MIMI MARS: LA LA,ALICHOFANYA VANESSA MDEE HATUKUTEGEMEA, KASEMA WATANZANIA WASUBIRI, SIMBA KWENYE DM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 июн 2022
  • Ni kitambo kidogo Mimi Mars hajakaa kwenye EXCLUSIVE Interview na Millard Ayo, hizi ni dakika 26 za kufunguka kwa Mimi Mars kuhusu goma lake jipya la 'La la" lililovunja rekodi, kasimulia ilivyokuwa baada ya kwenda Atlanta kumsalimia Vanessa na Mtoto wake, Simba kwenye DM na mengine.

Комментарии • 140

  • @shekinahmurhububa7980
    @shekinahmurhububa7980 Год назад +4

    You speak verywell.i usually views your interviews.
    You're professional.
    You make even your guest comfortable.i like that upp she feels safety around you.
    Watching 👀from Sweden🇸🇪.I like that.well done men

  • @JupiterLoveAI
    @JupiterLoveAI Год назад +29

    My favourite presenter! Can't afford to miss your interviews! Much love from Kenya.

  • @dlinecydoris8916
    @dlinecydoris8916 Год назад +1

    Jaman kaka Millard unaijua kazi yako vizuri jaman💕
    Mimi mars ur ma fav musician ever🤍

  • @dianacornely4600
    @dianacornely4600 Год назад +7

    Millard hakuna kama wewe.. big up broo🥰🥰🔥

  • @deusdedit789
    @deusdedit789 Год назад +4

    Unacheka kama kimkadashian
    Mariiia wa jua kali binti wa Yesu 😊love you so much sister you are international figure

  • @ashatimo4666
    @ashatimo4666 Год назад +4

    Goooooooood ayo

  • @lovenoor988
    @lovenoor988 Год назад +6

    Beautiful girl damn❤️

  • @majdimpaka1079
    @majdimpaka1079 Год назад +9

    Appreciate Millard ayo

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Год назад +1

      shukrani Majdi, pamoja sana mpaka mwisho

  • @salomeezekiel5985
    @salomeezekiel5985 Год назад +11

    Jaman nampenda Sana minmars
    Ulitisha Sana kwenye jua kali
    Na napenda Sana nyimbo yaKo ya mua ni🔥

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Год назад +6

    Mimimars na vee money 💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘ma fav pretty girls

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Год назад +7

    My favorite Mimi Mars ❤️❤️❤️

  • @margrethamsechu7088
    @margrethamsechu7088 Год назад +8

    Tunampenda maria wetu 🥰🥰🥰🥰🥰

  • @hellenmollel6679
    @hellenmollel6679 Год назад +5

    Millard hongera mno, unajua broo

  • @doreenmalesi6039
    @doreenmalesi6039 Год назад +13

    can't miss mallard interviews from 254

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Год назад +2

      muchlove Doreen ! tuko pamoja mpaka mwisho

  • @alimungamunga2277
    @alimungamunga2277 Год назад +3

    Mimi Mars l love you so much

  • @maryaika9645
    @maryaika9645 Год назад +3

    So much love from Tanganyika

  • @safari23
    @safari23 11 месяцев назад

    The lady is absolutely gorgeous

  • @bahatimwakilima3273
    @bahatimwakilima3273 Год назад +5

    Uko vzr mno ktk kazi yako Allah akutunze Milard

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Год назад +1

    Interview ya kizazi sana brother Millard 👍

  • @gibsonmuniha9909
    @gibsonmuniha9909 Год назад +14

    Mazee Ayo we hunibamba sana na interviews zako, much love from Westlands Nairobi.

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Год назад +4

      pamoja sana mpaka mwisho Gibson ! peleka salam kwa Watu wangu wa Westlands

    • @carolineotieno8154
      @carolineotieno8154 Год назад +1

      Mwambie wakenya tunampenda Sana

  • @eddalazaro9088
    @eddalazaro9088 Год назад +8

    Nampenda sana huyu dada❤️❤️

  • @winnyngugi7066
    @winnyngugi7066 Год назад +5

    Wooow...I love de interview😂😂Millard I say ure de best...napenda interview zako sana...God bless u man🙏love u from Kenya❤️❤️

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Год назад

      Muchlove kwako Winny !! shukrani sana, tuko pamoja mpaka mwisho

  • @marthamsoma2664
    @marthamsoma2664 Год назад +3

    Minmars nampenda muda wote anacheka 💞💞💞💞💞💞💞💞

  • @malengawaburudani
    @malengawaburudani Год назад +7

    Professionalism na creativity ndo kitu nakipenda kwenye interviews zako kitu ambacho kimeniinspire sana katika kazi sana .Zidi kupiga kazi safi, love nyingi kutoka 254 Kenya

  • @fadymoses4994
    @fadymoses4994 Год назад +3

    Safe sound

  • @saidkuwingwa485
    @saidkuwingwa485 Год назад +12

    Millard anajua sana kumfanya mtu kuwa confortable sana kwenye interview inamfanya mtu afunguke zaidi na hata kama kuna kitu mtu hataki kuweka wazi anajitahidi kumpa privacy yake bila kumforce huyu jamaa ni level nyingine

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Год назад +2

      asante sana Saida, pamoja mpaka mwisho

    • @mssuzana8811
      @mssuzana8811 7 месяцев назад

      ​@@millardayoTZA😊

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 Год назад +2

    Mimi nakupendeni sana jmn nyie watu! Big up mirad ayo hata sijutiag kumaliza zangu MB ktk Chanel yko . Wafanya vitu kwa usahihi mno na wala hukurupuk.

  • @kellenalex6231
    @kellenalex6231 Год назад +6

    😊mashaallah jamani 🥰

  • @ilhammohammed4192
    @ilhammohammed4192 Год назад +3

    Waw nawependa sn hii Familiar ya kina Venessa jmn...😘😘😘😍😍😍Nakubali Interview zko Bruh wng

  • @dottoluhanya4684
    @dottoluhanya4684 Год назад +1

    Nice

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 Год назад +5

    NAPENDA SANA KAZI ZAKO BROTHER MILLAND AYO ILA MIMI MARS NIMZURI SANA TENA SAAANA. 🇰🇪🇨🇿

  • @seifkhan9519
    @seifkhan9519 Год назад +2

    I like her

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 Год назад +5

    Awoooooooooote!!! 💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥

  • @sophiamfikwa7340
    @sophiamfikwa7340 Год назад +1

    Waooh nemeenjoy

  • @mrpaulbinezekiel110
    @mrpaulbinezekiel110 Год назад +8

    Ayo uko vzr kwa interview zako nakufatiliaga sana..

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Год назад +1

      Shukrani Paul, tuko pamoja mpaka mwisho

  • @zuuqueenhilson3135
    @zuuqueenhilson3135 Год назад +2

    Kali sn

  • @gracepius1102
    @gracepius1102 Год назад +2

    nmefurah kukuona Millard bt nmemmis vido❤

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Год назад +1

      Asante Grace, yupo sana mchek kwenye playlist ya HABARI ZA MASTAA kajaa tele

  • @nowthiskenya
    @nowthiskenya Год назад +2

    Ayo Mimi hufurahia sana vipindi vyako.

  • @hendrycomonsiwenga1128
    @hendrycomonsiwenga1128 Год назад +2

    Nimependa sna kka ulivyo jibu comment za wadau wako. Hongera sna, nakukubali Millard Ayo

  • @queensiku
    @queensiku Год назад +1

    🔥🔥

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +4

    Amazing interview 👌🏽

  • @renathaboniphace8524
    @renathaboniphace8524 Год назад +1

    ❤❤

  • @doreenkihampa7204
    @doreenkihampa7204 Год назад +3

    Noma Sana brother pongezi kwa hii manzi💪hatushindwi sisi❤️

  • @matronamshanga3642
    @matronamshanga3642 Год назад +2

    Watching from 🇱🇷🇱🇷.

  • @mwajumampwemwende7143
    @mwajumampwemwende7143 Год назад +1

    Interview zako bro nitamu sanaaaa,,,,,,,,

  • @omanmobile5746
    @omanmobile5746 Год назад +2

    Nampenda sana huyu dada jmn nikirudi tz nitamsaka tupige hata picha❤❤❤❤

  • @wansibho554
    @wansibho554 Год назад +2

    Watching all the way from China, Interview safi💥

  • @ericklyimo131
    @ericklyimo131 Год назад +10

    Big up interview ✊✊✊

  • @jacklinesuwi7646
    @jacklinesuwi7646 Год назад +2

    Millard comment yako pliz🥰🥰🥰

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 Год назад +3

    Mimi Mars mdogo angu wa damu ujue!mpare mwenzangu na wa Ar mwenzangu nakupendaaa dogo

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540 Год назад

    ❤️❤️❤️

  • @Fabulousmom509
    @Fabulousmom509 Год назад +4

    Tunaooshi huku... Tunamiss sana sana tena sana vyakula vya bongo aisee

  • @happynessgodfrey9936
    @happynessgodfrey9936 Год назад +1

    🥰🥰

  • @todaysnewton4104
    @todaysnewton4104 Год назад +2

    Contact zako Millard naziomba kna jambo

  • @lilyelisante5635
    @lilyelisante5635 Год назад +1

    🥰

  • @SHADRICKSHABANI
    @SHADRICKSHABANI 3 месяца назад

    🤝

  • @bronzejeru2814
    @bronzejeru2814 Год назад +3

    Tupo Asia tunakuwakilisha mama

  • @rizoibrahimovich8217
    @rizoibrahimovich8217 Год назад +6

    Mimi mars chuga queen

  • @user-yu9qn4oi3g
    @user-yu9qn4oi3g 2 месяца назад

    ❤❤❤❤

  • @user-cq6jc6rq1l
    @user-cq6jc6rq1l 10 месяцев назад

    Murembo ❤❤❤

  • @glorysamola1151
    @glorysamola1151 Год назад +3

    Wa kwanza leo

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Год назад +1

      hongera sana kwa kuwa wa kwanza kutazama Glory, tuko pamoja mpaka mwisho

  • @hamzabagilente2118
    @hamzabagilente2118 Год назад +3

    Ayo unanikosha sana nahiyo sauti Yako ya zege nakukubali sana big

  • @AdenBoySuline-zm9if
    @AdenBoySuline-zm9if 7 месяцев назад

    Let's enjoy 🙌😂

  • @shangwerobert5639
    @shangwerobert5639 Год назад +3

    Kweli huyu ni crush wa millad

  • @victorburetta2972
    @victorburetta2972 Год назад +2

    💪💪

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Год назад +3

    Millard nipe namba yako

  • @edinanoel6151
    @edinanoel6151 Год назад +1

    Ila milard😂

  • @peninajulius8861
    @peninajulius8861 Год назад +2

    Millard ulikuwa unampenda sana Vanessa( rafiki) umemuulizia kama mtu uliyemmiss sana

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Год назад +1

    Upo vizur kaka hongra akunaga kama wew

  • @sayeedmash6928
    @sayeedmash6928 Год назад

    I just loved the way she talked she very nice and I wish I can get a sister like her to be honest 👌🥰🥰🥰🥰♥️♥️❤️🌹💋🔥

  • @SaraMAVE-jt2mx
    @SaraMAVE-jt2mx 4 месяца назад

    Namu penda sana mimi mars kutoka kongo

  • @cyriln191
    @cyriln191 Год назад +2

    Kidizain Millard unamipango hapa.

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 Год назад

      😂 😂 😂 😂 😂 😂 Nyoosha maelezo

  • @kefamkv3743
    @kefamkv3743 Год назад +5

    Ila mimi Mars ni mzur balaa
    Hilo pini la lala nimelikubal
    Interview ya kibabe 🙌💪

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Год назад

      Asante kwa kutazama Kefa, pamoja mpaka mwisho !

  • @sadikiballack1631
    @sadikiballack1631 Год назад +2

    Amshuru Mario tu haijawahi kufanya nyimbo kama hii bila Mario kiukweli Mario anahote mashaili nimusanii WA kisasa kila ngombo afafanyalo noma.......... Naogopa na armo noma

  • @gracejengo1344
    @gracejengo1344 Год назад +1

    Millard.. nimesikiliza.. Moyoni kimoyo kama umemdondokea Mimimars Vileeee 😂🤭Nisamehe lakini....

  • @dariokisitu9134
    @dariokisitu9134 Год назад +1

    ayo ni levo za mbere kabisaa

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g Год назад +5

    Uzuri mzuri ila wa mbele 😁😁

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 Год назад

      Umemaanisha nini my dear

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 Год назад

      @@swaumdodoma7591 bongo bahati mbaya

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 Год назад

      @@miriamwinston9908 😁😁😁😁shoga au wewe umemuelewa unielewesheee

    • @omanmobile5746
      @omanmobile5746 Год назад

      Acha roho mbaya nyoko wewe.kwani bi harusi anapambwa nyuma😏😏😏😏kuma nyoko tena koma kabisa

    • @musason1680
      @musason1680 Год назад

      🤣🤣🤣

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 Год назад +2

    Mery..wa lukasi

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g Год назад +3

    Mimi mars bhana anahisi atapata dili kama la dada ake

  • @saidhamis4120
    @saidhamis4120 Год назад +4

    Mars mbna kama anaruka viunzi sana😂😂😂😂😂

  • @rauhiaomar977
    @rauhiaomar977 12 дней назад

    Ilibidi nirudi kuangalia iyo nymbo kwnz😅 kweli bhana mdundo ni wa ukwee kabsa

  • @accuratehallunaire8541
    @accuratehallunaire8541 Год назад +1

    Kuikagua simu ya mtu ulie naye kwny mahusiano ni kulazimisha kutafta sabab za kuachana., kwnn ujihangaishe kuztafta km kwl unampenda, pia ikiwa hajaonesha dalil za kutotaka kuendelea na ww?

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад +4

    Huyu mtt mzuri kuliko dada yake

  • @ednanyangoro924
    @ednanyangoro924 Год назад +2

    Mwanangu Amanda in NY na yeye Anasema wabongo na yeye hawaendani... Naelewa na huyu binti kabisaa...

  • @zebakimuzic
    @zebakimuzic Год назад +4

    Hujawahi kuniangusha milady ayo🤬🤬🤬🤬

  • @diegomontenego5158
    @diegomontenego5158 Год назад

    Hiv watumnajua huyu dada ni kama Miladi

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g Год назад +3

    😆😆😆😆

  • @doricedaniel3563
    @doricedaniel3563 Год назад

    Sikuwahi kumfuailia huyu dada kwenye mziki ila sasa namuangalia kwenye jua kali ndo nimeanz kumfuatilia vizur duh unaniacha hoi sana binti mlokole 😂😂😂

  • @hadijajaphari4550
    @hadijajaphari4550 Год назад +3

    Wapili...hahahaaaa

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 Год назад +3

    Millard iyo tano mliyopeana ni sign ya freemason msipende kuitumia mtajikuta pabaya bila kujua,ushauri tu

  • @hasyno9805
    @hasyno9805 Год назад +4

    Mimi mars usiseme kupata mtto bado ufikirie now unamiaka mingapi usije ukamlea mtto uzeeni

    • @vanessarobyn4584
      @vanessarobyn4584 Год назад +2

      Jaman ebu muacheni huyu binti anaukubwa upi jamani umri wake ata miaka 29 bado jamani du TZ

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 Год назад +3

      @@vanessarobyn4584 Ww kazaliwa 1990 na vanessa 1988 miaka 32 unaona midogo labda kama anataka azae na miaka ya kama dadaake

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 Год назад +1

      @@vanessarobyn4584 Ww kazaliwa 1990 na vanessa 1988 miaka 32 unaona midogo labda kama anataka azae na miaka ya kama dadaake

    • @Quee2662
      @Quee2662 Год назад +7

      Haaaa we uliezaa mapema umefaidi nn acheni ushamba kuzaaa kuzaa ukizaaa wewe inatosha