Kwa niaba ya mashabiki wote ningependa kutoa shukrani kwa kuyasikiliza malalamiko yetu,niliona ep 18 iko na dakika 25:44 na episode 19 ikiwa na dakika 31:43 tofauti na episodes zilizopita zilikua fupi mno.Tunawashukuru sana kwa kuongeza muda kwenye episodes,kazi nzuri #we_are_enjoying_it 🇰🇪💙🔥
Huyu zinga Ile Sawa ilikua apigwe Tena na Vila kwa sababu Vila ni mwalimu WA zinga haikufaa Mara moja apigwe Mara ya pili aweze ilikua zinga ajitafute kila akija anachapwa paka Mara tatu...apo sikufurahia kabisa...heshima ilikua apewe mwalimu
Jaman namimi nnionjeshe hizo like zenu nivimbiane huku nimekuwa wa pili tunasindikizwa na snake boy season two na baadaye clip safi za magoli ya yanga akimdabangula ihefu
Leo tumefurahi imekua na dakika nyingi mwenye amefurahi kama mm gonga likes alafu clm wajua kupanga movie yako ndio bora tena bora Tanzania kw Africa yote
wanaomkubali Mganga wa waacha, kurukutanta mantete😂😂
Mganga wetu kafungiwa kwenye chupa
Wa kwanza jaman from zambia🇿🇲🇿🇲❤ please naomba more like like zanu kwa kuwahia
Umeniwahi 😢
@@gloriamutula9492 Sana tena sana kabisa 😂😂😂
2:54
Leo wa mwisho kutoka Mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿nipe mauwa yangu
Blessings to you bro Ahsante kwa kutuongezea urefu wa kipande❤❤❤
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲, leo nimechelewa kidogo ila samahani naomba like ata 100
Sehemu ipi bro
😂😂
😂😂
Wakwanza kutoka Congo Drc liké zangu
Tuliofuatilia toka season 1 tujuane gonga like❤❤🇰🇪💯
❤❤❤
Umeona eghh
nakubali mwamba
Ya clam top la ma top wa bongo movie jamani umetishaaaaaaaaa na leo umeongeza muda basi mambo ni bull bull🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
We Acha uko vzulii mdogo we2
Big game big movie big reaction Mnajua kinoma Embu nipen hvyo vi like hata5❤❤❤😢
Mm nimekwisha kata tamaa na like zenu bana 😢
Wenye tumefurahia kuona Tete hajauawa gonga like 👍👍👍hii naifuatilia ata ikifika episode 50😂😂😂
We clam vevo unajua na unajua tena kaz nzur series nzuri tunaenjoy ❤❤❤
Nimefanikiwa kuwa wa kwnza nipe like hapa toka Congo/Bukavu ville
NA MIMI NIKO BUKAVU
Hongera sana
@@MoiseJosue powa sana
Ambao tupo New York Tusemaje sasa
Like zinawasaidia nin
Asant clam kwakuach dakik nyingi
Kwa niaba ya mashabiki wote ningependa kutoa shukrani kwa kuyasikiliza malalamiko yetu,niliona ep 18 iko na dakika 25:44 na episode 19 ikiwa na dakika 31:43 tofauti na episodes zilizopita zilikua fupi mno.Tunawashukuru sana kwa kuongeza muda kwenye episodes,kazi nzuri #we_are_enjoying_it 🇰🇪💙🔥
Safi sana..Leo mzigo umeshiba 30 minutes..dadeki..huyu ndio Clam Vevo
Clam like kanumba asee clips awesome🎉🎉 thanks Tanzanians talents
Rk ndo Yuko Kama kanumba ....bana
Mmmh jmn movie mbili tatu. Ndo ashakuwa regend wetu pendwa wa bongo movie ach utani
Hakika nmekuwah leo clam
Kipala umezidi umbea mpaka unakela ila kaz nzur sana
😂😂😂si watu wajaa Kwa chupana wengine kwa 😅😂tumbo
Mwamba unajua mpaka unakera😂😂😂much love from kenya ❤
Kazi nzuri sana!!!
Leo dakika 30 safi sana Clam 🎉
Yaani natamani muendelezo Leo Leo iwe hata lisaaa lizimaaa😢😢😢
Leo umefanya kazi kubwa bro 💪, umeleta dakika 31 vizuri sana kaka 🎉🎉🎉 likes zangu jaman 🙏🇨🇩
tulieni kbs
Wa mwisho hapa gonga like kwa sisi wachelewevu
Wa kwanza leo wapi like zangu ata moja please 😅
Clam uko vizuri umezingatia swala la mda kutokea dakika 15 mpaka 31
Wana Vevo wekeni like n'a subscribers apa alafu n'a comment kama kweli umekubali sana kazi ya Vevo ❤❤❤
Yaani epidode ikitoka tuu nishaview uko vizuri clam “UNEPOA UNA BAYA”
Mm wa kwanza
Wa kwanza leo😂😂
Wakwanza leo ❤❤❤
Wazi mwamba kwenye dakika umeweza
Kimetua nimekiwahii alhamdulillah
Kumbe hii sio kichekesho
Can't wait for part 10,nayo iwe refu hivi. Mtoe hadi season 3,love from Kenya 🇰🇪
Saiv wamejitaid kuwek ndefu
Mtu badala apongeze hii flam nzur na tunawekewa hapa bure unakazana kuomba like
Clam umejitafuta na umejipata mwana
The best story
Kila cku mnaomb nynyi likes😢 mm naomb hta tno
Tuliowahi tujuane hapa
Wa kwanza kutoka kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mmetufurahsha dk zakutosha kabisa
Wakwanza leo kutoka moza naomba lak
Nimewai Leo wadau wng
Mngekua kila cku mnaweka ndefu Kam ivii.. mngekua mnaupiga mwing sana.. well done aisee
Clam VEVO unajuwa sana kijana sio sili
Clam Vevo ni wa hatari kabisa kwaku towa vidéo nzuri tanzania yote namukubali sana
Snake boy mashine aisee muhimu watuwaishie kazi tuu si tuangalie isikae mda mrefu sanaa
Nzr sana hongereni team nZm
kenya wa kwanza
Inayo fuata itatoka lini jamn harakishen❤❤❤
Mama weeee zinga huyuuu jamaniii😂😂😂
Iv like Zina maanixha nn baxi namie naombeni like leo bax
Wapuuzi toeni chuma kingine
Safi sana kazi nzur
Jaman mganga wetu kAtekwa nyara eeeh mung nani ataweza kurudish nguvu za ntanzi
Safali hii wamejitaidi Sana kazi nzur na ndefu adi nimefrai
😢😢😢mi wa mwisho like zangu jamn😂😂
❤❤❤
Wacha ghaaaii!
Daaa afadhali zimehanza kuwa ndefu ❤❤
Tatizo la omba omba serekali hawawezi kuzuia omba omba mpk kwenye mitandao 😂
To🎉🎉🎉🎉
Ya leo nime enjoy imekua ndefu sana
pole kim....imagine mtu had ushampa penz uje ujue ni nyoka😢😮😮
Much love from this side 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mvira au mbira oishe wamuwache tu niendelee kuona raha...the guy acts professional
Hongera kazi safi ongezeni hadi ikifike 1hr
Uko vizur mwamba ♥️
Jman mwenye anaona hii comment na yuko karibu na Kimu tafadhari naomba anifikishie salam yangu kwamba nampenda sana sana.
Huyu zinga Ile Sawa ilikua apigwe Tena na Vila kwa sababu Vila ni mwalimu WA zinga haikufaa Mara moja apigwe Mara ya pili aweze ilikua zinga ajitafute kila akija anachapwa paka Mara tatu...apo sikufurahia kabisa...heshima ilikua apewe mwalimu
Watanzania mnaroho mbaya sana like zenu mnapeana wenyewe from CONGO LUBUMBASHI
Sasa like zinakusaidia nini😅
Et tunaroho mbaya nawakat unalike 86😅😅
Sisi hatuna roho mbaya watanzania sifa yetu ni wakarimu tena tuna upendo sana ko usiwaze mkongomani🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Unapenda kusumbulia ya mingi
Nimependa sana watanzania kumbe muko na roho mzuri sana
Jamani film zuri tatinzo munachelewesha alafu Leo mumefanya vizuri sana kurefusha
Xahiv wame jitahid kuweka dk nyingi
Leo ndefu
Mimi ni wa mwisho kutoka bujumbura 🇧🇮 rakini hata like moja inatosha jameni💫
TUMSHUKURU MWENYEZI MUNGU KWA KUTUAMSHA SALAMA SIKU YA LEO AMEEEEN 🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥
Ameen wew ndo umeongea kitu Cha maana sio kutomba like kama wajinga
Aamin❤❤❤
@@kamarhelo kufanyaje?
Ameeeen
Ammin ammin
I'm proud to be Tanzanian, Nchi ya Amani, Nchi ya furaha, Nchi ya vipaji, Gonga like kwa Snake Boy twende ❤
Nipeni hizo like zang aseee nimekumban nayo leo paaap ni mm sasa fanyen yenu chap aseee
Huyu jamaa BUTUA anajua sana namuona mbali sana Ana kipaji sana
Yaan acha kabisa
Anakipaji ghaswa MashaAllah
Mi ndo wakwanza Leo please like zangu
Jaman namimi nnionjeshe hizo like zenu nivimbiane huku nimekuwa wa pili tunasindikizwa na snake boy season two na baadaye clip safi za magoli ya yanga akimdabangula ihefu
❤
@@eliassalimo6984jumapili safi sana hii
Hahaha
Hahh umetisha
😂😂😂😂😂😂😂
Jamani watu mnawai sangapi duuuh na mm nimewai naomba like zangu
❤❤❤
❤❤❤❤
Naombeni like zangu
Uwe.macho mda wote
Sawa pole😊
Wakwanza jmn naombeni like zangu 😂😂❤❤
Kuma nyoko wewe eti wakwanza leo nipeni likes kambe unalipwa ukipata likes
❤❤❤
Pendaneni jamani haifai kutukanana kwnye mitandao,Tumshkru Allah kw kutupa uhai mpka sai tunapumua ❤️🙏
Wechukuatu izo like zako usijali
Nomaa sana nikiwa pande za South Africa nakubal sana home line kazi nzuri
Wa kwanza like zangu please 🙏🙏 team strong hoyeeeeeeeeee 🇸🇦🇰🇪♥️♥️♥️♥️ nawapenda saaana Niko Riyadh
Asanteni kwa kutuletea mwendelezo wetu mtamu wa snake boy asante kwa mara nyingine clam na director kakoso nawapenda bure🎉🎉🎉🎉🎉
🔥🔥
Shabiki wazinga Niko hapa😂😂😂❤❤❤ Dom ktkt ya Tanzania 🔥🔥🔥🔥
👊👊👊👊
Leo wamejitaidi kutuletea mapema kama naww umefulah gonga gumba apo chini🤭🤭
hi guys na mm nimewahi naonba like wangap wanampend calm
Naona Kila mtu anasema wa kwanza, aya mim wa mwisho naombeni like zangu sas
Leo nimekuwa wa kwaza Kutoka Zanzibar nipeni like zenu
Wa kwanza Leo Kutoka kenya naomba like zenu
Wakwanza kutoka 254 Kenya naombeni likes zangu
Kwa hii snake boy season 2 Iko na familia nyingi sana
NAMI naomba like Tano Kam itafaa😮😮
Leo tumefurahi imekua na dakika nyingi mwenye amefurahi kama mm gonga likes alafu clm wajua kupanga movie yako ndio bora tena bora Tanzania kw Africa yote
MUNGU AWE NASI JUMAPILI YA LEO AMEEEEN🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌
Saaafi sanaaa picha inazidi kuleta mvuto wa kipekee barani Afrika. Hongera sana wahusika wote.
Alooooh kwa hii snake boy season 2 stress za mapenz zinatoka wap 😂😂 snake boy season 2 ni 🔥🔥