BABA YANGU KIPOFU Full episode /21/

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • #love

Комментарии • 837

  • @user-no8sz5nx7b
    @user-no8sz5nx7b Месяц назад +20

    yaani hata natamani hiyo 22 kesho iwe uwanjani wallah naxipenda movies zako baba joan kwa kweli mungu akulinde ns akuongoze ufike mbali sana kwa kweli🤲🤲🤲💓💓💓🎉

  • @PiliMundu
    @PiliMundu Месяц назад +29

    Wow nmewahi wa kwanza leo kutoka kenya 🇰🇪 mob love to team baba karobo

  • @erickathurima43
    @erickathurima43 Месяц назад +14

    Baba Joan nakukubali mwanangu...much love from Kenya

  • @user-ti1ol3ti9j
    @user-ti1ol3ti9j Месяц назад +9

    Pore sana baba karobo 🇧🇮 nafata movi zako kiramara nifasi yakujifuza kabisa ❤❤❤❤❤

  • @user-su9hn8es9n
    @user-su9hn8es9n Месяц назад +15

    ❤🎉 Babajoan kazi inajieleza yakubalika watching from Kenya

  • @gladysnatecho7476
    @gladysnatecho7476 Месяц назад +11

    Congratulations kwenye waikizaji wa hii kipindi mungu awabariki sana kwenye mafunzo me mema 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @user-fr4wf5sl2r
    @user-fr4wf5sl2r Месяц назад +41

    Leo nimewahi hata nimetoka burundi nime jithahidi naomba like zangu

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m Месяц назад +33

    Anae mkubali mama karobo alike hapa ili kuonesha upendo kwa mama karobo

  • @user-yy2rk4wi3p
    @user-yy2rk4wi3p Месяц назад +24

    Nafulaha Kuwait sana ntindi njowakwanza wakufunxa mayisha salafi mimi namupendasana karobo mwezimungu mwenye Rehman amurinde kwakazi ana anza angari mudogo anajuwa sana Love you karobo❤

  • @suleimankipyego5143
    @suleimankipyego5143 Месяц назад +78

    Nipeni like jamani from Kenya 🇰🇪 mombasa County 🇰🇪

  • @ZEPHANIAH.1588
    @ZEPHANIAH.1588 Месяц назад +244

    Leo ilikua jumapili njema kwangu imagine nmekua wakwanza toka Kenya nafurahia hiking kipindi Sana wapi likes za wakenya wenzangu

  • @user-ec6ow2cx7c
    @user-ec6ow2cx7c Месяц назад +134

    Nimewahi Namimi leo kutoka Kenya wapi likes za wakenya jameni 🎉🎉🎉

  • @alexandrodieumerci8955
    @alexandrodieumerci8955 Месяц назад +9

    Jameni BURUNDI 🇧🇮 nitaweza pata hata like moja mbona wote mnatoka katika nchi za mbaliiiiii

  • @PostineYesare
    @PostineYesare Месяц назад +22

    Ba karobo anajua kingereza wapi like zakeee❤❤😂

  • @AishaJafari-sh4pe
    @AishaJafari-sh4pe Месяц назад +149

    WAOOOO TEAM STRONG WANAOKUBALI KAZI YA BABA KALOBO TUJUANE KWA LIKE APA 🎉🎉❤

    • @user-hm6hy6rr1h
      @user-hm6hy6rr1h Месяц назад +6

      Mi.mi ap namkubal kinoma 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @Marim-sj7oi
      @Marim-sj7oi Месяц назад +3

      Tunamkubali kinoma🎉🎉🎉🎉

    • @maalimali5513
      @maalimali5513 Месяц назад +1

      Yupo vizuri Sana ❤❤❤

    • @pendotv5110
      @pendotv5110 Месяц назад +1

      Karobo ataweza kweli?

    • @PaulOjiambo-p1f
      @PaulOjiambo-p1f Месяц назад +1

      mimi hapa nakupali🎉🎉

  • @user-uo7rj9ku5j
    @user-uo7rj9ku5j Месяц назад +22

    Unaitizama mouvie haitoku kwenye iko jamani fanyeni bas mutufuraishe Sisi Team baba karobo bna

  • @JjshHh-wp6rp
    @JjshHh-wp6rp Месяц назад +9

    Ndazindutse baga mama kalobo tulia sikuzamwizi ni40🤣🤣🤣🤣♥️♥️♥️♥️

  • @karembo7082
    @karembo7082 Месяц назад +12

    Yule mdada ambe hayuko ndie atawasidiea kwasababu dawa hikumpata😊😊

  • @johncharlie6161
    @johncharlie6161 Месяц назад +14

    Wangapi wamechukia mama karobo kuwategea metego kibanio na akafanikiwa gonga likes za kutosha

  • @swediPacificswedi
    @swediPacificswedi Месяц назад +17

    Safi sana ba2 kalobo Leo mimi ni wa pili courage vraiment 🎉🎉🎉🇨🇩🇨🇩

  • @user-no8sz5nx7b
    @user-no8sz5nx7b Месяц назад +68

    jameni nani amkubali baba kalobo kwa kazi zake gonga like kaa zote hapa ili tumfikishe mbali baba kalobo

  • @HidayaJumaRavino....Sakina
    @HidayaJumaRavino....Sakina Месяц назад +2

    🎉🎉🎉mwajua jamn mashallah ❤❤

  • @Officialtz01
    @Officialtz01 Месяц назад +18

    Mnaelekea kuiharibu movie sasa😢😢😢

  • @spanishboi001
    @spanishboi001 Месяц назад +9

    Baba kipofu lakini zuzu akiskia atapewa kinyangala😂😂😂😂shikamoo kinyangala

  • @EdikingMoz
    @EdikingMoz Месяц назад +9

    Wa kwanza naoba like zangu from mozambique 🇲🇿🇲🇿

    • @graffinamisi
      @graffinamisi Месяц назад +1

      Hungesoma hungekuwa hunaomba like kwa mitandao,,,,,hona sasa

  • @user-vo7yb6wp1m
    @user-vo7yb6wp1m Месяц назад +8

    Woow movie nzuri sana next plz 🎉🎉❤

  • @ewoiekaale
    @ewoiekaale Месяц назад +35

    Safi kabisa 🇰🇪

  • @kingchiefking9265
    @kingchiefking9265 Месяц назад +15

    Hii sasa ni bonge la tz kutoka kwake baba kanusu na mukewe duuu!!! Movie nkali saana❤❤❤🔥🔥🔥❤️❤️❤️🔥🔥

  • @VictorOmusula-yu2cn
    @VictorOmusula-yu2cn Месяц назад +63

    Ma karobo makelele wueh wapi likes za wakenya wenzangu

  • @VailertJila
    @VailertJila Месяц назад +7

    Hongereni sana kazi yenu ni Zur baba kalobo na kalobo nawakubali sana

  • @IshakaMachanoMakame-sb2xx
    @IshakaMachanoMakame-sb2xx Месяц назад +54

    Nimewahi Leo wakwanza jamani ila sitaki like zenu Mana ubaguzi ni mwingi

  • @OdetteNITUNGA-qy3vk
    @OdetteNITUNGA-qy3vk Месяц назад +9

    Vizuri sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @IssaAbdillah
    @IssaAbdillah Месяц назад +15

    Ila Kwa ss yabadilika sna 🎉🎉🎉,,,

  • @mokenyejosiah5101
    @mokenyejosiah5101 Месяц назад +7

    Josiah mokenye from Kenya following your movie nicely bro my likes hizo

  • @valentineonyoni9065
    @valentineonyoni9065 Месяц назад +3

    Representing Mombasa Kenya 🎉❤

  • @Officialtz01
    @Officialtz01 Месяц назад +16

    Nimeanza kukelekwa na hii movie maana mambo yamekua mengi😢😢

  • @JudcBen-ye9cy
    @JudcBen-ye9cy Месяц назад +15

    Wa 1 mm leo like zangu jamn😂😂❤

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp Месяц назад +3

    Hongera baba karobo kadri kazi inavotok ndipo unapo nawiri tupo pamoja from 🇲🇫

  • @StellaKugomwa
    @StellaKugomwa Месяц назад +4

    Movies mkiiendesha San mwisho mnaiharibuu sasa ebu jaribuni kuiangalia vzr

  • @rajabokio
    @rajabokio Месяц назад +4

    Mbona zujari mzuri hivo mtoto amebeba KWELI.mwaja lini Kenya nampenda😂😂

  • @user-xu5rh6ub5j
    @user-xu5rh6ub5j Месяц назад +7

    Mungu awapee nguvu muweze kutoa zingine nzuri

  • @BensonEvaristo
    @BensonEvaristo Месяц назад +3

    Baba kalobo na mama kalobo wanajua sana hadi mmeifanya mov kuwa nzur sana

  • @barasaclaris6221
    @barasaclaris6221 Месяц назад +15

    Wa kwanza Leo from Kenya nipeni likes

  • @tumusiimepeace543
    @tumusiimepeace543 Месяц назад +4

    Maama karobo fake siku moja otakuja sindwa namuganga wako iyi 😂😂😂. Baba kalobo be strong with faith there's no weapon formed against you shall prosper in Jesus Christ name Amen 🙏🙏

  • @herryngala6946
    @herryngala6946 Месяц назад +5

    Wakwanza mkenya❤❤❤

  • @benjamimantoniomangoni6765
    @benjamimantoniomangoni6765 Месяц назад +3

    Kazi nzuri sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 Месяц назад +1

    Mashallah asanteni sana washilika mungu abaliki kazi zenu ❤❤❤❤❤❤❤

  • @imtvisaacmediatv9178
    @imtvisaacmediatv9178 24 дня назад +1

    Number 2 watching from Kenya keep it up I really love the show

  • @Azizajangobo
    @Azizajangobo Месяц назад +3

    ❤❤❤naipenda sana hii movie

  • @apostlemathewmuthoka1626
    @apostlemathewmuthoka1626 Месяц назад +1

    Tamthili nzuri nangojea episode 22

  • @HidayaJumaRavino....Sakina
    @HidayaJumaRavino....Sakina Месяц назад +1

    I LOVE Tz🇹🇿🇹🇿🎉🎉🎉you're the best

  • @EvansMwenda-d1t
    @EvansMwenda-d1t Месяц назад +2

    Kazi nzuri baba koroo😂

    • @EvansMwenda-d1t
      @EvansMwenda-d1t Месяц назад

      Tangu series ianze sijawahi pewa likes ata 300

  • @SpystersEkered
    @SpystersEkered Месяц назад +6

    Mama karobo ananiudhi from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @AXELLAassia
    @AXELLAassia Месяц назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂mama kanusu😂😂😂kudada deki kachawi balaaaaaa uchawi upo kbx

  • @Trizahteryy
    @Trizahteryy Месяц назад +4

    Gen z from Kenya wapi likes zangu🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-no8sz5nx7b
    @user-no8sz5nx7b Месяц назад +8

    jamani hii movie yani kila.uchao yazidi utamu tuu ,baba kalobo hongereni na team yako kwa jumla we bado robo ufikie kanumba.steveni wallah maana si kwa movies zako hizi kali kali

  • @user-tj2yj5gi5t
    @user-tj2yj5gi5t Месяц назад +5

    Leo nimejalibu nimefika mapema 🚶🏾‍♂️🚶🏾‍♂️🤸🏾‍♂️🤸🏾‍♂️

  • @user-uo7rj9ku5j
    @user-uo7rj9ku5j Месяц назад +6

    Tunapoelekea iyi mouvie ndaacha kuitizama kuliko baba kalobo apate apate ata nafu kidogo naona SS munaanza kutudanganya

    • @salmasalam3268
      @salmasalam3268 Месяц назад +2

      Mm mwenyew nimechoka kbc awaeleweki inarudi nyuma badara iende mbele 😢

    • @HappyKibure-iz9xk
      @HappyKibure-iz9xk Месяц назад +3

      Wanazegua tu tushawachoka muvii ikwede mbere . yenyewe unaludi nyuma

    • @user-uo7rj9ku5j
      @user-uo7rj9ku5j Месяц назад +1

      Gani mouvie haitoki kwenye iko niatar kweri tunapoelekea ndaacha ata kuitizama

    • @gatocarenzipporah6843
      @gatocarenzipporah6843 Месяц назад

      Hii episode ya mwisho siitazami tena

  • @doreenkbdjb
    @doreenkbdjb 18 дней назад +1

    Yani huyu anapenda mwingine juya matako😮😂I'm from +254🇰🇪

  • @Vanessa-xr4qn
    @Vanessa-xr4qn Месяц назад +3

    Yani hii movie nzurii ila kilamtu anamuogopa mama karobo

  • @achilaleziki
    @achilaleziki Месяц назад +1

    Kabisaa kazi nzuri hii baba kanusu😂😂

  • @user-help046
    @user-help046 Месяц назад +7

    Mm leo nikajaribu jameni number 59 hapa like back please na wapenda sana ❤❤❤❤from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 i hop team strong muko hapa

  • @Peternyamsogoro
    @Peternyamsogoro Месяц назад +3

    Hongera kwa kazi nzuri

  • @LoisemwendeMutembei
    @LoisemwendeMutembei 5 дней назад

    Woow nazipenda vipidi za baba karobo Sana mungu akubariki

  • @pilisaidbokoko7031
    @pilisaidbokoko7031 Месяц назад +1

    Nimewai Leo big up wadau wangu from 254

  • @elvinakalu6991
    @elvinakalu6991 Месяц назад +1

    Kazi nzuri sana 🎉🎉🎉🎉

  • @AdijaWashuma
    @AdijaWashuma Месяц назад +7

    Nime wah Leo naombeni like hata moj tu

  • @maylucson001
    @maylucson001 Месяц назад +4

    Hii movie mbna haisongiii jmn makelele tu ya mama karobo angalau na yy afanye kitu ashindwe aaah😢😢

    • @user-ji6cp1ng8g
      @user-ji6cp1ng8g Месяц назад +1

      Kweli mpk inaboa kila siku yy

    • @maylucson001
      @maylucson001 Месяц назад

      @@user-ji6cp1ng8g eeeeh wafanye ashindwe pia yy khaa

  • @SafiaSafia-g1c
    @SafiaSafia-g1c Месяц назад

    Jmn mm nasema t mama karobo punguza kupagawa Sana ukiongea ww mzur t ila unapagawa sana❤❤❤❤❤❤ love you mama kalobo

  • @Imahela375.
    @Imahela375. Месяц назад +2

    Mnapotezaaaa radhaa ya Movie Sasa

  • @user-fr4lj7jw9g
    @user-fr4lj7jw9g Месяц назад +2

    Toto linanyashi kweli😂lkn mama kalobo ana nyama🤣

  • @PAVLOVEAUGUSTINMERVEILLE
    @PAVLOVEAUGUSTINMERVEILLE 26 дней назад

    Hii safi kinoma naipenda kutoka Kivu D.R.C Congo❤❤❤

  • @EleuterioMangoni
    @EleuterioMangoni Месяц назад +2

    Nainjoy vzr nikiwa Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @faithkalulu
    @faithkalulu Месяц назад +2

    sasa mchumba,simu yangu iko wap😅😅😅

  • @user-bi9pl4eu2o
    @user-bi9pl4eu2o Месяц назад +1

    Hahaha 😂mama karobo Big up sana kazi nzuri

  • @ErickNganyi
    @ErickNganyi Месяц назад +3

    Team baba karobo kazi nzuri

  • @NailatMwampaja
    @NailatMwampaja Месяц назад

    Kaz nzuri kak ila uy mam daah😂😂😂

  • @monicahnjoroge5075
    @monicahnjoroge5075 Месяц назад +1

    Nirikuwa nimengoja kwa ham na ngam❤from Kenya 🇰🇪

  • @FlorenceWabiwa
    @FlorenceWabiwa Месяц назад +1

    Hongereni sana tena sana. ila musiwe nakawisha bana❤❤❤❤❤

  • @TreasurezThomas
    @TreasurezThomas Месяц назад +1

    Mam kalobo kaz anayo kwa mganga wake 😂😂😂😂😂 vioj si viola jamn

  • @VinnieMjere-hx1uu
    @VinnieMjere-hx1uu Месяц назад +2

    Nipoa kabisa lakini wanarudisha tena nyuma nikama inaisha tena duhhh imenichanganya sana

  • @RameckPeter
    @RameckPeter Месяц назад +1

    Umetisha baba kalobo

  • @AlmasMsuya-p7x
    @AlmasMsuya-p7x Месяц назад +2

    hahaaa kinyangala wapi like zenu

  • @Chebaibaiever
    @Chebaibaiever Месяц назад +2

    Niliwahi lakini ilibidi nimalize kwanza kuwatch ndio nicomment 🇰🇪🇰🇪

  • @Cynthia-t1u
    @Cynthia-t1u Месяц назад +1

    Mbona watu wenye roho mbaya hushinda hamgepeleka hadi akarudi kwa mganga wake tena nimechoka kulia mnajua😂😂😂😂badilisheni mama karobo pia ateseke nawapenda from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-kp8xp1zh1d
    @user-kp8xp1zh1d Месяц назад +1

    Naomba mtuharakishie 22🙌🙌🙌🙌

  • @clovisnininahazwe2478
    @clovisnininahazwe2478 Месяц назад +2

    i love babajoam♥️♥️♥️♥️🎭🎭🖼🖼🖼

  • @OmarYassin-q9o
    @OmarYassin-q9o 5 дней назад

    Big up 👍👏 good moves respect 👍

  • @MumbaMgandi
    @MumbaMgandi Месяц назад

    Hongereni sana yani mwanifurahisha sana mm kama mkenya nafurahia sana

  • @arikibok4735
    @arikibok4735 25 дней назад +1

    Courage ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @lahayloyniyokwizera2400
    @lahayloyniyokwizera2400 Месяц назад +3

    Jameni niwaombe kitukioma muceze série n'a mama kalobo akutane namatatizo basi n'a sisi tufulah kawaomba

  • @kingflavourKenya-s8k
    @kingflavourKenya-s8k Месяц назад

    Toka Kenya nakukubali Sana bro kazi Safi

  • @tabithaolango
    @tabithaolango Месяц назад +3

    Mama kalobo uko na roho mbaya 😢😢😢😢😢

  • @laviestanley-wi9uk
    @laviestanley-wi9uk Месяц назад

    Mbona film haiishe naitazama toka congo kusini

  • @thauriayetu6159
    @thauriayetu6159 Месяц назад +3

    Hii filam inavyoenda inazidi kunoga lakini mjitahidi isije ikaishia vibaya tukashindwa kumuona mama karobo anavyoteseka kutokana na anayoyafanya itakua mmetudharau sana wadau wenu,tunataka tumuone mama karobo akiteseka pia.

  • @abdallahassan6378
    @abdallahassan6378 Месяц назад +2

    Uzuri hii move inatoka kwa wakaty ❤🎉🎉

  • @spanishboi001
    @spanishboi001 Месяц назад +1

    Nishawai babakalobo😂😂 🇹🇷 🇹🇷 tutapambana hadi mama kalobo feki akuue😂😂😂

  • @Zeena-wc2rd
    @Zeena-wc2rd Месяц назад +1

    Nimewayi Leo naomba like 🎉zangu❤

  • @NtirenganyaNahasoni
    @NtirenganyaNahasoni Месяц назад +1

    Hata kama nimechelewa afadhali nimeona na ninawapenda sana tuko pamoja kutoka burundi 🇧🇮

  • @Kituga-k3w
    @Kituga-k3w Месяц назад +1

    Muchumba unazingu eti😂