Respect muzee uko mukongwe kazi kweli muchugajyi wabalabala kazini uliweza tuma kukumbuka wadereva Hawa hamsi Mubarak anaendesha GSM kampuni na John ortravote wa kampuni trans Africa rwanda.akubalikiwee milele baba
huyu mkongwe ni vyema afanye interview na interviewer anayesample naye, kusema kweli hapa key hazi match, dogo yuko serious mno hachangamki! Mkongwe nakuelewa sana Brother, Big up tuko pamoja nawe.
Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh mzee namkubali sana Allah akuhifadhi mzee wetu sisi sote driver's ALLAH atusaidie Long distance truck driver's wanapata changa moto mingi sana kila hatua dua popote kambi 🤲
Mzee umetisha tangu miaka ya 80 na bado hujafa na ngoma maana madreva wengi walikuwa wanakufa na virusi. Ila mzee baba dagaa haziwezi kukufanya upoteze kumbukumbu ni nzuri kuliko nyama kiafya, Dagaa wana omega3 ambayo ni nzuri sana kwa ubongo😂
Wengine walimkamata mwizi wakambuluza wakamfunga nyuma Hari lao wakambuluza mpaka akafa nyama zote unaambiwa zimenyofokea barabarani walivyorudi wakaacha Kazi we acha
Huyu Mzee jameni dah😂😂😂😂😂😂😂.....Allah akulinde siku zote....wapi like za mzee
Respect muzee uko mukongwe kazi kweli muchugajyi wabalabala kazini uliweza tuma kukumbuka wadereva Hawa hamsi Mubarak anaendesha GSM kampuni na John ortravote wa kampuni trans Africa rwanda.akubalikiwee milele baba
Daaah nimejifunza mengi sana. kwa maelezo yote ambayo umeyazungumuza ❤️🙏🙏🙏🤝💪💪💪💪💪💪
huyu mkongwe ni vyema afanye interview na interviewer anayesample naye, kusema kweli hapa key hazi match, dogo yuko serious mno hachangamki! Mkongwe nakuelewa sana Brother, Big up tuko pamoja nawe.
Nakuelewa sana dereva mkongwe mungu akuweke
Huyu mzee ni mteja wangu ambae nauziaka TV. Hongera Sana baba.
Baba umetisha Sana upewe maua🌹🌹🤲
Nakuelewa sana uboya ulione lakini
Dereva mkongwe big up sana Allah akulinde zaidi InshaAllah
Mtangazaji hafai amepoonza sana anaharibu story mzuri
Mtangazaji jifunze kwenda na flow
Yan lipo tu
Tafuta viza uende USA, wanalipa pesa nyingi sana ukiwa deleva wa Lori mjomba , big up mjomba 💪💪👌🇹🇿
USA 🇺🇸 unatakiwa uwe na diploma na unatakiwa usome miezi 6 kwa mtu mwenye uzoefu.
Dagaa aisee Kali sana nimecheka bila kutegemea
Hapa nimepata elimu,sikujua dagaa ukila kwa wingi unapoteza memory
Alafu mtangazaji anahoji serious wakati mzee anachekesha kweli😂😂😂
😂😂😂
Huyu mzee akiigiza anafaa tena na stivu
Interview nzuri sana!!
Story nzuri mwandishi anauliza vizuri nyie mnaotaka abwabwaje story itanogaje
Mungu akulinde sana brother
Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh mzee namkubali sana Allah akuhifadhi mzee wetu sisi sote driver's ALLAH atusaidie Long distance truck driver's wanapata changa moto mingi sana kila hatua dua popote kambi 🤲
Mbondei huyo ameaga kwao mungu anamlinda sana.
Wakenya tuko wapiiii😅😅😅😅😅🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tupo..
Nimeskiza huyu mzae hata siamini. Very interesting guy
Alipigwa na wameru😂
This mzee is so interesting but interviewer is boring
Wakenya sisi wajinga kweli.....sana sana wajaluo wang'oa reli....
MashaAllah u still look young and experienced my Allah protect you from any harm
Mtangazaji ata kucheka rohoo atainogi
Nilicheka baada ya interview 😂😂
Mbn Mtangazaji yupo vzr san jmn kwanza anauliz maswali kwa akili san lkn pia anamwachia msimuliaji mdaa jmn kwan mnatakaje
Watu sijui wanatakaje
Mtangazaji Ndo Kaiharbu Hii Interview Hana Vibe Kama Dereva Mkongwe
Kabsaa anabore
Kweli mtangazaji umepoooza mno Hadi story inakuwa mbaya maana msimuliaji yuko powa kwel😅
Aaah jaman hyu Mzee ni mwisho😂😂😂 eti ungetobolewa jicho ingebidi ukpige Gita kanisan
This is the funniest interview have ever watched
This gentleman reminds me of BBT legend radio presenter on East Africa radio station, lover's rock
Nimependa hapo kwa masheikh kusomea dua kwa kweli kwa Allah kila jambo lawezekana
Mungu akulinde kwa kila safari zako
Allah akubless dereva mkongwe
Mtangazaji umeharibu interview
Guud interview
Una hirizi yako ya elfu kumi unataka kushindana na dua na kadari za mwenyezi mungu
Nimempenda Mzee bure ❤
Duuuuuuh 😁 wee mzee Upo,niliiwahi ,kukuescort, Tunduma to dar
If you do good no need to be scared ALLAAH is with you
Huyu jamaa ni kama mchungaji Hananja
😂
Kabisaaaa😂😂😂
Kabisaa
Wamefanana na sauti 😅
Pole sana ndugu yng, na mengi ulio yapitia. Hakuna watu wavumilivu km ma driver wa magari makubwa.
Huyu jamaa ni balaa alikua Msaidizi wangu
Uyole big up
God bless you big brother
Hahahahaa dah mzee noma sema Host hana bandama hajui kucheka
Yani nimeshangaa sana mtangazaji yuko serious km kalazimishwa
Umempa mchaga kazi ya kuimba taarabu nimeipenda hiyo
Upo vizuri sana
Nakubary dereva mkongwe
Mungu akupe maisha maref zaid dereva mkongwe vijan wana kitu cha kujifunza kutok kwako
Huyu mzee angefaa kuwa mtetezi wa haki za madereva. Yupo smart sana na atasaidia kutoa ushauri kwa serikali kuhusu haki za madereva
Kweliii kbx mzee yuko saw
Kabisa
Mzee wa Bonde Muheza, ana mambo makubwa!
😊
😊
Allah akuhifadhi Mzee wetu
❤mandawa kwa mzee abarisina namjua huyo nyumbani kabisa huko
umetishaa daddy
May Allah always protect and give you long life 🙏...nakukumbuka dereva Mkongwe very fun
Big up mzee wangu mungu azidishe
Mzee umetisha tangu miaka ya 80 na bado hujafa na ngoma maana madreva wengi walikuwa wanakufa na virusi. Ila mzee baba dagaa haziwezi kukufanya upoteze kumbukumbu ni nzuri kuliko nyama kiafya, Dagaa wana omega3 ambayo ni nzuri sana kwa ubongo😂
alimaanisha kawaida binadamu akishiba analegea kiakili,yani unakua fala kiasi.
Very intriguing,very interesting
Huyu mtangazaji anaboa cn hajachangamka ila mzee yupo vizuri sana
Mtangazaji ana roho ngumu hacheki 😂
Mungu akutunze sana hata mm mume wangu aliugua njiani kafa kwer kazi zen zinachangamota sana
Mjomba ungeenda kufanya comed utapata pesa za uzeen usiendeshe lory tena utaumia mgongo
😂😂😂😂mlango wa bandari,pengo ilo😅😂😅😂
Mungu akulinde
Master Master
Pamoja sanaaaaa dereva mkongwe
Allah akuongezee umr
Mi pia dereva lakin mi kilicho nitoa mpaka sasa hivi nipo nyumbani najua mwenyewe huko Congo 🇨🇩 na Khartoum Sudan 🇸🇩 hatari sana
Ulipatwa nn mzee😮😢
Walikufanyia nn tena?
Ulikutan na nin
Wengine walimkamata mwizi wakambuluza wakamfunga nyuma Hari lao wakambuluza mpaka akafa nyama zote unaambiwa zimenyofokea barabarani walivyorudi wakaacha Kazi we acha
Dooh. Asante Sana 🙏 kuna mambo nimejifunza kupitia kwako
Jot uko wapi ebu mchukue mzee huyu,yaan anachekesha sana😁😁❤❤❤
Hii nimeipenda
You are more of a story teller than a driver wewe dereva Mkongwe kweli. 15/12/2023
Huyu anaitaji aojiwe na mtangazaji mchangamfu angetoa stori nyingi sio huyu kama doctor 😂
Daah, kwahyo niwe doctor tu shekhe wangu😅😅
Mtangazaji kaharibu interview
@@Johwilly kabisa mana uwezi kuflow na moode za unaemuoji yy amechangamka ww uko serious kama doctor anaechukua maelezo kwa mgonjwa
Salim naomba huyo Dada msilimishe alafu nipostie kwa bus LA Tawaqal nitampokea hapa Bongo Dar es salaam.
Dereva kama dereva:eti akiba yangu kaanayo😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉❤❤❤
mkongwe kazini ,hana baya mzee wa kazi
Pole sana
Mbona kama hananja huyu mzee anachekesha
Huyu Mzee inabidi aonwe na Millard ayo aende mjini Yuko vzur sana fun guy
Huyu dereva ni noma sana sem amekutana na mtangazaji sio mchangamfuu
Mafinga kuna Calabash siku hizi😂😂😂 over the top ishachoka sana
Dereva mkongwe namkubari sana aisee mungu akuweke
Duuuh Atari Sana dereva mwenzangu
Mkongwe natural talent, unafaa kuwa actor
Jitume tu mzee nimepeda vile unajikaza 💪 siku yenye utafika kitengela kenya nistue tugoteane baba👊👊
Upó vizur mkoñgwe
Dereva mkongwe namkubali sana 👊🔥🔥🔥
Huyu mzee ni mzuri apewe nafasi
Wala sio mzee dogo tu
@@bernadethamlolere8891nilitaka kusema hivyo
Mtangazaji sijakupenda hata kidogo😏😏
Hatarii🎉🎉🎉❤
Mkongweeee mmoja tu Tanzania
Mziki hauendan na stor fala wew
Daa..dereva.nimemuerew.sanaaaa
Mzee uliwaramba sana maana pamoja na umri wako bado umetupiga chini vijana
Si Mzee vile. Muangalie uso vizuri.
@@abduljabbarmohammed4188hahaaa anavyojiweka na zile ndevu watu wanajua mzee
very comed sana huyu mzee elimu anatoa huku mm naumia mbavu zangu jaman
Baba umetisha Sana upewe white roses ❤❤
Hii Kaz ngumu mnoo sana
Daaah ningekua huy mtangazajii ningechek sanaaa😁😁😅😅🙌🙌
Mtangazaji amejiangusha.Hafai kwa hii interview.Uso mawe
Legends only will understand this
Mzee noma
Noma sana ....
Huyu alitakiwa ahojiwe na salehe huyu kapoa sanaaaa😅😢😢😢
Nakubali🎉🎉
Huyu jamaa ni masta wa kulonga!
Certificate Babu aliifungia mavumba dah😂😂😂😂😂