Barnaba feat Mbosso & Yammi - Nibusu (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 3 фев 2025
- Music Video by Barnaba featuring Mbosso & Yammi, This is big. (NiBusu) is a sweet sound created by an amazing team. We all know that this was long awaited and it didn’t disappoint. The best Tanzanian vocalist Barnaba, Mbosso along with the beautiful and talented artist from ‘The African Princess Label’ Yammi, has been long overdue. This song is for the lovers and for the ones who can’t keep their hands off eachother.. The three excelling artists have put their work together to create this masterpiece and this is only the beginning of them. Special thanks to Barnaba’s english songwriter who has also written ‘All I Need’ and also been a part of production Rinaaldn for helping this masterpiece come to life, along with the one and only Majorkizy in producing. Video shot Directed by Wayan.
Get it now (Nibusu):ziiki.media/Ni...
All profile Link:linktr.ee/barn...
Listen to Barnaba on Digital Streaming:
Audiomack: audiomack.com/...
Apple Music: / barnaba
Boomplay: www.boomplay.c...
Spotify: open.spotify.c...
Deezer: www.deezer.com...
Catch Up With Barnaba on Social Media:
Instagram : / barnabaclassic
Facebook: / barnabaofficial
Twitter: / barnabaclassic
Catch Up With Yammi on Social Media:
Instagram: / yammitz
Twitter: / yammi_tz
TikTok: / officialyammi
Facebook: / itsyammitz
RUclips: / @yammitz
Catch Up With Mbosso On Social Media:
Instagram: / mbosso_
Twitter:x.com/mbossokhan/
Facebook: / mbossoofficial
RUclips: / @mbossokhan
+For More Information Booking Barnaba:
Contact:Barnabamanagement@gmail.com
+For More Information Booking Yammi:
Contact:yammymanagement@gmail.com
+For More Information Booking Mbosso:
Contact:mbosso@wcbwasafi.com
Digital Distribution by Ziiki Media (PTY)
©2024 Barnaba.All rights reserved.
#Barnaba #Mbosso #Yammi
Marafiki wa Mbosso let's all Camp here 😭🔥
Representing 🇰🇪
Bwana yesu asifiwe wapendwa mungu anawapenda bado milango ipo wazi❤❤❤
Hakika Yesu anasubili tugeuke nyuma na kutambua makosa yetu tukatubu, yupo tayar kutusamehe.
Nonsense
Amen
Ubarikiwe❤
Haijawahi fungwa... wacha tabu wewe
mbosso hapo umeweza wezangu wapi likes 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kama unaamini Yesu anakupenda like hapa❤
Acha kulitaja jina la bwana bure ww
Acha kutaja jina la Bwana Mungu wako mahali pasipo husiana
Haina haja ya kuandika jina la yesu huku mzee behave
Acha umama bro😂😂😂
@@yustomwaisomania2587vibaya kweli lakini kaandika Yesu...sio Mungu
Kama uko hapa cause mbosso like me🎉🎉🇧🇮🇧🇮🔥🌹
Mbosso ❤️
Nouma xnaa
Nouma xnaa
Nouma xnaa
Nouma xnaa
Nimeishi kutafuta hii wimbo,the best dedication forever 🙏❤❤❤
Apa unyama ni mwingi,,Yami anaupiga mwingi,,Mungu akuzidishie mamaa,,masnitch wengi wanakubonga vbaya ila unanyota mamaaa💥💥
I respect Artists
But in east Africa, Barnaba is the King
A silent king whom is recognised by fellow musicians 🎉🎉🎉
Nomaaa sanaa mzee
Sautiiiii bro mbosso yaaann umetishaaaaa kama ww n team yake gonga like
Wakwanza toka Congo 🇨🇩 ebu nipeni likes zangu ✌️
Congo province gani?
Tu vien de quelle province
Nord Kivu
@@RadjaboyKubitaNord-Kivu aussi précisément Goma🤞🏾
Mbosso hajawah kutuangusha, wapi likes za Mbosso 🔥🔥🔥
Nomaaa sanaa
NomAaa snaas
Unajua sana hii
Kal hii ngomaaa
Tishaaaa sanaa kak
Kama ww n mwanadada mrembo kipenzi mtarajiwa like huku nianguke nawe❤
Tulio upande wa mbosso tujuane kwa likes hapa 🔥🔥
😮😅😅@HEATMAKERTZ
Nomaaa sanaa
Unajua kak mkubwaa
Kaz kubwaaa sanaa hii
Nomaaaa snaaa
Likes za Barnabas ziko wapi
😮M..
Nomaaa snaa
Kaz kubwaaa sanaa
Hatr sanaaaa
Nomaaaa snaaa
Kama unampenda mungu like apa❤
sawa wale ambao wanajua mungu ni kimbilio letu tuje kwa likes apa❤
Nawapenda wote waimbaji, wimbo yawo iko mzuri sana mnipe likes nrudi please
Mfalme wa Mahaba nakubali, weka like
..wamekutana mafundi 3 ....safi sana... kila mmoja na uimbaji wake na melody tamu.... big up nyimbo nzuri sana kwa kumshirikisha Mbosso
Like za mboso apaa❤❤❤
Nomaa
Unajua
Kaz kubwaaa
Saf sanaaa
Tishaaaa sanaa kak
Kama unamkubali MBOSO naomba Likes🤲🤲🤲
Nomaaa
Nomaa
Unajua
Tisha
Hatr
On Behalf of my Family, my Village people, my Ancestors and also my Wicked Landlord, we approve this Song #Nibusu Wana Mbosso tupatane hapa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hii ndio inabamba motoo🔥🔥❤️
Safi sana barnaba mi fan wako kutoka congo❤
Anaemkubali huyo dada kama anavyo jikubali ,mimi wa kwanza nani mwingine ajionge hapa tumuone mauwa yake yamfikie popote alipo....❤❤
Chui wasanii pumzi, Ngoma kubwa, insha'Allah 💯
Sauti ya barnaba hunimaliza aki❤
Inakumaliz nn?
Vya kuibaiba havinogi nimeshindwa! What a bar!
Ila Barnaba siku nyengine utafte dem wako yammy muachie mbosso🔥🔥❤️❤️😂😂
Amlete Raya vile amekomaa uso
😂😂😂😂
😅😅😅😅😅
😂😂😂afu kwelii
Barnaba always never disappoints, biggest fan from 254❤🇰🇪🇰🇪
mi ndege wako nitarejea niruke niende wapi❤❤❤ nibusu nami nikubusu, pambe tuuu👌🏽
Nice 👍
Ila mbosso anajua kuwashika shika kama unakubalian na mm gonga like twend sawa ❤❤❤😂😂😂
Nom San
Unajua kak mkubwaa
Hatr Sanaa
Umetisha sanaa
Ilaaaa mboso
To my future kids by force by fire mtapenda nyimbo za mbosso ama mhame kwangu
😂😂
Hahahaaaaa
😅
Likes za Barnabas nazihitaji jamani kauwa sana
Wangapi wamesikiliza Huu wimbo zaidi ya Mara 10 tujuane hapa ❤🎉🎉😂
More than 100 times❤
Original song nimesikiliza mara nyingi sana
Wimbo mzuri sana,, ile verse ya barnaba ni 🔥🔥🔥🔥mngeiweka japo pia huu ni mkali😊
Unadarwadarwa na Mbosso Sana kuliko Barnaba wewe Yammi
Ila Yammy mwalimu kweli..Mbosso do alihitajika na shaifanya iwe bora zaidi ya ilipokuwa🎉
Mafunfiii
Bonge ka.cllb
Mmeua sanaa
Khaniii uwezo
Muisni wa.bngo
Like Kwa mbosso khani muhindi WA 🇹🇿
YESU ndiye kweli na njia ya uzima, kama unaamini hilo sema Amina 🙏🏻
Ngoma mzuri xana
Nouma xanaa
Nouma xanaa
Nouma xanaa
Nouma xanaa
Watanzania kuliko waisuku iendee mbali ngoma Kali hii wanahangaika Navi amapiano visivyo naladha yeyote nyoko mbwa nyinyi mimi natokea uganda
Sasa nyie nyimbo zenu zinasikika wapi😂😂
Jifunze kuandika kwanza halafu ndo uje tena.
Si ufatilie ngoma zenu. Mambwa nyie
Sapoti langu toka drc🇨🇩 ngoma kali hii hapa i say 😂 naombeni like piya
Doctor wa nyimbo za mapenzi 𝐌𝐛𝐨𝐬𝐬𝐨 hujawai kunihangusha ❤❤❤❤❤
ukimsikiliza utaweza fikiria hamna shida kwenye mapenzi
Wenye wako hapa Kwa ajili ya mbosso wagonge likes hapa🔥🔥wcb
Unajua kak mkubwaa
Nomaaa sanaa
Saf sanaaa
Hatr snaaaa
Tishaaaa sanaa
MBOSSO NI BORA EAST AFRICA...💥💥💯 Mimi ni Natoka KENYA.
Kwahuyu jay sio mchezo safari ipo kubwa sana his future is bright
Jay brother keep shinning 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kama unadhani "Barnaba" kafanya vizuri ebu angusha “like” kivyovyote, kwa wale wapenzi wa sauti za “chumb………” weka “like”
Unajua kak
Kal hii ngomaaa
Sing new one
Unajua kak mkubwaa
Balaaa zitoo hiliio
Tuliozama kwenye huu wimbo tupeane like hadharani
Miye naupenda 😊sana jamani
Nomaaa snaa
Kaz kubwaaa sanaa
Noma snaa @@ashuramtale2264
@@ashuramtale2264 sidhani kama unanishinda mimi aisee
From KENYA 254 Mbosso plays good music with strong message...best African talent
Kama ww umeangalia huu wimbo zaid ya mara 1 likes hapa ❤
Kusema ukweli napenda hawa wasanii Sana Tz congrats nawatambua sanaaa
Huyo ndio barnaba bwana kakutana na mwenye kupanda na vocali ake hahhha yami kauwaaaaaaaa😂😂😂et talk to me boy ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Tunaludi kwa barnaba like nyingi kwa mbosso ❤💯
Kama unampenda yammy gonga like apa 👍❤️❤️🔥
Hakika huu ni utunzi umeenda skuli....jameni ❤ ii combination hathari . congratulations 🎊
Kama unamkubali yami gonga like
Hii video imekaa kinyama zaidi ya ile ya kwanza.......Hii imekaa kimahaba zaidi ndio video za namna hii tunazipenda.....Asante mbosso kwa kuonyesha mahaba yako hapa.Wakenya gongeni likes zenu basi
Nimeandika hii comment kabla ya kuiangalia video. Najua ni kali tena sana. The top 3 in one song? This is most definitely VERY GOOD!
Kama unaamini Barnaba ndo alioandika hili nyimbo npee like😂
😂😂
Hii ngoma nimesikiliza siku tatu mfululizo hadi umeniingia kwenye mzunguko wa damu👊
Hivi hizi LIKE mnazoomba Zina kazi Gani??? Sitaki Mtu Alike hii Comment yangu 😊
😂Asa mbona umezipata
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nmecheka kama fala
Zina ongeza nguvu za kiume izooo
Na uko genius 🤣
Kama kitanda kitalegeya tushuke kwenye busati❤❤❤ hii taaaaaaam jamanii
ingawaji kama wakenya tupo kwenye mawimbi ya mabomu ya vitia machozi Mboso bado ndio chaguo letu Bongo nzima❤❤❤❤🎉
Fans of mbosso tuje hapa❤
Mboso
Nomaaa snaa
Kaz kubwaaa sanaa hii
Unajua kak mkubwaa
We nomaaa sanaa
Namkubali mbosso Sana kama na we unamkubali gonga like hapa
Mbosso.fundi
Anajua sana
Katisha śa
Hiii noumaa sana
Kaliii sanaa
Wanasema mbosso ndo Star wa nyimbo za mahaba like apa❤
Hii ni kali sana big up Kenya tunawapenda sana
Wapenda kitovu cha yammi muko wapi ❤❤
Kiba one of the mwimbaji amboeshi,hata shows zake umboeki hata ukilipia pesa zako you enjoy his shows,si kama wasanii wengine wakipa show nyimbo tatu wanaenda zake,kiba nakutambia tena sana, last time ulikua Kenya coast malindi, started raining but you never left, people of malindi we enjoyed your show me and my friends and hubby,by the way your twin,we enjoyed, please we are looking forward to have you back in December December, guys this guy never disappoint,if he is having a show in your town or near you,buy tickets and you will enjoy his performance, also very friendly ❤❤❤❤❤❤❤❤ keep up the good work,mungu akuweke miaka mingi,endelea tu hivo✌️💥❤️
Flow ya Barnaba is on Fire.He killed it 🔥🔥🔥
I'm a song writer and I agree with you brother check my songs to
Kama ngoma ni kali gonga like hapa ❤️
Nomaaa sanaa
Kaz kubwaaa sanaa
Unajua mzee
Maboss wang mnajuaaa sanaaaa
Mboso unajua kak
JAmani mbosso..yammi uko juu..barnaba..u guys killed it
Anyone from TikTok please, let's gather here🎉😁
Am here 😊
Huyu mtoto Yammi jamani moto....Zuchu jipange vywema mama😁😁
Niwakati wa kumrudia mungu bado, hatujachelewa🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Ndiyo❤❤❤❤
Kama mbosso anakunice nipee like❤
Wanangu wa yammy tujuan kwenye likes apo 🔥
Nouma xana
Nouma xana
Nouma xana
Nouma xana
Nouma xana
Ah wee❤wakali watatu wamekutan hakuna kazi mbovu...fundi wa muziki barnaba
Balaaaaa xanaa
Mzuri xana
Mzuri xana
Mzuri xana
Mzuri xana
Nakubl sana wazeee
Unyama mwinhi sana aseeh
Uhakika
Noma sana mkuuu
Haina lifelooo
Nakubl sana ankoo
Team mboso like zenu please...WA kwanza kutoka Kenya ❤
Much love yemmi❤
Kama unamkubali Yammy gonga like hapa
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hit TZ music Geniuses 🎉🎉🎉🎉🎉😢😢😢😢😢😢 Kenyans 🇰🇪 love you nyinyi ni wa bad 👏👏👏👏👏👏👏
Hii nyimbo ili miss kitu na hicho kitu ni mbosso .Tanzanian talent.
Kama unakubali mbosso n star nipe like ❤
Am from 254
Wapi likes za mbosso khan🥳🥳🥳
Nomaa sanaa
Bong la talent kwa yammi noma san
Like za Yammi zifike hapa, mtoto anajua huyu🖖🏿🖖🏿🖖🏿
Sanaaaa❤
Kwanza hapo kwa habibii usingizi ndio kitu nakosaaa mpenzi,,, imenifanya nirudie mara karibu ishirini
Yammy na mbosso tunaeza penda kazi yenu nyingine...
Kabisa
hahahaha ipi tena 😶🌫😶🌫😶🌫 connection si twiter lakin
Hii ndio inabamba sasa❤ hii collabo Noma 🔥🔥🔥
Kutoka mombasa naombeni likes zangu Mungu awape umri mrefu nyote❤
Unajua kak mkubwaa
Goma la moto
Like za yammi ziki wapi ? ❤ wadau
Ngoma kali sana! Haichuji!!
Baranaba, mbosso & yummy 🙌🔥🔥🔥 from Rwanda 🇷🇼 nione like zenu +255 TZ
Jamani uyu binti n kabila ghani mbona mzuri iviii na me pia nimezama 😂😂😂😂
Yammi Kama yammi❤❤💯
Wapendao mboso gonga like ❤❤❤
2045 mko wapi❤❤❤like moja
Meaning of good music ever my friend yammy umeuwaaa kupita nahao mafundi sopoaa
Na Mimi like jamani hata 5 😢
Hivi kwel Zina Kaz Kazi gan izo like