MY MOTHER EP 28 | Sad Story 💔💔

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 окт 2024

Комментарии • 136

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 12 часов назад +38

    Safi San zatiti mpe makavu hyo man alikuliza San jaman tulio furahia zatit kumchana kai tujuane hap🎉🎉🎉🎉🎉

  • @JudyMwende-u8r
    @JudyMwende-u8r 12 часов назад +24

    Zatiti unatisha sana dada 🎉🎉🎉🎉🎉mauwa yayko

  • @ZamzamMusa-ve5tc
    @ZamzamMusa-ve5tc 9 часов назад +9

    Zatity watumia soda gani mpz umenifurahisha sana icho kipande cha kai na ww yani umetisha sana ❤❤❤❤❤

  • @tamtamtz
    @tamtamtz 10 часов назад +9

    Kazi Nzuri sanaaaaa.... Haya Wale wa My Destiny tayari tumepost Ep 14

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 12 часов назад +22

    Zatiti kwny hcho kpande cha kai na Zatiti kwny hako kamti, Zatiti umetisha dada hongera umeongea kwa ujasili sana ,

  • @RizikiStadza
    @RizikiStadza 9 часов назад +10

    Kai sasa moyo mtamchoma kweli kweli 😂😂Kai bei kula chuma hicho zatiti anapendeza na atazidi kupendeza nakuhurumia lkn huo ni mwiba wakujichoma haufai kuambiwa pole nenda kwa batuli wako achana na zatiti wetu sai amen move on upo😂😂

  • @Juliety-v3o
    @Juliety-v3o 10 часов назад +7

    Zatiti bhana leo umejua kumrusha roho Kai hvyo ndio inatakiwa. Kwamwanaum anaejiona amekuacha amekukomoa saf sana zatiti

  • @FatumaJeffer
    @FatumaJeffer 5 часов назад +2

    Safi sana zatiti❤❤

  • @Asma-i1t2b
    @Asma-i1t2b 9 часов назад +3

    Tunao mukubali zatiti tujuane ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @angelmauja1846
    @angelmauja1846 6 часов назад +3

    Naombeni mfanye kitu,kai anapoenda kuomba field akute zatiti ndo boss wake

  • @ManfeitaShahbani
    @ManfeitaShahbani 9 часов назад +2

    🎉🎉🎉Zatiti congratulations for you,

  • @DominPallangyo
    @DominPallangyo 12 часов назад +7

    Ningeshangaa sana sakina kugoma kutoa namba 😂😂😂

  • @Najmahnyangasi
    @Najmahnyangasi 9 часов назад +3

    Daaah dazatiti ongera sana mpambe huyo kai ajue eeeeh Asanta sana da zatiti ongera sana mama nimefurai alie juu msubiri chini sasa ndo hayo yamemkuta😂😂😂😂kai huogopi

  • @terimberejaliajalia8284
    @terimberejaliajalia8284 13 часов назад +6

    kutoka 🇧🇮 nimewahi 😂 mu dakika 5 sii mbaya.nipeni like zangu baana❤

  • @MaryianKea
    @MaryianKea 11 часов назад +3

    Hongera zatiti🎉🎉🎉❤❤

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 13 часов назад +43

    Tusio lala ucku na mchana tujuane like za zatiti jman MNA ndo nnae mpnda❤

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 12 часов назад +6

    Hakik kai umeacha Mke zatit umependa kuokota dang batuli

  • @AishaNibizi
    @AishaNibizi 12 часов назад +8

    1kutoka burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 Like zangu wanayo mupenda zatiti

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 12 часов назад +3

    Jaman pole San mzee WAngu unateseka n mawazo jaman

  • @JoselineJuma-r7o
    @JoselineJuma-r7o 11 часов назад +3

    Zatiti sio kwa kujiamini uko pokea maua 🎉🎉🎉🎉

  • @everlinenjuguna2281
    @everlinenjuguna2281 10 часов назад +1

    More love❤❤❤❤❤ Zatiti hongera sana

  • @Swamyhassan_sy
    @Swamyhassan_sy 11 часов назад +7

    Wanawakee tunatakiwa kuwa iviii wallah safi sana zatiti❤❤❤❤

  • @RehemaMwakisyala-k9u
    @RehemaMwakisyala-k9u 12 часов назад +12

    Waooo zatiti wangu jamani ❤❤❤❤🎉🎉🎉 umetisha mama

  • @MaryamIssa-x5z
    @MaryamIssa-x5z 10 часов назад +1

    Zatity umeongea kw kujiamin hongera sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @NaomiSanga-p5y
    @NaomiSanga-p5y 9 часов назад +1

    Zatiti safi kwa kumuumiza kai 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SdFft-j5g
    @SdFft-j5g 10 часов назад +1

    Zatiti good girl, huo ujasiri ndo niliokupendea😂😂😂, alfu nguo zote zatiti anazofaa zinamuingia vzri snaa nakupenda bure mamaa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @BNfunny-rg7xf
    @BNfunny-rg7xf 13 часов назад +2

    Iyo noma sana kbs

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 13 часов назад +3

    WA Kwanz leo jamn❤❤❤❤❤

  • @Lydia-oy1cz
    @Lydia-oy1cz 10 часов назад +1

    Big up zatiti umetisha sana❤❤❤

  • @SabrahNibuka
    @SabrahNibuka 11 часов назад +1

    Asantee zatiti wng❤❤🎉🎉🎉

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 8 часов назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉ya Zatiti❤❤❤

  • @FaithJoshua-n8n
    @FaithJoshua-n8n 12 часов назад +4

    Ata zatiti anajua kuringa, Kai utajipanga

  • @sayunimnguruta98
    @sayunimnguruta98 9 часов назад +1

    Zatiti hongera sana mpe vidonge vyake 😂😂😂 kai batuli mpka akue😂😂😂😂

  • @AdelaideWanyonyi
    @AdelaideWanyonyi 9 часов назад +1

    Zatiti kazi nzuri da

  • @ApsaraMob
    @ApsaraMob 6 часов назад

    Zatiti wang pend san wew😊😊😊

  • @Farthun
    @Farthun 12 часов назад +3

    Kai imekula kwako 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nenda kwa batuli wako

  • @coolboymicky3651
    @coolboymicky3651 12 часов назад +2

    Nzuri sanaa

  • @LenaWambua
    @LenaWambua 13 часов назад +3

    Mimi WA Kwanza kulike na kuwatch leo

  • @IddiMiraji-w8h
    @IddiMiraji-w8h 11 часов назад +1

    Zatiti umependeza sana❤❤❤❤❤

  • @AminaKavuo-gj3oc
    @AminaKavuo-gj3oc 9 часов назад +1

    Asante San zatiti mupe mupe zatiti huo Kai hanapenda kulelewa na mwanamuke

  • @zainabumtego5873
    @zainabumtego5873 12 часов назад +2

    Sijachelewa sanaa

  • @SalomengandiNzungu-it5ph
    @SalomengandiNzungu-it5ph 11 часов назад +2

    Wangap walikua wanataman kma mm kua siku moja kai aje kukutana na ex wake zatiti Ana kw Ana wazungu wakasema face to face ili tuone atakavo jing'atang'a pasipokuwepo yule mshenzi asojua kwamba money can't buy a happy 😊😊😊😊

  • @mwajumamuya2754
    @mwajumamuya2754 53 минуты назад

    Zatiti kachoka sasa big up huo ndo uanamke🥰🥰🥰

  • @SurprisedBurger-he7xe
    @SurprisedBurger-he7xe 13 часов назад +2

    Waoooo ❤❤❤ sana

  • @AnnastaziaVicent
    @AnnastaziaVicent 12 часов назад +5

    Ila Kai saivi unamukumbuka zatiti 😂

  • @umentco9600
    @umentco9600 11 часов назад +1

    Hapa kai anafikiria satiti bila kukumbuka mabaya aliye mufanyia nyuma

  • @JosphineKinoti
    @JosphineKinoti 12 часов назад +2

    Woow zatiti leo umeweza wakumbafu 😂😂

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 12 часов назад +3

    Roho inakusuta San Kai ila mam alikwambia ukampuuza

  • @Mwanajumahassan-tg3zg
    @Mwanajumahassan-tg3zg 9 часов назад +1

    😂😂😂😂😂😂zatiti kumbe hukosi za akiba umempa meupe kai 😂😂😂😂❤❤❤

  • @TheresiaTitus-m1l
    @TheresiaTitus-m1l 13 часов назад +3

    Wa1

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 11 часов назад +1

    Kai wewe ni nungu nungu 😂😂

  • @ZainabuKakozi
    @ZainabuKakozi 8 часов назад +1

    Nilidhani nimewahi 🤣🤣🙌 kumbe nimechelewa😂

  • @DamarisMoraa-y5d
    @DamarisMoraa-y5d 9 часов назад +1

    Zatiti kudos 😂😂kama sponser wako n kalunguyeye basi kai ni nungunùngu 😂😂 nmecheka nkaisha🎉

  • @JenifaSilvester
    @JenifaSilvester 5 часов назад +1

    Me napenda nikimuona zatt na furaha

  • @ShamimShamy
    @ShamimShamy 2 часа назад

    Zatiti Hilo nalo Neno ulomwambia Kay lkn ukwel Huo mauw yako zatiti ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @شاميمشاميم-ر9ت
    @شاميمشاميم-ر9ت 10 часов назад +1

    Zatiti umemnyoosha kai kanywea kama tembe ya piritoni😂😂😂😂😂

  • @MobTrsco
    @MobTrsco 3 часа назад +1

    Nmependa san kauli zake zatiti jaman kama umependa kama mm like hapa tujuane plz😊😊😊

  • @PerezQuenisha
    @PerezQuenisha 5 часов назад

    Safi sana zatiti

  • @TeddyPaul-j3g
    @TeddyPaul-j3g 10 часов назад +1

    Karunguyeye😂😂😂

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 12 часов назад +2

    Saf zatiti kai mtolee inje kabs hy

  • @JoannaHemedy
    @JoannaHemedy 4 часа назад

    Zatiti nakupenda sana una mupa makavu ❤❤

  • @ErastoMsemwa
    @ErastoMsemwa 8 часов назад +1

    Zatiti unatabasamu zuri

  • @شاميمشاميم-ر9ت
    @شاميمشاميم-ر9ت 11 часов назад +1

    Zatiti mpe vidonge vyake kai akitaka ameze au ateme 😂😂😂😂kazi kwake

  • @modestajamada3496
    @modestajamada3496 12 часов назад +3

    Mimi isijawai ielewa😅

  • @shadya-gi8br
    @shadya-gi8br 11 часов назад +1

    Zatiti pokea mauwa yako😊😊umetisha

  • @Martha-gs3in
    @Martha-gs3in 12 часов назад +2

    Zatiti mauwa yakoo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅😅😅

  • @Asiamohammed1317
    @Asiamohammed1317 12 часов назад +2

    Siku zote ex hupenda akuone umecharara kai imekuramba hiyo

  • @AminaNgumba
    @AminaNgumba 12 часов назад

    Pongez kwa zatiti❤❤❤ now ni muda wa kai kutesek

  • @carolinesidi-od4ni
    @carolinesidi-od4ni 7 часов назад

    🎉 🎉🎉🎉zatiti hongera sana

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 4 часа назад

    Haki ya Mungu zatiti umefanya ile kitu napenda kwa kai...umenikosha mwaya🎉🎉🎉🎉

  • @MariaHussein-f5w
    @MariaHussein-f5w 12 часов назад +1

    Zatiti nmkupenda bree umejua kumpa makav kai😅

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 11 часов назад +1

    Mwanamke akishachoka hua maneno yake yana choma direct kwa moyo.....Yani maneno makali kushinda mkuki wa sumu ya uchungu wa mamba .... anaongea aki smile kambe ako hpy lakin wapi..😅

  • @hutahuta1170
    @hutahuta1170 8 часов назад +1

    Kai unàanza kujileta kwazatiti😂😂

  • @fatfat9093
    @fatfat9093 10 часов назад +1

    Ukiona hakina thamani mwenzio anatamani atakipata lini kai kula.chuma icho cf cn zatiti kwakuwa namsimamo napia kumjali mmke chiko

  • @Jenniffer-m9k
    @Jenniffer-m9k 7 часов назад

    🎉🎉walio frahishwa n zatiti kimpa makavu kai gongen like🎉🎉🎉🎉

  • @rahemh1234
    @rahemh1234 4 часа назад

    Kai umeyakanyaga 😂😂😂😂😂sinmsomi mwenzako mbona unashangaa achababa akamuite 😂😂😂

  • @JACINTAKAMANTHE
    @JACINTAKAMANTHE 12 часов назад +3

    ❤❤❤❤❤

  • @HadijaVinyu
    @HadijaVinyu 9 часов назад +1

    I love you zatiti

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 11 часов назад +1

    😂😂mama unabuku hapo

  • @PhilbertHabonimana-o1z
    @PhilbertHabonimana-o1z 8 часов назад +1

    Kai anaona zatiti anashituka kwel

  • @AshaHamisi-tf3kk
    @AshaHamisi-tf3kk 5 часов назад

    Zatiti umepigaje hapo mama🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @GraceYohana-i7w
    @GraceYohana-i7w 12 часов назад +2

    zatiti love ue

  • @GeorgeMkaugala
    @GeorgeMkaugala 11 часов назад +1

    Safi🔥👏👏

  • @AminaKidare
    @AminaKidare 6 часов назад

    😂😂😂kalunguyeye na nungunungu

  • @LoiceLoice-c1b
    @LoiceLoice-c1b 7 часов назад

    😂😂😂naona braza kai kapigwa na kitu kizto na zatiti

  • @umentco9600
    @umentco9600 12 часов назад +1

    Hogera satiti

  • @KuvunaGonda
    @KuvunaGonda 7 часов назад

    Zatiti hakika umemueza huyo nungunungu😂😂 kai ukiacha ww kunawatu wanatamani😂

  • @SaraRaphael-do8zp
    @SaraRaphael-do8zp 4 часа назад

    Saf sana zatiti

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 13 часов назад +2

    Ilove yuo busati

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 8 минут назад

    Zatiti usimchekee huyo ex mpumbavu maana alikuumiza n akakutolea mannei makali pia alikuja akuonyesha madharau sasa we pambana tub n Hali yako ❤❤❤ wanaume Kam Kai wapo wengi sna 😅

  • @FaithChivatsi
    @FaithChivatsi 7 часов назад

    Kai umeanza kumtamani Tena zatiti n ulimkataaa weee n bdo

  • @BintmohamedNasiri
    @BintmohamedNasiri 7 часов назад

    Sasa huyu ndio zatiti ninae mjua mm na sio yule wa kulia kila wakati 😂😂😂😂😂😂😂

  • @jacklineteresia2629
    @jacklineteresia2629 7 часов назад

    et Kai we ni nungunungu 😂😂😂😂😂

  • @MuniryShabani
    @MuniryShabani Час назад

    Kai km zatiti amekutorea nje njo kwangu 😂😂😅😅

  • @zarihaSalum
    @zarihaSalum 13 часов назад +2

    🎉🎉🎉

  • @Elijahfondo.
    @Elijahfondo. 13 часов назад +1

    Wa kwanza from Kenya please l need 7k likes

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 12 часов назад

    Kai mda wako wa kuteseka😅😅😅

  • @LevinaMacha
    @LevinaMacha 12 часов назад

    Tasha anauona uthamani wa zatiti akati kasha chelewa😂😂😂😂

  • @RAHMAAMOUR
    @RAHMAAMOUR 13 часов назад +1

    Tim stong mpo mamb ni moto

  • @TatuJuma-e2k
    @TatuJuma-e2k 12 часов назад +1

    uyu mwenye kipara jamani co koshi?