Woow is that what you can say?? That was a good question?? I love vessena and mimi but hey we need God and I i your family is a jesus family... Take care and stay safe
Khaaaaaa ww abroad schools hv una akili kweli rose muhando ndo unamuona mtakatifu kwa kipi?usimjudge binadam mwenzako ukiwa huajui moyo wake yy na mungu wake ulitaka atangaze vipi injili?nadhani haujui hata maana ya wokovu na haujaokoka ww
🙏🙏
Wote 👱♀️👱♀️👱♀️madada walikuwa watangazaji wow God bless you guys 😎🤗😚😍+49😍🤗
Sikilizeni vipi anasema na anajibu mashaallah wagine jifunzeni 😍😍😍😍😍
Mbarikiwe sana,wote ni wazuri ila uko vzur ccta maana kwa muonekano wewe ndo unaonekana mdogo una baby face kweli mtu ukiokoka unafaidi
Sijui kwanini siku zote wakubwa wanaonekana wadogo
Mmmmmh huyu mtangazaji kalewa. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa kutuinjilisha kwa nyimbo nzuri. Ila wewe na wenzio mnafanana sana.
Elizabeth Mwandu mtangazaji
Nancy kbs barikiwa.sana mie pia ni murundi ila nafatiriya nyimbozako. Hata maubili ya hebron nayafatiriya yamegeuza maisha yangu.kwasasa
They are beutiful. Mungu akuinue jamani, napenda kuona vijana tukimjua Mungu na kumlilia. Alafu napenda mlivyo real kwenu, kila mtu na mambo yake.
Do wote wanaimba
Wanafanana
Uyu mtangazaji namjuwa
baby face so cut. yaan Vanessa kawa bibi sister wake ni very Yang kweli kwayesu nirahaa.sanaaa.
Nimecheka atali
Hahaha
Vanessa grm sana
Family imebarikiwa kipaji,Mashaallah
She used to be a presenter of str8up programme on ktn in kenya years back...
Jomoni wamefanana adi raha adi saut Dooh.Ubarikiwe sana Dada angu
for really, you're a blessed woman
Mungu akubariki sana dada yangu tupo pamoja
She is so awesome
They are like the kardashians of Tz...
Vanessa ndio their Kim K na
Mimi mars their Khloe
Woow is that what you can say?? That was a good question?? I love vessena and mimi but hey we need God and I i your family is a jesus family... Take care and stay safe
Saut zenu zinafana sana mashallah
#mdeeladiesbornbeautiful.Masha Allah u luk younger Hebron
kwao asaaa wazuriiii
Duh nice dgoo alikuwa mtangzj Dada piaaa,,,hongrn
mmebarikiwa kwenu
Sauti zao jamani zinafafana ,nitamu Mungu awabariki
Shout out to all black beauties out there
Hii familia ni ya kitumishi. MUNGU atimize kusudi lake juu yenu. MUNGU awatumie vile apendavyo MUNGU awatunze.
mungu akubariki sana
Wote wazuri jamani 😁😁
Jamani,,,duh!!!""matangazaji mengine,__,,,bhana ,"""hata halija chana nywele,,,,,
Gibsony Shadrack jamani 😂😂😂 swaga
Gibsony Shadrack 😂😂😂😂🙊🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
hahaha
Gibsony Shadrack 😂😂😂😂😂😂
Uwiiiih nimecheka atali
Mashaallah
Mnafanana walai God bless you siz
mhu utangazaji mpaka kwa injili kweli hii ni transition
Hongera sana
UNAMPENDA YESU UTAJUA UJUI SIKU YA MWISHO 😊
Barikiwa
mhuuuuuuuuiiii ubarikiwe mchungaji mama
Anapata shida na maswali ya ndugu zake, kila mtu ataingia mbinguni mwenyewe jomoni
dada kachumbali mdogo chai yani vituko ukoooni
layma peace mhh
Nawapenda Sana mdee family warembo
Ubarikiwe
Watoto watamu sana hongera mama yao
Unaongea kwa hekima Nancy mungu azidi kukuinuwa dada
Wanasaut moja duuu
Mmefanana sana jamani.
barkiwaaa
Wanafanana kuongea
Hee wote kwao naona watangazaji na wanamusic
Nakuelewa Mama
mm nilifikili Vanessa ndo mkubwa
Ameen
Familiy yenu iko poa sana
Amen
Amen.
Duh anaonekana ndo mdogo kumbe mkubwa duh
Beauty Ibrahim kwa Yesu raha
kwa yesu raha
mke w nabii hebron yuko poa san hyo dada
connection
❤😂😂😂❤❤❤❤❤
Injili model mhhhhh
nashangaaa injili gani hiyo
abroad schools we acha2 injili model
Modern means ya kisasa
Amefanya uchaguz sahihi
Sauti zimefanana
Hi
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
❤
Cute
sauti tu hampotei
Happy Asukeni hadi rahaa
She cute
babyface
Aiman
Ilove her
daaah
duuu wanafanana
Lov it
sasa umemtaja mungu umemtaja yesu mmhh
Jennifer Gsm is it wrong?
Jesca Moses yes ni kiumbe km sisi hauwez ukamuomba bali umuombe mungu yesu unataka baraka tuu
We hujaelewa nni kwa Mfano jeniffer
wamefanana hatare
Edina hamadi
Mnafanana jamani
good
Amen
Mwizi2 wa waume za watu half anajifanya kaokoka shenzi kabsaaa ww n Nancy mdee2 Hebron n wa Dativa fyuuuuuuu
Alie kutolea bikra atakuoa?? Mchumba haibiwi Mme ndio anaibiwa some time hata yeye anajipeleka zinaibiwa hela acha kuchafua watu barikiwa dada wa vee.
@@nyambelewinfrida9074good answer
Dah!
Saut znafanana san
Mbona kama vanessa
Sauti zile zile
Nxur
makeup
injili ngumu hautaiweza kiivyo, labda uwe kama rosemuhando kuwa mwanamke wa roho ,haya mambo si fashion ni uwito dada
abroad schools chunguza kabla ya kuongea, ameokoka kweli na ni mchungaji
Khaaaaaa ww abroad schools hv una akili kweli rose muhando ndo unamuona mtakatifu kwa kipi?usimjudge binadam mwenzako ukiwa huajui moyo wake yy na mungu wake ulitaka atangaze vipi injili?nadhani haujui hata maana ya wokovu na haujaokoka ww
Mavi wewe abroad
Kaa nyuma kwa jina la Yesu ataweza
Amen
voice zinafanana sijui mumeruth kwa mama au baba
Cute
Amen
AF hawa wanafanana kweli
Amen
Jesus is first in all thing
Amen