Kai sasa moyo mtamchoma kweli kweli 😂😂Kai bei kula chuma hicho zatiti anapendeza na atazidi kupendeza nakuhurumia lkn huo ni mwiba wakujichoma haufai kuambiwa pole nenda kwa batuli wako achana na zatiti wetu sai amen move on upo😂😂
Daaah dazatiti ongera sana mpambe huyo kai ajue eeeeh Asanta sana da zatiti ongera sana mama nimefurai alie juu msubiri chini sasa ndo hayo yamemkuta😂😂😂😂kai huogopi
Wangap walikua wanataman kma mm kua siku moja kai aje kukutana na ex wake zatiti Ana kw Ana wazungu wakasema face to face ili tuone atakavo jing'atang'a pasipokuwepo yule mshenzi asojua kwamba money can't buy a happy 😊😊😊😊
Mwanamke akishachoka hua maneno yake yana choma direct kwa moyo.....Yani maneno makali kushinda mkuki wa sumu ya uchungu wa mamba .... anaongea aki smile kambe ako hpy lakin wapi..😅
Zatiti usimchekee huyo ex mpumbavu maana alikuumiza n akakutolea mannei makali pia alikuja akuonyesha madharau sasa we pambana tub n Hali yako ❤❤❤ wanaume Kam Kai wapo wengi sna 😅
Safi San zatiti mpe makavu hyo man alikuliza San jaman tulio furahia zatit kumchana kai tujuane hap🎉🎉🎉🎉🎉
Zatiti unatisha sana dada 🎉🎉🎉🎉🎉mauwa yayko
Zatity watumia soda gani mpz umenifurahisha sana icho kipande cha kai na ww yani umetisha sana ❤❤❤❤❤
Kazi Nzuri sanaaaaa.... Haya Wale wa My Destiny tayari tumepost Ep 14
Zatiti kwny hcho kpande cha kai na Zatiti kwny hako kamti, Zatiti umetisha dada hongera umeongea kwa ujasili sana ,
Kai sasa moyo mtamchoma kweli kweli 😂😂Kai bei kula chuma hicho zatiti anapendeza na atazidi kupendeza nakuhurumia lkn huo ni mwiba wakujichoma haufai kuambiwa pole nenda kwa batuli wako achana na zatiti wetu sai amen move on upo😂😂
Zatiti bhana leo umejua kumrusha roho Kai hvyo ndio inatakiwa. Kwamwanaum anaejiona amekuacha amekukomoa saf sana zatiti
Safi sana zatiti❤❤
Tunao mukubali zatiti tujuane ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Naombeni mfanye kitu,kai anapoenda kuomba field akute zatiti ndo boss wake
🎉🎉🎉Zatiti congratulations for you,
Ningeshangaa sana sakina kugoma kutoa namba 😂😂😂
Daaah dazatiti ongera sana mpambe huyo kai ajue eeeeh Asanta sana da zatiti ongera sana mama nimefurai alie juu msubiri chini sasa ndo hayo yamemkuta😂😂😂😂kai huogopi
kutoka 🇧🇮 nimewahi 😂 mu dakika 5 sii mbaya.nipeni like zangu baana❤
Hongera zatiti🎉🎉🎉❤❤
Tusio lala ucku na mchana tujuane like za zatiti jman MNA ndo nnae mpnda❤
Tupo apa kama wanga😂😂😂😂
Tuko🎉
Yani hatuelewi wala hatujielewi😂😂😂 tunahaha tu mitandaoni😊
@@aishaomar2287😂😂😂
@@Rizikialiamechannel763 usingizi watulemea ila series hazitupiti😂
Hakik kai umeacha Mke zatit umependa kuokota dang batuli
1kutoka burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 Like zangu wanayo mupenda zatiti
Jaman pole San mzee WAngu unateseka n mawazo jaman
Zatiti sio kwa kujiamini uko pokea maua 🎉🎉🎉🎉
More love❤❤❤❤❤ Zatiti hongera sana
Wanawakee tunatakiwa kuwa iviii wallah safi sana zatiti❤❤❤❤
Waooo zatiti wangu jamani ❤❤❤❤🎉🎉🎉 umetisha mama
Zatity umeongea kw kujiamin hongera sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Zatiti safi kwa kumuumiza kai 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Zatiti good girl, huo ujasiri ndo niliokupendea😂😂😂, alfu nguo zote zatiti anazofaa zinamuingia vzri snaa nakupenda bure mamaa🎉🎉🎉🎉🎉
Iyo noma sana kbs
WA Kwanz leo jamn❤❤❤❤❤
Big up zatiti umetisha sana❤❤❤
Asantee zatiti wng❤❤🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉ya Zatiti❤❤❤
Ata zatiti anajua kuringa, Kai utajipanga
Zatiti hongera sana mpe vidonge vyake 😂😂😂 kai batuli mpka akue😂😂😂😂
Zatiti kazi nzuri da
Zatiti wang pend san wew😊😊😊
Kai imekula kwako 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nenda kwa batuli wako
Nzuri sanaa
Mimi WA Kwanza kulike na kuwatch leo
Zatiti umependeza sana❤❤❤❤❤
Asante San zatiti mupe mupe zatiti huo Kai hanapenda kulelewa na mwanamuke
Sijachelewa sanaa
Wangap walikua wanataman kma mm kua siku moja kai aje kukutana na ex wake zatiti Ana kw Ana wazungu wakasema face to face ili tuone atakavo jing'atang'a pasipokuwepo yule mshenzi asojua kwamba money can't buy a happy 😊😊😊😊
Zatiti kachoka sasa big up huo ndo uanamke🥰🥰🥰
Waoooo ❤❤❤ sana
Ila Kai saivi unamukumbuka zatiti 😂
Hapa kai anafikiria satiti bila kukumbuka mabaya aliye mufanyia nyuma
Woow zatiti leo umeweza wakumbafu 😂😂
Roho inakusuta San Kai ila mam alikwambia ukampuuza
😂😂😂😂😂😂zatiti kumbe hukosi za akiba umempa meupe kai 😂😂😂😂❤❤❤
Wa1
Kai wewe ni nungu nungu 😂😂
Nilidhani nimewahi 🤣🤣🙌 kumbe nimechelewa😂
Zatiti kudos 😂😂kama sponser wako n kalunguyeye basi kai ni nungunùngu 😂😂 nmecheka nkaisha🎉
Me napenda nikimuona zatt na furaha
Zatiti Hilo nalo Neno ulomwambia Kay lkn ukwel Huo mauw yako zatiti ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Zatiti umemnyoosha kai kanywea kama tembe ya piritoni😂😂😂😂😂
Nmependa san kauli zake zatiti jaman kama umependa kama mm like hapa tujuane plz😊😊😊
Safi sana zatiti
Karunguyeye😂😂😂
Saf zatiti kai mtolee inje kabs hy
Zatiti nakupenda sana una mupa makavu ❤❤
Zatiti unatabasamu zuri
Zatiti mpe vidonge vyake kai akitaka ameze au ateme 😂😂😂😂kazi kwake
Mimi isijawai ielewa😅
Zatiti pokea mauwa yako😊😊umetisha
Zatiti mauwa yakoo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅😅😅
Siku zote ex hupenda akuone umecharara kai imekuramba hiyo
Pongez kwa zatiti❤❤❤ now ni muda wa kai kutesek
🎉 🎉🎉🎉zatiti hongera sana
Haki ya Mungu zatiti umefanya ile kitu napenda kwa kai...umenikosha mwaya🎉🎉🎉🎉
Zatiti nmkupenda bree umejua kumpa makav kai😅
Mwanamke akishachoka hua maneno yake yana choma direct kwa moyo.....Yani maneno makali kushinda mkuki wa sumu ya uchungu wa mamba .... anaongea aki smile kambe ako hpy lakin wapi..😅
Kai unàanza kujileta kwazatiti😂😂
Ukiona hakina thamani mwenzio anatamani atakipata lini kai kula.chuma icho cf cn zatiti kwakuwa namsimamo napia kumjali mmke chiko
🎉🎉walio frahishwa n zatiti kimpa makavu kai gongen like🎉🎉🎉🎉
Kai umeyakanyaga 😂😂😂😂😂sinmsomi mwenzako mbona unashangaa achababa akamuite 😂😂😂
❤❤❤❤❤
I love you zatiti
😂😂mama unabuku hapo
Kai anaona zatiti anashituka kwel
Zatiti umepigaje hapo mama🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
zatiti love ue
Safi🔥👏👏
😂😂😂kalunguyeye na nungunungu
😂😂😂naona braza kai kapigwa na kitu kizto na zatiti
Hogera satiti
Zatiti hakika umemueza huyo nungunungu😂😂 kai ukiacha ww kunawatu wanatamani😂
Saf sana zatiti
Ilove yuo busati
Zatiti usimchekee huyo ex mpumbavu maana alikuumiza n akakutolea mannei makali pia alikuja akuonyesha madharau sasa we pambana tub n Hali yako ❤❤❤ wanaume Kam Kai wapo wengi sna 😅
Kai umeanza kumtamani Tena zatiti n ulimkataaa weee n bdo
Sasa huyu ndio zatiti ninae mjua mm na sio yule wa kulia kila wakati 😂😂😂😂😂😂😂
et Kai we ni nungunungu 😂😂😂😂😂
Kai km zatiti amekutorea nje njo kwangu 😂😂😅😅
🎉🎉🎉
Wa kwanza from Kenya please l need 7k likes
Kai mda wako wa kuteseka😅😅😅
Tasha anauona uthamani wa zatiti akati kasha chelewa😂😂😂😂
Tim stong mpo mamb ni moto
uyu mwenye kipara jamani co koshi?
😂😂😂😂