MIMI MARS: LA LA,ALICHOFANYA VANESSA MDEE HATUKUTEGEMEA, KASEMA WATANZANIA WASUBIRI, SIMBA KWENYE DM
HTML-код
- Опубликовано: 29 июн 2022
- Ni kitambo kidogo Mimi Mars hajakaa kwenye EXCLUSIVE Interview na Millard Ayo, hizi ni dakika 26 za kufunguka kwa Mimi Mars kuhusu goma lake jipya la 'La la" lililovunja rekodi, kasimulia ilivyokuwa baada ya kwenda Atlanta kumsalimia Vanessa na Mtoto wake, Simba kwenye DM na mengine.
You speak verywell.i usually views your interviews.
You're professional.
You make even your guest comfortable.i like that upp she feels safety around you.
Watching 👀from Sweden🇸🇪.I like that.well done men
My favourite presenter! Can't afford to miss your interviews! Much love from Kenya.
pamoja mpaka mwisho Doreen ! muchlove 254
Q
Nice one❤❤ brother
Jaman kaka Millard unaijua kazi yako vizuri jaman💕
Mimi mars ur ma fav musician ever🤍
Millard hakuna kama wewe.. big up broo🥰🥰🔥
Unacheka kama kimkadashian
Mariiia wa jua kali binti wa Yesu 😊love you so much sister you are international figure
Goooooooood ayo
Beautiful girl damn❤️
Appreciate Millard ayo
shukrani Majdi, pamoja sana mpaka mwisho
Jaman nampenda Sana minmars
Ulitisha Sana kwenye jua kali
Na napenda Sana nyimbo yaKo ya mua ni🔥
Mimimars na vee money 💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘ma fav pretty girls
My favorite Mimi Mars ❤️❤️❤️
asante kwa kutazama Maryam !!!
Tunampenda maria wetu 🥰🥰🥰🥰🥰
Millard hongera mno, unajua broo
can't miss mallard interviews from 254
muchlove Doreen ! tuko pamoja mpaka mwisho
Mimi Mars l love you so much
So much love from Tanganyika
pamoja sana mpaka mwisho Mary
The lady is absolutely gorgeous
Uko vzr mno ktk kazi yako Allah akutunze Milard
Amen, asante sana Bahati
Interview ya kizazi sana brother Millard 👍
Mazee Ayo we hunibamba sana na interviews zako, much love from Westlands Nairobi.
pamoja sana mpaka mwisho Gibson ! peleka salam kwa Watu wangu wa Westlands
Mwambie wakenya tunampenda Sana
Nampenda sana huyu dada❤️❤️
asante kwa kutazama Edda !!
Wooow...I love de interview😂😂Millard I say ure de best...napenda interview zako sana...God bless u man🙏love u from Kenya❤️❤️
Muchlove kwako Winny !! shukrani sana, tuko pamoja mpaka mwisho
Minmars nampenda muda wote anacheka 💞💞💞💞💞💞💞💞
Professionalism na creativity ndo kitu nakipenda kwenye interviews zako kitu ambacho kimeniinspire sana katika kazi sana .Zidi kupiga kazi safi, love nyingi kutoka 254 Kenya
I agree with you
asante sana Malenga, tuko pamoja mpaka mwisho
@@millardayoTZA karibu, zidi kusukuma kazi
Safe sound
Millard anajua sana kumfanya mtu kuwa confortable sana kwenye interview inamfanya mtu afunguke zaidi na hata kama kuna kitu mtu hataki kuweka wazi anajitahidi kumpa privacy yake bila kumforce huyu jamaa ni level nyingine
asante sana Saida, pamoja mpaka mwisho
@@millardayoTZA😊
Mimi nakupendeni sana jmn nyie watu! Big up mirad ayo hata sijutiag kumaliza zangu MB ktk Chanel yko . Wafanya vitu kwa usahihi mno na wala hukurupuk.
😊mashaallah jamani 🥰
asante kwa kutazama Kellen
Waw nawependa sn hii Familiar ya kina Venessa jmn...😘😘😘😍😍😍Nakubali Interview zko Bruh wng
Nice
NAPENDA SANA KAZI ZAKO BROTHER MILLAND AYO ILA MIMI MARS NIMZURI SANA TENA SAAANA. 🇰🇪🇨🇿
pamoja sana Ndugu yangu
I like her
Awoooooooooote!!! 💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥
Waooh nemeenjoy
Ayo uko vzr kwa interview zako nakufatiliaga sana..
Shukrani Paul, tuko pamoja mpaka mwisho
Kali sn
nmefurah kukuona Millard bt nmemmis vido❤
Asante Grace, yupo sana mchek kwenye playlist ya HABARI ZA MASTAA kajaa tele
Ayo Mimi hufurahia sana vipindi vyako.
Nimependa sna kka ulivyo jibu comment za wadau wako. Hongera sna, nakukubali Millard Ayo
🔥🔥
Amazing interview 👌🏽
pamoja sana Faudhia
❤❤
Noma Sana brother pongezi kwa hii manzi💪hatushindwi sisi❤️
au sio au sio 👊🏿
Watching from 🇱🇷🇱🇷.
🙌 🙌 🙌
Interview zako bro nitamu sanaaaa,,,,,,,,
Nampenda sana huyu dada jmn nikirudi tz nitamsaka tupige hata picha❤❤❤❤
Ni mdogo wake huyo sio vanessa
@@rizoibrahimovich8217 oooh kumbe shukrani brother❤❤❤
Watching all the way from China, Interview safi💥
muchlove Wansibho !
Big up interview ✊✊✊
👊🏿👊🏿
Millard comment yako pliz🥰🥰🥰
Mimi Mars mdogo angu wa damu ujue!mpare mwenzangu na wa Ar mwenzangu nakupendaaa dogo
❤️❤️❤️
Tunaooshi huku... Tunamiss sana sana tena sana vyakula vya bongo aisee
nadili na wingstop tu upande huo
🥰🥰
Contact zako Millard naziomba kna jambo
🥰
🤝
Tupo Asia tunakuwakilisha mama
Mimi mars chuga queen
❤❤❤❤
Murembo ❤❤❤
Wa kwanza leo
hongera sana kwa kuwa wa kwanza kutazama Glory, tuko pamoja mpaka mwisho
Ayo unanikosha sana nahiyo sauti Yako ya zege nakukubali sana big
pamoja sana Hamza, shukrani
Let's enjoy 🙌😂
Kweli huyu ni crush wa millad
💪💪
Millard nipe namba yako
Ila milard😂
Millard ulikuwa unampenda sana Vanessa( rafiki) umemuulizia kama mtu uliyemmiss sana
Upo vizur kaka hongra akunaga kama wew
I just loved the way she talked she very nice and I wish I can get a sister like her to be honest 👌🥰🥰🥰🥰♥️♥️❤️🌹💋🔥
Namu penda sana mimi mars kutoka kongo
Kidizain Millard unamipango hapa.
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Nyoosha maelezo
Ila mimi Mars ni mzur balaa
Hilo pini la lala nimelikubal
Interview ya kibabe 🙌💪
Asante kwa kutazama Kefa, pamoja mpaka mwisho !
Amshuru Mario tu haijawahi kufanya nyimbo kama hii bila Mario kiukweli Mario anahote mashaili nimusanii WA kisasa kila ngombo afafanyalo noma.......... Naogopa na armo noma
Millard.. nimesikiliza.. Moyoni kimoyo kama umemdondokea Mimimars Vileeee 😂🤭Nisamehe lakini....
ayo ni levo za mbere kabisaa
Uzuri mzuri ila wa mbele 😁😁
Umemaanisha nini my dear
@@swaumdodoma7591 bongo bahati mbaya
@@miriamwinston9908 😁😁😁😁shoga au wewe umemuelewa unielewesheee
Acha roho mbaya nyoko wewe.kwani bi harusi anapambwa nyuma😏😏😏😏kuma nyoko tena koma kabisa
🤣🤣🤣
Mery..wa lukasi
Mimi mars bhana anahisi atapata dili kama la dada ake
Mars mbna kama anaruka viunzi sana😂😂😂😂😂
umeona sio 😁
Ilibidi nirudi kuangalia iyo nymbo kwnz😅 kweli bhana mdundo ni wa ukwee kabsa
Kuikagua simu ya mtu ulie naye kwny mahusiano ni kulazimisha kutafta sabab za kuachana., kwnn ujihangaishe kuztafta km kwl unampenda, pia ikiwa hajaonesha dalil za kutotaka kuendelea na ww?
Huyu mtt mzuri kuliko dada yake
Mwanangu Amanda in NY na yeye Anasema wabongo na yeye hawaendani... Naelewa na huyu binti kabisaa...
Hujawahi kuniangusha milady ayo🤬🤬🤬🤬
Hiv watumnajua huyu dada ni kama Miladi
😆😆😆😆
Sikuwahi kumfuailia huyu dada kwenye mziki ila sasa namuangalia kwenye jua kali ndo nimeanz kumfuatilia vizur duh unaniacha hoi sana binti mlokole 😂😂😂
Wapili...hahahaaaa
pamoja mpaka mwisho Hadija
Millard iyo tano mliyopeana ni sign ya freemason msipende kuitumia mtajikuta pabaya bila kujua,ushauri tu
We umejuaje dear
Mimi mars usiseme kupata mtto bado ufikirie now unamiaka mingapi usije ukamlea mtto uzeeni
Jaman ebu muacheni huyu binti anaukubwa upi jamani umri wake ata miaka 29 bado jamani du TZ
@@vanessarobyn4584 Ww kazaliwa 1990 na vanessa 1988 miaka 32 unaona midogo labda kama anataka azae na miaka ya kama dadaake
@@vanessarobyn4584 Ww kazaliwa 1990 na vanessa 1988 miaka 32 unaona midogo labda kama anataka azae na miaka ya kama dadaake
Haaaa we uliezaa mapema umefaidi nn acheni ushamba kuzaaa kuzaa ukizaaa wewe inatosha