Pagumu Sana, Kelvin anachomwa ofisini maana wazazi wa Tina watatumia pesa kumnyamazisha secretary. Asante kwasababu baba kelvin kashaelewa mwanaye anampenda Sana loveness so as a man atamlinda loveness 🎉🎉🎉 mawazo yangu tuu. Asante kwasababu Tina kashafumwa muda si mrefu kelvin ataitwa hotelini kushuhudia😂 to get more
Asante Mungu naona Loveness atakubaliwa kwa mema alionao..ila tina wacha tu nimefurahi kumuona Denis anajua kuigiza sana ila tu tina na mjomba mambo yao hapana...nilijua tuu ..Kazi nzuri Kelvin Khan🎉
@@melkizedck Kelvin anajua Kuigiza sana hadi naomba Mungu Mr Kiss apeane pesa kwanza Diana amtibu mama kisha apatikane na I'd Kabla kupeana story ijulikane kwanza ili Tina aache kucheat ama akue mpenzi real wa Denis juu ya mimba itakayompata 🤣🤣🤣Then mapenzi ya Kelvin na Love ingoe nanga Kelvin atimize ndoto na mama na baba waache kutafutia watoto wao wasichokipenda🤣🤣🤣
Pole Kevin huyo mamako hakutaki meme atakujaumbuka atakaposikia mambo ya huyo mkwe weke tina anavyochepuka lengo tu wakamilishe mipango ya kuwafirisi baba Kevin 🎉🎉🎉🎉🎉🎉unajia mwana wa mwenzio wako
Hongera sana kwa kazi nzuriii jamii tunajifunza kitu hela hainunui kila kitu but hela ni kila kitu katika maisha kwa mantiki hio inatuonesha ukifika mahali usitumie hela inahitajika akili yako 0:27 😊
bro kelvin with ur team kiukwel always attractive movie ni Ile amabyo ukiangalia unashindwa kupredict it's end movie ambayo inatutamanisha tuzidi kutaman kujua mwisho utakuwaje for sure u did it my broo Sina meng ila na appreciate ur work mungu azid kuwapa uzima na maarifa mzidi kufanya kazi za kuifunza jamii
HIVI HUYU TINA NIMFANYE NINI☹️?? EM NIPENI USHAURI
Muue😂
ᴍᴘᴇ ᴛᴀʟᴀᴋᴀ
muacheee😂😂😢
Mpe talaka
Kimbia ukuje Kenya 🇰🇪
Wenye wanakubali kuwa baba Kelvin ametambua kuwa Kelvin anamupenda lovenes tujuane kwa like jameni ❤❤❤Tina n msariti jameni 😢😢😢
Wanaokubali uwepo wa loveness kwenye drama za @DONTA TV tuwatambue kwa like zenu jaman
@@JastFinancial02 mimi hapa
@@JastFinancial02 weeee! Loveness ndo anawika hapo. Msimtoe kabisa.
Loveness Na Kelvin ndio wanaleta utam Wa hii movie msimtoe ata
Yaani loveness akitolewa mwa hii movie hatutaiangalia tena juu ye ndo analeta utamu kabisa
Nimekuwa wa kwanza leo, tangu RUclips ianzishwe sijawahi pata like 5k
Wanaochukizwa na vitendo vya mama kelvin tujuane kwa like
Ananichukiza na shape yake ya kiboko 😂😂😂😂😂
@@olicej7837 🤣🤣yaan
Tatizo lake anakurupuka haulizi ili kujua kinachoendelea kumpiga kelvin sio suluhisho kabisa sijapenda
Wa kwanza hapa
N lisura lake km mchawi😏😏
Hongera sana baba kelvin unajua kumtetea loveness 🎉🎉maua yako
Mungu nisamehe Dhabi zangu zote na huyu anae soma comment hiii
😂😂😂
Amiin
Unasali na kutenda mema lkn au usamehewe tu
Amina
Amina
Waliolia juu ya kelvin kupigwa na mamake tuungane hapa team hamam hoyeeee
Hoyeeee
Hoyeeh
Hoyee
Team strong hoiye
😢😢
Jamani maua kwa baba Kelvin 🎉🎉🎉nimependezwa sana ❤
Haswa ameanza kuelewa
Haswa ameanza kueleweka
❤❤❤❤❤❤❤
Jamani maua kwa baba Kelvin 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🌹🌹🌹
Alhamdulillah nawatakia ijumaa njema watazamj wote Allah atusamh makosa yetu
Amiina beby kwa sote
Amin yarab
Inshaallah na kwako pia
Amin thum amin
Amin tuma amini❤❤❤❤
Kelvin naomba like hata 10 tu wakwanza leo plz 🙏🏼 salimia loveness ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Wakwanza from Kenya 🎉nipeni like zangu 😢😢😢😢
Nafurah Sana kumuona Baba kelvin akiwa upande WA loveness 🎉Nawapenda Wana Donta 🎉
@@bahatiomar5297 hata mim. Bora Loveness apate msaada wa maneno ya faraja ki ukweli.
Waaah leo nimewahi mapema naomba like za Kelvin na loveless ❤❤❤ ila mama anamakosa mbona ,kama uko upande wangu twende nalo
Nmewahi leo naombeni like hata tano, mama Kelvin yuko na roho mbaya
Kivp
Kuhukumu bila kujuwa sababu ni nini iliyo sababisaha mtoto wake kwenda chumbani kwa mbiti @@MadinaAhmed-u9z
Ni kwa sababu hajui ametegwa yeye kwa sahii ni kipofu
❤❤❤much love from Kenya naomben likes wadau
Wakwanza from Nairobi Kenya only two likes is enough for me
Mungu atujalie afya na neema tele naombeni like plz
Amin
Timu loveness gonga like hapa tujuane🎉🎉
Leo wa Kwanza from Kenya like zangu Kwa kweli
Leo nime wayiii Kamano like hata 10 am from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 Kevin tunapenda move zenu
Jmn team strong mko wapi 😂Leo n ijumaa mzururo adi usiku duuh noma team donta family nawapenda nyote watu wangu 🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦💞💞💞💞💞mbarikiwe
Mizukaa🎉🎉🎉 tu tupo 🎉🎉😂😂😂
Tupooo Mwendooo wakuzurulaaa tuuu😂😂😂
Tupo sema leo Ijuma tuko busy nakuandq ghahua😂😂
Team bet mama mko wapi 😢😢
Ghahawa tena
Wakwanza nipen like zanguu❤❤
Mwaga maua kwa baba kelvin💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟
🌹🌹🌹🌹🌹
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤🎉
Kevin si hata unipe like wallai❣️
Sikiza Kevin maji yakimwagika hazoleki tena kwahivyo chamusingi niuchukue uamuzi utabaki natina ama utoroke na loveness wewe nimwanaume🎉🎉🎉🎉🎉
Kuna washauli humu sasa hatoroke haje uko kenya au😂😂😂😂😂
Wakwanza leo nipeni like zangu na wasio penda ndoa y Tina na kelvin tujuwane kwenye likes 🎉🎉🎉
Leo wakwanza jamani..tunaoifatilia movie hii kuanzia mwanzo hadi leo hii tujuane apa..
Leo wq kwanza naombeni like ❤❤kutoķa kenya🎉🎉
Kelvin na donta TV oyeeee nawapenda sana team kelvin mko wapi na like zenu jamani ❤❤❤🎉🎉
Wa kwanza naomba likes jemeni kutokea labanon beirut
Pagumu Sana,
Kelvin anachomwa ofisini maana wazazi wa Tina watatumia pesa kumnyamazisha secretary.
Asante kwasababu baba kelvin kashaelewa mwanaye anampenda Sana loveness so as a man atamlinda loveness 🎉🎉🎉 mawazo yangu tuu.
Asante kwasababu Tina kashafumwa muda si mrefu kelvin ataitwa hotelini kushuhudia😂 to get more
Aaaah mi Uyu Kev sasa ashaanza kuzingua upandewetu team kev nimateso hatufurah asee😢
Kwan nyie mnakaa chonjo aje yan weee immediately tu comments zimejaa waah team donta hongereni 🎉🎉❤❤❤
Leo me wa kwanza donta tv naombeni like ❤zangu
Wakwanza kutoka kenya 🙏🏽🙏🏽mungu awabariki sana mtakao like hii comment nawatakia mchana mwema mungu🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾 awalinde amen
Asantenii saana 🥰 much love from Rwanda 🇷🇼
From Rwanda vizuri sana unaishi wap rwanda
@@TumukundeJeans-jh8nl naishi Kigali maeneo ya kicukiro
@@NIYOMAHIRWESumaya oh na mimi ni nyamirambo to
@@TumukundeJeans-jh8nl powa bas
Naombeni like ata 1 jameni na mungu atakubarika unaye dondosha like hapa
Wangap wanataman ndoa ya kev na tina ivunjike🫣🫣🫣
Akun
Mm namba moja maana mmh
Mimi hap
Tuko pamoja
Wewe tunakukubali sana Kevin we muangalietuu kama sanamu la posta kisha fuata anachotaka mwisho wa siku yatapita tuu
Leo naon sijachelew sana❤tujuwane wenye wako 🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Basi watu watakuja kusema wao ndio wa kwanza wanataka like🙌
Kwel mm kelv ana roo yaa kinyama
Kwani nini ndo munapata kuwa wa kwanza ku comment
Hapo sasa wana Donta TV nimengoja kwa hamu na ghamu❤❤❤❤❤
nawapenda donta tv❤❤mnaburudisha sana jameniii kelvin ambia loveness ukweli wampendaaa❤😂
Nimechelewa kidogo jaman wote tunaofatilia love story hii mungu atupe maisha marefu na tuseme Ameen.
Amen
Asante Mungu naona Loveness atakubaliwa kwa mema alionao..ila tina wacha tu nimefurahi kumuona Denis anajua kuigiza sana ila tu tina na mjomba mambo yao hapana...nilijua tuu ..Kazi nzuri Kelvin Khan🎉
@@ShazChem Kelvin ana kipaji ayseee
@@melkizedck Kelvin anajua Kuigiza sana hadi naomba Mungu Mr Kiss apeane pesa kwanza Diana amtibu mama kisha apatikane na I'd Kabla kupeana story ijulikane kwanza ili Tina aache kucheat ama akue mpenzi real wa Denis juu ya mimba itakayompata 🤣🤣🤣Then mapenzi ya Kelvin na Love ingoe nanga Kelvin atimize ndoto na mama na baba waache kutafutia watoto wao wasichokipenda🤣🤣🤣
Next naomba Tinah aumbuke kwa jna la yesu,
😅😅😅
Kwisha rafiki yake kelvin amesha muona kitamulamba muda simulefu😂😂
Nilitamani ampige ata pic ushaidi😂😂😂😂😊@@DivineIngabire-lj3sr
Umwaka award tunampa Mr Kelvin ❤❤❤nani anabisha??Tina mupe talaka tu😂😂😂
Hongera baba Kelvin umeongea Jambo la busara nmekupa maua baba❤❤❤❤🎉🎉🎉mfunze mkeo
Pole Kevin huyo mamako hakutaki meme atakujaumbuka atakaposikia mambo ya huyo mkwe weke tina anavyochepuka lengo tu wakamilishe mipango ya kuwafirisi baba Kevin 🎉🎉🎉🎉🎉🎉unajia mwana wa mwenzio wako
Jambo jamani Mimi wakwanza naombeni lake tu nahakuna kingine ❤❤❤ kelvin end lovenes❤❤❤🥀🥀🥀🥀🥀🥀
Naomba hako kadada karembo kamuumbue huyo mister Kiss
Leo isee nimechelewa sana lakini naomba ata like 1 tu wapendwa
Kelvin POLE sana acana n'a Tina umuowe loveness
Achana nae mvute loveness karibu
Wa Kwanza kutoka Kenya..
Wapi likes za wakenya
Jamn Leo na mm wa kwanza naombeni like zangu from tz ❤❤
Hongera sana kwa kazi nzuriii jamii tunajifunza kitu hela hainunui kila kitu but hela ni kila kitu katika maisha kwa mantiki hio inatuonesha ukifika mahali usitumie hela inahitajika akili yako 0:27 😊
Story ni nzur sana kawimbo katamu bila kusahau waigizaji mahiri mashabiki zenu tunawapenda sana na tutaedelea kuwa support ❤❤❤❤
Nmefurahi vile baba kelvin amtetea loveness abarikiwe sana
Wapi likes za kenya. Watching from Kenya this amazing episode. Kelvin big up. That man (father ) is the greatest a man may wish to have
Ooooh waooooooow nimewah
Nimechukuwa muda kuingia like kutoka Mozambique tumpongeze kelvin na loveness 🇲🇿🇲🇿❤❤💪💪🔥🔥
Jamani Sasa mbona amniti 😢😢😢mumepanda Gari mkanicha mie maskini😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Ili wiki mmenifulahisha kwakwer mmetoa mov kwa wakat hongeren sana nawapenda jamnii
KAZI nzuri 🎉🎉🎉
Wangapi wamenza kupenda baba kelvin
Goood job
Wakwanza jamani🎉😂munipe basi hata like 2
Nmekua wa kwanza kuilike...Npeni maua yanguu
Leo baba Kelvin ameongea vizuri wapi makofi yake
Mpe taraka halafu umuoe loveness
Kelvin wew toroka Na Loveness mama yako akutafute hadi ackuone Kwa macho yake atajuta alichokufanyia majuto n mjukuu
Wa kwanzaa
Asanteni sana kwa kazi nzri. Congratulations to all
Wa Kwanzaa leo
Napenda baba kelvin alivyochukua nafasi yake kama baba....kama umeliona hili hebu gonga like na coment hapa❤❤❤
Namba moja
Love is beautiful things created by GOD❤
But loveness is a shadow of kelvin life❤
Bom trabalho ❤❤
Ushuri hatukupi tulikuonya kabla ,au vp bt ni kama bbke Kelvin ana funguka mmke Kelvin sijapenda ulivyo mpiga kofi Kelvin sio vzr😂😂😂❤❤❤ nawapenda bure 🇰🇪
Huyu mama kev anakidomodomo jaman na kiherehere khaaah
Mtongoze loveless sasa 😊😊😊😊
Waoooooh nipe like zangu
House maid wanapitia mtihan kweli,pole loveness
Wa kwanz leo kutokea 🇧🇮 naomb like zenu wapendw❤
Mama kevin ebu jaribu ata kidogo bac kumbeba loveness kaa binti yko.....maskin love wetu pole kwa yanayokukuta 😢
Aliefurahi kama mm John kumuona tina na denis manake soon kitaenda kumramba 😂😂😂😂 Kelvin nae mapenzi yanampelekesha duh pole loveness wetu ❤❤🎉🎉
😢😢nilitamani angempiga picha
Good work donta film zenu ni tamo mno🎉❤
Juma Mubarak Leo wakaza
Nawapenda sana family ya donta tv ilasjapenda mama angeuliza kwanza 😊😊😊
Baba amenifurahisha kidogo leo
Mimi Nahisi kelvin ashateka tasnia ya bongo movie za mapenzi clam itabidi akaze buti
Wakwanaza leo kutoka 🇰🇪 20 please
Wajna🎉
Bora baba umekuwa upande wa loveness maana
Good job 🎉🎉
Jamani nam mim naombeni like Ata 1
Na huyu anaehitaji Hela za wiz akamtibie mama ke hatafanikiwa Kwa kweli 🙌🙌
bro kelvin with ur team kiukwel always attractive movie ni Ile amabyo ukiangalia unashindwa kupredict it's end movie ambayo inatutamanisha tuzidi kutaman kujua mwisho utakuwaje for sure u did it my broo
Sina meng ila na appreciate ur work mungu azid kuwapa uzima na maarifa mzidi kufanya kazi za kuifunza jamii
Wakwanza leo jmn naomben ata like kumi kutoka mozambiki
Team strong mpo wapi naombeni like zangu ❤❤🎉🎉❤