SNAKE BOY | ep 19 | SEASON TWO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Follow Me On Instagram
    / clamcris_
    Tiktok:
    / clam_cris
    Facebook:
    www.facebook.c...
    #Clamvevo #Vevowood

Комментарии • 2,1 тыс.

  • @johnkitwima6963
    @johnkitwima6963 4 месяца назад +47

    wanaomkubali Mganga wa waacha, kurukutanta mantete😂😂

  • @Kaysam806
    @Kaysam806 4 месяца назад +142

    Wa kwanza jaman from zambia🇿🇲🇿🇲❤ please naomba more like like zanu kwa kuwahia

  • @AgostinhocosmeNambanga
    @AgostinhocosmeNambanga 4 месяца назад +54

    Leo wa mwisho kutoka Mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿nipe mauwa yangu

  • @AbednegoMselela
    @AbednegoMselela 4 месяца назад +5

    Blessings to you bro Ahsante kwa kutuongezea urefu wa kipande❤❤❤

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga 4 месяца назад +147

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲, leo nimechelewa kidogo ila samahani naomba like ata 100

  • @Touss_b
    @Touss_b 4 месяца назад +61

    Wakwanza kutoka Congo Drc liké zangu

  • @DJKHALIN254
    @DJKHALIN254 4 месяца назад +315

    Tuliofuatilia toka season 1 tujuane gonga like❤❤🇰🇪💯

  • @babrahmaryam5942
    @babrahmaryam5942 4 месяца назад +15

    Ya clam top la ma top wa bongo movie jamani umetishaaaaaaaaa na leo umeongeza muda basi mambo ni bull bull🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @yasrisimba6387
    @yasrisimba6387 4 месяца назад +18

    Big game big movie big reaction Mnajua kinoma Embu nipen hvyo vi like hata5❤❤❤😢

  • @mansourkhamis457
    @mansourkhamis457 4 месяца назад +5

    Mm nimekwisha kata tamaa na like zenu bana 😢

  • @sarahnjeri-tz8eu
    @sarahnjeri-tz8eu 4 месяца назад +49

    Wenye tumefurahia kuona Tete hajauawa gonga like 👍👍👍hii naifuatilia ata ikifika episode 50😂😂😂

  • @HusnaChelicheli
    @HusnaChelicheli 4 месяца назад +11

    We clam vevo unajua na unajua tena kaz nzur series nzuri tunaenjoy ❤❤❤

  • @MoiseJosue
    @MoiseJosue 4 месяца назад +114

    Nimefanikiwa kuwa wa kwnza nipe like hapa toka Congo/Bukavu ville

  • @IsmailIsmailomary
    @IsmailIsmailomary 4 месяца назад +2

    Asant clam kwakuach dakik nyingi

  • @MwidadySayyid
    @MwidadySayyid 4 месяца назад +37

    Kwa niaba ya mashabiki wote ningependa kutoa shukrani kwa kuyasikiliza malalamiko yetu,niliona ep 18 iko na dakika 25:44 na episode 19 ikiwa na dakika 31:43 tofauti na episodes zilizopita zilikua fupi mno.Tunawashukuru sana kwa kuongeza muda kwenye episodes,kazi nzuri #we_are_enjoying_it 🇰🇪💙🔥

  • @LeonardChimanda-fn5fr
    @LeonardChimanda-fn5fr 4 месяца назад +10

    Safi sana..Leo mzigo umeshiba 30 minutes..dadeki..huyu ndio Clam Vevo

  • @kingsureofficial
    @kingsureofficial 4 месяца назад +8

    Clam like kanumba asee clips awesome🎉🎉 thanks Tanzanians talents

    • @enockmarwa7635
      @enockmarwa7635 4 месяца назад

      Rk ndo Yuko Kama kanumba ....bana

    • @ramadhanhamza4242
      @ramadhanhamza4242 4 месяца назад

      Mmmh jmn movie mbili tatu. Ndo ashakuwa regend wetu pendwa wa bongo movie ach utani

  • @felixmafuru-ug6fy
    @felixmafuru-ug6fy 4 месяца назад +8

    Hakika nmekuwah leo clam

  • @IreneMwakipesile-yo2ww
    @IreneMwakipesile-yo2ww 4 месяца назад +5

    Kipala umezidi umbea mpaka unakela ila kaz nzur sana

  • @AgnesZubedah-zs2xd
    @AgnesZubedah-zs2xd 4 месяца назад +2

    😂😂😂si watu wajaa Kwa chupana wengine kwa 😅😂tumbo

  • @Hamisi8465
    @Hamisi8465 4 месяца назад +8

    Mwamba unajua mpaka unakera😂😂😂much love from kenya ❤

  • @Yusuph351
    @Yusuph351 4 месяца назад +8

    Kazi nzuri sana!!!

  • @yunuschum3754
    @yunuschum3754 4 месяца назад +1

    Leo dakika 30 safi sana Clam 🎉

  • @lidyamassawe5556
    @lidyamassawe5556 4 месяца назад +7

    Yaani natamani muendelezo Leo Leo iwe hata lisaaa lizimaaa😢😢😢

  • @razesdragon
    @razesdragon 4 месяца назад +4

    Leo umefanya kazi kubwa bro 💪, umeleta dakika 31 vizuri sana kaka 🎉🎉🎉 likes zangu jaman 🙏🇨🇩

  • @WaldenJay-ly
    @WaldenJay-ly 4 месяца назад +3

    tulieni kbs

  • @isayamwanjoka3958
    @isayamwanjoka3958 4 месяца назад +5

    Wa mwisho hapa gonga like kwa sisi wachelewevu

  • @charmingcomedian
    @charmingcomedian 4 месяца назад +3

    Wa kwanza leo wapi like zangu ata moja please 😅

  • @stephenjustine5411
    @stephenjustine5411 4 месяца назад

    Clam uko vizuri umezingatia swala la mda kutokea dakika 15 mpaka 31

  • @Yomaps_yo
    @Yomaps_yo 4 месяца назад +4

    Wana Vevo wekeni like n'a subscribers apa alafu n'a comment kama kweli umekubali sana kazi ya Vevo ❤❤❤

  • @Bizo_bizo75
    @Bizo_bizo75 4 месяца назад +1

    Yaani epidode ikitoka tuu nishaview uko vizuri clam “UNEPOA UNA BAYA”

  • @nabiimundo6545
    @nabiimundo6545 4 месяца назад +9

    Mm wa kwanza

  • @UlendeHamisi-kk9tb
    @UlendeHamisi-kk9tb 4 месяца назад +4

    Wa kwanza leo😂😂

  • @NyotaMakyambe
    @NyotaMakyambe 4 месяца назад +5

    Wakwanza leo ❤❤❤

  • @MohamedMbaraka-vg8kg
    @MohamedMbaraka-vg8kg 4 месяца назад +17

    Wazi mwamba kwenye dakika umeweza

  • @tatukhamis6501
    @tatukhamis6501 4 месяца назад +5

    Kimetua nimekiwahii alhamdulillah

  • @nobletz
    @nobletz 4 месяца назад +7

    Kumbe hii sio kichekesho

  • @pharrellkevins7846
    @pharrellkevins7846 4 месяца назад

    Can't wait for part 10,nayo iwe refu hivi. Mtoe hadi season 3,love from Kenya 🇰🇪

  • @MussaJabiri-l5y
    @MussaJabiri-l5y 4 месяца назад +1

    Saiv wamejitaid kuwek ndefu

  • @geraldndosi2083
    @geraldndosi2083 4 месяца назад +8

    Mtu badala apongeze hii flam nzur na tunawekewa hapa bure unakazana kuomba like
    Clam umejitafuta na umejipata mwana

  • @Zasc0-72
    @Zasc0-72 4 месяца назад +4

    The best story

  • @OmarOmar-ob9tb
    @OmarOmar-ob9tb 4 месяца назад +3

    Kila cku mnaomb nynyi likes😢 mm naomb hta tno

  • @JustinDamas-my6rs
    @JustinDamas-my6rs 4 месяца назад +12

    Tuliowahi tujuane hapa

  • @PatronizeNgombo
    @PatronizeNgombo 4 месяца назад +7

    Wa kwanza kutoka kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 4 месяца назад +1

    Mmetufurahsha dk zakutosha kabisa

  • @SeverinoLuis-j1h
    @SeverinoLuis-j1h 4 месяца назад +1

    Wakwanza leo kutoka moza naomba lak

  • @shaiburajabumrope8113
    @shaiburajabumrope8113 4 месяца назад +4

    Nimewai Leo wadau wng

  • @saitotijoel6370
    @saitotijoel6370 4 месяца назад

    Mngekua kila cku mnaweka ndefu Kam ivii.. mngekua mnaupiga mwing sana.. well done aisee

  • @Aishamsega-tn4px
    @Aishamsega-tn4px 4 месяца назад

    Clam VEVO unajuwa sana kijana sio sili

  • @BaziramwaboEugenetj-zm8rb
    @BaziramwaboEugenetj-zm8rb 4 месяца назад

    Clam Vevo ni wa hatari kabisa kwaku towa vidéo nzuri tanzania yote namukubali sana

  • @IssaRymond-sh7iu
    @IssaRymond-sh7iu 4 месяца назад

    Snake boy mashine aisee muhimu watuwaishie kazi tuu si tuangalie isikae mda mrefu sanaa

  • @AsnathSelemani
    @AsnathSelemani 4 месяца назад +1

    Nzr sana hongereni team nZm

  • @kaGG007
    @kaGG007 4 месяца назад +4

    kenya wa kwanza

  • @MalikshotelsMalikshotels
    @MalikshotelsMalikshotels 4 месяца назад +1

    Inayo fuata itatoka lini jamn harakishen❤❤❤

  • @godrivermichaelsugwejo4979
    @godrivermichaelsugwejo4979 4 месяца назад +1

    Mama weeee zinga huyuuu jamaniii😂😂😂

  • @DanielRafael-t1l
    @DanielRafael-t1l 4 месяца назад +1

    Iv like Zina maanixha nn baxi namie naombeni like leo bax

  • @SciscoSalvado-xm1ud
    @SciscoSalvado-xm1ud 4 месяца назад +2

    Wapuuzi toeni chuma kingine

  • @KVanny-ww5ce
    @KVanny-ww5ce 4 месяца назад +1

    Safi sana kazi nzur

  • @evelynenshimrimana1079
    @evelynenshimrimana1079 4 месяца назад

    Jaman mganga wetu kAtekwa nyara eeeh mung nani ataweza kurudish nguvu za ntanzi

  • @bensonponera
    @bensonponera 4 месяца назад

    Safali hii wamejitaidi Sana kazi nzur na ndefu adi nimefrai

  • @AnasaAthuman
    @AnasaAthuman 4 месяца назад +2

    😢😢😢mi wa mwisho like zangu jamn😂😂

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 4 месяца назад +1

    ❤❤❤

  • @emmyloezz
    @emmyloezz 2 месяца назад +1

    Wacha ghaaaii!

  • @Gregoire-2006
    @Gregoire-2006 4 месяца назад

    Daaa afadhali zimehanza kuwa ndefu ❤❤

  • @AsiaChia-n7y
    @AsiaChia-n7y 4 месяца назад

    Tatizo la omba omba serekali hawawezi kuzuia omba omba mpk kwenye mitandao 😂

  • @SHEGAOG
    @SHEGAOG 4 месяца назад +4

    To🎉🎉🎉🎉

  • @NancieKatana
    @NancieKatana 4 месяца назад

    Ya leo nime enjoy imekua ndefu sana

  • @massawenusrat-nk2gw
    @massawenusrat-nk2gw 4 месяца назад

    pole kim....imagine mtu had ushampa penz uje ujue ni nyoka😢😮😮

  • @DianaDianakhatete-xo5eo
    @DianaDianakhatete-xo5eo 4 месяца назад

    Much love from this side 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mabablaz123
    @mabablaz123 4 месяца назад

    Mvira au mbira oishe wamuwache tu niendelee kuona raha...the guy acts professional

  • @danjoelkenya1609
    @danjoelkenya1609 4 месяца назад

    Hongera kazi safi ongezeni hadi ikifike 1hr

  • @maryamhadid7753
    @maryamhadid7753 4 месяца назад

    Uko vizur mwamba ♥️

  • @abdulmuba52
    @abdulmuba52 4 месяца назад +1

    Jman mwenye anaona hii comment na yuko karibu na Kimu tafadhari naomba anifikishie salam yangu kwamba nampenda sana sana.

  • @YousufJuhma
    @YousufJuhma 4 месяца назад

    Huyu zinga Ile Sawa ilikua apigwe Tena na Vila kwa sababu Vila ni mwalimu WA zinga haikufaa Mara moja apigwe Mara ya pili aweze ilikua zinga ajitafute kila akija anachapwa paka Mara tatu...apo sikufurahia kabisa...heshima ilikua apewe mwalimu

  • @papaamasauti1973
    @papaamasauti1973 4 месяца назад +212

    Watanzania mnaroho mbaya sana like zenu mnapeana wenyewe from CONGO LUBUMBASHI

    • @ZuuMohamed-r8f
      @ZuuMohamed-r8f 4 месяца назад +8

      Sasa like zinakusaidia nini😅

    • @rachelrodgers5080
      @rachelrodgers5080 4 месяца назад +5

      Et tunaroho mbaya nawakat unalike 86😅😅

    • @saleheluvanga9929
      @saleheluvanga9929 4 месяца назад +4

      Sisi hatuna roho mbaya watanzania sifa yetu ni wakarimu tena tuna upendo sana ko usiwaze mkongomani🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @RahimShaban-lz7cb
      @RahimShaban-lz7cb 4 месяца назад +3

      Unapenda kusumbulia ya mingi

    • @papaamasauti1973
      @papaamasauti1973 4 месяца назад +5

      Nimependa sana watanzania kumbe muko na roho mzuri sana

  • @MashaPromise
    @MashaPromise 4 месяца назад +78

    Jamani film zuri tatinzo munachelewesha alafu Leo mumefanya vizuri sana kurefusha

  • @ahmadbelier3160
    @ahmadbelier3160 4 месяца назад +157

    Mimi ni wa mwisho kutoka bujumbura 🇧🇮 rakini hata like moja inatosha jameni💫

  • @UpendoMwandelile
    @UpendoMwandelile 4 месяца назад +182

    TUMSHUKURU MWENYEZI MUNGU KWA KUTUAMSHA SALAMA SIKU YA LEO AMEEEEN 🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥

  • @KhadijaAli-e7e
    @KhadijaAli-e7e 4 месяца назад +67

    I'm proud to be Tanzanian, Nchi ya Amani, Nchi ya furaha, Nchi ya vipaji, Gonga like kwa Snake Boy twende ❤

  • @atupelenyondo6379
    @atupelenyondo6379 4 месяца назад +131

    Nipeni hizo like zang aseee nimekumban nayo leo paaap ni mm sasa fanyen yenu chap aseee

  • @MohamediKalanje
    @MohamediKalanje 4 месяца назад +64

    Huyu jamaa BUTUA anajua sana namuona mbali sana Ana kipaji sana

  • @stylishtz9693
    @stylishtz9693 4 месяца назад +225

    Mi ndo wakwanza Leo please like zangu

  • @charlespatrick8632
    @charlespatrick8632 4 месяца назад +604

    Jaman namimi nnionjeshe hizo like zenu nivimbiane huku nimekuwa wa pili tunasindikizwa na snake boy season two na baadaye clip safi za magoli ya yanga akimdabangula ihefu

  • @winifridanshunju-hx9gz
    @winifridanshunju-hx9gz 4 месяца назад +219

    Jamani watu mnawai sangapi duuuh na mm nimewai naomba like zangu

  • @HKvägäTV
    @HKvägäTV 4 месяца назад +289

    Wakwanza jmn naombeni like zangu 😂😂❤❤

    • @MwanarusiMwandugu
      @MwanarusiMwandugu 4 месяца назад +5

      Kuma nyoko wewe eti wakwanza leo nipeni likes kambe unalipwa ukipata likes

    • @HansiHassankipajiHansiHassanki
      @HansiHassankipajiHansiHassanki 4 месяца назад +2

      ❤❤❤

    • @Sophia-i1t7j
      @Sophia-i1t7j 4 месяца назад +7

      ​Pendaneni jamani haifai kutukanana kwnye mitandao,Tumshkru Allah kw kutupa uhai mpka sai tunapumua ❤️🙏

    • @OmanMuscut-ju3xp
      @OmanMuscut-ju3xp 4 месяца назад +2

      Wechukuatu izo like zako usijali

    • @Ki2pe
      @Ki2pe 4 месяца назад +1

      Nomaa sana nikiwa pande za South Africa nakubal sana home line kazi nzuri

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 4 месяца назад +56

    Wa kwanza like zangu please 🙏🙏 team strong hoyeeeeeeeeee 🇸🇦🇰🇪♥️♥️♥️♥️ nawapenda saaana Niko Riyadh

  • @Nailah736
    @Nailah736 4 месяца назад +52

    Asanteni kwa kutuletea mwendelezo wetu mtamu wa snake boy asante kwa mara nyingine clam na director kakoso nawapenda bure🎉🎉🎉🎉🎉

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 4 месяца назад +15

    Shabiki wazinga Niko hapa😂😂😂❤❤❤ Dom ktkt ya Tanzania 🔥🔥🔥🔥

  • @samwelfute2215
    @samwelfute2215 4 месяца назад +45

    Leo wamejitaidi kutuletea mapema kama naww umefulah gonga gumba apo chini🤭🤭

  • @AndrewMunisi
    @AndrewMunisi 4 месяца назад +102

    hi guys na mm nimewahi naonba like wangap wanampend calm

  • @bernardmlenda9800
    @bernardmlenda9800 4 месяца назад +25

    Naona Kila mtu anasema wa kwanza, aya mim wa mwisho naombeni like zangu sas

  • @SalumSheha-sb9qj
    @SalumSheha-sb9qj 4 месяца назад +20

    Leo nimekuwa wa kwaza Kutoka Zanzibar nipeni like zenu

  • @modex_0376
    @modex_0376 4 месяца назад +94

    Wa kwanza Leo Kutoka kenya naomba like zenu

  • @MohaJunior254
    @MohaJunior254 4 месяца назад +70

    Wakwanza kutoka 254 Kenya naombeni likes zangu

  • @AgnesZubedah-zs2xd
    @AgnesZubedah-zs2xd 4 месяца назад +33

    Kwa hii snake boy season 2 Iko na familia nyingi sana

  • @husnabilali3099
    @husnabilali3099 4 месяца назад +20

    NAMI naomba like Tano Kam itafaa😮😮

  • @Nextboy001
    @Nextboy001 4 месяца назад +27

    Leo tumefurahi imekua na dakika nyingi mwenye amefurahi kama mm gonga likes alafu clm wajua kupanga movie yako ndio bora tena bora Tanzania kw Africa yote

  • @UpendoMwandelile
    @UpendoMwandelile 4 месяца назад +60

    MUNGU AWE NASI JUMAPILI YA LEO AMEEEEN🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌

  • @zanzibarfin5789
    @zanzibarfin5789 4 месяца назад +24

    Saaafi sanaaa picha inazidi kuleta mvuto wa kipekee barani Afrika. Hongera sana wahusika wote.

  • @IreneSambala-xj8oq
    @IreneSambala-xj8oq 4 месяца назад +14

    Alooooh kwa hii snake boy season 2 stress za mapenz zinatoka wap 😂😂 snake boy season 2 ni 🔥🔥