KUFULI | FULL MOVIE |
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- Hottest Video 2024, New Hottest Film Videos 2024, Full Movie By Kim vevo
If we have any mistakes. please comment and tell us, what is our mistake? We will try to solve this error next. please watch our videos and give us the courage to try better. Thank you for watching this video.
Director - HAIR Script Writer - MABWANGA and team Producer - KIM VEVO Camera Man - HAIR Editor - IMMORTAL HAIR Actors - Kim, Butua, Mwanji, Sara, Kipara, Mbwela, Mwasi, Mbonolwa, Tanu, Zungu, etc. This video is not dangerous of any kind.
This video does not take any risk, no Dangerous Action, no physical harm, it is fine for the Viewers. thanks for watching
#clamvevo #kimvevo #tanu #mbwela #kipara
Ni mara yangu ya kwanza kuskia Kim anatusiana. Kumbe mwasi ni mrembo tu ivi wehhhh, great job my people much love from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Mwasi,tanu na huyo kaka alocheza kama mume wa kim wanajua sana kuigiza huwa nawapenda sana❤❤❤❤❤
Xofia mamb
Vp
Basi itakuwa wote ni wajuzi
Kazi yente kabisaa na next movie mmakinike mwishomwisho 🇰🇪
Mwasi uko n mtu kwli mana hali yko nzuri ❤❤❤❤
Kim na mwasi daah kazi nzuri mno❤️💋💋love you from 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪
Mbwela mimi nime tokea ku kukubali sana kwa kazi nzuri na movie zako zote ni nzur sana mazingira ya kijijini hongereni saaana 🎉🎉🎉❤
❤❤❤Maua yenu Tim nzima mnajua kutuburudisha
Kim bhana unajua daah sijawahi kuona uki act Kwa dharau maana nyingi una act mpole ... Respect sana my sisi. Al the way from Arusha Tanzani
kim eeh kenya tunapenda kazi yako mno pongezi kwanza weeh mzuri kwanzia macho na kilakitu ❤❤more love
Wueeehh mwasi wueehh filamu Kali Sana ...alafu hiyo WA kufuli nzuri Sana pia.....mumeweza,mumeweza,mumeweza tena 🙌🙌🙌
Hii movie ni nzuri ,I really love the actor's to kwanza hapo kwa nyimbo ya Kikuyu mumeweza aiseee love you guys🇰🇪
mwasii nyuma unatuumiza mamaaa❤❤❤by zairati
Daah jamani mwasi kumbe ana msambwanda oya kama kunamtu ameliona la mwasi kama mimi gonga like👍 hapa
nimeliona msambwanda
punguza kuona
Ujinga Ujinga tu
Hii comment imenifny niangalie movie oya zigo la kwenda af camera imetenda haki hakika nime enjoy
😂😂😂😂😂 Ni Atar
Weee kama unamkubali Kim kama mimi basi gonga like hapa
TANU mwigizaji mzuri sana. Aendelee kupewa nafasi nyingi zaidi
Sanaa nampendaa mno 🎉🎉🎉🎉🎉
Noma sana
Safi sna iruduwe kwa ajili yagu❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Hongera saaaana tano😅❤nagupenda saaana
Dada happy anafanya yake❤❤❤
ila bimigomba jamani 😂upo vizuri mama eeh 😅
Yes wanajua ❤❤ wote .mtafika mbali "
Mm shabiki sana wako w movies zenu mbwela yani sina Tv ila simu ndio tv tosha nazipenda sana movie zenu jamani❤I'm from🇰🇪🇰🇪
Wangapi walimkubali mwasi 😅
Kazi mzur
Kweli ndugu yangu. Mwasi anamzigo sio mchezo. Anashawishi haswa.
❤❤mwasi nampenda bure from kenya
Sijapenda Butua😢😢 unaona wanawake wote mbwa
Napendaga staili ya mbwela akiwa anaambiwa jambo na adui kama ana watu anawaangalia wote ndio anajibu ,kama yupo peke ake anaangalia kulia na kushoto ndio anajibu aisee napenda sana
Mm n wakwanza naomba like❤❤❤❤❤ kim🎉🎉🎉
Vp
Waaaaah mwasi anamkiaa nmeu❤❤
Leo ndiyo nimeona uzuri wa kimu kwa jicho la kipekee sana
Kimu hongera sana umeweza endelea dada uko vizuri ila huku Kwa uchawi Kwa tisha
Wakwanza team strong nipeni mauwa yangu
🌹🌹💐💐chukua
mjukuuu wa uchiii chukuwa hayo hapo🎉🎉🎉🎉🎉
Mimi na mlevi tuko kimoja naomba likes hapa kutoka Kenya 🇰🇪 ❤
Hii movie ninzur sana lakin mwishoni mlifeli kaena makin napenda sana movie zenu 🇰🇪🇰🇪
Yani hawa muvi zao nyingi nzuri ila zinavyoisha ndio mtihan sijui wanafeli wap
jamani mwasiiiiiiiii umenitoa checked kwa sambwanda lako kudadeki😍😍😍
Like kwa mwasi
Sio mwasi NI kakoso😂😂❤
Kim naku penda sana toka rdcongo
Jamani kama mwasi ajaolewa naomba mawasiliano yake
Safi sana
Pambee tuu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mwas umesema uko singo naomba uwe mshangazi wangu😢😢😢😢😢❤
🎉🎉🎉🎉nice movie ❤
mwasi humu ni laana🤤
Wakwaza mie Leo
Kazi Nzuri sana
Eti tuliza nini yako!!!aibu hadi watoto wamekimbia kwend lala
Haa jamani ndipo mwavuka mipaka mlev katusi et sura kama nn chagueni matusi
Napenda movie zenu sana
𝙆𝙖𝙯𝙞 𝙨𝙖𝙛𝙞 𝙨𝙖𝙣𝙖💖💖💝💯
Duh! Mwasi anamtako huo❤❤
We butua😂acha ujinga unasemaje pombe ni nzuri kuliko mke?nani angezaa km tungeowana na pombe?kazi nzur hongeren sana 💯 ila mwanji leo kawa nahasira zaid ya sana nahua sio kawaida yake 😢.
Bi mgomba umetishaaa 😂😂😂😅😂😂😂😂😂😂
Kim napenda inavyoonekana we ni mrembo sana❤❤❤❤❤❤❤
Mwasi dah Yale mavazi ya kwenye snek boy kumbe Yana kuficha msabwanda 😂😂😂 hahahaha mkovizuri
Hongera yako mwasi sichoki kukusifia katka ubora wako
Nikweli anahaki ya kumpa hongera yake
Mme jua kutuonyesha sambwanda la mwasi😂😂 ila kazi nzuri sana sana kim
Wa nne Leo kutoka 🎉🎉🎉
🔥🔥🔥🔥🔥
Ila hii kitu kali sana
Mumeanza vizur mukmaliza ndivyo sivyo but mmejaribu❤❤
Kazi kazi
Kazi safi dada ❤❤ keep it up ❤❤❤
One love from Kenya manze
Movie Ni nzuri Sana. Ila punguzeni lugha zisizofaa kwenye movie haswa pale msanii anapokua anaigiza akiwa na bad mood mfano hasira. Movie zenu tunaangalia na watoto wetu sasa maneno mfano MATAKO YAKO Alivyosema chapombe wetu butua Sio mazuri. Pia maneno kama PUMBAVU WEWE kama yalivyotumiwa na baadhi ya characters pia Sio mazuri. Vinginevyo mko vizuri Sana. Mkirekebisha Hayo,,, nawaona Mbali Sana nyie wasanii wetu.
Mmmmh sasa hayo si maneno ya kawaida km pumbavu had kwenye biblia lipo sasa nawee kaaa mkuu wa nidhamu
Nimeipenda, natamani movie nitazame na wanangu au wazazi wakiwepo. ❤
Hakuna watu wanaongoza kuongea matusi kama movie za kizungu ila sijaona hata mtu akisema ila watu kusema pumbavu tu inakua mbaya
Mungu awatunze vipenzi
Mzidole iyo staili ya mdomo haijakupendeza😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wanaopenda matako ya mwasi tujuane😂
Kazi nzuri❤❤❤❤❤❤❤
Kim mi na kukubali sana endelea kuchenza kama wewe
Mwasi hio kaza haikufai kabisa jamni daaah😢😮
Huyu tanu mtu mbadi sana yupo vzur
Kim VEVO kufuli
Utam kunogaa❤
Good job 🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮
Movie ambayo butua sijapenda ndio hii
Hongren Kaz nzur
Iyo inatu furahisha Sisi wana Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
all in all mwasi uo msambwanda omba nisiwe tajiri 😁😁🤣
Mjamaa ambae anabeba manat ajui ndo amearbu h movie
Mwasi ana nyashi
Kim Kim Kim Kim
Nimependa color grade.imetulia
Nampenda sn mwasi jamani
Mwasi kiboko
Du mwasi anamakalio 😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋
Eti wanawake nyoko tena nyoko kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂anguka nayo😂😂😂😂
Mwasi wewe nimrembo usije ukajiharibu kutengeneza uzuri zaidi kwenye mwili wako kama wengine hakutajwi watu sikuhizi😂😂
Butua wetu alipona sasa jmn😅
Daah mwas
Mwasi nampenda san hakika Dem mzuri anamsambwanda duh 🙄
Msambwanda ndo nini?😂😂😂
kumbe mwasi yuko vzr nimezoey akivaa manguo ya ajabu leo ndan ya kanga
Kim nimsani mwenye uweredi wa kuingiza nampa bigap
Chozi itaendelea lini @Kim vevo
Jamani kama atujali nilikuwa naombi moja mwasi nimemuelewa
😂❤❤ ok slt
Wonder
Kali sanaaa
Mwasi anawezab❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
wanaoangalia huku tukipitia comment tujuane❤
Hhh
Kim ni kiboko yao,,,