KUFULI | FULL MOVIE |

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024
  • Hottest Video 2024, New Hottest Film Videos 2024, Full Movie By Kim vevo
    If we have any mistakes. please comment and tell us, what is our mistake? We will try to solve this error next. please watch our videos and give us the courage to try better. Thank you for watching this video.
    Director - HAIR Script Writer - MABWANGA and team Producer - KIM VEVO Camera Man - HAIR Editor - IMMORTAL HAIR Actors - Kim, Butua, Mwanji, Sara, Kipara, Mbwela, Mwasi, Mbonolwa, Tanu, Zungu, etc. This video is not dangerous of any kind.
    This video does not take any risk, no Dangerous Action, no physical harm, it is fine for the Viewers. thanks for watching
    #clamvevo #kimvevo #tanu #mbwela #kipara

Комментарии • 155

  • @maurine3503
    @maurine3503 2 месяца назад +10

    Ni mara yangu ya kwanza kuskia Kim anatusiana. Kumbe mwasi ni mrembo tu ivi wehhhh, great job my people much love from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @BraGa-lb4xs
    @BraGa-lb4xs Месяц назад +7

    Kim na mwasi daah kazi nzuri mno❤️💋💋love you from 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪

  • @DenisKipkemboi-p9f
    @DenisKipkemboi-p9f 2 месяца назад +11

    Kazi yente kabisaa na next movie mmakinike mwishomwisho 🇰🇪

  • @sophiamwailonda
    @sophiamwailonda 2 месяца назад +8

    Mwasi,tanu na huyo kaka alocheza kama mume wa kim wanajua sana kuigiza huwa nawapenda sana❤❤❤❤❤

  • @Karimzabdul
    @Karimzabdul 2 месяца назад +4

    Mwasi uko n mtu kwli mana hali yko nzuri ❤❤❤❤

  • @Frola-ym2nq
    @Frola-ym2nq 2 месяца назад +4

    ❤❤❤Maua yenu Tim nzima mnajua kutuburudisha

  • @ndayikezaoscar3467
    @ndayikezaoscar3467 2 месяца назад +15

    TANU mwigizaji mzuri sana. Aendelee kupewa nafasi nyingi zaidi

    • @maylucson001
      @maylucson001 2 месяца назад +1

      Sanaa nampendaa mno 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @suleimaanunda
    @suleimaanunda 7 дней назад +1

    ila bimigomba jamani 😂upo vizuri mama eeh 😅

  • @RitaNjeri-d4g
    @RitaNjeri-d4g 2 месяца назад +1

    Hii movie ni nzuri ,I really love the actor's to kwanza hapo kwa nyimbo ya Kikuyu mumeweza aiseee love you guys🇰🇪

  • @Mtotowainter
    @Mtotowainter 2 месяца назад +2

    Safi sna iruduwe kwa ajili yagu❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @Aisha-ld3ol
    @Aisha-ld3ol 2 месяца назад +9

    Mm n wakwanza naomba like❤❤❤❤❤ kim🎉🎉🎉

  • @wizaraxx1256
    @wizaraxx1256 2 месяца назад +3

    Hii movie ninzur sana lakin mwishoni mlifeli kaena makin napenda sana movie zenu 🇰🇪🇰🇪

  • @najmahamisi4409
    @najmahamisi4409 2 месяца назад

    Wueeehh mwasi wueehh filamu Kali Sana ...alafu hiyo WA kufuli nzuri Sana pia.....mumeweza,mumeweza,mumeweza tena 🙌🙌🙌

  • @SukhairaZaiytun
    @SukhairaZaiytun 12 дней назад +1

    Dada happy anafanya yake❤❤❤

  • @DennisKarani-n1t
    @DennisKarani-n1t 2 месяца назад +7

    Wangapi walimkubali mwasi 😅

  • @japhetmweke52
    @japhetmweke52 Месяц назад +6

    Weee kama unamkubali Kim kama mimi basi gonga like hapa

  • @venancemwamfise7510
    @venancemwamfise7510 Месяц назад +4

    Movie Ni nzuri Sana. Ila punguzeni lugha zisizofaa kwenye movie haswa pale msanii anapokua anaigiza akiwa na bad mood mfano hasira. Movie zenu tunaangalia na watoto wetu sasa maneno mfano MATAKO YAKO Alivyosema chapombe wetu butua Sio mazuri. Pia maneno kama PUMBAVU WEWE kama yalivyotumiwa na baadhi ya characters pia Sio mazuri. Vinginevyo mko vizuri Sana. Mkirekebisha Hayo,,, nawaona Mbali Sana nyie wasanii wetu.

    • @mymussept3662
      @mymussept3662 9 дней назад

      Mmmmh sasa hayo si maneno ya kawaida km pumbavu had kwenye biblia lipo sasa nawee kaaa mkuu wa nidhamu

    • @gershomchallo
      @gershomchallo 2 дня назад

      Nimeipenda, natamani movie nitazame na wanangu au wazazi wakiwepo. ❤

  • @NifferWagee-kz2sv
    @NifferWagee-kz2sv 11 дней назад +1

    Napendaga staili ya mbwela akiwa anaambiwa jambo na adui kama ana watu anawaangalia wote ndio anajibu ,kama yupo peke ake anaangalia kulia na kushoto ndio anajibu aisee napenda sana

  • @evaristeNimbona
    @evaristeNimbona 2 месяца назад +1

    Hongera saaaana tano😅❤nagupenda saaana

  • @FatumaUchi-i7t
    @FatumaUchi-i7t 2 месяца назад +10

    Wakwanza team strong nipeni mauwa yangu

  • @rajabkiti896
    @rajabkiti896 2 месяца назад +2

    Waaaaah mwasi anamkiaa nmeu❤❤

  • @EstherMaturi
    @EstherMaturi 12 дней назад

    Kim napenda inavyoonekana we ni mrembo sana❤❤❤❤❤❤❤

  • @SultanSultan-q6b
    @SultanSultan-q6b 19 дней назад

    Hongren Kaz nzur

  • @yusuphmdoe5451
    @yusuphmdoe5451 2 месяца назад +45

    Daah jamani mwasi kumbe ana msambwanda oya kama kunamtu ameliona la mwasi kama mimi gonga like👍 hapa

    • @mr_shabery
      @mr_shabery 2 месяца назад

      nimeliona msambwanda

    • @mr_shabery
      @mr_shabery 2 месяца назад +1

      punguza kuona

    • @BenjaminChakwe
      @BenjaminChakwe 2 месяца назад

      Ujinga Ujinga tu

    • @mkakamwenyefyuchatv5003
      @mkakamwenyefyuchatv5003 2 месяца назад

      Hii comment imenifny niangalie movie oya zigo la kwenda af camera imetenda haki hakika nime enjoy

    • @Chonsuu001
      @Chonsuu001 Месяц назад

      😂😂😂😂😂 Ni Atar

  • @ShanyAbuzefa
    @ShanyAbuzefa 28 дней назад

    Kimu hongera sana umeweza endelea dada uko vizuri ila huku Kwa uchawi Kwa tisha

  • @davykisabo875
    @davykisabo875 2 месяца назад +2

    Leo ndiyo nimeona uzuri wa kimu kwa jicho la kipekee sana

  • @PaisibleKasamukulu
    @PaisibleKasamukulu 2 месяца назад +3

    Kim naku penda sana toka rdcongo

  • @GracedamaKasiwa
    @GracedamaKasiwa 2 месяца назад +6

    Like kwa mwasi

  • @AbdisamidHussein
    @AbdisamidHussein 22 дня назад

    ❤❤mwasi nampenda bure from kenya

  • @EstherMaturi
    @EstherMaturi 12 дней назад

    Mwasi anawezab❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Director___Mwadadu
    @Director___Mwadadu 17 дней назад

    🎉🎉🎉🎉nice movie ❤

  • @TomJangal-l4l
    @TomJangal-l4l 2 месяца назад +4

    Jamani kama mwasi ajaolewa naomba mawasiliano yake

  • @OthmanAbdallah-y4v
    @OthmanAbdallah-y4v 23 дня назад +1

    Kweli ndugu yangu. Mwasi anamzigo sio mchezo. Anashawishi haswa.

  • @sehelsalum1843
    @sehelsalum1843 13 дней назад +1

    hivi kaaambiwa tuliza komwe lako au tuliza kuma yako maana me kila neno husikia tofauti

  • @MbwanaPindo
    @MbwanaPindo Месяц назад

    Yes wanajua ❤❤ wote .mtafika mbali "

  • @ValentineChepkemboi-jt7it
    @ValentineChepkemboi-jt7it 5 дней назад

    Nyc movie❤❤❤

  • @gershomchallo
    @gershomchallo 12 часов назад

    #Wanda, Mke wa cha pombe katukanaa pale kwa mganga, #SIJAPENDA si sawa

  • @AbdalaYahaya-g3o
    @AbdalaYahaya-g3o 2 месяца назад +1

    Daah mwas

  • @alexkatana5037
    @alexkatana5037 2 месяца назад +2

    Kazi Nzuri sana

  • @Mamu-w4k
    @Mamu-w4k Месяц назад

    Nampenda sn mwasi jamani

  • @MwizineMsangi
    @MwizineMsangi Месяц назад

    Utam kunogaa❤

  • @KibwanaJohn
    @KibwanaJohn 22 дня назад

    Safi sana

  • @yusuphmdoe5451
    @yusuphmdoe5451 2 месяца назад +2

    Ila hii kitu kali sana

  • @JafarySadick
    @JafarySadick 2 месяца назад +1

    Kazi kazi

  • @JavanNandwa
    @JavanNandwa 5 дней назад

    Likes kwa mwasi na kim

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 Месяц назад

    Kazi nzuri❤❤❤❤❤❤❤

  • @RoseOenga
    @RoseOenga Месяц назад

    Kazi safi dada ❤❤ keep it up ❤❤❤

  • @halimadonath1862
    @halimadonath1862 2 месяца назад +1

    Butua una misemo kama madebe🎉🎉🎉

  • @MongaNgoy-b2r
    @MongaNgoy-b2r Месяц назад +1

    😂❤❤ ok slt

  • @anethkidai1060
    @anethkidai1060 Месяц назад

    Duh! Mwasi anamtako huo❤❤

  • @mussamohd4414
    @mussamohd4414 2 месяца назад +1

    Hongera yako mwasi sichoki kukusifia katka ubora wako

  • @MwanahamisiSalumu-uq2pj
    @MwanahamisiSalumu-uq2pj 2 месяца назад

    Mme jua kutuonyesha sambwanda la mwasi😂😂 ila kazi nzuri sana sana kim

  • @OthumankibabiKocho
    @OthumankibabiKocho Месяц назад +2

    Mwasi ana nyashi

  • @SaimonAlphonceLuoga
    @SaimonAlphonceLuoga 2 месяца назад

    Mwas umesema uko singo naomba uwe mshangazi wangu😢😢😢😢😢❤

  • @ashajao
    @ashajao Месяц назад

    Mumeanza vizur mukmaliza ndivyo sivyo but mmejaribu❤❤

  • @halimadonath1862
    @halimadonath1862 2 месяца назад +1

    Butuaaa 🎉🎉

  • @halimadonath1862
    @halimadonath1862 2 месяца назад

    Mwanjiii 🎉🎉

  • @diakissd8353
    @diakissd8353 27 дней назад

    Iyo inatu furahisha Sisi wana Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @rajabkiti896
    @rajabkiti896 2 месяца назад +1

    Ooomay😂😂😂

  • @ShijaJagady
    @ShijaJagady 2 месяца назад

    jamani mwasiiiiiiiii umenitoa checked kwa sambwanda lako kudadeki😍😍😍

  • @TantineZuzu
    @TantineZuzu 2 месяца назад

    Good job 🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮

  • @Midekotee
    @Midekotee Месяц назад

    Butua🎉❤

  • @halimadonath1862
    @halimadonath1862 2 месяца назад

    Good job Mbwela

  • @OmmyMarx-d7w
    @OmmyMarx-d7w Месяц назад

    Nimelizoooom 😊

  • @DismasiHokororo
    @DismasiHokororo 2 месяца назад

    Mjamaa ambae anabeba manat ajui ndo amearbu h movie

  • @DismasiHokororo
    @DismasiHokororo 2 месяца назад

    Du mwasi anamakalio 😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋

  • @LaveLavy
    @LaveLavy Месяц назад

    Kim mi na kukubali sana endelea kuchenza kama wewe

  • @OnionsJudith-s4b
    @OnionsJudith-s4b Месяц назад

    Verda Run

  • @RoseOenga
    @RoseOenga Месяц назад

    Eti wanawake nyoko tena nyoko kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂anguka nayo😂😂😂😂

  • @MovitaKhmis
    @MovitaKhmis Месяц назад

    Saf san movie

  • @MonicaOmanga
    @MonicaOmanga Месяц назад

    Naeza pata aje uo wimbo wa background "umefungwa kufuli"

  • @fatumaandrea247
    @fatumaandrea247 2 месяца назад

    Mwasi dah Yale mavazi ya kwenye snek boy kumbe Yana kuficha msabwanda 😂😂😂 hahahaha mkovizuri

  • @FatumaNasoro-z2b
    @FatumaNasoro-z2b 2 месяца назад

    Wakwaza mie Leo

  • @davieh_the_splatter2547
    @davieh_the_splatter2547 2 месяца назад +2

    Chozi itaendelea lini @Kim vevo

  • @Fm-MornStar2014
    @Fm-MornStar2014 Месяц назад

    Kwa kweli mmeamua kutangaza Msimbwada wa mwasi. Yupo vizuri sana mdada huyu, umbo la kuvutia. Namkubali! 😋😋😋

  • @sehelsalum1843
    @sehelsalum1843 13 дней назад +1

    unaweza kuta sikuhizi watu wanaigiza san uchawi kumbe wanatengeneza jina yaani wachawi kweli...sijamaanisha hawa wachawi ila ni maneno tu.

  • @nashclien7688
    @nashclien7688 2 месяца назад

    Wa nne Leo kutoka 🎉🎉🎉

  • @Aisha-ld3ol
    @Aisha-ld3ol 2 месяца назад

    Mwasi hio kaza haikufai kabisa jamni daaah😢😮

  • @jimmyjeyo7255
    @jimmyjeyo7255 Месяц назад

    team vevo

  • @ShabaniKazz
    @ShabaniKazz 2 месяца назад

    Kali sanaaa

  • @angelraphael4500
    @angelraphael4500 2 месяца назад +1

    Butua wetu alipona sasa jmn😅

  • @davykisabo875
    @davykisabo875 2 месяца назад

    Kim Kim Kim Kim

  • @AlmasHussein-d8m
    @AlmasHussein-d8m 2 месяца назад

    kumbe mwasi yuko vzr nimezoey akivaa manguo ya ajabu leo ndan ya kanga

  • @SudimakukaMakuka
    @SudimakukaMakuka Месяц назад

    Jamani kama atujali nilikuwa naombi moja mwasi nimemuelewa

  • @SudimakukaMakuka
    @SudimakukaMakuka Месяц назад

    Kim nimsani mwenye uweredi wa kuingiza nampa bigap

  • @EllyJoseph-i1c
    @EllyJoseph-i1c 19 дней назад

    Oya kim ni raia wa mkoa gani vile

  • @StevenNguvamali
    @StevenNguvamali 2 месяца назад

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @aeromedaaviation1837
    @aeromedaaviation1837 2 месяца назад +1

    wangapi tumesoma jina la kanga aliyovaa huyo mama

  • @TightnotChome-fn2jy
    @TightnotChome-fn2jy 2 месяца назад

    Mwasi wewe nimrembo usije ukajiharibu kutengeneza uzuri zaidi kwenye mwili wako kama wengine hakutajwi watu sikuhizi😂😂

  • @LeonardGewa-t6d
    @LeonardGewa-t6d 2 месяца назад

    Mwasi nampenda san hakika Dem mzuri anamsambwanda duh 🙄

  • @halimadonath1862
    @halimadonath1862 2 месяца назад

    Hujawahi kufeli Mbwela,mwanji,tanu

  • @luciferadaniel7835
    @luciferadaniel7835 Месяц назад

    Mwasi nkupe namba yangu basi maana daah, niko hoi et na usingo huu..mimi siyo single tyu nishakuwa singular kabisa saivi, basi kama vipi tuwe prural mimi na wewe...

  • @ponji_wana_man
    @ponji_wana_man 2 месяца назад

    all in all mwasi uo msambwanda omba nisiwe tajiri 😁😁🤣

  • @SudimakukaMakuka
    @SudimakukaMakuka Месяц назад

    Haaaaa jamani

  • @mkarekidhuku3473
    @mkarekidhuku3473 Месяц назад

    Mwaasi jamani

  • @Paulomchinje
    @Paulomchinje 10 дней назад

    Kakoso❤

  • @user-friendlyhp
    @user-friendlyhp Месяц назад

    Kim we ni mtu na nusu

  • @sarikokiagape7685
    @sarikokiagape7685 Месяц назад +2

    wanaoangalia huku tukipitia comment tujuane❤

  • @symorebeatztz6664
    @symorebeatztz6664 2 месяца назад

    Nimependa color grade.imetulia

  • @AllyYamkiwa
    @AllyYamkiwa 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤