unajua siku zote mtu aliyezoea kuigiza hata akisema ukweri lazima utaendelea kufikir anaigiza tu kumbe pengine ni kwer,,,, pole sana chandimu we mtoto wa kiume kaza
Kiukweli mkojani ifike muda abadirike tabiya yakutaka kupata pekeyake Kiukweli anabowa kila siku yeye2. Yani Ana anamanisha kuwa ni família mana inaonekana kuwa ni jina lá ukoo
Sasa wewe chandimu hautakiwi kutamani kuwa kama boss kitu ambacho bado aujawa boss yaani unaposema kwamba boss akinunua samaki na wewe akununulie SAMAKI mambo hayaendi ivyo unatakiwa ubaki kwenye nafasi yako acha kulia mtoto wa kiume kaza mkojani yupo fear sana❤❤
Chakukushauki chandimu unakipaji sana toka apo uyooo mpga kelele anajikuta sana anajua mtazame chumvi alikuwa anamuandkia series Kali kama kimeumana ugai gai lakini alikuwa ampi pesa saivi anakundi lake nenda kule baruti mwenzako yupo kule mabwende nae yupo kule wengi wametoka apo broo ✌️
Wenzenu wanatafta kiki Ili series yao ya mgombea iende mjini halafu nyie mnatukana ovyo ovyo tu huyu dogo anatumika vibaya Sana kipaji anacho lakini amekosa akili tu na hicho ndicho kitakachomuangusha
Ila jmn kama umeona umejipata kimaisha na unaweza kusimama wewe km wewe acheni kuchafua jina la mtu 😭 alie kusaidia adi na wewe unajipata wasani kuweni wasitalabu bs mbona chumvi nyingi ametoka bila ya maneno maneno ya kumchafua mtu chandimu wewe bado san acha utoto
Hao ni wasanii kulia wanaigiza tu hamna kitu hapo ila timbwili la samofi ilikua kweli samofi alikua anadai gari mpaka ugonvi kaamua Diamond. Sasa huyu nae kidagaa kaanza ngoja tuone mpaka mwisho
Mm sioni userious kwenye hiki anachoongea chandimu naona kam kiki tu kaagizwa afanye
pole kaka allah atakufanyia wepesi
Si atoke aende chumvi nyingi gang😂😂😂 wale watu muda wote wanafurahaaaaa
Kweli bro
Kbs
Ata kwa clam pia naskia wanalipa kwel
Yaan. Ile ni gang na nusu ❤😂😂
siumutafute clam dogo
unajua siku zote mtu aliyezoea kuigiza hata akisema ukweri lazima utaendelea kufikir anaigiza tu kumbe pengine ni kwer,,,, pole sana chandimu we mtoto wa kiume kaza
Nimependa comment yako🎉🎉🎉
Kiukweli mkojani ifike muda abadirike tabiya yakutaka kupata pekeyake Kiukweli anabowa kila siku yeye2. Yani Ana anamanisha kuwa ni família mana inaonekana kuwa ni jina lá ukoo
@ibraimoseman We nawe hawa wenzako ni atention ya movie we unachukulia uhalisia jua hawa ni wana comed
Ni kiki ya movie
Ndo utajua kwanini chumvi nyingi ameondoka
Maraa umetoa ya motoni Alf unakuja kujuwa ni kiki jaman
Same time kuukumu Kwa kusikiza upandemmoja iakosawa
Nenda kwa clam vevo utanikumbuka baadae
OYA MNAUA BRAND WATU WANAPAMBANA KUZITENGENEZA
Pole kaka ndio maisha
Mmh inastahashabisha cos now wapo na season mpya inaitwa mgombea
Mkojani anafeli kumbe watu ndio maana wanaondoak
duh noma
Sasa wewe chandimu hautakiwi kutamani kuwa kama boss kitu ambacho bado aujawa boss yaani unaposema kwamba boss akinunua samaki na wewe akununulie SAMAKI mambo hayaendi ivyo unatakiwa ubaki kwenye nafasi yako acha kulia mtoto wa kiume kaza mkojani yupo fear sana❤❤
Mbona kwanza mwapenda kuja huku wasafi
Dahh mkojan anaznguwa dadahh
Jamaa msenge sana. Anamzulumu dogo
🔥🔥🔥
Usiogope akuna rahana kwenye haki cha dim...
MKOJANI AMEKUSAIDIA WEWE KUWA HAPO ULIPO UMEMLIPA KIASI GANI
Aise wewe akuli mavi sana
#KIKI HII
Walmushrikina fii nari jahanaam khalidina fihaa abada
Trending.
Da mkojani vilion vya wengi laana
Daaah duwe unanichekesha sana mwezio analia wewe unacheka ndo nn sasa
Mnamchafua mkojani tu ,,Acheni hizo
Na Mkojani mzee wa busara hajaongea vibaya Binadamu sisi tuna uzushi Sana
Kwamba na nyie mnaamini kabisa kuna tatizo kati ya mkojani na chandimu!? 😂
Hapa Pana uongo sidhani kama ni ukwel
Hii movie yaitwaje
Chakukushauki chandimu unakipaji sana toka apo uyooo mpga kelele anajikuta sana anajua mtazame chumvi alikuwa anamuandkia series Kali kama kimeumana ugai gai lakini alikuwa ampi pesa saivi anakundi lake nenda kule baruti mwenzako yupo kule mabwende nae yupo kule wengi wametoka apo broo ✌️
Clear kiki
😂😅
Kama unakumbuka mkojani alijifanya anaugomvi na Samofi alafu Eti wakasuruhishwa na Dimond huyo yupo kwenye kiki
Mnaua brandii ya mkojani
..daah aloo chandimu muongo 😂😂😂
Daaah kiki iyooo
Mngemskilza na mkojan awa wengine awaaminiki
#chandimu nenda kwa chumvi nyingi au kwa clam vevo
madam hio carco ni ndefuu punguza
Hahahaha jaaaaaah chandim chandim jua xx tunakujua ww kupitia yeye
Kik hyo
Huyu ni mtoto wa Mkojani Kwa aslimia kubwa
Hawa wanatafutaga kiki tu mbona bado yupo kwenye hii Mgombea ?
usikute washarekodigi kitambo
Mbn kigugumiz dogo Chandimu,au umepangwa?
Nenda sawa na uyodogo banaaaaa
Sielewagi 🤔
Sasa siangekua ametoka ?
Dah 😂 chandim komas familia 🏆
Atakua ni mwanae bila shaka maskini😢
Uyu dogo 😅😅..analia kweli ama kanaigiza tu hapa!!😂An unatuectia kila mahali chandimu bn..daah
Sasa mbn bado anaigiza muv kama hii mgombea mbn bado yupo
TUONESHE MKATABA MLOINGIA
Songs on fire😂😂😂😂😅
Mbona kama mchongo kama unakubaliana Na mm gonga link hapa
Mgombea ni mpy ipo episode ya 8 mbona yupo mnazinguwa
True bro
Nacheka sanaa
😂😂
Oya nyie au mkojani ni mwanae uyu chandimu mbona simuelewi cha limon
Unafiki tu
Cha ndimu kaza we ni mtoto wa kiume, tulia kijana iyo sio laana hila utachezwa kuwa makini kijana acha uchachu...
Jaman huyu chadim nimekutananae bonyokwa
Act hii
Mmh Huyu Dogo Simuamini Kumbe Ng'ombe Hamnijui
Kiki
Alafu nyie mnao leta habari kwa Tv acheni fitna sisi nimashabik tena tulioanza zana kabla hii Tv station kutolewa leteni habari za kuaminika
Chandim kanichekesha alivyoimba asee😅😅
😂😂😂 we chandi unatuona watoto kweli unatuchekesha kwenye move adi interview, nimesikiliza kwa makini dogo anatuenjoi wameyajadili aya na mkojani 😂😂
Nd'o mana me kwa sasa naishi na chumvi nyingi hapaa
Huyu bwana mkojani na mwenzie madebe washakua mastaa sana
Kama hapamlipi mbn amecheza tena kwenye seriez mpya
#KIKI ZA KISENGE
Kumbe mkojani ni mkewe kbx mama chituntu
Kik hizo tu sio kweli 😂
Hiii mnaua Brandi zenu
Sio kiki hii mtu uwe bado chini yake alafu uongee hivi
mm mwenyewe nimecheka😂😂😂 ila chandiiii katuliza hlfu mwisho katuchekesha kweli kipaji😂😂😂
nimependa apo we unalia 😢me nacheka😂
Wali waliiii😂😂🤭🙌
Tucheke wote brother😂😂😂
Wenzenu wanatafta kiki Ili series yao ya mgombea iende mjini halafu nyie mnatukana ovyo ovyo tu huyu dogo anatumika vibaya Sana kipaji anacho lakini amekosa akili tu na hicho ndicho kitakachomuangusha
hahahhahahahha hyo twaijua kiki hyo hahahah hapo mmelta uhuni
Watafuta Kiki tu hao km ile ya Samofi
Wechandim unakosea ilikua uongenaye wachawi wamuv niwengi ila sokweli kikubwa uongenae sofresh ao watakusaidiya nn chandim unaniangucha sasa
Ila jmn kama umeona umejipata kimaisha na unaweza kusimama wewe km wewe acheni kuchafua jina la mtu 😭 alie kusaidia adi na wewe unajipata wasani kuweni wasitalabu bs mbona chumvi nyingi ametoka bila ya maneno maneno ya kumchafua mtu chandimu wewe bado san acha utoto
Hapa mbona kama kuna namna hamna kitu hapa kwasababu ata maisha ya chandimu kwa sas yanabadirika kama ni kiki sawa au yeye hafanyi kazi kwa mikataba??
Acheni kuharibu brand yah watu bhb
Aisee kama ilee movie aliy shut y star
Ila hzi kiki aisee
Bro join chumvinyingi gang
🤣🤣🤣🤣hapo kwenye kuimba nimecheka
Mungu analipa hapa hapa DUNIANI
Hapan sii kwel jaman mkojan huyu huyu
Wee unalia mm nina cheka😂
Huu n mchongo tu...wala hakuna ukwl hili n dili au kik
Chandim komaa ata usipolipwa
Sshivi kila cku zikienda unazidi kung’aa
Muhimu kutengeneza jina
😂😂😂😂😂 dhu pole ndo ukubwa
Upuuuuziiiii kiki hiyo
Mkojani anafeli inabidi awalipe vzr wasaniii ili wapige kazi
Alianza Tin,akafata Nagwa,akafata Samofi,akafata Khanifa saiv Chandimu This is too bad Baba chituntu Selfish 😓🙌
Naona kama uwongo
Mkojani jau sana aisee watu weng wanamsema
Wazee wa KiKi
Mkojan tabia mbaya sana bora chumvi kasepa mapema na kafanikiwa alipo samofi hadi kapatanishwa na diamond daa jaman tamaa kweli
Uongo tu taften Hela Achen makasiliko
Usanii tu
Yaani mtu ndan ya miaka miatatu kwenye kutafuta anataka awe tajiri na apate Kila kitu.ujinga sn
Upuuzi
Hao ni wasanii kulia wanaigiza tu hamna kitu hapo ila timbwili la samofi ilikua kweli samofi alikua anadai gari mpaka ugonvi kaamua Diamond. Sasa huyu nae kidagaa kaanza ngoja tuone mpaka mwisho