BI HARUSI / FULL MOVIE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 май 2024
  • КиноКино

Комментарии • 187

  • @MkasyswallehsaidSwalleh
    @MkasyswallehsaidSwalleh 2 месяца назад +12

    Movie nzuri sana yenye mafunzo...mbwela mungu akulinde hapa na penginepo

  • @Zeldaommy
    @Zeldaommy 2 месяца назад +20

    Hii movie ni Kali sana kama unaikubali bi harusi gonga like hapo ❤❤❤😂😂

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d 2 месяца назад +10

    Nampenda huyu bwela anavyo ekti vizuri cn gd nakupa hongera yk

  • @user-ec6ow2cx7c
    @user-ec6ow2cx7c 2 месяца назад +6

    Leo kipara kaongea point mbwela congratulations sanaaa🎉🎉🎉

  • @evelynoscar5104
    @evelynoscar5104 2 месяца назад +8

    Mbwela jmn nakpenda una busara kubwa mno hakika mama ako aheshimiwe amelea mwamba

  • @user-bw8un9ds6t
    @user-bw8un9ds6t Месяц назад +4

    Hii movie ina mafunzo mazuri sn kaka mbwela mungu azidi kukuongoza ulete mafunzo kw walimwengu. Hongereni sn nyote mulioshiriki kwenye movie hii na mungu awabariki nyote

  • @NathiaAmiry
    @NathiaAmiry Месяц назад +2

    Hongera👏 movie iko pow ina mafundisho kwa kweli

  • @Emily-zr3nl
    @Emily-zr3nl 2 месяца назад +6

    Mm namkubali sna bwale kwa movie zke

  • @user-eu6yd1de5m
    @user-eu6yd1de5m 2 месяца назад +5

    Jamani nakupenda mbwela uko vizur sana kazi nzuri Ina mafunzo sana asante kaka

  • @dedemishi3848
    @dedemishi3848 2 месяца назад +10

    Kuna funzo zuri hapa,don't judge the Book by its cover

  • @MwajaambetaPandu-zp8dc
    @MwajaambetaPandu-zp8dc 2 месяца назад +8

    Iendeleze iwe na part 2 bwela achunguze ❤❤

  • @user-oy7rl3ql2q
    @user-oy7rl3ql2q 17 дней назад +2

    🎉❤🎉❤hongera move nzuri sana🎉🎉🎉🎉❤

  • @heriethgodfreyhegoxa5551
    @heriethgodfreyhegoxa5551 17 дней назад +1

    😢😢😢😢😢 hii muvie ni nzuri sana naomba Mungu wafufuke hao watu maana walisha badili maisha yao jamaniii isiwe hivyoooo lkn

  • @saidmwinyi7062
    @saidmwinyi7062 2 месяца назад +3

    Mbweraaa nampendaa sana bse anajua na anabadilikaaaaa na yuko real kabisaaaaa secondly dada yake zatiti naye ni fireeee

  • @FlorahKissanga-uy3xd
    @FlorahKissanga-uy3xd Месяц назад +2

    jaman mi hako kanyimbo ka ndoa kananikoshaa 🥰

  • @lundatvonline4975
    @lundatvonline4975 2 месяца назад +7

    Kaz Smart Sana kwa nyakat tulizo nazo hongera mbwera na hii ndo Kaz

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is Месяц назад +2

    Mbwela aki ww ni mwamba sana aki mungu akubarika sana.😍😍😍

  • @PendoJoseph-vm1oc
    @PendoJoseph-vm1oc 11 дней назад

    Movie kariii Mzee wa noma penda sana bwela Mzee wa noma nampenda sana uchizi wako

  • @TwalibuMohammed-pm2by
    @TwalibuMohammed-pm2by 5 дней назад

    Brother mbwela uko vzr san bgp ✊nakufatilia san bye wizzy Khan from South Africa duluban KwaZulu Natal 🇿🇦👊👊

  • @nluto17
    @nluto17 2 месяца назад +4

    Mbwela it’s always my favorite in movie❤️😍🙏

  • @user-go4uc4oe4p
    @user-go4uc4oe4p 2 месяца назад +4

    2 nakukubali sana Bro Mbwela🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @BakariBamvua
    @BakariBamvua Месяц назад +2

    Congratulation bro...one love mm movie nzuri sna bro huwa nafatilia sana sinema zako,hongera sna bro.

  • @AnnaWaswa
    @AnnaWaswa 2 месяца назад +4

    Jalibuni patient 2 aki movie nzuri sana mbela💯

  • @halimaamini8015
    @halimaamini8015 Месяц назад +1

    Kazi nzuri inamafunzo sana hasa kwa nyakati hizi tulizonazo za kidigital safi mbwera moves ina maadili😊❤

  • @user-ls8xd2ji4m
    @user-ls8xd2ji4m Месяц назад +1

    Napenda kazi zako mbwela pick up bro following from Canada

  • @kodyyiko
    @kodyyiko 16 дней назад +1

    kazi nzuri storry nzr watu wamevaa uhusika 99% na aloimba hiko kimziki hallo kamenogesha sn nawaamini vijana wangu mnapiga kz vzr

  • @MariamMusa-jz6us
    @MariamMusa-jz6us Месяц назад +2

    Kali. Sana hii movie ❤

  • @saidmwinyi7062
    @saidmwinyi7062 2 месяца назад +6

    Kwanza naomba jina wimbo na muimbaji
    Pili movie nzuri ila imemalizia vibaya maana wauwaji hawajajulikana wakayi siri pale ilikuwa ishatokaaaa
    Tatu maoni hapakuwa na haja ya muhusika zatiti kufa kwasababu ujumbe aliobeba umeakisi sana kwenye jamii watu huwahukumu watu kwa mabaya yao waliyotenda nyuma alitakiwa zatiti ajifungue atambe na mumuwe iwe familiya ya kupigiwa mfano hadi watu wasahau waliyoyapitiaa

    • @joselynenizi9475
      @joselynenizi9475 Месяц назад

      😢nikweli ni nzuri sana ila tukumbuke kuna watu wanakufa na ukweli haujulikan

  • @joselynenizi9475
    @joselynenizi9475 Месяц назад +1

    Muvi nzuri sana ina mafunzo mengi mungu azidi kukubaliki kipaji chako kiendelea kukua zaidi na zaidi

  • @nafsajuma6269
    @nafsajuma6269 23 дня назад +1

    Mashaalllah mwasii unapendez san ukivaa hivo❤❤

  • @user-qf8rk6gf3q
    @user-qf8rk6gf3q 2 месяца назад +2

    Wow tunakukubali sana toka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @MwitaMarwa-z1n
    @MwitaMarwa-z1n День назад

    ❤❤🎉 ❤🎉dah! Nakukubali sana mbwela kwa kazi zako

  • @zuhurahamisi8687
    @zuhurahamisi8687 Месяц назад +3

    Mungu Azidi kukupa ufahamu na kutukumbusha yaliyo mema

  • @DeborahFuraha-ho4yk
    @DeborahFuraha-ho4yk 2 месяца назад +3

    Very good jipala ubawokowa kueri umesema kueri ❤

  • @MWANAKOMBONGANGAKARISA
    @MWANAKOMBONGANGAKARISA Месяц назад +1

    Kaz nzur xn mbwela endlea kkuza kipaji ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @KavumbaZigamba255
    @KavumbaZigamba255 2 месяца назад +4

    Safi sana kazi nzuri sana

  • @nawwalally3640
    @nawwalally3640 17 дней назад +1

    😂😂😂😂😂majiraniiiiii umeshindwa kumaliza ungemaliza majiraniiii nimewezaaaa😂😂😂😂😂

  • @JJMNOKO
    @JJMNOKO 2 месяца назад +5

    Yooo yooo what's up my people anyways show me some love am from kenya

  • @user-kx9is3gn1e
    @user-kx9is3gn1e 18 дней назад +1

    Kipara😂😂😂the kizungu is zunguking🤣

  • @heriethgodfreyhegoxa5551
    @heriethgodfreyhegoxa5551 17 дней назад +1

    Lkn pia zatiti alikuwa n mtu wa ibada pale mwishoni angeonesha ibada imezid nguvu za mganga then coz anamuombea mumewake wamefanikiwa wakawa na maisha mazuri zaidi

  • @mwavuapaulo4142
    @mwavuapaulo4142 Месяц назад +1

    Kaaaah sijapend Sasa mme kufanyej wote wawil au nd mkipendan Sana mnaenda wote

  • @rosekavumbi2413
    @rosekavumbi2413 Месяц назад +1

    Hongera kaka mbwela much love from Kenya ❤❤ila tunaomba ingeendea hii movie bado haijaisha kwakwel😊😊

  • @ASHAYUSSUF-bs6sy
    @ASHAYUSSUF-bs6sy Месяц назад +1

    Kipara jamaniiii😂😂 humu kwakwel umeniacha hoiii

  • @angeharushimana7431
    @angeharushimana7431 Месяц назад +1

    Yani kipara anacekesha sana😅😅😅😅😅😅😅😅anakunja uso kama rambo kapoteza kisu cake

  • @Stardinyo
    @Stardinyo 15 дней назад +1

    Mmh kipala anatereza na ngeriii🎉🎉🎉🎉

  • @MWEGOHA
    @MWEGOHA 2 месяца назад +2

    Mmh movie nzuri sana ila sikutegemea imenitoa machozi mwishoni 😪😭😥😭

  • @user-ss8zw7ep1z
    @user-ss8zw7ep1z 2 месяца назад +4

    big up mbwela🔥🔥

  • @sophiashamimah5895
    @sophiashamimah5895 Месяц назад +1

    Team bora kabisa hii movie yny mafunzo zaidi hongereni Sana ila kipara unanibamba jamani😂😂😂😂

  • @EsterJoseph-tw3qs
    @EsterJoseph-tw3qs Месяц назад +3

    Jaman hicho kinge Cha huyo kaka anaharibu movie

  • @halimahnakshi22
    @halimahnakshi22 2 месяца назад +3

    Kipala hicho kingereza tena😂😂😂

  • @user-fw3zv4bf6o
    @user-fw3zv4bf6o 23 дня назад +2

    mimi nimeupenda wimbo

  • @user-oz9zy5ck1i
    @user-oz9zy5ck1i 2 месяца назад +44

    Movie nzri Sana ila natamani mwishoni ingekuwa kujulikana walio husika na kifo then wangechukuliwa Sheria ndio mwisho 😂😂😂😂 wanao sema kama mm gonga like

    • @chingamunga9141
      @chingamunga9141 Месяц назад +1

      Hapo umeongea kweli,hawakumalizia vizuri.

    • @salhamlanz9806
      @salhamlanz9806 Месяц назад

      Hiyo kazi ya serikar tuwaachie police😂😂😂😂

    • @salhamlanz9806
      @salhamlanz9806 Месяц назад +1

      Alafu nilicho gundua hujaangalia mdi mwisho mah kifo cha zatiti inajulikana kama cha kurogwa😂😂😂😂

    • @user-oz9zy5ck1i
      @user-oz9zy5ck1i Месяц назад

      @@salhamlanz9806 kwani si walijitaja na Yule mwingine aliwasikia ? Acha ubishi

    • @MWANAKOMBONGANGAKARISA
      @MWANAKOMBONGANGAKARISA Месяц назад

      ​@@salhamlanz9806😂😂😂😂😂😂😂😂 nkwel maan serikar Ina mkono mrefu xn😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-rq8sd4zd9s
    @user-rq8sd4zd9s 2 месяца назад +3

    ❤❤❤❤❤❤ pambe sana

  • @MWANAKOMBONGANGAKARISA
    @MWANAKOMBONGANGAKARISA Месяц назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂 mambo ya kupigana tuwaachie kina donieni 😂😂😂😂😂 etieee

  • @kinananyuni9732
    @kinananyuni9732 26 дней назад +1

    Uyo nae kaambiwa ilo jidevu lilimpendeza sana hajioni ila yuwatisha

  • @stevengrayson7359
    @stevengrayson7359 Месяц назад +1

    Mbwela ni nzuri sana hii
    But samahani nilikuwa nakushauri mazingira ambayo unachezea filamu zako ungekuwa unabadilisha Tanzania n kubwa mkuu nyumba tumezikalili hizi

  • @dapheenndege7191
    @dapheenndege7191 13 дней назад +1

    Lakini kipara anastahili ngoto na kiingereza kombo😂😂😂

  • @mwachilungotsimba141
    @mwachilungotsimba141 Месяц назад +1

    Hii movie ni moto sana hongera 🎉🎉🎉

  • @linetsiekei7555
    @linetsiekei7555 Месяц назад +2

    Kipara kizungu achana nacho plz 😂😂😂😂

  • @SalomeAbel-oc4mf
    @SalomeAbel-oc4mf 2 месяца назад +2

    hongera sana kaka

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 2 месяца назад +3

    Mbwela tunataka muendelezo sio marudio 😢😢😢jaman

  • @FatumaZikacomplete
    @FatumaZikacomplete 2 месяца назад +3

    Hii movie Kali xana ❤️❤️

  • @MWANAKOMBONGANGAKARISA
    @MWANAKOMBONGANGAKARISA Месяц назад +1

    Ila kipara 😂😂😂😂😂hongera xn mda mwingin unawafunza wenzio etieeee😂😂😂😂😂😂

  • @kura.the.boy-
    @kura.the.boy- Месяц назад +3

    Hiiii song ya bi harusi naweza ipata wapi

  • @TukaeKitamkanga
    @TukaeKitamkanga Месяц назад +1

    hongela kwa kazi zuri kaka ang❤

  • @HadijaRamadhani-vt7ub
    @HadijaRamadhani-vt7ub 21 день назад +1

    Kingereza Cha kipala kinaniacha hoi sana😂😂😂

  • @AnnaLea-lq6ob
    @AnnaLea-lq6ob 2 месяца назад +3

    Hongereni sana

  • @NeylatSuleiman
    @NeylatSuleiman Месяц назад +1

    Daah hii movie ni kali na nusu❤❤

  • @user-ih5ig5gs3x
    @user-ih5ig5gs3x 26 дней назад +1

    Kumbe ata kipara Yuko apa 😅😅😅😅kipara mbeyaa😅😅😅

  • @ayoubballe8494
    @ayoubballe8494 2 месяца назад +3

    Story nzuri inafundisha sana

  • @chingamunga9141
    @chingamunga9141 Месяц назад +1

    Mbwela hongera broo,ila hii movie yastahili iwe na part 2,imeacha suspense sana,yaani twataka kujua walioenda kwa mganga walifanywaje.

  • @ReginaErnest-cf6ji
    @ReginaErnest-cf6ji 2 месяца назад +4

    Connection 😂😂😂😂😂

  • @Innocentfilm
    @Innocentfilm Месяц назад +1

    Ina vutia . Ogereni sana. Ni wenu director inspecteur innocent toka Congo 🇨🇩. Naomba SUBSCRIBE zenu dungu yangu 🎉🎉

  • @maiyasalenjashi2352
    @maiyasalenjashi2352 2 месяца назад +3

    I love ❤️ your movie

  • @MWANAKOMBONGANGAKARISA
    @MWANAKOMBONGANGAKARISA Месяц назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂kipara ww eti kam rambo kapoteza kisu chake

  • @mossikombo959
    @mossikombo959 Месяц назад +1

    Tunaomba uendeleze part 2
    Nice kazi

  • @heriethgodfreyhegoxa5551
    @heriethgodfreyhegoxa5551 17 дней назад +1

    Wangebaki hai kuonesha kuwa kubadilika kwa kuamua inawezekana🥺🥺😭😭😭😭

  • @user-ok5gv7cs8j
    @user-ok5gv7cs8j Месяц назад +1

    Iko pow inamafundish mazuli ❤🎉🎉

  • @user-qm2db2fo9w
    @user-qm2db2fo9w 2 месяца назад +4

    Jamani tunaomba muendelezo

  • @ELVINARANDU-ru6co
    @ELVINARANDU-ru6co 2 месяца назад +3

    Sana saw

  • @sharifajuma
    @sharifajuma 22 дня назад +1

    Mashallah move nzuri natamani ingeendelea

  • @KalamaMasha-lz8oj
    @KalamaMasha-lz8oj Месяц назад +2

    Moving nzuri san

  • @user-vw9yx1zg9q
    @user-vw9yx1zg9q Месяц назад +3

    Movie zenu nzuri sana

  • @user-ie5pm1cb3d
    @user-ie5pm1cb3d 2 месяца назад +2

    Imeisha vibaya

  • @BintiAmina-kh9oh
    @BintiAmina-kh9oh Месяц назад +2

    Movie kalisana ❤❤❤

  • @zipporahzilpahmungohe9763
    @zipporahzilpahmungohe9763 Месяц назад +1

    part 2 iko wapi the criminals must be arrested pia we want to see Amina getting married ❤

  • @AnnaLea-lq6ob
    @AnnaLea-lq6ob 2 месяца назад +3

    Jitaidi mlete namba mbili(2),maana ilipoishia panatosha kuanzia

  • @gracemwingwa-jx7yy
    @gracemwingwa-jx7yy Месяц назад +1

    Movie mzur sana ila kwenye uishaji mmeikosea wauwaji wange chukuliwa hatua

  • @user-vq1qx1dr4e
    @user-vq1qx1dr4e 2 месяца назад +2

    Nimejifunza kitu hapa ngoja nilale Sasa

  • @user-on7in9tz6e
    @user-on7in9tz6e Месяц назад +2

    Kazi njema kwenu

  • @paulineemali8008
    @paulineemali8008 17 дней назад +1

    Vizuri sana❤❤

  • @KingNtiharirizwa
    @KingNtiharirizwa 27 дней назад +1

    Sehemu ya sons 2 kweli inatamaniwa kuiwona kweri

  • @user-xu5rh6ub5j
    @user-xu5rh6ub5j 2 месяца назад +3

    Nimewai

  • @user-ii9qx9ii5p
    @user-ii9qx9ii5p 2 месяца назад +2

    Shida kubwa. Wabongo kumalizia movie. Amuwezi mnakwama wapi

    • @ashasadi1342
      @ashasadi1342 Месяц назад

      😂😂😂sjui kwann wanakorogeka

  • @AminaMussa-bw2jh
    @AminaMussa-bw2jh Месяц назад +2

    Muendelezo tafadhal😢

  • @HappyNicholas-be2yn
    @HappyNicholas-be2yn 2 месяца назад +7

    Jaman nimechelewa bt nimekua wa pili like zenu ❤❤🎉🎉🎉

  • @user-bj9rv9nt7j
    @user-bj9rv9nt7j Месяц назад +1

    Yani hi move nzuli nimekaa nasubilia mwisho wake utoke nyie msiniambie ndo mume maliza pare kaa mbingun mtapaskia walai

  • @MdHannan-o3q
    @MdHannan-o3q Месяц назад +1

    ila kipara amewakomesha hao vidume wawili😂😂😂😂

  • @user-fr4lj7jw9g
    @user-fr4lj7jw9g Месяц назад +1

    Kumbe huyu sinanga tabia zaumbea anajua kumpa Mtu mawaidha ya dhini😂haya bila kusahau nipeni likes zangu hapa kutoka 🇰🇪

  • @KalamaMasha-lz8oj
    @KalamaMasha-lz8oj Месяц назад +3

    Pia mm nimejifunza kitu