KUFULI | FULL MOVIE |
HTML-код
- Опубликовано: 27 окт 2024
- Hottest Video 2024, New Hottest Film Videos 2024, Full Movie By Kim vevo
If we have any mistakes. please comment and tell us, what is our mistake? We will try to solve this error next. please watch our videos and give us the courage to try better. Thank you for watching this video.
Director - HAIR Script Writer - MABWANGA and team Producer - KIM VEVO Camera Man - HAIR Editor - IMMORTAL HAIR Actors - Kim, Butua, Mwanji, Sara, Kipara, Mbwela, Mwasi, Mbonolwa, Tanu, Zungu, etc. This video is not dangerous of any kind.
This video does not take any risk, no Dangerous Action, no physical harm, it is fine for the Viewers. thanks for watching
#clamvevo #kimvevo #tanu #mbwela #kipara
Ni mara yangu ya kwanza kuskia Kim anatusiana. Kumbe mwasi ni mrembo tu ivi wehhhh, great job my people much love from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Kim na mwasi daah kazi nzuri mno❤️💋💋love you from 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪
Kazi yente kabisaa na next movie mmakinike mwishomwisho 🇰🇪
Mwasi,tanu na huyo kaka alocheza kama mume wa kim wanajua sana kuigiza huwa nawapenda sana❤❤❤❤❤
Xofia mamb
Vp
Mwasi uko n mtu kwli mana hali yko nzuri ❤❤❤❤
❤❤❤Maua yenu Tim nzima mnajua kutuburudisha
TANU mwigizaji mzuri sana. Aendelee kupewa nafasi nyingi zaidi
Sanaa nampendaa mno 🎉🎉🎉🎉🎉
ila bimigomba jamani 😂upo vizuri mama eeh 😅
Hii movie ni nzuri ,I really love the actor's to kwanza hapo kwa nyimbo ya Kikuyu mumeweza aiseee love you guys🇰🇪
Safi sna iruduwe kwa ajili yagu❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mm n wakwanza naomba like❤❤❤❤❤ kim🎉🎉🎉
Vp
Hii movie ninzur sana lakin mwishoni mlifeli kaena makin napenda sana movie zenu 🇰🇪🇰🇪
Wueeehh mwasi wueehh filamu Kali Sana ...alafu hiyo WA kufuli nzuri Sana pia.....mumeweza,mumeweza,mumeweza tena 🙌🙌🙌
Dada happy anafanya yake❤❤❤
Wangapi walimkubali mwasi 😅
Weee kama unamkubali Kim kama mimi basi gonga like hapa
Movie Ni nzuri Sana. Ila punguzeni lugha zisizofaa kwenye movie haswa pale msanii anapokua anaigiza akiwa na bad mood mfano hasira. Movie zenu tunaangalia na watoto wetu sasa maneno mfano MATAKO YAKO Alivyosema chapombe wetu butua Sio mazuri. Pia maneno kama PUMBAVU WEWE kama yalivyotumiwa na baadhi ya characters pia Sio mazuri. Vinginevyo mko vizuri Sana. Mkirekebisha Hayo,,, nawaona Mbali Sana nyie wasanii wetu.
Mmmmh sasa hayo si maneno ya kawaida km pumbavu had kwenye biblia lipo sasa nawee kaaa mkuu wa nidhamu
Nimeipenda, natamani movie nitazame na wanangu au wazazi wakiwepo. ❤
Napendaga staili ya mbwela akiwa anaambiwa jambo na adui kama ana watu anawaangalia wote ndio anajibu ,kama yupo peke ake anaangalia kulia na kushoto ndio anajibu aisee napenda sana
Hongera saaaana tano😅❤nagupenda saaana
Wakwanza team strong nipeni mauwa yangu
🌹🌹💐💐chukua
mjukuuu wa uchiii chukuwa hayo hapo🎉🎉🎉🎉🎉
Waaaaah mwasi anamkiaa nmeu❤❤
Kim napenda inavyoonekana we ni mrembo sana❤❤❤❤❤❤❤
Hongren Kaz nzur
Daah jamani mwasi kumbe ana msambwanda oya kama kunamtu ameliona la mwasi kama mimi gonga like👍 hapa
nimeliona msambwanda
punguza kuona
Ujinga Ujinga tu
Hii comment imenifny niangalie movie oya zigo la kwenda af camera imetenda haki hakika nime enjoy
😂😂😂😂😂 Ni Atar
Kimu hongera sana umeweza endelea dada uko vizuri ila huku Kwa uchawi Kwa tisha
Leo ndiyo nimeona uzuri wa kimu kwa jicho la kipekee sana
Kim naku penda sana toka rdcongo
Like kwa mwasi
Sio mwasi NI kakoso😂😂❤
❤❤mwasi nampenda bure from kenya
Mwasi anawezab❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉nice movie ❤
Jamani kama mwasi ajaolewa naomba mawasiliano yake
Kweli ndugu yangu. Mwasi anamzigo sio mchezo. Anashawishi haswa.
hivi kaaambiwa tuliza komwe lako au tuliza kuma yako maana me kila neno husikia tofauti
Yes wanajua ❤❤ wote .mtafika mbali "
Nyc movie❤❤❤
#Wanda, Mke wa cha pombe katukanaa pale kwa mganga, #SIJAPENDA si sawa
Daah mwas
Kazi Nzuri sana
Nampenda sn mwasi jamani
Utam kunogaa❤
Safi sana
Ila hii kitu kali sana
Kazi kazi
Likes kwa mwasi na kim
Kazi nzuri❤❤❤❤❤❤❤
Kazi safi dada ❤❤ keep it up ❤❤❤
Butua una misemo kama madebe🎉🎉🎉
😂❤❤ ok slt
Duh! Mwasi anamtako huo❤❤
Hongera yako mwasi sichoki kukusifia katka ubora wako
Nikweli anahaki ya kumpa hongera yake
Mme jua kutuonyesha sambwanda la mwasi😂😂 ila kazi nzuri sana sana kim
Mwasi ana nyashi
Mwas umesema uko singo naomba uwe mshangazi wangu😢😢😢😢😢❤
Mumeanza vizur mukmaliza ndivyo sivyo but mmejaribu❤❤
Butuaaa 🎉🎉
Mwanjiii 🎉🎉
Iyo inatu furahisha Sisi wana Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ooomay😂😂😂
jamani mwasiiiiiiiii umenitoa checked kwa sambwanda lako kudadeki😍😍😍
Good job 🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮
Butua🎉❤
Good job Mbwela
Nimelizoooom 😊
Mjamaa ambae anabeba manat ajui ndo amearbu h movie
Du mwasi anamakalio 😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋
Kim mi na kukubali sana endelea kuchenza kama wewe
Verda Run
Eti wanawake nyoko tena nyoko kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂anguka nayo😂😂😂😂
Saf san movie
Naeza pata aje uo wimbo wa background "umefungwa kufuli"
Mwasi dah Yale mavazi ya kwenye snek boy kumbe Yana kuficha msabwanda 😂😂😂 hahahaha mkovizuri
Wakwaza mie Leo
Chozi itaendelea lini @Kim vevo
Kwa kweli mmeamua kutangaza Msimbwada wa mwasi. Yupo vizuri sana mdada huyu, umbo la kuvutia. Namkubali! 😋😋😋
unaweza kuta sikuhizi watu wanaigiza san uchawi kumbe wanatengeneza jina yaani wachawi kweli...sijamaanisha hawa wachawi ila ni maneno tu.
Wa nne Leo kutoka 🎉🎉🎉
Mwasi hio kaza haikufai kabisa jamni daaah😢😮
team vevo
Kali sanaaa
Butua wetu alipona sasa jmn😅
Kim Kim Kim Kim
kumbe mwasi yuko vzr nimezoey akivaa manguo ya ajabu leo ndan ya kanga
Jamani kama atujali nilikuwa naombi moja mwasi nimemuelewa
Kim nimsani mwenye uweredi wa kuingiza nampa bigap
Oya kim ni raia wa mkoa gani vile
🔥🔥🔥🔥🔥
wangapi tumesoma jina la kanga aliyovaa huyo mama
Mwasi wewe nimrembo usije ukajiharibu kutengeneza uzuri zaidi kwenye mwili wako kama wengine hakutajwi watu sikuhizi😂😂
Mwasi nampenda san hakika Dem mzuri anamsambwanda duh 🙄
Msambwanda ndo nini?😂😂😂
Hujawahi kufeli Mbwela,mwanji,tanu
Mwasi nkupe namba yangu basi maana daah, niko hoi et na usingo huu..mimi siyo single tyu nishakuwa singular kabisa saivi, basi kama vipi tuwe prural mimi na wewe...
all in all mwasi uo msambwanda omba nisiwe tajiri 😁😁🤣
Haaaaa jamani
Mwaasi jamani
Kakoso❤
Mwasi❤❤
Kim we ni mtu na nusu
wanaoangalia huku tukipitia comment tujuane❤
Hhh
Nimependa color grade.imetulia
❤❤❤❤❤