PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI PART 24 | Love Story

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 окт 2024
  • #love

Комментарии • 1,1 тыс.

  • @Dontatv255
    @Dontatv255  4 часа назад +286

    HIVI HUYU TINA NIMFANYE NINI☹️?? EM NIPENI USHAURI

  • @VeronicahOtwori
    @VeronicahOtwori 3 часа назад +65

    Wenye wanakubali kuwa baba Kelvin ametambua kuwa Kelvin anamupenda lovenes tujuane kwa like jameni ❤❤❤Tina n msariti jameni 😢😢😢

  • @JastFinancial02
    @JastFinancial02 4 часа назад +186

    Wanaokubali uwepo wa loveness kwenye drama za @DONTA TV tuwatambue kwa like zenu jaman

    • @RashidKhanOmar
      @RashidKhanOmar 3 часа назад +1

      @@JastFinancial02 mimi hapa

    • @melkizedck
      @melkizedck 2 часа назад +1

      @@JastFinancial02 weeee! Loveness ndo anawika hapo. Msimtoe kabisa.

    • @jonathanndundi1562
      @jonathanndundi1562 2 часа назад +2

      Loveness Na Kelvin ndio wanaleta utam Wa hii movie msimtoe ata

    • @AnnickyHatungimana
      @AnnickyHatungimana Час назад

      Yaani loveness akitolewa mwa hii movie hatutaiangalia tena juu ye ndo analeta utamu kabisa

  • @FurahaNzunda-e5s
    @FurahaNzunda-e5s 4 часа назад +106

    Nimekuwa wa kwanza leo, tangu RUclips ianzishwe sijawahi pata like 5k

  • @FaidhaRamadhani-p6i
    @FaidhaRamadhani-p6i 3 часа назад +55

    Wanaochukizwa na vitendo vya mama kelvin tujuane kwa like

    • @olicej7837
      @olicej7837 3 часа назад +3

      Ananichukiza na shape yake ya kiboko 😂😂😂😂😂

    • @FaidhaRamadhani-p6i
      @FaidhaRamadhani-p6i 3 часа назад

      @@olicej7837 🤣🤣yaan

    • @annammari-z6s
      @annammari-z6s 2 часа назад

      Tatizo lake anakurupuka haulizi ili kujua kinachoendelea kumpiga kelvin sio suluhisho kabisa sijapenda

    • @AnnickyHatungimana
      @AnnickyHatungimana Час назад

      Wa kwanza hapa

    • @fideliafaida1247
      @fideliafaida1247 Час назад +1

      N lisura lake km mchawi😏😏

  • @ZAHARA-s2m
    @ZAHARA-s2m 3 часа назад +26

    Hongera sana baba kelvin unajua kumtetea loveness 🎉🎉maua yako

  • @Frankjr-y4k
    @Frankjr-y4k 4 часа назад +52

    Mungu nisamehe Dhabi zangu zote na huyu anae soma comment hiii

  • @Muhsin-d3u
    @Muhsin-d3u 2 часа назад +43

    Waliolia juu ya kelvin kupigwa na mamake tuungane hapa team hamam hoyeeee

  • @SakoSaka-kc2mt
    @SakoSaka-kc2mt 3 часа назад +42

    Jamani maua kwa baba Kelvin 🎉🎉🎉nimependezwa sana ❤

  • @himnakhatib1050
    @himnakhatib1050 4 часа назад +82

    Alhamdulillah nawatakia ijumaa njema watazamj wote Allah atusamh makosa yetu

  • @Amena-z5r
    @Amena-z5r 4 часа назад +39

    Kelvin naomba like hata 10 tu wakwanza leo plz 🙏🏼 salimia loveness ❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @Mwanashamzee
    @Mwanashamzee 4 часа назад +27

    Wakwanza from Kenya 🎉nipeni like zangu 😢😢😢😢

  • @bahatiomar5297
    @bahatiomar5297 3 часа назад +26

    Nafurah Sana kumuona Baba kelvin akiwa upande WA loveness 🎉Nawapenda Wana Donta 🎉

    • @melkizedck
      @melkizedck 2 часа назад

      @@bahatiomar5297 hata mim. Bora Loveness apate msaada wa maneno ya faraja ki ukweli.

  • @TumainiElizabeth
    @TumainiElizabeth 3 часа назад +10

    Waaah leo nimewahi mapema naomba like za Kelvin na loveless ❤❤❤ ila mama anamakosa mbona ,kama uko upande wangu twende nalo

  • @Saumu-vr4bc
    @Saumu-vr4bc 4 часа назад +35

    Nmewahi leo naombeni like hata tano, mama Kelvin yuko na roho mbaya

    • @MadinaAhmed-u9z
      @MadinaAhmed-u9z 3 часа назад

      Kivp

    • @MekyleLamohr-c5z
      @MekyleLamohr-c5z 2 часа назад

      Kuhukumu bila kujuwa sababu ni nini iliyo sababisaha mtoto wake kwenda chumbani kwa mbiti ​@@MadinaAhmed-u9z

    • @sabinaKerubo-i5g
      @sabinaKerubo-i5g 2 часа назад

      Ni kwa sababu hajui ametegwa yeye kwa sahii ni kipofu

  • @ivybrown958
    @ivybrown958 4 часа назад +24

    ❤❤❤much love from Kenya naomben likes wadau

  • @rohosafichumot4842
    @rohosafichumot4842 4 часа назад +35

    Wakwanza from Nairobi Kenya only two likes is enough for me

  • @GloryEmmanuel-b2t
    @GloryEmmanuel-b2t 4 часа назад +47

    Mungu atujalie afya na neema tele naombeni like plz

  • @tulyroden5135
    @tulyroden5135 3 часа назад +20

    Timu loveness gonga like hapa tujuane🎉🎉

  • @MercyMwakera
    @MercyMwakera 4 часа назад +15

    Leo wa Kwanza from Kenya like zangu Kwa kweli

  • @LuqmanIbraah
    @LuqmanIbraah 4 часа назад +15

    Leo nime wayiii Kamano like hata 10 am from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 Kevin tunapenda move zenu

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 4 часа назад +81

    Jmn team strong mko wapi 😂Leo n ijumaa mzururo adi usiku duuh noma team donta family nawapenda nyote watu wangu 🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦💞💞💞💞💞mbarikiwe

    • @Latifa123Latifa12
      @Latifa123Latifa12 3 часа назад +1

      Mizukaa🎉🎉🎉 tu tupo 🎉🎉😂😂😂

    • @NajimaShabani
      @NajimaShabani 3 часа назад +3

      Tupooo Mwendooo wakuzurulaaa tuuu😂😂😂

    • @GalazxyShshhs
      @GalazxyShshhs 3 часа назад +2

      Tupo sema leo Ijuma tuko busy nakuandq ghahua😂😂

    • @Beatrice-z4c
      @Beatrice-z4c 3 часа назад +5

      Team bet mama mko wapi 😢😢

    • @Alice-d8i6j
      @Alice-d8i6j 3 часа назад +1

      Ghahawa tena

  • @Burak-ck2nx
    @Burak-ck2nx 4 часа назад +39

    Wakwanza nipen like zanguu❤❤

  • @YasintaMabumo-x5k
    @YasintaMabumo-x5k 4 часа назад +46

    Mwaga maua kwa baba kelvin💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕

    • @جاااحظمجنون
      @جاااحظمجنون 3 часа назад +2

      ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @RachelJimmy-t9v
      @RachelJimmy-t9v 2 часа назад

      💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟

    • @MarthaChuwa-s8d
      @MarthaChuwa-s8d 2 часа назад +1

      🌹🌹🌹🌹🌹

    • @GetrudaPetro-v4b
      @GetrudaPetro-v4b 2 часа назад +1

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @MargaretJulius
      @MargaretJulius Час назад +3

      ❤❤❤❤❤🎉

  • @fancycherotich8053
    @fancycherotich8053 4 часа назад +22

    Kevin si hata unipe like wallai❣️

  • @JanetChisaga
    @JanetChisaga 3 часа назад +12

    Sikiza Kevin maji yakimwagika hazoleki tena kwahivyo chamusingi niuchukue uamuzi utabaki natina ama utoroke na loveness wewe nimwanaume🎉🎉🎉🎉🎉

    • @NewNew-ep5dq
      @NewNew-ep5dq Час назад

      Kuna washauli humu sasa hatoroke haje uko kenya au😂😂😂😂😂

  • @Mema-h-y
    @Mema-h-y 4 часа назад +12

    Wakwanza leo nipeni like zangu na wasio penda ndoa y Tina na kelvin tujuwane kwenye likes 🎉🎉🎉

  • @MussaMatata-d7v
    @MussaMatata-d7v 4 часа назад +20

    Leo wakwanza jamani..tunaoifatilia movie hii kuanzia mwanzo hadi leo hii tujuane apa..

  • @jokerrasho
    @jokerrasho 4 часа назад +11

    Leo wq kwanza naombeni like ❤❤kutoķa kenya🎉🎉

  • @ClaraCecil-rq4xf
    @ClaraCecil-rq4xf 2 часа назад +4

    Kelvin na donta TV oyeeee nawapenda sana team kelvin mko wapi na like zenu jamani ❤❤❤🎉🎉

  • @elizabethnyanchamaomwenga7418
    @elizabethnyanchamaomwenga7418 4 часа назад +22

    Wa kwanza naomba likes jemeni kutokea labanon beirut

  • @beatusmtui507
    @beatusmtui507 2 часа назад +3

    Pagumu Sana,
    Kelvin anachomwa ofisini maana wazazi wa Tina watatumia pesa kumnyamazisha secretary.
    Asante kwasababu baba kelvin kashaelewa mwanaye anampenda Sana loveness so as a man atamlinda loveness 🎉🎉🎉 mawazo yangu tuu.
    Asante kwasababu Tina kashafumwa muda si mrefu kelvin ataitwa hotelini kushuhudia😂 to get more

  • @youngtypetz7454
    @youngtypetz7454 2 часа назад +6

    Aaaah mi Uyu Kev sasa ashaanza kuzingua upandewetu team kev nimateso hatufurah asee😢

  • @PriscarMbodze
    @PriscarMbodze 4 часа назад +7

    Kwan nyie mnakaa chonjo aje yan weee immediately tu comments zimejaa waah team donta hongereni 🎉🎉❤❤❤

  • @OfTHUg00
    @OfTHUg00 4 часа назад +22

    Leo me wa kwanza donta tv naombeni like ❤zangu

  • @VictoriaDawiteh
    @VictoriaDawiteh 4 часа назад +9

    Wakwanza kutoka kenya 🙏🏽🙏🏽mungu awabariki sana mtakao like hii comment nawatakia mchana mwema mungu🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾 awalinde amen

  • @NIYOMAHIRWESumaya
    @NIYOMAHIRWESumaya 4 часа назад +19

    Asantenii saana 🥰 much love from Rwanda 🇷🇼

  • @Hope-dq1or
    @Hope-dq1or 4 часа назад +7

    Naombeni like ata 1 jameni na mungu atakubarika unaye dondosha like hapa

  • @DeeDan-sj1mr
    @DeeDan-sj1mr 4 часа назад +41

    Wangap wanataman ndoa ya kev na tina ivunjike🫣🫣🫣

  • @jajauwimana
    @jajauwimana 4 часа назад +7

    Leo naon sijachelew sana❤tujuwane wenye wako 🇸🇦🇸🇦🇸🇦

  • @mwenieliasa6517
    @mwenieliasa6517 4 часа назад +13

    Basi watu watakuja kusema wao ndio wa kwanza wanataka like🙌

  • @InukaUangaze-s3y
    @InukaUangaze-s3y 4 часа назад +7

    Hapo sasa wana Donta TV nimengoja kwa hamu na ghamu❤❤❤❤❤

  • @BerylPhiddie
    @BerylPhiddie 4 часа назад +7

    nawapenda donta tv❤❤mnaburudisha sana jameniii kelvin ambia loveness ukweli wampendaaa❤😂

  • @NasrahMsiagi
    @NasrahMsiagi 2 часа назад +5

    Nimechelewa kidogo jaman wote tunaofatilia love story hii mungu atupe maisha marefu na tuseme Ameen.

  • @ShazChem
    @ShazChem 3 часа назад +3

    Asante Mungu naona Loveness atakubaliwa kwa mema alionao..ila tina wacha tu nimefurahi kumuona Denis anajua kuigiza sana ila tu tina na mjomba mambo yao hapana...nilijua tuu ..Kazi nzuri Kelvin Khan🎉

    • @melkizedck
      @melkizedck 2 часа назад +1

      @@ShazChem Kelvin ana kipaji ayseee

    • @ShazChem
      @ShazChem 2 часа назад

      @@melkizedck Kelvin anajua Kuigiza sana hadi naomba Mungu Mr Kiss apeane pesa kwanza Diana amtibu mama kisha apatikane na I'd Kabla kupeana story ijulikane kwanza ili Tina aache kucheat ama akue mpenzi real wa Denis juu ya mimba itakayompata 🤣🤣🤣Then mapenzi ya Kelvin na Love ingoe nanga Kelvin atimize ndoto na mama na baba waache kutafutia watoto wao wasichokipenda🤣🤣🤣

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 3 часа назад +12

    Next naomba Tinah aumbuke kwa jna la yesu,

    • @afsamimi2780
      @afsamimi2780 3 часа назад

      😅😅😅

    • @DivineIngabire-lj3sr
      @DivineIngabire-lj3sr 3 часа назад +1

      Kwisha rafiki yake kelvin amesha muona kitamulamba muda simulefu😂😂

    • @olicej7837
      @olicej7837 3 часа назад

      Nilitamani ampige ata pic ushaidi😂😂😂😂😊​@@DivineIngabire-lj3sr

  • @Justin_Nano
    @Justin_Nano 4 часа назад +6

    Umwaka award tunampa Mr Kelvin ❤❤❤nani anabisha??Tina mupe talaka tu😂😂😂

  • @JamimaZ
    @JamimaZ 2 часа назад +2

    Hongera baba Kelvin umeongea Jambo la busara nmekupa maua baba❤❤❤❤🎉🎉🎉mfunze mkeo

  • @TheodoraChaki
    @TheodoraChaki 3 часа назад +3

    Pole Kevin huyo mamako hakutaki meme atakujaumbuka atakaposikia mambo ya huyo mkwe weke tina anavyochepuka lengo tu wakamilishe mipango ya kuwafirisi baba Kevin 🎉🎉🎉🎉🎉🎉unajia mwana wa mwenzio wako

  • @rozamarcelle1241
    @rozamarcelle1241 4 часа назад +6

    Jambo jamani Mimi wakwanza naombeni lake tu nahakuna kingine ❤❤❤ kelvin end lovenes❤❤❤🥀🥀🥀🥀🥀🥀

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 4 часа назад +9

    Naomba hako kadada karembo kamuumbue huyo mister Kiss

  • @DicksonMchapo
    @DicksonMchapo 4 часа назад +4

    Leo isee nimechelewa sana lakini naomba ata like 1 tu wapendwa

  • @FurahaChristine-g8w
    @FurahaChristine-g8w 3 часа назад +4

    Kelvin POLE sana acana n'a Tina umuowe loveness

  • @AbiaKafrete
    @AbiaKafrete 3 часа назад +6

    Achana nae mvute loveness karibu

  • @StellaKaluu
    @StellaKaluu 4 часа назад +5

    Wa Kwanza kutoka Kenya..
    Wapi likes za wakenya

  • @RamadhanibeniBeni
    @RamadhanibeniBeni 4 часа назад +6

    Jamn Leo na mm wa kwanza naombeni like zangu from tz ❤❤

  • @kayikumazoya322
    @kayikumazoya322 4 часа назад +6

    Hongera sana kwa kazi nzuriii jamii tunajifunza kitu hela hainunui kila kitu but hela ni kila kitu katika maisha kwa mantiki hio inatuonesha ukifika mahali usitumie hela inahitajika akili yako 0:27 😊

  • @anitamollel8982
    @anitamollel8982 2 часа назад +2

    Story ni nzur sana kawimbo katamu bila kusahau waigizaji mahiri mashabiki zenu tunawapenda sana na tutaedelea kuwa support ❤❤❤❤

  • @veronicahnyamweya2855
    @veronicahnyamweya2855 2 часа назад +3

    Nmefurahi vile baba kelvin amtetea loveness abarikiwe sana

  • @robertmose1734
    @robertmose1734 43 минуты назад

    Wapi likes za kenya. Watching from Kenya this amazing episode. Kelvin big up. That man (father ) is the greatest a man may wish to have

  • @NeemaMhagama-j4e
    @NeemaMhagama-j4e 3 часа назад +3

    Ooooh waooooooow nimewah

  • @DanielManuelMissa
    @DanielManuelMissa 3 часа назад +2

    Nimechukuwa muda kuingia like kutoka Mozambique tumpongeze kelvin na loveness 🇲🇿🇲🇿❤❤💪💪🔥🔥

  • @memoterry
    @memoterry 3 часа назад +4

    Jamani Sasa mbona amniti 😢😢😢mumepanda Gari mkanicha mie maskini😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @RebbyEddy
    @RebbyEddy 3 часа назад +4

    Ili wiki mmenifulahisha kwakwer mmetoa mov kwa wakat hongeren sana nawapenda jamnii

  • @DanielCharo-iw7gt
    @DanielCharo-iw7gt 4 часа назад +6

    KAZI nzuri 🎉🎉🎉

  • @esthernekoye-ly5cx
    @esthernekoye-ly5cx 3 часа назад +3

    Wangapi wamenza kupenda baba kelvin

  • @AdmiringBirds-tp3ji
    @AdmiringBirds-tp3ji 4 часа назад +5

    Goood job

  • @fifimilly2417
    @fifimilly2417 4 часа назад +5

    Wakwanza jamani🎉😂munipe basi hata like 2

  • @RodgersKaingu-y4h
    @RodgersKaingu-y4h 4 часа назад +5

    Nmekua wa kwanza kuilike...Npeni maua yanguu

  • @globalcell2423
    @globalcell2423 2 часа назад +2

    Leo baba Kelvin ameongea vizuri wapi makofi yake

  • @EstherStephano-o6e
    @EstherStephano-o6e 2 часа назад +3

    Mpe taraka halafu umuoe loveness

  • @JamimaZ
    @JamimaZ Час назад +1

    Kelvin wew toroka Na Loveness mama yako akutafute hadi ackuone Kwa macho yake atajuta alichokufanyia majuto n mjukuu

  • @PrezoMusa
    @PrezoMusa 4 часа назад +7

    Wa kwanzaa

  • @al-mamarial-mamari5457
    @al-mamarial-mamari5457 2 часа назад +1

    Asanteni sana kwa kazi nzri. Congratulations to all

  • @JohnNoa-ff1qv
    @JohnNoa-ff1qv 4 часа назад +6

    Wa Kwanzaa leo

  • @wilmotkarisa6174
    @wilmotkarisa6174 37 минут назад +1

    Napenda baba kelvin alivyochukua nafasi yake kama baba....kama umeliona hili hebu gonga like na coment hapa❤❤❤

  • @jumahamisi4660
    @jumahamisi4660 4 часа назад +7

    Namba moja

  • @annaki318
    @annaki318 2 часа назад +2

    Love is beautiful things created by GOD❤
    But loveness is a shadow of kelvin life❤

  • @FranciscoJoséSelesio-w7x
    @FranciscoJoséSelesio-w7x 3 часа назад +3

    Bom trabalho ❤❤

  • @BintiM-di1wm
    @BintiM-di1wm 2 часа назад +2

    Ushuri hatukupi tulikuonya kabla ,au vp bt ni kama bbke Kelvin ana funguka mmke Kelvin sijapenda ulivyo mpiga kofi Kelvin sio vzr😂😂😂❤❤❤ nawapenda bure 🇰🇪

  • @PriscaBenjamin-ub7lu
    @PriscaBenjamin-ub7lu 3 часа назад +3

    Huyu mama kev anakidomodomo jaman na kiherehere khaaah

  • @Nanahrobby
    @Nanahrobby 2 часа назад +2

    Mtongoze loveless sasa 😊😊😊😊

  • @JedyIsack-ec1kx
    @JedyIsack-ec1kx 4 часа назад +5

    Waoooooh nipe like zangu

  • @kibibiabdul5312
    @kibibiabdul5312 Час назад +1

    House maid wanapitia mtihan kweli,pole loveness

  • @alimahatungimana
    @alimahatungimana 4 часа назад +3

    Wa kwanz leo kutokea 🇧🇮 naomb like zenu wapendw❤

  • @Glorian-iv6xz
    @Glorian-iv6xz 3 часа назад +2

    Mama kevin ebu jaribu ata kidogo bac kumbeba loveness kaa binti yko.....maskin love wetu pole kwa yanayokukuta 😢

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 3 часа назад +3

    Aliefurahi kama mm John kumuona tina na denis manake soon kitaenda kumramba 😂😂😂😂 Kelvin nae mapenzi yanampelekesha duh pole loveness wetu ❤❤🎉🎉

  • @MargretMburu-z2x
    @MargretMburu-z2x Час назад +1

    Good work donta film zenu ni tamo mno🎉❤

  • @Ali-c7b4d
    @Ali-c7b4d 4 часа назад +5

    Juma Mubarak Leo wakaza

  • @FadhilinaMwambashi-z3u
    @FadhilinaMwambashi-z3u 3 часа назад +2

    Nawapenda sana family ya donta tv ilasjapenda mama angeuliza kwanza 😊😊😊

  • @MwanaidSemwaiko
    @MwanaidSemwaiko 4 часа назад +3

    Baba amenifurahisha kidogo leo

  • @Fadhila0-x7c
    @Fadhila0-x7c 2 часа назад +2

    Mimi Nahisi kelvin ashateka tasnia ya bongo movie za mapenzi clam itabidi akaze buti

  • @PurityBabies
    @PurityBabies 4 часа назад +5

    Wakwanaza leo kutoka 🇰🇪 20 please

  • @AGRIPINAGABRIEL-do2ed
    @AGRIPINAGABRIEL-do2ed Час назад +1

    Bora baba umekuwa upande wa loveness maana

  • @jackxypeters
    @jackxypeters 4 часа назад +3

    Good job 🎉🎉

  • @EmanuelTengule-u2j
    @EmanuelTengule-u2j 3 часа назад +2

    Jamani nam mim naombeni like Ata 1

  • @Shinyg3l
    @Shinyg3l 2 часа назад +3

    Na huyu anaehitaji Hela za wiz akamtibie mama ke hatafanikiwa Kwa kweli 🙌🙌

  • @maxsolo-q9b
    @maxsolo-q9b 30 минут назад +1

    bro kelvin with ur team kiukwel always attractive movie ni Ile amabyo ukiangalia unashindwa kupredict it's end movie ambayo inatutamanisha tuzidi kutaman kujua mwisho utakuwaje for sure u did it my broo
    Sina meng ila na appreciate ur work mungu azid kuwapa uzima na maarifa mzidi kufanya kazi za kuifunza jamii

  • @MustyNgongo
    @MustyNgongo 4 часа назад +6

    Wakwanza leo jmn naomben ata like kumi kutoka mozambiki

  • @YusraMshomary
    @YusraMshomary 14 минут назад +1

    Team strong mpo wapi naombeni like zangu ❤❤🎉🎉❤