CLAM vs KICHECHE wote ni wasanii wazuri kila mmoja kwa nafasi yake. Safazi zao zimezaa matunda nchini KONGO lakini tamasha lililokuwa na mpangilio mzuri wa matukio na ushawishi ni la KICHECHE. Mimi huwa simkubali Kicheche kutokana na maudhui zake na matusi yake lakini kwenye ukweli nasema ukweli Kicheche tamasha lake lilikuwa na heka heka za kuvutia kuliko hii ya Clam 🙏
@@JohnBwija-xg5pf acha mihemko kijana uwe unasoma na kuelewa. Nimekwambia katika ya shoo ya Clam nchini Kongo na ya Kicheche, ya Kicheche ndio kubwa na ilikuwa nampangilio mzuri. Sijazungumzia ukubwa wa kuigiza n.k
Naona umepata somo sasa, ni muda wa kuweka Subtittles za Kiingereza kwenye kazi zako. Jiweke wa Kimataifa, si wote wanaokutazama wanaelewa Kiswahili. Live as Pro!
Mtu wawatu. ...hatimaye nafasi ya Steven kanumba imezibwaa mwenyez mungu akueke Kijana mdogo
Bado hajafika levo ya kanumba
Clam vevo nizaidi ya kanumba ❤@@ericlowasa3097
😂😂😂
Nanuku kauli ya clam usiseme movi za bongo zimekufa sema wewe ndo umekufa clam nayo hekima ya ali ya juu❤❤❤❤❤❤❤❤
Mie bado sijaielewa nieleweshe
ruclips.net/video/QRumB-qPL6g/видео.html
Yaani we mpuuzi unaenda congo huku tunasubiri episode 33 nkt 🇰🇪🇰🇪
Mhh broder isije ikawa ya kanumba😢unyama mwingi
Mhhh mwamba anatisha Yuko vyedi kubababake humu tu humu tu
Huyu atembee Kenya tutambeba juu juu😂😂😂 Clamvevo nakupenda bure❤❤❤
Baba mbona kama wanakupushi makini sasa usiumizwe 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ wa congo 🇨🇩 nawatania bwana😂😂😂😂😂😂
CLAM vs KICHECHE wote ni wasanii wazuri kila mmoja kwa nafasi yake. Safazi zao zimezaa matunda nchini KONGO lakini tamasha lililokuwa na mpangilio mzuri wa matukio na ushawishi ni la KICHECHE. Mimi huwa simkubali Kicheche kutokana na maudhui zake na matusi yake lakini kwenye ukweli nasema ukweli Kicheche tamasha lake lilikuwa na heka heka za kuvutia kuliko hii ya Clam 🙏
Kweli kabisa
@@HASHIMMAKUNGUHAMDANI asante kwakuliona hilo 🤝
Clam vevo ni mwamba auwezi muchindanicha Clam vevo nakale ka ibwa kakicheche Clam vevo njo Steve kanumba wa sasa❤❤❤
@@JohnBwija-xg5pf acha mihemko kijana uwe unasoma na kuelewa. Nimekwambia katika ya shoo ya Clam nchini Kongo na ya Kicheche, ya Kicheche ndio kubwa na ilikuwa nampangilio mzuri. Sijazungumzia ukubwa wa kuigiza n.k
@@JohnBwija-xg5pf kwel unamhaho hata hujaelewa point unakurupuka
Cool mon grand 🎉bienvenue au congo.
The great kanumba is back ☺☺☺clam vevooo 🎉🎉🎉🎉
Watisha aisee❤❤❤ love from Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪
Tunakupenda clam na movie zako nzuri,,,kutoka kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kenyan people have something to do
www.youtube.com/@KISANJILUBU
Daah dogo anatalii tu Congo mzigo unachelewaa kutokaaa aaaaaah fanya uludii chap bilionea
Kicheche alisema haujaze 😂😂😂sasa hii Nini Sisi tunakukubalia sana Clam 👑
Mimi uyo apo katikati niko na clam🎉🎉
Kicheche acha chèche alioga hazami 🎉🎉clam vevo ukojuuuu
Hatimae tumepata mrithi wa kanumba mungu akupe maisha marefu snake boy on top🔥🔥🔥
Iyo nikweli Clam vevo njo kanumba wa sasa ❤❤
Kicheche alisema clam hajajaza jukwaa ila watu wanapenda sana majungu
Yule hana lolote
Toa snake boy kijana unazingua
Anataka kuwa mzinguwaji Kama wengine
😂😂 Yuko bize na wakongo
😂😂😂😂
Anazingua tena sanaana tuu
Hana consistency.. project nying Bora iishe
Bro I came so fast I thought it was snake boy 🤦🏽♂️
Mimi nko huku nikingoja season 33 na wewe uko hapa kutembea Congo😂😂😂
Nami nimeshangaa itatoka lini akiwa matembezi😂
😂😂😂 it's true
@@ismaelwechuli3017 hatufanyii poa😅😅
Kuchekewesha snake boy
Namimi nimeachiwa ku follow kutafuta snake boy😂😂😂😂
nice clam from usa 🇺🇸
Sanaa blood😂😂
Bd ajafikia levol za kina kanumba uyu mbna mnamkuza Sana 😂😂🎉
Kanumba panya tu
Sema si tupo tuna ngoja movie uku watu wapo Congo dah
Anatuchelewesha sana na movie 😏😏
Félicitations à toi Clam-vevo on t'aime beaucoup Au Congo 🇨🇩🇨🇩🥰💯
Merci mon ami , merci pour ton info pour nôtre acteur clan Vevo moi c'est PAPY star depuis Lubumbashi RDC🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kuzulura congo tuu kuachia snack boy aaaaaaaaaaaah…nitamwambia mwakatobe akugeuze kuku tukule
Kiekiekie, mwakatobe yupo Na subiri amugeuze kuku, tuta mula wote😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 we bhana
Waiting for SNAKE BOY EPISODE 33. Mara hii umechelewesha sana manze 😢
Anataka mpka tumtukane huyu 😢
Kwa kweli ameanza kutususia amechelewa s@na
Kwa kweli ameanza kutususia amechelewa s@na
Ni kama anataka tuombe sasa 🙈🙈🙈
Kumbe ndomana snake boy hazitoki kumbe mwamba yupo congo
Clam Vevo Is Number One In DRC ❤❤❤❤❤🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Kikubwa duwa zetu mungu azitikie akuludishe salama undelehe namajukumu
Wakwa Leo na taka like tatu plz
Wanampokea kuliko president 😂😂 clam napenda movies zako sana❤❤
Tunakupend clam from Uganda
Wacaweeee clam ameingiya kongo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Clam kwa ss ni nyota kubwa sana tunajivunia kama watanzania kuzalisha nyota kubwa sana❤🎉
Inshaallaaah! Utafika Kaka.
Jamani na mimi naomba like sita ❤❤❤❤❤❤
Number one❤❤❤
Congo 🇨🇩 tuko naupendo sana clam Chris
Hata mim Naona aisee
Maashaallah hongera clam vevo unapendwa pka na watu wa inje
Wooow amazing love from Kenya❤❤❤fika huku ak
Kaka Clam unajua kuupiga mwingi❤❤❤❤❤❤🎉
Top Viewer from KENYA❤...
Mimi wakwanja toka congo 🇨🇩🇨🇩❤kamitiga😢 🇨🇩
Snake Boy 33 weka leo,, Big Fan from Kenya
Mi niwako Ku toka kongo butembo ❤Jamani wapi ma shabiki wa msaani wetu clam vevo mujione mu liké hi comment tuki endeleya na safari
Tuna kupenda sana
Karini kwetu congo mr. Clam
Kaka ukisha maliza vacation twaomba snake boy iwe nzuri na muda mzuri.😮❤🎉
Vevo to the world. Naenda nyumbani kula chapati na malagi 😂
Aaaaah mwambaaaa vevo huyo jamaa unanikosha sana
Hapo chacha clam mwenyewe huyo mzee wa chapati na maalage
Sikupingi mwanangu nakupenda mpaka naumwa kwa ajili ya allah
aje afike Goma. Afike Goma, uku tupo ndani ya town !! Anapendwa sana !! Anapendwa kama maji. Yeye ni maji kwetu.
Wow ww nikipenzi cha watu kweli kweli♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Ila kicheche hana akili kabisa 😂😂😂😂😂😂
Nimeipenda ,karibu tena Congo,tunakupenda sana
Jambo zuri umeitendea haki sanaa yakoo kama clam vevo
Uyu kijana ako kw ligi aina yake tu❤❤❤
Kicheche ndio bingwa ...huyu clam yuaiga tu ...😂😂😂😂😂 kicheche 👍💯✔️
Wow congratulations bro clam ❤❤❤
Pumbavu 😂 Ludi Tuletee mwendelezo wa 33 😂😂
Enjoy congo🇨🇩 men 😜
Kitu kikubwa kakangu nime penda❤❤❤
Karibu Kenya pia🇰🇪🇰🇪
Kuzurula tu... Kutoa snake boi.33. Aah
Hili shangwe ni tofauti na akipita Kariakoo 😲🤔
Kweli Nabii hakubaliki kwao.
My favorite actor
Wanasema hukujaza shoo mwanetu , kicheche amekucheka Sana , pambana mkuu , Yule ulimtoa ila anakunyea , japo kaisha
Ila watu
Hongera sana clam mungu akubarrk 🎉🎉🎉🎉🎉
Vzr sana
Wooowe 🔥🔥🇰🇪🔥🇹🇿🇹🇿
Kenya we're waiting
mungu akulinde kaka pia twaku karibisha kwetu ❤❤❤
Uwakika sana master 😂😂🎉😊
sasa umeamua kutupoza na show 😂😂❤
Aiseeeee ipo vizuri kweri hiiii💪💪💪💪💪
Wee Ile nyoka boy unachelewesha my 😂😂 ila clam muwoga sana
Karibu sana kwetu Congo 🤷
Nimeshangaa watu ni weuzi kama wa kenya ❤
Kumbe ndo maana snake boy inachelewa kumbe amejiendea kongo
Kabisa
snake boy, ep 33 tunasubir kwa hamu kama kawaida yako dk ziongezeke
Perfect one
Ungemalizana na snake boy Kwanza ndio uanze izo tour kiogozii...we are waiting ep 33 banah joh
Show gani hii
ila Clam umewapiga za uso 😂 daah hongera kwa kujaza
Nakumbali uyo ni diamond Platnumz ama nakumbl baba next Burundi
Angalia usije ukatekwa na waasi wa M23 huko tukakosa mwendelezo wa movie yetu ya snake boy😅😅😅
Makin sana Kaka CLAM
Si museme snake boy 33 Aiko tujipange vingine plz we are tired of waiting
wakwanz vp mbn cion like zang
Waliojua snake boy kama mimi tujuane
Naona umepata somo sasa, ni muda wa kuweka Subtittles za Kiingereza kwenye kazi zako.
Jiweke wa Kimataifa, si wote wanaokutazama wanaelewa Kiswahili.
Live as Pro!
Kicheche njo uone sasa, Kicheche we bado mtoto mdogo, kuongea tu kuoga ahhh, ahhh.🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 clam you are the best in your country.
San vevo umetisha broo
fanya bac kuachia snake boy 33 maan tunaisubir kwa ham broo
hamm kusema kicheche aliuwa kuliko vevo huwo ni uwong vevo yupo pouw San
Njoo na kenya
Kazi safi kaka
Tunataka Hela zetu ndio ilinifanya pia mimi kumjua Clam.
Pokea Salamu kutoka Kenya
tunakudai snake boy ep ya 33 mzee😊
Ivyo tu kupost SNAKE BOY AAAAH😂
Jaman tunataka muendelezo snake boy, mnachelewesha sana Hadi unasahau ulipoishia😢
Next njoo Kenya ❤
Eti kiche kiche iko naona watu yeye alipenda patisha aya mwenzake yuuuuu atauponza Clam tuko apa Congo 🇨🇩/ Kalemie tuko pamoja Clam Vevo
😅😅😅😅we si nyokaa ngoja wakongo wakupake mkongoo 😅😅😅 ubadilike uwakule wanawake waoo😅😅
Season 2 unaipeleka polepole sana broo