Hii movie ina mafunzo mazuri sn kaka mbwela mungu azidi kukuongoza ulete mafunzo kw walimwengu. Hongereni sn nyote mulioshiriki kwenye movie hii na mungu awabariki nyote
Kwanza naomba jina wimbo na muimbaji Pili movie nzuri ila imemalizia vibaya maana wauwaji hawajajulikana wakayi siri pale ilikuwa ishatokaaaa Tatu maoni hapakuwa na haja ya muhusika zatiti kufa kwasababu ujumbe aliobeba umeakisi sana kwenye jamii watu huwahukumu watu kwa mabaya yao waliyotenda nyuma alitakiwa zatiti ajifungue atambe na mumuwe iwe familiya ya kupigiwa mfano hadi watu wasahau waliyoyapitiaa
Lkn pia zatiti alikuwa n mtu wa ibada pale mwishoni angeonesha ibada imezid nguvu za mganga then coz anamuombea mumewake wamefanikiwa wakawa na maisha mazuri zaidi
Movie nzri Sana ila natamani mwishoni ingekuwa kujulikana walio husika na kifo then wangechukuliwa Sheria ndio mwisho 😂😂😂😂 wanao sema kama mm gonga like
Mbwela ni nzuri sana hii But samahani nilikuwa nakushauri mazingira ambayo unachezea filamu zako ungekuwa unabadilisha Tanzania n kubwa mkuu nyumba tumezikalili hizi
Movie nzuri sana yenye mafunzo...mbwela mungu akulinde hapa na penginepo
Hii movie ni Kali sana kama unaikubali bi harusi gonga like hapo ❤❤❤😂😂
Nampenda huyu bwela anavyo ekti vizuri cn gd nakupa hongera yk
Leo kipara kaongea point mbwela congratulations sanaaa🎉🎉🎉
Mbwela jmn nakpenda una busara kubwa mno hakika mama ako aheshimiwe amelea mwamba
Hii movie ina mafunzo mazuri sn kaka mbwela mungu azidi kukuongoza ulete mafunzo kw walimwengu. Hongereni sn nyote mulioshiriki kwenye movie hii na mungu awabariki nyote
Hongera👏 movie iko pow ina mafundisho kwa kweli
Mm namkubali sna bwale kwa movie zke
Jamani nakupenda mbwela uko vizur sana kazi nzuri Ina mafunzo sana asante kaka
Kuna funzo zuri hapa,don't judge the Book by its cover
Iendeleze iwe na part 2 bwela achunguze ❤❤
🎉❤🎉❤hongera move nzuri sana🎉🎉🎉🎉❤
😢😢😢😢😢 hii muvie ni nzuri sana naomba Mungu wafufuke hao watu maana walisha badili maisha yao jamaniii isiwe hivyoooo lkn
Mbweraaa nampendaa sana bse anajua na anabadilikaaaaa na yuko real kabisaaaaa secondly dada yake zatiti naye ni fireeee
jaman mi hako kanyimbo ka ndoa kananikoshaa 🥰
❤❤❤❤❤❤❤
Kaz Smart Sana kwa nyakat tulizo nazo hongera mbwera na hii ndo Kaz
Mbwela aki ww ni mwamba sana aki mungu akubarika sana.😍😍😍
Movie kariii Mzee wa noma penda sana bwela Mzee wa noma nampenda sana uchizi wako
Brother mbwela uko vzr san bgp ✊nakufatilia san bye wizzy Khan from South Africa duluban KwaZulu Natal 🇿🇦👊👊
Mbwela it’s always my favorite in movie❤️😍🙏
2 nakukubali sana Bro Mbwela🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Congratulation bro...one love mm movie nzuri sna bro huwa nafatilia sana sinema zako,hongera sna bro.
Jalibuni patient 2 aki movie nzuri sana mbela💯
Kazi nzuri inamafunzo sana hasa kwa nyakati hizi tulizonazo za kidigital safi mbwera moves ina maadili😊❤
Napenda kazi zako mbwela pick up bro following from Canada
kazi nzuri storry nzr watu wamevaa uhusika 99% na aloimba hiko kimziki hallo kamenogesha sn nawaamini vijana wangu mnapiga kz vzr
Kali. Sana hii movie ❤
Kwanza naomba jina wimbo na muimbaji
Pili movie nzuri ila imemalizia vibaya maana wauwaji hawajajulikana wakayi siri pale ilikuwa ishatokaaaa
Tatu maoni hapakuwa na haja ya muhusika zatiti kufa kwasababu ujumbe aliobeba umeakisi sana kwenye jamii watu huwahukumu watu kwa mabaya yao waliyotenda nyuma alitakiwa zatiti ajifungue atambe na mumuwe iwe familiya ya kupigiwa mfano hadi watu wasahau waliyoyapitiaa
😢nikweli ni nzuri sana ila tukumbuke kuna watu wanakufa na ukweli haujulikan
Muvi nzuri sana ina mafunzo mengi mungu azidi kukubaliki kipaji chako kiendelea kukua zaidi na zaidi
Mashaalllah mwasii unapendez san ukivaa hivo❤❤
Wow tunakukubali sana toka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
❤❤🎉 ❤🎉dah! Nakukubali sana mbwela kwa kazi zako
Mungu Azidi kukupa ufahamu na kutukumbusha yaliyo mema
Very good jipala ubawokowa kueri umesema kueri ❤
Kaz nzur xn mbwela endlea kkuza kipaji ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Safi sana kazi nzuri sana
😂😂😂😂😂majiraniiiiii umeshindwa kumaliza ungemaliza majiraniiii nimewezaaaa😂😂😂😂😂
Yooo yooo what's up my people anyways show me some love am from kenya
Kipara😂😂😂the kizungu is zunguking🤣
Lkn pia zatiti alikuwa n mtu wa ibada pale mwishoni angeonesha ibada imezid nguvu za mganga then coz anamuombea mumewake wamefanikiwa wakawa na maisha mazuri zaidi
Kaaaah sijapend Sasa mme kufanyej wote wawil au nd mkipendan Sana mnaenda wote
Hongera kaka mbwela much love from Kenya ❤❤ila tunaomba ingeendea hii movie bado haijaisha kwakwel😊😊
Kipara jamaniiii😂😂 humu kwakwel umeniacha hoiii
Yani kipara anacekesha sana😅😅😅😅😅😅😅😅anakunja uso kama rambo kapoteza kisu cake
Mmh kipala anatereza na ngeriii🎉🎉🎉🎉
Mmh movie nzuri sana ila sikutegemea imenitoa machozi mwishoni 😪😭😥😭
big up mbwela🔥🔥
Team bora kabisa hii movie yny mafunzo zaidi hongereni Sana ila kipara unanibamba jamani😂😂😂😂
Jaman hicho kinge Cha huyo kaka anaharibu movie
Kipala hicho kingereza tena😂😂😂
mimi nimeupenda wimbo
Movie nzri Sana ila natamani mwishoni ingekuwa kujulikana walio husika na kifo then wangechukuliwa Sheria ndio mwisho 😂😂😂😂 wanao sema kama mm gonga like
Hapo umeongea kweli,hawakumalizia vizuri.
Hiyo kazi ya serikar tuwaachie police😂😂😂😂
Alafu nilicho gundua hujaangalia mdi mwisho mah kifo cha zatiti inajulikana kama cha kurogwa😂😂😂😂
@@salhamlanz9806 kwani si walijitaja na Yule mwingine aliwasikia ? Acha ubishi
@@salhamlanz9806😂😂😂😂😂😂😂😂 nkwel maan serikar Ina mkono mrefu xn😂😂😂😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤ pambe sana
😂😂😂😂😂😂😂 mambo ya kupigana tuwaachie kina donieni 😂😂😂😂😂 etieee
Uyo nae kaambiwa ilo jidevu lilimpendeza sana hajioni ila yuwatisha
Mbwela ni nzuri sana hii
But samahani nilikuwa nakushauri mazingira ambayo unachezea filamu zako ungekuwa unabadilisha Tanzania n kubwa mkuu nyumba tumezikalili hizi
Lakini kipara anastahili ngoto na kiingereza kombo😂😂😂
Hii movie ni moto sana hongera 🎉🎉🎉
Kipara kizungu achana nacho plz 😂😂😂😂
hongera sana kaka
Mbwela tunataka muendelezo sio marudio 😢😢😢jaman
Hii movie Kali xana ❤️❤️
Ila kipara 😂😂😂😂😂hongera xn mda mwingin unawafunza wenzio etieeee😂😂😂😂😂😂
Hiiii song ya bi harusi naweza ipata wapi
hongela kwa kazi zuri kaka ang❤
Kingereza Cha kipala kinaniacha hoi sana😂😂😂
Hongereni sana
Daah hii movie ni kali na nusu❤❤
Kumbe ata kipara Yuko apa 😅😅😅😅kipara mbeyaa😅😅😅
Story nzuri inafundisha sana
Mbwela hongera broo,ila hii movie yastahili iwe na part 2,imeacha suspense sana,yaani twataka kujua walioenda kwa mganga walifanywaje.
Connection 😂😂😂😂😂
Ina vutia . Ogereni sana. Ni wenu director inspecteur innocent toka Congo 🇨🇩. Naomba SUBSCRIBE zenu dungu yangu 🎉🎉
I love ❤️ your movie
😂😂😂😂😂😂😂kipara ww eti kam rambo kapoteza kisu chake
Tunaomba uendeleze part 2
Nice kazi
Wangebaki hai kuonesha kuwa kubadilika kwa kuamua inawezekana🥺🥺😭😭😭😭
Iko pow inamafundish mazuli ❤🎉🎉
Jamani tunaomba muendelezo
Sana saw
Mashallah move nzuri natamani ingeendelea
Moving nzuri san
Movie zenu nzuri sana
Imeisha vibaya
Movie kalisana ❤❤❤
part 2 iko wapi the criminals must be arrested pia we want to see Amina getting married ❤
Jitaidi mlete namba mbili(2),maana ilipoishia panatosha kuanzia
Movie mzur sana ila kwenye uishaji mmeikosea wauwaji wange chukuliwa hatua
Nimejifunza kitu hapa ngoja nilale Sasa
Kazi njema kwenu
Vizuri sana❤❤
Sehemu ya sons 2 kweli inatamaniwa kuiwona kweri
Nimewai
Shida kubwa. Wabongo kumalizia movie. Amuwezi mnakwama wapi
😂😂😂sjui kwann wanakorogeka
Muendelezo tafadhal😢
Jaman nimechelewa bt nimekua wa pili like zenu ❤❤🎉🎉🎉
Yani hi move nzuli nimekaa nasubilia mwisho wake utoke nyie msiniambie ndo mume maliza pare kaa mbingun mtapaskia walai
ila kipara amewakomesha hao vidume wawili😂😂😂😂
Kumbe huyu sinanga tabia zaumbea anajua kumpa Mtu mawaidha ya dhini😂haya bila kusahau nipeni likes zangu hapa kutoka 🇰🇪
Pia mm nimejifunza kitu