MSAKO | FULL MOVIE |

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 июн 2024
  • #clamvevo #kimvevo #sengo #tanu #butua
  • ПриколыПриколы

Комментарии • 61

  • @kinanaissango3492
    @kinanaissango3492 Месяц назад +2

    But all in all kazi nzuri washiriki wote wameshoo love kwa moyo mmoja kabisa japo kwa wale ambao hawaja fit ni kwakua tuu uhalisia wao hauruhusu wao kua ktk seem hizo bravo✍️

  • @MmenoSamuel-b3s
    @MmenoSamuel-b3s 7 дней назад +1

    Liko poa Ila mmetuacha kuzubaa😂

  • @richardchristopher7141
    @richardchristopher7141 21 день назад +3

    Vigezo namasharti viko pw kabisa kwenye hii movie like kama tuko pamoja❤

  • @user-ee8xb1tl5n
    @user-ee8xb1tl5n 5 дней назад

    Sandra mzuri san asee❤❤❤

  • @NiyiduhaRenè
    @NiyiduhaRenè 13 дней назад +1

    Mbona kaisha vibaya jameeeni

  • @FrankLuhaha-dt5sh
    @FrankLuhaha-dt5sh 23 дня назад +2

    Jman punguzenii kutuleteaa movies za vijijinii Kila msaniii saiv anatoaaa movie location yakee vijijinii ndo nin xax

  • @user-xu5rh6ub5j
    @user-xu5rh6ub5j 27 дней назад +1

    Kazi nzuri kim

  • @kinanaissango3492
    @kinanaissango3492 Месяц назад +2

    Kim VEVO apa umezingua 😅very sad kaka Ako alipitia jeshi tulitaka tumuone hukomafunzoni aliiva ,, alafu butua anafaa kuigiza mlevi tuu ama mporipori pia mmeo kwa snake boy hafai kua jambazi wamjini huko maporini ndio ana faaa ungemtumia rafiki ake kakoso Kwa snake boy anafaa kua jambazi yule

  • @joymkenya2359
    @joymkenya2359 22 дня назад

    Movie Smart ❤wa TZ 👍 we love you 😊

  • @lionlee257
    @lionlee257 13 дней назад

    Mbuela safi sana
    Nakukubali 🔥🔥🔥

  • @halimadonath1862
    @halimadonath1862 25 дней назад

    😂😂😂😂umeanza lini kubutua mwanamke Mbwela

  • @Irankundasadiki-yx1vf
    @Irankundasadiki-yx1vf 28 дней назад

    Munayiaca acaje injethu ivi kuyiingiza ndani imewashinda ahaaaa ngoja tukaonethu

  • @damarismuli8364
    @damarismuli8364 28 дней назад

    I love this man boya hogera sana dugu

  • @danibboy6831
    @danibboy6831 23 дня назад

    Napenda movie zenu endeleeni ivyo ivyo

  • @user-nu8wz3bb8x
    @user-nu8wz3bb8x 2 дня назад

    Nampenda sana mwasi hajaolewa?

  • @FridaMwaipaja
    @FridaMwaipaja 23 дня назад

    Unawezaaa 💯💯💯💯💯

  • @shadyasaid5828
    @shadyasaid5828 20 дней назад +1

    Msiwe mnaongea maneno ya ovyo kwenye Movie zenu kama vile Kahaba n.k kwasababu hizi movie zinatizamwa na Rika zote.

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 Месяц назад +1

    Mbona hamukutumalizia muliachia nusu hatukujuwa hatima ya begi

  • @yohananyamaruri9105
    @yohananyamaruri9105 Месяц назад

    Kim hongera❤ Tunaomba part two

  • @PeterChengo
    @PeterChengo Месяц назад

    Kim dadangu hongera🎉🎉🎉🎉🎉

  • @kellyigorNinziza
    @kellyigorNinziza 15 дней назад

    Hhahaha 😂Kipara bwana ,eti unakwend kushoot nani!!??? Jason Statham 😅, ila nawakubali saana wadau

  • @halimadonath1862
    @halimadonath1862 25 дней назад

    Kaka mpake shedo na kijora juu 😂😂😂

  • @user-dv2wl3gh4n
    @user-dv2wl3gh4n Месяц назад

    Anakuangalia kama hakuangalii😂😂😂😂

  • @SaidBurhan-t1t
    @SaidBurhan-t1t 21 день назад +1

    Mwenye coctati za mwasi naziomba jamani

  • @joseulemcheshi1890
    @joseulemcheshi1890 26 дней назад

    Hamjaonyesha nani aliendea polisi lakini ni mimi hapa

  • @JescaChande
    @JescaChande 10 дней назад

    Msituchoshe nakutaka tuwape like kisa wa kwanza tyache kuwapa walio tengeneza muvie 😮

  • @SaidBurhan-t1t
    @SaidBurhan-t1t 21 день назад

    Jamani huyu mwasi anajuwa kuecti sana

  • @HamisiMitongu
    @HamisiMitongu 3 дня назад

    Kwani leki ndonn

  • @NillyNilly-fm5pw
    @NillyNilly-fm5pw Месяц назад

    Wow nimeipeda

  • @margaretnamubi4565
    @margaretnamubi4565 27 дней назад

    Mwisho mbaya

  • @halimadonath1862
    @halimadonath1862 25 дней назад

    Jamani mbona sijaelewa hapo imekuwaje tena ,maana police walifikaje na nani alitoa taarifa

  • @Teddyzhukenya01
    @Teddyzhukenya01 19 дней назад

    Nimetazama KIM VEVO

  • @kaka-of2oq
    @kaka-of2oq Месяц назад

    Ipo vyema ila mlitakiwa tuone namna polis waluvyopata taarifa kuhusu begi

  • @GloireFikiri
    @GloireFikiri День назад

    Yana nivutiya saana jameni

  • @selemaniseif7767
    @selemaniseif7767 Месяц назад

    Mwas❤❤

  • @Zenji_znz
    @Zenji_znz 21 день назад

    NAOMBA MUNILIPE MB ZANGU MCHEZO MZURI IMEISHIA BIBAYA

  • @LembeliAthanasi
    @LembeliAthanasi 17 дней назад

    Pamoja sana

  • @user-ed1sj5it4s
    @user-ed1sj5it4s 14 дней назад

    Kim ❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉

  • @SamwelWafula-xt3jf
    @SamwelWafula-xt3jf 20 дней назад

    Mambo poa Sana

  • @halimadonath1862
    @halimadonath1862 25 дней назад

    Ndo mwisho kivipi sasa

  • @StanleyaStella
    @StanleyaStella Месяц назад

    Ila butua yani umekaa kimchongo mchongo

  • @Irankundasadiki-yx1vf
    @Irankundasadiki-yx1vf 27 дней назад

    Mutiye yakufwatiya ili tujuwe mwisho ya ile begi

  • @halimadonath1862
    @halimadonath1862 25 дней назад

    Kiparaaaaa

  • @ImmaculateMkhambe
    @ImmaculateMkhambe Месяц назад

    Hawayuniiiiii

  • @SaidBurhan-t1t
    @SaidBurhan-t1t 21 день назад

    Mwenye coctati za mwasi naziomba jamani 54:00 54:02

  • @ukhtymwana40
    @ukhtymwana40 Месяц назад +12

    Nimewahi jamani taem strong Oman nawakilisha 🎉🎉🎉🎉 nipewe like zangu 😂😂😂

    • @NeemaNixon
      @NeemaNixon Месяц назад +3

      Hujaenda kupika😂😂

    • @ukhtymwana40
      @ukhtymwana40 Месяц назад +2

      @@NeemaNixon mwanzoni nilizani chozi nikaifungua naona mkimbizano kuja kusoma jina kumbe misako nika left fast 😂😂😂

    • @SaidaRamadhani
      @SaidaRamadhani 9 дней назад +1

      Mm pia Oman kipenzi

    • @NeemaNixon
      @NeemaNixon 8 дней назад +1

      @@ukhtymwana40 yaaani wanaboa wanatoa nusu nusu movi mpka nachukia ety

  • @AminaBakari-oy9eb
    @AminaBakari-oy9eb 26 дней назад

    Ila kipar😂😂😂

  • @Bestudio-2
    @Bestudio-2 Месяц назад

    Hakuna kulala

  • @StanleyaStella
    @StanleyaStella Месяц назад

    ❤❤❤❤❤

  • @772moana
    @772moana Месяц назад

    ❤️❤️❤️❤️

  • @giselemauwa4477
    @giselemauwa4477 Месяц назад

    ❤❤

  • @JuliusMelle
    @JuliusMelle 24 дня назад

    Morali

  • @user-sz9wm4bm5c
    @user-sz9wm4bm5c 23 дня назад

    😢😢😢😢

  • @halimadonath1862
    @halimadonath1862 25 дней назад

    Jamani muwe mnarudia kutizama vipande vyote mkishatoka location kabla ya kuvirusha maana Kuna baadhi ya vipande sauti haipo vizuri

  • @damarismuli8364
    @damarismuli8364 28 дней назад

    I love this man boya hogera sana dugu

  • @SaidBurhan-t1t
    @SaidBurhan-t1t 21 день назад

    Mwenye coctati za mwasi naziomba jamani