But all in all kazi nzuri washiriki wote wameshoo love kwa moyo mmoja kabisa japo kwa wale ambao hawaja fit ni kwakua tuu uhalisia wao hauruhusu wao kua ktk seem hizo bravo✍️
Kim VEVO apa umezingua 😅very sad kaka Ako alipitia jeshi tulitaka tumuone hukomafunzoni aliiva ,, alafu butua anafaa kuigiza mlevi tuu ama mporipori pia mmeo kwa snake boy hafai kua jambazi wamjini huko maporini ndio ana faaa ungemtumia rafiki ake kakoso Kwa snake boy anafaa kua jambazi yule
But all in all kazi nzuri washiriki wote wameshoo love kwa moyo mmoja kabisa japo kwa wale ambao hawaja fit ni kwakua tuu uhalisia wao hauruhusu wao kua ktk seem hizo bravo✍️
Liko poa Ila mmetuacha kuzubaa😂
Vigezo namasharti viko pw kabisa kwenye hii movie like kama tuko pamoja❤
Sandra mzuri san asee❤❤❤
Mbona kaisha vibaya jameeeni
Jman punguzenii kutuleteaa movies za vijijinii Kila msaniii saiv anatoaaa movie location yakee vijijinii ndo nin xax
Kazi nzuri kim
Kim VEVO apa umezingua 😅very sad kaka Ako alipitia jeshi tulitaka tumuone hukomafunzoni aliiva ,, alafu butua anafaa kuigiza mlevi tuu ama mporipori pia mmeo kwa snake boy hafai kua jambazi wamjini huko maporini ndio ana faaa ungemtumia rafiki ake kakoso Kwa snake boy anafaa kua jambazi yule
Movie Smart ❤wa TZ 👍 we love you 😊
Mbuela safi sana
Nakukubali 🔥🔥🔥
😂😂😂😂umeanza lini kubutua mwanamke Mbwela
Munayiaca acaje injethu ivi kuyiingiza ndani imewashinda ahaaaa ngoja tukaonethu
I love this man boya hogera sana dugu
Napenda movie zenu endeleeni ivyo ivyo
Nampenda sana mwasi hajaolewa?
Unawezaaa 💯💯💯💯💯
Msiwe mnaongea maneno ya ovyo kwenye Movie zenu kama vile Kahaba n.k kwasababu hizi movie zinatizamwa na Rika zote.
Mbona hamukutumalizia muliachia nusu hatukujuwa hatima ya begi
Kim hongera❤ Tunaomba part two
Kim dadangu hongera🎉🎉🎉🎉🎉
Hhahaha 😂Kipara bwana ,eti unakwend kushoot nani!!??? Jason Statham 😅, ila nawakubali saana wadau
Kaka mpake shedo na kijora juu 😂😂😂
Anakuangalia kama hakuangalii😂😂😂😂
Mwenye coctati za mwasi naziomba jamani
Ananipa changamoto huyo dada cjui kaolewa
Hamjaonyesha nani aliendea polisi lakini ni mimi hapa
Msituchoshe nakutaka tuwape like kisa wa kwanza tyache kuwapa walio tengeneza muvie 😮
Jamani huyu mwasi anajuwa kuecti sana
Kwani leki ndonn
Wow nimeipeda
Mwisho mbaya
Jamani mbona sijaelewa hapo imekuwaje tena ,maana police walifikaje na nani alitoa taarifa
Nimetazama KIM VEVO
Ipo vyema ila mlitakiwa tuone namna polis waluvyopata taarifa kuhusu begi
Yana nivutiya saana jameni
Mwas❤❤
NAOMBA MUNILIPE MB ZANGU MCHEZO MZURI IMEISHIA BIBAYA
Pamoja sana
Kim ❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉
Mambo poa Sana
Ndo mwisho kivipi sasa
Ila butua yani umekaa kimchongo mchongo
Mutiye yakufwatiya ili tujuwe mwisho ya ile begi
Kiparaaaaa
Hawayuniiiiii
Mwenye coctati za mwasi naziomba jamani 54:00 54:02
Nimewahi jamani taem strong Oman nawakilisha 🎉🎉🎉🎉 nipewe like zangu 😂😂😂
Hujaenda kupika😂😂
@@NeemaNixon mwanzoni nilizani chozi nikaifungua naona mkimbizano kuja kusoma jina kumbe misako nika left fast 😂😂😂
Mm pia Oman kipenzi
@@ukhtymwana40 yaaani wanaboa wanatoa nusu nusu movi mpka nachukia ety
Ila kipar😂😂😂
Hakuna kulala
❤❤❤❤❤
❤️❤️❤️❤️
❤❤
Morali
😢😢😢😢
Jamani muwe mnarudia kutizama vipande vyote mkishatoka location kabla ya kuvirusha maana Kuna baadhi ya vipande sauti haipo vizuri
I love this man boya hogera sana dugu
Mwenye coctati za mwasi naziomba jamani