8916 Год назад +1

    Jaman kaka Millard unaijua kazi yako vizuri jaman💕
    Mimi mars ur ma fav musician ever🤍

  • @saidkuwingwa485
    @saidkuwingwa485 2 года назад +12

    Millard anajua sana kumfanya mtu kuwa confortable sana kwenye interview inamfanya mtu afunguke zaidi na hata kama kuna kitu mtu hataki kuweka wazi anajitahidi kumpa privacy yake bila kumforce huyu jamaa ni level nyingine

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  2 года назад +2

      asante sana Saida, pamoja mpaka mwisho

    • @mssuzana8811
      @mssuzana8811 7 месяцев назад

      ​@@millardayoTZA😊

  • @hellenmollel6679
    @hellenmollel6679 2 года назад +5

    Millard hongera mno, unajua broo

  • @margrethamsechu7088
    @margrethamsechu7088 2 года назад +8

    Tunampenda maria wetu 🥰🥰🥰🥰🥰

  • @shekinahmurhububa7980
    @shekinahmurhububa7980 2 года назад +4

    You speak verywell.i usually views your interviews.
    You're professional.
    You make even your guest comfortable.i like that upp she feels safety around you.
    Watching 👀from Sweden🇸🇪.I like that.well done men

  • @salomeezekiel5985
    @salomeezekiel5985 2 года назад +11

    Jaman nampenda Sana minmars
    Ulitisha Sana kwenye jua kali
    Na napenda Sana nyimbo yaKo ya mua ni🔥

  • @marthamsoma2664
    @marthamsoma2664 Год назад +3

    Minmars nampenda muda wote anacheka 💞💞💞💞💞💞💞💞

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 2 года назад +6

    Mimimars na vee money 💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘ma fav pretty girls

  • @ashatimo4666
    @ashatimo4666 2 года назад +4

    Goooooooood ayo

  • @bahatimwakilima3273
    @bahatimwakilima3273 2 года назад +5

    Uko vzr mno ktk kazi yako Allah akutunze Milard

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 2 года назад +5

    NAPENDA SANA KAZI ZAKO BROTHER MILLAND AYO ILA MIMI MARS NIMZURI SANA TENA SAAANA. 🇰🇪🇨🇿

  • @lovenoor988
    @lovenoor988 2 года назад +6

    Beautiful girl damn❤️

  • @eddalazaro9088
    @eddalazaro9088 2 года назад +8

    Nampenda sana huyu dada❤️❤️

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Год назад +1

    Interview ya kizazi sana brother Millard 👍

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 2 года назад +2

    Mimi nakupendeni sana jmn nyie watu! Big up mirad ayo hata sijutiag kumaliza zangu MB ktk Chanel yko . Wafanya vitu kwa usahihi mno na wala hukurupuk.

  • @majdimpaka1079
    @majdimpaka1079 2 года назад +9

    Appreciate Millard ayo

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  2 года назад +1

      shukrani Majdi, pamoja sana mpaka mwisho

  • @malengawaburudani
    @malengawaburudani 2 года назад +7

    Professionalism na creativity ndo kitu nakipenda kwenye interviews zako kitu ambacho kimeniinspire sana katika kazi sana .Zidi kupiga kazi safi, love nyingi kutoka 254 Kenya

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 2 года назад +7

    My favorite Mimi Mars ❤️❤️❤️

  • @gibsonmuniha9909
    @gibsonmuniha9909 2 года назад +14

    Mazee Ayo we hunibamba sana na interviews zako, much love from Westlands Nairobi.

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  2 года назад +4

      pamoja sana mpaka mwisho Gibson ! peleka salam kwa Watu wangu wa Westlands

    • @carolineotieno8154
      @carolineotieno8154 Год назад +1

      Mwambie wakenya tunampenda Sana

  • @safari23
    @safari23 11 месяцев назад

    The lady is absolutely gorgeous

  • @nowthiskenya
    @nowthiskenya 2 года назад +2

    Ayo Mimi hufurahia sana vipindi vyako.

  • @alimungamunga2277
    @alimungamunga2277 2 года назад +3

    Mimi Mars l love you so much

  • @doreenmalesi6039
    @doreenmalesi6039 2 года назад +13

    can't miss mallard interviews from 254

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  2 года назад +2

      muchlove Doreen ! tuko pamoja mpaka mwisho

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 2 года назад +5

    Awoooooooooote!!! 💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥

  • @ilhammohammed4192
    @ilhammohammed4192 Год назад +3

    Waw nawependa sn hii Familiar ya kina Venessa jmn...😘😘😘😍😍😍Nakubali Interview zko Bruh wng

  • @maryaika9645
    @maryaika9645 2 года назад +3

    So much love from Tanganyika

  • @fadymoses4994
    @fadymoses4994 2 года назад +3

    Safe sound

  • @mrpaulbinezekiel110
    @mrpaulbinezekiel110 2 года назад +8

    Ayo uko vzr kwa interview zako nakufatiliaga sana..

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  2 года назад +1

      Shukrani Paul, tuko pamoja mpaka mwisho

  • @hendrycomonsiwenga1128
    @hendrycomonsiwenga1128 2 года назад +2

    Nimependa sna kka ulivyo jibu comment za wadau wako. Hongera sna, nakukubali Millard Ayo

  • @zuuqueenhilson3135
    @zuuqueenhilson3135 2 года назад +2

    Kali sn

  • @mwajumampwemwende7143
    @mwajumampwemwende7143 2 года назад +1

    Interview zako bro nitamu sanaaaa,,,,,,,,

  • @kellenalex6231
    @kellenalex6231 2 года назад +6

    😊mashaallah jamani 🥰

  • @sophiamfikwa7340
    @sophiamfikwa7340 Год назад +1

    Waooh nemeenjoy

  • @dottoluhanya4684
    @dottoluhanya4684 Год назад +1

    Nice

  • @seifkhan9519
    @seifkhan9519 2 года назад +2

    I like her

  • @renathaboniphace8524
    @renathaboniphace8524 2 года назад +1

    ❤❤

  • @rizoibrahimovich8217
    @rizoibrahimovich8217 2 года назад +6

    Mimi mars chuga queen

  • @peninajulius8861
    @peninajulius8861 Год назад +2

    Millard ulikuwa unampenda sana Vanessa( rafiki) umemuulizia kama mtu uliyemmiss sana

  • @bronzejeru2814
    @bronzejeru2814 2 года назад +3

    Tupo Asia tunakuwakilisha mama

  • @queensiku
    @queensiku 2 года назад +1

    🔥🔥

  • @Fabulousmom509
    @Fabulousmom509 2 года назад +4

    Tunaooshi huku... Tunamiss sana sana tena sana vyakula vya bongo aisee

  • @omanmobile5746
    @omanmobile5746 2 года назад +2

    Nampenda sana huyu dada jmn nikirudi tz nitamsaka tupige hata picha❤❤❤❤

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 2 года назад +3

    Mimi Mars mdogo angu wa damu ujue!mpare mwenzangu na wa Ar mwenzangu nakupendaaa dogo

  • @winnyngugi7066
    @winnyngugi7066 2 года назад +5

    Wooow...I love de interview😂😂Millard I say ure de best...napenda interview zako sana...God bless u man🙏love u from Kenya❤️❤️

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  2 года назад

      Muchlove kwako Winny !! shukrani sana, tuko pamoja mpaka mwisho

  • @doreenkihampa7204
    @doreenkihampa7204 2 года назад +3

    Noma Sana brother pongezi kwa hii manzi💪hatushindwi sisi❤️

  • @shangwerobert5639
    @shangwerobert5639 2 года назад +3

    Kweli huyu ni crush wa millad

  • @gracepius1102
    @gracepius1102 2 года назад +2

    nmefurah kukuona Millard bt nmemmis vido❤

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  2 года назад +1

      Asante Grace, yupo sana mchek kwenye playlist ya HABARI ZA MASTAA kajaa tele

  • @jacklinesuwi7646
    @jacklinesuwi7646 2 года назад +2

    Millard comment yako pliz🥰🥰🥰

  • @matronamshanga3642
    @matronamshanga3642 2 года назад +2

    Watching from 🇱🇷🇱🇷.

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад +4

    Amazing interview 👌🏽

  • @sadikiballack1631
    @sadikiballack1631 2 года назад +2

    Amshuru Mario tu haijawahi kufanya nyimbo kama hii bila Mario kiukweli Mario anahote mashaili nimusanii WA kisasa kila ngombo afafanyalo noma.......... Naogopa na armo noma

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540 Год назад

    ❤️❤️❤️

  • @SaraMAVE-jt2mx
    @SaraMAVE-jt2mx 5 месяцев назад

    Namu penda sana mimi mars kutoka kongo

  • @SHADRICKSHABANI
    @SHADRICKSHABANI 4 месяца назад

    🤝

  • @hamzabagilente2118
    @hamzabagilente2118 2 года назад +3

    Ayo unanikosha sana nahiyo sauti Yako ya zege nakukubali sana big

  • @happynessgodfrey9936
    @happynessgodfrey9936 Год назад +1

    🥰🥰

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Год назад +1

    Upo vizur kaka hongra akunaga kama wew

  • @user-yu9qn4oi3g
    @user-yu9qn4oi3g 2 месяца назад

    ❤❤❤❤

  • @todaysnewton4104
    @todaysnewton4104 2 года назад +2

    Contact zako Millard naziomba kna jambo

  • @lilyelisante5635
    @lilyelisante5635 Год назад +1

    🥰

  • @glorysamola1151
    @glorysamola1151 2 года назад +3

    Wa kwanza leo

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  2 года назад +1

      hongera sana kwa kuwa wa kwanza kutazama Glory, tuko pamoja mpaka mwisho

  • @gracejengo1344
    @gracejengo1344 Год назад +1

    Millard.. nimesikiliza.. Moyoni kimoyo kama umemdondokea Mimimars Vileeee 😂🤭Nisamehe lakini....

  • @rauhiaomar977
    @rauhiaomar977 21 день назад

    Ilibidi nirudi kuangalia iyo nymbo kwnz😅 kweli bhana mdundo ni wa ukwee kabsa

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 2 года назад +3

    Millard nipe namba yako

  • @ericklyimo131
    @ericklyimo131 2 года назад +10

    Big up interview ✊✊✊

  • @cyriln191
    @cyriln191 2 года назад +2

    Kidizain Millard unamipango hapa.

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 2 года назад

      😂 😂 😂 😂 😂 😂 Nyoosha maelezo

  • @wansibho554
    @wansibho554 2 года назад +2

    Watching all the way from China, Interview safi💥

  • @kefamkv3743
    @kefamkv3743 2 года назад +5

    Ila mimi Mars ni mzur balaa
    Hilo pini la lala nimelikubal
    Interview ya kibabe 🙌💪

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  2 года назад

      Asante kwa kutazama Kefa, pamoja mpaka mwisho !

  • @accuratehallunaire8541
    @accuratehallunaire8541 Год назад +1

    Kuikagua simu ya mtu ulie naye kwny mahusiano ni kulazimisha kutafta sabab za kuachana., kwnn ujihangaishe kuztafta km kwl unampenda, pia ikiwa hajaonesha dalil za kutotaka kuendelea na ww?

  • @edinanoel6151
    @edinanoel6151 Год назад +1

    Ila milard😂

  • @user-cq6jc6rq1l
    @user-cq6jc6rq1l 10 месяцев назад

    Murembo ❤❤❤

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g 2 года назад +3

    Mimi mars bhana anahisi atapata dili kama la dada ake

  • @ednanyangoro924
    @ednanyangoro924 2 года назад +2

    Mwanangu Amanda in NY na yeye Anasema wabongo na yeye hawaendani... Naelewa na huyu binti kabisaa...

  • @dariokisitu9134
    @dariokisitu9134 Год назад +1

    ayo ni levo za mbere kabisaa

  • @victorburetta2972
    @victorburetta2972 2 года назад +2

    💪💪

  • @AdenBoySuline-zm9if
    @AdenBoySuline-zm9if 8 месяцев назад

    Let's enjoy 🙌😂

  • @zebakimuzic
    @zebakimuzic 2 года назад +4

    Hujawahi kuniangusha milady ayo🤬🤬🤬🤬

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 2 года назад +2

    Mery..wa lukasi

  • @diegomontenego5158
    @diegomontenego5158 Год назад

    Hiv watumnajua huyu dada ni kama Miladi

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g 2 года назад +5

    Uzuri mzuri ila wa mbele 😁😁

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 2 года назад

      Umemaanisha nini my dear

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 2 года назад

      @@swaumdodoma7591 bongo bahati mbaya

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 2 года назад

      @@miriamwinston9908 😁😁😁😁shoga au wewe umemuelewa unielewesheee

    • @omanmobile5746
      @omanmobile5746 2 года назад

      Acha roho mbaya nyoko wewe.kwani bi harusi anapambwa nyuma😏😏😏😏kuma nyoko tena koma kabisa

    • @musason1680
      @musason1680 2 года назад

      🤣🤣🤣

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 2 года назад +4

    Huyu mtt mzuri kuliko dada yake

  • @saidhamis4120
    @saidhamis4120 2 года назад +4

    Mars mbna kama anaruka viunzi sana😂😂😂😂😂

  • @doricedaniel3563
    @doricedaniel3563 Год назад

    Sikuwahi kumfuailia huyu dada kwenye mziki ila sasa namuangalia kwenye jua kali ndo nimeanz kumfuatilia vizur duh unaniacha hoi sana binti mlokole 😂😂😂

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g 2 года назад +3

    😆😆😆😆

  • @hadijajaphari4550
    @hadijajaphari4550 2 года назад +3

    Wapili...hahahaaaa

  • @sayeedmash6928
    @sayeedmash6928 Год назад

    I just loved the way she talked she very nice and I wish I can get a sister like her to be honest 👌🥰🥰🥰🥰♥️♥️❤️🌹💋🔥

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 2 года назад +3

    Millard iyo tano mliyopeana ni sign ya freemason msipende kuitumia mtajikuta pabaya bila kujua,ushauri tu

  • @hasyno9805
    @hasyno9805 2 года назад +4

    Mimi mars usiseme kupata mtto bado ufikirie now unamiaka mingapi usije ukamlea mtto uzeeni

    • @vanessarobyn4584
      @vanessarobyn4584 2 года назад +2

      Jaman ebu muacheni huyu binti anaukubwa upi jamani umri wake ata miaka 29 bado jamani du TZ

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 2 года назад +3

      @@vanessarobyn4584 Ww kazaliwa 1990 na vanessa 1988 miaka 32 unaona midogo labda kama anataka azae na miaka ya kama dadaake

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 2 года назад +1

      @@vanessarobyn4584 Ww kazaliwa 1990 na vanessa 1988 miaka 32 unaona midogo labda kama anataka azae na miaka ya kama dadaake

    • @Quee2662
      @Quee2662 2 года назад +7

      Haaaa we uliezaa mapema umefaidi nn acheni ushamba kuzaaa kuzaa ukizaaa wewe inatosha