But all in all kazi nzuri washiriki wote wameshoo love kwa moyo mmoja kabisa japo kwa wale ambao hawaja fit ni kwakua tuu uhalisia wao hauruhusu wao kua ktk seem hizo bravo✍️
Jaman mwanji 😂😂leo kawa boss na nasio makonde 🎉🎉🎉kazi nzur hongeren sana 💯.yan km ni wakihindi hii filam nitasema mastereng wote wamo humu na ma kajal wawo 😂😂😂
Filamu nzuri! Wakati nimeona dada'ke na Mbwela pamoja na yule kijana wakifungiwa kamba kama mbuzi, nimekumbuka jinsi wakoloni wabelgiji walikuwaka na watesa bibi na babu zetu kwa kuwafunga kamba shingoni kama mbuzi. 🇨🇩🇨🇬🪘 ila nafurahia sana filamu hii.
Kim VEVO apa umezingua 😅very sad kaka Ako alipitia jeshi tulitaka tumuone hukomafunzoni aliiva ,, alafu butua anafaa kuigiza mlevi tuu ama mporipori pia mmeo kwa snake boy hafai kua jambazi wamjini huko maporini ndio ana faaa ungemtumia rafiki ake kakoso Kwa snake boy anafaa kua jambazi yule
❤❤❤❤❤much love from kenya
mnaweza mkateka anga katika sanaa Dada Kim pongezi kutokea Kenya tunawapenda ❤❤❤more love
Napnda Sandra n mwasi kidogo wanafanana u're very creative congratulations
Katika kazizote muzofaya na kimu hiniyo imevuja rekodi nimeipenda sana vizuri ❤❤❤❤ kimu nafaliya yako abayo musiriyana 👏🏿👏🏿👏🏿🤲🤲🙏🏽🙏🏽🙏🏽🫶❤️
😂😂😂mama yooooh kuhesabu mchele tena hii noma😂😂😂😂
Movie bila prophesa, kipara. 😂😂,si movie. Salute kazi nzuri hiyo🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇧🇭🌹
Ila sandra , beautiful girl...❤❤
But all in all kazi nzuri washiriki wote wameshoo love kwa moyo mmoja kabisa japo kwa wale ambao hawaja fit ni kwakua tuu uhalisia wao hauruhusu wao kua ktk seem hizo bravo✍️
Dah ahsante kim napenda kaz zako endelea kusimama kazi nzuri
Vigezo namasharti viko pw kabisa kwenye hii movie like kama tuko pamoja❤
Yani hamna movi hapa imeanza vizuri mwisho mbaya unaelewa nini hapa sasa duuu 😢😢😢 bola movi zazamane vinaisha naunaelewa kitu ila saizi tia maji tu
Tanu unatakiwa usikosekane katika move zote maama maana kila nafasi una fiti vizuri mungu akutunze Tanu
Kim Ana Hishiwapi man nampenda kweli kweli
Nimewahi jamani taem strong Oman nawakilisha 🎉🎉🎉🎉 nipewe like zangu 😂😂😂
Hujaenda kupika😂😂
@@NeemaNixon mwanzoni nilizani chozi nikaifungua naona mkimbizano kuja kusoma jina kumbe misako nika left fast 😂😂😂
Mm pia Oman kipenzi
@@ukhtymwana40 yaaani wanaboa wanatoa nusu nusu movi mpka nachukia ety
Uko oman sehem gn
Apo kwenye vitu vya ajabu😂😂😂ndio pamenifurahisha
Haijaishia patamu. Jaman 😅😅😅 kiufupi haijaeleweka mwishoni hapo
Kweli kabisa
Mbuela safi sana
Nakukubali 🔥🔥🔥
Msituchoshe nakutaka tuwape like kisa wa kwanza tyache kuwapa walio tengeneza muvie 😮
Mbwela, Mwasi, Mwanji, Gozi, Kim etc team kali sanaaaa
SANA
😂Kim yupo seriously kinoma😂 ila anajua san
kim hapa kuna kitu haiko sawa nilisikia ukimuuita mamaako bibi now nasikia ukimuuita mama
Elewa story ya movie bana
Mbwela unatisha sana mzee baba🎉
Mwenyekiti mnoko hafaii🎉🎉$
Kim w ni Noma🥰🥰
Kipara bahna😂😂😂😂😂😂 just do it 😂😂
Kazi nzuri kim
Jaman mwanji 😂😂leo kawa boss na nasio makonde 🎉🎉🎉kazi nzur hongeren sana 💯.yan km ni wakihindi hii filam nitasema mastereng wote wamo humu na ma kajal wawo 😂😂😂
Sauti imekosewa ira kazi nzuri😊
Kipara 😂😂😂just do it 😂❤❤
Kimu maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Filamu nzuri! Wakati nimeona dada'ke na Mbwela pamoja na yule kijana wakifungiwa kamba kama mbuzi, nimekumbuka jinsi wakoloni wabelgiji walikuwaka na watesa bibi na babu zetu kwa kuwafunga kamba shingoni kama mbuzi. 🇨🇩🇨🇬🪘 ila nafurahia sana filamu hii.
Endeleeni hivyo!✊
Movie Smart ❤wa TZ 👍 we love you 😊
Eee movie zenu safi tena inapendeza ila kitumoja sauti mumeinyima ikochinisana
😅😅😅😅😂😂😂😂 kuhesabu mchele siyo poa
Kipara mjinga sana 😂😂
Napenda movie zenu endeleeni ivyo ivyo
❤❤❤ nzuri
😂😂😂😂 kipara kizungu kimezidi
Nawakubali kumbe vipaji vipo
Story ya movie Iko sawa ila mwisho mmeshemsha juu hata hatujui ni wanakijiji Gani wanahusika
I like kim from 🇨🇦
Mchezo mzuri but mumeharibu mwisho mumeufanyia harak kuumaliza pasipo na kuonesha tamati kwa ufasaha
Wakali wa hizi kazi nawapenda sana
Mbona kaisha vibaya jameeeni
Mbwela nakukubali kk unajua
😂😂😂 Yule ndo predeta mwenyewe
😮kipara siku zote wewe ni wakuchoma wenzako😂😂😂
Unawezaaa 💯💯💯💯💯
Nampenda sana mwasi hajaolewa?
Yaan imeish kizembe sijapenda
Sandra mzuri san asee❤❤❤
Wanao kimbilia kuomba like wote wachawi
😂😂😂😂😂
😂😂Nikashenzi hizi kauli zilizotumika humu ndani
huyu tanu huwa ikija upande wa usaliti huwa yuko vizuri sana... yaani ule ufedhuli alio nao na namna anavyodadisi mdhulumiwa utadhani ni mkweli
mwasu Kwa msimamo wa doa😂😂
Wew kimu nakuuliza hii muvi imeishaaa au badoo
Bahati yenu mwisho mmemaliza vizuri nilikuwa nishangae itaisha na huo unyama au
Bado mnaweza kuiweka vizuri
Hapa finish mbaya
Mbona imeisha kizembe jamani😢😢😢
ish afu kwel imeishia pa ovyo jmn mbon move nzur ila mwisho wake hauelewek
Mbwela safi sana
Ivi kipara kila move ni mbea tu😂😂
Hamgeimaliza hvi jamaniiii
Liko poa Ila mmetuacha kuzubaa😂
Mmmh Mambo sindyo haya sasa hpo unyama yan ubaya ubwela
Kim VEVO apa umezingua 😅very sad kaka Ako alipitia jeshi tulitaka tumuone hukomafunzoni aliiva ,, alafu butua anafaa kuigiza mlevi tuu ama mporipori pia mmeo kwa snake boy hafai kua jambazi wamjini huko maporini ndio ana faaa ungemtumia rafiki ake kakoso Kwa snake boy anafaa kua jambazi yule
Muko vizuri ila mbona mumeimalizia hvyo
Msiwe mnaongea maneno ya ovyo kwenye Movie zenu kama vile Kahaba n.k kwasababu hizi movie zinatizamwa na Rika zote.
Anakuangalia kama hakuangalii😂😂😂😂
I love this man boya hogera sana dugu
Kipara bado ni ombea hadi uku😂
SIVYO
Eti ndo unaenda kulipeleka,?ndio narudi Kkkk
Kumbe Kim producer hongera dada
Butua 😍😍
Imeisha mapema lakini
mliharakisha hii sana
Imeish vibaya
Mwenye coctati za mwasi naziomba jamani
Ananipa changamoto huyo dada cjui kaolewa
Waoooo🎉🎉🎉❤❤❤❤
Kim unaonaje ukawa mke wa clam maana mnaendana kabisa
Kipara nae kizungu chake😂😂
Movie naikubali from kenya lakin mbona fupi watu wangu
Ondereza movie iyi. Aija isha vizuli ata kidogo. Asu wanangu?
Mna balaa
Nimependa hayo mazingira ya location, sijui ni pande zipi!
Sandra mzuri
Jamani, mwanzo kabisa uyu bibi alimwita Kim mjukuu wangu, na Kim akasema bibi. Lakin badae ikawa mama na mwana
Kim hongera❤ Tunaomba part two
Nimetazama KIM VEVO
Wow nimeipeda
Hhahaha 😂Kipara bwana ,eti unakwend kushoot nani!!??? Jason Statham 😅, ila nawakubali saana wadau
duh easy like that 😂
Yani duuuh ndiomana watu wanasema movi zakihongo hakunq kitu naamini nibule kabisaa kama umeangalia umeelewa nini najmejifunza nini sasa
Kim ❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉
Dah😢
Munayiaca acaje injethu ivi kuyiingiza ndani imewashinda ahaaaa ngoja tukaonethu
Jman punguzenii kutuleteaa movies za vijijinii Kila msaniii saiv anatoaaa movie location yakee vijijinii ndo nin xax
Hahahaha so ndio chimbuko letu😂😂😂😂😂😂😂
@@ALIMOHD-bk9lrbinafsi nazipenda sana, sorry hivi ni vijiji vya mkoa gani?
Toa yako mjini bro😊
Mnamalizaje hivyo bwana hata mwandish hatujamuona
Mbona hamukutumalizia muliachia nusu hatukujuwa hatima ya begi
Jamani huyu mwasi anajuwa kuecti sana
@ Kim vevo,,natafuta chozi langu muendelezo mbona siupati????
Mwisho mmeshemsha sana hakuna good connectivity