CHAUROHO ETI NAONJA TUU MMH ? HII KIBOKO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • #clamvevo

Комментарии • 291

  • @odetteirakoze9210
    @odetteirakoze9210 Год назад +12

    Yanii shadow nakupenda sana yaanii ukiwa na clam nimwisho hakikisheni muwe munasheza pamoja na clam maana mkiwa pamoja mnatubuludisha zaidi Love From Burundi 🇧🇮🇧🇮

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys 2 года назад +59

    😂😂😂😂😂😂 Nyie watu wa 3 aisee Allah awaweke kwa ajili yetu ❤️😎🔥👌

  • @uwimanacitegetse9926
    @uwimanacitegetse9926 2 года назад +15

    Hapo kwa hashibagi nimecheka🤣🤣🤣🤣🤣hadimwosho💃🏻

  • @tanunewstz
    @tanunewstz Год назад +4

    Nimekua shabiki enu ghafla🤣🤣🤣🤣 shadle mzee wa mafumbo safii sana

  • @SharonMoris
    @SharonMoris 4 месяца назад +2

    Hongera mungu akupe maixha marefu na kipaji chako❤❤❤

  • @kas6754
    @kas6754 Год назад +4

    Haki hii party nairudia Kila siku , waaahh yanibamba nyie😂😂

  • @danielfrancois2196
    @danielfrancois2196 Год назад +3

    Lalalalala, d'huuuu! Hii moja kali, weeeeeee, umewapunja wenyenyumba, Kazi njema sana.

  • @nedmonad1175
    @nedmonad1175 Год назад +2

    Mko vizur kweli Ila niwaombe zingatien uvaaji wenu acheni kuiga mavaz yasiyo na maadili nawapenda

  • @bahlaoman6467
    @bahlaoman6467 2 года назад +24

    😂😂 jamani nyie machiz kweli mnaburudisha sana Allah awaweke kwakweli 😅😅mue na maisha marefu

  • @AlfaneFabiao
    @AlfaneFabiao 11 месяцев назад +1

    Clam, clam, clam we ni noma ningependa siku 1 utembele nchi yetu MZ

  • @eshahariri416
    @eshahariri416 Год назад +4

    Yani wamchamba kimafumbo ausio🤣...lkn ashibagi hajari rorosi🤣🤣akili yke Iko kwa ugali utaiva sangapi hii ynu Kali🤣

  • @ShafiiBinalaw-hn5db
    @ShafiiBinalaw-hn5db 11 месяцев назад +2

    Clam snake boy ni move pow sana Ila shida wahun mitandaoni ni wengi

  • @user-hx7uw1wx2x
    @user-hx7uw1wx2x 11 месяцев назад +2

    Nawakubali Sana mungu awape maisha marefu mzidi kutupa vitu vizur

  • @charlesedward2072
    @charlesedward2072 Год назад +8

    Huyu mtu mweusi nimempenda sana🤣🤣🤣🤣

  • @MiriamWanjiru-ft4uu
    @MiriamWanjiru-ft4uu 2 месяца назад +3

    Jenga mwili aribu jina😅😅😅😅😅

  • @thebellylosers5428
    @thebellylosers5428 2 года назад +13

    🤣🤣🤣 Ashibagiii mimi facial expression umenikamata🙌

    • @estheroscar4440
      @estheroscar4440 2 года назад +1

      Imenikumbusha mbali Sana jamaa mmoja wakati naishi kwa dada angu Kuna rafiki wa mme wa dada alikuwa Kama hashibagi maana alikuwa anakuja kila siku muda wa kutenga chakula au tunamaliza kupk kila siku asbh mchana jion yaan tulimuita jina

    • @watisonywatisony7659
      @watisonywatisony7659 Год назад +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @tediciousndunguru1283
      @tediciousndunguru1283 Год назад +1

      @@watisonywatisony7659 m allv

  • @masterpeter896
    @masterpeter896 5 месяцев назад +1

    Kimeumana sasa ame naswa great work keep up

  • @IsaacMutinda-pk4ib
    @IsaacMutinda-pk4ib 11 месяцев назад +1

    Napenda kazi Yako clam......umbunifu kweli

  • @gloriacherotich8456
    @gloriacherotich8456 Год назад

    I can't miss watching Clam's and company movies everyday. Kasi njema kigozi Kwa Kasi nzuri mnatuzidishia miaka ya kuishi Kwa vicheko tu. Nyoko bahati yenu😂😂

  • @kelvinsalamba4483
    @kelvinsalamba4483 Год назад +2

    Jaman mnapendaz san alaa boraa uwai

  • @jean-noelkatembo4239
    @jean-noelkatembo4239 2 года назад +2

    Najisikia raha sana kila mara nafata filamu zenu.... Naandika toka Congo DRC

  • @immaculatekutto2121
    @immaculatekutto2121 Год назад +3

    Ghai 😳 hyo yote haki hyu ni mlafi sna, Shinda yake ni malaya ya kupindukia🙄 Asanteni kwa hii kuingiza kwnu🙏👏👏👏💞

  • @UwizeyimanaAnitha-ie9ii
    @UwizeyimanaAnitha-ie9ii Год назад +1

    Eti umekuj umekula😂😂😂😂😂wakwit cha ushib

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 2 года назад +13

    Wengine wanasema nataka nigombanie ubunge🤣🤣🤣

  • @nicholasndege3573
    @nicholasndege3573 2 года назад +9

    Great work - calm and collected, very convincing ! Wishing you all the best guy - Kitu zito !

  • @esther5703
    @esther5703 Год назад +4

    Mmh ata amezoeaa uyoo inafaa afunzwe lesson

  • @MichaelMatemula
    @MichaelMatemula Месяц назад +2

    😂😂😂😂😂 hilo tonge kama langu jamani

  • @marthinethomas3020
    @marthinethomas3020 Год назад +7

    2005 alitawala mzee mkapa 🇹🇿 na ashibagi 🤸🤸

  • @DanielStephan-pj6ok
    @DanielStephan-pj6ok 2 месяца назад +1

    Nakubali sana kazi zenv kaka

  • @adusonrwabufun3206
    @adusonrwabufun3206 Год назад +1

    Et nigombanie ubunge😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃nawakubali Sana

  • @mwanah3643
    @mwanah3643 2 года назад +5

    Congratulations sana 😀😀😀

  • @wezzieforty7766
    @wezzieforty7766 Год назад +2

    Nimekubali sana kaz yen ,siamin

  • @michaelmarko849
    @michaelmarko849 Год назад +1

    shakutanana ishu kama iyo duh mungu awape nin jaman

  • @mwanaidialiame318
    @mwanaidialiame318 4 месяца назад +1

    Uyo dada sketi fupi sana jmn khaaa 😂😂

  • @hadidjaniyosaba6663
    @hadidjaniyosaba6663 Год назад +2

    Mimutaniwuwa wallah 🤣🤣🤣😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄🇧🇮🇧🇮🇧🇮🤙

  • @somanda8140
    @somanda8140 Год назад +2

    Mko vizuri aise nimewapenda sana hapa nitawapa kamzizi frani aise mfike mbali zaidi

  • @bahatisaid7931
    @bahatisaid7931 Год назад +2

    Mpeni aonje basi😅😅😅

  • @muhammedshaban5163
    @muhammedshaban5163 2 года назад +9

    🤣🤣🤣🤣🤣ashibagi mgeni wetu huyo😂😂😂😂

  • @shaibusaidimusa240
    @shaibusaidimusa240 Год назад +2

    Mmetisha sana wazee

  • @AbubakarMohamed-rc7vk
    @AbubakarMohamed-rc7vk 10 дней назад

    Okay ee nakubali Mungo akuzidishie kipaji

  • @lilianmichael834
    @lilianmichael834 Год назад +3

    Mm Leo nakofa
    😂😂😂😂😂 Kenya

  • @modialaminzayo731
    @modialaminzayo731 2 года назад +4

    Nimecheka mpaka basi yani huyu clam ni balaa😅😅😅🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @nzenzulebunzal1598
    @nzenzulebunzal1598 Год назад +2

    Jamani nawapenda jamani mnajua kufundisha

  • @migoboy569
    @migoboy569 Год назад +2

    Tongee ndoigeee Kwa clam nomaaaaa😋😋😋😋😋😋

  • @elishaelisha-si9wu
    @elishaelisha-si9wu Год назад +4

    Clam mpuuuz

  • @coreyplatinum
    @coreyplatinum 2 года назад +15

    I appreciate you a lot dawg! Thanks for entertaining us!! Good work

  • @josephinepius2192
    @josephinepius2192 Год назад +2

    Cram Mungu akuguse

  • @alickmwala
    @alickmwala Год назад +2

    Hiyo nzuri sana

  • @eliudkimari-wt5cl
    @eliudkimari-wt5cl Год назад

    Njaa imezidi😅😅😅 nyie wabongo sisemi kitu

  • @jeffkenya571
    @jeffkenya571 2 года назад +4

    Nampenda iyo kaka😅

  • @zengreat007
    @zengreat007 Год назад

    😂😂😂😂😂😂hachibagi 😅😅😅😅😅😅

  • @florianakhweso5749
    @florianakhweso5749 2 года назад +4

    Mbona mboga hakuna😁😁😁😁😁

  • @hassanomarykazogolo6806
    @hassanomarykazogolo6806 Год назад +1

    😂😂😂laha sana yani

  • @mariamuomary8373
    @mariamuomary8373 Год назад +1

    😃😃😃😃jmn kwann rizi umekuwa hivyo🙈🙈

  • @fatmaalghafri6087
    @fatmaalghafri6087 Год назад +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ashibagi Ashibi😂😂😂😂

  • @user-sr9ox5ry3i
    @user-sr9ox5ry3i 5 месяцев назад

    Duh hiyo suna sijui kama tutafika mbinguni kweli😂

  • @lindauma982
    @lindauma982 Год назад

    Jamani nimekumbuka swaiba alikuwa na hyo tabia mumewake akitoka anatembea kila nyumba akila hadi ukabidi plot nzima tuka mkomesha

  • @nuruhsamwel2555
    @nuruhsamwel2555 Год назад +3

    Mnanifurahisha kweli

  • @leticiajulius4910
    @leticiajulius4910 2 года назад +5

    Eliza and Juliet l love you ❤️

  • @ShaharuNtandu-vp6bt
    @ShaharuNtandu-vp6bt Год назад

    Nakubal xana ✌️

  • @jamilalaila8501
    @jamilalaila8501 Год назад +3

    Heeee sunha🤣🤣🤣😂😂😂😂😂🤣🤣

  • @maherzain615
    @maherzain615 Год назад +3

    😂😂😂😂Natembeaga na maji yakunawa

  • @khadijahamisi6558
    @khadijahamisi6558 Год назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂mbavu zang🤣🤣🤣😂😂

  • @CharlesDominick-dr4zk
    @CharlesDominick-dr4zk Год назад

    Duh!The best funny guys,they never happened before in tz

  • @richardmwadule4815
    @richardmwadule4815 2 года назад +2

    Weeee! Nyoko tunaijuwa hiyo.

  • @eddypluss9618
    @eddypluss9618 2 года назад +2

    Manake apo kwanza nicheke😂🤣🤣🤣

  • @omarsaid287
    @omarsaid287 Год назад +1

    😁😁😔ashibagi kanuna

  • @machengeabhamic3219
    @machengeabhamic3219 Год назад +1

    Jmn nawapendaa 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @UpendokitomaryLove-tk8db
    @UpendokitomaryLove-tk8db Год назад

    Aisee nazir kuwapenda😍😍❤❤❤

  • @jeanetemenge6658
    @jeanetemenge6658 2 года назад +3

    Jamani hashibagi 😂😍🤣😍😂🤣

  • @zeanasalum6800
    @zeanasalum6800 Год назад

    Nimecheka ashibagi daah

  • @hilalngonyani
    @hilalngonyani 9 месяцев назад

    Nakubali sana yani

  • @anthony_genge
    @anthony_genge Год назад

    Nakuona Eliza Mideko

  • @flozziewacharo314
    @flozziewacharo314 Год назад +1

    Jamani clam utafika mbinguni umechoka Xana wanitoa matumbo

  • @wanjikugilian9894
    @wanjikugilian9894 5 месяцев назад

    Kuonja c shida bnaa

  • @hamadikhalfan6751
    @hamadikhalfan6751 Год назад

    Duu siyo kwa sunna iyo

  • @zaynabsaleh6679
    @zaynabsaleh6679 Год назад +1

    Naomba namb yak please ❤❤❤❤

  • @asuhabihussein1105
    @asuhabihussein1105 2 года назад +3

    Nachekagaa Sana 😂😂nitie Sunnah

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 2 года назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mungu awabariki sana

  • @MosesObuya-zg6ug
    @MosesObuya-zg6ug Год назад

    Kazi safi kaka 🇰🇪

  • @sarahnafulanafula5537
    @sarahnafulanafula5537 Год назад

    😂😂😂😂aki nyie ,mwanifurahisha kwa kweli

  • @muhammedshaban5163
    @muhammedshaban5163 2 года назад +4

    😂😂😂😂utauponza

  • @Burundi1962
    @Burundi1962 2 года назад +3

    Ashibag kauponza 🤣🤣

  • @zamzam7331
    @zamzam7331 Год назад +1

    😂😂😂😂 Clam bwana

  • @carolyneogutu6489
    @carolyneogutu6489 Год назад +1

    Kwa tabia zako, ukaolewe haraka 😂😂😂😂😂ashibagi

  • @abeidabdullwarith8991
    @abeidabdullwarith8991 2 года назад +2

    Riziiiiiiiiiiii 🔥🔥🔥🔥

  • @cutesuu7255
    @cutesuu7255 2 года назад +2

    Hahaaaa hashibagi amekamatwa

  • @aishabakari7657
    @aishabakari7657 Год назад +1

    He shadow we kama unatak kuonja onja iki yn wwe 🤣😂😅

  • @JuliettyMourice-ys1kd
    @JuliettyMourice-ys1kd Год назад

    Nimechek mpaka nimelia

  • @user-id1me9ve1o
    @user-id1me9ve1o Год назад +3

    From Oman love you ♥️🇴🇲🔥🔥🔥

  • @amanronny1658
    @amanronny1658 2 года назад +1

    Dah nyie nouma Na nus yaan ni 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥

  • @iam_Rowan
    @iam_Rowan Год назад +4

    May God bless these guys

  • @Ummu-KulthumIbrahim
    @Ummu-KulthumIbrahim 5 месяцев назад

    Ahhhh kachekesha😂

  • @franconzuyu-hd9yn
    @franconzuyu-hd9yn 5 месяцев назад

    Wewe achamamb yak😢❤

  • @kelvinachoki289
    @kelvinachoki289 11 месяцев назад

    😂😂😂hii kali

  • @fahadkhamis749
    @fahadkhamis749 2 года назад +2

    mko vzrr sanaaaaaaaa,ila huyu mdada asivae nguo fupi sanaa

  • @MakameMufadhil-p6p
    @MakameMufadhil-p6p Год назад

    Hashibagi daaah

  • @dianamtega1794
    @dianamtega1794 Год назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣Cha uroho umezidi🙌

  • @Kichecheog3
    @Kichecheog3 3 месяца назад

    Clam ludi kwenye comedy

  • @shumy-wizzy
    @shumy-wizzy 11 месяцев назад

    Fupisana bwana tuongezee kidogo