yaani hata natamani hiyo 22 kesho iwe uwanjani wallah naxipenda movies zako baba joan kwa kweli mungu akulinde ns akuongoze ufike mbali sana kwa kweli🤲🤲🤲💓💓💓🎉
Nafulaha Kuwait sana ntindi njowakwanza wakufunxa mayisha salafi mimi namupendasana karobo mwezimungu mwenye Rehman amurinde kwakazi ana anza angari mudogo anajuwa sana Love you karobo❤
Maama karobo fake siku moja otakuja sindwa namuganga wako iyi 😂😂😂. Baba kalobo be strong with faith there's no weapon formed against you shall prosper in Jesus Christ name Amen 🙏🙏
jamani hii movie yani kila.uchao yazidi utamu tuu ,baba kalobo hongereni na team yako kwa jumla we bado robo ufikie kanumba.steveni wallah maana si kwa movies zako hizi kali kali
Mbona watu wenye roho mbaya hushinda hamgepeleka hadi akarudi kwa mganga wake tena nimechoka kulia mnajua😂😂😂😂badilisheni mama karobo pia ateseke nawapenda from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hii filam inavyoenda inazidi kunoga lakini mjitahidi isije ikaishia vibaya tukashindwa kumuona mama karobo anavyoteseka kutokana na anayoyafanya itakua mmetudharau sana wadau wenu,tunataka tumuone mama karobo akiteseka pia.
yaani hata natamani hiyo 22 kesho iwe uwanjani wallah naxipenda movies zako baba joan kwa kweli mungu akulinde ns akuongoze ufike mbali sana kwa kweli🤲🤲🤲💓💓💓🎉
Wow nmewahi wa kwanza leo kutoka kenya 🇰🇪 mob love to team baba karobo
Baba Joan nakukubali mwanangu...much love from Kenya
Pore sana baba karobo 🇧🇮 nafata movi zako kiramara nifasi yakujifuza kabisa ❤❤❤❤❤
❤🎉 Babajoan kazi inajieleza yakubalika watching from Kenya
Congratulations kwenye waikizaji wa hii kipindi mungu awabariki sana kwenye mafunzo me mema 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Leo nimewahi hata nimetoka burundi nime jithahidi naomba like zangu
🎉
🎉🎉🎉🎉
Anae mkubali mama karobo alike hapa ili kuonesha upendo kwa mama karobo
Nafulaha Kuwait sana ntindi njowakwanza wakufunxa mayisha salafi mimi namupendasana karobo mwezimungu mwenye Rehman amurinde kwakazi ana anza angari mudogo anajuwa sana Love you karobo❤
Nipeni like jamani from Kenya 🇰🇪 mombasa County 🇰🇪
Toa maon like wew siy baba kalob ok😂
HIV munazipelekaga wapi like😂😂😢
😂😂😂kwani hii kipindi n y wakenya pekee 😂
@@lucinahmoranga2358eeeh tuko hapa 😂😂
🎉🎉
Leo ilikua jumapili njema kwangu imagine nmekua wakwanza toka Kenya nafurahia hiking kipindi Sana wapi likes za wakenya wenzangu
2:34
mimi nimekuwa addicted hii kipindi
Ujaenda kanisani leo mpendwa
@@kezianjuguna7378Pia mm😅
Tupo🇰🇪hii kipindi👌🔥
Nimewahi Namimi leo kutoka Kenya wapi likes za wakenya jameni 🎉🎉🎉
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🎉🎉🎉🎉
One love sweee🇰🇪❤❤❤❤❤✌
🎉🎉🎉
@@vxp5228😊
Jameni BURUNDI 🇧🇮 nitaweza pata hata like moja mbona wote mnatoka katika nchi za mbaliiiiii
😂tupo🇧🇮🇧🇮🇧🇮😍
tuko hapa🇧🇮🥰
Ba karobo anajua kingereza wapi like zakeee❤❤😂
😂😂😂❤❤❤
Mama karobo ana mdomo
waa nimemuogopa
WAOOOO TEAM STRONG WANAOKUBALI KAZI YA BABA KALOBO TUJUANE KWA LIKE APA 🎉🎉❤
Mi.mi ap namkubal kinoma 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tunamkubali kinoma🎉🎉🎉🎉
Yupo vizuri Sana ❤❤❤
Karobo ataweza kweli?
mimi hapa nakupali🎉🎉
Unaitizama mouvie haitoku kwenye iko jamani fanyeni bas mutufuraishe Sisi Team baba karobo bna
Ndazindutse baga mama kalobo tulia sikuzamwizi ni40🤣🤣🤣🤣♥️♥️♥️♥️
Yule mdada ambe hayuko ndie atawasidiea kwasababu dawa hikumpata😊😊
Yes😊
Wangapi wamechukia mama karobo kuwategea metego kibanio na akafanikiwa gonga likes za kutosha
Safi sana ba2 kalobo Leo mimi ni wa pili courage vraiment 🎉🎉🎉🇨🇩🇨🇩
jameni nani amkubali baba kalobo kwa kazi zake gonga like kaa zote hapa ili tumfikishe mbali baba kalobo
Tuko pamoja kumsuport baba karobo
pamoja penda sna babakarobo❤❤
🎉🎉🎉mwajua jamn mashallah ❤❤
Mnaelekea kuiharibu movie sasa😢😢😢
ukweli wanayairibu
Tena sana
Baba kipofu lakini zuzu akiskia atapewa kinyangala😂😂😂😂shikamoo kinyangala
Wa kwanza naoba like zangu from mozambique 🇲🇿🇲🇿
Hungesoma hungekuwa hunaomba like kwa mitandao,,,,,hona sasa
Woow movie nzuri sana next plz 🎉🎉❤
kzi nzur
Safi kabisa 🇰🇪
Nambye rafk
Hii sasa ni bonge la tz kutoka kwake baba kanusu na mukewe duuu!!! Movie nkali saana❤❤❤🔥🔥🔥❤️❤️❤️🔥🔥
Ma karobo makelele wueh wapi likes za wakenya wenzangu
Like za nini sasa
Hongereni sana kazi yenu ni Zur baba kalobo na kalobo nawakubali sana
Nimewahi Leo wakwanza jamani ila sitaki like zenu Mana ubaguzi ni mwingi
Vizuri sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Ila Kwa ss yabadilika sna 🎉🎉🎉,,,
Josiah mokenye from Kenya following your movie nicely bro my likes hizo
Representing Mombasa Kenya 🎉❤
Nimeanza kukelekwa na hii movie maana mambo yamekua mengi😢😢
Hâta mm
@@Vanessa-xr4qnhata mimi
Mambogani au mi sijaona
Hata mimi inachosha
Ata mimi namtaka baba karobo haone tena😢
Wa 1 mm leo like zangu jamn😂😂❤
Hongera baba karobo kadri kazi inavotok ndipo unapo nawiri tupo pamoja from 🇲🇫
Movies mkiiendesha San mwisho mnaiharibuu sasa ebu jaribuni kuiangalia vzr
Waambie tena na tena,ilishaanza kukera
Mbona zujari mzuri hivo mtoto amebeba KWELI.mwaja lini Kenya nampenda😂😂
Mungu awapee nguvu muweze kutoa zingine nzuri
Baba kalobo na mama kalobo wanajua sana hadi mmeifanya mov kuwa nzur sana
Wa kwanza Leo from Kenya nipeni likes
Apo vip
Tuko jonjo😂
Maama karobo fake siku moja otakuja sindwa namuganga wako iyi 😂😂😂. Baba kalobo be strong with faith there's no weapon formed against you shall prosper in Jesus Christ name Amen 🙏🙏
Wakwanza mkenya❤❤❤
Kazi nzuri sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Mashallah asanteni sana washilika mungu abaliki kazi zenu ❤❤❤❤❤❤❤
Number 2 watching from Kenya keep it up I really love the show
❤❤❤naipenda sana hii movie
Tamthili nzuri nangojea episode 22
I LOVE Tz🇹🇿🇹🇿🎉🎉🎉you're the best
Kazi nzuri baba koroo😂
Tangu series ianze sijawahi pewa likes ata 300
Mama karobo ananiudhi from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mama kanusu😂😂😂kudada deki kachawi balaaaaaa uchawi upo kbx
Gen z from Kenya wapi likes zangu🇰🇪🇰🇪🇰🇪
jamani hii movie yani kila.uchao yazidi utamu tuu ,baba kalobo hongereni na team yako kwa jumla we bado robo ufikie kanumba.steveni wallah maana si kwa movies zako hizi kali kali
Leo nimejalibu nimefika mapema 🚶🏾♂️🚶🏾♂️🤸🏾♂️🤸🏾♂️
Tunapoelekea iyi mouvie ndaacha kuitizama kuliko baba kalobo apate apate ata nafu kidogo naona SS munaanza kutudanganya
Mm mwenyew nimechoka kbc awaeleweki inarudi nyuma badara iende mbele 😢
Wanazegua tu tushawachoka muvii ikwede mbere . yenyewe unaludi nyuma
Gani mouvie haitoki kwenye iko niatar kweri tunapoelekea ndaacha ata kuitizama
Hii episode ya mwisho siitazami tena
Yani huyu anapenda mwingine juya matako😮😂I'm from +254🇰🇪
Yani hii movie nzurii ila kilamtu anamuogopa mama karobo
Kabisaa kazi nzuri hii baba kanusu😂😂
Mm leo nikajaribu jameni number 59 hapa like back please na wapenda sana ❤❤❤❤from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 i hop team strong muko hapa
Tuko 🇰🇪❤️
Hongera kwa kazi nzuri
Woow nazipenda vipidi za baba karobo Sana mungu akubariki
Nimewai Leo big up wadau wangu from 254
Kazi nzuri sana 🎉🎉🎉🎉
Nime wah Leo naombeni like hata moj tu
Hii movie mbna haisongiii jmn makelele tu ya mama karobo angalau na yy afanye kitu ashindwe aaah😢😢
Kweli mpk inaboa kila siku yy
@@user-ji6cp1ng8g eeeeh wafanye ashindwe pia yy khaa
Jmn mm nasema t mama karobo punguza kupagawa Sana ukiongea ww mzur t ila unapagawa sana❤❤❤❤❤❤ love you mama kalobo
Mnapotezaaaa radhaa ya Movie Sasa
Toto linanyashi kweli😂lkn mama kalobo ana nyama🤣
Hii safi kinoma naipenda kutoka Kivu D.R.C Congo❤❤❤
Nainjoy vzr nikiwa Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
sasa mchumba,simu yangu iko wap😅😅😅
Hahaha 😂mama karobo Big up sana kazi nzuri
Team baba karobo kazi nzuri
Kaz nzuri kak ila uy mam daah😂😂😂
Nirikuwa nimengoja kwa ham na ngam❤from Kenya 🇰🇪
Hongereni sana tena sana. ila musiwe nakawisha bana❤❤❤❤❤
Mam kalobo kaz anayo kwa mganga wake 😂😂😂😂😂 vioj si viola jamn
Nipoa kabisa lakini wanarudisha tena nyuma nikama inaisha tena duhhh imenichanganya sana
Umetisha baba kalobo
hahaaa kinyangala wapi like zenu
Niliwahi lakini ilibidi nimalize kwanza kuwatch ndio nicomment 🇰🇪🇰🇪
Mbona watu wenye roho mbaya hushinda hamgepeleka hadi akarudi kwa mganga wake tena nimechoka kulia mnajua😂😂😂😂badilisheni mama karobo pia ateseke nawapenda from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kuwa mpole wakati utafika
Naomba mtuharakishie 22🙌🙌🙌🙌
i love babajoam♥️♥️♥️♥️🎭🎭🖼🖼🖼
Big up 👍👏 good moves respect 👍
Hongereni sana yani mwanifurahisha sana mm kama mkenya nafurahia sana
Courage ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jameni niwaombe kitukioma muceze série n'a mama kalobo akutane namatatizo basi n'a sisi tufulah kawaomba
Toka Kenya nakukubali Sana bro kazi Safi
Mama kalobo uko na roho mbaya 😢😢😢😢😢
Mbona film haiishe naitazama toka congo kusini
Hii filam inavyoenda inazidi kunoga lakini mjitahidi isije ikaishia vibaya tukashindwa kumuona mama karobo anavyoteseka kutokana na anayoyafanya itakua mmetudharau sana wadau wenu,tunataka tumuone mama karobo akiteseka pia.
Kabisa
Uzuri hii move inatoka kwa wakaty ❤🎉🎉
Nishawai babakalobo😂😂 🇹🇷 🇹🇷 tutapambana hadi mama kalobo feki akuue😂😂😂
Nimewayi Leo naomba like 🎉zangu❤
Hata kama nimechelewa afadhali nimeona na ninawapenda sana tuko pamoja kutoka burundi 🇧🇮
Muchumba unazingu eti😂